Nimepata uchungu sana nakumbuka kipindi naingia dar nilikuwa mdogo kuliko huyu alafu sikuwa na kazi ila nilipelekwa nikafanye kazi bar kwel nilipata kazi bar sikuwahi kujiuza ila nilikuwa napitia changamoto sana za matusi kwa wateja sikuwahi kuipenda hiyo kazi hata siku moja na mwenyezmungu aliliona hilo kuwa ni shida ndo zilinopeleka huko ila kiukwel sasa nimekuwa na nimeolewa na kaka mmoja wa kisukuma anayempenda mungu na aliyekubaliana na mim toka tulivyokutana hadi leo hii ni baba bora kwa wangu na nimume bora sana kwenye maisha yangu tulitoka dar tupo dodoma kwa sasa tumejenga kwetu na tunaishi kwa furaha sana hakika mungu atafungua milango ya huyu mtoto pia namuombea mungu amuonekanie katika kila hitaji lake na amfungulie milango yake ya baraka🙏
Dogo anaongea kwa kujiamin sana na huyu anaonekana ana akili sana mwenye ana uwezo anamjua had mungu kiasi Gani naamin IPO siku mungu atambadilisha 🙏🙏😢😢😢
Hajui kama Kuna mtandao masikin et kaka hawez kujua Yani Bado mdogo sana nawaomben Alie guswa na anao uwezo amsaidie huyu bint eee mwenyez mungu mwangalie Kwa jicho la huruma huyu bint umuokoe ktk janga hili insha Allah
One thing we should not forget is that prostitution is not as a result of poverty but a spirit that enters one who is insensitive to spiritual matters, she needs counseling and deliverance before being given financial support, sometimes I usually ask myself " how much is enough"
😭😭😭😭 mdgo wangu Zuh nimeumia kweli natamani nikusaidie Ila Sina nakuombea mungu akupe mtu atakae kusaidia ila nakuombea ukipata ata mtu wakukupa kazi ata zandani usikatae maisha nimagum ila iyo kazi Ina changamoto sana magonjwa mengi yanayotibika nayasio tibika😭😭
Na vile mm natafta mwanamke bibi anayeweza kanizalishia watoto ata kama mmoja hv.jamni mola si unibarki na huyu dogo.Yuko smart Kimwili na kiakili.shida nazo ndiyo changamoto hapa dah kapotea huyu mpenzi.christian Bella kaimba kufanya kosa sio kosa Bali kukirudia ndiyo kosa.😍😍😍❤️❤️
Astghafirullah Allah Atunusuru mie maisha magumu nilikujaOman nahadi leo nipo oman mwakaWa10nimerekebisha maishaYangu namshukuru mungu nimejenga nakusomesha mpkavyuo wanangu sithubutu hiikaz namuogopa Allah baAdhabu Zake
Unaonekana unamaumivu makali sana mpka kufikia hapo unahistoria yako moyoni Mungu atakusaidia tu jamani. 😭😭😭Naimani utapata furaha maishani hilo nalo litapita magonjwa yakupite mbali
Tatizo mfumo wa serikar zetu za kiafrika na usimamizi mzur akuna unakuta upo kiwandan unalipwa elfu 2000 kwa siku tunabanwa sana lawama kwa wazir wa biashara na viwanda
Sasa kama kiasi cha chini ni elfu50 na anasema ashaipata zaid y iyo kwnn asiichange iyo 50 mara kadhaa ili afanye iyo biashara 😢me nahis wanapend tu kujidhalilisha
Shetani ni mjinga sana akisha kuvuta kwake huwa anakuonyesha kwamba kiasi ulicho nacho bado ni kidogo kwa hiyo anaenelea kukushauri kwamba endelea kidogo ili upate hata milioni moja hivi .alafu ukipata hiyo milioni anakwambia hebu subiri upate angalau tatu hivi
Dah nimejikuta naumia kiukwwli jinsi anavyoongea yaan mm mwenyewe nilipitia huko huko ila sio kukaa Barabarani ila namshukuru mungu ameweza kunibadilisha kiakili lkn kimaisha bado Nina changamoto
Amechagua kazi mbaya hata kama ni ugumu wa maisha lakin huwezi kuchagua kifo kwa sababu ya ugumu wa maisha anahitaji mtu wa kumsaidia atoke huko. Ana furure kama akisaidiwa
Mungu akulinde mwanangu, nakubariki kwa jina la YESU ili akubariki na uondokane na hii adha.Mwanangu,nakupenda,nakupenda Zuena,Zuena nakupenda, MUNGU akuponye mwanangu,nakutabiria ukutane na LAMATA VILLAGE. Lulu Elizabeth akuunganishe na sanaa ya uigizaji,utatoka kimaisha mwanangu.
Mama Samia... Mheshimiwa Rais, kama ikikupendeza naomba huyu dada achukuliwe hatua... Anafundisha mabinti wetu ulimbukeni... watoto wa kike ( inaonyesha anajielewa vizuri... Mbona Alli Haji, anauza mbizi na familia ya watoto 5.
Samahani kama itawezekana naomba number za huyu dogo anahitaji kusaidiwa sana sana bado ni mdogo bado anaweza kusaidiwa na akafanya mambo ya haki na akafanikiwa na akatunza familia yake
Sio kila mtu anafikiria ujinga wengine tuko serious na inategemea mtu unayeona anajitambua. Tumesaidia wengi na hatuwajui sio kila mtu yuko km unavyofikiri. Wengine wana ushuhuda na sio lazima namba yake hata ya Mtangazaji watu wanaguswa mtoto huyu ana mguso wa aina yake utaona atasaidiwa tu ndugu yangu. Japo wapo wabaya lakini wema pia wapo
Kumbe hapa ndio element😂😂😂😂ila kazi za kujiuza ziheshimiwe jaman kunanchi Malaya wanalipia ushuru..tanzania ndio maana haijapiga hatua hiki ni kipato cha taifa
Media mshamharbia uyu dogo kumrusha. IV vtu vnaishi milele fikirieni fedheha ya watoto wake wajao. Kuna vtu kibao vya kurusha, nenden mkahoji wasafiri huko kawe kupandishiwa nauli SKU za weekend.!
Yaani ujiuze upate mtaji na utoboe maisha hicho kitu hakipo hela zao ni kula kulipia kodi ya nyumba na kuvaa na kuwatumia wazazi ili kuwafurahisha wajue una kazi ya maana kumbe unajiuza
Huwa wanatia huruma ivi ivi, ukute keshasaidiwa ila biashara halali inataka subira na hawa mara nyingi wanataka pesa ya haraka haraka hawana subira, umalaya ni addiction mbaya zaidi. Mungu kisaidie kizazi kinateketea
sio confidence ni ujinga alionao kichwani hajui hata anachokiongea, hiyo ni tabia tuun angekuwa wa kuacha mtaji wa mama ntilie alikuwa kashaupata kwama kwa siki elfu hamsini
Yes ni ujinga angekuwa anajitambua angejifunika uso, na Kama anasema anapata sh elfu 50 kwa siku anshindwaje kupata mtaji Kama watu wanaanza na mtaji wa sh elfu 10?
Mwenye tabia yake hawez kuacha.....we mtu ameshazoea kichwa kimoja efu 50 jmn ata biashara ya kuingiza efu kumi ataiona ni ndogo hafai kbs kahaba hiliiii
Mpaka mnaweka mtandaoni content kama hii mmeomba ruhusa yake? Katika maelezo yake hataki kaka yake ajue kama anajiuza, hataka mume mtarajiwa aje ajue. Kwa kuweka content hii public mnadhani mnafanya haki na mnaruhusa ya kufanya hivyo??? Hata akipata wa msaada tayari mmeshamharibia future maana hii ni abuse kabisa
Sio ya kuchekerea hi kaz jmn maradhi ni mengi uyu sawa na mtto wangu miaka yake ndio mtto wangu jmn allah awaongoze watto wetu na hatujarie mwisho mwema
Kama umefanya kazi miezi 6 na kichwa kimoja 50k na hujawahi kukosa kichwa leo tuh labda mida ya saa tisa utaokoa na huna hyo 1 m kwenye akiba zako. Huyu hata ukipewa mtaji ataweza kusave kweli?
Ila tuache unafiki comment nyingi za kutaka kumsaidia za uongo nyie wenyewe mnahitaji msaada na kama mnataka kusaidia nendeni msimbazi kuna walemavu wapo pale😂
She's very open.. And i believe her smile will change her life
Yeah she very cute ☺️…. And seem very honest and open person ❤
th-cam.com/video/fQ4LU8JQrCQ/w-d-xo.htmlsi=gSu_fy8UdCIJnwlU
Mpaka nimehic kulia😢😢
Nimepata uchungu sana nakumbuka kipindi naingia dar nilikuwa mdogo kuliko huyu alafu sikuwa na kazi ila nilipelekwa nikafanye kazi bar kwel nilipata kazi bar sikuwahi kujiuza ila nilikuwa napitia changamoto sana za matusi kwa wateja sikuwahi kuipenda hiyo kazi hata siku moja na mwenyezmungu aliliona hilo kuwa ni shida ndo zilinopeleka huko ila kiukwel sasa nimekuwa na nimeolewa na kaka mmoja wa kisukuma anayempenda mungu na aliyekubaliana na mim toka tulivyokutana hadi leo hii ni baba bora kwa wangu na nimume bora sana kwenye maisha yangu tulitoka dar tupo dodoma kwa sasa tumejenga kwetu na tunaishi kwa furaha sana hakika mungu atafungua milango ya huyu mtoto pia namuombea mungu amuonekanie katika kila hitaji lake na amfungulie milango yake ya baraka🙏
Ongela
hongera sana da rose
Ubarikiwesanna
Timiza malengo uache wewe Bado ni mdogo
👏👏@rosemary3017
Pole Sana Dada na kweli Binti anajielewa Ila ni Maisha Tu Mungu atanisaidia
Behind that smile there is hidden bitterness…Mungu akusaidie binti
For sure..
Kuna wenye maisha mazuri hawana hilo smile😮
She was very honest maaaan. I even cried,From Kenya🇰🇪
May she live long
Daaah sio poa mdogo wangu pole sana M/MUNGU MKUBWA nakuombea upate kazi INSHALLAH 🙏
Dogo anaongea kwa kujiamin sana na huyu anaonekana ana akili sana mwenye ana uwezo anamjua had mungu kiasi Gani naamin IPO siku mungu atambadilisha 🙏🙏😢😢😢
Kbs yaaan
Ana akili kuliko hata wanao mhoji
@@machakuroger7068 sahihi
@@machakuroger7068😂😂😂
Pamoja na magumu anayo pitia lakini she still smiling ..😔 Mungu akuponye mi binafsi nakuelewa umaskini mbaya jmn 😭😭
Sanaa dear😢😢😢😢😢😢😢😢😢umaskini mbaya sana😢😢😢😢😢
Hajui kama Kuna mtandao masikin et kaka hawez kujua Yani Bado mdogo sana nawaomben Alie guswa na anao uwezo amsaidie huyu bint eee mwenyez mungu mwangalie Kwa jicho la huruma huyu bint umuokoe ktk janga hili insha Allah
Nimepata huzuni sana nikimsikiliza huyu binti ..
ningejib ila ninyamaze
Dah inaumiza sana ,ukweli maisha ni magum ila tunahtaji subira na juhudu,pia mungu atunusuru sote kwan hakuna aijuae kesho yake
High Confidence nimependa one day yes mungu atomuacha bure
One thing we should not forget is that prostitution is not as a result of poverty but a spirit that enters one who is insensitive to spiritual matters, she needs counseling and deliverance before being given financial support, sometimes I usually ask myself " how much is enough"
Very true
Ni kweli
Very true
This is very true,the devil traces your life and blocks your paths later on he intrudes spirits in you
Namuonea huruma bado mdogo mwenyewe anaonesha mcheshi mpole sema tu maisha dah nimeumia 😭😭😭
Dar es salaam ina change LYFE ya mtu kama ujitambuii😢
😭😭😭😭 mdgo wangu Zuh nimeumia kweli natamani nikusaidie Ila Sina nakuombea mungu akupe mtu atakae kusaidia ila nakuombea ukipata ata mtu wakukupa kazi ata zandani usikatae maisha nimagum ila iyo kazi Ina changamoto sana magonjwa mengi yanayotibika nayasio tibika😭😭
Mamb
Na vile mm natafta mwanamke bibi anayeweza kanizalishia watoto ata kama mmoja hv.jamni mola si unibarki na huyu dogo.Yuko smart Kimwili na kiakili.shida nazo ndiyo changamoto hapa dah kapotea huyu mpenzi.christian Bella kaimba kufanya kosa sio kosa Bali kukirudia ndiyo kosa.😍😍😍❤️❤️
Acha umalaya lea familia 😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂@@NiceWatson-y7e
R@@NiceWatson-y7e
Masikini msichana mdogo pole sijui kimelewa chenyewe kinajiamini mungu ammpe mtu wakumsaidie aache izi kazi
Huyo babake kumbafu sana,Mimi binti yangu kama ana uwezo wa kuwaza kama huyu yaani nitahakikisha anaenda kwenye malengo yake.
😭😭😭😭😭😭😭shida ni mbaya sana ananikumbusha mbali sana mungu akusimamie zuena
Dah!!? Pole sana unanikumbusha machungu, mungu akusridie Sanaa
Sad story my gal I wish I cld help u
.Mungu akusaidie dada. 😢😢😢
Aaaaaa nina miaka 19 aaaaaa natokea kigoma aaaaa maisha magumu😂😂😂😂😂 Tanzania nchi yng ya uhuru na amani🙌
Aaaaah kwa sababu ya life maisha kigoma jwmqn khaaaaa😂😂😂😂
Astghafirullah Allah Atunusuru mie maisha magumu nilikujaOman nahadi leo nipo oman mwakaWa10nimerekebisha maishaYangu namshukuru mungu nimejenga nakusomesha mpkavyuo wanangu sithubutu hiikaz namuogopa Allah baAdhabu Zake
Mungu Amsahidihe.. Sana.. Msahidien kwa wale ambao wako karibu
Unaweza kumsaidia ata ukiwa mbali
Naomba namba za zuwena tafadhali nina jambo nae nimemsikiliza nimemuelewa sana mpaka machozi yananitoka😢
Allah amjalie kheri
Unaonekana unamaumivu makali sana mpka kufikia hapo unahistoria yako moyoni Mungu atakusaidia tu jamani. 😭😭😭Naimani utapata furaha maishani hilo nalo litapita magonjwa yakupite mbali
Tunaelekea kubaya sana😭😭😭
Amesema hakupenda na hapendi 2muombe tu yy na wengine
Duh pole xn mungu akujalie huondokane na magumu😮😮
Mungu atustry na vizazi viyetu yarabii tuhafidhi
Tatizo mfumo wa serikar zetu za kiafrika na usimamizi mzur akuna unakuta upo kiwandan unalipwa elfu 2000 kwa siku tunabanwa sana lawama kwa wazir wa biashara na viwanda
Sasa kama kiasi cha chini ni elfu50 na anasema ashaipata zaid y iyo kwnn asiichange iyo 50 mara kadhaa ili afanye iyo biashara 😢me nahis wanapend tu kujidhalilisha
keshazoea
😊
Shetani ni mjinga sana akisha kuvuta kwake huwa anakuonyesha kwamba kiasi ulicho nacho bado ni kidogo kwa hiyo anaenelea kukushauri kwamba endelea kidogo ili upate hata milioni moja hivi .alafu ukipata hiyo milioni anakwambia hebu subiri upate angalau tatu hivi
Astaghfirullah huna hata kimeme mtoto wakike roho ikichukuliwa uko ktk zinaa
Kwenda kule unahukumu mtu we umekuwa nani nyie waislam wachafu kila kona kazi kuhukumu wenzenu kila mala
@@carenmihayo7991 Kwa hivyo unafurahia kuuza samaki wake?
Wacheni kumsapoti huyu mjinga kwanini asitafute hata kazi za ndani au ajent aende arabuni
mm nahitaji kumuunganisha huyu dada kwenye kazi zangu zanzibar munaweza kuniunganisha nae guys
Kuja uchukue mtaji
Binti mzur jamani naomba namba zake huenda tukamshauri kitu atakubali
Ndio watowe Namba
Pls Naomba namba zake Tena Niko serious tafazali😭😭😭Mimi nibinti jamani Naomba namba yake
Behind her smile kuna maumivu makubwa sana Mungu akutoe hukuu.
Mungu atakukumbuka dada
Infact Dada umekuwa muwazi Sana mum plz weka no yako hapo mm ninataka Kenya unaeza saidaka dadangu
Mungu atakujalia dada maana daaa watu tunapitia changamoto
Mpaka buku ana lolote
habali ivi uyu dada alisha saidiwa au bado
Mtangazaji ana maswali ya hovyo,
Mungu ATUSAIDIE DUUUH WAHA TUMEISHA,TUMEFIKIA HUKU.
Inauma san kikwel ila wengn wataona km uyu mdada anapenda nimeumia san mahna nikama mdogo wangu kabisa
Aah awa Dada zetu wasenge
Tuwaunge mkono wanaoandamana, maisha ni magumu, huyu Binti Yuko vzr kichwani angeweza Fanya vizuri kielimu, bahati mbaya tu, inasikitisha
Dah nimejikuta naumia kiukwwli jinsi anavyoongea yaan mm mwenyewe nilipitia huko huko ila sio kukaa Barabarani ila namshukuru mungu ameweza kunibadilisha kiakili lkn kimaisha bado Nina changamoto
Huyu mwanamke asilaumiwe na m2 aombewe duwa tu hakupenda na hapendi kibaya ni kumsaidia
Hakujua anahojiwa????? Hakujua anapostiwa???
Maana anasema watajuaje?!........
So sad😢😢
Inasikitisha😢 ningeomba kupatiwa namba ya huyu binti ili tujue namna gny y kusaidiwa cha muhimu aendelezww n masomo
Acha hiyo kazi njoo kwa yesu
Huyu malaya Kweli yaan hata atulii jaman
Pole sana Mungu atakusaidia
Amechagua kazi mbaya hata kama ni ugumu wa maisha lakin huwezi kuchagua kifo kwa sababu ya ugumu wa maisha anahitaji mtu wa kumsaidia atoke huko. Ana furure kama akisaidiwa
😢😢😢😢 mungu wangu kizazi cha nyoka hiki kikumbuke baba!!!
Safi sana hata mm nakuja huko
Maskini BWANA YESU nakuomba umsaidie huyu binti 🙏🙏
Kwenye kuhoji watu wa aina hii, sura inatakiwa ufiche. Nje ya hapo maana yake unamfanyia promosheni. Muwe mnajifunza hata kwa wenzenu basi.
Yah kwel hz platform zrud shule
@@maziku330 Wanazingua.
Habari Jamii mko vizuri kwa kutafuta viewers mmefanya ubunifu mzuri, mmemtengeneza hadi katengenezeka😂😂😂
Ila nami nahisi hii content kabisa ÿa kutengeneza.
Kama nakuelewa vile
She is so open...i really love her...Mungu akubariki utoke huku... truely shida hufanya mtu kufanya kitu asichokitaka
😢Amen, analingana na mm
Mungu akusaidie mdogo wangu..maisha yanatoa tafsri nyingi za maisha
Mungu akulinde mwanangu, nakubariki kwa jina la YESU ili akubariki na uondokane na hii adha.Mwanangu,nakupenda,nakupenda Zuena,Zuena nakupenda, MUNGU akuponye mwanangu,nakutabiria ukutane na LAMATA VILLAGE. Lulu Elizabeth akuunganishe na sanaa ya uigizaji,utatoka kimaisha mwanangu.
nimeguswaa mnooo😢😢😢😢
Binti mzuri sana na ana akili Mungu amsaidie atoke huko
Yupo muwazi kabisa hafichi anakitu huyu asaidiwe
Naona watu Wana-comment confidence ya huyu dada na kumsifia 😂😂😂😂
Hamjui tuu ni Hennessy inaongea hapo kichwani 😅
She don’t look drunk 😢anaoneka anaongea from bottom of her heart
Hata kama ni Hennessy haijalishi..hiyo hennessy imempa confidence ya kuongea ya moyoni
😂😂😂
😅😅😅😅😅kwel kbc mzeee nilikua natafuta HII comment
Sio kweli umekalili aliyetungi au unga anaonekana.
Mama Samia... Mheshimiwa Rais, kama ikikupendeza naomba huyu dada achukuliwe hatua... Anafundisha mabinti wetu ulimbukeni... watoto wa kike ( inaonyesha anajielewa vizuri... Mbona Alli Haji, anauza mbizi na familia ya watoto 5.
tena al'haji ni mtoto wa miaka 10 kabisa
Haswa huu wazimu syo uzima eti atajuaje huyo mume
Anatia huruma sana n'a bado mdogo...Mungu amsaidie inshaallah atoke kwenye hiyo biashara❤
Ameen
Inaumiza😢😢
Amina its so painful😢😢
Aaminayaarab
Mimi ni Wakigoma, i wish nimsaidie, she is very smart
Very true
Daaaah... It's so sensitive 😔
Anatabasamu zuri anajiamini tumpatie mtaji atoke Huku Coz Mungu anamjua Pia...
Ingawa wanasema 'Kunguru Hafugiki ' 😢
Samahani kama itawezekana naomba number za huyu dogo anahitaji kusaidiwa sana sana bado ni mdogo bado anaweza kusaidiwa na akafanya mambo ya haki na akafanikiwa na akatunza familia yake
Acha umalaya unataka kumtomba tuu huna lolote
😂😂😂
😂😂😂kal
@@robertmzizima9621😂😂😂😂😂
😂😂😂 you're so funny @@robertmzizima9621
Wabongo wanafiki sana eti naomba namba zake asaidiwe😅😅😅 nendeni uwanja wa fisi mkawasaidie
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂 jamaa linamtaka
😂😂😂😂 mmeistukia mipumbavu hiyo eti nipe namba nimsaidie, inaacha kusaidia watu waliowazunguka yanaanza ohooo naomba namba nimsaidie mijinga ina nyege mizeee
Sio kila mtu anafikiria ujinga wengine tuko serious na inategemea mtu unayeona anajitambua. Tumesaidia wengi na hatuwajui sio kila mtu yuko km unavyofikiri. Wengine wana ushuhuda na sio lazima namba yake hata ya Mtangazaji watu wanaguswa mtoto huyu ana mguso wa aina yake utaona atasaidiwa tu ndugu yangu. Japo wapo wabaya lakini wema pia wapo
@@chedielimrutu6955kwako ww ushajpata na ndugu zako wote au nyege tu znakusumbua??
Kumbe hapa ndio element😂😂😂😂ila kazi za kujiuza ziheshimiwe jaman kunanchi Malaya wanalipia ushuru..tanzania ndio maana haijapiga hatua hiki ni kipato cha taifa
Ety mume wake atajuaje??amesahau once on internet lives for eternity😌
Inauma sana huyu bint anaonyesha dhahiri hapend haya mambo kabisa.mungu atakusaidia bint
mmh hapana... ni kutokuridhika na ulichonacho. Yani mtu kaishia form 4 kaenda kujiuza kweli?
@gidemeritus9644 Bora hata afanye kazi za ndani😢😢
Mungu hakusaidie utoke huko 😢😢😢kujiuza ni kuweka rehan afya na maisha kwa ujumla😢 pole
Media mshamharbia uyu dogo kumrusha. IV vtu vnaishi milele fikirieni fedheha ya watoto wake wajao.
Kuna vtu kibao vya kurusha, nenden mkahoji wasafiri huko kawe kupandishiwa nauli SKU za weekend.!
Yaani mambo mengine,toka ameanza kujiuza hajapata pesa ya mtaji akafanya biashara?
We acha tu
Uyu kahaba
Yaani ujiuze upate mtaji na utoboe maisha hicho kitu hakipo hela zao ni kula kulipia kodi ya nyumba na kuvaa na kuwatumia wazazi ili kuwafurahisha wajue una kazi ya maana kumbe unajiuza
Anatabasamu vizuri Mungu akukumbuke mdogo wangu 😊
Anapenda angekuwa hapendi ndo angepambana kuachana nayo kwa pesa anazopata kuprani Nini afanye akili hana@@agnesjohn9382
Huyo muongo, hata umri aliotaja sio! 2014 mpk 2024 anamiaka 10.Jitu zima hilo, limekubuu kwenye ukahaba. Hiyo hela ni bora muwasaidie yatima!!
Huwa wanatia huruma ivi ivi, ukute keshasaidiwa ila biashara halali inataka subira na hawa mara nyingi wanataka pesa ya haraka haraka hawana subira, umalaya ni addiction mbaya zaidi. Mungu kisaidie kizazi kinateketea
AaminaYaarabi
Elfu Amsini tiketi yaMoton Allah Atusitiri woote yaarabi tamaambaya yahn nikinunuliwaHataChips nasyo mmewangu naziogopa hatakuzila nahisi kama nakula uchafu
Biashara unayoifanya haifurahishi hata kidogo wewe uko na furaha kabisa.VERY SAD. Dada tafuta njia nyingine. HUKO mmh!
Nimependa confidence yake. Akisaidiwa naweza kuwa mtu mkubwa Sana.
sio confidence ni ujinga alionao kichwani hajui hata anachokiongea, hiyo ni tabia tuun angekuwa wa kuacha mtaji wa mama ntilie alikuwa kashaupata kwama kwa siki elfu hamsini
Yes ni ujinga angekuwa anajitambua angejifunika uso, na Kama anasema anapata sh elfu 50 kwa siku anshindwaje kupata mtaji Kama watu wanaanza na mtaji wa sh elfu 10?
@@winifridarugayana7312elfu 50 kwa siku na anasema ni hela ya kula hamna mafanikio yoyote
Ripota,usilete maoni na mtazamo wako wa maisha kwa wengine. Be subjective .
Pole sana mdogo wangu tfuta kazi nyingine sna zakufanya
tamaa ndiyo inachokuponza siyo maisha chura uyu
Mwenye tabia yake hawez kuacha.....we mtu ameshazoea kichwa kimoja efu 50 jmn ata biashara ya kuingiza efu kumi ataiona ni ndogo hafai kbs kahaba hiliiii
Nímesikia uchungu.Hata ukimuangalia,usoni analazimisha furaha,lakin ndani ana maumivu makali.Mungu amuinulie mtu wa msaada
Kumbe na ww umeona jicho la tatu dear kuna watu wanamaisha magumu acha lakn mtu awez muelewa
Kweli aisee😭😭😭🙏🙏🙏🙏
sana anaonekana tu hapend kujiuza ila bas tu
Zuu njoo kwangu ntakupa kazi ntakulipa elf 7000kwa siku utakula bure utalala bure
Aseee kwa kiasi furani nimesoma hisia zake, hilo tabasamu limeficha vitu vingi sana
Mpaka mnaweka mtandaoni content kama hii mmeomba ruhusa yake? Katika maelezo yake hataki kaka yake ajue kama anajiuza, hataka mume mtarajiwa aje ajue. Kwa kuweka content hii public mnadhani mnafanya haki na mnaruhusa ya kufanya hivyo??? Hata akipata wa msaada tayari mmeshamharibia future maana hii ni abuse kabisa
Sio ya kuchekerea hi kaz jmn maradhi ni mengi uyu sawa na mtto wangu miaka yake ndio mtto wangu jmn allah awaongoze watto wetu na hatujarie mwisho mwema
Hatari
Alle jay
Pole sana dada Mungu atakusaidia utoke Hapo from Kenya
Kama umefanya kazi miezi 6 na kichwa kimoja 50k na hujawahi kukosa kichwa leo tuh labda mida ya saa tisa utaokoa na huna hyo 1 m kwenye akiba zako. Huyu hata ukipewa mtaji ataweza kusave kweli?
Kitu pekee nilichopenda huyu dada ni mchangamfu halafu mkweli sana. Mungu amsaidie dah
Nimempenda kwa confidence na uwazi alionao huyu huko mbele atatoka na ataishi vizuri. Kwanza ni mzuri kiukweli.
Ukaona uchumi unao ngoja niendeviwanja acha hiyo sio kazi bola ubebe mboga uzee
Ila tuache unafiki comment nyingi za kutaka kumsaidia za uongo nyie wenyewe mnahitaji msaada na kama mnataka kusaidia nendeni msimbazi kuna walemavu wapo pale😂