HII MIMBA SIO YANGU/HILI SUALA NI GUMU/MWANAMKE HAJATULIA HUYU - HIVI NI KWELI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ต.ค. 2024
- HII MIMBA SIO YANGU/HILI SUALA NI GUMU/MWANAMKE HAJATULIA HUYU - HIVI NI KWELI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
😀😀😀😀😀😀ila hiki kipindi dah! Jamaa huyu wakwanza dah jamaa sielew kilimkuta nini ila kuna watu wanatembea mitaan iv lakin wanaubongo mkubwa sana bas tu maisha
Toi qui lis ce message j'aimerais vous dire que Dieu vous aime
#evangelistejohn
Ameen
Amen
Bro andika lugha unayoijuwa vizuri: "Toi qui lis ce message, j'aimerais te dire que je t'aime.
Don't mix singular and plural🙄🙄🙄
Huyu broo nimemkubal sanaaa mkewake akiona hii lazima ajivunie kua namwanau kamili
Mwana wapili katisha, a really gentleman big up
Wow I like it
Sanya ee unatisha sana unazidi kua mkicreative sana but jitahidi tuwe tunamsikia na anaye kutwa ikiwezekana anaekwenda awe na mic yenyeuwezo mkubwa wa kuchukua sauti hadi ya atakaekutana nae.
Chinga katishaaa ila kunguru😃😃😃😃👍. Big up sanya 👍.
Anaimbisha na kuboresha
jamaaa was pili ana hasira Sana ila sio rahisi kumjua, na machinga ni mtu frani asie penda Shari
Chinga wa kwanza, mpaka amenywea 😂😂😂 SANYA Unyama mwingi sana...
Daaah wabongo wadhaifu snaa
Siwezi kukubali kwa haraka haraka kiivyo 😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣Kaka wa pili kanichekesha Ila anaonesha tabasamu lkn Inaelekea anahasira mnoo
Sophy kama Sophy Mo town Sanya umenikonga nyoyo🙌
Hope huwa mnawapoza kidogo hawa wana
Mo Town Sanya MUNGU Anakuona😂😂😅🤣🤣 Ulivyomfanyia Chinga Masikini Nacheka Mpaka Nalia😂😂😅
Yaan huyu msela wa pili anaweza kuitumia hii video kwa kumthibitishia mpenzi wake kuwa anampenda sanaa.
Na mwanamke akiiona hii ni lazima akubali na anatakiwa ampe ambacho hakuwah kumpa mshkaji ✔
😀
Matako sindio
🤣😂😂😂😂😂
Wanaume hua hatutabiriki nyie endeleeni kumdanganya huyo mke wake😀
@@maloomaalmnsj5111 😁😁😁😁
I was miss you mr sanya
Jamaa kanimiza sana aisee kakimbia kaacha hadi biashala
Nyie mtakuja muue watu kwa presha 😂😂😂😂😂chingaa
😂😂😂
Huyu demu alikuwa ktk movie ya 20% inayoitwa Furaha iko wapi na alikuwa ndio Neema mtoto wa 20% ....
Mbona Kama keshakuwa mkubwa ivyo
Sophy umeuwa sanaaaa
Jaman dunian bado kunawatu bana dar mwamba yuko poa sana
We unajuaa mimi ni nani???😹😹😹🙌🏻
Mtaharibu ndoa za watu😂😂😂😂🤣
We subir ndicho wanachokitafta
Wakinikuta mm itakuwa baraah
Tatizo mtakuja kufanya watu wagongwe na MaGali sijapenda
kuna k2 mmekosea huyo dada angekuwa anagari tungeweza juwa msimamo wa m2 but siombaya
Haya chukua wewe script kaigize
Siku utamvaa Mjeshii kaka SANYA😁😁
Uyu mkaka wapili nimempenda jamaniiiiiiiii
Mapenz sio pesa
Nakubali Sana 😂😂😂
🙌🙌🙌
Hyo mchezo sio mzuri kuweni makini na watu.
nyie machiga wa watu presha juu 😅🤣🤣😅😅😅😅
Ya Leo mbayaaaa
ukweli ni kwamba pis mbovu pia mimba....
ila mngeweka pisi kal kama tunda ;akuna wakupinga ata kama ana mke
Pisi mbovu unazijua wewe ?? Utakuta wewe bonge la mshamba
Kwenda we dada zako wote ni pisi Kali au ndo wanasura kama mkundu 😙😶😶😶
Montasanya webalaa 💪💪💪💪💪🥰👍🔥🤩🤩😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Neema bint 20%
Shoo ya kibabe Sana kuliko za kihindi
Daaah kwmb ningekataa nitakudanganya
🤣🤣bless Up
Machinga muoga balaaa!!!!! Maana alijua ameokota embe dodo
hamna masta matching mwenyewe kaka taa laki 2
Ilaa pole ddang jpo ni tamthilia pmeniuzusha pale paa mama semeni kukumwaliwa maji ya mapovu na mwenyew hulikuwa umedamshi kwenda kumuona shem wtwo eid
Kumuona au alikua anarudi home si ndo Ametika kule baa Kumwambia Idy Amekubari Kuolewa mke Wa pili
Daaaa
chinga anakwambia tulia kwanza 😜
Muje na zanzibar bhna
Waje kufanya nini waache ujinga wao wafanye uko uko tena Wazanzibar hawana shobo kabisa.
Uyu jamaa w kwanza 🙌😂😂😂
Nembo ya mtaa 🔥🔥🔥
Motown anzafanya video ziaze kuwa ndefu idoko
😊
Huyu jamaa mwenye begi anaonekana hana panic na ana msimamo mzur sana
Ww unamuona mtu amejaa mda oote anaweza akashikwa na uchungu utakubali kweli😂😂
@@تاتوجمعه 😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
❤❤❤chiga yukopoa
🤣🤣🤣🤣🤣 🤣🤣 Chinga adi vitu ana visamehe Dh!
😂😂😂
Wabongo awajawai kupelea kwny swali Unajua mm ni NANI? Aaaah
Chinga kasamehe nguo da 😀😀😀😀
Ameona isiwe kes
Anamimba au
Jitu baya sana Motown 😂
Baba mwenyew ni baba levo😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣 machinga 🙌🙌
😅😅
Ingekuwa fresh kama angempea hiyo mimba,. Naamin jamaa asingechomoka
Sema Sanya hauna kipaji cha kuigiza mzee hahah
Leo Nimechelewa
Motown Sanya 🧐🧐Pindi kaliiiii 🔥🔥
LIKE KWANGUUU 👍
Daaah..
jambazi katoa namba ya ofisi 😅😂😂😂
naswa hiyo kenya wanatumia sana...pranks
Kabisaaaa
noma san
Huyu kaka anaevaa black I wish angekua mumewangu
Kwani mume wako anakuchiti???
🤣🤣🤣
Huyo mwamba wa pili anasimamo alafu ana comfidec ya kutosha yupo kama mimi huwezi kunitisha kiboya.. Mwanaume unatakiwa kujiamini kama hvo hata ukifumaniwa kweli saluti mkali... sanya mwenyewe hapo katubu.
A wapi we mlaini sana tu 😂🤣🤣🤣
Mkewaidi mtarajiwa unamambo wewe🤣🤣🤣
Sophie jua kali
Sema apo itafutwe pisi flani kali hivi alfu iwe na usafiri imeupaki pembeni alfu uone kama watagoma
Yan machnga kanichekesha sana amechochora😂😂😂
Ila msikae barabarani apo hatari
PISI NZURI SEMA IMENYOA NA HILO DERA
Love is Built.
Mo town sanya mbunifu
Zali la mentali 🤣🤣🤣🤣
Mtavunja ndoa z watu jaman daah
😁 😁
Hili Sanya bunifu Sana manina
Mtakuja kuvunja ndoa za watu
Et Chinga anauliza Kwa leo leo aaah
Mbona anaacha nguo
chinga alidhani dodo 😂😂😂
Chinga kunguru 2
Mmachinga vitu ganii tena jamanii
Kwani Sophie Ana mimba au Ni macho yangu
Chinga anajifikilia
6:40 chinga kaua 😄 🤣
😂🤣🤣🤣
Sophy wa iddi uyu😄
Mo town utakuja kupigwa
We want More pranks
Mshikaji yupo imara warahayumbi kabsa
Ila we sanya utaja wauwa wenzio na presha jmn 😂😂😂😂😂😂😂
Mnaleta utani huku watu wapo kwenye Shida serious
Aha ha ha ha ha🤣🤣🤣🤣🤣
Mapengo mpuuzi 😂😂😂😂
Nimecheka kifara😀😀😀
🤣🤣🤣🤣ivi mwishoni mnawaoneshea camera
Chinga kaona kapendwa kumbe sio kweli 😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu ni yule aliigiza na kina tumpe na hayati mzee majuto?
Ukute huyo mwamba anaekaza kua ana mpenzi.... Huyo mpenzi wake anakazwa na kila mtu mtaani 😂😂😂😂 yote ni maisha.
Umejuaje😝😝😝😝😝😝
@@evarnebarnabas2870 Yashaanitokea
@@BigZhumbe umenifulahisha sana
@@evarnebarnabas2870 🤣🤣🤣🤣 tufurahi wote.... kwani kuws single ni shingapi 🤣🤣🤣🤣
@@BigZhumbe mseleleko
Chinga kachanganyikiwa