MKASA WA BINTI ZUWENA INASIKITISHA AFUNGUKA KUAMBUKIZWA VIRUSI VYA UKIMWI (VVU) INAUMA SANA.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ก.พ. 2024
  • FUATILIA MKASA WA BINTI ZUWENA NA SAKATA LA KUJIUZA AKIWA KATIKA UMRI MDOGO KWA MATEGEMEO YA KUFANIKIWA KIMAISHA.

ความคิดเห็น • 192

  • @NajmaRamadhan-ig2cw
    @NajmaRamadhan-ig2cw 4 หลายเดือนก่อน +13

    mungu atakusaidia mdogo wangu maisha ni kujituma usipo jituma utatumwa kama unamuamini mungu yupo gonga like zako hapaa🫧🫧🫧👌🏼🙏

  • @user-ur2wj6td5r
    @user-ur2wj6td5r 4 หลายเดือนก่อน +11

    Wajnaaaa Allah akufanyie wapes my dear nipo tanga nataman siku moja nikuone nami nikusaport kwanilichokuwa nacho muhim sana na natamani sana nikuone wallah mi pia naitwa Zuwena kwahiyo mimi na wewe ni mtu na somo yake❤❤❤❤❤

  • @mankaminja683
    @mankaminja683 3 หลายเดือนก่อน +4

    Very impressive smile...Mungu akutangulie mpendwa.

  • @user-zq5ld5px6u
    @user-zq5ld5px6u 16 วันที่ผ่านมา +1

    nashida na nambaa ya simu....... Pole sana,, Mungu aendelee kukuepusha na kukusimamia

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg 3 หลายเดือนก่อน +8

    Watu wanao smile muda wote wanapitiaga magumu sana maishani 😢

    • @user-pp9mp1pz9f
      @user-pp9mp1pz9f 27 วันที่ผ่านมา

      Wallah ni kweli

    • @josephemmanuel388
      @josephemmanuel388 9 วันที่ผ่านมา +1

      Kweli ata kwa wanaume ivyo ivyo.

    • @AishaHaji-jn7sg
      @AishaHaji-jn7sg 9 วันที่ผ่านมา

      @@josephemmanuel388 pole mungu afanye wepesi kwenye magumu yako
      🫂

  • @IbrahimKisuka
    @IbrahimKisuka หลายเดือนก่อน +2

    Mwenyezi mungu atakubadilisha mpendwa

  • @Alan-e1o
    @Alan-e1o ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mimi nimependa sana huyu dada awemkewangu kama ataweza kutoka kenya

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 4 หลายเดือนก่อน +4

    Allah akujaalie kila lenye kheir na akuepushe na huo uovu uendelee kufnya kaz yenye kumpendeza Mungu

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 3 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana haukopokeyako mpakamastar wetu baadhi Yao unaowajua wengi wao wameathirika mpenzi Sema kwavile wewe ni mdogo lakini muombe mungu tuu naundelee kunywa hizo dawa na usirudi kule tena love you❤❤❤❤

  • @htx1873
    @htx1873 4 หลายเดือนก่อน +4

    Damn hii ni hatari sana , serikali yetu inabidi iwe makini maana vidonge sikuhizi viko vya madawa ya kulevya, yani watu wengi wanakuja kutoka nje kuja kuharibu maisha ya watanzania wenzetu especially vijana wadogo.

  • @josephmchila6467
    @josephmchila6467 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nakuombea sana mdogo wangu, brilliant girl

  • @zainabramadhani9838
    @zainabramadhani9838 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mwenyezi Mungu akutie nguvu dear pole saana

  • @FloraComores-xe3uo
    @FloraComores-xe3uo 4 หลายเดือนก่อน +3

    ❤❤❤❤ honger san zuwena Allah akusaindie

  • @ashatwalib2106
    @ashatwalib2106 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akufnyie wepesi mdgo wangu n maisha tu kama ulivyosema hpo mwanzo❤❤❤

  • @theresiamwarabu2411
    @theresiamwarabu2411 4 หลายเดือนก่อน +4

    MUNGU akiamua kumtoa mwanae haangalii alipotoka….MUNGU aendlee kumtengenez pia apate watu wa kumsupport 🤲

    • @fatmahmuhamad7301
      @fatmahmuhamad7301 4 หลายเดือนก่อน

      Aamiin yaa rabbi

    • @allyabdallah7080
      @allyabdallah7080 4 หลายเดือนก่อน

      Mungu hana mtoto , hajazaa wala hajazaliwa

    • @theresiamwarabu2411
      @theresiamwarabu2411 4 หลายเดือนก่อน

      @@allyabdallah7080 pole kwa kukosa maarifa 🤣🤣🤣 anza kusoma vitabu vya dini vyema

  • @zainabramadhani9838
    @zainabramadhani9838 4 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu akutie nguvu huu ugonjwa ni mzunguko mtu kama katembea na watu zaidi ya mia na wengine ni waume za watu uwiiiii je wanawake kwenye ndoa watasalimina ni kumuomba Mungu tu atunusuru na huu ugonjwa pole saana Bado mzuri na ni dada mrembo

    • @thestoryteller212
      @thestoryteller212 3 วันที่ผ่านมา

      hana Huo ugonjwa amesema watu wa media wameongeza chumvi

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz6956 4 หลายเดือนก่อน +2

    Anaakili sana huyu mtoto...Mungu amsimamie tu

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny 4 หลายเดือนก่อน +3

    Allah atakusinamie uiogope kuchekwa wala kusemwa kikubwa kunywa Dawa zako kwa mpangilio ukimwi sio mwisho wa Life,usiigope kwa kuvunjwa nguvu,ila ushauri wangu usirud kulala na wanaume utaona maendeleo ya afya yako 🙏

    • @samiahsalum3464
      @samiahsalum3464 4 หลายเดือนก่อน

      Hana virus

    • @belak999
      @belak999 4 หลายเดือนก่อน

      Umsikiliza au umejiandikia tu

  • @RedmiNote-wv6cn
    @RedmiNote-wv6cn 4 หลายเดือนก่อน +5

    MashaAllah ❤❤zuena

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 4 หลายเดือนก่อน +3

    Uyo mdada anajielewa haijalishi anapitia changamoto gan lkn akiwezeshwa anafanya vzr.maisha ya kujiuza Yana hatari sana ,kwa vile kesha amua kutoka bac tumchangie weken no yenu kusudi chochote mwenye nacho bac amsaidie

  • @MichaelNoah-rb4qh
    @MichaelNoah-rb4qh 3 วันที่ผ่านมา

    Mungu akuinue

  • @naimanimo4925
    @naimanimo4925 4 หลายเดือนก่อน +1

    Masha Allah she has a good smile Allah guides who he loves

  • @makiemndasha1281
    @makiemndasha1281 4 หลายเดือนก่อน +3

    She’s so pretty

  • @user-jw6jv9yy5d
    @user-jw6jv9yy5d 4 หลายเดือนก่อน +6

    Huyu dada atafanikiwa sana kwny maisha kwsbb .anajielewa sana.na akubariana na mabadiriko,ni watu wachache sana wenye hiyo akiri,including umri wake,tunaiomba serikali iwaangalie watu kama hawa kwa maslahi mapana ya ustawi wa nchi.umri wake bado mdogo

  • @mtaalamwamambo2099
    @mtaalamwamambo2099 4 หลายเดือนก่อน +10

    Shishi food ajaye🎉

  • @user-wg1nz5ms2n
    @user-wg1nz5ms2n 2 วันที่ผ่านมา

    Anza taratibu dear biashara huwa inakua taratibu mdogo wangu

  • @verokasongo9717
    @verokasongo9717 4 หลายเดือนก่อน +1

    Super proud of you petite ❤❤

  • @user-pb8ns7jp7x
    @user-pb8ns7jp7x 4 หลายเดือนก่อน +4

    Mola akufanyie wepesi mdogo angu

  • @ApsaraaomaryOmary-ge7df
    @ApsaraaomaryOmary-ge7df หลายเดือนก่อน

    Nimekupenda sana mungu akulinde sana

  • @AdejaAhmad-uq4wj
    @AdejaAhmad-uq4wj 11 วันที่ผ่านมา

    Pole dada allah akufanyie wepesi inshallah

  • @yohanemwanzalima2777
    @yohanemwanzalima2777 11 วันที่ผ่านมา

    Nakukubali sana unavyojiamin mdogo wangu tangu nianze kukufatilia

  • @troikatanzania1149
    @troikatanzania1149 4 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂😂😂mi bado nko na wanangu wa kucheka😂😂🎉🎉🎉🎉nahc mmenielewa😂😂

  • @user-ng7fi7nl2r
    @user-ng7fi7nl2r 4 หลายเดือนก่อน +3

    Anatakiwa apewe daawa ili allah amzinduwe zaidi ayò aliyokuwa anayafa niushetani wahali yajuu

  • @Captain_film
    @Captain_film 4 หลายเดือนก่อน +1

    Leo ana ongea kistarabuu sanaa😊

  • @amissijames1468
    @amissijames1468 4 หลายเดือนก่อน +2

    Very intelligent girl. Mwenyezi Mungu ata ku sahidiya Dada yangu mdogo

  • @ApsaraaomaryOmary-ge7df
    @ApsaraaomaryOmary-ge7df หลายเดือนก่อน

    Pole sana mdogoangu mungu yupo pamoja nawe

  • @samiahsalum3464
    @samiahsalum3464 4 หลายเดือนก่อน

    Allah akutie wepesi mdgwang inshallah

  • @user-so7cn5os2q
    @user-so7cn5os2q 4 หลายเดือนก่อน

    Maashallha kumbe nimzuri ila shida tuu ndio ilio mbadilisha

  • @user-qt9jr5zl9l
    @user-qt9jr5zl9l 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu atakusaidia zuena

  • @ShamsaAbasi
    @ShamsaAbasi 3 หลายเดือนก่อน

    Asanty mungu kwakumtoa huko anllah akufanyie wesi

  • @allyadam7355
    @allyadam7355 4 หลายเดือนก่อน +5

    Allah tunakuomb nusra ako

  • @fidonsostenes
    @fidonsostenes 4 หลายเดือนก่อน +4

    Alafu mbona kuna dada mwingine mlimuhoji akasema ndg zake wamemuona na wamekuja kumchukua😢

    • @mariamkibindo1741
      @mariamkibindo1741 4 หลายเดือนก่อน +1

      Yule aliona mwenzie atapata msaada Sasa kaona wivu

  • @originalamani4193
    @originalamani4193 2 หลายเดือนก่อน +1

    Jaman mrembo sana❤

  • @user-he7ht6mj4f
    @user-he7ht6mj4f 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akusaidie daa

  • @user-do4mn4wb7p
    @user-do4mn4wb7p 3 หลายเดือนก่อน

    Najikuta nakupenda bure❤

  • @akramissa3393
    @akramissa3393 4 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu Dogo anajitambua, shida na ziki zimemfikisha hapo alipofika. Mtangazaji mlitakiwa hapo muweke lipa namba mumfungulie ili mwenyekuweza kumumtumia amtumie isiwe namba yake ya simu. Inshalaah Mungu amfanyie wepesi. Ogopa sana umasikini🙏

    • @ShamsaAbasi
      @ShamsaAbasi 3 หลายเดือนก่อน

      Kwakucheka mashalah

  • @Laizer3
    @Laizer3 5 วันที่ผ่านมา

    WANAWAKE SHIDA NI TAMAA NA WANAINGIZANA KWENYE TABIA ZA KUUZA MWILI ,MWISHOWE WANAUNGUA .

  • @rahmaabdallah8796
    @rahmaabdallah8796 หลายเดือนก่อน

    Inshallah utatoboa kwasababu ni jasiri😊

  • @bokomapesa
    @bokomapesa 5 วันที่ผ่านมา

    Sasa kama Ana virusi vya ukimwi mbona Ana uzaa mwili kuuwa wengine achaa umaraya mtoto mdogo Ana uza kababu😅😅😅😅

  • @user-wg1nz5ms2n
    @user-wg1nz5ms2n 2 วันที่ผ่านมา

    Nimekupenda bure

  • @RazakiMmalinda-rl3ej
    @RazakiMmalinda-rl3ej 3 หลายเดือนก่อน

    Daah atimaye mungu amekutoa kwenye ile kazi ya haramu😔🦅

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 4 หลายเดือนก่อน +2

    Atafutiwe na mchumba vinginevyo atarudi. 😂😂kuna hela za haraka

    • @Heartbrown1
      @Heartbrown1 16 วันที่ผ่านมา

      mm nishajitokeza nimuoe

  • @sulegogo9790
    @sulegogo9790 3 หลายเดือนก่อน +1

    😢😢

  • @nigananurunjema
    @nigananurunjema 4 หลายเดือนก่อน +1

    Umefanya uamuzi mzuri. Hongera sana kwa kuamua kuacha tabia chafu. Hongera Zuwena.

  • @maombitereza
    @maombitereza 4 หลายเดือนก่อน +2

    vipi kuhusu huyo mama kwa interview yengine anae fanya kazi ya kujiuza ina endelea vipi naye

  • @user-wg1nz5ms2n
    @user-wg1nz5ms2n 2 วันที่ผ่านมา

    Namba ya simu naeza kusapoti kiasi

  • @user-ju4it2lu1t
    @user-ju4it2lu1t 4 หลายเดือนก่อน +5

    zuwena anajiamini na huyu kwajinsi anavyojiamin huyu demu anakitu kikubwa zaidi ya ichi watu wanachokiona kwenye macho ya kawaida....hata nyinyi wenye hii channel inabidi mdili nae sana huyu dogo mnamsaidia lkn atawasaidia pia

    • @dikakimishawasumbwahalisit7596
      @dikakimishawasumbwahalisit7596 2 หลายเดือนก่อน

      Mzoea kunyonga
      Hivi wewe mtu awe na kitu aingize 50000 kwa siku afu hawezi kufungua hata genge la nyanya watu wenye kitu wanapiga kazi huko mwisho wa Fikra zake ni kuuza mwili na ogopa mazoea

  • @poulmbogo1770
    @poulmbogo1770 4 หลายเดือนก่อน +5

    Hay mliopiga peku saiv huko mliko parapanda inalia masikionk

    • @itanzaniaAS
      @itanzaniaAS 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @saadboss5783
      @saadboss5783 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 Qmmmmk

    • @veronicanestory1662
      @veronicanestory1662 4 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂😂😂 nimecheka kaa mazuri ila watu mna maneno

  • @ABUU961
    @ABUU961 4 หลายเดือนก่อน +6

    Uongo mtupu hakuna cha ukweli kabisa hapo inaonekana kabisa ni story ya kupanga😂

    • @Hajer-be2kh
      @Hajer-be2kh 4 หลายเดือนก่อน

      Pangeni na nyie km rahis😏

    • @AsmaKaskas
      @AsmaKaskas 3 หลายเดือนก่อน

      Atengeneze story ili iweje ucpojifunza usijifunze si lzm

    • @ABUU961
      @ABUU961 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

    • @ABUU961
      @ABUU961 3 หลายเดือนก่อน

      Kiukweli inachekesha sana story yenu inabidi mkae chini kama miezi 3 au 2 mpange vizuri Ili Watu wajue ni true story kumbe ni ujanja ujanja maana hapo inaonesha kabisa ni mipango ivi ukimwi unaujua wewe

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 9 วันที่ผ่านมา

      ​@@ABUU961kabisa kapangwa

  • @user-xd5ho6jp1s
    @user-xd5ho6jp1s 2 หลายเดือนก่อน +1

    Na ni karembo mnoo!

  • @EmanueliKarolii8660
    @EmanueliKarolii8660 หลายเดือนก่อน

    Anapenda kula sana ndoomana anapenda mamantirie 😂

  • @batakakutikuti5026
    @batakakutikuti5026 4 หลายเดือนก่อน +4

    Umezidi kumjaj huyo dada we kaka vip

    • @priscamhando3818
      @priscamhando3818 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

    • @KhadijaMiteya-hh8xl
      @KhadijaMiteya-hh8xl 10 วันที่ผ่านมา

      Ulitaka afanyaje? Nyie ndio watenda dhambi fyuuu.

  • @amissijames1468
    @amissijames1468 4 หลายเดือนก่อน +2

    Na hii sura yako, mtoto wa Kigoma kabisa.

  • @user-gh2yh4zq5e
    @user-gh2yh4zq5e 4 หลายเดือนก่อน

    Pole mdogo wangu jee ukipata wa kukuoa utapenda😊

  • @user-ni1sr7ly9w
    @user-ni1sr7ly9w 4 หลายเดือนก่อน

    Mm nitumiye namba zako umo nikupatie chochote❤❤

  • @timothytalemwa9206
    @timothytalemwa9206 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona umedanganya kwamba kaambukizwa wakati yuko Salama?

  • @kungwi_og
    @kungwi_og 3 หลายเดือนก่อน

    Nashidq na nambaa

  • @user-qz5yh1dl1n
    @user-qz5yh1dl1n 4 หลายเดือนก่อน +1

    Maswali ya kuuliza hana mtangazaji vp mbona unaferi mkuu

  • @venusmapesa5829
    @venusmapesa5829 2 หลายเดือนก่อน

    Playbill niko 254

  • @user-gy8no9js2u
    @user-gy8no9js2u 3 หลายเดือนก่อน

    Vidonge vinaitwa prep

  • @naomipaul8984
    @naomipaul8984 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana Zuwena

  • @issarwambo4355
    @issarwambo4355 4 หลายเดือนก่อน +6

    Naomba namba zake pleaseee

  • @MomadeMudimoz70-cs2ud
    @MomadeMudimoz70-cs2ud หลายเดือนก่อน

    😭😭😭😭😭😥😥😥🙏🙏🙏

  • @amissijames1468
    @amissijames1468 4 หลายเดือนก่อน +2

    Meza na frame ni pesa ngapi kwani

  • @user-ot5us9mz9w
    @user-ot5us9mz9w 3 หลายเดือนก่อน

    Mmmmh

  • @RehamAlmamari
    @RehamAlmamari 2 หลายเดือนก่อน

    mmmmh jmn zuwenaa wazile nyakat 😁😁😂😂

  • @shakilaburhan9552
    @shakilaburhan9552 4 หลายเดือนก่อน

    Sikilizeni mpaka mwisho

  • @AllyRamadhan-nu2sn
    @AllyRamadhan-nu2sn 2 หลายเดือนก่อน

    Kwani anaishi wapi

  • @user-gg2yf3zl3l
    @user-gg2yf3zl3l 4 หลายเดือนก่อน

    HII NCHI MUHIMU BANDO BASSS UTAONA MENGI SANA MADADA MARA KASAIDIWA KICK HIZIII 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @glorybrayankessi7002
    @glorybrayankessi7002 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nampenda alivo natabasamu muda wote. MUNGU amtimizie haja za moyo wake

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 4 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu ni mwizi kama wezi wengine! Achaneni naye afanye yake

    • @belak999
      @belak999 4 หลายเดือนก่อน +2

      Acha roho mbayaaa

  • @exprodigitaltechtv5571
    @exprodigitaltechtv5571 4 หลายเดือนก่อน

    biashara yake ipo wapi hapa mjini tukamsuport hata kunywa supu tu🤣

  • @saidsalum523
    @saidsalum523 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mimi bado sjaamini kama wanaigiza,,nawadhania mema,,huyu mtoto namuombea kwa Allah awe na maisha mazuri,apate kipato kikubwa cha halali na awe mcha Mungu.

  • @Heartbrown1
    @Heartbrown1 16 วันที่ผ่านมา

    munizesh mm niko tayr kuoa uyo

  • @hafidhissa4405
    @hafidhissa4405 4 หลายเดือนก่อน +3

    Kafanana na Alikiba😮

    • @Zuu673
      @Zuu673 4 หลายเดือนก่อน

      Mmh makengeza😂😂

  • @ChristinaMalechela
    @ChristinaMalechela 2 หลายเดือนก่อน

    Zuwena unapatika wapi mdog angu

  • @user-nu3oz2ub9s
    @user-nu3oz2ub9s 4 หลายเดือนก่อน +10

    Nyie mnaohisi wanatunga story hamjaona interview ya kwanza, hebu angalieni interview ya kwanza hapo ndomtajua ni ukweli au niuongo, huyo binti alikutwa eneo tatanishi kabisa, wale wanaopangwa kama nyinyi mnavohisi huwa interview zao zinaanzia chumbani na zinaishia chumbani.

  • @suzanalyoto6901
    @suzanalyoto6901 2 หลายเดือนก่อน

    Wekeni namba yake

  • @benardambetsa7642
    @benardambetsa7642 3 หลายเดือนก่อน

    Niko kenya naweza wasiliana aje na zuena

  • @LenatusPosiano-hi7tk
    @LenatusPosiano-hi7tk 4 หลายเดือนก่อน +2

    Naomba namba Yako Mimi nimekupenda

    • @abuuissa1642
      @abuuissa1642 หลายเดือนก่อน

      Badili dini kwanza

  • @GerladSimon-me3sc
    @GerladSimon-me3sc 9 วันที่ผ่านมา

    Amepanga?

  • @fintanifelix1680
    @fintanifelix1680 3 หลายเดือนก่อน

    Zuena kanafulaisha adi laha

  • @HappyBlueLake-ts5uw
    @HappyBlueLake-ts5uw 3 หลายเดือนก่อน

    Naombeni namba ya huyo binti nimuoe Niko siliazi kabisa

  • @annamussa185
    @annamussa185 4 หลายเดือนก่อน +3

    Hivyo vidonge vinaitwa pep vinazuia maambukizi ya ukimwi yani kama hayajapita maasaa 72 na uli sex na mtu mwenye vvu au kujeruhiwa na mtu mwenye vvu vinakukinga usipate maambukizi ndani ya masaa 72

  • @MrNdanguza
    @MrNdanguza 4 หลายเดือนก่อน

    Inabidi selekali iangalie vipindi kama hivi ila wajaribu kusaidia watoto wetu , ku create kazi ndogo ndogo za kusaidia hawa watoto ,la sivyo ukimwi utakuja kuwa mwingi sana ,mwisho wa siku itakua vigumu kuuzuia 😢 .

  • @user-gh2yh4zq5e
    @user-gh2yh4zq5e 4 หลายเดือนก่อน

    Kama uko serious hebu toa namba ya baba Yako tutoe mahar kwenu

  • @eddiebilly3475
    @eddiebilly3475 หลายเดือนก่อน

    Naombeni namba zake

  • @user-lj5ll3og7s
    @user-lj5ll3og7s 4 หลายเดือนก่อน

    Pole sana zuwena mungu atakusaidia

  • @Mariammashaury-cl5uz
    @Mariammashaury-cl5uz 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akusaidie ueshim maamuzi yako

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum9030 4 หลายเดือนก่อน +2

    Toba yaarabi