Hana dini huyo mzinifu acha ujinga umependa tu kujionyesha bora umuogope Allah kuliko kiumbe mwizinzio adhabu ya Allah ni kubwa rejea kwake bila kujitoa mitandaoni.
Tatizo ni utaratibu wa jamii yetu. Mpende Mungu ogopa makatazo yake jifunze kujistiri bas na mungu atakuonyesha maisha mazur ya furaha. Hakuna dhambi kwa Allah kwenye toba ya kweli. Unaweza ukawa na ngeu kwa ajar watu wakakuona mwizi. Nchi ina vichaa wengi wa akil so kama unahisi umefanya makosa ludi kwa mungu wako fanya toba ya kweli na utasahau kuhusu challenge za izo tatooo
Daaaah Yan weee mdad Umenifanya Nicheke sana Et Watu Wananiona Kama Mwiz,Wadad tunajisahau sana tunaiga Maisha Ya Wasanii Haippendez Kwel Mwanmke Kujichora Chora Unaonaekana Kwel Kama Muhun Ndyo Tafsir Hyo Sas Acha Kujiliza Coz Wakat Unalala uchorwe izo tatoo ulipenda Mwenyewe kwa hayo Inayopitia Kwasas Itakua N funzo Kweny Maisha Yako
mtu wa dini hazini uyo si mtu wa dini theni ukitaka ubadilike zaidi tubu kwa mola wako ujistiri vizur apo ulipo ungejistiri vizur kwanza ndio ukahojiwa lakini sio ivo ulivo apo badilika dada angu jast ushaur
Ukiwa me tatton hakuna mtu anaweza kuku.eshimu tattons kilasiku ni lebon wakishetani jamani .sitakiwatu we tattons pembeni yangu hata kidogo ...mwili wangu uliubwa na mungu sijaubwa na mi tattons..hazina orembo wowote ni staly za kiuni tu tenamashetani
Wewe muandishi piga debe hapo mbona unaweza .unajuwa siku zote ukienda kinyume na maamrisho ya Alaah lazima utapata madhara Alaah katataza kuongeza kitu katika muili hali hakukuumbanacho .na usizikwe nacho kama tatu lazima ichunwe sasa chuna kabla ya umauti kukufika .
Kitu chote kina alama kwenye mcholo hinyo ❤ hii ni upendo😂 hii kilio kwahio wenye micholo ya inge wanaashilia kua ndaniyao Kuna vitu kama hivyo tattoo ni ishala mcholo ni ishala ya kitu falani
Huyo ndo mwanaume sasa! mwanaume ni yule anaekutana na asicho kitegemea kwa mwanamke na kumwaacha kabisa, Hata kama ulikuwa umemvulia nguo na hamu inaisha! Hata ukifuta haitasaidia chochote, Ulisha haribika tangu mwanzo! kuchorwa kwenye paja na mwanaume ukiwa umevua nguo! Tunakuaminije?
Kama unajuta kwa uliolifanya ni vizur Allah atakusamehe lakini pia Kujiweka uchi kwenye mitandao mtoto wa kiislam ni haram mwili wako unathamani ufiche jistir badilika utapata mume usihadaike na ujana tubu na ukipata mchmba MUELEZE NA MUFUNGE NDOA BILA YA KUKUTANA
yani ulianza uchetu na miaka 19 duh mh ndio mana mnakomaa mapema kumbe mnaanza kubandikwa mishedede na udogo ndio ukaona kwasababu umepewa pesa ukaona ukalipe ukatoe kitumbua chako kisicho kua na dhamani kila mtu anakichokoa muone kwanza
Mtu mwenye dini hakai na mwanamke Ajnabi peke yake Kama mtu wa dini kabla ya kukugusa angekuoa kihalali kabla ya zinaa Rudi kwa Mungu wako Tubiya kwa mola wako Ulie ujutiye kikweli Unajivunjia mengi
Eeeeh najua uchungu wa uyu dada anayopitia coz me ninazo ndogo tatu lakini naona kama ninazo mia jamni totouuu sio nzur 😢😢😢😢 kabisaaa eeeh mwenyezi mungu utusamee
Kwanza msikilize kwaumakini mara mwanaume akampatia 50 naakamwambia tutakutana siku nyingine,mara alinipa 50 kisha akasema unaona hi no iyone kama kituo chapolic usioige tena mh ngoja tuendelee kusikiliza zijazo
Allah karim lizki itakuja ingine kila likuepikalo linakhery nawewe haikuwa lizki yako mungu simjinga na tatuu zinagutima Sasa ivi utapata mume tu na maisha yataenda kwani ulikuwa ni toto tu kila lenyemwanzo linamwisho usijar mwanangu mungu yupo utapata mwenyekheir nawewe bila kujali tatoo
Pole sana kama inawezekana kazifute my hujapendeza kbs
😂😂😂sasa hapo tukusaidieje mnamuasi mungu kwa starehe zenu afu mwajiliza mtandaoni
Muhurumie tu si kwa ubaya😄😄😄
😂😂😂😂Anipe number ya huyo kaka mm nponpo tu
Aje nimsaidie kutowa uwo uchafu nimchome na ps bc
Hana dini huyo mzinifu acha ujinga umependa tu kujionyesha bora umuogope Allah kuliko kiumbe mwizinzio adhabu ya Allah ni kubwa rejea kwake bila kujitoa mitandaoni.
Tatizo ni utaratibu wa jamii yetu. Mpende Mungu ogopa makatazo yake jifunze kujistiri bas na mungu atakuonyesha maisha mazur ya furaha. Hakuna dhambi kwa Allah kwenye toba ya kweli. Unaweza ukawa na ngeu kwa ajar watu wakakuona mwizi. Nchi ina vichaa wengi wa akil so kama unahisi umefanya makosa ludi kwa mungu wako fanya toba ya kweli na utasahau kuhusu challenge za izo tatooo
Tafuta mwanaume aliechora tattoo dada akuoe mbona wapo wengi Ila hawana pesa😅😅😅😅 km uyooo aliekuwa na malengo na ww
Uwezo mdogo wa kufikiri, tatoo haina mausiano na changamoto na maisha ya mtu. Tafuta hela wangapi wapo mitaani na maisha magumu na hawana tatoo
Iyo ilimu yako
Weeeee tatoh huwa Zina maan mbay kwa wanaume wanajua wew ni kahab ni Kam kuvaa kikuu tu
@@gressjoseph5615true
@@gressjoseph5615true
Digital imepoteza wengi it's a big lesson let's learn.
Naomba mwyz Mungu usinijalie kutobowa tobowa mwili wng au kuchora. Matatoo.
Daaaah Yan weee mdad Umenifanya Nicheke sana Et Watu Wananiona Kama Mwiz,Wadad tunajisahau sana tunaiga Maisha Ya Wasanii Haippendez Kwel Mwanmke Kujichora Chora Unaonaekana Kwel Kama Muhun Ndyo Tafsir Hyo Sas Acha Kujiliza Coz Wakat Unalala uchorwe izo tatoo ulipenda Mwenyewe kwa hayo Inayopitia Kwasas Itakua N funzo Kweny Maisha Yako
Mimisipendi tatu nazichukiya sana tatu mbaya sana
Sasa kma mtu mzuri nae asingetaka kuzini ustadhi hazini shoga
Kuna rafiki yangu alichora tattoo mzungu alivokuja kuona tattoo mkononi alimwacha pale pale akasema afagilii uchafu
Tattoo tuu na kuvaa nguo za uchi inawapoteza hawa wasichana, kisha wanalalamika na maisha ya Dunia
mtu wa dini hazini uyo si mtu wa dini theni ukitaka ubadilike zaidi tubu kwa mola wako ujistiri vizur apo ulipo ungejistiri vizur kwanza ndio ukahojiwa lakini sio ivo ulivo apo badilika dada angu jast ushaur
Allah hapendi tatuu nawa Islam wote hawaruhusiwi
Ww dada jifunze kuvaa vrz muogope mungu mtu huna aibu hapo upo uchi
Wwe Alokwambia tatu niurembo Nani wwe Hiyo kitu. AllAh amekataza. Namesema mwenye kufa akiwa nahizo zitu basi atakuwa nadabu
Sura yake kidogo km marehemu haitham ata sauti
Kweli kabisa
Kabisaaa
Pole my dear
Lkn ata kama uyo jamaa alikuwa boya tu kwani tatu ndo nn
nahaya toki hayo mauchafu ulio jichora na ukifa unazikwa nayo subhanna llah nimsiba huu
Uyu dada Anapenda kiki sana mbona yy amesema ni bikira 😏🙄🤷♀️
Hakuna mtu wa dini anayefanya uzinifu.
😅😅😅😅
🤔🤔🙄
Kwa hiyo nyote ni washetani ee
acha kuiga jaman urembogan huo
Asa c muhuni kujichora km gazeti kitu gan ndo ujifunze kuiga ujinga tuu badae majuto😢
Ukiwa me tatton hakuna mtu anaweza kuku.eshimu tattons kilasiku ni lebon wakishetani jamani .sitakiwatu we tattons pembeni yangu hata kidogo ...mwili wangu uliubwa na mungu sijaubwa na mi tattons..hazina orembo wowote ni staly za kiuni tu tenamashetani
Mungu kasema tusijichole alama yoyote ktk miili yetu kwani ni Mali yake
Zinafutika lakini kazifute.
Pole sana habibty, but Mambo ambayo hayana faida yeyote ktk maisha nawala sc yamuhimu kweli kabisa hatupaswi kuigaa, tusiwe wenye kufuata mkumbo
Wyvsyuhbnkpbddyotca attpyxa stitfacsdyerpyfvv cgoopyvc😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😂😢😂😢😢😂😢😢😂😢😢😢😂😢😂😢😢😂😢😢😢😂😢😂😢😂😢😂😢😂😢😢😂😢😂😢😂😢😂😢😢te fwd
Mwambie ajenimuowe❤
ati mtu wa dini na wachukua mwanamke guest hii kali ila kila mmoka ana mapungufu yake ila laa ikra fii diin
Pole sana dadangu hayo ni yakupta kama umeamua kubadilika
Siku zote me huwa nasema,mwanamke akishaanza kuzeeka ndiyo akili inakuja,wadada jitunzeni,miili mliyonayo ni hekalu la Mungu.Badilikeni.
Kabisa mze hawa ndo waleeee muda ndio unaongea😊
Sasa unaanzaje kuchanganua akili za watu na wewe huna? Kwasbb mtu mwenye akili timamu anafahamu ulichosema ni upumbavu
Hizo nyinyi mnafanya bila kujua unaingia kwenye maagano pole !!
Wanawake wanateswa sana na shetani
Mimi Niko tayari kindowa naomba namba yako
kazifute tu
Usijute siumependa mwenyew chora t mn munasif
Sasa Mtu Wa Dini Alafu Anazini😂😂😂
😂😂😂😂
Hapo sasa
Shobo namahisha nimbaya 😅😅
Wewe muandishi piga debe hapo mbona unaweza .unajuwa siku zote ukienda kinyume na maamrisho ya Alaah lazima utapata madhara Alaah katataza kuongeza kitu katika muili hali hakukuumbanacho .na usizikwe nacho kama tatu lazima ichunwe sasa chuna kabla ya umauti kukufika .
Wewe ni muhuni kama si muhuni usingli weza kwenda hoteli
Kwani huyu mke WA shein wamerudi kivyenqine hi ni tathiliya nyenqine yaanza
Pole sana,ila naona nilana ya bibi.
Kichwa cha habari hakiendan na munachokiongea why?
Pole Nakushauri ukazitoe izo tatu
Pole aki
acha usitoe tatoo zinkupendeza muache huyo mgonjwa huyo
Kitu chote kina alama kwenye mcholo hinyo ❤ hii ni upendo😂 hii kilio kwahio wenye micholo ya inge wanaashilia kua ndaniyao Kuna vitu kama hivyo tattoo ni ishala mcholo ni ishala ya kitu falani
Kiki nyingine hiii😂 tunaijua iyo
Umeona eeeeee iyo nikiki
Naile ya Shainny na bibi,piya imekuwa nikiki
Ucjal utampata mwenye tatu mwenzio dada
😂😂😂
Ndoivyo
Uongo uooooooo😂😂😂
Muambien anitaft huy dada
Mnaiga uhuni uhuni tu
Pole sana dada😢😢😢😢
huyu ni mlaya aliekubuhu😅
Haswaaa
Utavuna ulichopanda
Kwanini usichore piko?km unataka urembo?ww rudi kwa Allah utubu kikweli kweli
Basi kama wewe sio muhuni mbona hyjistiri hizonguo ulizo vaa ninguo za kistara au ninguo za kujiuza muili wako mavazi yako yanaonesha picha mbaya
Huyo Hana DINI na wewe huna DINI kwahyo wote mlikutana mashetani watupu wapuuzi tu kenge nyie
Munapenda byabule unajuaje kama ungebaki nae engekuwa nania nawewe angekwambia uzifute ok sasa usingizie tatu amekuona nimalaya tu enge subiri ndoa
Mpuuzi wewe ujinga unaongea mtu WA dini angekupeleka gesti wachora tatuu wezako ndio mlienda huko vibanda umiza unaongea bila aibu
Huyo ndo mwanaume sasa! mwanaume ni yule anaekutana na asicho kitegemea kwa mwanamke na kumwaacha kabisa, Hata kama ulikuwa umemvulia nguo na hamu inaisha! Hata ukifuta haitasaidia chochote, Ulisha haribika tangu mwanzo! kuchorwa kwenye paja na mwanaume ukiwa umevua nguo! Tunakuaminije?
Kama unajuta kwa uliolifanya ni vizur Allah atakusamehe lakini pia
Kujiweka uchi kwenye mitandao mtoto wa kiislam ni haram mwili wako unathamani ufiche jistir badilika utapata mume usihadaike na ujana tubu na ukipata mchmba MUELEZE NA MUFUNGE NDOA BILA YA KUKUTANA
Mwenye dini yakweli nahofu ya mungu hawezi kufanya zina hata cku moja kwasababu anajuwa anamkosea mungu wake nakwadin yake nimakosa pia
Muongo huyu dada looo
Yan ww ndo mjinga san unapew pesa mpaka zinafika milion 4 na hukuw na akili zakufuta kwa pesa ulizo kuw unapew jinga san
Yaan usijutie kwa kukosa mwanaume tuu hata Allah hayupo pamoja nawewe
Kwanini mungu Bado anampenda kbx
Hkn ambae Hana dhambi ,,, ila ATUBUYE HUSAMEHEWA
Kwenye vitabu vya dini zote, vime kataa kuchora tattoo. Hivyo msijidanganye na urembo. Hakuna urembo na tatoo
Muislamu kwann ufanye hivyo je ukifa utakuwaje urembo gani huo
Msiwe mnafanya vitu vya kuiga kwanin usichore piko ya kiislam upendez najua wengine tumejifunza kwa mimi sina ndoto hiyo yakuchora
Kabisa sijui wana matatizo gani hawa watoto wa kike
Halaf na tattoo zenyewe zilivyo mmbaya km kachorwa na mtt mdogo
Uwezi ukawa mweusi kma mkaa ukawa na ndoto ya kuchora tatoo
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤Basi shekhe kamsiri Allah bdie anajua zai@@MTANGACOMEDYTZ
@@erickzephania1030😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 umeona eh
Huna adabu huwezi kujieleza aibu yako unathani ni sifa hiyo kweli wewe hufai kabisa huyo baba alikuona kua wewe nimuhuni wakufa. Utachorwa na mwanaume mapajani tayari wewe nimuhuni
Sasa ksma ulipata mtu anagari kwa nini usifute Kwa yule wa Kwanza uje ubadilishe kwa shehehe mhhh
Ndio kuipenda dunia kuchora matatatuu Yanini mtoto wa kike Tena mpaka sehemu za Siri urembo ungechoro hinna mama acha kuiga ya watu
Kwaio nayule mchumba wako alomuoa bibi kaenda wap yaaan watu kwa kiki nyie mh
Hivi watu mnavyosema kuzini nyie mmeoa au mmeolewa na ubikira?
Watu kujifanya watakatifu vile. Kumbe wana mizambi kibao.
yani ulianza uchetu na miaka 19 duh mh ndio mana mnakomaa mapema kumbe mnaanza kubandikwa mishedede na udogo ndio ukaona kwasababu umepewa pesa ukaona ukalipe ukatoe kitumbua chako kisicho kua na dhamani kila mtu anakichokoa muone kwanza
Mwambie huyokaka wamwanzo kuwa akusamehe utatowa naskia zinayayushwa namoto
Mtu mwenye dini hakai na mwanamke Ajnabi peke yake
Kama mtu wa dini kabla ya kukugusa angekuoa kihalali kabla ya zinaa
Rudi kwa Mungu wako
Tubiya kwa mola wako
Ulie ujutiye kikweli
Unajivunjia mengi
Mtu wa dini halafu kampeleka hotel mpk kumfunua kamfunua 😂😂😂
😂😂
Ndohapo sasaaa😂😂😂
😂😂😂😂 maji yalipitiza
Hatari kweli
Et alie chorwa tatoo uarabun ujinga mtup uarabun kumeingiaje hap msiharibu jina sie tuko huku tunatafuta pesa za khalali na kuzur san
Nimechola kama ulemboo nonsense
Msichana mrembo michoro ya nini hii ..kuharibu tu mwili
Pore san
Sasa mitatoo ya nini? Msichana kwani piko hamna ? Mie binafsi mitatoo siipendi kuhjiharibu mwili Tu sasa zina umuhimu gani? Hizo tattoo ,zinadaidia nini? Zinafaida gani? Haswa
Usiuzunike dada huenda ukawa uliepushwa na mabaya ya huyo mume huenda alikua shetani they don't like tattoos but anyway you look fabulous amazing girl
Nimejitolea kumfuta bule tattoo nipe namba zake
It's so sad but it is a big lesson for everyone by Fosill from Nairobi Kenya 🇹🇿🇰🇪👏
Unaitwa fossil😮
Washafanya kiki yao ile ya bibi wa miaka 60 na kijana wa miaka 27 sasa anakuja na kiki nyingine ili atrend wapuuzi nyie
Kweli kabisa
dada piko mbona unapendeza tu kwann utaenda jibu nn kwa allah siku hy ikifika
Kwanini usijistili ilizisionekane mbele za watu
Huyu si. Yule dada ameigiza na bibi miaka 60 na kijana wa 27 miaka kweli. Anajua kuacting
Atafute Clinic Wanazitoa na Lasers
"Ni mwislam anayependa wanawake"😳!
Anyway, you can have those tattoos removed. Maybe not in Tanzania but Kenya, South Africa, Europe and US.
Ina mafunzo Asantie kwa kutupa mafunzo
Huyo mtu wadini sana kakataa tatoo ila kakubali zinaa??????
Eeeeh najua uchungu wa uyu dada anayopitia coz me ninazo ndogo tatu lakini naona kama ninazo mia jamni totouuu sio nzur 😢😢😢😢 kabisaaa eeeh mwenyezi mungu utusamee
Asa matatuu yote ayo Yann mwili mzm ayo wanachorag makahaba watu walioshondikan uo sio urembo ulizidisha mwili mzm hahahaha pole umepoteza bahat
Ila uyu dada ni muongo wan kiki😂😂kila siku kutafuta umarufu kazi😅wazazi wake alisema wamekufa 😅
Kwanza msikilize kwaumakini mara mwanaume akampatia 50 naakamwambia tutakutana siku nyingine,mara alinipa 50 kisha akasema unaona hi no iyone kama kituo chapolic usioige tena mh ngoja tuendelee kusikiliza zijazo
Ikiwa anataka kubadilika ukweli oamba kwa Allah atakusamehe InshaAllah Allah ni mwingi wa kusamehe oamba sana sana
Hili ni funzo jamani sio wanaume wote wanapenda tattoo 😢😢
Allah karim lizki itakuja ingine kila likuepikalo linakhery nawewe haikuwa lizki yako mungu simjinga na tatuu zinagutima Sasa ivi utapata mume tu na maisha yataenda kwani ulikuwa ni toto tu kila lenyemwanzo linamwisho usijar mwanangu mungu yupo utapata mwenyekheir nawewe bila kujali tatoo
Ww umejiroga mwenyewe 😬 ulichoka fanya hukujua rud Kwa Allah atakupokea
Km anauislm😂 asingekuzin mpaka engekuowa kwanza
Kabisaaa