Hello, napenda saana ulicokifanya dada yangu maana kuliko kukata tamaa katika maisha sivizuli nawakati uko hayi pia hata mimi hapa nilipo naitaji wakuniowa ndoa yangu pekee ila sijapata, pia sijakataa tama mungu yupo tuu pia nakuombea mibaraka mingi kutoka kwa mungu asante
Kwa kweli huyu dada Amefanya Anachokipenda vizuri sana.ILA DADA MIMI NAKUSHAULI SANA SUGUA GOTI MUNGU ATAKUPA MUME KUWA SEROUS KUOMBA KMA ULIVYOVAA NGUO ZA HARUSII NA BANGO PIA FUNGA MUNGU ATAKUPAA TUU.
Kweli walimwegu balaa katika karne hizi na ukweli ndio nguzo ya ukweli je kauli za fanana na mwanzo? Na msema kweli ni mpenzi wa mungu ,je muongo ni mpenzi wa nani?
Nakutakia kila la kheri Mwenyezi Mungu akusaidie akutawale akuongose akupikanie akushindie akuweseshe vyema kwa yote katika Jina La YESU KRISTO Aliye Bwana na Mwokozi wetu amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Duh!!! Uyu dada hanatuzaririsha jamani, na hawezi kuorewa kwa sitairi hiyo maaana nimuongo Sana Mara kasema anausichana na reo anasema nimama was watoto wawiri duh!!! wamwangarie uchizi ndo unaanzaga hivyo
MNAAMBIWA MUOLEWE MKE WA TATU mnajifanya wajanja aya ww umejitokeza ivi unazani wanawake wangapi hawana mume oleweni uke wenza maana wanawake ni wengi mara nne ya wanaume
Huyu muongo anatafuta kujulikana ,,hii Ni njia ya kutokea haingii akilini ,,Halafu ukiwa muongo uwe na kumbukumbu ,sema unatangaza biashara zake,,Mara useme we bikra,Mara we Ni mama una mtoto mmoja,,Sasa Leo una watoto 2 acha kutuchanganya dada Kama Kiki umeshapata inatosha
Jamani uyu mtuu anatuzungusha kuna interview aliyo fanya na kaka umoja akasema yeye ni bikra nabado anatunz ubikra wake leo ten ni maman Ivi kweli upoo serious na ndoa ama ni zile drama zenu wabongo hamuishi drama nyie adi munakera 😂😂
Nakuombea dua sna upate mwanaume sahihi. Usijali ya walimwengu unayoitafta ni kher..
uko sawa bora uwe wataka wandoa mueke mungu mbele utapata my
Hello, napenda saana ulicokifanya dada yangu maana kuliko kukata tamaa katika maisha sivizuli nawakati uko hayi pia hata mimi hapa nilipo naitaji wakuniowa ndoa yangu pekee ila sijapata, pia sijakataa tama mungu yupo tuu pia nakuombea mibaraka mingi kutoka kwa mungu asante
Semesha ukweli nikupe namba
Yuko serious au anazingua.... Mm ninataka mke kweli and she is beautuful
Mungu akufanyie wepesi katika jambo la kheli mungu akufanyie wepesi upate mume mwema 🙏🙏🤝🤝🤝💞💞💞
Wewe ni dada mkakamavu. Nakutakia kila la heri
Ahahaha! nimecheka kwa sauti
Kwa kweli huyu dada Amefanya Anachokipenda vizuri sana.ILA DADA MIMI NAKUSHAULI SANA SUGUA GOTI MUNGU ATAKUPA MUME KUWA SEROUS KUOMBA KMA ULIVYOVAA NGUO ZA HARUSII NA BANGO PIA FUNGA MUNGU ATAKUPAA TUU.
Dada huko vizuri japo kunawanataka kutokukuelewa.una ujasiri mkubwa.huko sahihi kabisa.
Sana best tumwambie ukweli wapo wanaotamani hivyo hawawezi yupo sahihi cjaona kosa
dada mzuri mashalah
Mtangazaji una sauti nzuri mashallah your are beautiful
Afu kumbe dishi liko Sawa kbs.... Ndo kashakuwa 🌟 😝
Hahahahaha! ! ! ulijua dishi limeyumba 😆😆😆
Mtangazaji nimekupenda uko vzr
Akipatikana wa ziada mlete na hukuu,🤣🤣🤣
Mumee au ataa mpnz best
@@najmsogwa4236 nataniaa😜😜😜
Nipo hapa naitwa Leonard Barnaba Nina miaka22 nasoma chuo nipo dar es salaam
Wahehe waaminifu sana, ila ukiwakera ohooooo
@@bakoramusa7129 kabisa ndimhehe mbifile
Aaaaaa sasa si ulisema upo bikra wew awo watot ten vip
Ayo ndio alikuwa anayataka akuna cha ndoa wala ndoro hapo kiki tu😂
Hatari na Nusu
Marayaaa aliyechoka maishaaa huyo sasa wanaume 30,haaaa hapo jua 30mara 2=60 ndo wanaume aliyo lala nao
Upon vizuri,Dada bora wewe unayetafuta mume kuliko kudanga
Aende Mkoani anapata safi tu
KUMBE UNAJUA MPAKA STORI YA ESTA .BASI SALI KWA NGUVU MAANA ESTA ALIFUNGA NA MAOMBI NA WANAWAIZLAELI NA WEW FUNGA NA WANAMAOMBI
Nasubiri namba ya simu!! Huyu ni wangu
Lete namba inbox kama kweli
Na je ukija kupata kama uyo ulie achana nae maan wanaume tunafana
Ila km, zako zimeenda! Mtoto uliezaa ana miaka 12! Duuuuhhhh! Unatisha! Unaonekana umeshakutana na makubwa mengi!
Kazi kwelili😅😅
Hivi k mziwanda ni me au ke ?
Mtangazaji unanifurahisha sana ila tu tukienda kule kwa watan wa jadi huwa unaniudhiiiiiii😂
😂😂😂😂mtaniiiiiiiiiiiii poleeeee
@@aloycemolelli4580 ✔
We limama una miaka mingap
We dada nomaaa
Kumbe anamume
Kama upo tayari kuwa mke wa pili njoo inbox
Mwaambie Kama unacho Cha kusalti kukupa kitu kimoja nisikie kama anayenipenda Sana sawa bila kukosa kusimamia upendo mkubwa
Nikawaida ata Uganda wanaeda kwegne tv kutafuta mum
Mimi nko tayari
Maamuziyako ni maturité nakutaki umupate même anaekufaa
Alikua ana taka kujuli kana kumbe ana salun
Jamani kiama kimefika.huyu dada karogwa
Mama huyo so mkweli alisema yeye ni bkira hao watoto afafanue aliwazaaje?
Unazingua sana we mdada
Mpumbavu sana hizo ni kiki za mitandaoni wanaume hawawezi kukupenda unasema kama kasuku
Mama Mimi nitakuoa naomba namba zako umri wangu miaka 50
Huyu Dada dishi limeyumba kila mahojiano anasema tofaut
Aliwai kusema hujawai kuwa na mwanaume
Akasema ana mtoto mmoja
Leo tena ana watoto 2
Kweli kabisaa aeleweki mara sijawai kua namausiano mara Leo anawatoto wawili anatafuta kiki tu
@@estermunisi9413 hajui wajumbe tu tupo makin kila kitu tunaandika 🤣
@@ummutaswaufi3980 tuko makini wajumbe
Ndio maana ndoa zinamshinda kwa ajili ya uongo
Mara bikra
🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥nimemkubali Sana huyo binti
Msidanganyike anatafuta hela hapa inaingia
We dada uko wap unaishi wap
Good san
Huyo fake Love atakujiuwa haya
Legendary 'subaru' voice
Nakutakia kila la kheli namungu akutangulie kwakutafuta hakiyako
Maraya wa buza hatarii
Eh ashakuwa star
Kumbe wa buza ndo sababu
Kumbe ndo huyu MISS BUZA😳
Namba za cm
Si alisema bkra
nipo nakutaka nikuowe
🤣🤣tatizo cm hana
Ata nifike 50yrs sitatafuta mume na pango, bora niingie kwa mitandao kutafuta huko
Kwani hauna mume mpa sasa?
Tafuta mume dada mungu atakupa mwena, ww pamoja na mm inshallah
Kweli walimwegu balaa katika karne hizi na ukweli ndio nguzo ya ukweli je kauli za fanana na mwanzo? Na msema kweli ni mpenzi wa mungu ,je muongo ni mpenzi wa nani?
Msema uongo ni mpenzi wa shetani.
Huyo dada nnamutafuta san
Mke mia nakupnd sn duuh
Nakutakia kila la kheri Mwenyezi Mungu akusaidie akutawale akuongose akupikanie akushindie akuweseshe vyema kwa yote katika Jina La YESU KRISTO Aliye Bwana na Mwokozi wetu amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
❤ BONYEZA HAPA TAFADHARI 👇
th-cam.com/video/9SmkT5aoUug/w-d-xo.html
Naomba namba yake please
@@paulmmbando1194 nenda ofisini kwake buza kanisani
Naomba nisipate mwanaume mlevi au muslamu ktk maisha yangu,
Sekibiki mhehe mwenzangu umetoa Kali ya mwaka.
Anatutilia haibu
Kwinyegera beeee
Wahehe ndo mlipofikia 🤣🤣😜
@@hassanrashid8182 haaaaaa nimecheka,kila mtu na akili yake namtazamo wake
Ndinalyo nene
Jmn wanaume mpo waapiii mm ningekua mwanaume ningechukua jiko jmn
😄😄
Ogopa San Wanawake wa dizaini hii
Hahahahah
Kwa mashart hayo atasubiri sanaaa
Duh!!! Uyu dada hanatuzaririsha jamani, na hawezi kuorewa kwa sitairi hiyo maaana nimuongo Sana Mara kasema anausichana na reo anasema nimama was watoto wawiri duh!!! wamwangarie uchizi ndo unaanzaga hivyo
Naitwa Ally kibwana natokea, kondoa.mim ni mrangi.naitaji nimuoe uyo dada.ila mimi mahali sina nitamletea mbwa ndo itakuwa mahali yangu.
😅😅😅😅😅😅
Weye ulisema kuwa ni bikra kube unawatoto nanyiye wanaume munataka bure mutatolewa vikowa wanawake saivi hawaaminiki imani zimewatoka kwapesa pengine kaabiwa amtowe mumewe maboyake yatakuwa super
Nilimsikia akisema hajawahi kuwa na mwanaume wala hajawahi duu
Dada mume hptkan mtandaoni ww piga goti kwa Mungu yy ndo anajua lakin sasa wataokuja hawatakua real Mungu akusaidie tu Mungu atakutendea
Hivi nyie hamuoni kama ninjia yake ya kutoboa. Kunakutafuta mume hapo?
Kasha kuja mjini haya mwende saloon kwake mkamungishe
Huyu ameshafika mjini mwambie atulize hicho kitumbua wanaume watamfuata tu asituabishe kama kwamba wanaume ni adimu au😏😏😏
We Kama unaenae hongera. Ila tambua ukikataaacho moyon mwenzako kinamyima usingz Ivo shikilia nafas io 🙏
@@tuduboynakubal9191 kizur kina jiuza kibaya chajitembeza
Huyu alisha ishi na mume akaachika hivyo anao uzoefu wa kuishi na mume sema wanao jitokeza ni wanao jipigia na kuondoka anataka wakuishi nae.
😂🤣😂🤣😄😄
Safi sana binam amina nakupenda sana K mziwanda mungu akubariki❤️❤️😘😘🙏
Kwahiyo hao wote miambili nazaidi bado hujaona mume au unataka shetaniiiiiiii
Huyu alisema hajawahi kuwa na mahusiano,Leo anasema ana watoto,acha Kiki wewe.
MNAAMBIWA MUOLEWE MKE WA TATU mnajifanya wajanja aya ww umejitokeza ivi unazani wanawake wangapi hawana mume oleweni uke wenza maana wanawake ni wengi mara nne ya wanaume
We nae. Kiki tu unatafuta. Video yakwanza ulisema upo bikra. Leo unasema unao watoto wawili 😂😂😂
Wanaume 20-30 ...... Kaaaaaah!!? Ulikuwa unajiuza kumbe. Ila unajiamini hatari
Heheeee piter msechuuuu, Hahaaaa Mara mweupe peee sitaki Mara mzungu saf, sasa ww mbona huelewekiiiiii
Dada huoni tabu wewe kujitangaza mm siwezi hata kujitangaza kwa koment za kutaka mume sihitaji bora nikae hivi hivi tu lakini sijitangazi
Unasema uwongo.hautaki.mume.unayaka watuwakujuwe.tu
Huna dhambi kwa hilo bali ni ujasiri, mtihani ni maadili, mhh hapo kimbembe, unataka mume wa kukuoa au kumuoa?
Hongera Sana dada maana yake unachotafuta ni haki yako
Salama sana mimi natafuta namba za huyo mwanamuke niombeyeni nipo burundi
Pamoja Sana
@@nelsonmatano276 popppoppppoopopppppppppppp
@@nelsonmatano276 popppoppppoopoppppppppppppp
Mhh nna wasi wasi sana huyu dada yupo kazini ili kuzuga jambo flani lipite watu wasitege sikio sehem flan tu
Kama si kiki l gave you my number l have never get an answer.,lam girl like you,answer me...I IN USA.
Nitafutemimidada sinamakubwa nadhanitutaenda,
Na Huku ZANZIMBAR njoo wateja tupo lkn uta vaa baibui na hijabu. 😁😁😁
We rudiana na uyo jamaa ila kama autaki tutafutane muda wowote dada
Anasema ukweli wake jamani dah Tanzania tupo huru😄
bikra mchezo😂😂 m2mzima ovyoo na cc vijan 2cemej😂
Hofu ya mungu na maongea yako ni shida ...ati nakupenda kishenzi. Kuna details unaficha wewe Amina. Madhara ya Chanjo
sasa wataka mwanaume starting from 20 and you look older than twenty year si ugesema tu as from 25yrs and above
Huyu muongo anatafuta kujulikana ,,hii Ni njia ya kutokea haingii akilini ,,Halafu ukiwa muongo uwe na kumbukumbu ,sema unatangaza biashara zake,,Mara useme we bikra,Mara we Ni mama una mtoto mmoja,,Sasa Leo una watoto 2 acha kutuchanganya dada Kama Kiki umeshapata inatosha
Haeleweki
Semsigala unatutia aibu wahehe wenzio looooo!!!!!!
Yanii nimepeda binamu yangu Siku nyingi sikupati uko pade zpi nikupose
Mtangazaji naomba namba yako SAUTI imenifanya nikupende bure.
Jamani wew sindo ulisema bikra duuh hao watoto umepataje wallah kwel bongo nyoso
Jamani uyu mtuu anatuzungusha kuna interview aliyo fanya na kaka umoja akasema yeye ni bikra nabado anatunz ubikra wake leo ten ni maman Ivi kweli upoo serious na ndoa ama ni zile drama zenu wabongo hamuishi drama nyie adi munakera 😂😂
Wale East Africa ndo walimhoji akasema hivyo
Ungejulikana saa ngapi Bora umefanya hivyo na biashara ametangaza
Sivibaya kutangaza ila sio hivyo kama utanilea fresh
Mbona huy Dada sifa anazotaka zote Njombe wapo jaribu Dada Mungu atakusaidia
Ila K Mziwanda upo vzr kwa maswali ,,,🤣🤣🤣
Jamani eehh nipeni hiyo connection,vigezo ninavyo nipo dar