Alhadllah nimewapenda hawakaka palewalipo sema wana hofu ya muugu Nawaombea kwa Allah azidi kuwa hifadhi mm pia nina pacha wangu ilatuja fan ana kihivo niseme shukran ❤
Dada mtangazaji uko vizur sasa yani Mungu akujalie sahizi mavazi yako yananipa imani kubwa nakumbuka tangiapo mwenzi mtukufu wa ramadhani huku vizur endelea hivyo Mashaallah
Waa mimi tulizaliwa watatu , ila nyumbani tulikua twapigana sana 😂😂😂,ila tukitoka nje twapendana balaa ...alafu siku ya mtihani twajaziana haki hadi walimu wakagundua sasa tukabadilishwa darasa.
Mashallah dada unajitambua haujieki uchi kama wanavyo fanya wengine alaf wajiite wao n waislamu hongera kwakweli nahao mapacha allah awahifadh wazid pia kupendana nifuraha kwakweli
Mengine wameongopa,inategemea na mapacha wengine wanapendana nawengine hawapendan,na wengine kila mmoja na akil yake,wengine shule wanafaham namwenzake faham yake ni ndogo,ila suala la kuumwa na uchoyo wakiroho wote wanakuwa hivo.ila hao wanatabia moja ya vituko ila wengine wanakuwa sirias sana na wenzao.
Oh kumb Mungu awape ujacri wa zaid lkn hta kma upaswaj kuna mmo1 alichukuliwa kabla ya mngin achen kutupig na kitu kizito vijana kufanana ndio lkn sio ivo kwakufanana point za mitihan sawa lkn sio kimawasiliano apana sio kwel
Mtangazaji kanichekesha inawezekana wao wakawa wakubwa ww mdogo hao wanaonekana mapacha mbona wao ndo wadogo kuliko ww mtangazaji wao warefu tu lkn ww mfupi lkn unaonekana km mkubwa kwao
Please one to wear ring to small finger to safe journey of girlfriends,musiwachanganye wasichana, DO that,,to small finger ring or one to put mark on the side chick of the face, you look handsome boys,separate yourself with the mark, any mark you can allow on your face with totootes,,or Weka Alama,hili,musichanganye,wasichana., l wish you the best l in USA 🇺🇸
Mapacha tuko wapi tuwape maua mapacha wenzetu,kuzaliwa pacha jamani raha ❤❤❤
Quna qaraha yaqe pia unaweza qupewa qesi ya mwenzio pia
kuwa mapacha raha kweli❤❤❤❤
Vijana wazuri MashamaAllah nawausia muwe wenye kumcha Mungu pia ili mumshukuru kwa kuwapa neema hizo
Mashaallah mtangazaji huo uvaaji wastara kwa mda wote nakupa asilmia zako Mashaallah uwe unavaa hivyo hivyo nakupenda kwaajili ya Allah
Dada umependeza Kwa shungi uliova jitaid kuva Ivo Ivo hongera Sana dada
Kwani anavaagaje 😢😢
Ni kweli kbsa yn Allah amjaalie aendelee hivohivo kujistiri
Nami pia nampenda kw ajili ya Allah❤
Wamenifurahisha Sana vile wanajibu na kuongea apo wako na utatanishi wa maongezi, kisura waah naomba Anibariki na mapacha ka hao. Amen
Aisee nimemmiss pacha wangu😢yaani sku yaharusi yake tulipambwa wote mume akaambiwa apite achague mkewe😂maskini alihangaika sana maana tunafanana sana
Mapacha me naiomba san hiyo nje nipate siku moja inshallah ❤❤❤
Alhadllah nimewapenda hawakaka palewalipo sema wana hofu ya muugu Nawaombea kwa Allah azidi kuwa hifadhi mm pia nina pacha wangu ilatuja fan ana kihivo niseme shukran ❤
Mashallah,nampenda huyu mtangazaji akiwa hivi anapendeza sana na mapacha Masha Allah
Ila mashallah dada mtangazaji beautiful 😍 cn una umbo sura nzuri huto zeeka haraka dada hiyo ndo sifa yko
Dada mtangazaji uko vizur sasa yani Mungu akujalie sahizi mavazi yako yananipa imani kubwa nakumbuka tangiapo mwenzi mtukufu wa ramadhani huku vizur endelea hivyo Mashaallah
Mapacha nawakubali sana pia huwa naomba kwa Allah anijalie nije nipate pia matangazaji maua yako 🎉🎉🎉 huwa nakufatilia sana
Waa mimi tulizaliwa watatu , ila nyumbani tulikua twapigana sana 😂😂😂,ila tukitoka nje twapendana balaa ...alafu siku ya mtihani twajaziana haki hadi walimu wakagundua sasa tukabadilishwa darasa.
Mashallah dada unajitambua haujieki uchi kama wanavyo fanya wengine alaf wajiite wao n waislamu hongera kwakweli nahao mapacha allah awahifadh wazid pia kupendana nifuraha kwakweli
Mh zipo interview nyengne kavaa nguo za uchi
Unavaa vizuri dana dada Mashaallah❤❤❤❤
Nawapenda Hawa vijana natamani wawe watoto wangu Mimi naomba namba zao wallah nimewapenda
Allah akujaalie upate mapacha
Waaaooh mmetisha San matwns❤❤
Duu poleni wanangu ninao hao uwaone hivyohivyo mmoja anakua machachali sana kulia kwako ndio matatali
Mashaallah, mungu mkubwa. 🤗🤗
Mashallah ❤❤
Mashallah wamekuwa wakubwa nakumbka kipindi tunasoma chuo walikuwa wapolee jmn😂😂😂😂
saiv wamenenepa sana Masha'Allah
Mko vizur Sana mapacha wa kufanana mung ashukuriwe
Maa shaa Allah.banafanana saana
Mashaallah mapacha mung awabariki ila pia mung ambarik mama
Wawoooo ❤❤❤❤❤
mashaallaah wapo wazuri
ALLAH AWANUSURU NA ZINA. OWENI MSINGIE KWENYE MITIHANI YA UTOVU WA MAADILI.
Tupo jamani mapacha sisi wanawake watupu na tumefanana hatr mmoja akikopa anadaiwa mwingine Hahaha 🎉
😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂ila wako tofaut kdg feythal ana uso mwembamba kdg faudh uso wake mpana kdg 😂nawapenda mungu awalinde
Unadhani wafananaga qwa qila qitu bc lzm qunaquwa na tofauti
@@fauziasultanikilewa7602 ni kwel kabisa
Mmoja ana mwanya mwingine hana
Haswa
Ninao mapacha mmoja mfupi kidogo watu wanawachanganya ila sisi Nyumbani tunawajua
Dadaaa sioo ote kweli kabisaaa kunapacha apa watafute nikupe noo yao. Dada. Uliza apo dar. Na dadaangu pacha ndugu zangu pacha watoto pacha
Unaweza kuwatafautisha kwsbb mmoja mnene kdg
Mengine wameongopa,inategemea na mapacha wengine wanapendana nawengine hawapendan,na wengine kila mmoja na akil yake,wengine shule wanafaham namwenzake faham yake ni ndogo,ila suala la kuumwa na uchoyo wakiroho wote wanakuwa hivo.ila hao wanatabia moja ya vituko ila wengine wanakuwa sirias sana na wenzao.
Oh kumb Mungu awape ujacri wa zaid lkn hta kma upaswaj kuna mmo1 alichukuliwa kabla ya mngin achen kutupig na kitu kizito vijana kufanana ndio lkn sio ivo kwakufanana point za mitihan sawa lkn sio kimawasiliano apana sio kwel
Nikama Hussen na Hassan ❤❤❤ yaninyie uuuuuh hinoma ❤❤❤😂😂
Maashallah ❤❤❤
mashallh
ila dakika 5 zinahesabiwa kaama sekunde
mashallah
Wanafanana ila utamjua yupo mkubwa unawajua vizuri tu
Ohoo unatokea sana hii ata uku😂😂😂😂😂 Marekani kuna Ussen na😂😂😂😂😂 Hassan wana fanana sana kilakitu❤❤❤❤
❤❤❤❤❤nimecheka sana maoacha nyie😂😂😂😂
Mtangazaj wangu ila uko vzr sana
Hawa Jamaa Ustaa Umegoma!!!
mbona sisi tunawajua
Mmenimalizia mb zangu, mnajadili upuuzi
Hongera
Nimecheka kwa sauti hilo jibu aliloulizwa, eti kama makatun😂😂😂😂😂
hawa wata gongeana mademu
Ukipiga unauwa brand😂😂😂😂
Mey nawapendaaa❤❤❤❤❤❤
Nimecheka 😂😂😂 ety anatuonabkama makatuni
Wow kumbe n twins wa ukweli nilifikiria nafikiria n
Daah mapacha wamenichekesha hawa
Mtangazaji wewe nakupenda sana kwa uvaaji
Wana utofauti kidogo
Ni kweli hata urefu
Hapo kwenye kuwaza😂😂😂😂😂😂
❤❤❤❤❤❤
😂😂😂😂😂😂 aki wamekuweza mm pia nina twins ila hawajafanana kama nyie haaaa nyinyi hatari sana
😂😂😂😂😂 spare my ribs oo 😂
dad nakupenda sana
Wamenenepa kidogo
Mmoja sura duara na mnene mmoja mwembmb na sura nyembmba
INNALILAH WAINNAILAH RAJIUN pacha wangu 😭😭😭😭😭😭
Mmoja mwembamba mmoja mnene
😭😭😭😭😭😭😭why kaka
Pia mm naomba nipate mapacha😊
Waongo hao
😂😂😂😂😂 wanavituko hawa jmn wamenichekesha
Ndungu mtangazaji hao ndio mavazi Bora na sahihii
❤❤❤ tupo
Mtangazaji kanichekesha inawezekana wao wakawa wakubwa ww mdogo hao wanaonekana mapacha mbona wao ndo wadogo kuliko ww mtangazaji wao warefu tu lkn ww mfupi lkn unaonekana km mkubwa kwao
Wamenenepa😂😂😂😂😂
Mmoja mnene mwengine mwembamba,kichwa kikubwa na kidogo,kifua kinene na chembamba
Basi niwazuri nawanajuwa kbx
😂😂😂 wemm amka😂😂😂
Ila wamefanana sanaaa haki hawa
Nipem namba yaw ili napacha wengine niwapen
Mapacha wanafanaana vityu vingi ila Kuna asilimia nyingi awa jamaaaa wanatupiga sana kwa uwongo
Nawapenda pacha
Hapo kwakuwaza waongo kweli
Lkn mbona unajua kuwabagua Hawa vijana mmoja kidogo kibonge
Daah
Mapacha shkamoo😂😂
Sasa kunyoa hivo huko kichwani ndy nin?
Sauti yao iko tafauti kidogo
Jamani wamefanana sana
Kwenye ulezi
Wakooo poaa san
😂😂😂😂😂😂 homa
Mapacha tupo ila mbona mm hatujafanana
We mtangazaji, huboi
Walimchanganyaje
Asa hivi huyu mmoja kanenepa
😅
Mambo
Mimi bwana nilijua sio mapacha bali komedi kumbe mapacha kweli
Please one to wear ring to small finger to safe journey of girlfriends,musiwachanganye wasichana, DO that,,to small finger ring or one to put mark on the side chick of the face, you look handsome boys,separate yourself with the mark, any mark you can allow on your face with totootes,,or Weka Alama,hili,musichanganye,wasichana., l wish you the best l in USA 🇺🇸
Jamani watuawa niatari ata Congo tunao😊😅 shida awajamaha
😂😂😂
❤❤❤😂
😂😂
Mapacha tujuwane kama wewe ni Pacha
Mimi ni doto na mabraza wangu wote sita ni pacha yaan mapacha mara nne