Wewe ni Mkristo usiyesoma Biblia na kufuatilia mambo kwa ufasaha. Kwa kifupi hakuna elimu kubwa hapo. Mfano anasema Dhulqanain ni Mfalme Koresh wa Waajemi halafu anadai kwamba alikuwa ni Mwislamu ilhali Dola ya Uajemi sote tunafahamu kwamba ilitawala kuanzia mwaka 539 BC (Miaka 539 kabla ya Kristo). Pia huyu Mfalme Koresh (Cyrus The Great) alikuwa anaabudu miungu ya Kiajemi na Dini yao inaitwa Mamajusi ambayo ndio Dini ya Asili ya Waajemi (Yaani watu wa Iran). Hivyo kusema kwamba alikuwa Mwislamu ni uongo maana Uislamu kwanza ulikuja wakati wa Muhammad yapata miaka 610 baada ya Kristo. Hivyo kutoka Mfalme Koresh hadi kuanzishwa kwa Uislamu kuna tofauti ya miaka 1150. Halafu alipochemsha zaidi Sheikh ni pale anaposema kwamba Mfalme Koresh alikutana na Nabii Ibrahim. Mmmmh hiki ni kichekesho maana Ibrahim aliishi miaka mingi sana kabla ya Mfalme Koresh. Ibrahim ameishi miaka takriban 2000 kabla ya Kristo wakati Mfalme Koresh alikuwapo miaka 539 Kabla ya Kristo ikimaanisha kwamba kutoka Ibrahim hadi Koresh kuna tofauti ya miaka kama 1500 hivi. Sasa Koresh anamuonaje Ibrahim? Hahahahahahhahahahah ndugu zangu Waislamu nendeni Shule mnadanganyana sana. Hata huo ukuta wenyewe wa China wala hajajenga Mfalme Koresh fuatilieni Historia vizuri.
Koran yenyewe isingekuwepo bila Biblia. Habari za Manabii kama Ibrahim, Musa na wengineo zote Muhammad alizipata kutoka kwenye Biblia baada ya kusimuliwa na Waraq ibn Naufal
@@soilammary4211 hakuna elimu kubwa hapo. Mfano anasema Dhulqanain ni Mfalme Koresh wa Waajemi halafu anadai kwamba alikuwa ni Mwislamu ilhali Dola ya Uajemi sote tunafahamu kwamba ilitawala kuanzia mwaka 539 BC (Miaka 539 kabla ya Kristo). Pia huyu Mfalme Koresh (Cyrus The Great) alikuwa anaabudu miungu ya Kiajemi na Dini yao inaitwa Mamajusi ambayo ndio Dini ya Asili ya Waajemi (Yaani watu wa Iran). Hivyo kusema kwamba alikuwa Mwislamu ni uongo maana Uislamu kwanza ulikuja wakati wa Muhammad yapata miaka 610 baada ya Kristo. Hivyo kutoka Mfalme Koresh hadi kuanzishwa kwa Uislamu kuna tofauti ya miaka 1150. Halafu alipochemsha zaidi Sheikh ni pale anaposema kwamba Mfalme Koresh alikutana na Nabii Ibrahim. Mmmmh hiki ni kichekesho maana Ibrahim aliishi miaka mingi sana kabla ya Mfalme Koresh. Ibrahim ameishi miaka takriban 2000 kabla ya Kristo wakati Mfalme Koresh alikuwapo miaka 539 Kabla ya Kristo ikimaanisha kwamba kutoka Ibrahim hadi Koresh kuna tofauti ya miaka kama 1500 hivi. Sasa Koresh anamuonaje Ibrahim? Hahahahahahhahahahah ndugu zangu Waislamu nendeni Shule mnadanganyana sana. Hata huo ukuta wenyewe wa China wala hajajenga Mfalme Koresh fuatilieni Historia vizuri.
Yajuj wa majuj ni binadamu na imagine hata kwenye bibilia wametajwa kama binadamu kisha sisi waisilamu tudanganywe eti ni viumbe vitakula majumba mwisho wa dunia
Asalam Alaikum Sheikh wetu mupendwa.Sasa sheikh nina swali hapo Dhul Qarnayn unasema wazungu au kwenye bible wanamwina jina hilo mnalo lisema na kuna mwingine sheikh alisema huko nyuma kidogo kama week moja nyuma eti huyo huyo Dhul Qarnayn ndo huo mfalme Alexander the Great sasa mutufanyie utafiti wa juu mutupe maelezo sahihi asante sana
Swali zuri sana umemuuliza. Kwa kifupi Dhulqanain kwa Kiarabu maanake ni Mtu mwenye pembe mbili ( A man with two horns) na huyu fuatilia Historia zote utakuta Mfalme aliyeitwa jina hilo ni mmoja tu ambaye ni Alexander the Great (Iskandaria Mkuu). Huyu alikuwa ni Mgiriki na ndiye hasa aliteka Dunia nzima ya Ustaarabu ya wakati huo kwa muda mfupi sana na alifika hadi China huko. Huyu aliishi miaka kama 330 KK (Miaka 330 Kabla ya Kristo). Hivyo uko sahihi kabisa kuuliza swali hili na Sheikh hapo amechemka pia kwa kusema kwamba huyo Dhulqanain alikuwa ni Mwislamu maana Historia yote inafahamu kwamba Mfalme Koresh na Alexander the Great wote walikuwa na Dini zao za kipagani na wote hawa waliishi miaka mingi sana kabla ya Uislamu. Hivyo Sheikh Elimu inawezekana ni ndogo au labda anadanganya kwa makusudi.
Hapo Sheikh amechapia mazima. Halafu kali zaidi eti anadai Mfalme Koresh alikuwa ni Mwislamu na alikutana na Ibrahim. Historia yenyewe inaonesha Mfalme Koresh alianza kutawala Uajemi mwaka 539 BC (miaka 539 Kabla ya Kristo) na Uislamu ulikuja wakati wa Muhammad miaka 610 baada ya Kristo kwahio kutoka Koresh hadi Uislamu kuna tofauti ya miaka 1150 hivi. Historia pia inaonesha kwamba huyu Mfalme Koresh pamoja na kuwaruhusu Wayahudi kurudi kwao Yerusalem kujenga Hekalu la Suleiman lakini alikuwa na Dini yake ya kipagani kama Desturi ya Waajemi wote ambayo ni Dini ya Mamajusi (Zoroastrianism) ambayo inaabudu zaidi nyota. Hivyo wala hakuwa Myahudi, Mkristo wala Mwislamu. Vile vile Sheikh amechapia kusema kwamba huyo Mfalme amekutana na Ibrahim ilhali Ibrahim yeye aliishi miaka kama 2000 na zaidi kabla ya Kristo ikimaanisha kutoka Ibrahim hadi Mfalme Koresh kuna tofauti ya miaka 1500. Hivyo unaona kabisa Sheikh amechapia anachoongea.
Mimi naona ukuta wa china sio washaba w chumba rabda uwo ukuta haupo kwenye macho ya kawaida kwani ukuta wa china umejengwa kwa mawe ya kawaida na Wala sishaba Wala chuma
Hapo Sheikh amechapia mazima. Halafu kali zaidi eti anadai Mfalme Koresh alikuwa ni Mwislamu na alikutana na Ibrahim. Historia yenyewe inaonesha Mfalme Koresh alianza kutawala Uajemi mwaka 539 BC (miaka 539 Kabla ya Kristo) na Uislamu ulikuja wakati wa Muhammad miaka 610 baada ya Kristo kwahio kutoka Koresh hadi Uislamu kuna tofauti ya miaka 1150 hivi. Historia pia inaonesha kwamba huyu Mfalme Koresh pamoja na kuwaruhusu Wayahudi kurudi kwao Yerusalem kujenga Hekalu la Suleiman lakini alikuwa na Dini yake ya kipagani kama Desturi ya Waajemi wote ambayo ni Dini ya Mamajusi (Zoroastrianism) ambayo inaabudu zaidi nyota. Hivyo wala hakuwa Myahudi, Mkristo wala Mwislamu. Vile vile Sheikh amechapia kusema kwamba huyo Mfalme amekutana na Ibrahim ilhali Ibrahim yeye aliishi miaka kama 2000 na zaidi kabla ya Kristo ikimaanisha kutoka Ibrahim hadi Mfalme Koresh kuna tofauti ya miaka 1500. Hivyo unaona kabisa Sheikh amechapia anachoongea.
Hapo Sheikh amechapia mazima. Halafu kali zaidi eti anadai Mfalme Koresh alikuwa ni Mwislamu na alikutana na Ibrahim. Historia yenyewe inaonesha Mfalme Koresh alianza kutawala Uajemi mwaka 539 BC (miaka 539 Kabla ya Kristo) na Uislamu ulikuja wakati wa Muhammad miaka 610 baada ya Kristo kwahio kutoka Koresh hadi Uislamu kuna tofauti ya miaka 1150 hivi. Historia pia inaonesha kwamba huyu Mfalme Koresh pamoja na kuwaruhusu Wayahudi kurudi kwao Yerusalem kujenga Hekalu la Suleiman lakini alikuwa na Dini yake ya kipagani kama Desturi ya Waajemi wote ambayo ni Dini ya Mamajusi (Zoroastrianism) ambayo inaabudu zaidi nyota. Hivyo wala hakuwa Myahudi, Mkristo wala Mwislamu. Vile vile Sheikh amechapia kusema kwamba huyo Mfalme amekutana na Ibrahim ilhali Ibrahim yeye aliishi miaka kama 2000 na zaidi kabla ya Kristo ikimaanisha kutoka Ibrahim hadi Mfalme Koresh kuna tofauti ya miaka 1500. Hivyo unaona kabisa Sheikh amechapia anachoongea.
Individual ipo wapi? Injili inamzungumzia nani? Je anayezungumziwa na Injili kutoka katika Torati ni Shetani? Wanaosoma Elimu ya Dini ya Kikristo na Uislamu wanasoma vitabu vyote vya dini hizi mbili. Ni ruhusa kuvisoma kisha ujue ukweli mwenyewe bila kusimuliwa.
Asalam Alaikum Sheikh wetu mupendwa.Sasa sheikh nina swali hapo Dhul Qarnayn unasema wazungu au kwenye bible wanamwina jina hilo mnalo lisema na kuna mwingine sheikh alisema huko nyuma kidogo kama week moja nyuma eti huyo huyo Dhul Qarnayn ndo huo mfalme Alexander the Great sasa mutufanyie utafiti wa juu mutupe maelezo sahihi asante sana
mungu awalinde wote mnaotangaza uislamu
Masha Allah barak Allahu feek sheikh wetu
Maashalllah elimu nzuri hii
Masha Allah mungu akulinde akupe afya njema uzidi kufundisha watu
Maa shaa ALLAH 💚💚💚💚💚
MASHA ALLAH
Maa shaa allaah
Maashallah
Allah Akbar
Excellent explation.
Maa shaallah
Jazaaka lahu haira
Allahu Akbar 5:48
Mashallah que bom shekhe
Sawa
Mungu
Asalaam aleikum Sheikh Maashalah Msomi sana madini ya kemia fizikia na hesabati wewe unatisha mno
Hii ni Ghuluwi uliyofnya.Mtu kusimulia Visa tu tayr ashakuw Msomi Sana.
Kusifiwa kwa mtu kusikutie wivu, hata km sio msomi Ila sio makosa kumsifia mtu kw jitihada zake
@@user-qe8xp6ii1uhebu tuhadithie na kiss unacho fahamu tuone😂😂😂😂😂,huyu shekh amekuzidimbali sanaaaaaaaaa
Mm ni mkristo hila Shee unanijua historia
Wewe ni Mkristo usiyesoma Biblia na kufuatilia mambo kwa ufasaha. Kwa kifupi hakuna elimu kubwa hapo. Mfano anasema Dhulqanain ni Mfalme Koresh wa Waajemi halafu anadai kwamba alikuwa ni Mwislamu ilhali Dola ya Uajemi sote tunafahamu kwamba ilitawala kuanzia mwaka 539 BC (Miaka 539 kabla ya Kristo). Pia huyu Mfalme Koresh (Cyrus The Great) alikuwa anaabudu miungu ya Kiajemi na Dini yao inaitwa Mamajusi ambayo ndio Dini ya Asili ya Waajemi (Yaani watu wa Iran). Hivyo kusema kwamba alikuwa Mwislamu ni uongo maana Uislamu kwanza ulikuja wakati wa Muhammad yapata miaka 610 baada ya Kristo. Hivyo kutoka Mfalme Koresh hadi kuanzishwa kwa Uislamu kuna tofauti ya miaka 1150.
Halafu alipochemsha zaidi Sheikh ni pale anaposema kwamba Mfalme Koresh alikutana na Nabii Ibrahim. Mmmmh hiki ni kichekesho maana Ibrahim aliishi miaka mingi sana kabla ya Mfalme Koresh. Ibrahim ameishi miaka takriban 2000 kabla ya Kristo wakati Mfalme Koresh alikuwapo miaka 539 Kabla ya Kristo ikimaanisha kwamba kutoka Ibrahim hadi Koresh kuna tofauti ya miaka kama 1500 hivi. Sasa Koresh anamuonaje Ibrahim? Hahahahahahhahahahah ndugu zangu Waislamu nendeni Shule mnadanganyana sana.
Hata huo ukuta wenyewe wa China wala hajajenga Mfalme Koresh fuatilieni Historia vizuri.
Sheikh bibilia si kitabu kikatifu tusidanganyane hapo
Koran yenyewe isingekuwepo bila Biblia. Habari za Manabii kama Ibrahim, Musa na wengineo zote Muhammad alizipata kutoka kwenye Biblia baada ya kusimuliwa na Waraq ibn Naufal
Al hamndu lillah, Dah kumbe ukuta wenyewe ni ule ulio jengwa china allahu akbar nashukur kwa kulijua hilo, baarak llahu feeka,
Uongo huo kaka huo mpaka haujulikani asee soma vizuri dini hakuna mtu alie sema ni wa china
Unaongea vizur sana Mwalimu wetu asante!
Elimu kubwa sana hii
@@soilammary4211 hakuna elimu kubwa hapo. Mfano anasema Dhulqanain ni Mfalme Koresh wa Waajemi halafu anadai kwamba alikuwa ni Mwislamu ilhali Dola ya Uajemi sote tunafahamu kwamba ilitawala kuanzia mwaka 539 BC (Miaka 539 kabla ya Kristo). Pia huyu Mfalme Koresh (Cyrus The Great) alikuwa anaabudu miungu ya Kiajemi na Dini yao inaitwa Mamajusi ambayo ndio Dini ya Asili ya Waajemi (Yaani watu wa Iran). Hivyo kusema kwamba alikuwa Mwislamu ni uongo maana Uislamu kwanza ulikuja wakati wa Muhammad yapata miaka 610 baada ya Kristo. Hivyo kutoka Mfalme Koresh hadi kuanzishwa kwa Uislamu kuna tofauti ya miaka 1150.
Halafu alipochemsha zaidi Sheikh ni pale anaposema kwamba Mfalme Koresh alikutana na Nabii Ibrahim. Mmmmh hiki ni kichekesho maana Ibrahim aliishi miaka mingi sana kabla ya Mfalme Koresh. Ibrahim ameishi miaka takriban 2000 kabla ya Kristo wakati Mfalme Koresh alikuwapo miaka 539 Kabla ya Kristo ikimaanisha kwamba kutoka Ibrahim hadi Koresh kuna tofauti ya miaka kama 1500 hivi. Sasa Koresh anamuonaje Ibrahim? Hahahahahahhahahahah ndugu zangu Waislamu nendeni Shule mnadanganyana sana.
Hata huo ukuta wenyewe wa China wala hajajenga Mfalme Koresh fuatilieni Historia vizuri.
Jamani ndugu zangu waisilamu yajuj na majuj ni binadamu tusomeni elimu
Wewe ndo hauna ufahamu
Ni binadamu kivipi? hahahhahahah
Ovyooo
@@user-yv7ij4zh4k ni binadamu wametokana na kizazi cha nabii nuhu
mfatilie kwa makini Imran Hussein kuhusu elimu ya nyakati za mwisho (Islamic eschatology )th-cam.com/video/M7Ws1lcEUic/w-d-xo.html
Hapo kabisa ahmed ameifasiri kwa ufasaha
Yajuj wa majuj ni binadamu na imagine hata kwenye bibilia wametajwa kama binadamu kisha sisi waisilamu tudanganywe eti ni viumbe vitakula majumba mwisho wa dunia
Samahani pia hapo the great wall of china haikujengwa na dhul qarnain search kokote mitandaoni ni google mutaona
Soma wacha ubishi
Asalaam alaykum
Jamani naomba mwenye nayo au anae jua kui download anielekeze biidhnillah
Walaikum salaamu warahmatullahi wabarkatuhu
Vp mpk leo ujui kudownload nkufundishe?
Pole kwa kutojua ukweli
Pole wew kafiri usio elewa kitu
Hujui chochote pata elimu kwanza hii sio dini yenu ya kuzushazusha
Tupe ww uo ukweli abisai Robert
Samahan shehe ule ukuta wachina mbona haukujengwa Kwa vyuma na badalayake Kwa mawe tuu?
@@AbdulNassir-jk1jfkwani huyo ukuta ameshaga uwona
Asalam Alaikum Sheikh wetu mupendwa.Sasa sheikh nina swali hapo Dhul Qarnayn unasema wazungu au kwenye bible wanamwina jina hilo mnalo lisema na kuna mwingine sheikh alisema huko nyuma kidogo kama week moja nyuma eti huyo huyo Dhul Qarnayn ndo huo mfalme Alexander the Great sasa mutufanyie utafiti wa juu mutupe maelezo sahihi asante sana
Nasubiri wakujibu
Jibu gani unalosubiri nakila kitu kinajibu lake hapo anaposema nakusoma Qr,an
Ndio huyo huyo
Swali zuri sana umemuuliza. Kwa kifupi Dhulqanain kwa Kiarabu maanake ni Mtu mwenye pembe mbili ( A man with two horns) na huyu fuatilia Historia zote utakuta Mfalme aliyeitwa jina hilo ni mmoja tu ambaye ni Alexander the Great (Iskandaria Mkuu). Huyu alikuwa ni Mgiriki na ndiye hasa aliteka Dunia nzima ya Ustaarabu ya wakati huo kwa muda mfupi sana na alifika hadi China huko. Huyu aliishi miaka kama 330 KK (Miaka 330 Kabla ya Kristo). Hivyo uko sahihi kabisa kuuliza swali hili na Sheikh hapo amechemka pia kwa kusema kwamba huyo Dhulqanain alikuwa ni Mwislamu maana Historia yote inafahamu kwamba Mfalme Koresh na Alexander the Great wote walikuwa na Dini zao za kipagani na wote hawa waliishi miaka mingi sana kabla ya Uislamu. Hivyo Sheikh Elimu inawezekana ni ndogo au labda anadanganya kwa makusudi.
Wacheni zenu jamaa Alexander the great si dhul qarnain na zaidi ALLAHU YAALAM
Kuhusu hapo kwenye ukuta wa great wall of china hapo nakataa...
Tupe wewe habari ya ukuta huo
Hapo Sheikh amechapia mazima. Halafu kali zaidi eti anadai Mfalme Koresh alikuwa ni Mwislamu na alikutana na Ibrahim. Historia yenyewe inaonesha Mfalme Koresh alianza kutawala Uajemi mwaka 539 BC (miaka 539 Kabla ya Kristo) na Uislamu ulikuja wakati wa Muhammad miaka 610 baada ya Kristo kwahio kutoka Koresh hadi Uislamu kuna tofauti ya miaka 1150 hivi. Historia pia inaonesha kwamba huyu Mfalme Koresh pamoja na kuwaruhusu Wayahudi kurudi kwao Yerusalem kujenga Hekalu la Suleiman lakini alikuwa na Dini yake ya kipagani kama Desturi ya Waajemi wote ambayo ni Dini ya Mamajusi (Zoroastrianism) ambayo inaabudu zaidi nyota. Hivyo wala hakuwa Myahudi, Mkristo wala Mwislamu. Vile vile Sheikh amechapia kusema kwamba huyo Mfalme amekutana na Ibrahim ilhali Ibrahim yeye aliishi miaka kama 2000 na zaidi kabla ya Kristo ikimaanisha kutoka Ibrahim hadi Mfalme Koresh kuna tofauti ya miaka 1500. Hivyo unaona kabisa Sheikh amechapia anachoongea.
sikiliza ufafanuzi wa shekh Imran Hussain juu ya dhurkarnain utafunguka akili
Sheikh Bible si kitabu takatifu bali kitabu potofu ingili ndio kitabu takatifu
Sahihi nakubaliana na ww
Yaweza kuwa sio makusudi yke bal amepitiwa tu
Mungu amsamehe hajakusudia kimantic...bible ni kitabu mavi ni ushenzi mtupu uliomo
@@cath-ef7wd 😂
@@RachidMassud10 😂😂😂😂
Aaaaaa Sheikh Wang ulim hauna mfupa "" Bibilia sio kitabu kitakatifu""
Mimi naona ukuta wa china sio washaba w chumba rabda uwo ukuta haupo kwenye macho ya kawaida kwani ukuta wa china umejengwa kwa mawe ya kawaida na Wala sishaba Wala chuma
Xaxa Quran kitakuaje kitabu takatifu wkt kimetoke kwenye torati na injili alafu leo mnasema kimeshushwa Quran nikopi kutoka kwa kristo
We jamaa biblia ni maandiko matakatifu Kama hutaki kaa hivo Ivo shehe kataja we unabisha
Hapo Sheikh amechapia mazima. Halafu kali zaidi eti anadai Mfalme Koresh alikuwa ni Mwislamu na alikutana na Ibrahim. Historia yenyewe inaonesha Mfalme Koresh alianza kutawala Uajemi mwaka 539 BC (miaka 539 Kabla ya Kristo) na Uislamu ulikuja wakati wa Muhammad miaka 610 baada ya Kristo kwahio kutoka Koresh hadi Uislamu kuna tofauti ya miaka 1150 hivi. Historia pia inaonesha kwamba huyu Mfalme Koresh pamoja na kuwaruhusu Wayahudi kurudi kwao Yerusalem kujenga Hekalu la Suleiman lakini alikuwa na Dini yake ya kipagani kama Desturi ya Waajemi wote ambayo ni Dini ya Mamajusi (Zoroastrianism) ambayo inaabudu zaidi nyota. Hivyo wala hakuwa Myahudi, Mkristo wala Mwislamu. Vile vile Sheikh amechapia kusema kwamba huyo Mfalme amekutana na Ibrahim ilhali Ibrahim yeye aliishi miaka kama 2000 na zaidi kabla ya Kristo ikimaanisha kutoka Ibrahim hadi Mfalme Koresh kuna tofauti ya miaka 1500. Hivyo unaona kabisa Sheikh amechapia anachoongea.
Bibilia umekufuru hapo Bibilia ni kitabu cha shetani omba istighfari kwa Allah matamshi uliyosema umepotosha jamii kusifu Bibilia
hacha ujinga ww ukikosa cha kusema ni vzur pia ukikaa kmya kulko kuropoka
We unaongea kanakwamba ndio umeandika Bible vp ulikuwa pamoja na shetan au
Hapo Sheikh amechapia mazima. Halafu kali zaidi eti anadai Mfalme Koresh alikuwa ni Mwislamu na alikutana na Ibrahim. Historia yenyewe inaonesha Mfalme Koresh alianza kutawala Uajemi mwaka 539 BC (miaka 539 Kabla ya Kristo) na Uislamu ulikuja wakati wa Muhammad miaka 610 baada ya Kristo kwahio kutoka Koresh hadi Uislamu kuna tofauti ya miaka 1150 hivi. Historia pia inaonesha kwamba huyu Mfalme Koresh pamoja na kuwaruhusu Wayahudi kurudi kwao Yerusalem kujenga Hekalu la Suleiman lakini alikuwa na Dini yake ya kipagani kama Desturi ya Waajemi wote ambayo ni Dini ya Mamajusi (Zoroastrianism) ambayo inaabudu zaidi nyota. Hivyo wala hakuwa Myahudi, Mkristo wala Mwislamu. Vile vile Sheikh amechapia kusema kwamba huyo Mfalme amekutana na Ibrahim ilhali Ibrahim yeye aliishi miaka kama 2000 na zaidi kabla ya Kristo ikimaanisha kutoka Ibrahim hadi Mfalme Koresh kuna tofauti ya miaka 1500. Hivyo unaona kabisa Sheikh amechapia anachoongea.
Individual ipo wapi? Injili inamzungumzia nani? Je anayezungumziwa na Injili kutoka katika Torati ni Shetani? Wanaosoma Elimu ya Dini ya Kikristo na Uislamu wanasoma vitabu vyote vya dini hizi mbili. Ni ruhusa kuvisoma kisha ujue ukweli mwenyewe bila kusimuliwa.
Asalam Alaikum Sheikh wetu mupendwa.Sasa sheikh nina swali hapo Dhul Qarnayn unasema wazungu au kwenye bible wanamwina jina hilo mnalo lisema na kuna mwingine sheikh alisema huko nyuma kidogo kama week moja nyuma eti huyo huyo Dhul Qarnayn ndo huo mfalme Alexander the Great sasa mutufanyie utafiti wa juu mutupe maelezo sahihi asante sana
Hata mie nishawahi kusikia hivyo
Uyo shekhe anachanganya mada.
Uyu shekhe anawapiga watu kamba.duh.
Yupo sahihi Mbona ila wewe hujaelewa kasema mbona
@@khaalidcheo5383ukweli upoje?
Lete tuusikie