CASSIAN AWAPA ONYO MKUU WAMKOA NA MWAMPOSA KUUNGANA KUPOTOSHA EV PAACHAL CASSIAN

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ค. 2024
  • #0766998994 #call0688199370 #
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 475

  • @bernardbaitan6539
    @bernardbaitan6539 21 วันที่ผ่านมา +4

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu. Mungu akupe ulinzi. Malaika zake wakuzingile na panga za moto, mbele , nyuma, kulia na kushoto. Amen.

  • @charlesrweyemamu8352
    @charlesrweyemamu8352 19 วันที่ผ่านมา +2

    Asante sana bwana Cassian K kwa kuwa ujasiri; umetuwakilisha kusema kweli tena kweli tupu, barikiwa!

  • @goldermeirshoo1228
    @goldermeirshoo1228 22 วันที่ผ่านมา +9

    Mkuu wa Mkoa safi saaana, Mtumishi Cassian uwaache Mungu awashughulikie wenyewe, kwani aliyowaumba anajua, Chalamila kwa upeo wake kashuhudiwa kuwa Kwa Mwamposa yupo Mungu, siyo kwa upeo wako, nimeona tatizo ulilonalo ni Huna Elimu na wengine woote wanaosema wenzao ni ukosefu wa ELIMU

    • @geeoutfitdesgner
      @geeoutfitdesgner 22 วันที่ผ่านมา

      kweli kabisa,halafu nilichogungua huyu kadian anawivu anataman yeye ndo angekuwa BBM,,duh kwel watumishi wa mungu wanavita

    • @tezrantangeki5845
      @tezrantangeki5845 22 วันที่ผ่านมา

      Urudi bss kijana!
      Acha kupotosha
      Nawe kusanya umati wako...

    • @AGM19697
      @AGM19697 21 วันที่ผ่านมา

      Atuonyeshe Mungu wake na sio maneno tu. Hata Yesu alikuja na Neno lake na kulidhobitisha pia kwa matendo

    • @clarisbanza6066
      @clarisbanza6066 20 วันที่ผ่านมา +1

      Nyinyi wote mnaopinga ukweli huu na kuteteya uyo agent wa shetani mwamposa nyinyi wote ni wajinga na vipofu wa kiroho

    • @FestoYohana-ll4wk
      @FestoYohana-ll4wk 13 วันที่ผ่านมา

      ww ndio kipofu mbona yy kaz yake haionekani kaz mdomomdomo hata mgonjwa wamafua hajawahi kumuombea akapona

  • @jesusfirstchurch4162
    @jesusfirstchurch4162 22 วันที่ผ่านมา +11

    Kweli watu wengine ni mifano ya watu duniani..nafsi ziko kuzimu..
    Mungu mtie nguvu na ULINZI mtumishi wako Cassiani .
    Siku za mwisho tunagundua mengi..maboxi yanaongoza watu duniani mpaka wapagani wanashangaa..Wana WA MUNGU tusonge mbele .tuzalishe Wana WA MUNGU Kona zote ..Agizo kuu linatusubiri Mathayo 28:19-21

  • @jovettedenise2591
    @jovettedenise2591 22 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu wambingu akulinde sana manaa maaduwi wataluwa wengi kwa sababu injili yako niya ukweli lakini watu sikuhizi hawapendi ukweli Mungu akuyinuwe❤❤❤❤

  • @JacklineMroso-gy6ej
    @JacklineMroso-gy6ej 22 วันที่ผ่านมา +4

    Paza sauti mtumishi wa Mungu hata wakati wa nuhu wapo waliomdharau lakini gharika ilivyokuja waliita sana Nuhu tufungulie lakini hawakupata msaada.Wenye kuokolewa kwa hudumu yako wataokolewa wengi usikate tamaa fanya hudumu uliyoitiwa na Mungu.

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 11 วันที่ผ่านมา

    Hutabaki pekee yako tupo nyuma yako tunao jua Neno la Mungu Ubarikiwe sana Muny akulinde

  • @irenemuia2718
    @irenemuia2718 22 วันที่ผ่านมา +4

    DAMU ya YESU ikufunike daima 🙏🙏🙏

  • @FrankBororo-dk1fv
    @FrankBororo-dk1fv 20 วันที่ผ่านมา +5

    Hata waumini wenu sasa wanachoka na mahubiri yenu ya watu badala ya kuwasaidia matatizo yao. Wanakuja makanisa kumtafuta Mungu aliyewaahidi ahadi nyingi katika neno lake. Mungu ameahidi kuwaponya magonjwa yao,kuwainua na kuwatanirisha,kuwafungua kufungwa kwao,na wanataka waone hizo ahadi za Mungu zikifanyika kweli kwenye maisha yao. Sasa ikatokea hawajazipata chini yako,na wakaenda kwa huyo mnaemuita ana nguvu za shetani,na wakapokea hizo ahadi za Mungu,sahau kuwaona tena kwako. Mnamuinua sana shetani mpaka inashangaza! Mtu kapona uvimbe wewe unasema ni shetani! Mtu kapona kifafa wewe unasema ni shetani,mtu alikua fukara sasa kainuka wewe unasema ni shetani,watu wanafunguliwa mapemo na vifungo mbalimbali wewe unasema ni nguvu za shetani!

    • @christopherkaroli9365
      @christopherkaroli9365 19 วันที่ผ่านมา

      @@FrankBororo-dk1fv umeandika mambo mengi sana lkn itoshe kukuambia hivi kuwa hata shetani ana miuujiza yake, na palipo na Mungu wa kweli panajulikana tu, Mungu wetu anatafuta utakatifu sana na mengine yote tutazidishiwa je kwa nini mtu ahubiri injili ya mafanikio tu bila injili ya utakatifu? au kukemea dhambi pia nikuambie kuwa Mungu anajitegemea hatumii vitu mfano mafuta, maji mara udongo kumponya mtu, tumeambiwa kwa jina la Yesu tutatoa pepo na kuponya wagonjwa.

    • @PeterGabriel-vm5yy
      @PeterGabriel-vm5yy 19 วันที่ผ่านมา

      Ukiponywa magonjwa ukabaki kua mzinzi inakusaidia niji? Ukinunua mafuta na kwenda kunyunyiza baa na ukajaza wateja ukapata pesa inakusaidia nini? Ukipata pesa lakini ukawa hujui kumuheshimu Mungu kwa pesa zako inakusaidia nini? Miujiza yooote ikiwa jina lako halijaandikwa katika kitabu cha uzima ni bure. Na Mungu hutenda kwa wakati wake na hata asipotenda bado anabaki kua Mungu.

    • @joycelucas405
      @joycelucas405 18 วันที่ผ่านมา +1

      Tatizo hajielewi na sio vizur kumsema mtumishi mwenzako vibaya.

    • @FestoYohana-ll4wk
      @FestoYohana-ll4wk 13 วันที่ผ่านมา

      kama mnafikiri kasian yupo sawa mtajikuta mnaenda moron msihukumu maine mkahukumiwa mungu mwenyewe ndio anajua wakwake

    • @unileverldsengineering9541
      @unileverldsengineering9541 13 วันที่ผ่านมา

      Dikika 53:32

  • @user-yj5es1jw8c
    @user-yj5es1jw8c 22 วันที่ผ่านมา +4

    Nakukubali sana mahubili Safi yasio goshiwa mtu imala tukopamoja

  • @SifaMwakisambwe-kn3yl
    @SifaMwakisambwe-kn3yl 21 วันที่ผ่านมา +9

    Mwamposa ni mtumishi wa Mungu. Anamuhubiri Yesu hadharani kwa hekima kubwa Sanaa. Usiwe kama Baalamu na Baalack. Mungu alitumia punda kuubariki mji. Mkuu Mungu kamtumia kama punda kudhihirisha hakika huyu ni mtumishi wa Mungu. Usihukumu mbingu huna. Unapenda watumishi wa Mungu tuwe wanyongeee. Hubiri neno tukusikilize hii haijakaa sawa. Unampinga kristo.

    • @user-xd7gb9ub4t
      @user-xd7gb9ub4t 21 วันที่ผ่านมา +1

      Huyu Cassian Huwa anasoma Neno ila hatafakari Neno hiyo ndio shida yake na Wala sio Mtumishi mbaya ila anahitaji Elimu tu ya Neno la MUNGU, roho wa BWANA ampatie HEKIMA yake, Ili kuyafikia mataifa ila sio katika njia hii Maana hataweza kuleta faida katika ufalme wa MUNGU, zaidi ni kupotosha...(Wanajuhudi katika MUNGU lakini si katika maarifa.

    • @osmondulotu2701
      @osmondulotu2701 21 วันที่ผ่านมา +2

      Hakuna Mungu hapo kwa Mwamposa hakika, Tumaini la wanaadamu nimeangukia kwenye kutegemea mafuta ya Mwamposa , na kuacha kumtumaini Mungu, !!! Imefikia maali watu wanatembea na mafuta kwenye mikoba yao , Sikia wewe Mtu wa Mungu hakika huo Ni Ushirikina,!!!! Aina tofauti na mtu anayetembea na irizi,, !! Maana Tumaini lake huyo mtu lipo kwenye irizi aliyobeba,!!! Asikiaye Ujumbe huu na kuacha hizo aImani mbaya potofu, Ataokoka, Asema Bwana wa Majeshi,

    • @Namaize-lc8sh
      @Namaize-lc8sh 21 วันที่ผ่านมา

      Hakika

    • @DaimonMwapelele
      @DaimonMwapelele 21 วันที่ผ่านมา +1

      Amin cassian ni mtumish wa mungu Tena akiwa na ujumbe wa bwana Kama unawaamin akina mwaposa jua umetekwa ma umepotea akinawamposa ndio manabii wa uongo waliotabiliwa

    • @barakaelias1116
      @barakaelias1116 20 วันที่ผ่านมา +1

      Mungu akusaidie ndio Maan anakuuzia mafuta

  • @amanimushagalusa8752
    @amanimushagalusa8752 21 วันที่ผ่านมา +1

    Naitwa Amani z naishi kwa inchi ya Africa ya kusini nakufatiliya kiumakini Sana Kazi zako naipenda sana Mungu anaendeya kutulinda nakukutiya nguvu

  • @ZachaliaJoseph-rp7nt
    @ZachaliaJoseph-rp7nt 16 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu akulinde mtumishi Cassian najua vita ipo juu yako lakini Mungu kasema vita ni vya BWANA piga nyundo

  • @christopherkaroli9365
    @christopherkaroli9365 20 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu azidi kukuinua mtumishi wa Mungu, endelea kuwafua maajenti ya mashetani yote.

  • @user-xd7gb9ub4t
    @user-xd7gb9ub4t 22 วันที่ผ่านมา +14

    Wewe una roho ya mpinga kristo ndani yako, nahisi roho wa MUNGU alisha kuacha umebakiza maneno yasiyo na nguvu.

    • @user-ri9gj8uh2c
      @user-ri9gj8uh2c 22 วันที่ผ่านมา +3

      Sio kweli nafikir ww biblia husomi

    • @WilsonEmmanuel-bs6op
      @WilsonEmmanuel-bs6op 22 วันที่ผ่านมา +2

      Achaseme ukwel watu waende mbingun wew

    • @JJTSUPERCLEANER
      @JJTSUPERCLEANER 22 วันที่ผ่านมา

      Acha kumsema mtumishi wa Mungu vibaya je unataka na wewe uhalalishe kuwa pombe ni soda😊?

    • @GeofreyKalo-ot3we
      @GeofreyKalo-ot3we 22 วันที่ผ่านมา

      @@user-xd7gb9ub4t ndugu yangu Mimi nilishaona Muda mrefu sana kuwa huyu mtu ni mpinga Kristo anaejificha kwenye uinjilist

    • @deniskilumile612
      @deniskilumile612 22 วันที่ผ่านมา

      No .paschal yuko sahihi..na ukiona kitu kinaongelewa jua kipo au kipo njiani..au know that kuna something wrong

  • @isacksimonmahungilo
    @isacksimonmahungilo 22 วันที่ผ่านมา +4

    Iko Sawa hapa naona machawa wanawaka wazee wa mikate na bia piga nyundo Kaka usiangalie mashabiki Hata akiwa mmoja mtu nmuhimu kuliko Hao vipofu

    • @AGM19697
      @AGM19697 21 วันที่ผ่านมา

      Z 10:18 humo humo kwenye mikate na bia watu wamepata neema ya kumjua Kristo

  • @ignatiomatimba3554
    @ignatiomatimba3554 22 วันที่ผ่านมา +5

    Usihukumu usije ukahukumiwa na toa kibanzi kilichomo jichoni kwako na ndipo utoe boriti kwenye hicho la mwenzio. Pascal anajinadi kuwa alikuwepo huko kwenye ujenzi huru na akajitoa, je, amepewa uhalali na nani kuwasema watumishi wa Mungu ambao hakubaliani nao? Tuendelee kumhuburi Mungu wetu wa kweli bila kunyoosheana vidole hakuna ubaguzibwote tunaitaka Pepo njema ya YESU KRISTO WA NAZARETH

    • @DottoMussa-ro6rw
      @DottoMussa-ro6rw 21 วันที่ผ่านมา

      sio kweli nyamaza kabisa,,sauli alikuwa wapi na mtu wa namna Gani kabla hajawa Paulo,,je maisha ya manabii na wafalme yalikuwaje na hatmae za manabii zilikuwaje?,,km unapenda maneno Laini muujiza na upako,,basi huo sio utume wa paschal,na Mungu anao watu wake sehemu mbali mbali wengine bado ni makahaba kwa sasa,ila watakapo itwa ndipo mtakapo pishana milango wataingia nanyi ntatoka,,km neno limekukera basi Kuna shida ndani Yako,,omba sana hio roho iondoke ili uridhike na maonyo yakubadilishe na yasikukasirishe

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 11 วันที่ผ่านมา

    ❤❤Amina mtumishi wa Mungu Mungu awe nawe daima ponya nafusi za watu zinazopotea

  • @SteveMulenga-i1c
    @SteveMulenga-i1c 22 วันที่ผ่านมา

    Mtumishi wa mungu paza sauti kukemea uovu Ili watoto wa mungu wasipotee Asante sana mtumishi wa mungu ubalikiwa na bwana.

  • @justinocarlitosduas7357
    @justinocarlitosduas7357 22 วันที่ผ่านมา +4

    Wewe umebarikiwa na mungu ntumisi

  • @bithiasizimwe660
    @bithiasizimwe660 13 วันที่ผ่านมา +1

    Damu ya Yesu ikufunike

  • @bernardmushi4869
    @bernardmushi4869 21 วันที่ผ่านมา +4

    Kukusanya watu wengi hata MICHAEL JACKSON alikusanya watu wengi sana lakini usingeweza kusema MICHAEL JACKSON ni MTUMISHI WA MUNGU.PASCHAL CASSIAN AMETUMWA NA MUNGU,WENYE JICHO LA ROHO MTAKATIFU TUNAONA.WENGI WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA.

  • @dorahisinika7576
    @dorahisinika7576 22 วันที่ผ่านมา +1

    Mathew 14:13b-16..[.I LOVE JESUS SO MUCH ] ❤

  • @dyanamotz
    @dyanamotz 22 วันที่ผ่านมา +6

    We nae unatuvuruga!! Yaan mtu anatani akufatilie lkn kutwa hutii moyo watu unaongelea mabaya watu tu !! Sasa siuwatafute uwaambie mbona unazunguka

    • @CatherineDaniel-t5b
      @CatherineDaniel-t5b 16 วันที่ผ่านมา

      @@dyanamotz Hizi siyo nyakati za kutiana moyo mpendwa mara utanunua gari utajenga nyumba wewe amka

  • @CadiaOnesmo
    @CadiaOnesmo 17 วันที่ผ่านมา

    Ana mizaha sana huyu mkuu wa Mkoa hata kwenye mambo ya Mungu ajiiangalie sana ni bora afanyie kwingine lakini kwa Mungu amuulize Belteshaza

  • @geeoutfitdesgner
    @geeoutfitdesgner 22 วันที่ผ่านมา +3

    anawivu huyuuuuuuuuu kaaah pole sana na kanisan kwako hatuji hutuacheee😂😂,mbona huwasemi dini zngine unasema wakristo wenzio acha wivu baba😂

    • @gilbertbidimbuka9104
      @gilbertbidimbuka9104 22 วันที่ผ่านมา

      Hakuna Mkristo aliyesemaa hapo ila kawasema waganga wakienyeji na waovu wale wa mfuatao

    • @geeoutfitdesgner
      @geeoutfitdesgner 21 วันที่ผ่านมา

      kwa kuna waganga wanaotaja jina la yesu????,au wakristo ndo huwa wanajata jina la yesu mkuu tafakar na uelewe bac

    • @user-jn4vw5mv5s
      @user-jn4vw5mv5s 19 วันที่ผ่านมา +1

      Nyie msio elewa ndo mnapotea sasa na vile hamtaki kulielewa neno la MUNGU linasema nini mnajiona mko sawa kabisa

  • @jubilethfestourio450
    @jubilethfestourio450 16 วันที่ผ่านมา

    Sema kweli watu waponeDamu yayesu ikulindi mtmsh wa Mungu aliehai

  • @martinahlighare6495
    @martinahlighare6495 22 วันที่ผ่านมา +1

    Kujaza watu na kutenda miujiza sio hoja, hoja ni kuhubiri neno la Mungu kikamilifu kwa moyo wako wote.
    Naam, baki mwenyewe kuihubiri haki ya Mungu kwa wahitaji wanaona kweli yako, nao waokoke na kufanyika wana wa Mungu.
    Mungu akutunze na akuepushe na adui.

    • @AGM19697
      @AGM19697 21 วันที่ผ่านมา

      10:18 Fika ukajionee mwenyewe usihadithiwe mitaani na vijiweni. Kila siku watu wanafungiliwa na kumpokea Yesu bila shida. Baada ya kujua kumbe Mungu ni halisia na sio maneno matupu

    • @AGM19697
      @AGM19697 19 วันที่ผ่านมา

      @@martinahlighare6495 Ndugu achana na story za vijiweni chukua hatua msikilize Mtumishi Mwamposa hata kwa utube ndio uncomment.
      Huwa anahubiri neno kwa ufasaha, anafungua watu vifungo vyao kwa njia rahisi kabisa, mwisho anaongoza watu sara ya toba kwa yeyote atakaye kumpokea Yesu.
      Mm nimwokoka na natokea mojawapo ya madhehebu makubwa ya kilokole, nimemsikiliza mara nyingi sana na sijaona wapi pa kumpigia mawe.
      Acha ushabiki chukua hatua binafsi kufatilia

  • @FrancisHaonga-mp8oy
    @FrancisHaonga-mp8oy 14 วันที่ผ่านมา

    Wenye maskio na wasikie neno ilo mwenye macho watazame bwana yu karibu Mungu azidi kukupa maisha marefu mpaka kusudi lake litimie kwako

  • @renatus5687
    @renatus5687 21 วันที่ผ่านมา +2

    Wewe casian muhuni tu sem unajua wa tz wanapenda umbeya ndo maana unawapiga kanisa ulilokuwa ukiomba sadaka umalizie kulijenga liko wapi kama n ww sio muhuni tena unachuki sana ww jamaa na wivu mkubwa

  • @PiusMaira
    @PiusMaira 22 วันที่ผ่านมา +3

    SoMa maandiko mtumishi , Mwamposa anafuata maandiko , acha kashifa unatenda dhambi na usipo badilika utakinyea kikombe. Na tutajuaje umetumwa na Mungu make inaonesha hufahamu neno .

    • @Berenaldo77
      @Berenaldo77 22 วันที่ผ่านมา

      No

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 22 วันที่ผ่านมา

      una akili sana kuna manabiii wanaomsema kana kwamba anatumia biblia ya kuzimu kila mtu na wito wake naona angezingatia kuhubiri zaidi wati wafunguliwe

  • @bethmahela2182
    @bethmahela2182 21 วันที่ผ่านมา +1

    Acha uongo bwana toka lini pepo akamtoa pepo mwenzie,

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 22 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu anasema.ombeni lolote.mtapata.Basi mwuombeeni Mwaposa.kuliko kukashifu.hapo hamna jibu.

  • @BYAMUNGUGERLASMASHAURI
    @BYAMUNGUGERLASMASHAURI 16 วันที่ผ่านมา

    Endelea Ku pasa sauti Zaidi na Zaidi. Tunakuombea Mungu Aendelee kukusimamia

  • @user-fw6tj8kt4n
    @user-fw6tj8kt4n 17 วันที่ผ่านมา

    Kwanini hatutaki kusoma neno la Mungu . Binadamu tusimame kwa neno la Mungu mbona linatufundisha vizuri.

  • @goldermeirshoo1228
    @goldermeirshoo1228 22 วันที่ผ่านมา +3

    Wanaokwenda huko wanalijua neno , ina maana Mungu anaongea na wewe tu duniani, watumishi woote hawaendi anavyopenda Mungu, jichunguzeee vizuri mtumishi, ina maana dunia hii ni wewe tu unaejua neno la Mungu

    • @user-ks9ui8td7y
      @user-ks9ui8td7y 22 วันที่ผ่านมา +1

      soma BIBLIA utaona kwaba anasema ukweli

    • @clarisbanza6066
      @clarisbanza6066 20 วันที่ผ่านมา

      @goldermeirhoo1228 wewe ni ibilisi isiye jitambuwa kuwa makini ujuwe kwamba hapa ni mazabauni pia MUNGU atakupiga vibaya kama utoacha kizarau neno la kweli

    • @julianajeremiah4353
      @julianajeremiah4353 19 วันที่ผ่านมา

      Nawe unapenda kukosoa sana Sasa we ndio umetumwa na Mungu kila kitu unakosoa umewaita wewe? Na ukifika Mungu hayuko hivyo we inuka hubiria injili watu waokoke unadhani ukisema ivyo ndio utazuia? Na Bado unataka michango ya watu ukianza kuhubiri injili tutachanga lkn kukandia watu hapana

    • @agnesspaul1866
      @agnesspaul1866 11 วันที่ผ่านมา

      Ukweli ndo huo na haupingiki Muñgu alishakazaza vileo casssia mtumishi ubarikiwe

    • @goldermeirshoo1228
      @goldermeirshoo1228 11 วันที่ผ่านมา

      @@clarisbanza6066 Mungu Ahache kukupiga wewe unae simama na madhabahu za wenzako, ACHA KUSIMAMA NA MADHABAHU ZA WATUMISHI WENGINE, HUBIRI NENO, ACHA KUHUBIRI MADHABAHU ZINGINE HATA KAMA HAWAENDI MBINGUNI SI UWAACHE

  • @Anza_tz
    @Anza_tz 22 วันที่ผ่านมา +1

    Sasa kaka pascal hivi unashindwa kuongea bila kukioromesha hiyo sauti yako watu tunasikia vizuri tuu ukiongea kwa ukawaida wako maana sauti mpaka tunasahau ulianzia wapi na umeishia wapi....Jambo lingine kama ni kweli Roho wa Mungu amekuambia mwamposa sio mtumishi wake basi mimi ninakupa support 100000% lakini mtumishi kama una hubiri kwa hisia zako nataka nikupe tuu onyo kuna siku unachokiumba kitakurudia na wewe kuna watu watainuka juu yako kwa maana auae kwa upanga atapigwa sawa sawa

  • @ShukraniChomolla
    @ShukraniChomolla 22 วันที่ผ่านมา +2

    Kwani lazima ukihubiri utaje watumishi wengin sasa mwamposa anaingiaje hapo badala uwahubirie watu neno la Mungu

    • @justinmayback5552
      @justinmayback5552 21 วันที่ผ่านมา

      huyu jamaa anajiona yeye yuko sahihi mpuuz sana anaongelea watumishi tu

    • @ShukraniChomolla
      @ShukraniChomolla 21 วันที่ผ่านมา

      @@justinmayback5552 yeye ahubirie watu wapone na si kutaja watumishi wengine bana

  • @SifaMwakisambwe-kn3yl
    @SifaMwakisambwe-kn3yl 21 วันที่ผ่านมา +3

    Usihukumu usije ukahukumiwa. Tukifika mbinguni utashangaa taji zao zinang'aaa.
    Mungu akusaidie mtu wa Mungu.

  • @jesusfirstchurch4162
    @jesusfirstchurch4162 22 วันที่ผ่านมา +1

    Wanaalika watu kwenye maadhimisho ya ugonjwa wa figo na tunaambiwa pombe ni chanzo kikuu wanadai matibabu ni gharama kubwa na watu wanakufa leo kiongozi anahamasisha kweupeee..si uislamu wala ukristo unakubaliana na kauli hiyo.. Mungu akutane nae uso kwa uso

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 19 วันที่ผ่านมา +1

    Hawa manabii wa uongo waabudu mashetani watakokota wengi kuzimu. Wateule tuwe macho, Yesu yu karibu malangoni.

  • @faridashabanifaridashabani5950
    @faridashabanifaridashabani5950 22 วันที่ผ่านมา +4

    Kwakweli Mungu ndo anasitahili cheo hicho Ila ukiona Mungu kanyamaza basi siku ikifika msiseme hamkuwambiwa kiongozi waserikali unaongea hivyo kweli shetani amewalewesha Mungu atusaidie 🙏

    • @AGM19697
      @AGM19697 21 วันที่ผ่านมา

      Nijuavyo mm taarifa za kiongozi ni za nyakati mbili tofauti.
      Moja kabla hajafikiwa na neema ya Mungu na nyingine baada na yeye kufikiwa na neema hiyo. Mtu haukumiwi kwa matendo ya kale. Anahukumiwa kwa matendo ya sasa

  • @haloterinternant
    @haloterinternant 20 วันที่ผ่านมา

    Achaa unafiki we ubili neno la MUNGU Achana na mwamposa mtumishi wa MUNGU

  • @andreachanai6658
    @andreachanai6658 22 วันที่ผ่านมา +2

    watumishi wa Mungu mnatuchanganya sana badala la ya kuhubiri neno mnatumia muda mwingi kusemana nyie watumishi we hubiri neno watakakufuata watakufuata lakn sio kutupiana madongo kwa kuwataja watu majina hapo unakosea mtumishi

    • @geeoutfitdesgner
      @geeoutfitdesgner 22 วันที่ผ่านมา

      kweli

    • @chrisophermazanza6499
      @chrisophermazanza6499 22 วันที่ผ่านมา

      Kasome biblia yohana mbatizaji alikuwa akifanya Nini juu yaungoz

    • @user-kr9xx8br4o
      @user-kr9xx8br4o 6 วันที่ผ่านมา

      Soma Neno la Mungu, usijiegemeze kwenye wanadamu, wala hutachanganyikiwa.

  • @SafiAkinyi8361
    @SafiAkinyi8361 22 วันที่ผ่านมา +42

    Mimi husoma tu comment za watu lakini acheni niwaambie watu ambao mnatusi huyu mtumishi wa BWANA na ametumwa jueni ya kwamba mnajichimbia kaburi lenyu wenyewe na ndo huwa mnasikia watu wakisema tumerogwa na kumbe ni nyinyi wenyewe mnajiroga kwa kutukama mtumishi wa MUNGU huyu MWINJILISTI Cassian ametumwa na BWANA Aliye hai so endeleeni kukaidi mtakipata cha kwenu Amen God cannot be mocked ukweli utajulikana as soon as possible

    • @GeorgeChitemo-kt8sw
      @GeorgeChitemo-kt8sw 22 วันที่ผ่านมา

      @@SafiAkinyi8361 Acha kusema mtumishi WA Mungu wakati muadu rusifa

    • @cellinamuro6872
      @cellinamuro6872 22 วันที่ผ่านมา

      Hizi ni zilebnyakati mbaya wanakuja kama kondoo lakini ndani ni mbwa mwitu asikiae na afahamu kuwa hu ni ule wakati wa manabii wa uongo ndio huyoooooo watu watasombwa sana kuzimu hata wateule biblia imesema

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA 22 วันที่ผ่านมา +2

      CASSIAN PASCHAL anampinga Mungu hakuna aliyempinga Mungu akafanikiwa . NAJUA HILO TOKEA KITAMBO NA Nimemshauri sana kwa njia hii AMESHUPAZA SHINGO.NAMWACHIA MUNGU ATAMJIBU KWA WAKATI NA MAJIRA YAKE

    • @user-jl5un4wf3u
      @user-jl5un4wf3u 22 วันที่ผ่านมา

      shetani hana chamkuuwa mkoawala wafalme wala wenye akili baali ana vivutio vyakukupeleka kwenye aanguko akiwemo namwenyewe swalanikujua kweli yaneno huge nimkuuwa moka wakuzimu siwaraiawa wa jamuhuri ya Tanzania hatagamoliayake hata viongoziwakeanawadhalilisha hatofautishi mvinyowa wayahudi wa wakatiule navyakula vyao vyamikate hiyo walishushia kunywa juice zabibuiliziwasaidie kupatahajakubwa kwa urahisi saanyingine niushamba uliopitiliza kutamukamaneno sawanamatapishi yakomwrnyewe mbele yaumawadunia nzima halafu unadhalilisha walikuteua kujaza watusisikitu chakipimo chawenye hekima wewe. Charamila mpingakiristo uliwahikuona analoga? au anajifanya yeyekamakiristo ...hujifanya yeyenizaidi ya Mungu hivyo chungasana ulimiwako we ye jamii. Wananchi wanaujuzuzi kulikowewe chukuahilo.

    • @user-tt7cu2et1x
      @user-tt7cu2et1x 21 วันที่ผ่านมา

      Yahn watu wako tayari kujaa kwenye maovu na cyo kutubu uovu wao😢😢😢ole wa inchi na wote wakaao juu yakee..mwamposaa siend mybe niwe maiti at Roho mt amenishuhudia saana alishaasi.njia ya msalaba tulianza naye maimoriaa. Akiwa na hema na mikesha ya maombi alikua vizuri.after kufika dar basii iman ya kwel aliichia mosh😢😢😢😢jamn watu mkikanywa msikiee

  • @brunomeela1436
    @brunomeela1436 20 วันที่ผ่านมา

    Luka.5:31-32.Yesu akawajibu akawaambia,Wenye afya hawana haja na tabibu,isipokuwa walio hawawezi.Sikuja kuwaita wenye haki,Bali wenye dhambi,Wapate kutubu.Mheshimiwa alisimama kwenye madhabahu ya Mungu aliyeumba mbingu na nchi na kuombea Amani kwenye taifa lake.je,ulitaka asimame wapi?Kwa Waganga wa kienyeji au kwenye Madhabu ya Mungu aliyeumba mbingu na nchi.Je angesimama kwenye huduma yako na akatamka hao ya Kumsifu Yesu Kristo ungesemaje?Mitume na Manabii Mlioitwa na Mungu aliyeumba Mbingu na Nchi endeleeni kuwasaidia watu.Walio wagonjwa,wasiozaa wazae.Waganga wote wajisalimishe kwenye madhabahu ya Mungu aliyeumba Mbingu na nchi.Katika Jina la Yesu kristo Amen.

  • @user-fw6tj8kt4n
    @user-fw6tj8kt4n 17 วันที่ผ่านมา

    Njia ni mobility za kwenda mbinguni tukumbuke njia nyembamba watakao ingia ni wachache . Na njia pana watakao ingia ni wengi.

  • @bernardmakengochuma5989
    @bernardmakengochuma5989 21 วันที่ผ่านมา +1

    Acha hzo ww Cassian unawivu sana huna lolote hujui bible Sasa ww mkuu wa mkoa amekukosea nn mwambosa amekuzidi Kila kitu ww unawivu kwa sababu huna waumini alafu ujue kumkashifu mtu nikosa kisheria ww ni mpuuz sana

  • @user-mn2hb7xt9k
    @user-mn2hb7xt9k 20 วันที่ผ่านมา +1

    Hata waumini wko walienda Kwa mtumishi WA mungu mwamposa mpakwa mafuta

  • @MeshackDaniely
    @MeshackDaniely 10 วันที่ผ่านมา

    Mungu tusaidie kabisa mana duniani kunatisha

  • @feddymwanga5462
    @feddymwanga5462 15 วันที่ผ่านมา

    Kaka Acha Mungu awaumbue

  • @Pendopasilika
    @Pendopasilika 22 วันที่ผ่านมา +1

    Mweeee!! Jamani😢😢😢😢 pamoja na cheo alicho nacho lakini shetani anasema sikuachii lazima unitukuze

  • @pastormichaelkayombopendec2497
    @pastormichaelkayombopendec2497 11 วันที่ผ่านมา

    Tunakupenda tuko pamoja na wewe kupigwa sio kosa acha wakupinge lkn kweli imefika

  • @user-ij7tw5zl1c
    @user-ij7tw5zl1c 16 วันที่ผ่านมา

    Ushindwe kwa damu ya yesu na ushindwe na mazabao yako

  • @Davidgeorge-xq8me
    @Davidgeorge-xq8me 11 วันที่ผ่านมา

    Jamani tunaishi nyakati za hatari,msiambiwe YESU Yuko huku,mara kule mkasadiki,wateule muwe macho ,YESU yuko hapo ulipo ni wewe kumwamini tu na muombe MUNGU lolote kwa jina la YESU utapewa

  • @PROPHETLWITIKO-rr4gc
    @PROPHETLWITIKO-rr4gc 16 วันที่ผ่านมา

    BROTHER Pasco kasiani acha kuchafua MTUMISHI WA MUNGU BONIFACE MWAMPOSA mimi namjua BONIFACE MWAMPOSA akiwa anatumiwa na MUNGU zaidi ya miaka 20 iliyo pita MBEYA miaka iliyopita nimemuona MUNGU Akimtumia BONIFACE MWAMPOSA brother wewe ndiye unsye halibu kazi ya MUNGU uengeenderea kiimba tuu

    • @CatherineDaniel-t5b
      @CatherineDaniel-t5b 16 วันที่ผ่านมา

      @@PROPHETLWITIKO-rr4gc KUMJUA MTU SIYO TATIZO MPENDWA MOYO WA MWANADAMU NI KICHAKA

  • @barakaelias1116
    @barakaelias1116 20 วันที่ผ่านมา

    Amina niko na wew mtumishi niko zanzibar nakufatilia

  • @shakuratradeservices5919
    @shakuratradeservices5919 16 วันที่ผ่านมา

    Mungu gani kamtuma mtumishi kushambulia wengine kila siku? TUJITAFAKARI

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 22 วันที่ผ่านมา +2

    Kazi imeanza wao kwa wao

  • @reginamarwa8636
    @reginamarwa8636 22 วันที่ผ่านมา +2

    Sauti ya mtu aliaye nyikani......

  • @feddymwanga5462
    @feddymwanga5462 22 วันที่ผ่านมา +2

    Cassian hubiri neno

  • @user-cz7bd9tc5k
    @user-cz7bd9tc5k 20 วันที่ผ่านมา

    Mkuu wa Mkoa sio Mtumishi Wa MUNGU Yeye ni Mtumishi wa Selikali Na jua Yeye Ha muamini Mungu kwa imani yako Wewe kwake kila kitu sawatu Makahaba ni Mali ya MUNGU Walevi pia Yeye ndie Aliye Waumba

  • @EnaraMfwango
    @EnaraMfwango 21 วันที่ผ่านมา

    Nakupend xàn kak but tuhubilie nen la mungu usituhubilie abar za mwamposa tumechok ndug tuhubilie abàri za mungu na namn gan tutaingia mbinguni kil xik mwampox mpak tumechok mpak tut kuj tukuon unamuhubur mwampox

  • @RUBENNGAYA
    @RUBENNGAYA 22 วันที่ผ่านมา +1

    EE MUNGU TUREHEMU,TUFUNZE KUHUBIRI NENO LA MUNGU KAMA MWINJILISTI CHRISTOPHER MWAKASEGE,Sijui kama kuwasema wengine ndo KUHUBIRI?? TUOMBE TOBA NI MAKOSA KUWASEMA WENGINE,MUNGU MWENYEWE AMEKATAA,LET LOVE OF JESUS CHRIST LEAD US.

  • @goldermeirshoo1228
    @goldermeirshoo1228 22 วันที่ผ่านมา +11

    Hawa unaowazungumzia mtumishi hawana mbingu, achana na habari zao, wewe hubiri neno la Mungu bila kuwataja watu majina yao, kweni huwezi kutoa neno bila wao,labda hawamuabudu Mungu wako, wewe hubiri neno la Mungu, Chalamila ni Mroma, wanaruhusiwa kunywa, hubiri neno achana na Mambo ya watu

    • @jeniphermyingajeniphermyin8029
      @jeniphermyingajeniphermyin8029 22 วันที่ผ่านมา

      Binafsi namwamini huongea vinginr kweli,lkn kwann wnahubiri kwamajina yawatu jamani,ama WOTE waongo YEYE ndiye mkweli PEKEE.,mmmh ALISEMA MTU mmoja SK zinakuja wakristo mtapigana wenyewe kwawenyewe.

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 22 วันที่ผ่านมา

      basi dunia n nzima yeye ndo wa kweli umeongea point sana kila madhabahu anaisema 😊​@@jeniphermyingajeniphermyin8029🎉🎉🎉🎉

    • @mwakatimbamahenge3196
      @mwakatimbamahenge3196 22 วันที่ผ่านมา

      Umenena vema sana, yaani kama yeye ametumwa kuwaokoa watu basi awahubirie watu hata siku moja. Anasema tusiwaamini hawa sawa enhe tusipowaamini tukamwamini yeye then anatuhubiria nini sasa?

    • @eliagospel
      @eliagospel 22 วันที่ผ่านมา

      Cassia Yuko sahihi

    • @eliagospel
      @eliagospel 22 วันที่ผ่านมา +1

      Jaman Cassian ametumwa tusipuuze ipo siku huyu mtumishi atakumbukwa na mungu ana makusudi naye

  • @user-fw6tj8kt4n
    @user-fw6tj8kt4n 17 วันที่ผ่านมา

    Nyesu ni Mtoto wa Mungu alijaribiwa na shetani lakini Yesu alimushinda shetani kwa Neno la Mungu .

    • @CatherineDaniel-t5b
      @CatherineDaniel-t5b 16 วันที่ผ่านมา

      @@user-fw6tj8kt4n Hee! 😳😳Nyesu tena

  • @IbuGang
    @IbuGang 6 วันที่ผ่านมา

    Sio kweli ,huna roho mtakatifu hubiri yakok huna macho ya ndani tena unamtakashari

  • @user-jf2gp7wb9i
    @user-jf2gp7wb9i 21 วันที่ผ่านมา +1

    Sasa wewe shida iko wapi km Chalamila na mwamposa wanamamakosa
    wewe sio Jaji muachie Mungu mwenyewe
    unaweza wewe ukakuta una makosa
    wivu anao Mungu wewe nyamaza
    unampenda mama Samia wengine hawampendi acha wivu mchungaji

  • @IbuGang
    @IbuGang 6 วันที่ผ่านมา

    Nunua mwenyewe vyombo vya mziki ,wivu tu ulionao Mwamposa ni mteule wa Mungu

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 22 วันที่ผ่านมา +2

    Pambaneni Mimi sipo nacomment tuu hapo wanangangania sadaka 😅😅😅

  • @Leeeeeeee-96
    @Leeeeeeee-96 22 วันที่ผ่านมา +8

    kaka tuonyeshe mungu alie ndani yako na kazi zake zizihirike akuna aja ya kupambana na mwamposa wala manabiii wengine sioni kiutumishi kama inaleta afya

    • @GeofreyKalo-ot3we
      @GeofreyKalo-ot3we 22 วันที่ผ่านมา +1

      Huyu Jamaa ni mnafiki na wivu

    • @DamianUlaya
      @DamianUlaya 22 วันที่ผ่านมา

      Afya gan unaitaka wacha waseme ukwel

    • @misscesty5817
      @misscesty5817 22 วันที่ผ่านมา

      ​@@GeofreyKalo-ot3wewanadamu hampendi ukweli ndio maana neno la mungu hamjisomei wenyewe

    • @WilsonEmmanuel-bs6op
      @WilsonEmmanuel-bs6op 22 วันที่ผ่านมา

      ​@@misscesty5817Amin umeongea ukwel dada

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 22 วันที่ผ่านมา

      @@DamianUlaya aendelee kuongea mdomo mali yake lkn kiutumishi kila mtu anatakiwa kuwa na hekima 😂😂😂😂😂

  • @PaulDavis-wz7rd
    @PaulDavis-wz7rd 14 วันที่ผ่านมา

    Njia ya kwenda mbinguni ni ngumu mno kuliko vile wanadamu wanavyoichukulia! wokovu sio kitu rahisi! sio kujaza watu mamilion! sio kusifiwa na watu!

  • @samweljoseph-kp8ne
    @samweljoseph-kp8ne 9 วันที่ผ่านมา

    Yesu akusimamie mtumishi sema ukweli

  • @EstherjesseySenyagwa
    @EstherjesseySenyagwa 16 วันที่ผ่านมา

    Ww baba uko sahihi toka nipo mdogo sijawahi kukanyaga madhabau za watumishi feki coz najua everything kuhusu shetani ni nani na watumishi wengi wanajificha ushetani wao usionekane ila sisi wenyewe macho ya rohon tunaona vingi

  • @GeofreyKalo-ot3we
    @GeofreyKalo-ot3we 22 วันที่ผ่านมา +3

    Acha wivu imekuuma sanaaaaa! Na bado

  • @WiltodiMgombela-cn2ec
    @WiltodiMgombela-cn2ec 21 วันที่ผ่านมา

    Amina kubwa mtumishi wengine wanaingia mikataba na shetani kupofosha watu Kwa maneno

  • @FudidohwcbOfficial
    @FudidohwcbOfficial 21 วันที่ผ่านมา +1

    Yani wewe unafuta bangi sana mimi nakwambia kila siku mbona unapenda sana kwingilia kanisa la Mwanzako inakuuma nini moyo wako kwa mwamposa?

  • @user-zz9gr1vd9h
    @user-zz9gr1vd9h 22 วันที่ผ่านมา +1

    Siku Mungu ashuke na gadhabu yake ndipo watakapojua nisawa kama hawajarudi kuwambia watu watubu kwa gadhabu aliyoshusha

  • @irenemuia2718
    @irenemuia2718 22 วันที่ผ่านมา +1

    JAMANI Vijana na WATOTO wetu ,eee MUNGU wa huruma tuhurumieee 😭😭😭😭😭

  • @GiftMkwizu
    @GiftMkwizu 22 วันที่ผ่านมา

    Amen mungu akubariki

  • @mako331
    @mako331 20 วันที่ผ่านมา

    Wewe una akili sana huyu Mkuu wa mkoa hana akili sasa nimejua, wingi si hoja Mkuu njia ya upotevuni ni pana na wengi wanaifuata

  • @victorngimbwa5558
    @victorngimbwa5558 20 วันที่ผ่านมา

    Wewe kweli unaona,Wewee Ni kipofu ambaye hujui kama kipofu

  • @mercykariithi7919
    @mercykariithi7919 22 วันที่ผ่านมา +1

    Cassian ana sema ukweli juu ya mwamposa huyu mwamposa ni mwongo na ni agent wa shetani

  • @kayombotv9758
    @kayombotv9758 21 วันที่ผ่านมา +1

    Hatukuelewi una hubiri enjili au kazi yako kuwasema watu. Tena untumia hasira nyingi sana ya nini ndugu.

  • @user-ij7tw5zl1c
    @user-ij7tw5zl1c 16 วันที่ผ่านมา

    Mchawi mkubwa tena nasema Achana na Mtumishi wa Mungu Mwamposa

  • @MosesWiliam-ms8hu
    @MosesWiliam-ms8hu 22 วันที่ผ่านมา +2

    Ira usiwe unagusa viogoz kaka hao ndo wenye madaraka

  • @user-kr9xx8br4o
    @user-kr9xx8br4o 6 วันที่ผ่านมา

    UPONYAJI WA YESU KRISTO HUJA KWA MSAMAHA WA DHAMBI, NA WALA SI KWA KUKANYAGA MAFUTA.

  • @israelimarco6465
    @israelimarco6465 19 วันที่ผ่านมา

    kabla cjakusifia naomba kujua wewe umeitwa kwenye eneo gani alafu nije kanisani kwako na nimfuate Mungu wako

  • @PatrickTimoth
    @PatrickTimoth 22 วันที่ผ่านมา +1

    Mi naona haina haja ya kuongelea watumishi wote kikubwa Mungu ndiye anaejua nakila mtu ataenda kwa wakati wake Mungu tu atusaidie

    • @user-kr9xx8br4o
      @user-kr9xx8br4o 6 วันที่ผ่านมา

      HAONGELEI WATUMISHI WA MUNGU

  • @WinbirdFrancis
    @WinbirdFrancis 22 วันที่ผ่านมา

    Mungu hakuweke milele

  • @comsmkemwa2671
    @comsmkemwa2671 21 วันที่ผ่านมา +1

    Nchi hii vichaa hawataisha, wewe pascal na Mbarikiwa ni wivu tu

  • @jesusfirstchurch4162
    @jesusfirstchurch4162 22 วันที่ผ่านมา +1

    Usipokuwa wa rohoni Kuna mengi yatapongezwa na mawakala wa dunia hii maana wako kazini..
    Hata Afrika kusini Kuna kanisa la wanywa bia..
    Fimbo ya Bwana itembee

  • @ed2simon
    @ed2simon 21 วันที่ผ่านมา

    EV CASSIAN-- UMENENA VYEMA MUNGU AKUBARIKI SANA ZIDI KUFICHUA YALE YANAYOFANYA ILI KOMBOA NDUGU ZETU WANAO ANGAMIA HUKO

  • @user-zj9op4fb7w
    @user-zj9op4fb7w 21 วันที่ผ่านมา

    Mungu akulinde Kaaian

  • @mashakalupindo
    @mashakalupindo 22 วันที่ผ่านมา +1

    Wewe inaonekana mtu mwenye wivu mkubwa sana na huduma za watumishi wenzio, Fanya kile MUNGU amekuitia. Lakini wivu utakupoteza katika huduma Yako.

    • @WilsonEmmanuel-bs6op
      @WilsonEmmanuel-bs6op 22 วันที่ผ่านมา

      Muache aseme ukwel mungu hamemuita kusema ukwel

  • @GraceMollel
    @GraceMollel 17 วันที่ผ่านมา

    MUNGU ana watu wengi sana

  • @user-jc1do5gf3w
    @user-jc1do5gf3w 22 วันที่ผ่านมา +2

    Du mnyukano huu,yangu macho

  • @EmmanuelErnest-r7g
    @EmmanuelErnest-r7g 21 วันที่ผ่านมา

    Chapa kazi baba kemea fundisha onya, watu wengi hawaitaki kwel wanatak mahubiri ya mafanikio tu

  • @ObadiahKabulente
    @ObadiahKabulente 21 วันที่ผ่านมา +1

    Nenda mwamposa atakupea 16ml Bure

  • @Taysonmick-q1f
    @Taysonmick-q1f 21 วันที่ผ่านมา

    Watu sasa hivi kama bendera hata hawasomi someni bibiria Muna zan paschar amepanga sawa anaseme kwr