MAMA AMTABIRIA MAKONDA KUWA RAIS AJAYE ''AKITOKA MAMA SAMIA UNAFUATA WEWE''
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024
- #ikulumawasiliano #ikulu #ikulutanzania #ikuluzanzibar #wizarayamadini #wizarayakilimo #wizarayahabari #ahmedally #alikamwe #yanga #yanganasimba #kariakooderby #youngafricans #simbasc #mwalimuyanga #hajimanara
Makonda Mungu akulinde daima ukupe maisha marefu zaidi,
Ukweli kutoka moyoni nakukubali sana💯✅
Hakuna ubishi rais 2030
Tunakuommba
Mama samia muandae huyu jamaa
❤❤❤
Kabisa
Aondoke
Hongera comredi mkuu wa mkoa arusha , endelea kutetea wanyonge mkuu, ndiyo silaha pekee ya kuikomboa nchi hii,
Wapo vijana wengi wanafanya vzr akiwemo makonda, kuna aweso aweso, jerry slaa, ally happy,
❤❤❤❤❤❤ILA mm dada yako NAKUPENDA SANA kutoka moyoni MUNGU AKUTUNZE KIPENZI CHA watu❤❤❤❤❤❤
Nakupenda makonda wangu Mungu akujalie mema
Hata me nakutabiria makubwa hakika tunajivunia kuwa na kiongoz mkwer na muwaz mungu akusaidie
Napenda sana unavyotatua migogoro mbalimbali, popote uendapo mkuu unafiti chapa kazi kaka tunakuombea kwa mungu akuepushe na wahuni kama waleeee???????
Hata mimi namuombea hivo makonda kwa sababu tuna kupenda sana afilika nzima wanaokuchukia kazi wanayo❤
Huyu kiongozi ni Mzuri sana Kiongozi anaejali wanyonge si rahisi kuwapata viongozi kama hawa si rahisi kuwapata
Kura yangu naitunza kwa ajili Yako ila Kwa uadilifu wako na juhudi za kutetea wonyonge mafisadi hawatakupenda watakutafia zengwe au kukuroga in Jesus name hawataweza
Amina amina my dear i❤u much
Makonda unaupiga mwigi❤
😂😂😂😂 kesi hadi mahusiano waoo makonda
MUNGU nitunzie makonda😅😅😅
Jamani ccm mteueni makonda awe rais nchi itanyooka,mama mwachie makonda awe rsis we jipumzikir zako tu mama hii nvhi inawatu vichwa ngumu
Mungu asante sana kwa kumpigania mpendwa wetu.amina❤❤❤❤
Maskin ndio maana una uchungu
Bro mungu akupe Maisha marefu na afya njema uwe raisi wa watanzania 2030 hakika mungu ni mwema
Manyangau yalio ndani ya ccm hawawezi kumchagua makonda kuwa raisi wa tanzania wanajuwa ana ki umaghufuri watu watapata haki yao wengi nawao hawapendi hilo
Brother makonda ❤
This is our next president kubali ukatae
Shujaa Mungu alitangulia na kukuepusha na mikono ya maadui
Makonda mimi nakukubali sana nakuombea kwamungu upate uraisi
Ntalia kwa furaha mimi 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🌹🌹🌹
Sema baba 😅😅😅😅😅
Anastahili kuwa rais wajamhuri yamuungano watanzania
Anafaa sana
Sote tunakuombea uje uwe Rais hakika nchi hii itakuwa imempata kiongozi Bora kwa mara pili
Rais ajae ngoja MAMA amalizie ataefuata ni arc makonda 💯
Hahaha kaz ipo
huyu jamaa namkubali sana muandae tu awe kiongozi wetu
Namuomba MUNGU kilasiku uwe rais wetu
Sipigi kura kwa wakati huu nakunzia wewe makonda😢😢😢 kuna mtu mwingine akipata nafasi anasahau kuwa katoka familia ya kimaskini ila wewe nafasi yako inawatoa watu wachozi ya furaha 🎉🎉🎉🎉maua yako mtumishi wa MUNGU
Makonda amewakanyagia wote huyu ndio kiongoz mwanafunz aliekuwa darasan kipnd cha magufur aliefauru nakuyafanyia kaz maelekezo kwa vitendo
Huo ndo ukweli asee
Uyu uchaguzi usifanyikee aingiee tu
Unastaili kuwa rais wengine wanafosi tu
Mkonda tunakuombea uwe Raisi wa Tanzania 🇹🇿 Tunataka Raisi mwenye huruma na wanyonge inshallah utakuwa Raisi wetu tuh
Wale walio watoto wapekee kama makonda tujuane hapa
🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤️
Mwanaume ni kama roho mtakatifu Huwa hakai paspo na amani kama urikuwa humheshimu mumeo wanakuchuria wenzio
Ikwezekana agombee mwakani 2025
Makonda bola uindeshe Tanzania mama akae kwanza pembeni ccm itakua pazuri
🎉shauri yako
Hata Mimi namtabiria mazuri makonda ni mfano wa magu maneno yake yanaonesha ukweli
Kwa kupitia CHAMA gani?
Who passing away between my interview 😂😂😂 ihate you😂
💯%
Makonda ni mchapazi mzuri,Ila Kuna shida kwenye Demokrasia na utawala Bora ni shida,Nakumbuka ya le mapambano ya Madawa ya kulevya,Akufata katiba ya nchi
Kaka unafaaa kua raisi kabisa
Alipo kufa magufuli nilipata taabu sababu sikua namtu wakunisaidia ninge pata namba yako ningeonana nawewe hata unipe ushauritu
MUNGU AKUTUNZE
Ata mimi namuamini huyu makonda ata sasa ivi akiomba hulaisi tunamuamini sanasana anajua watu wamasikini napia wanyonge mimi nampa asilimia 99
Na uchaguzi wa Ukonga alitumia polisi kuipatia ushindi CCM
Wapo watoto wa wakubwa nao wanawania.hiyo nafasi , jee atawakwepaje hao watu mpaka afike kileleni na kuweza kugombea uraisi?.
❤
Mimi siwezi hata kuongea
Rais wa nyokoooo hapati Wala hatapewa
Makonda pekee ndio mwenye kivuli cha watanzania masikini, huyu mwamba acha tu awe Rais aisee
Shule ya kuungaunga
Wew meny shule ilio nyook ata kuki uwez kuwaongoz,uongoz n karama sio makaratas ya kullil darasn
Mama pisha njia 2025 tupate magufuri mpya makonda
6:07
Chukua urais makonda
27 5 202004
Naam haki usitawisha taifa na kufanya watu kuwa wenye furaha amani upendo na ushirika kwenye shughuli mbalimbali. Fanya kazi makonda hilo ndo kusudi La uwepo wako duniani uwahudumie watu
#make Tanzania to be better place#