Mkuu wa Mkoa safi saaana, Mtumishi Cassian uwaache Mungu awashughulikie wenyewe, kwani aliyowaumba anajua, Chalamila kwa upeo wake kashuhudiwa kuwa Kwa Mwamposa yupo Mungu, siyo kwa upeo wako, nimeona tatizo ulilonalo ni Huna Elimu na wengine woote wanaosema wenzao ni ukosefu wa ELIMU
Kweli watu wengine ni mifano ya watu duniani..nafsi ziko kuzimu.. Mungu mtie nguvu na ULINZI mtumishi wako Cassiani . Siku za mwisho tunagundua mengi..maboxi yanaongoza watu duniani mpaka wapagani wanashangaa..Wana WA MUNGU tusonge mbele .tuzalishe Wana WA MUNGU Kona zote ..Agizo kuu linatusubiri Mathayo 28:19-21
Paza sauti mtumishi wa Mungu hata wakati wa nuhu wapo waliomdharau lakini gharika ilivyokuja waliita sana Nuhu tufungulie lakini hawakupata msaada.Wenye kuokolewa kwa hudumu yako wataokolewa wengi usikate tamaa fanya hudumu uliyoitiwa na Mungu.
Hata waumini wenu sasa wanachoka na mahubiri yenu ya watu badala ya kuwasaidia matatizo yao. Wanakuja makanisa kumtafuta Mungu aliyewaahidi ahadi nyingi katika neno lake. Mungu ameahidi kuwaponya magonjwa yao,kuwainua na kuwatanirisha,kuwafungua kufungwa kwao,na wanataka waone hizo ahadi za Mungu zikifanyika kweli kwenye maisha yao. Sasa ikatokea hawajazipata chini yako,na wakaenda kwa huyo mnaemuita ana nguvu za shetani,na wakapokea hizo ahadi za Mungu,sahau kuwaona tena kwako. Mnamuinua sana shetani mpaka inashangaza! Mtu kapona uvimbe wewe unasema ni shetani! Mtu kapona kifafa wewe unasema ni shetani,mtu alikua fukara sasa kainuka wewe unasema ni shetani,watu wanafunguliwa mapemo na vifungo mbalimbali wewe unasema ni nguvu za shetani!
@@FrankBororo-dk1fv umeandika mambo mengi sana lkn itoshe kukuambia hivi kuwa hata shetani ana miuujiza yake, na palipo na Mungu wa kweli panajulikana tu, Mungu wetu anatafuta utakatifu sana na mengine yote tutazidishiwa je kwa nini mtu ahubiri injili ya mafanikio tu bila injili ya utakatifu? au kukemea dhambi pia nikuambie kuwa Mungu anajitegemea hatumii vitu mfano mafuta, maji mara udongo kumponya mtu, tumeambiwa kwa jina la Yesu tutatoa pepo na kuponya wagonjwa.
Ukiponywa magonjwa ukabaki kua mzinzi inakusaidia niji? Ukinunua mafuta na kwenda kunyunyiza baa na ukajaza wateja ukapata pesa inakusaidia nini? Ukipata pesa lakini ukawa hujui kumuheshimu Mungu kwa pesa zako inakusaidia nini? Miujiza yooote ikiwa jina lako halijaandikwa katika kitabu cha uzima ni bure. Na Mungu hutenda kwa wakati wake na hata asipotenda bado anabaki kua Mungu.
Mwamposa ni mtumishi wa Mungu. Anamuhubiri Yesu hadharani kwa hekima kubwa Sanaa. Usiwe kama Baalamu na Baalack. Mungu alitumia punda kuubariki mji. Mkuu Mungu kamtumia kama punda kudhihirisha hakika huyu ni mtumishi wa Mungu. Usihukumu mbingu huna. Unapenda watumishi wa Mungu tuwe wanyongeee. Hubiri neno tukusikilize hii haijakaa sawa. Unampinga kristo.
Huyu Cassian Huwa anasoma Neno ila hatafakari Neno hiyo ndio shida yake na Wala sio Mtumishi mbaya ila anahitaji Elimu tu ya Neno la MUNGU, roho wa BWANA ampatie HEKIMA yake, Ili kuyafikia mataifa ila sio katika njia hii Maana hataweza kuleta faida katika ufalme wa MUNGU, zaidi ni kupotosha...(Wanajuhudi katika MUNGU lakini si katika maarifa.
Hakuna Mungu hapo kwa Mwamposa hakika, Tumaini la wanaadamu nimeangukia kwenye kutegemea mafuta ya Mwamposa , na kuacha kumtumaini Mungu, !!! Imefikia maali watu wanatembea na mafuta kwenye mikoba yao , Sikia wewe Mtu wa Mungu hakika huo Ni Ushirikina,!!!! Aina tofauti na mtu anayetembea na irizi,, !! Maana Tumaini lake huyo mtu lipo kwenye irizi aliyobeba,!!! Asikiaye Ujumbe huu na kuacha hizo aImani mbaya potofu, Ataokoka, Asema Bwana wa Majeshi,
Amin cassian ni mtumish wa mungu Tena akiwa na ujumbe wa bwana Kama unawaamin akina mwaposa jua umetekwa ma umepotea akinawamposa ndio manabii wa uongo waliotabiliwa
Usihukumu usije ukahukumiwa na toa kibanzi kilichomo jichoni kwako na ndipo utoe boriti kwenye hicho la mwenzio. Pascal anajinadi kuwa alikuwepo huko kwenye ujenzi huru na akajitoa, je, amepewa uhalali na nani kuwasema watumishi wa Mungu ambao hakubaliani nao? Tuendelee kumhuburi Mungu wetu wa kweli bila kunyoosheana vidole hakuna ubaguzibwote tunaitaka Pepo njema ya YESU KRISTO WA NAZARETH
sio kweli nyamaza kabisa,,sauli alikuwa wapi na mtu wa namna Gani kabla hajawa Paulo,,je maisha ya manabii na wafalme yalikuwaje na hatmae za manabii zilikuwaje?,,km unapenda maneno Laini muujiza na upako,,basi huo sio utume wa paschal,na Mungu anao watu wake sehemu mbali mbali wengine bado ni makahaba kwa sasa,ila watakapo itwa ndipo mtakapo pishana milango wataingia nanyi ntatoka,,km neno limekukera basi Kuna shida ndani Yako,,omba sana hio roho iondoke ili uridhike na maonyo yakubadilishe na yasikukasirishe
Kukusanya watu wengi hata MICHAEL JACKSON alikusanya watu wengi sana lakini usingeweza kusema MICHAEL JACKSON ni MTUMISHI WA MUNGU.PASCHAL CASSIAN AMETUMWA NA MUNGU,WENYE JICHO LA ROHO MTAKATIFU TUNAONA.WENGI WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA.
Kujaza watu na kutenda miujiza sio hoja, hoja ni kuhubiri neno la Mungu kikamilifu kwa moyo wako wote. Naam, baki mwenyewe kuihubiri haki ya Mungu kwa wahitaji wanaona kweli yako, nao waokoke na kufanyika wana wa Mungu. Mungu akutunze na akuepushe na adui.
10:18 Fika ukajionee mwenyewe usihadithiwe mitaani na vijiweni. Kila siku watu wanafungiliwa na kumpokea Yesu bila shida. Baada ya kujua kumbe Mungu ni halisia na sio maneno matupu
@@martinahlighare6495 Ndugu achana na story za vijiweni chukua hatua msikilize Mtumishi Mwamposa hata kwa utube ndio uncomment. Huwa anahubiri neno kwa ufasaha, anafungua watu vifungo vyao kwa njia rahisi kabisa, mwisho anaongoza watu sara ya toba kwa yeyote atakaye kumpokea Yesu. Mm nimwokoka na natokea mojawapo ya madhehebu makubwa ya kilokole, nimemsikiliza mara nyingi sana na sijaona wapi pa kumpigia mawe. Acha ushabiki chukua hatua binafsi kufatilia
Wewe casian muhuni tu sem unajua wa tz wanapenda umbeya ndo maana unawapiga kanisa ulilokuwa ukiomba sadaka umalizie kulijenga liko wapi kama n ww sio muhuni tena unachuki sana ww jamaa na wivu mkubwa
SoMa maandiko mtumishi , Mwamposa anafuata maandiko , acha kashifa unatenda dhambi na usipo badilika utakinyea kikombe. Na tutajuaje umetumwa na Mungu make inaonesha hufahamu neno .
Wanaokwenda huko wanalijua neno , ina maana Mungu anaongea na wewe tu duniani, watumishi woote hawaendi anavyopenda Mungu, jichunguzeee vizuri mtumishi, ina maana dunia hii ni wewe tu unaejua neno la Mungu
@goldermeirhoo1228 wewe ni ibilisi isiye jitambuwa kuwa makini ujuwe kwamba hapa ni mazabauni pia MUNGU atakupiga vibaya kama utoacha kizarau neno la kweli
Nawe unapenda kukosoa sana Sasa we ndio umetumwa na Mungu kila kitu unakosoa umewaita wewe? Na ukifika Mungu hayuko hivyo we inuka hubiria injili watu waokoke unadhani ukisema ivyo ndio utazuia? Na Bado unataka michango ya watu ukianza kuhubiri injili tutachanga lkn kukandia watu hapana
@@clarisbanza6066 Mungu Ahache kukupiga wewe unae simama na madhabahu za wenzako, ACHA KUSIMAMA NA MADHABAHU ZA WATUMISHI WENGINE, HUBIRI NENO, ACHA KUHUBIRI MADHABAHU ZINGINE HATA KAMA HAWAENDI MBINGUNI SI UWAACHE
Sasa kaka pascal hivi unashindwa kuongea bila kukioromesha hiyo sauti yako watu tunasikia vizuri tuu ukiongea kwa ukawaida wako maana sauti mpaka tunasahau ulianzia wapi na umeishia wapi....Jambo lingine kama ni kweli Roho wa Mungu amekuambia mwamposa sio mtumishi wake basi mimi ninakupa support 100000% lakini mtumishi kama una hubiri kwa hisia zako nataka nikupe tuu onyo kuna siku unachokiumba kitakurudia na wewe kuna watu watainuka juu yako kwa maana auae kwa upanga atapigwa sawa sawa
Wanaalika watu kwenye maadhimisho ya ugonjwa wa figo na tunaambiwa pombe ni chanzo kikuu wanadai matibabu ni gharama kubwa na watu wanakufa leo kiongozi anahamasisha kweupeee..si uislamu wala ukristo unakubaliana na kauli hiyo.. Mungu akutane nae uso kwa uso
Kwakweli Mungu ndo anasitahili cheo hicho Ila ukiona Mungu kanyamaza basi siku ikifika msiseme hamkuwambiwa kiongozi waserikali unaongea hivyo kweli shetani amewalewesha Mungu atusaidie 🙏
Nijuavyo mm taarifa za kiongozi ni za nyakati mbili tofauti. Moja kabla hajafikiwa na neema ya Mungu na nyingine baada na yeye kufikiwa na neema hiyo. Mtu haukumiwi kwa matendo ya kale. Anahukumiwa kwa matendo ya sasa
watumishi wa Mungu mnatuchanganya sana badala la ya kuhubiri neno mnatumia muda mwingi kusemana nyie watumishi we hubiri neno watakakufuata watakufuata lakn sio kutupiana madongo kwa kuwataja watu majina hapo unakosea mtumishi
Mimi husoma tu comment za watu lakini acheni niwaambie watu ambao mnatusi huyu mtumishi wa BWANA na ametumwa jueni ya kwamba mnajichimbia kaburi lenyu wenyewe na ndo huwa mnasikia watu wakisema tumerogwa na kumbe ni nyinyi wenyewe mnajiroga kwa kutukama mtumishi wa MUNGU huyu MWINJILISTI Cassian ametumwa na BWANA Aliye hai so endeleeni kukaidi mtakipata cha kwenu Amen God cannot be mocked ukweli utajulikana as soon as possible
Hizi ni zilebnyakati mbaya wanakuja kama kondoo lakini ndani ni mbwa mwitu asikiae na afahamu kuwa hu ni ule wakati wa manabii wa uongo ndio huyoooooo watu watasombwa sana kuzimu hata wateule biblia imesema
CASSIAN PASCHAL anampinga Mungu hakuna aliyempinga Mungu akafanikiwa . NAJUA HILO TOKEA KITAMBO NA Nimemshauri sana kwa njia hii AMESHUPAZA SHINGO.NAMWACHIA MUNGU ATAMJIBU KWA WAKATI NA MAJIRA YAKE
shetani hana chamkuuwa mkoawala wafalme wala wenye akili baali ana vivutio vyakukupeleka kwenye aanguko akiwemo namwenyewe swalanikujua kweli yaneno huge nimkuuwa moka wakuzimu siwaraiawa wa jamuhuri ya Tanzania hatagamoliayake hata viongoziwakeanawadhalilisha hatofautishi mvinyowa wayahudi wa wakatiule navyakula vyao vyamikate hiyo walishushia kunywa juice zabibuiliziwasaidie kupatahajakubwa kwa urahisi saanyingine niushamba uliopitiliza kutamukamaneno sawanamatapishi yakomwrnyewe mbele yaumawadunia nzima halafu unadhalilisha walikuteua kujaza watusisikitu chakipimo chawenye hekima wewe. Charamila mpingakiristo uliwahikuona analoga? au anajifanya yeyekamakiristo ...hujifanya yeyenizaidi ya Mungu hivyo chungasana ulimiwako we ye jamii. Wananchi wanaujuzuzi kulikowewe chukuahilo.
Yahn watu wako tayari kujaa kwenye maovu na cyo kutubu uovu wao😢😢😢ole wa inchi na wote wakaao juu yakee..mwamposaa siend mybe niwe maiti at Roho mt amenishuhudia saana alishaasi.njia ya msalaba tulianza naye maimoriaa. Akiwa na hema na mikesha ya maombi alikua vizuri.after kufika dar basii iman ya kwel aliichia mosh😢😢😢😢jamn watu mkikanywa msikiee
Luka.5:31-32.Yesu akawajibu akawaambia,Wenye afya hawana haja na tabibu,isipokuwa walio hawawezi.Sikuja kuwaita wenye haki,Bali wenye dhambi,Wapate kutubu.Mheshimiwa alisimama kwenye madhabahu ya Mungu aliyeumba mbingu na nchi na kuombea Amani kwenye taifa lake.je,ulitaka asimame wapi?Kwa Waganga wa kienyeji au kwenye Madhabu ya Mungu aliyeumba mbingu na nchi.Je angesimama kwenye huduma yako na akatamka hao ya Kumsifu Yesu Kristo ungesemaje?Mitume na Manabii Mlioitwa na Mungu aliyeumba Mbingu na Nchi endeleeni kuwasaidia watu.Walio wagonjwa,wasiozaa wazae.Waganga wote wajisalimishe kwenye madhabahu ya Mungu aliyeumba Mbingu na nchi.Katika Jina la Yesu kristo Amen.
Acha hzo ww Cassian unawivu sana huna lolote hujui bible Sasa ww mkuu wa mkoa amekukosea nn mwambosa amekuzidi Kila kitu ww unawivu kwa sababu huna waumini alafu ujue kumkashifu mtu nikosa kisheria ww ni mpuuz sana
Jamani tunaishi nyakati za hatari,msiambiwe YESU Yuko huku,mara kule mkasadiki,wateule muwe macho ,YESU yuko hapo ulipo ni wewe kumwamini tu na muombe MUNGU lolote kwa jina la YESU utapewa
BROTHER Pasco kasiani acha kuchafua MTUMISHI WA MUNGU BONIFACE MWAMPOSA mimi namjua BONIFACE MWAMPOSA akiwa anatumiwa na MUNGU zaidi ya miaka 20 iliyo pita MBEYA miaka iliyopita nimemuona MUNGU Akimtumia BONIFACE MWAMPOSA brother wewe ndiye unsye halibu kazi ya MUNGU uengeenderea kiimba tuu
Mkuu wa Mkoa sio Mtumishi Wa MUNGU Yeye ni Mtumishi wa Selikali Na jua Yeye Ha muamini Mungu kwa imani yako Wewe kwake kila kitu sawatu Makahaba ni Mali ya MUNGU Walevi pia Yeye ndie Aliye Waumba
Nakupend xàn kak but tuhubilie nen la mungu usituhubilie abar za mwamposa tumechok ndug tuhubilie abàri za mungu na namn gan tutaingia mbinguni kil xik mwampox mpak tumechok mpak tut kuj tukuon unamuhubur mwampox
EE MUNGU TUREHEMU,TUFUNZE KUHUBIRI NENO LA MUNGU KAMA MWINJILISTI CHRISTOPHER MWAKASEGE,Sijui kama kuwasema wengine ndo KUHUBIRI?? TUOMBE TOBA NI MAKOSA KUWASEMA WENGINE,MUNGU MWENYEWE AMEKATAA,LET LOVE OF JESUS CHRIST LEAD US.
Hawa unaowazungumzia mtumishi hawana mbingu, achana na habari zao, wewe hubiri neno la Mungu bila kuwataja watu majina yao, kweni huwezi kutoa neno bila wao,labda hawamuabudu Mungu wako, wewe hubiri neno la Mungu, Chalamila ni Mroma, wanaruhusiwa kunywa, hubiri neno achana na Mambo ya watu
Binafsi namwamini huongea vinginr kweli,lkn kwann wnahubiri kwamajina yawatu jamani,ama WOTE waongo YEYE ndiye mkweli PEKEE.,mmmh ALISEMA MTU mmoja SK zinakuja wakristo mtapigana wenyewe kwawenyewe.
Umenena vema sana, yaani kama yeye ametumwa kuwaokoa watu basi awahubirie watu hata siku moja. Anasema tusiwaamini hawa sawa enhe tusipowaamini tukamwamini yeye then anatuhubiria nini sasa?
Sasa wewe shida iko wapi km Chalamila na mwamposa wanamamakosa wewe sio Jaji muachie Mungu mwenyewe unaweza wewe ukakuta una makosa wivu anao Mungu wewe nyamaza unampenda mama Samia wengine hawampendi acha wivu mchungaji
kaka tuonyeshe mungu alie ndani yako na kazi zake zizihirike akuna aja ya kupambana na mwamposa wala manabiii wengine sioni kiutumishi kama inaleta afya
Ww baba uko sahihi toka nipo mdogo sijawahi kukanyaga madhabau za watumishi feki coz najua everything kuhusu shetani ni nani na watumishi wengi wanajificha ushetani wao usionekane ila sisi wenyewe macho ya rohon tunaona vingi
Usipokuwa wa rohoni Kuna mengi yatapongezwa na mawakala wa dunia hii maana wako kazini.. Hata Afrika kusini Kuna kanisa la wanywa bia.. Fimbo ya Bwana itembee
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu. Mungu akupe ulinzi. Malaika zake wakuzingile na panga za moto, mbele , nyuma, kulia na kushoto. Amen.
Asante sana bwana Cassian K kwa kuwa ujasiri; umetuwakilisha kusema kweli tena kweli tupu, barikiwa!
Mkuu wa Mkoa safi saaana, Mtumishi Cassian uwaache Mungu awashughulikie wenyewe, kwani aliyowaumba anajua, Chalamila kwa upeo wake kashuhudiwa kuwa Kwa Mwamposa yupo Mungu, siyo kwa upeo wako, nimeona tatizo ulilonalo ni Huna Elimu na wengine woote wanaosema wenzao ni ukosefu wa ELIMU
kweli kabisa,halafu nilichogungua huyu kadian anawivu anataman yeye ndo angekuwa BBM,,duh kwel watumishi wa mungu wanavita
Urudi bss kijana!
Acha kupotosha
Nawe kusanya umati wako...
Atuonyeshe Mungu wake na sio maneno tu. Hata Yesu alikuja na Neno lake na kulidhobitisha pia kwa matendo
Nyinyi wote mnaopinga ukweli huu na kuteteya uyo agent wa shetani mwamposa nyinyi wote ni wajinga na vipofu wa kiroho
ww ndio kipofu mbona yy kaz yake haionekani kaz mdomomdomo hata mgonjwa wamafua hajawahi kumuombea akapona
Kweli watu wengine ni mifano ya watu duniani..nafsi ziko kuzimu..
Mungu mtie nguvu na ULINZI mtumishi wako Cassiani .
Siku za mwisho tunagundua mengi..maboxi yanaongoza watu duniani mpaka wapagani wanashangaa..Wana WA MUNGU tusonge mbele .tuzalishe Wana WA MUNGU Kona zote ..Agizo kuu linatusubiri Mathayo 28:19-21
Mungu wambingu akulinde sana manaa maaduwi wataluwa wengi kwa sababu injili yako niya ukweli lakini watu sikuhizi hawapendi ukweli Mungu akuyinuwe❤❤❤❤
Paza sauti mtumishi wa Mungu hata wakati wa nuhu wapo waliomdharau lakini gharika ilivyokuja waliita sana Nuhu tufungulie lakini hawakupata msaada.Wenye kuokolewa kwa hudumu yako wataokolewa wengi usikate tamaa fanya hudumu uliyoitiwa na Mungu.
Hutabaki pekee yako tupo nyuma yako tunao jua Neno la Mungu Ubarikiwe sana Muny akulinde
DAMU ya YESU ikufunike daima 🙏🙏🙏
Hata waumini wenu sasa wanachoka na mahubiri yenu ya watu badala ya kuwasaidia matatizo yao. Wanakuja makanisa kumtafuta Mungu aliyewaahidi ahadi nyingi katika neno lake. Mungu ameahidi kuwaponya magonjwa yao,kuwainua na kuwatanirisha,kuwafungua kufungwa kwao,na wanataka waone hizo ahadi za Mungu zikifanyika kweli kwenye maisha yao. Sasa ikatokea hawajazipata chini yako,na wakaenda kwa huyo mnaemuita ana nguvu za shetani,na wakapokea hizo ahadi za Mungu,sahau kuwaona tena kwako. Mnamuinua sana shetani mpaka inashangaza! Mtu kapona uvimbe wewe unasema ni shetani! Mtu kapona kifafa wewe unasema ni shetani,mtu alikua fukara sasa kainuka wewe unasema ni shetani,watu wanafunguliwa mapemo na vifungo mbalimbali wewe unasema ni nguvu za shetani!
@@FrankBororo-dk1fv umeandika mambo mengi sana lkn itoshe kukuambia hivi kuwa hata shetani ana miuujiza yake, na palipo na Mungu wa kweli panajulikana tu, Mungu wetu anatafuta utakatifu sana na mengine yote tutazidishiwa je kwa nini mtu ahubiri injili ya mafanikio tu bila injili ya utakatifu? au kukemea dhambi pia nikuambie kuwa Mungu anajitegemea hatumii vitu mfano mafuta, maji mara udongo kumponya mtu, tumeambiwa kwa jina la Yesu tutatoa pepo na kuponya wagonjwa.
Ukiponywa magonjwa ukabaki kua mzinzi inakusaidia niji? Ukinunua mafuta na kwenda kunyunyiza baa na ukajaza wateja ukapata pesa inakusaidia nini? Ukipata pesa lakini ukawa hujui kumuheshimu Mungu kwa pesa zako inakusaidia nini? Miujiza yooote ikiwa jina lako halijaandikwa katika kitabu cha uzima ni bure. Na Mungu hutenda kwa wakati wake na hata asipotenda bado anabaki kua Mungu.
Tatizo hajielewi na sio vizur kumsema mtumishi mwenzako vibaya.
kama mnafikiri kasian yupo sawa mtajikuta mnaenda moron msihukumu maine mkahukumiwa mungu mwenyewe ndio anajua wakwake
Dikika 53:32
Nakukubali sana mahubili Safi yasio goshiwa mtu imala tukopamoja
Mwamposa ni mtumishi wa Mungu. Anamuhubiri Yesu hadharani kwa hekima kubwa Sanaa. Usiwe kama Baalamu na Baalack. Mungu alitumia punda kuubariki mji. Mkuu Mungu kamtumia kama punda kudhihirisha hakika huyu ni mtumishi wa Mungu. Usihukumu mbingu huna. Unapenda watumishi wa Mungu tuwe wanyongeee. Hubiri neno tukusikilize hii haijakaa sawa. Unampinga kristo.
Huyu Cassian Huwa anasoma Neno ila hatafakari Neno hiyo ndio shida yake na Wala sio Mtumishi mbaya ila anahitaji Elimu tu ya Neno la MUNGU, roho wa BWANA ampatie HEKIMA yake, Ili kuyafikia mataifa ila sio katika njia hii Maana hataweza kuleta faida katika ufalme wa MUNGU, zaidi ni kupotosha...(Wanajuhudi katika MUNGU lakini si katika maarifa.
Hakuna Mungu hapo kwa Mwamposa hakika, Tumaini la wanaadamu nimeangukia kwenye kutegemea mafuta ya Mwamposa , na kuacha kumtumaini Mungu, !!! Imefikia maali watu wanatembea na mafuta kwenye mikoba yao , Sikia wewe Mtu wa Mungu hakika huo Ni Ushirikina,!!!! Aina tofauti na mtu anayetembea na irizi,, !! Maana Tumaini lake huyo mtu lipo kwenye irizi aliyobeba,!!! Asikiaye Ujumbe huu na kuacha hizo aImani mbaya potofu, Ataokoka, Asema Bwana wa Majeshi,
Hakika
Amin cassian ni mtumish wa mungu Tena akiwa na ujumbe wa bwana Kama unawaamin akina mwaposa jua umetekwa ma umepotea akinawamposa ndio manabii wa uongo waliotabiliwa
Mungu akusaidie ndio Maan anakuuzia mafuta
Naitwa Amani z naishi kwa inchi ya Africa ya kusini nakufatiliya kiumakini Sana Kazi zako naipenda sana Mungu anaendeya kutulinda nakukutiya nguvu
Mungu akulinde mtumishi Cassian najua vita ipo juu yako lakini Mungu kasema vita ni vya BWANA piga nyundo
Mungu azidi kukuinua mtumishi wa Mungu, endelea kuwafua maajenti ya mashetani yote.
Wewe una roho ya mpinga kristo ndani yako, nahisi roho wa MUNGU alisha kuacha umebakiza maneno yasiyo na nguvu.
Sio kweli nafikir ww biblia husomi
Achaseme ukwel watu waende mbingun wew
Acha kumsema mtumishi wa Mungu vibaya je unataka na wewe uhalalishe kuwa pombe ni soda😊?
@@user-xd7gb9ub4t ndugu yangu Mimi nilishaona Muda mrefu sana kuwa huyu mtu ni mpinga Kristo anaejificha kwenye uinjilist
No .paschal yuko sahihi..na ukiona kitu kinaongelewa jua kipo au kipo njiani..au know that kuna something wrong
Iko Sawa hapa naona machawa wanawaka wazee wa mikate na bia piga nyundo Kaka usiangalie mashabiki Hata akiwa mmoja mtu nmuhimu kuliko Hao vipofu
Z 10:18 humo humo kwenye mikate na bia watu wamepata neema ya kumjua Kristo
Usihukumu usije ukahukumiwa na toa kibanzi kilichomo jichoni kwako na ndipo utoe boriti kwenye hicho la mwenzio. Pascal anajinadi kuwa alikuwepo huko kwenye ujenzi huru na akajitoa, je, amepewa uhalali na nani kuwasema watumishi wa Mungu ambao hakubaliani nao? Tuendelee kumhuburi Mungu wetu wa kweli bila kunyoosheana vidole hakuna ubaguzibwote tunaitaka Pepo njema ya YESU KRISTO WA NAZARETH
sio kweli nyamaza kabisa,,sauli alikuwa wapi na mtu wa namna Gani kabla hajawa Paulo,,je maisha ya manabii na wafalme yalikuwaje na hatmae za manabii zilikuwaje?,,km unapenda maneno Laini muujiza na upako,,basi huo sio utume wa paschal,na Mungu anao watu wake sehemu mbali mbali wengine bado ni makahaba kwa sasa,ila watakapo itwa ndipo mtakapo pishana milango wataingia nanyi ntatoka,,km neno limekukera basi Kuna shida ndani Yako,,omba sana hio roho iondoke ili uridhike na maonyo yakubadilishe na yasikukasirishe
❤❤Amina mtumishi wa Mungu Mungu awe nawe daima ponya nafusi za watu zinazopotea
Mtumishi wa mungu paza sauti kukemea uovu Ili watoto wa mungu wasipotee Asante sana mtumishi wa mungu ubalikiwa na bwana.
Wewe umebarikiwa na mungu ntumisi
Damu ya Yesu ikufunike
Kukusanya watu wengi hata MICHAEL JACKSON alikusanya watu wengi sana lakini usingeweza kusema MICHAEL JACKSON ni MTUMISHI WA MUNGU.PASCHAL CASSIAN AMETUMWA NA MUNGU,WENYE JICHO LA ROHO MTAKATIFU TUNAONA.WENGI WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA.
You're right
Mathew 14:13b-16..[.I LOVE JESUS SO MUCH ] ❤
We nae unatuvuruga!! Yaan mtu anatani akufatilie lkn kutwa hutii moyo watu unaongelea mabaya watu tu !! Sasa siuwatafute uwaambie mbona unazunguka
@@dyanamotz Hizi siyo nyakati za kutiana moyo mpendwa mara utanunua gari utajenga nyumba wewe amka
Ana mizaha sana huyu mkuu wa Mkoa hata kwenye mambo ya Mungu ajiiangalie sana ni bora afanyie kwingine lakini kwa Mungu amuulize Belteshaza
anawivu huyuuuuuuuuu kaaah pole sana na kanisan kwako hatuji hutuacheee😂😂,mbona huwasemi dini zngine unasema wakristo wenzio acha wivu baba😂
Hakuna Mkristo aliyesemaa hapo ila kawasema waganga wakienyeji na waovu wale wa mfuatao
kwa kuna waganga wanaotaja jina la yesu????,au wakristo ndo huwa wanajata jina la yesu mkuu tafakar na uelewe bac
Nyie msio elewa ndo mnapotea sasa na vile hamtaki kulielewa neno la MUNGU linasema nini mnajiona mko sawa kabisa
Sema kweli watu waponeDamu yayesu ikulindi mtmsh wa Mungu aliehai
Kujaza watu na kutenda miujiza sio hoja, hoja ni kuhubiri neno la Mungu kikamilifu kwa moyo wako wote.
Naam, baki mwenyewe kuihubiri haki ya Mungu kwa wahitaji wanaona kweli yako, nao waokoke na kufanyika wana wa Mungu.
Mungu akutunze na akuepushe na adui.
10:18 Fika ukajionee mwenyewe usihadithiwe mitaani na vijiweni. Kila siku watu wanafungiliwa na kumpokea Yesu bila shida. Baada ya kujua kumbe Mungu ni halisia na sio maneno matupu
@@martinahlighare6495 Ndugu achana na story za vijiweni chukua hatua msikilize Mtumishi Mwamposa hata kwa utube ndio uncomment.
Huwa anahubiri neno kwa ufasaha, anafungua watu vifungo vyao kwa njia rahisi kabisa, mwisho anaongoza watu sara ya toba kwa yeyote atakaye kumpokea Yesu.
Mm nimwokoka na natokea mojawapo ya madhehebu makubwa ya kilokole, nimemsikiliza mara nyingi sana na sijaona wapi pa kumpigia mawe.
Acha ushabiki chukua hatua binafsi kufatilia
Wenye maskio na wasikie neno ilo mwenye macho watazame bwana yu karibu Mungu azidi kukupa maisha marefu mpaka kusudi lake litimie kwako
Wewe casian muhuni tu sem unajua wa tz wanapenda umbeya ndo maana unawapiga kanisa ulilokuwa ukiomba sadaka umalizie kulijenga liko wapi kama n ww sio muhuni tena unachuki sana ww jamaa na wivu mkubwa
SoMa maandiko mtumishi , Mwamposa anafuata maandiko , acha kashifa unatenda dhambi na usipo badilika utakinyea kikombe. Na tutajuaje umetumwa na Mungu make inaonesha hufahamu neno .
No
una akili sana kuna manabiii wanaomsema kana kwamba anatumia biblia ya kuzimu kila mtu na wito wake naona angezingatia kuhubiri zaidi wati wafunguliwe
Acha uongo bwana toka lini pepo akamtoa pepo mwenzie,
Mungu anasema.ombeni lolote.mtapata.Basi mwuombeeni Mwaposa.kuliko kukashifu.hapo hamna jibu.
Endelea Ku pasa sauti Zaidi na Zaidi. Tunakuombea Mungu Aendelee kukusimamia
Kwanini hatutaki kusoma neno la Mungu . Binadamu tusimame kwa neno la Mungu mbona linatufundisha vizuri.
Wanaokwenda huko wanalijua neno , ina maana Mungu anaongea na wewe tu duniani, watumishi woote hawaendi anavyopenda Mungu, jichunguzeee vizuri mtumishi, ina maana dunia hii ni wewe tu unaejua neno la Mungu
soma BIBLIA utaona kwaba anasema ukweli
@goldermeirhoo1228 wewe ni ibilisi isiye jitambuwa kuwa makini ujuwe kwamba hapa ni mazabauni pia MUNGU atakupiga vibaya kama utoacha kizarau neno la kweli
Nawe unapenda kukosoa sana Sasa we ndio umetumwa na Mungu kila kitu unakosoa umewaita wewe? Na ukifika Mungu hayuko hivyo we inuka hubiria injili watu waokoke unadhani ukisema ivyo ndio utazuia? Na Bado unataka michango ya watu ukianza kuhubiri injili tutachanga lkn kukandia watu hapana
Ukweli ndo huo na haupingiki Muñgu alishakazaza vileo casssia mtumishi ubarikiwe
@@clarisbanza6066 Mungu Ahache kukupiga wewe unae simama na madhabahu za wenzako, ACHA KUSIMAMA NA MADHABAHU ZA WATUMISHI WENGINE, HUBIRI NENO, ACHA KUHUBIRI MADHABAHU ZINGINE HATA KAMA HAWAENDI MBINGUNI SI UWAACHE
Sasa kaka pascal hivi unashindwa kuongea bila kukioromesha hiyo sauti yako watu tunasikia vizuri tuu ukiongea kwa ukawaida wako maana sauti mpaka tunasahau ulianzia wapi na umeishia wapi....Jambo lingine kama ni kweli Roho wa Mungu amekuambia mwamposa sio mtumishi wake basi mimi ninakupa support 100000% lakini mtumishi kama una hubiri kwa hisia zako nataka nikupe tuu onyo kuna siku unachokiumba kitakurudia na wewe kuna watu watainuka juu yako kwa maana auae kwa upanga atapigwa sawa sawa
Kwani lazima ukihubiri utaje watumishi wengin sasa mwamposa anaingiaje hapo badala uwahubirie watu neno la Mungu
huyu jamaa anajiona yeye yuko sahihi mpuuz sana anaongelea watumishi tu
@@justinmayback5552 yeye ahubirie watu wapone na si kutaja watumishi wengine bana
Usihukumu usije ukahukumiwa. Tukifika mbinguni utashangaa taji zao zinang'aaa.
Mungu akusaidie mtu wa Mungu.
Wanaalika watu kwenye maadhimisho ya ugonjwa wa figo na tunaambiwa pombe ni chanzo kikuu wanadai matibabu ni gharama kubwa na watu wanakufa leo kiongozi anahamasisha kweupeee..si uislamu wala ukristo unakubaliana na kauli hiyo.. Mungu akutane nae uso kwa uso
Hawa manabii wa uongo waabudu mashetani watakokota wengi kuzimu. Wateule tuwe macho, Yesu yu karibu malangoni.
Kwakweli Mungu ndo anasitahili cheo hicho Ila ukiona Mungu kanyamaza basi siku ikifika msiseme hamkuwambiwa kiongozi waserikali unaongea hivyo kweli shetani amewalewesha Mungu atusaidie 🙏
Nijuavyo mm taarifa za kiongozi ni za nyakati mbili tofauti.
Moja kabla hajafikiwa na neema ya Mungu na nyingine baada na yeye kufikiwa na neema hiyo. Mtu haukumiwi kwa matendo ya kale. Anahukumiwa kwa matendo ya sasa
Achaa unafiki we ubili neno la MUNGU Achana na mwamposa mtumishi wa MUNGU
watumishi wa Mungu mnatuchanganya sana badala la ya kuhubiri neno mnatumia muda mwingi kusemana nyie watumishi we hubiri neno watakakufuata watakufuata lakn sio kutupiana madongo kwa kuwataja watu majina hapo unakosea mtumishi
kweli
Kasome biblia yohana mbatizaji alikuwa akifanya Nini juu yaungoz
Soma Neno la Mungu, usijiegemeze kwenye wanadamu, wala hutachanganyikiwa.
Mimi husoma tu comment za watu lakini acheni niwaambie watu ambao mnatusi huyu mtumishi wa BWANA na ametumwa jueni ya kwamba mnajichimbia kaburi lenyu wenyewe na ndo huwa mnasikia watu wakisema tumerogwa na kumbe ni nyinyi wenyewe mnajiroga kwa kutukama mtumishi wa MUNGU huyu MWINJILISTI Cassian ametumwa na BWANA Aliye hai so endeleeni kukaidi mtakipata cha kwenu Amen God cannot be mocked ukweli utajulikana as soon as possible
@@SafiAkinyi8361 Acha kusema mtumishi WA Mungu wakati muadu rusifa
Hizi ni zilebnyakati mbaya wanakuja kama kondoo lakini ndani ni mbwa mwitu asikiae na afahamu kuwa hu ni ule wakati wa manabii wa uongo ndio huyoooooo watu watasombwa sana kuzimu hata wateule biblia imesema
CASSIAN PASCHAL anampinga Mungu hakuna aliyempinga Mungu akafanikiwa . NAJUA HILO TOKEA KITAMBO NA Nimemshauri sana kwa njia hii AMESHUPAZA SHINGO.NAMWACHIA MUNGU ATAMJIBU KWA WAKATI NA MAJIRA YAKE
shetani hana chamkuuwa mkoawala wafalme wala wenye akili baali ana vivutio vyakukupeleka kwenye aanguko akiwemo namwenyewe swalanikujua kweli yaneno huge nimkuuwa moka wakuzimu siwaraiawa wa jamuhuri ya Tanzania hatagamoliayake hata viongoziwakeanawadhalilisha hatofautishi mvinyowa wayahudi wa wakatiule navyakula vyao vyamikate hiyo walishushia kunywa juice zabibuiliziwasaidie kupatahajakubwa kwa urahisi saanyingine niushamba uliopitiliza kutamukamaneno sawanamatapishi yakomwrnyewe mbele yaumawadunia nzima halafu unadhalilisha walikuteua kujaza watusisikitu chakipimo chawenye hekima wewe. Charamila mpingakiristo uliwahikuona analoga? au anajifanya yeyekamakiristo ...hujifanya yeyenizaidi ya Mungu hivyo chungasana ulimiwako we ye jamii. Wananchi wanaujuzuzi kulikowewe chukuahilo.
Yahn watu wako tayari kujaa kwenye maovu na cyo kutubu uovu wao😢😢😢ole wa inchi na wote wakaao juu yakee..mwamposaa siend mybe niwe maiti at Roho mt amenishuhudia saana alishaasi.njia ya msalaba tulianza naye maimoriaa. Akiwa na hema na mikesha ya maombi alikua vizuri.after kufika dar basii iman ya kwel aliichia mosh😢😢😢😢jamn watu mkikanywa msikiee
Luka.5:31-32.Yesu akawajibu akawaambia,Wenye afya hawana haja na tabibu,isipokuwa walio hawawezi.Sikuja kuwaita wenye haki,Bali wenye dhambi,Wapate kutubu.Mheshimiwa alisimama kwenye madhabahu ya Mungu aliyeumba mbingu na nchi na kuombea Amani kwenye taifa lake.je,ulitaka asimame wapi?Kwa Waganga wa kienyeji au kwenye Madhabu ya Mungu aliyeumba mbingu na nchi.Je angesimama kwenye huduma yako na akatamka hao ya Kumsifu Yesu Kristo ungesemaje?Mitume na Manabii Mlioitwa na Mungu aliyeumba Mbingu na Nchi endeleeni kuwasaidia watu.Walio wagonjwa,wasiozaa wazae.Waganga wote wajisalimishe kwenye madhabahu ya Mungu aliyeumba Mbingu na nchi.Katika Jina la Yesu kristo Amen.
Njia ni mobility za kwenda mbinguni tukumbuke njia nyembamba watakao ingia ni wachache . Na njia pana watakao ingia ni wengi.
Acha hzo ww Cassian unawivu sana huna lolote hujui bible Sasa ww mkuu wa mkoa amekukosea nn mwambosa amekuzidi Kila kitu ww unawivu kwa sababu huna waumini alafu ujue kumkashifu mtu nikosa kisheria ww ni mpuuz sana
Hata waumini wko walienda Kwa mtumishi WA mungu mwamposa mpakwa mafuta
Mungu tusaidie kabisa mana duniani kunatisha
Kaka Acha Mungu awaumbue
Mweeee!! Jamani😢😢😢😢 pamoja na cheo alicho nacho lakini shetani anasema sikuachii lazima unitukuze
Tunakupenda tuko pamoja na wewe kupigwa sio kosa acha wakupinge lkn kweli imefika
Ushindwe kwa damu ya yesu na ushindwe na mazabao yako
Jamani tunaishi nyakati za hatari,msiambiwe YESU Yuko huku,mara kule mkasadiki,wateule muwe macho ,YESU yuko hapo ulipo ni wewe kumwamini tu na muombe MUNGU lolote kwa jina la YESU utapewa
BROTHER Pasco kasiani acha kuchafua MTUMISHI WA MUNGU BONIFACE MWAMPOSA mimi namjua BONIFACE MWAMPOSA akiwa anatumiwa na MUNGU zaidi ya miaka 20 iliyo pita MBEYA miaka iliyopita nimemuona MUNGU Akimtumia BONIFACE MWAMPOSA brother wewe ndiye unsye halibu kazi ya MUNGU uengeenderea kiimba tuu
@@PROPHETLWITIKO-rr4gc KUMJUA MTU SIYO TATIZO MPENDWA MOYO WA MWANADAMU NI KICHAKA
Amina niko na wew mtumishi niko zanzibar nakufatilia
Mungu gani kamtuma mtumishi kushambulia wengine kila siku? TUJITAFAKARI
Kazi imeanza wao kwa wao
Sauti ya mtu aliaye nyikani......
Cassian hubiri neno
Mkuu wa Mkoa sio Mtumishi Wa MUNGU Yeye ni Mtumishi wa Selikali Na jua Yeye Ha muamini Mungu kwa imani yako Wewe kwake kila kitu sawatu Makahaba ni Mali ya MUNGU Walevi pia Yeye ndie Aliye Waumba
Nakupend xàn kak but tuhubilie nen la mungu usituhubilie abar za mwamposa tumechok ndug tuhubilie abàri za mungu na namn gan tutaingia mbinguni kil xik mwampox mpak tumechok mpak tut kuj tukuon unamuhubur mwampox
EE MUNGU TUREHEMU,TUFUNZE KUHUBIRI NENO LA MUNGU KAMA MWINJILISTI CHRISTOPHER MWAKASEGE,Sijui kama kuwasema wengine ndo KUHUBIRI?? TUOMBE TOBA NI MAKOSA KUWASEMA WENGINE,MUNGU MWENYEWE AMEKATAA,LET LOVE OF JESUS CHRIST LEAD US.
Hawa unaowazungumzia mtumishi hawana mbingu, achana na habari zao, wewe hubiri neno la Mungu bila kuwataja watu majina yao, kweni huwezi kutoa neno bila wao,labda hawamuabudu Mungu wako, wewe hubiri neno la Mungu, Chalamila ni Mroma, wanaruhusiwa kunywa, hubiri neno achana na Mambo ya watu
Binafsi namwamini huongea vinginr kweli,lkn kwann wnahubiri kwamajina yawatu jamani,ama WOTE waongo YEYE ndiye mkweli PEKEE.,mmmh ALISEMA MTU mmoja SK zinakuja wakristo mtapigana wenyewe kwawenyewe.
basi dunia n nzima yeye ndo wa kweli umeongea point sana kila madhabahu anaisema 😊@@jeniphermyingajeniphermyin8029🎉🎉🎉🎉
Umenena vema sana, yaani kama yeye ametumwa kuwaokoa watu basi awahubirie watu hata siku moja. Anasema tusiwaamini hawa sawa enhe tusipowaamini tukamwamini yeye then anatuhubiria nini sasa?
Cassia Yuko sahihi
Jaman Cassian ametumwa tusipuuze ipo siku huyu mtumishi atakumbukwa na mungu ana makusudi naye
Nyesu ni Mtoto wa Mungu alijaribiwa na shetani lakini Yesu alimushinda shetani kwa Neno la Mungu .
@@user-fw6tj8kt4n Hee! 😳😳Nyesu tena
Sio kweli ,huna roho mtakatifu hubiri yakok huna macho ya ndani tena unamtakashari
Sasa wewe shida iko wapi km Chalamila na mwamposa wanamamakosa
wewe sio Jaji muachie Mungu mwenyewe
unaweza wewe ukakuta una makosa
wivu anao Mungu wewe nyamaza
unampenda mama Samia wengine hawampendi acha wivu mchungaji
Nunua mwenyewe vyombo vya mziki ,wivu tu ulionao Mwamposa ni mteule wa Mungu
Pambaneni Mimi sipo nacomment tuu hapo wanangangania sadaka 😅😅😅
kaka tuonyeshe mungu alie ndani yako na kazi zake zizihirike akuna aja ya kupambana na mwamposa wala manabiii wengine sioni kiutumishi kama inaleta afya
Huyu Jamaa ni mnafiki na wivu
Afya gan unaitaka wacha waseme ukwel
@@GeofreyKalo-ot3wewanadamu hampendi ukweli ndio maana neno la mungu hamjisomei wenyewe
@@misscesty5817Amin umeongea ukwel dada
@@DamianUlaya aendelee kuongea mdomo mali yake lkn kiutumishi kila mtu anatakiwa kuwa na hekima 😂😂😂😂😂
Njia ya kwenda mbinguni ni ngumu mno kuliko vile wanadamu wanavyoichukulia! wokovu sio kitu rahisi! sio kujaza watu mamilion! sio kusifiwa na watu!
Yesu akusimamie mtumishi sema ukweli
Ww baba uko sahihi toka nipo mdogo sijawahi kukanyaga madhabau za watumishi feki coz najua everything kuhusu shetani ni nani na watumishi wengi wanajificha ushetani wao usionekane ila sisi wenyewe macho ya rohon tunaona vingi
Acha wivu imekuuma sanaaaaa! Na bado
Acha mpigwe na shetani wenu
Amina kubwa mtumishi wengine wanaingia mikataba na shetani kupofosha watu Kwa maneno
Yani wewe unafuta bangi sana mimi nakwambia kila siku mbona unapenda sana kwingilia kanisa la Mwanzako inakuuma nini moyo wako kwa mwamposa?
Siku Mungu ashuke na gadhabu yake ndipo watakapojua nisawa kama hawajarudi kuwambia watu watubu kwa gadhabu aliyoshusha
JAMANI Vijana na WATOTO wetu ,eee MUNGU wa huruma tuhurumieee 😭😭😭😭😭
Amen mungu akubariki
Wewe una akili sana huyu Mkuu wa mkoa hana akili sasa nimejua, wingi si hoja Mkuu njia ya upotevuni ni pana na wengi wanaifuata
Wewe kweli unaona,Wewee Ni kipofu ambaye hujui kama kipofu
Cassian ana sema ukweli juu ya mwamposa huyu mwamposa ni mwongo na ni agent wa shetani
Hatukuelewi una hubiri enjili au kazi yako kuwasema watu. Tena untumia hasira nyingi sana ya nini ndugu.
Mchawi mkubwa tena nasema Achana na Mtumishi wa Mungu Mwamposa
Ira usiwe unagusa viogoz kaka hao ndo wenye madaraka
UPONYAJI WA YESU KRISTO HUJA KWA MSAMAHA WA DHAMBI, NA WALA SI KWA KUKANYAGA MAFUTA.
kabla cjakusifia naomba kujua wewe umeitwa kwenye eneo gani alafu nije kanisani kwako na nimfuate Mungu wako
Mi naona haina haja ya kuongelea watumishi wote kikubwa Mungu ndiye anaejua nakila mtu ataenda kwa wakati wake Mungu tu atusaidie
HAONGELEI WATUMISHI WA MUNGU
Mungu hakuweke milele
Nchi hii vichaa hawataisha, wewe pascal na Mbarikiwa ni wivu tu
Usipokuwa wa rohoni Kuna mengi yatapongezwa na mawakala wa dunia hii maana wako kazini..
Hata Afrika kusini Kuna kanisa la wanywa bia..
Fimbo ya Bwana itembee
EV CASSIAN-- UMENENA VYEMA MUNGU AKUBARIKI SANA ZIDI KUFICHUA YALE YANAYOFANYA ILI KOMBOA NDUGU ZETU WANAO ANGAMIA HUKO
Mungu akulinde Kaaian
Wewe inaonekana mtu mwenye wivu mkubwa sana na huduma za watumishi wenzio, Fanya kile MUNGU amekuitia. Lakini wivu utakupoteza katika huduma Yako.
Muache aseme ukwel mungu hamemuita kusema ukwel
MUNGU ana watu wengi sana
Du mnyukano huu,yangu macho
Chapa kazi baba kemea fundisha onya, watu wengi hawaitaki kwel wanatak mahubiri ya mafanikio tu
Nenda mwamposa atakupea 16ml Bure
Watu sasa hivi kama bendera hata hawasomi someni bibiria Muna zan paschar amepanga sawa anaseme kwr