ALIE MUWEKEA SUM MAKONDA KIFO CHA MAKONDA! SERIKALI WIVU UMEWAJAA EV PASCHAL CASSIAN

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024
  • #0766998994 #call0688199370 #0788871769

ความคิดเห็น • 1.2K

  • @PhinaEdmund
    @PhinaEdmund 2 หลายเดือนก่อน +17

    Mtu wa Mungu Yesu akulinde unapofanya kazi ya kukemea na kukaripia.. Ulichosema kuhusu Paul makonda.. Imebeba ukweli na Mungu aingilie kati maisha ya makonda.. Yesu akayeyushe hiyo sumu.. Na mabaya waliyotenda Mungu akayarudishe kwao.. Ktk jina la Yesu.. Ameeeen.

  • @JacksonPetro-Tv
    @JacksonPetro-Tv 2 หลายเดือนก่อน +7

    Mungu akubariki sana kwa ujumbe kuhamasisha maombi kwa ajili RC MAKONDA.

  • @stephanokanyika6321
    @stephanokanyika6321 2 หลายเดือนก่อน +26

    Kwa kweri mtumishi wa Mungu makonda tumuombee sana jamani tutapaje watu kama hawa tusipowaombea jamani bila kujali itikadi zetu makonda anafanya kazi nzuri sana ya jamii mtumishi wa Mungu umenitoa machozi kuhusu maelezo yako tanzania atuna uzarendo kabisa kuhusu watu wazuri wa nchi hii

  • @immaculataroeser9094
    @immaculataroeser9094 2 หลายเดือนก่อน +11

    Viva Makonda ! Mungu akutetee .Fanya kazi yako kwa mkono Wake.Baba wa mbinguni umbariki nakumsimamia katikamapito yake Amina.❤🎉❤🎉

  • @imanimwaijumb4934
    @imanimwaijumb4934 2 หลายเดือนก่อน +18

    Dhambi ni aibu ya watu wote bali HAKI huokoa Taifa...! Time will say..! ni heri SISIEMU mungebaki kuwa wezi na walafi wa Mali za uma kuliko kuhujumu maisha ya watenda mema. machozi ya watanzania Kuna siku Mungu atayafanyia kazi..! Kwa jina la YESU Makonda uwe mzima Amina.....!

  • @MorisTolotolo
    @MorisTolotolo 2 หลายเดือนก่อน +12

    Luhanga Mpinga, Jerry Slaa, Paul Makonda, nawakubali mno utendaji kazi wao Mungu awalinde vijana hawa

    • @hamisijuma3276
      @hamisijuma3276 2 หลายเดือนก่อน

      Jiongeze na Jitambue ak 47 katumbuliwa

  • @viviankihiyo1076
    @viviankihiyo1076 2 หลายเดือนก่อน +100

    Damu ya Yesu imtunze huko aliko. Mungu akumbuke yake mema aliyoyatenda amponye katika Jina la Yesu!!!!

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 หลายเดือนก่อน +1

      🙏

    • @zainabuhamisimmbaga1840
      @zainabuhamisimmbaga1840 2 หลายเดือนก่อน

      🙏🏾🙏🏾🙏🏾😭😭

    • @Japhary-sx3je
      @Japhary-sx3je 2 หลายเดือนก่อน

      Mungu ampe nguvu mungu waangamize wote walio na roho mbaya tunajua apa duniani tuna pita

    • @AzizaMayemba-td8po
      @AzizaMayemba-td8po 2 หลายเดือนก่อน +1

      🙏🙏

    • @Dominant97
      @Dominant97 2 หลายเดือนก่อน +1

      Hawa manabii na mitume n wengine kama hao wakaonueshe muujiza huko kwa mpendwa wetu miujiza mikuu

  • @menyajoseph9729
    @menyajoseph9729 2 หลายเดือนก่อน +8

    OOoo kumbe mwalimu wawanasiasa jpm alitolewa hivi hivi sasa maama Samia tusaidie kutafuta watega sumu hao, wao mashetani washindwe may god bless Paul christian makonda poleni sana na Salam kutoka Jinja city Uganda

  • @SolomonNkoze
    @SolomonNkoze 2 หลายเดือนก่อน +15

    Naongea kwa kumaanisha in jesus name I destroy the poison from makonda through fire 🔥 of god, nishamalizana sitaludia tena maneno maana sumu ishatoka na makonda anaishi kwa amani

  • @LaurentMagesa-iv5yt
    @LaurentMagesa-iv5yt 2 หลายเดือนก่อน +7

    Mheshimiwa makonda watanzania tupo na wewe .mungu akulinde make wewe ni mtenda haki unawatetea wanyonge. Tunakuombea mungu akupe maisha marefu tuna iman na wewe wanyonge wote wa Taifa la Tanzania hvo ushauri wangu kwako usile vyakula hovyo kula chakula cha mke wako tu.

  • @finiaskagenda6258
    @finiaskagenda6258 2 หลายเดือนก่อน +3

    MUNGU Baba, Muumba wa vitu vyote, mwenye uweza wote, unayejua yote, Ninakuomba umponye Paul Makonda ktk Jina la YESU. Kama kazi uliompa kamaliza basi mapenzi yako yatimizwe Amina.

  • @janembalinga7074
    @janembalinga7074 2 หลายเดือนก่อน +15

    Mungu ampe uzima makonda nampenda sana kiongoz mzuri

  • @johnsebastian-bx6qn
    @johnsebastian-bx6qn 2 หลายเดือนก่อน +27

    Hakika Mungu amlinde amuepushe na mauti na adui zake wote Mungu ashughulike nao katika jina la Yesu

  • @edinamwalukisa9000
    @edinamwalukisa9000 2 หลายเดือนก่อน +3

    Yesu Kristo ,Kikombe hiki kitu epuka ,Najisikia Vibaya ehee Mungu Baba na kusihi Mungu unikumbuke Baba ,naomba ututunzie PAUL MAKONDA

  • @edwardmizambwa237
    @edwardmizambwa237 2 หลายเดือนก่อน +6

    Eehe Mwenyezi Mungu, tunakuomba Umnusuru kiongozi wetu ambaye wewe Baba ndiye uliyetupatia dhidi ya sumu aliyolishwa na watu wabaya.
    Mwenyezi Mungu, tuokolewe Makonda dhidi ya sumu aliyolishwa.
    Tunaomba hilo kwa Jina kubwa kupita yote Bwawa wetu Yesu Kristo.
    AMEN.

  • @brigethsauzand3926
    @brigethsauzand3926 2 หลายเดือนก่อน +50

    Mungu Wa Mbinguni nakuomba kama uishivyo Paul Makonda Aishi kama ni amepewa sumu dawa yoyote hata maji akipewa apone Kwa jina la Yesu

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka5224 2 หลายเดือนก่อน +22

    Makonda ni moja ya viongozi wanaoweza kufanya transformation katika Nchi hii. May God bless him.

  • @juliennekibatcha2958
    @juliennekibatcha2958 2 หลายเดือนก่อน +11

    ❤❤❤❤ so wa Tanzania tuu wachagulia wengi wenye uwepo wa MUNGU wana Damu wenye sumu ya Kishetani awakubali watu Kama na awa
    apokee uponyaji katika jina la YESU kristo

  • @johnshusho5840
    @johnshusho5840 2 หลายเดือนก่อน +46

    Makonda rise up again!!! Hutakufa bali utaishi na kuzitangaza fadhili za Bwana.Amina

  • @Eunice254-o7x
    @Eunice254-o7x 2 หลายเดือนก่อน +8

    Hii dunia ata ukiwa mtu mwema vp wanadamu hatuna shukran...ni bora huishi maisha yako tu ni bora uwonekane na roho mbaya kuliko kuonekana mzuri

  • @ZaidHamasiZaid
    @ZaidHamasiZaid 2 หลายเดือนก่อน +47

    Mungu mlinde Makonda, Dar tunakulilia, wanyonge tunakuhitaji, ni chapa ya mzee baba Magu...

  • @jovettedenise2591
    @jovettedenise2591 2 หลายเดือนก่อน +5

    Mungu amuponye ninamupenda piya kwa sababa ana mwoyo wa kujishusha na kupenda wanyonge❤❤❤

  • @brighterkids8416
    @brighterkids8416 2 หลายเดือนก่อน +3

    Tunamfunika Mh Makonda kwa damu ya Yesu huko aliko Mungu wew unamuona na unajua Mungu zuiya chochote kibaya juu yake🙏🙏🙏🙏🙏Mungu sikia maombi yetu🇹🇿🇹🇿

  • @farajaMezza-qn4be
    @farajaMezza-qn4be 2 หลายเดือนก่อน +15

    Makonda is a blessing to this generation! Whenever I see him I see Magufuli

  • @stefanomasolwa8979
    @stefanomasolwa8979 2 หลายเดือนก่อน +15

    Watanzania Mnaleta Aibu kweli kabisa yani Akili zenu hazipo .yani leo Makonda anafanya kazi vizuri mnataka kumuwa apana kweli .yani Watanzania

    • @mwonajeremia5323
      @mwonajeremia5323 2 หลายเดือนก่อน

      wewe mwenye akili una cheo gani???,,,Acha wivu na maneno ya vijiwenu😮 Makonda ni kiongozi mzuri ndo maana wanaomchukia ni wengi

  • @feliciarfrancis2388
    @feliciarfrancis2388 2 หลายเดือนก่อน

    Hapa umekuwa mtumishi wa Mungu wa ukweli ( Mungu akulinde mtumishi) Mungu amulinde Christian Makonda ,Mungu mpe afya njema

  • @HellenaMky
    @HellenaMky 2 หลายเดือนก่อน +38

    Selekari yote nimanyang'au tu. Magufuli walimuua. Ila makonda ataushi kwa jina la YESU Aliye hai. Mungu wetu Muumba wa mbingu amlinde. Amponye naulinzi amuangazie

    • @joycemwenura4120
      @joycemwenura4120 2 หลายเดือนก่อน

      Amen

    • @LucyRafeali
      @LucyRafeali 2 หลายเดือนก่อน +1

      Wakikamatwa wanyogwe wamezoeya kutuonderea watu wetu wazuli

  • @Nguvuyaasili
    @Nguvuyaasili 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mtumishi nakupenda sana unasema sahihi viongozi ni wanafki kweli sio uongu Mtumishi sema kweli na Mungu atasimama na ww .

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen7145 2 หลายเดือนก่อน +12

    Tunaomba ulinzi wa Mwenyezi Mungu kwa Mh. Paul Makonda. Damu ya Yesu imfunike milele. Kama ni kweli Mwenyezi Mungu atatenda miujiza na kumpa uponyaji wa haraka mtetezi wa Wanyonge wanaodhurumiwa na kunyanyaswa.

    • @nadiafahad3926
      @nadiafahad3926 2 หลายเดือนก่อน

      Aamiyn Yarrabi 😊

  • @veronicawilson4263
    @veronicawilson4263 2 หลายเดือนก่อน +29

    BABA ktk jina lipitalo majina yote wew ni Baba Mbinguni na duniani unatawala vyote MUNGU mweny Enxi yote namweka Mtumishi wako Paul Makona mikononi mwako mkono wako mwema iwe juu yake umlinde agiza malaika zako sawawa na neno lako Zaburi 121:1-8 BWANA atakulinda na mabaya yote utakapo na uingiapo Bwana linda nafsi ya Makonda ktk jina la YESU na kwa Damu ya YESU umfunike nimeomba nikiamini MUNGU umefanya sawasaw na mapenzi yako Ameeeeeeeen 🙇🙇🙇🙇🙏🙏

  • @VenanceMwaisanga
    @VenanceMwaisanga 2 หลายเดือนก่อน +54

    Kama kweri makonda kanyweshwa sumu.basi mungu hatanyamaza kwa walio husika.

  • @gastondofra9151
    @gastondofra9151 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki sana, kwakweli mambo ambayo makonda anafanya kweli watumishi wa serekali wasimwonee wivu.

  • @moiseszacariasmoisesmoises
    @moiseszacariasmoisesmoises 2 หลายเดือนก่อน +10

    katika jina la Yesu, ewe Jeová, namuombea RCmakonda umkomboe katika matizo yalio mkuta.ewe mwenyezi Mungu nisaidie ámen 😢

  • @EvelynePeter-p3w
    @EvelynePeter-p3w 2 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤ mungu skubariki kwakua mkweli huyu ni magufuli aliyefufuka

  • @hezekiamhapa7395
    @hezekiamhapa7395 2 หลายเดือนก่อน +15

    Wivu Tu wao hawfanyi kazi tofauti wanachowaza ni kuiba Tu Mungu na awe pamoja na makonda

    • @angelanaftael7965
      @angelanaftael7965 2 หลายเดือนก่อน

      Mijizi mikubwa milafi mifisadi

  • @ElizabethMwasonya
    @ElizabethMwasonya 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu mponye Makonda na mteteee aliyoyafanya haya chini ya jua mngoe Kwa jina la Yesu damu kama wapo anguko lao liwe kubwa kisibaki kizazi Hadi vizazi vyao Mungu sikia maombi haya amen.

  • @zainabuhamisimmbaga1840
    @zainabuhamisimmbaga1840 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mwenyeezi Mungu Amponye na Kumnusuru RC wetu😢😢🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @fidesbernard4835
    @fidesbernard4835 2 หลายเดือนก่อน

    Pole sana ndugu yetu, kiongozi wetu Makonda mwenyezi Mungu akufnyie wepesi Upoke

  • @robsonlotyloy5678
    @robsonlotyloy5678 2 หลายเดือนก่อน +23

    Mungu achoki wala alali afya yake na mawazo yake yako mikononi mwa bwana. Mungu hamuepushe na husda za fisi wenye ngozi za kondoo. He,mungu mpe afyanjema kiongozi wetu Makonda.

  • @HeppyRafaeli
    @HeppyRafaeli 2 หลายเดือนก่อน

    Uko sawa Mtu wa Mungu. Binafsi naumia Baba. Mungu atusaidie kumponyaaaaaaaaa Eee Munguuu!!

  • @mwananyamalaz4427
    @mwananyamalaz4427 2 หลายเดือนก่อน +67

    Makonda atakua kama Mzee wetu MAGUFULI MWAMBA FOREVER 🙏

    • @LucyRafeali
      @LucyRafeali 2 หลายเดือนก่อน +5

      Makonda anapigwa vita kama Baba Yetu ila Mungu amsimamie amlinde na maadui wote

    • @estherkibajiro3480
      @estherkibajiro3480 2 หลายเดือนก่อน +1

      Nchi yetu Tanzania kama tumefikia kuuwana sisi kwa sisi tena tunauwa viongozi walio na weledi,kinachofuata si amani ni vita....Tanzania hatutokubari, Mumeuwa Magufuli bado Munamfuata Makonda Duh!!

    • @LucyRafeali
      @LucyRafeali 2 หลายเดือนก่อน

      @@estherkibajiro3480 Yaani inaumiza sana Mungu aonekane kwa hili

    • @GiliardKashimba
      @GiliardKashimba 2 หลายเดือนก่อน +1

      Jamani watanzania MUNGU amefichua ukweli bado mnahamini baba ni gonjwa la moyo ndo lilimtoa apa duniani ???

    • @josephmakutano7067
      @josephmakutano7067 2 หลายเดือนก่อน

      Mkuki kwanguruwe lakini kwabinadamu nimchungu

  • @MamaDieudonne-mq2sq
    @MamaDieudonne-mq2sq 2 หลายเดือนก่อน

    Na Sisi wa congomani Tunamuombeya mtumishi Makonda Mungu afanye jambo kwa ajili ya maadui wake, Mwenyezi Mungu awapatishe haya nawashikwe kwajina la yesu kristo wanazareth Amina.toka Congo uvira

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 2 หลายเดือนก่อน +24

    Amen Mtumishi, Tunamtaka Makonda.

  • @alphonsinamorice3907
    @alphonsinamorice3907 2 หลายเดือนก่อน

    Tuna muombea uzima, damu ya Yesu indelee kumfunika, tunampenda sana, tunabatirisha taarifa mbaya kwa jina la Yesu amina

  • @AnuaryKISEGE
    @AnuaryKISEGE 2 หลายเดือนก่อน +20

    MAKONDA HANA UJANA BALI MAFISADI HAWAMPENDI MTENDA HAKI MUNGU MJALIE MAKONDA

  • @ahmedaljabri1206
    @ahmedaljabri1206 2 หลายเดือนก่อน +2

    Subuhana Allah makonda wetu mwenyezimngu amuepushe walimwengu wanayoongeya

  • @SabinaVicent-l8w
    @SabinaVicent-l8w 2 หลายเดือนก่อน +5

    Mungu atamponya tu kwasababu anamakusudi makubwa makubwa kumuweka ili awe msaada kwa watu wake mungu atamjenga na kumtia uponyaji zaidi hata madactari wanaotibu huko mungu baba mwenyezi ukawe kiongozi wao katika huduma wanazompatia mungu baba mwenyezi ukamsimamie nakumwekea ulizi wako Amina🙏🙏

  • @EmmanuelMukengere
    @EmmanuelMukengere 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu ndiye Ali weka makonda penye uongozi katika inchi ya tanzania Mungu amu ponye

  • @annacyril5832
    @annacyril5832 2 หลายเดือนก่อน +62

    Rc makonda usile kila sehemu , beba lunch box yako toka nyumbani baba.Mwenyezi Mungu akulinde.

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 2 หลายเดือนก่อน +1

      ni kweli

    • @fridaminja7191
      @fridaminja7191 2 หลายเดือนก่อน

      Binadam wanaroho mbaya sana, naumia mpaka basi, naomba Mungu yasijetokea kama ya magufuli jaman, anaekuua nimtu wa karibu yako hata ukiwa unaenda kula nyumban asubh mchana usiku bado watakuwinda tuu, maik pia nihatar sana

    • @gracemairusya2950
      @gracemairusya2950 2 หลายเดือนก่อน

      Tena hata asisheki hands kabisaaa

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 2 หลายเดือนก่อน

      @@gracemairusya2950 kabisa. ndomana
      Samia ana kusanya mikono yake miwili kuashiria SALAAM!

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 2 หลายเดือนก่อน

      naskia hivi punde kuwa yuko Dubai kwa medical checkup za kawaida. ss sijui kweli au?

  • @marselinadena7618
    @marselinadena7618 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu aikumbuke kazi yako Paul wetu

  • @INUMBUMWANDU
    @INUMBUMWANDU 2 หลายเดือนก่อน +11

    Makonda tunakutakia kila laheri mungu aokoe maisha yako ili utimize doto zako nawatanzania kwa ujumla

  • @methodkajuna4674
    @methodkajuna4674 2 หลายเดือนก่อน +1

    Asante MTUMISHI waambie vichwa vimejaa ufisadi awataki kusikia ukweri Lakini Mungu yupo

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 2 หลายเดือนก่อน +42

    MUNGU amsaidie appnee inshallah na iyo sumu igeuke kuwa dawa mwilini mwake inshallah

  • @AnnaMsigwa-oi8do
    @AnnaMsigwa-oi8do 2 หลายเดือนก่อน +2

    Uwiiiii kakangu,kipenzi Cha watanzania kakaangu makonda mungu mnusuru uyu kaka awe hai,mungu mponye uyu kaka,heee mungu nashindwa Mimi naumia najua wewe upo na upo kwajili yetu unatujua tulivyo,unawajua watu wako,Fanya kitu Kwa uyu kaka.

  • @everlinekanuya9198
    @everlinekanuya9198 2 หลายเดือนก่อน +20

    Mungu amtete kiongozi wetu makonda.. Mungu naomba uponye popote alipo

  • @clemenceernestshooga
    @clemenceernestshooga 2 หลายเดือนก่อน +1

    Umenena vyema sana tatizo lipo kwenye wivu tu....Kuna watu wanatafuta watu bila hata ya sababu mi naamini Kuna mda watu watawafatilia viongozi na wa2 makini bila ya sababu ila waTZ tungeomba tuishi kwa pa1 na kulijenga Taiga letu Big Up sana mtumishi.....Kikubwa tuishi kwa amani kwenye hili Taifa letu..!!?

  • @femidayahaya9293
    @femidayahaya9293 2 หลายเดือนก่อน +11

    ASANTE SANA BABA CASIAN..MUNGU AKUBARIK NAPENDA VILE MUNGU ANAKUTUMIA PLZZZZ BABA ANAOMBA UZID KUMUOMBEA SANA MAKONDA

  • @rosemtandika2983
    @rosemtandika2983 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu msimamie Makonda asife tunamhitaji sana, tumeingia imani kuwa tumempata Magufuli Mungu,Mungu pokea maombi yetu

  • @priscahbosire4608
    @priscahbosire4608 2 หลายเดือนก่อน +66

    Makonda, natamka kwa mamlaka ya jina la Yesu hutokufa bali utaishi wewe ni mtumish wa Munga watakufa wao wanaokutafuta kwa jina la Yesu

    • @GentleGiant-pj2rk
      @GentleGiant-pj2rk 2 หลายเดือนก่อน +1

      Yesu gani?

    • @estherminnahboaz6956
      @estherminnahboaz6956 2 หลายเดือนก่อน +1

      Nyoo hajakuulia ndugu zako sababu yeye asife ni robot amaa😅😅😅

    • @esterjonathan2930
      @esterjonathan2930 2 หลายเดือนก่อน

      Amen

    • @angelanaftael7965
      @angelanaftael7965 2 หลายเดือนก่อน

      Hakika ataishi kbs jina la Yesu... Mungu nakuomba mumlinde

    • @saidnoumani7244
      @saidnoumani7244 2 หลายเดือนก่อน

      "Hakika Kila nafsi itakufa" all of us is just matter of time as per God plan

  • @Thomas-wu4ie
    @Thomas-wu4ie 2 หลายเดือนก่อน

    Makonda utapona kwa jina la Yesu na urejee kwenye majukumu yako. Hakika watu wabaya watachonwa moto wa Mbinguni, Bwana atende jambo juu ya afya yako. Amen

  • @LeonardEdward-fb2bn
    @LeonardEdward-fb2bn 2 หลายเดือนก่อน +47

    Tuko katika kizazi cha laaana na waovu wanatawala ulimwengu 😢 DUNIANI SIO MAHALI SALAMA😢 MUNGU AMPIGANIE MH.MAKONDA✍️🙏

    • @erickmsigala138
      @erickmsigala138 2 หลายเดือนก่อน +4

      @@LeonardEdward-fb2bn Sawa kabisa na Makonda ni mwongoni mwa waovu amedhulumu haki ya watu ya kuishi anatumia udhaifu wawajinga na masikini kujinufaisha kisiasa

    • @AlHamra-k4u
      @AlHamra-k4u 2 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@erickmsigala138Vp aliowadhulumu nafsi zao unaweza kututajia?? Vp sasahiv utekaji, mauaji kulawiti vp anahusika Mh Makonda?? Au na ww ni mmoja wa waovu acha fitna ndugu tunza kinywa chako

    • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
      @SmilingFlowerBouquet-hs2hv 2 หลายเดือนก่อน

      ​@eriSHETANI MUKUBWA WW?ckmsigala138

    • @erickmsigala138
      @erickmsigala138 2 หลายเดือนก่อน

      @@AlHamra-k4u wewe ni giza hakuna unacho jua zaidi ya kuwa chawa Kasome ripoti ya haki za binadamu, pia mwuulize anaruhusiwa kuvuka kwenda Marekani mnaye mshabikia huyo ni mazuzu mliye zoea kudanganywa kama kuku wa kuenyeji anaye jikamatisha kwa mtama

    • @edwardmizambwa237
      @edwardmizambwa237 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@erickmsigala138
      Propaganda za kijinga kweli kweli. Onyesha hata sehemu ndogo tu kua Makonda kahusika.

  • @pejesalum615
    @pejesalum615 2 หลายเดือนก่อน

    😭😭😭MUNGU Amtengeneze upya aludi kakaika haliyake ee Mungu mteetet makonda EeUngu wewe ndio unaetutengeneza ka kutubomoa naomba Mungu amtengeneze binadam hana uweza kwako Emungu na alietengeneza ivyo anyongwe kabisa asizalishe wengine ashindwe kabisa milele Amina🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲💯

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 2 หลายเดือนก่อน +6

    Mimi ni musalaam lakini nampenda sana makonda mungu amlinde na watu mahasidi Amen ❤❤❤

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu atende miujiza BABA KEGANI uludi katika majukumu Yako AMEN

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 2 หลายเดือนก่อน +9

    Tunaomba Mungu ampiganie 😢😢 wallah inauma sana. Halafu serikali inatudanganya eti Mh yupo likizo. Serikali ya Tz mbovu, husda, wivu umetawala 😢

    • @emmanuelmayunga1518
      @emmanuelmayunga1518 2 หลายเดือนก่อน

      Yan uongo huu sijui utatufikisha wapi😢

  • @wamburamalwa770
    @wamburamalwa770 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu humlinda kila alie wake kwa jina la yesu kristo wa nazaleti mponye kiongozi wetu mtetezi wa wanyonge!!

  • @SophiaKamgunda
    @SophiaKamgunda 2 หลายเดือนก่อน +5

    Hii nihatar kwa upande wagu nawakubali sana Makonda naJelly Slaa pomoja naMpina Mungu awalinde

  • @christaeletlawe
    @christaeletlawe 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu naja mbele zako namleta kiongozi wetu makonda umlinde mtie nguvu mzingire kwa damu yako na katika hili naomba mponye katika jina la Yesu Amen

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 2 หลายเดือนก่อน +78

    Makonda ni Hazina kama alivyo kuwa Magufuli 🎉🎉🎉

    • @erickmsigala138
      @erickmsigala138 2 หลายเดือนก่อน +5

      @@albertinamichael6123 Makonda ni hazina ya wapumbavu wasio jitambua wanaopenda kudanganywa na maigizo

    • @selemaniigosha
      @selemaniigosha 2 หลายเดือนก่อน

      Mpumbavu ni ww na genge lako la waekaji wa sumu​@@erickmsigala138

    • @Mariam-w9s3b
      @Mariam-w9s3b 2 หลายเดือนก่อน +4

      ​@@erickmsigala138 Wewe aliyekua mwerevu ndio miongoni mwa mafisadi lazima umuone makonda anaigiza na wala sikushangai Kwan Ata Malaika WaPo wanaomchukia Yaan mashetan vp wewe mwanadam

    • @johnmichaellukindo21
      @johnmichaellukindo21 2 หลายเดือนก่อน

      We ni fisadi mkubwa unaetuibia nchi yetu, shenzi kabisa!​@@erickmsigala138

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@erickmsigala138ukapime akili yako, ona comments zote na yakwako then jitafakali

  • @phiriminalyimo3119
    @phiriminalyimo3119 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu ampe uponyaji wa haraka!!
    Sumu haitamfisha katika jina la Yesu!!

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 2 หลายเดือนก่อน +3

    MUNGU MULINDE MPINA, MPONYE MAKONDA.Amen

  • @MagdalenaShaudo
    @MagdalenaShaudo 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu aliye juu amlinde paul makonda

  • @barakamwangama9109
    @barakamwangama9109 2 หลายเดือนก่อน +14

    Kama roho yake imetoka nairudisha kwa njia la yesu nimemaliza Wala sirudii na ninavyojua yupo hai kama mungu wangu haishivyo

  • @JosephMpangala-wd5mp
    @JosephMpangala-wd5mp 2 หลายเดือนก่อน

    Ee Mungu amponye mtumishi wako Paul Makonda, kwajina la Yesu kristo, Àmina.

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 2 หลายเดือนก่อน +5

    Mimi ni muislam namuomba Mungu kwa niyaba ya hawa waliokosa wa kuwasemeya ewe Mola ya rabi mlinde huyu komredi.

  • @magdalenalaban8895
    @magdalenalaban8895 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akuponye Mtumishi wa Mungu huko uliko Damu ya Yesu Kirsto Alie hai ikuponye

  • @MichaelMalamu
    @MichaelMalamu 2 หลายเดือนก่อน +31

    Mkimua Mkonda mtakuwa mtenda dhambi kubwa sana.

  • @SamwelAminiel
    @SamwelAminiel 2 หลายเดือนก่อน

    Hakika Mungu mwaminifu asikiaye maombi ya watuwake atampona amen❤❤

  • @maxmiliangunze8931
    @maxmiliangunze8931 2 หลายเดือนก่อน +4

    Inauma Sana kwann mtu mwema hadumu dunian kwann mungu katupa fumbo gumu kwa wale tuwapendao

    • @HasnaSawaid
      @HasnaSawaid 2 หลายเดือนก่อน

      Jaman nimeliyaaa mungu atusandie sanaa

  • @jesusfirstchurch4162
    @jesusfirstchurch4162 2 หลายเดือนก่อน +46

    YESU ALIKUFA, ALIFUFUKA , YESU YU HAI NA MAKONDA YU HAI KWA JINA LA YESU..

    • @MelkizedekUrio-xl1jp
      @MelkizedekUrio-xl1jp 2 หลายเดือนก่อน +2

      peleka ujinga wa kumfananisha yesu na wezi

    • @verdianabanabi2205
      @verdianabanabi2205 2 หลายเดือนก่อน

      Ana ujinga gani au wewe umemwekea cheti chake cha ujinga.

    • @kkhalifairumba2932
      @kkhalifairumba2932 2 หลายเดือนก่อน

      Au ww ndio umemuekea sumu

    • @MelkizedekUrio-xl1jp
      @MelkizedekUrio-xl1jp 2 หลายเดือนก่อน

      @@kkhalifairumba2932 mnajuaje nyie kapewa sumu,acheni uzushi yupo likizo... anakula bata

    • @MwanakomboNassor-bw3by
      @MwanakomboNassor-bw3by 2 หลายเดือนก่อน

      Amina mungu atampigania

  • @RucyMakapa
    @RucyMakapa 2 หลายเดือนก่อน

    Polee kipenz cha watanzania mungu atawafedhehesha wotee wanaopenda kuwauwa watu kama wamejiumba wenyewe watambue watakufa vifo vby cku yao ikifka

  • @philoteuslwena3082
    @philoteuslwena3082 2 หลายเดือนก่อน +10

    Daaa inaweza ikawa kweli??
    Mbona kutakuwa hakuna kiongozi Tz tena aisee

    • @lulurubby2235
      @lulurubby2235 2 หลายเดือนก่อน

      Inasemekana kweli sema daah roho inaniuma kweli

  • @KherryingOkello
    @KherryingOkello 2 หลายเดือนก่อน

    Mapenzi ya Mungu yatimizwe katika maisha ya Makonda Paul-Amen.

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 2 หลายเดือนก่อน +35

    Mtumishi Pascal Naungana nawe kabisa, Tufunge na kuomba, Makonda awe Salama, sina furaha kabisa 😭

  • @chrissyjessiemawondo3514
    @chrissyjessiemawondo3514 2 หลายเดือนก่อน

    Eeemwenyezi Mungu mulinde Paul C. Makonda uko aliko kwani uongozi wake ni wakipekee na tunatamaani aendelee kutuongaza .Mpe afya njema 💯uko aliko🙏

  • @GraceDeo-g1n
    @GraceDeo-g1n 2 หลายเดือนก่อน +40

    Makonda nichombo ,anafaa kua rais

    • @edwinalexander1170
      @edwinalexander1170 2 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa jamaa anafanya kazi sana. Yuko vizuri

    • @JoyceMbise-zr2xh
      @JoyceMbise-zr2xh 2 หลายเดือนก่อน

      Hakika nasema naaam huyu ni raisi ajaye

  • @annanangu1832
    @annanangu1832 2 หลายเดือนก่อน +1

    Eeeh mungu wangu mtangulie apone kwa damu ya yesu hatakufa bali ataishi

  • @AmAl-x9j
    @AmAl-x9j 2 หลายเดือนก่อน +5

    Hivi serikali ya samia ina laana gani??
    Hivi wameshindwa kusema ukweli juu ya makonda????

    • @chandeyusufu9570
      @chandeyusufu9570 2 หลายเดือนก่อน

      Inaauma sana wallah😭😭😭😭😭😭

  • @AgnessZephania
    @AgnessZephania 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu aikumbuke ile sadaka yake anayotoa madhabauni kila akienda kanisan mungu ukamponye paul makonda

  • @titosimon4360
    @titosimon4360 2 หลายเดือนก่อน +7

    MUNGU mponye p.mkonda katika jina la YESU na damu ya YESU hesabu 23 /23 na zaburi 16/19 nafunga roho ya mauti juu ya p.makonda

  • @magdalenalaban8895
    @magdalenalaban8895 2 หลายเดือนก่อน

    Bwana Yesu Kirsto Alie hai pokea uponyaji Paul Makonda kwa Jina la Yesu.

  • @KazunguMataza-Tk
    @KazunguMataza-Tk 2 หลายเดือนก่อน +12

    Huyu jamaa ana Kibali kutoka kwa Mungu ni kiongozi anaeweza hata kuiongoza Tanzania kwa ujumla

  • @NeemaMateleka
    @NeemaMateleka 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde Tena na Tena awafunike kwa damu yake Amina

  • @stephanokanyika6321
    @stephanokanyika6321 2 หลายเดือนก่อน +5

    Makonda yuko wapi serikali

  • @SubilaMwambughi
    @SubilaMwambughi 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huh❤❤❤❤❤kwamoyommoja maombi

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 2 หลายเดือนก่อน +11

    Magufuli wapili huyu

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 หลายเดือนก่อน

      Ndo maana wanataka wamuue kama walivyomuua Magu, yaani hii ndo itadhibitisha walimuua

    • @khadijayusuph2634
      @khadijayusuph2634 2 หลายเดือนก่อน

      Jamani ikitokea wamemuua"wananchi Wagoner uchaguzi ujao kabisa

  • @JenniferJohnmshi
    @JenniferJohnmshi 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde makinda wetu Mungu akupe uzima Amen

  • @EliauMtishbi-os5ky
    @EliauMtishbi-os5ky 2 หลายเดือนก่อน +3

    Tanzania ukiwa unapenda kuisimamia HAKI za watu ,,,,unapigwa VITA , ee Mungu umpe wepesi Mt. Makonda apone ktk jina la Yesu kristo

  • @monicasemsey1125
    @monicasemsey1125 2 หลายเดือนก่อน

    Tumuombeee sana makonda .Mungu amtetee na kumpa nguvu na afya njema

  • @tonybake7120
    @tonybake7120 2 หลายเดือนก่อน

    Mtumishi wa mungu baasi baba maneno yako yameniliza sana kama kweli kapewa sumu mungu atawaangamiza