IKIWA SHIDA YAKO NI MALI SOMA SURA HIZI 2 TU UTATAJIRIKA, MDENI HATOKUDAI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ก.พ. 2024
  • #riyadhTvZnz #zanzibar
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / riyadhtvznz
    FACEBOOK: / riyadhtvonlineznz
    TIKTOK: / riyadhtvonlineznz
    TH-cam: www.youtube.com/@RiyadhTvOnli...

ความคิดเห็น • 97

  • @fatumaIddi-kb5zy
    @fatumaIddi-kb5zy 2 หลายเดือนก่อน +2

    Assalamu alaikum.naitwa fatma kamunuh iddi toka kenya naomba pia nikumbuke kwa dua Allah anifungulie maisha inshaallah.Allah akuhifadhi na akupe mema katika dunia na akhera.amiin

  • @user-kl4km4tj3q
    @user-kl4km4tj3q 5 หลายเดือนก่อน +14

    Assalam alaikum sheikh mm naitwa Fatma mwalimu kutoka Kenya Nina mitihani mizito Sana hata hayaelezeki ya Kila aina maradhi , kuchukiwa na mume ndugu majirani na hata mahalo popote nitakuwa na mm niliugua maradhi ya akili natumai madawa ya hospital lakini nazidi kulemewa UTI wa mgongo ,kichwa,kifua,kiuno mbavu,huzuni nataka kukaa pekeyangu lakini alhamdhulilah ibada zangu nafanya. Naomba unifanyie Dua na mm mambo yangu yafunguke pamoja na watoto wangu lnshallah Allah akujaze kheiri lnshallah

    • @habbibaali7522
      @habbibaali7522 5 หลายเดือนก่อน

      Waalekum salam tafuta namba yake umtumie msg direct ndio utasaidika

    • @Abun70242
      @Abun70242 5 หลายเดือนก่อน

      Pole sana dadangu ln sha Allah,Allah Atakujalia unafuu hivi karibuni.

    • @mariambakari7988
      @mariambakari7988 4 หลายเดือนก่อน

      Naomba Dua zako Insha Allah

  • @MuhammadHassan-rg7ch
    @MuhammadHassan-rg7ch 2 หลายเดือนก่อน +3

    Naitwa aisha today niolewe miaka kumi na nne sina raha ya ndoa nadhalilika niombee Allah anipe alie mwema nikuwe na mawadda

  • @user-xm7rj8bb2u
    @user-xm7rj8bb2u 5 หลายเดือนก่อน +5

    Maashallah jazakallahu khayraa shekhe othman Michael

  • @RamadhaniBigirimana
    @RamadhaniBigirimana 7 วันที่ผ่านมา

    Shekh naomba uniombeye Dua yangu mambo yangu yaongoke kirizki jina langu Mimi Bigirima na Ramadhani

  • @user-uo1bu4jw2d
    @user-uo1bu4jw2d 4 หลายเดือนก่อน +2

    Assalam Alykum sheikh..Naitwa Omari naomba dua nipate wepesi wa maisha inshallah..Mungu akuzidishie kheir

  • @user-jc8jf6kt4g
    @user-jc8jf6kt4g 2 หลายเดือนก่อน

    Assalamu alaykum wa rahmatullah wa barakatuh shekh mie niko south Africa nakufwatiliaga Sana kiukweli majibu mengi nilishapata kwa Adhkari na izo quran unatuelekezaga kiukweli uzidi kuwa na afya na Familia yako Allah awajalie pepo ya fildausi inshaAllah

  • @salimmbuleramadhan8120
    @salimmbuleramadhan8120 หลายเดือนก่อน

    Sheikh shukran. Naitwa Halima mohammed, kutoka kenya. Nina mitihani mizito hata nikianza kuzieleza sitozimaliza, wanangu bado wadogo na wanapitia mazito kwasababu ya shida zangu. Naomba mnikumbuke kwa dua, maana naskia nimefika mwisho.

  • @SophiaMbogo-in7yt
    @SophiaMbogo-in7yt 4 หลายเดือนก่อน +1

    Shukuran jazaka Allah khairan Allah akuhifadh akujalie kher duniani na akhera wallahi tunafurhi na kufaa idhika

  • @mwanahamismohamed7877
    @mwanahamismohamed7877 3 หลายเดือนก่อน

    Asalam aleykum warahmatullahi wabarakatuh shekh wangu yaani nakuombea Mungu akupe uzima na ajaalie uzidi kutufunza mengi shekh wangu mimi ninamitihani sana na hata nikipambana na familia yangu tuivuke bado inajirudia na kwa upendo wa mume wangu mambo hayaendi kabisa hata akifanya biashara zako kulipwa ni mtihani shekh mpk nachoka naomba dua zako

  • @MohammedCheme
    @MohammedCheme 2 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah allaahu akbar❤❤❤❤❤❤
    Mohammed Cheme nifanyiye duay

  • @saeeed2599
    @saeeed2599 หลายเดือนก่อน

    A aleikum nataka dua mume wangu na mtoto wangu hawana kazi nakuomba dua

  • @KobaAbbas-v5c
    @KobaAbbas-v5c 5 วันที่ผ่านมา

    A,alaykum, sheikh naomba niwe mwanafunzi wako sheikh natamani sana

  • @FatumaHalima-qj9yi
    @FatumaHalima-qj9yi 4 หลายเดือนก่อน

    A salaam aleikum shehe natokea Kenya uniombee dua kwa maisha yangu n watoto wangu tunapitia mazito naitwa fatuma,Aisha,Shaffi,hawa,aaqil,sahil na iqran tupate wepesi kwa maisha inshaalah

  • @AymanHaji-oy9iw
    @AymanHaji-oy9iw 2 หลายเดือนก่อน

    Asalam alaykum sheikh naitwa Aiman haji zubeir shekhe mm nlikuw nahitaj Dua mtu nimpendae aje nyumbn na tufunge ndoa inshallah

  • @user-on7sq4bq5h
    @user-on7sq4bq5h 4 หลายเดือนก่อน +1

    Assallam allaykum waramatullahi wabarakhatu sh naitwa ramadhan toka Congo naku omba nisaidiye n'a duwa Allah ani tatuliye matatizo

  • @khadijaissah4671
    @khadijaissah4671 5 หลายเดือนก่อน +1

    Assalaam Aleykum sheikh, shukrani sana Kwa mafundisho hayo illa je katika kuisoma hiyo Suratul Yaseen na pamoja na Waqiah mbali na huo muda wa Magharib na Ishai mtu anaeza soma baadaa ya Ishai kabla ya kulala na bado akanuilia Kwa mitihani hiyo iliyo kusudiwa

  • @user-uk5df9wi7k
    @user-uk5df9wi7k 5 หลายเดือนก่อน

    Asalam alykm shekh nimzaliwa kenya mimi viva soloma sijui kusoma Quran naomba hicho kisomo unisomee kwasababu sijui kuisoma suratul Yasin niko na mitihani mingi sana

  • @ZainabuiddKunambi-he3ic
    @ZainabuiddKunambi-he3ic 3 หลายเดือนก่อน

    Nahitaji dua zako shekh wng napitia miyihani migumu sana kiafya kiuchumi kindoa na kimaisha kwa ukumla.
    Naitwa( zainabu idd)

  • @user-vl4md8rj6i
    @user-vl4md8rj6i 5 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah mola akuzidisheye imani na akuhifathy

  • @majomba-chrndz5964
    @majomba-chrndz5964 4 หลายเดือนก่อน +1

    Assalam alaikum chehe.mimi ni mfuasi wako kutokea Mozambique kwa jina MAHANDO JOAO MBANGUIA.ningependa nifike tz na unisaidiye nisome niwe mwene elim lakini sijuwi na anza vipi.insha Allah ya rab akuzidichiye zaidi kutufikishia maneno ya Allah.

  • @user-sr5xs7bw1x
    @user-sr5xs7bw1x 4 หลายเดือนก่อน +1

    Asalam alaykom mim nayitwa Amina nayishi burundi naomba icokisomo sijuwi kusoma shekh

  • @user-vs7lc9nn8i
    @user-vs7lc9nn8i 5 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah ustadh nimekufatilia sana Allah akujaze

  • @Jdshhd-rr3zy
    @Jdshhd-rr3zy 2 หลายเดือนก่อน +1

    Asalamu alaikum ustadhi mmi naitwa Hadija Salim naomba unifanyie Dua nnajini mahaba nimtu wa mikosi tu ata ivi nnamchumba wangu ameniacha bila sababu tafadhali ustadhi unifanyie inshallah

  • @MoKatoa
    @MoKatoa วันที่ผ่านมา

    allah akbar

  • @MohammedAli-et6ey
    @MohammedAli-et6ey 5 หลายเดือนก่อน

    Maashaallah nakpenda san kwaajil y Allah

  • @user-qy9pd1lu8l
    @user-qy9pd1lu8l 2 หลายเดือนก่อน

    Nakupenda sana Sheikh kwajili ya Allah

  • @dj_poison255
    @dj_poison255 3 หลายเดือนก่อน

    mashallah shukran Shekh
    niombee dua shekh

  • @RahmaMfaume-cc7lc
    @RahmaMfaume-cc7lc 4 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah jazakaallahu khairah

  • @MwanaidiSaidi-ey8lf
    @MwanaidiSaidi-ey8lf 3 หลายเดือนก่อน +2

    Asalam alaikum shehe mimi ninaitwa othoman Jackson mambo yangu ni magumu sana kwa kila ninachofanya pia nikaona nibadili dini niwe muslam pia sifanikiwi shehe naomba dua kwako lshaallh

    • @karimdaud3993
      @karimdaud3993 24 วันที่ผ่านมา

      Na mie nnakuombea dua .ALLA AKUKUBALIE DUA ZAKO. zidisha kumsalia mtume .(Aswahuma swali alla muhammad wa alihi waswabihi wa salaam.
      Marakwamara

  • @AshaJafari-fr3qs
    @AshaJafari-fr3qs หลายเดือนก่อน

    Asalam aleykum naitwa Asha jafari Yasini ninashida ya duwa ili niifadhi quran aa

  • @user-dq1lm2be2u
    @user-dq1lm2be2u 5 หลายเดือนก่อน

    Inshaallah shukran

  • @SudiKhalid-kt4th
    @SudiKhalid-kt4th 3 หลายเดือนก่อน

    ASALAM ALAIKUM WARHMATULLAH W SHEIKH NAPENDA SANA MAFUNZO YAKO MIMI NIMEHASIDIW KWAKWEL NAOMBA UNIOMBEY JINA LANGU SUDI KHALID KUTOKA BURUNDI ALLAH ATUWEKEY WEPESI

  • @FarashuuMohammed
    @FarashuuMohammed 3 หลายเดือนก่อน

    mimi naitwa farashuu mohd abdalla naomba na mimi nisome hii saba mubini mungu anifungulie riski

  • @user-wq8lp4th2b
    @user-wq8lp4th2b 4 หลายเดือนก่อน

    SHUKRAN LAK sheikh ❤❤❤

  • @NasriaNassor
    @NasriaNassor 3 หลายเดือนก่อน +1

    Shukran

  • @sheisgodorait5721
    @sheisgodorait5721 5 หลายเดือนก่อน

    Allah Akubariki shekhe

  • @aligermano3615
    @aligermano3615 4 หลายเดือนก่อน

    Assalam Aleikum sheh mimi naitwa Cândido Ali, kutoka Mozambique yani na matatizo mengui yani napata feza ikayi ata dowa yani mengui tu. Sijui kuandika ki shahiri vizuri lakini utayelewa tu. Niganyie duwa mufuti

  • @KalimagiFeruzi
    @KalimagiFeruzi 3 หลายเดือนก่อน +1

    Assalamu alaykum,shekh jina langu BACHWA HUSSEIN FERUZI

  • @user-kf3im1bn4c
    @user-kf3im1bn4c 25 วันที่ผ่านมา

    Aa mie naitwa nuru ali natola kenya mie nintihani mkubwa kutofunguka risk madeni yameniso ga koo sheik naomba nami unitilie dua

  • @IsmaelHAKIZIMANA-hz5in
    @IsmaelHAKIZIMANA-hz5in 2 หลายเดือนก่อน

    Assalam alaikum warahmatullah wabarakatuh, naomba Sheikh,

  • @sheilajames8206
    @sheilajames8206 4 หลายเดือนก่อน

    Assalaam Aleykum sheikh niombee dua ya rizik sababu nimeteseka sana

  • @HappyAstrolabe-be4lm
    @HappyAstrolabe-be4lm 5 หลายเดือนก่อน +2

    ❤❤❤ mashallah

  • @FatumaAbdilrahman
    @FatumaAbdilrahman 5 หลายเดือนก่อน +1

    Sheikh naomba Dua ya rizq maana sinielewi

  • @user-md8gs2mk2m
    @user-md8gs2mk2m 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu akupe kilalaheri dunia I naahela

  • @zaynabkinana4978
    @zaynabkinana4978 2 หลายเดือนก่อน

    As salaam alaikum warahmatullah wabarakatuh shekhe Mimi ninamatatizo mengi hayaelezeki

  • @user-dq1lm2be2u
    @user-dq1lm2be2u 5 หลายเดือนก่อน

    Inshaallah

  • @OmaryJuma-jy1ii
    @OmaryJuma-jy1ii 3 หลายเดือนก่อน

    Asalam alaikum warhatullah ta'ala wabarakaatuh m omar juma

  • @hamzaforogo
    @hamzaforogo 5 หลายเดือนก่อน

    Kila sifanjema anastahiki Allah mola mlezi wa viumbe wote

  • @brotherk5665
    @brotherk5665 4 หลายเดือนก่อน +1

    me naomba namba ya shekh

  • @mariambakari7988
    @mariambakari7988 4 หลายเดือนก่อน

    Asalam Alykum warahmatullahi wabarakaat,naomba ndua mambo yangu yawe wepesi ndoa,kiuchumi na kimaisha

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania 2 หลายเดือนก่อน

    Anapatikana Dar no za cm hizo zinapita apo.

  • @jamilashabani8580
    @jamilashabani8580 4 หลายเดือนก่อน

    Wallaikum Sallam Warahamatullah Wabarakatuh Alhamndulillah

  • @SaotmAlohtm
    @SaotmAlohtm 2 หลายเดือนก่อน

    Shehe muombee mwanangu ana itwa idadi yopondan sina uwezo 😂😢😂

  • @OmaryJuma-jy1ii
    @OmaryJuma-jy1ii 3 หลายเดือนก่อน

    Ishaallah

  • @user-pw9lf6yt9b
    @user-pw9lf6yt9b 3 หลายเดือนก่อน

    Aamin

  • @user-lp2en8vh6j
    @user-lp2en8vh6j 5 หลายเดือนก่อน

    Assalam aylkum kum shekhe mimi nina tatizo madeni shekh mambo magumu pesa dogo naomba dua

  • @aminaaamal2814
    @aminaaamal2814 7 วันที่ผ่านมา +1

    Shekh othman
    Assalam alaikum
    Me ningepend ni kutane na we

    • @aminaaamal2814
      @aminaaamal2814 7 วันที่ผ่านมา +1

      Me na itwa Nassor Suleiman ni mwana funzi kidato cha nne (4)

    • @aminaaamal2814
      @aminaaamal2814 7 วันที่ผ่านมา +1

      Ndo toyangu kubwa nataka kwend saudi nikaisome dini kwa ufasaha ni we mufti imam shekh inshaallah Allah hummah amiin

  • @MwanaidiSaidi-ey8lf
    @MwanaidiSaidi-ey8lf 3 หลายเดือนก่อน

    Mimi naitwa mwajabu naomba niombee dua nifunguliwe riziki nanifanyiwe wepesi kwa kila jambo

  • @barkaabdallah2407
    @barkaabdallah2407 3 หลายเดือนก่อน

    Asalam Alekum warahmatulahi wabarakatuh
    Je sheikh nikiisoma usiku na sawa ama inasoma magrib peke yake na manisha yasin pamoja na waqia?

  • @AbudoAgostinho-te3sb
    @AbudoAgostinho-te3sb 4 หลายเดือนก่อน

    Mnataman ata nikuone ila akuna jinsi kama o nguekua jalibo nilibidi nikuone,Ola cheye naomba unisaidie, kama kuna uwezeka o wakunisaidia naomba bass cheye usiku mwema lala salama na familia si wenguine tunashindua mpaka kuisaidia family!

  • @ceciliamaneti5283
    @ceciliamaneti5283 2 หลายเดือนก่อน

    Msaada please, naomba anaeweza kuniandikia hizi sura nitamshukuru ila Allah amfungulie Insh'Allah

    • @allyMkira
      @allyMkira 27 วันที่ผ่านมา

      Asalamu alaikum warah matullah wabarakatuh

    • @allyMkira
      @allyMkira 27 วันที่ผ่านมา

      Suratul yaasini na suratul yaasin

  • @IbrahimHaroub
    @IbrahimHaroub 3 หลายเดือนก่อน

    Sheikh mm naomb unipigie cm tafadhal nipo zanz

  • @user-lp5zw6bb5d
    @user-lp5zw6bb5d 4 หลายเดือนก่อน

    Aslm alkm wwt ustdh Michael ulisema dawa ya hasad ni gani mm ni daktari natibu watu watu wanapona walakini mm mwenyewe ni mgonjwa yaani uhasidi mingi ainun

  • @user-kx4wd5vb4j
    @user-kx4wd5vb4j 4 หลายเดือนก่อน

    Utajiri wa nafsi ni bora kuliko utajiri wa mali wenye kibri na usio na imani

  • @adammakame63
    @adammakame63 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu shekhe anapatikana wapi.naomba namba yake ya simu

  • @khadijaissah4671
    @khadijaissah4671 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kisha huyo bellasi mimi nitakujibu hilo,Mtume Mohammad S.A.W mwenyewe alikataa mali ili isimshughulishe na dunia akamsahau Allah pia hakutaka kuwafanya watu wamuone au kumchukulia bora kuliko wanadamu wenziwe yeye angelipenda mali Allah hangekosa kumpa

    • @SaidHassan-ot3un
      @SaidHassan-ot3un 2 หลายเดือนก่อน

      Ufahamu wako una mushkel!uislam haujakataza mali

  • @khalifmaalim8056
    @khalifmaalim8056 4 หลายเดือนก่อน

    Assalamu aleykum shekh na uko wapi wewe?

  • @juniorcantona4040
    @juniorcantona4040 5 หลายเดือนก่อน +2

    Naam
    Twaibu Sheikh Othman Michael
    Naomba uniombee
    Nasumbuliwa na maradhi na hospital hayaonekani
    Tafadhari

  • @richardahmmady3412
    @richardahmmady3412 2 หลายเดือนก่อน

    Nilisahau jina naitwa Ahmad Rich

  • @zainabuiddy
    @zainabuiddy 2 หลายเดือนก่อน

    Sasa kama mtu auwezi kuisoma unaweza kuisikiliza

  • @AbudoAgostinho-te3sb
    @AbudoAgostinho-te3sb 4 หลายเดือนก่อน

    Assalam alaikum chehe mnafanha kazi na wa indi Nina miaka 4 na fanha kazi illa mpaka sasaivi sina ATA thumbs ATA mpaka sijui yela mnapo malizia mnaitua ABUDO kutoka Mozambique nataka unisaidie cheye safadali mzem Lila kitu mnapo jalibo kufanha aiendi kuamana!

  • @jamilashabani8580
    @jamilashabani8580 4 หลายเดือนก่อน

    Sheikh Kuna Dada Na kaaa nae Nahisi ana Jini maana anapandisha Jini lakn likipanda anajing'ata ulimi,, anakuwa Mgumu half anapoteza Fahamu hapo hadi Baadae hata akiamkua anasahau alikuwa wapi hivo sheikh Jini huyo wa aina ipi na atumie nn hio hali imuondoke

  • @Nailaty564
    @Nailaty564 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nilimtoa bibi yangu mkoani aje umsimee dua lakin ulituzungusha mpaka bibi akafariki sina maana kuwa ungeweza kuzuia kifo chake Ila hata yeye mwenyewe alitaman kusomewa na wewe

    • @ashuraramadhan6467
      @ashuraramadhan6467 5 หลายเดือนก่อน

      Pole ndugu iyo ilikuw siku yake ilishafika hata angesomewa km ndo mwsho wake bc hata shekh angemsomea Bado ungemkosa maan tayar ahadi yake ishafika

  • @bellasi349
    @bellasi349 5 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa monsieur acha uongo wa kijinga Muhammad mwenyewe alikufa masikin au yeye alikuwa hajui soma izo sura au soma wewe maisha yako tunayajua

    • @ashuraramadhan6467
      @ashuraramadhan6467 5 หลายเดือนก่อน +1

      Km utaki kaa mbali ,
      usilete maneno ya ajabu Mtume aliambiwa na Allah aseme chochote anachokitaka apew alikataa kulingana na Imani yake na hata angepew Kila kitu ktkt Dunia kisingemshughulisha cz yy Dunia alikuw ameioa mgongo na hat angetak nin angekuw nacho cz yy ndo kawafundisha maswahaba zake na maswahaba walikuw vizur Kwa Mali n.k , Allah ndo mjuzi zaidi
      km hujui ukae kimya sio utoe comment za kukashif

    • @bellasi349
      @bellasi349 4 หลายเดือนก่อน

      @@ashuraramadhan6467 kweli wewe jinga sasa allah ampe nini Muhammad atoe wapi kwanza n'a why hakumpa n'a akafa masikin n'a uyo allah alimwambia lin n'a wapi yani nyie watu weusi ivi akili ziko wapi mbwa nyie kwanin allah hakuokoa watoto wake wakati wanakufa kama vibudu achen ujinga nyie tumia akiri sio kuamini tu upumbavu wa waarabu

    • @user-nn3dt5gh8e
      @user-nn3dt5gh8e 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@bellasi349usitukane huwezi kaakinya

    • @NasraAmini
      @NasraAmini 4 หลายเดือนก่อน +2

      Laa natullah ww kijana Allah atakulaani insha allah

    • @ashuraramadhan6467
      @ashuraramadhan6467 4 หลายเดือนก่อน +1

      @@bellasi349 kwanza usimshirishe Allah Allah hana mtoto km unavyodhan ww , siwez kubishan na mtu chiz nwendawazim Kaa na ujing wako

  • @NasibuNasibuhamisiGmailcom
    @NasibuNasibuhamisiGmailcom 4 หลายเดือนก่อน +1

    Sheikh minaitwa nasibu bin hidaiya naomba namimi unijumuishe kwenye hiyo dua

  • @MwanaidiSaidi-ey8lf
    @MwanaidiSaidi-ey8lf 3 หลายเดือนก่อน

    Asalam alaikum shehe mimi ninaitwa othoman Jackson mambo yangu ni magumu sana kwa kila ninachofanya pia nikaona nibadili dini niwe muslam pia sifanikiwi shehe naomba dua kwako lshaallh

  • @stevenjohn5853
    @stevenjohn5853 3 หลายเดือนก่อน

    Shukran

  • @richardahmmady3412
    @richardahmmady3412 2 หลายเดือนก่อน

    Nilisahau jina naitwa Ahmad Rich