Kuwaonya hadharani ni halali maana hata wao ramli wanazopigia waumini wao kanisan huwa wanafanya wazi wazi. Big up sana mtumishi Paschal Mungu akujalie neema kubwa uendelee kutia mchanga vitumbua vya hawa wahuni wa mjini wanojiita watumishi.
Hata Yesu Mwenyewe enzi za kulihubiri neno lake Mungu aliyapitia yaya hsya mchungaji.Songa mbele na injili kwa kuwa hiyo injili uhubiriyo ni moto na inachoma hila potovu za muovu shetani ambaye ndiye pingamizi mkuu wa injili hii takatifu.Hamna maana yeyote katika usajili ws yeyote anayelikufuru neno la Mwenyezi Mungu katika huduma yake ila ni matapishi kwa yeye yule amuogopaye na kumhubiri Mungu wetu aliyehai amina.🤩🇰🇪
Wapi yesu alisema kuwa Yohana umekosea kuwaombea watu kwa kutumia dhana ya aina yeyote kaka tuwe makini usisapoti tuu chunguza kwa undani.karibu tuungane pamoja kulijua neno kwa la biblia kalibu sana
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu Paschal. Usiogope tuko wengi tulio pamoja nawe. Tutakusapoti kwa kila jambo. Hao ni mawakala wa shetani tu wanaona shida siri zao kufichuliwa
Amina sana tena uwaambie natamani Mungu ukuinue juuu kabisa ulihubili neno la kweli nasi kona kona nakuombea Mungu awe nawe akupiganie akulinde leo kesho hata milele
Mtumishi wa MUNGU upo sahihi kwa 100% nakupenda sanaa Katika Kristo Yesu, Mimi mwenyewe nimekuwa nikikilashi sana kupitia Facebook hayo mahubiri ya mwamposa, na wengine kama yeye! husiogope MUNGU Yu pamoja naweee! Nyimbo zako zinanibaliki sana nikisikilizaaa
Songa mbele baba , Mungu mtetezi wako yupo atakupigania. Yesu alituambia tuwe tayari hata kufa 😢na tunayoambiwa gizani lazima tuyaseme nuruni 🙏🙏🙏 . Makamo wako mkuu ni yesu 💪💪💪
Hongera sana mtumishi,Mungu wa mbinguni akubaliki,nena maana dunia ilipofika Ni pabaya watumishi hawapendi kuambiwa ukweli,Amani ya Bwana iwe pamoja nawe katika huduma yako!
Ubarikiwe Tena kwa kufanya kazi ya Mungu kwa ujasiri. Unapo mtumikiya Mungu kwa kweli na haki Unatangaza vita na shetani. Wajumbe wa shetani wote watakucukia kwa kweli iliyo ndani mwako. Acha Yesu Christo akutete na akuvike nguvu upate kushinda hila za shetani. Mungu akuinuwe kiroho na kimwili pia.
Shetani imeingia ndani yao ndo maana wana chuki na wewe the truth must be told, if they dont need the truth then come to kenya we need it especially me i neee to kno God more and i love that song, yenye umesema,WAMBIENI WATU UKUELI i lov it so much, tell them the truth man of God and be blesed.
Que Dieu vous bénisse, serviteur de Dieu, vous dites la vérité, c'est pourquoi ils se battent, mais ne vous inquiétez pas de leurs paroles. usijali na maneno yao mtumishi wa mungu Paschal Cassian cha msingi tu simama imara na injili ya bwana wetu yesu kristo ubarikiwe sana tu
Amen Mtumishi wa Mungu,Mungu amekuponya kwa makusudi,sema kweli na Mungu atakubariki,nakupenda Sana,nakumbuka wakati unaumwa tulikuwa tunaongea kupitia sms
mungu akubariki sana mwinjilisti wangu napenda sana mtu anayezungumza ukweli ili tupone sema babaaa, usiogope vitisho vya mtu yeyote mungu ni mwema, na uponyaji hauuzwii jaman watu tunapotea.
God bless you so much pastor, in deed your doing a great job, it's a call from Yahweh, nobody should keep insults to you, even Jesus was mocked keep doing the work of God 🎉❤ am from Kenya 🇰🇪
Ubalikiwe kaka Mungu alikuokoa namaiti ili utuhubilie kweli mm binfsi nakushukulu sana kaka kupitia nyimbo zako ulinifanya nimwage mafta ya nwaposa pamoja na maji Mungu akutuze uwaokoe b awengine
❤Mungu akubariki sana kwa hilo kaka. Unanibariki sana kaka kwa kuongea UKWELI. Maana UKWELI unamuweka mtu HURU. Ili tuwe huru mbali na uovu ni lazima tulijue Neno la Kweli. Neno la Kristo Yesu kweli kweli. Ubarikiwe sana kaka. Usiogope wala kuionea haya Injili.
Mungu akusaidie baba kaza mwendo endelea na kazi ya bwana hivyo ni vitisho tuu vyakutaka kuharibu kazi ya bwana endelea baba kaza mwendo wala usikate wala kugeuka nyuma na mungu akusaidie kwa jina la yesuuuuuuuuuuuuhuuuuuuuuu
🤝🤝🤝🤝👏👏👏👏 Paschal umejaaa roho mtakatifu,wanaoshindana na roho mtakatifu wa Mungu aliye ndani yako Hao ni mashetani wanataka waendelee kutupoteza, wameshindwa tena wameshindwaaaa katika jina la Yesu, Amen 👏👏👏
Mtumishi wa Mungu cassia, Bwana wetu yesu kristo akutie nguvu na akulinde, kazi inayo ifanya ni ya kweli kabisa, ni pastor Israel Haki, nikifanya kazi ya Mungu namibia.
Hallelujah hallelujah kaka yangu 🙏🙏🙏 hiyo ni Kweli!! Maana jina analolitumia ni la yesu christo unayemuamini, sasa nilazima ulitetee jina la christo lisiendelee kuhaibika kwenye mahuduma zao za mafuta na maji 😢. Kuliko watu walifuate neno ili wapone ki Roho na kimwili, matokeo yake wanafata mafuta na maji 😢
Amina baba Mungu akubariki sana mtumishi nawapenda sana Pascal cassian pamoja na Mbarikiwa Mwakipesile Mungu akutunze na kukuhifadhi "je tuwasikilize ninyi kuliko Mungu"
Muinjilisti wa mahubiri mazuri ya kutengeneza njia ya ujio wa Kristu Yesu, songa mbele. Mungu wa kweli, akuwezeshe na kukushindania. Dunia imeharibika. Waganga wametaka wapitie Jina la Yesu Kristu ili wapate mali ya dunia. Mtumishi Paschal Cassian nakuunga mkono. Mungu atusamehe ku kupungukiwa.
Asante Baba mwamposa amefika uku Mozambiqui na weng Sana wanakwenda kununua, mafuta..Mimi nimepona kwa sababu yakukufatiliya sana nikamjua kabisa uuyu tapli
Mungu ni pamoja nawe Mimi niko mbali nakuona nakusikiya Jesus's hopefully is above you usiogope kusema ukweli wa Mungu tutakuombea Dunia imefika mwisho jibulangu ni Amen kumbuka poul Amen 🙏
Ubarikiwe sana mtu wa Mungu. Utapingwa kwa sababu ya kweli uliyoisema. Ila nondo ishawaingia. Kanisa la Leo tuache umazingaombwe kwenye Mazabahu ya Mungu.
Mtumishi wa mungu hayupo awezaye kukunyamazisha,na huyo makam inaonekana na yeye ni mmoja wao, hata ingekuwa ni mim ungenitaja,kwa nini nikosee halafu nikionywa nianze kujifichia kwa viongoziii? Watubu tena watubu
Injili ilinza kwa mateso, itaisha kwa mateso tunaomba kwa wanao sema kweli tuko nyuma yako, sisi tunahila kilichondani ya manabii wauwongo, barikiwa baba
Pascal ikwaumeitwa na Mungu basi simama kama Paulo kwa waroma walausiwaogope. Kwamaanawoga nimtego,natena ukweli unakata kamakisu kwayule asie mkweli basi simamakama Elia pazasauti. Mpaka Mungu mwenyewe atakaposema inatosha. 🙏 🙏 🙏
Mungu akubariki mtumishi piga kelele usiache watu wanadanganywa hivihivi mwenye sikio na asikie neno roho anayaambia makanisa Mungu akuzingire kwa damu ya Yesu
Mtumishi Mungu akusaidie Roho Mtakatifu huwa anajitukuza wewe simama wito wako Mungu kakuita kuponda watumishi WA Mungu hiyo sio vema hubiri neno watu wamfuate Mungu. Kutaja majina ya watu katika mahubiri Yako SI proper. Jitahidi kusimamia wito wako. Manabii wameitwa na Mungu na niwapakwa mafuta huo uinjilisti una mtumikia Mungu yupi. ROHO MTAKATIFU ni mwelevu sana. Nakushauri acha kuwapaka watumishi WA Mungu
Mtushi wa Mungu songa mbele,, kumbuka Mungu kukuacha hadi leo Nikuokoa dunia maana watumishi wengi wa leo wamekuwa wakifanyisha biashara kwenye dini,, ila wewe Nimungu kweli anakutumia barikiwe sana
BWANA, Mungu wetu; uliye muumba wa vyote ktk njina la Yesu kristo. Mtumishi wako huyu tunamwombea kwako mtunze na umlinde. Nyosha njia yake na isafishwe kwa uweza wako Yesu Kristo! Ameeeeeeeen.
Usiope mtumishi wewe toa ujumbe wa Mungu hata akina Paulo walifungwa ukifungwa atakuwa ameruhusu aliye kutuma neno la MUNGU wanalifanya kimazoea ....Mungu aendelee kukutunza
Hakika sauti ya mtu aliaye nyikani, ukiguswa na Neno la Mungu, jambo la msingi ni kubadilika tuuu, acha longo longo. Mungu akubariki sana mtumishi Pascal Kasian🙏🙏🙏💕💕💕
Dume la yesu toka Tanzania nakupenda sana waambie kweli wanafiki wamemzoea mungu.usiogope passical mungu yu pamoja nawe aliekuepusha ajali alikuwa na makusudi nawe.
Uko sawa kabisa maana wanaoweza kusema ukweli ni wachache,wewe SEMA na tuko nyuma Yako kwa maombi.Mungu akutie nguvu wala usiogope.soma wafilipi 1:21,27
Ni kweli kabisa usipowaambia watu ukweli utahukumiwa. Ni vizuri umesema ukweli na utakuwa Safi mbele ya Mungu. Mungu akuzingire na Malaika wake na akufunuke na damu ya yesu. Atakaye jaribu kukugusa moto ya yesu imuchoma kabisa katika Jina la yesu amen 🙏
Waambiwe ukili bibilia inasema usipo mwambia mtu anatenda thambi ukose kimwambia mungu atakuuliza moyo wake ukisha mwambia akatae kubadilisha hautaulizwa moyo wake ,hio ni kazi ngumu mungu amekupa ya kuwalekebisha mungu akupiganie vita
Waa! Sauti ya mtu aliaye nyikani kweli!!!! I sincerely agree with this servant of the living God, may the Lord God add u more energy and wisdom to proclaim this. Tell them not to harden their hearts like pharaoh,,this is the truth brethren and the truth is the way, We’re together pascal
Waache Mungu Mwenyewe,hawaukumu,wewe waombee tumia hekima,hakuna mkamilifu,Chini ya just,simama na Mungu wako kwauaminifu ,tumepona kupitia mwamposa na tumeacha ulevi na uzinzi,mwache auze
Na Mimi ntakuja na hoja yangu mniambie umeandikiwa wapi mtumishi wa Mungu aitwe Baba maana Mimi toka nisamage biblia huwa naona mtumishi ,mtu wa Mungu,nabii wa bwana ,mtume ,mwinjilisti ,mwalimu,mchungaji ,na askofu Mara moja ndani ya biblia lakini ili Jina askofu ndo Lina maana kubwa kwa kanisa la Sasa na msingi wa kanisa wa Sasa unaonekana umejengwa juu ya Askofu badala ya kuwa Kama unavyoelekeza biblia kuwa umejengwa juu ya hao mitume na manabii wanaopigwa Vita leo kwa upande wa biblia baba NI Mungu pekee ukija kimwili baba NI yule aliye kuzaa kimwili labda Mimi ndo sielewi biblia mnisaidie.
Nakuombea sana Mungu azaidi kubariki kukuinua na kukutumia watumishi wengi sasa wanaangalia mafanikio yao si kuihubiri kweri endelea na Mungu yuko pamoja nawewe kama mikaya
Barikiwa sana mtumishi Mungu akusimamie kwenye kila ulitendalo kama paulo mtume wa Kristo aliipigania imani mpaka hata kukubari kufa ikiwezekana na ndio maana mtume Paulo alisema siionei haya injili kwasababu niuweza wa Mungu uuletao wokovu kwa kila atakae amini. Soma Warumi 1:16 ila ukitaka kumuelewa saw saw Pascal mtumishi wa Mungu soma kuanzia hiyo hiyo Warumi 1:15 mpaka mstar wa 32 utaelewa sana sana kwakua huyo Pascal mimi namfananisha na mtume Paulo isome historia ya Paulo alikuaje mwanzo na mwisho alikuaje alafu fuatilia na historia ya huyu mtumishi wa Mungu pascal utaona ufanano wao alafu cha ajabu unaweza ukakuta hata yeye Pascal hajui kwamba utendaji wake wa kazi ya Mungu anafanya kwa kipawa kama alichokuanacho mtume paulo
Na Mimi ntakuja na hoja yangu mniambie umeandikiwa wapi mtumishi wa Mungu aitwe Baba maana Mimi toka nisamage biblia huwa naona mtumishi ,mtu wa Mungu,nabii wa bwana ,mtume ,mwinjilisti ,mwalimu,mchungaji ,na askofu Mara moja ndani ya biblia lakini ili Jina askofu ndo Lina maana kubwa kwa kanisa la Sasa na msingi wa kanisa wa Sasa unaonekana umejengwa juu ya Askofu badala ya kuwa Kama unavyoelekeza biblia kuwa umejengwa juu ya hao mitume na manabii wanaopigwa Vita leo kwa upande wa biblia baba NI Mungu pekee ukija kimwili baba NI yule aliye kuzaa kimwili labda Mimi ndo sielewi biblia mnisaidie.
Napenda sana utumishi wako Kaka , uwazi na ukweli wa neno laMungu. Ila natamani kufahamu umuhimu wa kuweka public mawasiliano yakubolesha hudhuma yako, Kwasababu unapo fanya hivyo unatengeneza mazingira ya watu kuwa na mitazaomo na tafisiri tofauti juu ya Huduma yako. Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.
Ubarikiweeeee mnooo, chapa injili ya kweli ya Yesu Kristo, isiyo chakachuliwa.
Kuwaonya hadharani ni halali maana hata wao ramli wanazopigia waumini wao kanisan huwa wanafanya wazi wazi. Big up sana mtumishi Paschal Mungu akujalie neema kubwa uendelee kutia mchanga vitumbua vya hawa wahuni wa mjini wanojiita watumishi.
Mungu akutie nguvu simamia kweli, niko pamoja na wewe barikiwa sana
Hata Yesu Mwenyewe enzi za kulihubiri neno lake Mungu aliyapitia yaya hsya mchungaji.Songa mbele na injili kwa kuwa hiyo injili uhubiriyo ni moto na inachoma hila potovu za muovu shetani ambaye ndiye pingamizi mkuu wa injili hii takatifu.Hamna maana yeyote katika usajili ws yeyote anayelikufuru neno la Mwenyezi Mungu katika huduma yake ila ni matapishi kwa yeye yule amuogopaye na kumhubiri Mungu wetu aliyehai amina.🤩🇰🇪
Wapi yesu alisema kuwa Yohana umekosea kuwaombea watu kwa kutumia dhana ya aina yeyote kaka tuwe makini usisapoti tuu chunguza kwa undani.karibu tuungane pamoja kulijua neno kwa la biblia kalibu sana
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu Paschal. Usiogope tuko wengi tulio pamoja nawe. Tutakusapoti kwa kila jambo. Hao ni mawakala wa shetani tu wanaona shida siri zao kufichuliwa
Asante sana mchungaji , giza na nuru havi changamani, Mungu akubariki
Amina sana tena uwaambie natamani Mungu ukuinue juuu kabisa ulihubili neno la kweli nasi kona kona nakuombea Mungu awe nawe akupiganie akulinde leo kesho hata milele
Amina injili isonge mbele injili ya kweli
Mtumishi wa MUNGU upo sahihi kwa 100% nakupenda sanaa Katika Kristo Yesu, Mimi mwenyewe nimekuwa nikikilashi sana kupitia Facebook hayo mahubiri ya mwamposa, na wengine kama yeye! husiogope MUNGU Yu pamoja naweee! Nyimbo zako zinanibaliki sana nikisikilizaaa
Mungu akutangulieee mtumishiii wa Mungu uendeleeeee kutufudishaa na akuepusheee na rohoo za husdaa
Moto umewaka🔥🔥🔥🔥jaman mjunga piga injili ata paulo aliwekwa gelezan ila alishinda vita💪mngu atakushindia vita,tarumbeta ya bwana piga kelele tusipo umuabudu kw kelele ataamusha mawe yaabudu usiogope🙏🙏🙏🙏mngu ypo.
Songa mbele baba , Mungu mtetezi wako yupo atakupigania. Yesu alituambia tuwe tayari hata kufa 😢na tunayoambiwa gizani lazima tuyaseme nuruni 🙏🙏🙏 . Makamo wako mkuu ni yesu 💪💪💪
Amen Pascal cassian
😊
Amém
amen amen mtumishi wa Mungu weka number ya sim nikupigiee ninashida unishauli kitu mtumishi wa Mungu
Hongera sana mtumishi,Mungu wa mbinguni akubaliki,nena maana dunia ilipofika Ni pabaya watumishi hawapendi kuambiwa ukweli,Amani ya Bwana iwe pamoja nawe katika huduma yako!
Ubalikiwe sana Mtumishi hiyo Ndiyo kweli Watu wana takiwa Kujua..waziache Njia zao Mbaya..🙏🙏🙏🙏
Ubarikiwe Tena kwa kufanya kazi ya Mungu kwa ujasiri. Unapo mtumikiya Mungu kwa kweli na haki Unatangaza vita na shetani.
Wajumbe wa shetani wote watakucukia kwa kweli iliyo ndani mwako.
Acha Yesu Christo akutete na akuvike nguvu upate kushinda hila za shetani. Mungu akuinuwe kiroho na kimwili pia.
Ameeen, mungu akitie nguvu mtumishi wa mungu,maana huu ukweli unaousema lazima wakuchukie aseee sio kwa nondo hizi,,barikiwa sana🙏🙏🙏
Usiogope Mungu ni pamoja nawe. Tunaendeleya kukuombeya. Amen
Shetani imeingia ndani yao ndo maana wana chuki na wewe the truth must be told, if they dont need the truth then come to kenya we need it especially me i neee to kno God more and i love that song, yenye umesema,WAMBIENI WATU UKUELI i lov it so much, tell them the truth man of God and be blesed.
Caroline Atieno tutoe wapi wachungaji kama huyu
Mungu akupe mema sana unafanya kazi ya Mungu vizli sana
mtumishi wa mungu usiogope hivo n vitisho baridi kwanza nyimbo zako zime n pariki snaa mungu yupo pamoja nawewe 🙏🙏
Tupe Mandiko yasemayo kuwa mafuta yamesha nguvu au kupitwa na na wakat,mtumish unatafuta Kiki na watumishi wamungu ,utapotea kuwa makini ,huku si
Sema baba wanadamu tupone
AMINA 🙏 baba, siku zote msema kweli huchukiwa na walio wakosaji,mungu akulinde mtumishi wa mungu.
Que Dieu vous bénisse, serviteur de Dieu, vous dites la vérité, c'est pourquoi ils se battent, mais ne vous inquiétez pas de leurs paroles.
usijali na maneno yao mtumishi wa mungu Paschal Cassian cha msingi tu simama imara na injili ya bwana wetu yesu kristo ubarikiwe sana tu
mwenyezi mungu akulinde na akupambanie kwenye Vita yako mtumishi
Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu usiogope piga kaz injili yako naielewa sana
Amen Mtumishi wa Mungu,Mungu amekuponya kwa makusudi,sema kweli na Mungu atakubariki,nakupenda Sana,nakumbuka wakati unaumwa tulikuwa tunaongea kupitia sms
Asante mtumishi tunakupata sana mungu akulinde
Nipo Musoma Baba Nakupenda pambana tunakuombea
mungu akubariki sana mwinjilisti wangu napenda sana mtu anayezungumza ukweli ili tupone sema babaaa, usiogope vitisho vya mtu yeyote mungu ni mwema, na uponyaji hauuzwii jaman watu tunapotea.
Uko sawa Paschal. wanaopinga ni vipofu wa Neno la Mungu. Endelea kusema kweli ya Mungu
God bless you so much pastor, in deed your doing a great job, it's a call from Yahweh, nobody should keep insults to you, even Jesus was mocked keep doing the work of God 🎉❤ am from Kenya 🇰🇪
Njia ambayo mungu ametumia ni kufikisha ujimbe Kwa njia ya uiambaji. Msitetee uovu
Ubalikiwe kaka Mungu alikuokoa namaiti ili utuhubilie kweli mm binfsi nakushukulu sana kaka kupitia nyimbo zako ulinifanya nimwage mafta ya nwaposa pamoja na maji Mungu akutuze uwaokoe b awengine
I love so so so much Your songs especially the new song very very nice song O love ❤️😍💖❣️💕 it
❤Mungu akubariki sana kwa hilo kaka. Unanibariki sana kaka kwa kuongea UKWELI. Maana UKWELI unamuweka mtu HURU. Ili tuwe huru mbali na uovu ni lazima tulijue Neno la Kweli. Neno la Kristo Yesu kweli kweli. Ubarikiwe sana kaka. Usiogope wala kuionea haya Injili.
Asante sana kaka kwa kuendelea kuisema kweli Mungu azidi kukutumia kwa viwango vya juu
Ukweri kaka Mungu akubariki sana kaka Asante sana kwakutufundisha neno la mungu
Mwenyezi Mungu akutangulie akufunike kwa damu ya mwanae mpendwa Yesu Kristo adui asipate nafasi juu yako
Mungu akusaidie baba kaza mwendo endelea na kazi ya bwana hivyo ni vitisho tuu vyakutaka kuharibu kazi ya bwana endelea baba kaza mwendo wala usikate wala kugeuka nyuma na mungu akusaidie kwa jina la yesuuuuuuuuuuuuhuuuuuuuuu
Amen ni kweli kabsa Mtumishi wa Mungu pascal,Nabii mkuu ni Yesu pekee, kazi Moja wapo za Watumishi wa Mungu ni Kuonya,Kukaripia na kutia moyo.
Ameeen nimekuelewa San mtumishi ubalikiwe
🤝🤝🤝🤝👏👏👏👏 Paschal umejaaa roho mtakatifu,wanaoshindana na roho mtakatifu wa Mungu aliye ndani yako Hao ni mashetani wanataka waendelee kutupoteza, wameshindwa tena wameshindwaaaa katika jina la Yesu, Amen 👏👏👏
Endelea s
Mbarikiwa na Paschal nawapenda Bure, mmoja anagonga kwa anjili na mwingine kwa nyimbo, endeleeni tu.
Ata Mimi et
Hata mimi eti
Sema tu baba Tena ongeza voice nakupenda Sana MUNGU aKulinde akuongonze aKulinde akuokoe nawaendao kinyume nawew wapigwe kwadamu ya ya YESU aliye hai
Hakika Yesu akulinde sanaaaaaaaa kaka. Nakupenda bure. Hakuna atakaekunyamazisha ikiwa Mungu amekuinua.
Sema kweli yetu ituweke huru mwee! Yalio sirini hakika yako wazi
Mtumishi wa Mungu cassia, Bwana wetu yesu kristo akutie nguvu na akulinde, kazi inayo ifanya ni ya kweli kabisa, ni pastor Israel Haki, nikifanya kazi ya Mungu namibia.
Hallelujah hallelujah kaka yangu 🙏🙏🙏 hiyo ni Kweli!! Maana jina analolitumia ni la yesu christo unayemuamini, sasa nilazima ulitetee jina la christo lisiendelee kuhaibika kwenye mahuduma zao za mafuta na maji 😢. Kuliko watu walifuate neno ili wapone ki Roho na kimwili, matokeo yake wanafata mafuta na maji 😢
Hongera saaaaaaaaaana ubarikiwe Mungu Yu pamoja nasi usiogope,
Amina baba Mungu akubariki sana mtumishi nawapenda sana Pascal cassian pamoja na Mbarikiwa Mwakipesile Mungu akutunze na kukuhifadhi "je tuwasikilize ninyi kuliko Mungu"
Mbarikiwa Mwakipesile na Pasco Kassin ni Moto wa kuotea mbaliii
Nimekuelewa sana ....mtumishi Mungu akutetee na kukupingania na akufikishe salaama ktk safar yako
mungu akutie nguvuu sana mtumishi
Muinjilisti wa mahubiri mazuri ya kutengeneza njia ya ujio wa Kristu Yesu, songa mbele. Mungu wa kweli, akuwezeshe na kukushindania. Dunia imeharibika. Waganga wametaka wapitie Jina la Yesu Kristu ili wapate mali ya dunia. Mtumishi Paschal Cassian nakuunga mkono. Mungu atusamehe ku kupungukiwa.
Asante Baba mwamposa amefika uku Mozambiqui na weng Sana wanakwenda kununua, mafuta..Mimi nimepona kwa sababu yakukufatiliya sana nikamjua kabisa uuyu tapli
@Jacline David dada soma tena umuelewe
O
Ubarikiwe na BWANA kwa kazi njema ya Mungu.
Hii ni sauti ya mtu aliyaye nyikani tutengeneze njia zetu Yesu analudi upes Mungu tusaidie.
Amen
Huo wimbo unaitwaje tafadhali
@@chengeson NI KWELI KABISA MTUMISHI NENO LA MUNGU LINASEMA WAZI KWAMBA MUMEPEWA BURE. TOWENI BURE
HUYO MAKAMU WA RAIS YUPO KATIKA HEKIMA YA KIDUNIA AMBAYO NI UPUMBAVU MBELE ZA MUNGU
@@josebambo1419mwamposa
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu. Paschal , neno linassema kemea , karipia, na mtu yoyote asikuzarau 🙌 keep going 💪
Mnaopinga someni comment za watu ndo mtajua watanzania wengi wanahasira na manabii
Mwehu wewe nenda milembe
Mungu azidi kukutumia mteule maana hii vita sio yako bali ni ya Mungu na wanao jiinua kukuvunja moyo Mungu atashughulika nao naamini.🙏🙏
Mungu ni pamoja nawe Mimi niko mbali nakuona nakusikiya Jesus's hopefully is above you usiogope kusema ukweli wa Mungu tutakuombea Dunia imefika mwisho jibulangu ni Amen kumbuka poul Amen 🙏
Amina mtumishi wa Mungu, neno la Mungu likikuchoma ujue unatakiwa kubadilika, ujumbe wameupata manabii wauongo waupokee ujumbe. Hawataki wanataka ujumbe umewafikia.
Ubarikiwe sana mtu wa Mungu. Utapingwa kwa sababu ya kweli uliyoisema. Ila nondo ishawaingia. Kanisa la Leo tuache umazingaombwe kwenye Mazabahu ya Mungu.
Ubarikiwe Sana mtumishi Cassian nakuelewa sana
Amina 🙏 barikiwa sana kaka songa mbele Iman ni njema Kwa Kila mmoja
Thanks Lord JESUS for this man.
Twende kazi baba
@@josephkaveya4284 🙏🙏🙏🙏🙏
Umeongea ukweli kwa wale wenye akili wataelewa ila kwa wapumbavu wataona unawivu.
Daah mwamba wa Bss 2008 Umeupiga mwingi sana madam LITA mungu akupe maisha marefu uwatoe wakina Pascal Wengine Amiina
🙏🙏
Mtumishi wa mungu hayupo awezaye kukunyamazisha,na huyo makam inaonekana na yeye ni mmoja wao, hata ingekuwa ni mim ungenitaja,kwa nini nikosee halafu nikionywa nianze kujifichia kwa viongoziii? Watubu tena watubu
Hapo ndipo mtumishi injili lazima isonge mbele kwa ukweli Mungu akujalie neema Na tunakupenda sana 🙏🙏🙏
Kilamumoja anavitavyake huyuamefikiya hapohakuna wakumuzuiya anapita atafikalevo yengine huyuanaaza yukomahali pangumu ambapo wezakewalipita wanaedambele pole utafikatu nimekujibu kiulimwengu Waroho badouko porini nyikani kamayohana hujamubatiza yesu hizomeseji hungezijibu ungeimbawimbotu ukifatananao utabakihapo kwamabishano nasikiyahuruma ya Mungu ukweli achananao usiwajibu kamawatakuhitaji kweli watakuitaofisini achakuwajibu diowanakulengeza hivyohiyo ombasana mutumishi
Mungu akupe wigo wa ulinzi
Injili ilinza kwa mateso, itaisha kwa mateso tunaomba kwa wanao sema kweli tuko nyuma yako, sisi tunahila kilichondani ya manabii wauwongo, barikiwa baba
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu, na akulinde Mana umekubali kuihubiri kweli katika nyakati hizi za mwisho👏👏
Hongera Paschal Mungu akutunze dhidi ya hao wanaopingana Na wewe Mungu akupiganie Na akutunze
Upo sahihi kabisa Mtumishi wa Mungu. Nakuombea SONGA mbele USIOGOPE vitisho vya wanadamu. Siri za shetani ni lazima zifunuliwe na watu waje kwa Yesu.
Pascal ikwaumeitwa na Mungu basi simama kama Paulo kwa waroma walausiwaogope. Kwamaanawoga nimtego,natena ukweli unakata kamakisu kwayule asie mkweli basi simamakama Elia pazasauti. Mpaka Mungu mwenyewe atakaposema inatosha. 🙏 🙏 🙏
Uko sahihi mtumishi
Kweli kabixa
Mungu akubariki mtumishi piga kelele usiache watu wanadanganywa hivihivi mwenye sikio na asikie neno roho anayaambia makanisa Mungu akuzingire kwa damu ya Yesu
Mungu akuongezee Iman kaka mimi na familia yangu tunakufwatilia sana asante hata sasa kuna roho umeziokoa barikiwa mno
amen amen ukwel unauma apo umewagusa kaka onge ukwel wapone ao
Mtumishi wa mungu nskupa pongez kubwa sana kwa kuimba nyimbo zinazo tufungua macho narikiwe sana myumishi nakukubali🙏🙏🙏👏👏👏
Roho wa Mungu akutie nguvu
Mtumishi wa mungu mungu akubariki na akulinde unayosema ni sahihi kabisa taji lako mbinguni ni kubwa sana sana
Amina mtumishi ongea ukweli sikuzote ukweli unauma nakuombea mungu akutie nguvu usitishiwe na wanadamu wewe mwangalie mungu tuu
Mtumishi Mungu akusaidie Roho Mtakatifu huwa anajitukuza wewe simama wito wako Mungu kakuita kuponda watumishi WA Mungu hiyo sio vema hubiri neno watu wamfuate Mungu. Kutaja majina ya watu katika mahubiri Yako SI proper. Jitahidi kusimamia wito wako. Manabii wameitwa na Mungu na niwapakwa mafuta huo uinjilisti una mtumikia Mungu yupi. ROHO MTAKATIFU ni mwelevu sana. Nakushauri acha kuwapaka watumishi WA Mungu
Namkubali Sana huyu brother Mwenyezi mungu akutangulie 💓🙏
Ubarikiwe mtumishi wa mungu kwakusema ukweli watu waelewa tupone
Uko sahihi kabisa, usiyumbishwe tena simamia msimamo wako anaeinuka kupngana na wewe atashindana na kusudi la Mungu na Mungu atashughulika nae!
Amina sana mtumishi wa mungu barikiwa sanaaa ninkufatilia Toka wimbo wa Dunia kwaheri mungu akulinde
Kweli mtumishi wa Mungu wambie wapone maana wanaangamia kwa kukosa maarifa bwana akusaidie sana
Mtushi wa Mungu songa mbele,, kumbuka Mungu kukuacha hadi leo Nikuokoa dunia maana watumishi wengi wa leo wamekuwa wakifanyisha biashara kwenye dini,, ila wewe Nimungu kweli anakutumia barikiwe sana
Ukweli unaumiza na ukiwa mtu wa kuongea kweli kwa dunia ya leo jibu ni kwamba utapigwa vita mno.
Mungu akulinde sana PASCAL
Kaza buki cassian kila hatua mungu yuko na wewe
Hujatujibu swali letu bado tatizo unapaniki sana broo
Wewe unahukumu na umeona ndonjia ya kutokea kimaisha
Dada Muombe Mungu reheme na hekima za kiMungu za kuona vya rohon
BWANA, Mungu wetu; uliye muumba wa vyote ktk njina la Yesu kristo. Mtumishi wako huyu tunamwombea kwako mtunze na umlinde. Nyosha njia yake na isafishwe kwa uweza wako Yesu Kristo! Ameeeeeeeen.
Utuzwe sana na bwana Mungu 🙏🙏 uko sahihi kabisa
Imani ni Nini? Mungu tusaidie tuwaombee.
Usiope mtumishi wewe toa ujumbe wa Mungu hata akina Paulo walifungwa ukifungwa atakuwa ameruhusu aliye kutuma neno la MUNGU wanalifanya kimazoea ....Mungu aendelee kukutunza
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu, uko sahihi. Onya, shauri, Tia moyo , kemea. Maandiko yako wazi, timiza kusudi la Mungu
Natamani neema kama iyo iwe juyangu Mungu anitumie kama wewe na kuzidi ili ulimwengu ufaamu kuwa wapo watumishi was Mungu wa kweli
⁰0⁰0
Hakika sauti ya mtu aliaye nyikani, ukiguswa na Neno la Mungu, jambo la msingi ni kubadilika tuuu, acha longo longo. Mungu akubariki sana mtumishi Pascal Kasian🙏🙏🙏💕💕💕
Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu kwa ujumbe huo mzuri, na uafikie pia watumishi wengine huku Kenya
Ubarikiwe sana mtumishi WA mungu hii ndo injili Sasa
Dume la yesu toka Tanzania nakupenda sana waambie kweli wanafiki wamemzoea mungu.usiogope passical mungu yu pamoja nawe aliekuepusha ajali alikuwa na makusudi nawe.
Mungu aendelee kukutumia mtumishi nabarikiwa sana kuna muda napona kupitia tuu nyimbo zako
Yesu alisema falme haziwezi kufininiana Musa mwacha awe frmason angewakama fremason ? Mm nitasali Kwa Musa mwacha
Mungu sio mungu✌
@Jacline David ndio nishachagua
Uko sawa kabisa maana wanaoweza kusema ukweli ni wachache,wewe SEMA na tuko nyuma Yako kwa maombi.Mungu akutie nguvu wala usiogope.soma wafilipi 1:21,27
Hakika mungu anakutmia kwa viwango vya juu sana kaka paschal mwenye sikio na asikie hilooo tu nakuombea San mungu akupganie mala elfu
Mtumishi Yesu akutunze sna
Mtumishi shetani amewataka kwaakili
Hajiamin momben mungu muweze kwenda sambamba watumishi jaman msifalakane wenyew njia nimoja,
Ni kweli kabisa usipowaambia watu ukweli utahukumiwa. Ni vizuri umesema ukweli na utakuwa Safi mbele ya Mungu. Mungu akuzingire na Malaika wake na akufunuke na damu ya yesu. Atakaye jaribu kukugusa moto ya yesu imuchoma kabisa katika Jina la yesu amen 🙏
Mungu ananguvu kuliko nguvu zao kwahio ndy maana hawana nguvu yakupambana na nguvu yamungu fanya kazi ya mungu wetu daima mtumixhi
Big up Mtumishi,piga kelele usinyamanze.Mungu akulinde na akupaiganie katika huduma hiyo ngumu sana.
Waambiwe ukili bibilia inasema usipo mwambia mtu anatenda thambi ukose kimwambia mungu atakuuliza moyo wake ukisha mwambia akatae kubadilisha hautaulizwa moyo wake ,hio ni kazi ngumu mungu amekupa ya kuwalekebisha mungu akupiganie vita
Neno la Mungu ni upanga, usiogope Mtumishi wa Bwana, Mungu yupo pamoja nawe.
Waa! Sauti ya mtu aliaye nyikani kweli!!!! I sincerely agree with this servant of the living God, may the Lord God add u more energy and wisdom to proclaim this. Tell them not to harden their hearts like pharaoh,,this is the truth brethren and the truth is the way, We’re together pascal
Mtumishi endelea kusema kweli na mungu azidi kuwa na wewe daima kweli inapo semwa kwa wabaya lazima inajeluhi nyimbo zako zinabaliki sana
Mimi Niko marekani nakufata Vizuri sana mungu akuburiki sana na akupe nguvu Za kuzidi kutangaza ijili
Ubarikiwe sana mtumishi wa Baba tunahitaji watumishi wakweli tumechoshwa namawakala wa shetani usihongope Mungu alikutuma upoupande wako
Waache Mungu Mwenyewe,hawaukumu,wewe waombee tumia hekima,hakuna mkamilifu,Chini ya just,simama na Mungu wako kwauaminifu ,tumepona kupitia mwamposa na tumeacha ulevi na uzinzi,mwache auze
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu , Mungu wa Mbinguni akubariki na kukutia nguvu na hakuna silaha yoyote italayofanikiwa juu Yako!!!
Sema kweli baba angu pascal Cassian mungu hakusaindie mtumishi mungu , mungu hakutie nguvu tunakuombea
Mungu akupiganie wanadam hawapendi ukweli washindwe katika jina lamungu wanazaridi
Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu,Mungu akulinde usiku na mchana
Mungu akuhimarishe.
C'est un message de lumière. Que le Saint Esprit soit avec toi mon frère
Na Mimi ntakuja na hoja yangu mniambie umeandikiwa wapi mtumishi wa Mungu aitwe Baba maana Mimi toka nisamage biblia huwa naona mtumishi ,mtu wa Mungu,nabii wa bwana ,mtume ,mwinjilisti ,mwalimu,mchungaji ,na askofu Mara moja ndani ya biblia lakini ili Jina askofu ndo Lina maana kubwa kwa kanisa la Sasa na msingi wa kanisa wa Sasa unaonekana umejengwa juu ya Askofu badala ya kuwa Kama unavyoelekeza biblia kuwa umejengwa juu ya hao mitume na manabii wanaopigwa Vita leo kwa upande wa biblia baba NI Mungu pekee ukija kimwili baba NI yule aliye kuzaa kimwili labda Mimi ndo sielewi biblia mnisaidie.
Exactement
Nakuombea sana Mungu azaidi kubariki kukuinua na kukutumia watumishi wengi sasa wanaangalia mafanikio yao si kuihubiri kweri endelea na Mungu yuko pamoja nawewe kama mikaya
Barikiwa sana mtumishi Mungu akusimamie kwenye kila ulitendalo kama paulo mtume wa Kristo aliipigania imani mpaka hata kukubari kufa ikiwezekana na ndio maana mtume Paulo alisema siionei haya injili kwasababu niuweza wa Mungu uuletao wokovu kwa kila atakae amini. Soma Warumi 1:16 ila ukitaka kumuelewa saw saw Pascal mtumishi wa Mungu soma kuanzia hiyo hiyo Warumi 1:15 mpaka mstar wa 32 utaelewa sana sana kwakua huyo Pascal mimi namfananisha na mtume Paulo isome historia ya Paulo alikuaje mwanzo na mwisho alikuaje alafu fuatilia na historia ya huyu mtumishi wa Mungu pascal utaona ufanano wao alafu cha ajabu unaweza ukakuta hata yeye Pascal hajui kwamba utendaji wake wa kazi ya Mungu anafanya kwa kipawa kama alichokuanacho mtume paulo
Na Mimi ntakuja na hoja yangu mniambie umeandikiwa wapi mtumishi wa Mungu aitwe Baba maana Mimi toka nisamage biblia huwa naona mtumishi ,mtu wa Mungu,nabii wa bwana ,mtume ,mwinjilisti ,mwalimu,mchungaji ,na askofu Mara moja ndani ya biblia lakini ili Jina askofu ndo Lina maana kubwa kwa kanisa la Sasa na msingi wa kanisa wa Sasa unaonekana umejengwa juu ya Askofu badala ya kuwa Kama unavyoelekeza biblia kuwa umejengwa juu ya hao mitume na manabii wanaopigwa Vita leo kwa upande wa biblia baba NI Mungu pekee ukija kimwili baba NI yule aliye kuzaa kimwili labda Mimi ndo sielewi biblia mnisaidie.
Amen mtumishi songa mbele baba...
Napenda sana utumishi wako Kaka , uwazi na ukweli wa neno laMungu.
Ila natamani kufahamu umuhimu wa kuweka public mawasiliano yakubolesha hudhuma yako,
Kwasababu unapo fanya hivyo unatengeneza mazingira ya watu kuwa na mitazaomo na tafisiri tofauti juu ya Huduma yako.
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.
Mashetan hawo
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu wahambiye yote kabisa siku zote ukweli lazima usemwe ukweli unahuma wewe songa mbele Mungu yuko upande wako
Mungu atakuripa kwa kazi unayoifanya wala usiogope vitisho vya adui wanadamu hawapendi kuambiwa ukweli Mungu akutie nguvu