SHK OTHMAN MICHAEL "FREEMASON, HIZI ZOTE NI KAFARA ANATOA" ATOBOA SIRI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ม.ค. 2023
  • #riyadhTvZnz #zanzibar

ความคิดเห็น • 107

  • @nyc5595
    @nyc5595 ปีที่แล้ว +6

    Asalam alaikum sheikh wetu kipenzi ca maneno ya Allah na suna za Mtume wetu Muhammad (s.a.w) na nina maswali mawili naomba utusaidie utengenez darsa kuhusu yanayokua huko Saudia arebia majanga na mafuriko na panazunguuka ma videos ya kuzungmza alama za kiama Na lingine kuhusu ma sheikh na walimu wanasema ukiwapa pesa wanakuombea Dua kwa Allah mlezi wetu je si kosa au na tunaambiwa hakuna mtu anaombea Dua mwenzie inakutia ku kufuru mungu na kumshirikisha tusaidie kwa hayo Asanteni sana na tunawapenda sana na Tv zote unazotumia kutuelimisha Allah akupe umri mrefu na akupe mwisho mwema akup pepo ya firdawusi na familia yako yote

  • @Kaoneka-bt3nj
    @Kaoneka-bt3nj ปีที่แล้ว +1

    Mashallah Allah akupe Dunia na ahela shekh

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 6 หลายเดือนก่อน +3

    Kwaiyo waislam wengine hawaswali 😅😅 Kuna Siri kubwa sana kwenye Utajiri 😊

  • @mohammedmbaruk2034
    @mohammedmbaruk2034 ปีที่แล้ว +3

    mashaallah acha waseme shekhe wangu ndio mwanadamu huyo

  • @nasserabdallah5750
    @nasserabdallah5750 ปีที่แล้ว +1

    اللهـم صّـل وسِـلم وبارڪ ؏ نبينا مُحمدﷺ❤

  • @KobaAbbas-v5c
    @KobaAbbas-v5c 5 วันที่ผ่านมา

    Ostadh samahani naomba msaada biidhin llah, me nikjana maskin naomba niwe mwanafunzi wako

  • @aishaz1
    @aishaz1 ปีที่แล้ว +1

    Amin sheikh wetu

  • @SindayigayaAhamad
    @SindayigayaAhamad 2 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli kabisa sheikh kumuswalia mtume kuna siri kubwa sana nami mambo yangu kafunguka tangu nianze kumuswalia mtume

  • @aishaabdi2059
    @aishaabdi2059 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah ❤❤☝️

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 ปีที่แล้ว +3

    Amiin inshallah

  • @samirasadasalum5974
    @samirasadasalum5974 ปีที่แล้ว +2

    Shukrani sn

  • @issakhamis6817
    @issakhamis6817 6 หลายเดือนก่อน

    Asalam walekum sheik this khuthba Is very good jazakallah keri am ISSA HASAN from south Sudan juba capital.

  • @ramadhanimbulu4941
    @ramadhanimbulu4941 ปีที่แล้ว +19

    Nimemuona mtume Muhammad Mara saba pamoja na sayidina abubakar na sayidina Othman wakiwa kwenye vita ya uhudi nikawa na mie najisemea sijui nijitose sijui nijitose..!!! Allah atusamehe wanawazuoni wakubwa na wacha mungu wameondoka asilimia 98, hawa wengine ni waganga na si masheikh.Waislam tuwe macho na hawa watu si wa kuwafuata.

    • @abubakarmpole4000
      @abubakarmpole4000 ปีที่แล้ว +4

      Ata mtume s.a.w alikuwa na maadui ambao wanaompinga, sasa sishangai ukimpinga huyu sheikh aliyepewa uongofu na Allah

    • @ramadhanimbulu4941
      @ramadhanimbulu4941 ปีที่แล้ว +1

      @@abubakarmpole4000 pole sana!!Allah akujaalie uongofu ukasome dini yako uijue vizuri ili ujue haki na batili.

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 ปีที่แล้ว +4

      Acha chuki aliepewa kapewa Shekhe wetu Allah akulipe kwa kutufumbua nakutuelekeza palipo pema nakupenda kwa ajir ya Allah

    • @adamapollo9859
      @adamapollo9859 ปีที่แล้ว +1

      @@ramadhanimbulu4941 kwan kakoseya nini

    • @othmanmulendelwa9622
      @othmanmulendelwa9622 ปีที่แล้ว

      Wewe acha kutudanganya wana fana vipi

  • @user-rx5jx5wt3t
    @user-rx5jx5wt3t ปีที่แล้ว +1

    Alllahu masali Wa salaam alehaa

  • @KhizryKwekajr-jw4ze
    @KhizryKwekajr-jw4ze 8 หลายเดือนก่อน

    MashaALLAH shekhe

  • @mzeemzee7503
    @mzeemzee7503 ปีที่แล้ว +4

    WAJABAH WAJABAH WAJABAH

    • @allyshaban4288
      @allyshaban4288 ปีที่แล้ว

      Subhana Allah MashaAllah MashaAllah MashaAllah

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 ปีที่แล้ว +3

    Shukraan 🙏

  • @rehemamohammed1914
    @rehemamohammed1914 8 หลายเดือนก่อน

    Allah akbar❤❤

  • @ashahassan1877
    @ashahassan1877 ปีที่แล้ว +2

    Jamni amesema kweli tumswali lieni mtume hayo mengine tumuachia

  • @DjanatiOrnella-ox2jm
    @DjanatiOrnella-ox2jm ปีที่แล้ว

    Mansha Allah

  • @KhadijaShee
    @KhadijaShee หลายเดือนก่อน

    Mashallah

  • @KasminaCreation
    @KasminaCreation ปีที่แล้ว +2

    Jamani kuna watu wana bahati ?kumuota Mtume (s.a.w)ni bahati kubwa

  • @shabansumaiya4770
    @shabansumaiya4770 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi namkubari wallah anaesema nifrimasoni wacha asema

  • @yusramwadini
    @yusramwadini 28 วันที่ผ่านมา

    🥰🥰🥰🥰

  • @aishahamis1248
    @aishahamis1248 7 หลายเดือนก่อน

    mashaahllah

  • @amrykhamis4482
    @amrykhamis4482 9 หลายเดือนก่อน +1

    Na uislamu hauruhusu kusemana vibaya

  • @kasimuhamidu8467
    @kasimuhamidu8467 4 หลายเดือนก่อน

    Kama kwer free meson moton moja Kwa moja

  • @AishaKashora-ud3xg
    @AishaKashora-ud3xg 6 หลายเดือนก่อน

    Shekhe kasema baridi,,mama ana pagawa

  • @SAIDNYUNGU
    @SAIDNYUNGU 2 หลายเดือนก่อน

    Asthaghfirullah

  • @animamichael3968
    @animamichael3968 ปีที่แล้ว

    nakubali sn nimekushuhudia mara nyingi

  • @suleimanbakari9762
    @suleimanbakari9762 2 หลายเดือนก่อน

    Tupe dalili ya chenye unaongea Wacha kutufumba macho

  • @user-lh4dp7if6w
    @user-lh4dp7if6w 7 หลายเดือนก่อน +1

    Tusidanganyane bwans

  • @ZubeirTahir-ep1tp
    @ZubeirTahir-ep1tp 7 หลายเดือนก่อน

    Wamekua ni wamiliki wa makamera ili wachukuliwe mavideo. Munasema haya lakini ujumbe si unakwendaa

  • @edhaomar2853
    @edhaomar2853 ปีที่แล้ว +3

    Allah kasingiziwa ana mtoto mtume kasingiziwa ni kuhani vipi sisi tuokoke na ndimi za watu

  • @ashahassan1877
    @ashahassan1877 ปีที่แล้ว

    Mm Nina mata tizo mengi nitaswali nakuomba msamaha naduwa nikimaliza nitaomba duwa km yeye haombiduwa mm nitaomba shida ikowapi zipo faida hapa hata km yapo makosa

  • @nasradada7050
    @nasradada7050 ปีที่แล้ว

    Subhanallah Allah akuifadhi pamoja na ummat

  • @sfiaalanazi5479
    @sfiaalanazi5479 ปีที่แล้ว +1

    Hiyo mada haiyendani na kichwa cha habari

  • @Halima-zx4pg
    @Halima-zx4pg ปีที่แล้ว +2

    Kweli unayoyasema

  • @ziadaskitchen5060
    @ziadaskitchen5060 ปีที่แล้ว

    Wajaa mtihani

  • @geitagewoma7112
    @geitagewoma7112 6 หลายเดือนก่อน

    Doktasule unataka kufeli mbona ulikuwa kiongozi wetu mzuri elezeni imani zaid kulko mali utajiri ni mali.yaduniya. dini ya allah ina poromoka.hamjaliona hilo.ombilangu mkishindwana rudini kwenye corowan nasuna.

  • @ZubeirTahir-ep1tp
    @ZubeirTahir-ep1tp 7 หลายเดือนก่อน

    Wallahi ni biashara tuuuuuuu

  • @mohamedjamaly5246
    @mohamedjamaly5246 10 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu shekh ndio mara ya kwanza namsikiliza na nimefuatilia mikasa mingi ya watu huyu shekh anaonekana anajihusisha na free mason wazi wazi

    • @amrykhamis4482
      @amrykhamis4482 9 หลายเดือนก่อน

      Uctuhumu watu Kwa hisia zako ndugu, Allah atuongoze sote

  • @user-jh6uu1td1i
    @user-jh6uu1td1i 5 หลายเดือนก่อน

    Mimi niliwahi kuota nakwenda kumuona mtume muhammad makka ile nafika tu maka nakuta mtume amefaliki

  • @nassor6333
    @nassor6333 ปีที่แล้ว +2

    Hamna kitu hapa ,usufi ni ujinga.

  • @user-sh7id8of5m
    @user-sh7id8of5m 10 หลายเดือนก่อน

    Asalam aleykum shekhe naomba namba yako

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 8 หลายเดือนก่อน

    Sheikh nampenda kukusikiliza lakini nakuuliaa kitu kwanini unapenda kuapa? Kwani ukisema neno tu bila kusema "Wa Llahi" utakua je? Mbona tunakuamini bila ya kuapa apa. Halafu una sema hiii dhikri bora kuliko kubeba matufali kwa hiyo mafundi na vibarua wasema kubeba matufali wataacha kwani hizi kazi hazifai Au la Nani kafaradhiwa kubeba matufali?

  • @SajeedaBilal-hg2ph
    @SajeedaBilal-hg2ph 2 หลายเดือนก่อน

    Wacha uongo,mnajiwa na majini, we ulijuaje kama n mtume.wacha uongo

    • @omaar5693
      @omaar5693 2 หลายเดือนก่อน

      tatizo wewe hufanyi kitu ndio maana huoni kitu...hebu kaa na mungu mchana mmoja

  • @angle3600
    @angle3600 ปีที่แล้ว +3

    Mimi sheik nilimuona mtume issa,nika muadithia mama mmoja akaniambia umeona shetani,lakini la kushangaza mbona niliona baraka ambazo sikutarajia Nae ni shetani?

    • @emmanuellabani5510
      @emmanuellabani5510 ปีที่แล้ว +1

      Huyo ni mtume kweli maana shetani hawezi kujifananisha na mtume.

    • @angle3600
      @angle3600 ปีที่แล้ว +2

      Niliambiwa hivyo sijamuona mtume issa bin mariam nimeona shetani,but baraka nilizozipata baada ya kumuona ajuae ni mungu,hadi natamani nimuote tena

    • @rachaeletoot3577
      @rachaeletoot3577 ปีที่แล้ว

      Shekh kwel mimi sizani utajiri ninema kwangu ukubwa musaliye mutume ishallah,,,,,..Allah Akujariye

  • @ummulkulsum6124
    @ummulkulsum6124 ปีที่แล้ว +1

    Shekh kweli karne hizi unaweza ota anakujia mtume nikweli

    • @harunirashid
      @harunirashid ปีที่แล้ว

      Imani huna shekh,

    • @arafatbarissa8392
      @arafatbarissa8392 ปีที่แล้ว

      Kweli kabisa

    • @binrashid8671
      @binrashid8671 ปีที่แล้ว +2

      Kinacho kupa taufiq ya kumuota mtume sio zama bali ni matendo yako

    • @khalidahmed6900
      @khalidahmed6900 7 หลายเดือนก่อน

      أروع جواب لكل مرتاب

  • @user-ml7jz5rf3n
    @user-ml7jz5rf3n 2 หลายเดือนก่อน

    story za abunuasi

  • @Alakhyasirabuammar
    @Alakhyasirabuammar ปีที่แล้ว

    subhanallah. mrongo sana wewe

    • @omytifa6403
      @omytifa6403 ปีที่แล้ว

      Uongo wake nini ss

    • @rahurselektor9850
      @rahurselektor9850 ปีที่แล้ว

      Mrongo ni wewe

    • @amrykhamis4482
      @amrykhamis4482 9 หลายเดือนก่อน

      Uctaje mashekhe Kwa sifa hizo, Allah atuongoze sote

    • @Alakhyasirabuammar
      @Alakhyasirabuammar 9 หลายเดือนก่อน

      @@amrykhamis4482 kujuwa kuzungumza kiarabu hakimfanyi mtu kuwa mlinganizi wa daawatu salafiyya . Dini Hino ilitimia haifai kuipaka tope kwa upuuzi wa mashehela na bid'aah zao. Jee arrasul صلى الله عليه وسلم alilingania hivo? Tumche Mola Mlezi wetu

    • @AminaAhmed999
      @AminaAhmed999 3 หลายเดือนก่อน

      umeona ee. usufi huu

  • @mohamedjamaly5246
    @mohamedjamaly5246 10 หลายเดือนก่อน

    Umemuona mtume singida? Usitudanganye

    • @amrykhamis4482
      @amrykhamis4482 9 หลายเดือนก่อน

      Mche Mungu ndugu

  • @aswabikimaro3033
    @aswabikimaro3033 ปีที่แล้ว

    Hzo mara elf1 anazosema naamin hata yeye huwa hafanyi anadanganya tuu watu, tunaomba siku ukae darasan ututajie hzo riwaya km zina usahh wote

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx ปีที่แล้ว

      Kwaio ww umeona nyingi hzo labda kma uko mbali na mungu wko na hyo kumswalia mtume nilisomeshwa na mwalimu wng bibi mzee anafika miaka 90 nadhan alikua anatufundisha lkn ilikua sijui maaan yke maana miaka 8

    • @amrykhamis4482
      @amrykhamis4482 9 หลายเดือนก่อน

      Watu wanafanya zaidi ya mara alfu kumi unashangaa alfu 1?

  • @aswabikimaro3033
    @aswabikimaro3033 ปีที่แล้ว +2

    Daah wale wanaoambiwaga usufi hawaelewi hawa ndo masufi sasa... Afu eti anasimuliaaa km vile amefika karama fln,,,, muongo san huyuuu, afu eti swala ya mtume ndo duaaa, daah, ila tusishangae huyu alisilimu kutoka ukristi zile tabia anazo tuuuu

    • @idrissahamis5412
      @idrissahamis5412 ปีที่แล้ว

      Acha husda ndugu

    • @jasminyabdully499
      @jasminyabdully499 ปีที่แล้ว

      Mola akusameh

    • @JumaMtolilo
      @JumaMtolilo ปีที่แล้ว

      Tatizo letu wengi hatuna imani thabiti pindi tunapomuomba Allah,maranyingi tunakuwa tunajaribu tunapoomba na kutaka tujibiwe kwa haraka Allah akikucheleweshea kukujibu unakata tamaa.
      Inapokuja mtu amefanikiwa akisema ukweli wake tunamuona muongo.

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx ปีที่แล้ว +1

      ​@@JumaMtolilowallah watu hawna imani mm mwenyewe nikimswalia mtume mara 50 tu nahis nafsi yng ina utulivu au una wahka wasiwas bs inakupa furaha tatizo watu hawna imani.

  • @jubail73
    @jubail73 ปีที่แล้ว

    Lisemwalo lipo tuna masaka na wewe Michael Jackson

    • @amrykhamis4482
      @amrykhamis4482 9 หลายเดือนก่อน

      Ushajiandaa kuliona Hilo jina ulilomuita shekhe ktk daftari lako cku ya kiama?

    • @jubail73
      @jubail73 8 หลายเดือนก่อน

      Wewe soma jina lako kwanza kabla hujasoma la mwenzako

    • @user-ku7ny5id5z
      @user-ku7ny5id5z 6 หลายเดือนก่อน

      Weye acha kufananisha sheikh na wasani

  • @imammohamedmramadhan5837
    @imammohamedmramadhan5837 ปีที่แล้ว +1

    Wacha uongo bwana

    • @omytifa6403
      @omytifa6403 ปีที่แล้ว

      Uongo wake nini ss

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx ปีที่แล้ว

      Kma huna imani yakumswalia mtume kweli utasema watu waongo