Hiki ni kisomo cha kinga dhidi ya uchawi majini hasad, utasikiliza kwa muda wa siku saba biidhnillah Allah atakufanyia wepesi #kisomochawiki #kingauchawimajinihassad #sheikhsharifyussuf
Allah atuondoshee matatizo mawazo hassad majini na masheitwan atufungulie milango ya barka na mafanikio Soote jamii ummat mohd yaraaby mpe sheikh wetu umri mrefu azidi kutukomboa kwa visomo..Allah akulipe kher kwa barka yahiki kisomo
Yallab nikubalie dua yng km kuna mkono wa mtu katika ndoa yng kukataliwa kwa wanangu kupitia kisomo hiki mwenyezimungu kanifungulie kila palipofungwa 😭😭🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mwenyezi mungu kupitia dua hii naomba uondoe husda zote mwilini mwangu na uwavunje moyo wote wanaonikusudia kwa ubaya na unilinde dhini ya nguvu za mashetwani na unipe heri katika maisha yangu unifanyie wepesi katika kazi zangu unipe watoto wema
Mashallah shekhe allah azidi kukuweka maana wengi umetukomboa kwenye matatizo mazito sana mimi nilikua silali kabisa sio mchana wala usiku ndani ya miezi sita au saba nahangaika tu baada ya kusikiliza hiki kisomo alhamdullah kirakitu kikakaa sawa nalala kama kawaida allah azid kukuweka shekhe wentu amiina rambi amina
Mie kuna siku nilikuwa nakabwa na ata anaenikab simuoni ila kwa uwez wa Allah akanipa ufahamu wakuingia TH-cam nikakuta kitson iko nikasikiliz bas uwez amin kunakit kilikuwa kinanivuka milini mwan adi nikaa saw na sijaacha kusikiliz dua za uyo shekhe mungu ape ujila wake
Ya Allah kupitia kisomo hiki niondoshee matatizo na unafungulie kizazi changu unipe watoto wenye kher na mimi, yarabbi najua hushindwi na lolote niepushie dhati zote na unipe kila lenye kher na mimi
Ya Allah kwa kupitia kisomo hiki naomba unijaalie nikisikilize cku zte7 ili unifungulie milango ya heri na uniondoshee ziki katika familia yangu na umati Muhammad na unijaalie mm na familia yangu tuwe miongoni mwa wenye kufuata muongozo wa laa ilaa hailakahu;
Wasalamalykum twawapongeza masheikh wote mutatusaudia sana mana ubaya upo sana hapa duniani nahata uko wazi ambae hajafaninyiwa uhadui ashukuru mwenyezi."
Mwenyez Mungu kupitia kisomo hiki niondoshee shida zote zinazonisumbua zinazoniumiza nafs yangu ukanifungue kila kilichobak fungwa ktk maisha yangu amin
Assalam Alaikum Namwamba ALLAH kupitia dua hii iniondelee majini mashetwani wote ambao wamwsukumwa kstika maisha yangu wadudu kutambaa kwa mwili kuuumwa kwa kichwa Yaa Allah kupitia dua ikaondoe kila baya kwa maisha yangu wanangu jamii yangu inshaallah Mwenyezi mungu akufanyie wepesi kws kila jambo waitaji Sheikh sharif🤲🤲🤲🤲 Amiin
Bismillah mashallah nitasikiliza dua hii kwa uwezo wa m.mungu na malaika wote aniondoshe majin na maradhi makubwa na hasada mim na family yangu na wengine wote inshallah 🙏👐😍
Alhamdulillahi rabbil a'alamina. Mwenyezi Mungu akusimamie Innshaallwah. Wengi tuna matatizo makubwa sana lakini hatujui jinsi ya kujikwamua. Mwenyezi Mungu ukujaalie kwa kila ulitakalo lenye kheri na wewe
Mwenyezi Mungu naomba unifungulie vifungo na husda zote nilizowekewa katika Ndoa yangu na shughuli zangu kwa ujumla. Malaika wa Mbingu naomba mnisimamienkatika kisomo hiki. Ameen
Alhamdulilah Allah akulipe kila la kheri shekhe kisomo leo siku ya pili lakini majini wanatoka wenyewe, namshuku sana Allah kwani Quran ndio ponyo ya kweli. Amiin
Quran ni ponyo la majanga yote ya dunia maana mm nimemfutilia uyu shekhe allah amzidishie maana nilikua niko kma sipo wasiwasi ulinitawala sna nimeskiliza kisomo chake alhmdullah.
A.aleykum....Namshukuru Allah kwa Dua hii kupitia Sheikh Shar Yusuf nasema asante kwani nimeteseka sana na ndoto za kuzaa kila baada ya muda zinanirudia,Mara Niko sehem za bahari, nakuwa MTU wa hasira Mara kwa Mara ugomvi kwangu hauishi muda mwingine kuhish nyakat za usiku kuingiliwa,,,,Namshukur Allah toka nimesikiliza Dua hii sijapata tena na Hata zile hali za maumivu maumiv ya mwili hakuna tena Shukran sana Shekhe Allah akuzidishie kheri ikadumu zaidi na zaidi.... Kupitia kisomo cha kinga zidi ya majini na wachawi nimepata kheri...Mwenyezi Mungu akupe mwisho mwema!!!! ISHA ALLAH ^( Habibt'y Said)~from Rwanda Kigali
Yarab kupitia Dua hii niondoshea hasad zote katika mwili wangu na u ipe Nuru nameangaza unijalie ridhiki unitinizie hitaji LA moyo wangu unisamehe nilipo teleza nikakukosea mola wangu amin😢😢😢😢
Mashallah sheikh yusuf.mimi nilikua naumwa na sikia kitu kinatambaa mwilini.na.gas.nyinyi.nateuka Sana mpaka nashuka.kama.mshipa waja mbele yakifua na nyumba mgogoni.leo.ni.siku.ya.tatu.na.zikiliza kisomo .naona chanisadia Sana nimekula.dawa.sikupata.nafuu.lakini.dua..ni.dawa.mashalllah.mungu.akupe.umri..ameeen
Allah kwa kisomo hiki tulinde Yarrabi waja wako na utuepushe na husda na shari za sheitan,na wachawi na viumbe wote walio wabaya,tunajikinga kwako subukhannah wataalah pokea dua hizi yarrabb
Mwenyezi Mgu atupee shifaa na atufanyie wepesi kwa kila jambo la kheir tutakalo amilia kulifanya,na wewe Mwenyezi Mgu azidi kukupa uzima na umri mrefu kwa kutupa faida kwa kila jambo la kheir,shukraan jazzakah Allahu kheir sheikh Shariff Yusuf
بِسْمِ اللّهِ الرَّحْمَنِ الرَّحِيمِ Bismillahir rahmanir rahim. وَقُل رَّبِّ أَعُوذُ بِكَ مِنْ هَمَزَاتِ الشَّيَاطِينِ Ve kul rabbi euzu bike min hemezatiş şeyatin. وَأَعُوذُ بِكَ رَبِّ أَن يَحْضُرُونِ Ve euzu bike rabbi en yahdurun.
SHAREEF... MashaAllah! MashaAllah! Tafadhali naomba ukirudie kisomo hiki kwani kuna kituo kimoja katika vituo ''MUBIIN'' uliruka bila du'a katikati yake. kama sikosei MUBIIN YA 4 AU YA TANO... Shukran, mie nasaidika na hiki kisomo ALHAMDULILLAHI..JAZAAKALLAHU KHEIR....
@@karimasalahudeen334 mubiin ni part ya sentence mwenye hiyo sura. Surah inaitwa yasin. Ina mubiin 6. Kila kwenye mubiin anatia dua, ila kwenye mubiin moja kaacha kutia dua
ewe mola wangu kupitia ichi kisomo kikavunje uchawi, usda, chuki na matatizo yote yaliyo tanda kwny kizazi chng na mm mwnyw kiwe kisomo cha kunifungua vifungo vyote mm na watoto wangu yaarabbi 😭😭 na milango ya liziki kwny maisha yng
Assalam aleykum warrahmatulah wabbarakatuh, shukran ustadh Allah akujaze kheri ufanikiwe na ufungukiwe katika maisha yako na jamaa zako wote kwa kunifanyia wepesi kitaka shida zangu kupitia kisomo chako
Allah atuondoshee matatizo mawazo hassad majini na masheitwan atufungulie milango ya barka na mafanikio Soote jamii ummat mohd yaraaby mpe sheikh wetu umri mrefu azidi kutukomboa kwa visomo..Allah akulipe kher kwa barka yahiki kisomo
Yallab nikubalie dua yng km kuna mkono wa mtu katika ndoa yng kukataliwa kwa wanangu kupitia kisomo hiki mwenyezimungu kanifungulie kila palipofungwa 😭😭🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mwenyezi mungu kupitia dua hii naomba uondoe husda zote mwilini mwangu na uwavunje moyo wote wanaonikusudia kwa ubaya na unilinde dhini ya nguvu za mashetwani na unipe heri katika maisha yangu unifanyie wepesi katika kazi zangu unipe watoto wema
Amin inshallah kwa uwezo wake Allah
Kwa Kupitia Dua hii Allah Atusaidie Ummat Muhammad Pamoja Na Ndugu zetu walio Tutangulia🙏
😘
Eweee muumba wangu naomba ukaniponye maradhi niliyo nayo na ukanifungulie milango ya kheri. Aamin Aamin
Mashallah shekhe allah azidi kukuweka maana wengi umetukomboa kwenye matatizo mazito sana mimi nilikua silali kabisa sio mchana wala usiku ndani ya miezi sita au saba nahangaika tu baada ya kusikiliza hiki kisomo alhamdullah kirakitu kikakaa sawa nalala kama kawaida allah azid kukuweka shekhe wentu amiina rambi amina
9
Mie kuna siku nilikuwa nakabwa na ata anaenikab simuoni ila kwa uwez wa Allah akanipa ufahamu wakuingia TH-cam nikakuta kitson iko nikasikiliz bas uwez amin kunakit kilikuwa kinanivuka milini mwan adi nikaa saw na sijaacha kusikiliz dua za uyo shekhe mungu ape ujila wake
Kwa hakika na mm leo nitalala inshallah Mungu yupo nami
Mashallah Molla anijalie nami niwe muislam ...
Amin!! Inshallah!!
Usichelewe mungu kesha kuchagua uwe muislamu
Karibu mpenz
Asanteee
Inshallah afanye wepes
Ya Allah kupitia kisomo hiki niondoshee matatizo na unafungulie kizazi changu unipe watoto wenye kher na mimi, yarabbi najua hushindwi na lolote niepushie dhati zote na unipe kila lenye kher na mimi
Amina
Allahumma ameen
Amiin ❤
Amiin
Ya Allah kwa kupitia kisomo hiki naomba unijaalie nikisikilize cku zte7 ili unifungulie milango ya heri na uniondoshee ziki katika familia yangu na umati Muhammad na unijaalie mm na familia yangu tuwe miongoni mwa wenye kufuata muongozo wa laa ilaa hailakahu;
Amin yaraab
Amina yarab naanza kisomo hiki nina amini nakwenda kupona nimeteseka mpka nakata tamaa basi leo naenda kupta upya wa mwili wangu amina alhamdulillah yarab❤
Wasalamalykum twawapongeza masheikh wote mutatusaudia sana mana ubaya upo sana hapa duniani nahata uko wazi ambae hajafaninyiwa uhadui ashukuru mwenyezi."
Allah awaweke mashehe wetu
Inshaallah Mwenyezi Mungu naomba ukaniponye maradhi nilonayo na ukanifungulie milango ya kheri, Inshaallah
P⁰
Amin yaraab
Mwenyez Mungu kupitia kisomo hiki niondoshee shida zote zinazonisumbua zinazoniumiza nafs yangu ukanifungue kila kilichobak fungwa ktk maisha yangu amin
Assalam Alaikum
Namwamba ALLAH kupitia dua hii iniondelee majini mashetwani wote ambao wamwsukumwa kstika maisha yangu wadudu kutambaa kwa mwili kuuumwa kwa kichwa Yaa Allah kupitia dua ikaondoe kila baya kwa maisha yangu wanangu jamii yangu inshaallah
Mwenyezi mungu akufanyie wepesi kws kila jambo waitaji
Sheikh sharif🤲🤲🤲🤲
Amiin
Ya Allah nijalie mema na uniondolee kila kilichopo ndani ya mwili wangu kilichoingia kwa ubaya inshallah
Kwa kupitia dua hii mungu aniepushie mabaya yote na aniepushie na husuda za walimwengu maisha ni mwangu
Bismillah mashallah nitasikiliza dua hii kwa uwezo wa m.mungu na malaika wote aniondoshe majin na maradhi makubwa na hasada mim na family yangu na wengine wote inshallah 🙏👐😍
Aamin
@@musamgonda3910 she
@@timamahmud942 ?
Amiin
Amina
Yarabi M/MUNGU tuepushe na husda za walimwengu kupitia dua hiii nakuomba ya allah mpatie shekhe uyu kila kilicho chema hapa duniani kesho aelah
Alhamdulillahi rabbil a'alamina. Mwenyezi Mungu akusimamie Innshaallwah. Wengi tuna matatizo makubwa sana lakini hatujui jinsi ya kujikwamua. Mwenyezi Mungu ukujaalie kwa kila ulitakalo lenye kheri na wewe
Inshaallah
Amiin
Amin yaraab
Asalam aleikum warhamtillahi wabarakat,shukran sheikh,inshallwa mungu akujaze kila la kheri,na Allah atukinge na wachawi na mahasid yarab..
Mwenyezi Mungu naomba unifungulie vifungo na husda zote nilizowekewa katika Ndoa yangu na shughuli zangu kwa ujumla. Malaika wa Mbingu naomba mnisimamienkatika kisomo hiki.
Ameen
Sacr@v😅😅😅😅
Allahuma amiini.....kwa kisumu hiki kinisaidie.....kwa maisha yangu...na kizazi changu...
Amin inshallah kwa sote kipenz
Alhamdulilah Allah akulipe kila la kheri shekhe kisomo leo siku ya pili lakini majini wanatoka wenyewe, namshuku sana Allah kwani Quran ndio ponyo ya kweli. Amiin
Quran ni ponyo la majanga yote ya dunia maana mm nimemfutilia uyu shekhe allah amzidishie maana nilikua niko kma sipo wasiwasi ulinitawala sna nimeskiliza kisomo chake alhmdullah.
Namuomba mungu anifanyie kila wepesi kopitia kisomo hiki changamoto zote mbaya ninazopitia mungu aniponye nakunibarik aaamin. Ubarkiwe Sheikh
I return again...sasa nataka uponyanji withini 7days...and I believe it.🙏
Mungu asaidiee yarabi❤️❤️❤️❤️❤️❤️😭😭😭
yarrab baraka zako na utukufu wako nijalie kisomo kiwe dawa kwang kiwe ndo kisomo cha kuniondolea mattz yot nilonayo na kiwe ufunguzi wa kheri kwang amin yarrab yaan nakiskiliz machozi yananitoka
tatizo pengine ni nini dadangu?
Ewe mwenye Mungu mponye bwanangu anamaumivu makala ya oparesheni 🤲nami uniondolee maumivu
Mwenyezi Mungu naomba uniepushe na majini wote na uniondolee vifungo vya aina zote
A.aleykum....Namshukuru Allah kwa Dua hii kupitia Sheikh Shar Yusuf nasema asante kwani nimeteseka sana na ndoto za kuzaa kila baada ya muda zinanirudia,Mara Niko sehem za bahari, nakuwa MTU wa hasira Mara kwa Mara ugomvi kwangu hauishi muda mwingine kuhish nyakat za usiku kuingiliwa,,,,Namshukur Allah toka nimesikiliza Dua hii sijapata tena na Hata zile hali za maumivu maumiv ya mwili hakuna tena Shukran sana Shekhe Allah akuzidishie kheri ikadumu zaidi na zaidi.... Kupitia kisomo cha kinga zidi ya majini na wachawi nimepata kheri...Mwenyezi Mungu akupe mwisho mwema!!!! ISHA ALLAH ^( Habibt'y Said)~from Rwanda Kigali
Mashallah
Mashaallah
Mashallah shekhe sharif mungu akupe umri mrefu na siha kwa dua yako nzuri mashallah
Yallabi kwadua hii niondolee khofu katika nyoyo yangu niwe yakuwa nawasiwas sn naomba uniondoree maradhi niliyokuwa nayo yalabi mimi simkamirifu nisamehe pale nilipokosea wewe ndio mjuzi wayote na mtekerezaj niwew amiin
Assalam alaykum mm nilikua zaid yko alhmdullah naskiliza nikiwa nipo tohara natulia kwenye msala alhmdullah nipo swa leo ya tatu.
Hii shida hata mm naipitia
Inshallah sheh duana takhabballii ❤
Allah akupe kheri za dunia na Akhera na akuepushie kila mabalaa inshallah ,naamin Allah atanisaidia kupitia kisomo hiki inshallah
Yarabi aniondishee maradhi yalikuwa kwenye mwili wangu milango ya baraka na mafanikio ukanifankishe yarabi yarabi yarabi
Shekhe unatupa duwaa nzuri mungu akujaalie afya njema shekhe yussuf
Naomba munguu anijalie kupitia kusomo hiki nitoke nakila uchawi kwenye mwili wanguu unitoke .najini maaba linatokea amina🤲🙏
Jazakalahu heri Allah akupe pepo yadunia nakesho ahera ameeen
Maa shaa Allah shukraan sana tuko pamoja in shaa Allah
Maashaallah shekh Allah akufanyie wepesi Kila Jambo na akulinde na Shari zote🙏
A.alykum sheikh Masha allah mungu a tupe wepesi kwa kilajambo
Shekh nataka kujuwa duwa ya kusomea maji kwa ajili ya mtu anaesumbuliwa na shetan
Ya Allah naomba 🤲hii dua iwe tiba kwangu nipone malazi yote yanayo niandama amin🤲
Allah atufanyie wepes mashallah nimeianza leo na mm
Kiukweli nashukuru can shekhe SHARIF dua zako zimenisaidia can wallah Allah akupe mwisho mwema inshallah 🙏🙏
Allhamdullillahi Allah atuondoshe matatizo mi na family yangu nawaislam wote amiin
Allah tulinde na wachaw, majini,ndoto mbaya, husda na hasad... amin
Yarab kupitia Dua hii niondoshea hasad zote katika mwili wangu na u ipe Nuru nameangaza unijalie ridhiki unitinizie hitaji LA moyo wangu unisamehe nilipo teleza nikakukosea mola wangu amin😢😢😢😢
Masha allahh najifunza kitu katika maisha yangu jazaq wahu kheir Allah atakulipa kwa jambo jema
Yaa rabbi tuhifadhi na Kila baya la dunia kupitia dua hii...aaamiin
amin.. mungu akubariki inshallah!!!
Shukran sheikh Allah akupe umri Mrefu, duniani uzindi kulingania ummah.
Kupitia kisomo hiki mungu anijalie aniepushe na wachaw na majin na anipe kheri na hitaji lamoyo wang yarabby
Mashallah sheikh yusuf.mimi nilikua naumwa na sikia kitu kinatambaa mwilini.na.gas.nyinyi.nateuka Sana mpaka nashuka.kama.mshipa waja mbele yakifua na nyumba mgogoni.leo.ni.siku.ya.tatu.na.zikiliza kisomo .naona chanisadia Sana nimekula.dawa.sikupata.nafuu.lakini.dua..ni.dawa.mashalllah.mungu.akupe.umri..ameeen
Naomba mahombi sheikh kwa majina ni Hassan idaki kutoka kenya
Allah kwa kisomo hiki tulinde Yarrabi waja wako na utuepushe na husda na shari za sheitan,na wachawi na viumbe wote walio wabaya,tunajikinga kwako subukhannah wataalah pokea dua hizi yarrabb
Shukran sana usdhadh.Allah akulipe mazuri hapa duniani na akhera
AMIIN AMIIN
Mwenyezi mungu naomba kwenye kisomo hiki niingoshe roho zote za kichawi
Ehh Mola Wangu nakuomba uniondole Matatizo yangu mwililini eeh mwenye zimunguinshallah Amin uliopo kichwani mwanngu
Naomba mungu aniodolee mamjini yanayo nipa mangonjwa ata Sina amani Amen
Allah awaongoze duniani na akhera awakinge na shari ya mahasd wa kijini na kibinadam inshallaah.
Kupitia kisomo hiki yallab niondolee kila aina ya shari juu yng na familia yng
Laaila haila Mohammed rousolu Allah atuondoshee mitihan na awe kinga bora kwetu Ameeen ameeen inshaaAllah
Allah akulinde na akuzidishie elimu zaidi uzidi kutusaidia,Shukrani sana sheikh
Mashaallah shukran sana..Allah akuzidishie..kheri.
Mashallah mwenyenzimungu akufanyie wepesi ktk mtihani ya dunia
MashaAllah wal alhamdulilah kwa kisomo hiki Allah akujalie kla lenye kheir nawe InshaAllah👌👌👌💕❤💓💞
Yah Allah nifanyie wepesi katika kisomo iki kiwe mwisho wa matatizo yangu niponye hii Hali nilikua nayo ewe mungu nisaidie
Asalaam aleykum shekh tunashukuru mungu akulinde na maadui na hasada akupe umri mrefu yaaraab shukraan
Mungu mkubwa pia mwingi Wa huluma Atuhulumie Tupate Rehema Zake IIshallah
Shukran shekhe sharifu najihisi mwenywe Amani mwepesi kila ninapo fuata na kusikiza dua zako Mola akujaalie kwakila Jambo lako inshallah
Masha Allah jazaka Allahu kheyran sheikh wetu Allah ajalie umri
Ahsante sana kwa kisomo chenye nguvu sana. Jazaka llahu khair
Ameena Yarrabi ' allameen
Shukrran sheikh Yussuf Allah akupe kheri na barka na afya na umuri i'nsha Allah
Allh anitatulie dhiki nilizo nazo na hasad za waja amiiiin thumma amiiin
Kwakupitia duha hii yalabi niwekee wepesi nipunguzie azabu yamimba nipate usingizi niwe namani uniepushie namabalaa yausiku na mchana amina
Shukran Shekh kwa msaada wako Allah akupe mema ya hapa duniani na Akhera.
Amiin
Amina mungu atuonfosheye maradhi kwa sote ishaala🙏🙏🙏
Jazalallahu khairy. Inshaallah Rabby zidinan Elman Warzuquna fahama
Kupitia kisomo iki mungu nionyeshe njia nipe mwisho mwema 🙏🏼♥️
𝑎𝑚𝑚𝑒𝑒𝑛
@@kimolohammy3887 kwa sote
MashaAllah Allahuma Barik🤲🤲🤲
JazakaAllahu kheir
Mwenyezi Mgu atupee shifaa na atufanyie wepesi kwa kila jambo la kheir tutakalo amilia kulifanya,na wewe Mwenyezi Mgu azidi kukupa uzima na umri mrefu kwa kutupa faida kwa kila jambo la kheir,shukraan jazzakah Allahu kheir sheikh Shariff Yusuf
amin.. inshallah!!
@@habibujamali5746 amiin ya Rabb
Jazacka Llahu lkhair
بِسْمِ اللّهِ الرَّحْمَنِ الرَّحِيمِ
Bismillahir rahmanir rahim.
وَقُل رَّبِّ أَعُوذُ بِكَ مِنْ هَمَزَاتِ الشَّيَاطِينِ
Ve kul rabbi euzu bike min hemezatiş şeyatin.
وَأَعُوذُ بِكَ رَبِّ أَن يَحْضُرُونِ
Ve euzu bike rabbi en yahdurun.
mashallh dua nzuri mungu akupe uzima na afya ostazi wetu
Masha Allah
Kwa kweli shekh jini mahaba linanitesa sana
Nisikilize kwa muda gani
Manshaallah Tabarak'Rahman shukran jazzillah sheikh wetu kwa visomo mbal mbal Allah akujaze kheir na baraka?
SHAREEF... MashaAllah! MashaAllah! Tafadhali naomba ukirudie kisomo hiki kwani kuna kituo kimoja katika vituo ''MUBIIN'' uliruka bila du'a katikati yake. kama sikosei MUBIIN YA 4 AU YA TANO... Shukran, mie nasaidika na hiki kisomo ALHAMDULILLAHI..JAZAAKALLAHU KHEIR....
Assalam Aleiykum. Naomba unifahamishe MUBIIN ni nn mm ni nislimu mwaka jana
@@karimasalahudeen334 mubiin ni part ya sentence mwenye hiyo sura. Surah inaitwa yasin. Ina mubiin 6. Kila kwenye mubiin anatia dua, ila kwenye mubiin moja kaacha kutia dua
Ukamilifu niwa mwenyeezi mungu
Masha Allah tabaraka Allah Allah akupe kila la kheri shukurani sheikh
ewe mola wangu kupitia ichi kisomo kikavunje uchawi, usda, chuki na matatizo yote yaliyo tanda kwny kizazi chng na mm mwnyw kiwe kisomo cha kunifungua vifungo vyote mm na watoto wangu yaarabbi 😭😭 na milango ya liziki kwny maisha yng
Yallab nifungulie kila kilicho fungwa kwangu maisha yangu kizazi ndoa yangu
Mashallah .mola akulinde na husda akupe na uwezo ili uzidi kutuelimisha katika mambo mema
Shukran Sana shekh walai nimeumwa na mkono miaka miwili nimefatilia duwa hii kwa siku mbili naendelea vzr Mola akulipe inshallah
asante Shekhe mwenyezi mungu akubarik
Mashallah Allah hafidh kulu amin
Mashaallah allah akubarik..
Aslm.alkm my brother shukran.ilayka allaaah. Ebarik.feeky sheik.sharif.yusuf
asante maishala nimesikiliza sikusaba leo nshaalla mungu anifungulie milngo yaheli
Yaa Allha kupitiaa kisomo iki uniondolee mitia yotee mm pamojaa na watoto wanguu
Assalam aleykum warrahmatulah wabbarakatuh, shukran ustadh Allah akujaze kheri ufanikiwe na ufungukiwe katika maisha yako na jamaa zako wote kwa kunifanyia wepesi kitaka shida zangu kupitia kisomo chako
Mashaallah mungu haniondolee kila maradhi na ubarikiwe sheikh yusuf
Mashallah na muomba allah akujaze heri inshallah
MashaAllah,Shukran Jazeeran Sheikh🤲🏿
Amn amn🤲 mashukura jazakaheri Mungu akubark Inshallah 🤲🙏
MashaAllah Allah akuzidishie dua nizuri sana jaza yako iko kwa Allah
Allah atufanyie wepesi kila la kheri shekhe wetu amiin akuulinde na fitna na husda za walimwengu amiin amijna
Subkhallakh subkhallakh yarrab yarrab mzidishie elim sheikh wetu ameen
MashaAllah shukran shekhe🙏🙏🙏🙏🙏🙏Allah akulipeee inshaAllah