WEWE NI BWANA WANGU KUANZIA LEO/MAUMIVU YA MAPENZI NAYAJUA | ZUU AMGANDA MSHKAJI - HIVI NI KWELI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 พ.ค. 2022
- WEWE NI BWANA WANGU KUANZIA LEO/MAUMIVU YA MAPENZI NAYAJUA | ZUU AMGANDA MSHKAJI - HIVI NI KWELI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - บันเทิง
Huyu jamaa ni bonge la mbunifuuuu safi Sana kipindi chako nakielewaaa Sana, sio km vipindi vinginge vya mashoga kina juma lokole na kinadida
LEO NIMETISHA SANAA..
NIMEKUWA WAKWANZA...😋👆
Fanya KULIKE APA
Iwe zawadi kwangu ♥️♥️♥️
Nembo ya mtaa unahari nyingi sana🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Huyu mwanang wa ETIHAD kapendezesha show sana 😀😀😀😀 mwana kafurahisha sana. WASAFI HUYU JAMAA ALIPWE PESA NDEFU KIDOGO ILI KUMSHUSHIA PRESHA.
We jamaaa unatsh sn
Hhhhh
😂😂😂😂😂😂
Sema huyo dem angeu na ngoma nagwaaa ingewaka sanaaaa
Hatali afro mwenyewe au vip
🤣🤣🤣🤣 Nimecheka sana mpaka mbavu zinauma huyo Dada huwa nampenda sana. Sanya 🙌🙌
Haha 😘🤗
Sanya ungevaa nguo za jeshi kutishia zaidi ingekua poa sana 😄🤣🤣
Daaaah sema sio fresh wahuni daaaaah😂😂😂😂
Nawapendaa saaana jamanini asaaah mo town saaanya na zuuuu mumetisha saaana
Brother kweli kabisa unaweza chezea shaba7 pasiko hatia mapenzi yananguvusana🤣🤣🤣
MO Town shoo tamu mzee baba, ila ingenoga sana..kama mtu angepita kwanza amuulize hata jina na kama ingewezekana angemuomba simu then asevu namba ya Zuu, ilete confusion kwa hao washikaji waliofanyiwa Prank, na wewe ungeingia kwa shari iwatoe jasho, kwa huyo wa Man city ila all in all 🤣🤣🤣🤣Unazidi kutoa Maboko ya Mitaaani
Kweli kabisa
Wabongo da mungu anatuona
"Ujui kazi yangu na ujui nafanya kazi ofici gan
Unyama ni mwingi mzee wangu sanya
nimeipenda sana kitu kma kinauhalisia bg up sana mzee
Mumetisha 💖💖💖😂😂😂🤣🤣wa kwanza nimecheka jmn mbavu zangu 🤣🤣🤣
Uyu mwamba t shirt ya njano apana 😁😁 hii song tz haipo
Atakuwa kapata chanjo😄
Zuuuuuu.
Bonge la actress katika kila uhusika.
Lol 🤣🤣 mo town sanya siku hizi creativity next level , congrats.
Do you know what da min of lol or you use da tin where u like
@@loganpoul what does it mean?lol
@@ramadhanmaisa788 acheni kushoboka,
@@loganpoul ww unafirwa nini xaxa mi nimeshoboka sinimeuliz🙄
X movie
🤣🤣🤣🤣Akya MUNGU me ni muislam🙌
Sanya Hongera san nakubali san hii 😂😂😂💯
Ila Motown akili zako unazijua mwenyewe yaani sijui huwaga unawaza kwa kutumia nini?
Nmependa sna MO town ....
Jamaa Kaongea Ukweli....kutoka moyoni.
Ukwel wap muoga 😅 tu
Maniga tunavutana pembeni alafu yanaisha kiume oya weeeee gonga laik kwa wajuba wote tuishi umo.
😂😂😂 Mo town leo nakupigia saluti dizaini ya Kiba😂
KWELI HII CREATIVE SANAAAA
Nimecheka leo mpaka mke wangu alitaka kukimbia akijua nimechizika😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Nice ni mependa show ya leo
High level San 🔥🔥
Sana
8:00 Cjuii kanionaa mjingaaaa Cjuii kaniona me mtoto ,🤣🤣🤣🤣🤣 ETIHAD
Akiya Mungu nakwambia me muislamu 😂😂
Mo Town Sanya nembo ya mtaa 😄 hivi ni kweli,😂😂😂
Kanikuta mtoto sijui mjinga flani ivi🤗
Nmecheka sana
Ogopa sanaa mtu akwambiee"Hujui kazi yangu,yan hujui nafanya kazi gani"""Yani utajua hujui🙄🤣🤣🙌
Nembo ya mtaa kipindi ichi buni zaidi WASAFI ndio mtakuwa wabunifu kwa kwanza wa prank kama izi napenda sana ni mambo ambao nafuatiliaga sana tena sana ongezeni na kesho kila week tunataka mpya boss Mungu abariki kazi zenu kabisa
Wanageza tu nigeria hawajabun kitu hapo!! Nigeria ndo wana izi mambo sn kama unafuatiliaga
Daaadeki 🤣😆😂😂 so creative 🔥🔥🔥🔥🙌
jimigijijimigiji ooohhhh mayaaaa jamaa wa njano na zambarau katisha kinomaa😁😁😁😁
🔥 sanaaaa
Sema moo town nmependa ulivyo mpoza dogo God bles u kaka
Mashallah mdg wangu zulekha
Sema nikiwa namawazo naagalia to hivi nikweli 😊😊
Kipind kizur kisha kifupi kwanini😊😊🥰🥰🥰😂😂😂😂
Nic montauni sanya
Motown Sanya nakubali
🤣🤣🤣🤣🤣😂aki thanks nilikua nimeboeka sana bt nko sawa 😂😂😂😂😂🥰💯
Mda ni huu
Jama baba wawatu kaimba kwa hisiya sana dhaaaa hahaha 😆😅🤣😂
Best Tv show now in Tz
Creative sana ww jamaa
Niongee na mwanume m,,wewnzangu hahahahahhahah dah noma sana Mo town sanya umetisha eti mimi muislam 🤣🤣
Hahaha umeua broo big up Motown sanyaa
Maskini kijana wawatu
Mo town nakubali
Mo town sanya nakubali Sana mwanangu🔥🔥🔥
You kill it mnatrahsha san asee big up
Sema dogo wa Pili respect saana.. Ni confident saana
Una ubunifu mwingi mo town Sanya hongera Sana 🤣🤣🤣🤣
Noma sana
@mo town, bro naku fata toka UGANDA🇺🇬 u so creative bro, and u taking it to the next level, keep it up geee💪💪💪💪💪
Aisee wewe jamaa mbunifu sana 🙌🙌🙌🔥🔥🔥😂😂😂😂
Akia mungu m MUISLAM........
Noma xn
Daa hao ma DJ🤣🤣🤣 hatari na nusu
Saiv mmeshutia gomzi.... Dah washikaji wa gomzi wapole sana
Hhhhhhh
😂😂jamani Kwan bado tu hawamjui mo town
Hahahahaha mi ningeshachukua boda gheto 😁
Congrats 👊
gongo la mboto hapo kuelekea msikiti marcus🔥
I like it so much mo town sanya,,,, I really agree
🤣🤣🤣🤣Mo town Mo town mwanangu nakukubali saana😍😍🔥🇷🇼
😂😂😂dah mwanangu sinaneno
Kali mpaka noma🔥🔥🔥
Tishert ya zambalau na njano katisha 🤣 kanichekesha
😂😂😂😂
Hahahah Mimi mpka machozi yameisha kwakuchek
Mo Town 🗣️🗣️🗣️
Kakaaa utakuja kuua......!😭😭😭
Kazi nzur Sanaa 👊
Katoka liwale kwetu
Em kwanza apo nichekee🙄🤣🤣🤣🤣🤣,,,et kumbe wewe ndyo yule mo nani vileee"😄🙌
Hatari
Wasafi chama lao
🤩🤩😄😄ila wanaume wa dar ni waoga kweliii
Huyu jamaa noma sana huyu anatisha motown
HHHH noma sana
Nimeipendaa
Safi sana huyo Tizo ametisha maana aliomba mpaka namba ya Sim
Mamae
baba umeuwa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ipo ck utapelekwa geto shauri yako
Kama nawew umekuja hapa Leo. Kutafuta hivi nikweli ya wiki hii. Alafu hujaiona. Gonga like kwangu 🤣🤣
Unajuwa nafanya kaz gan
Jmn zuu dada angu ukitoka hapo unaswet
hapo ingkuw kavaa gwanda sas
Gonga beat tujuane🤣🤣🤣🤣🤣
Umetisha sana mzee
Too much funny 😄 😄😄😄
Hiyo shati vipi logo ya freemason hiyo
Gonga beat 🤣🤣🤣🙌
Kumbe Hawa guys they don't have any idea 🤣🤣🤣
mshikaji kaongea kwa isiya sana😂😂😂😂😂😂