MAPACHA WACHANGANYA WATU, 'CHENCHI' KAPOKEA MWINGINE | HIVI NI KWELI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ก.พ. 2022
- MAPACHA WACHANGANYA WATU, 'CHENCHI' KAPOKEA MWINGINE | HIVI NI KWELI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - บันเทิง
Wewe kaka wa miwa yaan mashaallah!! Hadi nimekupenda unaimani na haupendi ugomvi
Daah sio siri mwenyezi mungu amjaalie kheri sana katika maisha yake na ampe maisha mazuri zaidi kwa moyo wake aliouonyesha hapo Inshaalah
Awe mungu mfungulie kila hitaji la moyo wake na umzidishie rizki
Yaah Allah nakuomba umzidishie yakiin na imani thabiti Muuza miwa maana kaonyesha imani kwako hata kama ni maigizo lakin ni mtu anaonyesha ana imani kubwa kwa Mungu wake
Amiin Inshallah 🙏
Inshallah
Safi sana
Ammina allhuma amin
😢😭Huyu kaka wa miwa ana iman madhubut Mashallah YA ALLAH Umfungulie ridhk yake kwa wepes
Amiin🤲
Imagen uyu kijana anauza miwa kanitoa machozi walai mungu amfanyie wepesi
@@salimkharisa8186 Yaan we acha tuuh
Ameen
Ameen.🙏🙏
Huyu mjasiriamali wa miwa ni peace sana. God bless him
Allah akupe mafanikio makubwa sana kupitia kwenye biashara yako muuza miwa🙏🙏🙏
Amiin wallah
Sura ya muuza iko ki INOCENT kabsa..
Allahuma Amin
Muuza Mia Allah amuongozee na ampe biashara kubwa zaidi bora hasara kuliko Shari kubwa
Muuza miwa yko humble sana......aki mungu amuongezee kipato,
Anaesikia huyu jamaa mmoja sauti yake inafanana na Idris sultan gonga like apa👋👋😂
Kbs
Ni wadogo zake Idris Sultan
Ni ndugu
Kwelii
Aseeh nmetafuta san hii sauti asante kwa kunisaidia
Huyo muuza miwa tunaomba namba yake ya simu ili tumchangie chochote tulichonacho. Kaonesha utu sana.
Nimewaza kama wewe
Kama Motown na wasafi media walimuacha ivyo basi walikosea sana
Kweli aseee ata mwenye chochote kitu jamaa anautu sana
Atafutwe
Inauma😪
Muuza miwa Mungu akuinue unaonekana una imani sana 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Uhakika mungu amzidishie
Lazima ni Muha, wengi kwenye biashara zao hawaendi makuu
Kwa kweli hicho ni kipimo cha Watanzania kuwa na lmani wengine ni ugomvi wa hali ya juu muuza miwa hongera sana.
Allah mjaalie riziki na Imani thabiti Muuza miwa MA SHA ALLAH
Ni waigizaji wazuri more videos with twins inabamba Sana Ila ulinzi uimalishwe 😆muuza miwa ni mkaka mzuri Sana biashara yake izidi kuendelea
Nawapenda saaana hawa vijana jamanini feithar na faidh allah awaongoze katika kila hatua ya maisha yenu na munachokifanya🥰🥰🇹🇿 🇴🇲
Respect Kwa mwenye miwa kweli hii ni life tu😭😭
❤️❤️❤️
Adi imeniuma
Duniani Kuna Watu na mioyo yao
Huyu jamaa wa miwa huyu Safi Sana daaaaah mungu amzidishie
ASSALAM ALAYKUM WARAHMATULLAH WABARAKATUH. HUYO JAMAA ANAYE UZA MIWA SAFI SANA ALLAH AMAFANYIE WEPESI TU. IN SHAA ALLAH.
Waaleykum salaam
Waaleykum salaam warahmatullah, Ameen
Waleykum Salam warahmatullah wabarakatuh
Ameen InshaAllah
Daaaa muuza miwa kinyongee sana adi huruma😂😂
Machozi kabisaa🤣🤣🤣
Ila uyo jamaa wa miwa anaonekana mstaarabu sana God bless his hustle 🤍
Sana i wish nimjue nimuongezee japo kidogo kamtaji kiukweli anautu na hekma sana
Pia ana imani sana MashaAllah🙌🙌🙌
Nmemuonea huruma ad nimelia
Sanaaa mashaallah!! Yaaan hadi nimempenda
Sana kwa kweli Mungu amongezee kbx
Diamond akupandishie mshahara kazi nzuri sana
Jaman kaka wa miwa roho imeniuma daaaah 😭
Me hadi nimetoa machoz
Nimelia
yaan adi mie roho imeniuma afu akawa mnyonge daa
@@meckywadyatv.9016 I’m in Canada and I don’t if I can have the number for the guy who sell Miwa
Shed tears aki 😢😢
Polen ila iwe funzo kwenu pia kuwen na iman
Muuza miwa kakubali loss mwamba kweli jau. Uyo babu jau angekuwa yy angeweza kuwa makini# the best amazing
Meuwa leo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ata muuza miwa yani wauza biashara wote wastarabu 😍😍😍🙏🙏🙏
Muuza Miwa atafanikiwa Imani inammbeba🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Hawa mapacha show kama yao wameuwa mpaka inakeraaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥 ila muuza miwa na muuza karanga mnatia mmetia huruma ila pia mnapata na funzo kwenye kumpa mtu chenji😔😔😔😔 kwa ustarabu huo utafika mbali muuza miwa🤲🤲
Muuza miwa Kama mimi (nauza miwa), Allah bless you
Kipindii bora ..ila imana ya muuza miwa imewapendez watyu wengi 🙏
Maskini uyu wamiwa katia hadi uruma 😅 kijasho cembamba kilikuwa kishaanza kumtoka😢
Daaah very sad kwa muuza miwa 😢💔💔 jins anavy sema NI MAISHA 2
Uyu Muuza miwa jamn MUNGU akubariki sana na Kazi yako 🙏
Mbali na Twins Muuza miwa katugusa sana
May God bless him.
Sanaa
Hakika
Sana
Allah amjaalie wepesi na amuongezee kipato endelevu
Amin
Muuza miwa jmn ataftwe tumchangie buku buku😭😭😭😭😭😭😭
Nikweli kabisa
Kweli kabisa
Nikweli kabisa dah sio kwa imani hyo
Uyu kaka tumchangiee mtafuteni tena
Kbsaaaa❤️❤️
Muuza miwa Allah amjaalie afanikiwe kwenye maisha yake
Blessed
Waaa nimempenda bure
Mashaallah mungu anijaalie na mm nizae mapacha
Muuza Miwa ..aisee Humanity at his best
Ebwana kitaa kina mishe kibao huyo ndio Mo Town Sanya nembo ya mtaa yupo na pacha wenzangu mashallah ❤️ kufanana kama kote
Maashaallaah Allhamdullaah Hawa mapacha wanafanana kweli kabisa mungu awape umli mrufu wenye Barak nyingi Amiin
Najua kile mnacho penda hivo sina budi ya kuwapa burudani nakila siku mawazo tofauti tofauti yana kuja ivo endelea ku enjoy Vipidi vikali ndani ya #WasfiTV #WasafiBet #MoTownSanya
Tunakukubali Sana mungu akuongoze katika Kazi yako
Muuza chips umemzingua aseeeee hhhhhhhh
Dah ila huyo wa miwa kanigusa na kanifunza kitu
Mtafute wa miwa achangiwe amegusa wengiiiii
Toeni nmba wa miwa tumchngiiie
Mashaallah mashaallah laha sana kulea mapacha hadi kufikia apo Allah awakuze zaidi lnshaallah natamani na me siku moja Allah anijalie twins lnshaallah
Kazana kuukatikia utapata
Mungu acha aitwe Mungu yani awa w kaka wanafanan mnoo💕💕Kisha sanya anajuw kujikausha balaa😅😅😅
Kweli mzee
Daaaah nimeumia muuza miwa jamanii daaaah ingekuwa kweli sijui ingekuwaje daaaah
Jamaa wa miwa ni mtu poa sana na ana imani sana
Wallah kipindi cha kijanjanja nimewapendaaaaaa buree 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Dah mungu akuongezee ridhik kaka wa miwa allah awe nawe
Namuomba Allah sana sana anijaslie mume mwenye hofu ya Allah na tujaaliwe watoto twins nitafurahi sana yaan acheni tu
Nipo Muna na MashaAllah ukoo wetu ni pacha kwenda mbele👌 😊
@@alkasusjaasus7015 ok poa poaaa Allah awakuzie vyema sanaaa
Wanachanganya kweli hata nami siezi jiokiwa kabisa.from 🇧🇮🇧🇮🇸🇦🇸🇦
Mwenye kipindi bora wasafi na tanzania yote ..mo town sanya...kwaiyi umenikosha
Ni moja kitu kikubwa Sana aiseeeeeeh ambacho ushawai fanya keep it up 💪 kumbe show kalisio lazima mastar
"Mungu ndo anaejua atakulipa vipi" Well said MashaAllah🙏🙏🙏🙏🌙
Dah wanafanana sana aisee! Na wanajua kuigiza kweli kweli nice 👍
Huyu mo town sanya ajengewe sanamu makumbusho🤣🤣🙌
Hehehee kwakweli Wana changanya kama date ya Leo 22/2/22 safiii sana
YAani mashallah wamefanana sana yaani wamenikumbusha tukio lishawahi kutokea kijijini kwetu,pacha wa wili wakiume wamefanana kila kitu mpaka tembea sasa mmoja alikuwa jambazi sasa akishaona askari wanamsaka anajificha mwisho wa siku maskini anakamatwa mwenzie ambaye si mwizi maskini alikuwa anasota jela na vipigo kila wakati, mpaka mwisho wa siku Askari wanakuja kujua ni mapacha wa kufanana tayari too late
Mmh jamn
😆 🤣 😂 umeni kumbusha mume wangu nae picha na wote wanajeshi sasa mwenzake alikuwa ni mtu wa kukopa sana alafu anadai mume jamani walivyo gundua ilabidi watenganishwe ofisini
@@noxlosingida2369 Hahahaha hiyo style ya kimataifa iliku yaani kopa wewe mimi nilipe hahahaha halafu sometimes wanamakusudi wakijiona wamefanana yaani lazima tuu watajadiliana ili wavae sare ili wakafanye tukio 😂😂 Astaghfirullah laadhwim 🤣 mie Alhamdulillah pacha mwenzangu wa kiume akithubutu kufanya batili wanamkamata mwenyewe kama walivyomkuta hahahaha 😂
Mtauwa watu kwa pulesha
Ipo sana iyo
Utu uzima dawa mzee katumia busara ya hali juu. Bigup mzee wa karanga.
Sanya katika vipind vyote hichiiii nimeonjoy kinoumaaaaaaaaa wametishaaaa twins nation🔥🔥🔥🔥
Masikini Mwuuliza miwa alitaka kulia😂sema mwamba hana maneno mengi
Naitwa Picco kikongwe ni mwana music wa bongo flavor, niliimba kikongwe, swagga na nyinginezo, hizo chini Ni platfom ambazo music wangu unapatikana za zamani andika Picco kikongwe Album utapata ngoma zote za kitambo, na ukitaka mpalya andika Picco ameshushwa utapata music mzuri mkali wa kijanja na wa kisasa, sapoti music wa nyumbani msapoti mtanzania mwenzio
1. Boomplay
2. Audiomack
3. Spotify
4. Apple Music
5. Shazam
6. Deezer
7. TH-cam Music
8. Notjustic
9. Soundcloud
10.Tidal
11. Amazon
12. Facebook
Etc
Husikiki hakuna video mpya !!
Yitambulishe ni vitu mpya si comments
Rudi mzigoni wewe acha kufelii mwanang nafas yako Bado ipoooo
Nakukubalii kaka💪💪
unafeli sana broeee,,,hatupati mangoma yako kwa mtaa
Show babu kubwa sana nimekubali motown Sanya hicho kipindi kiko juu
Umetisha sana mwamba from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Aww 🥰 🇧🇮🇧🇮
Tangu nianze kufuatilia Motown Sanya, this is the best show I had ever seen...big up Bother. We laugh and learn 😂🙌🏽
kabisa
Leo mo umenifurahisha sana maana unawafahamisha uzuri mashallah acha nilale sasa masalama❤️
Masalama✋
Napendaka sana vipindi vyako kka yngu❤🇦🇪🇧🇮
Hahaha hii ya leo nzur sii lazima kila siku superstar..Ubunifu mzuri
Diamond muongezee MotownSanya mshahara
Sio mastar kihivyo long wanajulikana Ni comedian
Mikoani hatuwajui ndio tumewaona leo
Sema ina huzunisha kama uyo muuza miwa mungu akusaidie ufike mbar
Kweli mwanangu ana imani kubwa sana
hata muuza karanga pia jaman mpole had anatia huruma
Subiria mbaka niuze ndo nikupe pesaako..dah wanangu wa dola moja amani sanaaaa✊✊✊✊
Mo sanya leo mke wangu kafurai kwasbb yeye naye ni pacha
Kuwa fananisha mpaka uwe kabisa na ukaribu nao , sio kwa mfanano uho 😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🙌🙌
Hata ukiwa karibu nao uwezi na wanatoooo dem mmoja sana hao
Huruma jmn 😭😭muuza miwa dah maisha hayq 😭😭😭😭 uwiii imeniuma Sana
.muwe mnawasadia bas km hvy mkiwaona jmn dah
Babu Hana sadaka😘😘💕💕😂😂Hana sadaka yahaina hio
Nice please We need more shows with the twins nimeipenda sana from 🇨🇦🇨🇦
Hi lizzy
@@issamlekwa3034 hi dear
I wish I can get the number of that guy of miwa
I shed tears 😭. Here I’m in Canada
Axante na nyie nawaomben muwe na iman kama yang 7bu mtoa rizik n mwenyez mungu 🙏
Nakubali Sana mo town Sanya 🔥🔥🔥🇰🇪 more love
My brother #Motown hii kali ya 2022 🙌🙌🙌
Kabisaaa👏🖐
Wow l can also say it's one of my favourites show 😂😁😚
Mo.. Hii show Umetisha.. Nimefurahi sana yani kila nikikumbuka nacheka tu.. Big up bro.. And the twins Brothers.. Mmetisha
SANYA UMEUWA SANA YANI KWENY IVI NI KWELI UMETISHA 2022 UMEKUJA MOTO SANAAAAA
🤣🤣🤣maskin muuza miwa jamani hebu muongezeeni mtaj, mwenyew mpoole
Mi nimempenda sana kwa Imani alivyokuwa nayo😢 tumchangieni hata jero jero kila mtu
Nangoja majibu yenu
We needs more videos with twins ❤🥰😍
Exactly ❤️
Yes yes yes we needs more videos plzzz🤗
Unapenda Ugomvi wewe muone kuleee
Jamani nimetabasamu kwakila hatuaapacha raha jamani
@@franleytv6131 hadi rahaaa
Nimeipenda sana hii
MashaAllah their mom should be very happy
Muuza miwa jamn nimemuonea huruma🤣🤣
Insh Allah Allah amfanyie weeps muuza miwa 🙏🙏
Asante kwenye maisha inahtajka iman Sana🙏
That’s so funny… yafaa wakatie dem mmoja!! Dah maisha mtaa.. watu wanapiga kazi 💪💪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇺🇸🇺🇸
Muuza Karanga alivyirudi katoa macho kama mjusi kabanwa na mlango😂😂😂😂😂😂
Daaah Creativity😍😃📛🔥
Umetisha sana umekuwa mbunifuuu sana big up
Awesome ✨✨🔥
Mashallah Allah yani adi raha nawakubali mapacha nyie noma sana ❤️❤️❤️❤️
Babu mumemchangnya mpak ameamuwa kuvuta sigara kichwa kinamuuma
Mashaallah mashaallah
Safi sana aaaaaa, umekula mb zangu ki halali
Dah huyu wa miwa ameniliza maskini ya mungu, Allah akufungulie bro unaonekana unaroho nzuri
THE BEST SHOW EVER
Dah kaka wamiwa jmn😭😭😰😰😰yani wafanya biashara hote niwaminifu hakiyanani cheki uyu kaka wakaranga jmn wachips yani wote tu😭😰
Mumetisha sana wasafi
22022022 ndo hawa Jamaa🇹🇿🇹🇿🇹🇿
😂
Yaan toka nmeanza kuafatilia hiki kipindi jmn hii ya hawa matwins ni the best nmecheka sna na kuwaonea huruma haswa miss miwa jmn
Maashaallaah Allhamdullaah mungu akufanyie wepes inshaallaah
😂😂😂😂 Jana tulichekaa sana watu wanatamani hadi kulia
Huu muuza miwa nimetaka kulia jmn😭😭😭😭
Hpn usilie iwe funzo na kwako pia iman ndo kila kt kwenye maisha
Wow masha Allah 😍😍😍
Dah nasikitika pacha wangu kaenda kula maharage ya watu kwa mama ntilie akaondoka hakulipa siku niloenda mimi nikabananishwa hadi huruma,ila muuza miwa Big up sana🤝💪
Roho imeniuma jamanini kwa uyo muuza miwa😣🤓🥰
@Stan's Online 😂😂😂hata mm😢😢😢