Mulitudanganya kwa magufuli kumbe mlimuua na makonda Tena mmemuua hapana hatukubali muwaachishe watu watoto wao na wazazi wao Bora mngemwacha tuu mm Kama mm Sina usingizi nawaza tuu Tanzania hii vip hatuelew kwa kwel
Nyie viongonzi wa chama husika jichanganyeni tuu na likinzo ya makonda mkija kutanganza amekufa tuu olle wenu ck hiyo tunangoja tuu maana hata wakuu wa nchi wamesikia wananchi wanalalamika makonda Yuko wapi nyie mmenyamanza tuu ok tusubiri
Mungu amlinde paul makonda na kama anaumwa apone katika jina la yesu krito aneishi
Mungu ukulinde uwe salama kwajili yahaki
Mmmmm sijui tunadanganywa au bado anaumwa kweli yaani hata familia mpo kimyaaaa
Daaa ngoja tusubili lbd yupo uarabuni rip baba
HUYU JAMAA KAMA KAULIWA... Siku wakitangaza kifo chake patatokea taharuki kubwa... Na hapo ndo litakuwa anguko la CCM rasmi
Kwa kweli. Shetani ana wtt wengi kweli Tanzania. Sbb wanapenda saana kutangaza habari za uongo.
Aliongea haya nikama yanajirudia, maono ya mbali haya
😢😢😢
Hawa Gen Z wa Arusha si waandamane?
Unasema ni maneno mazuri kuhusu magu, je yalikuwa ya ukweli? Au ndo walio sababisha asiombewe Kama alivyo kuwa anatukumbusha kumuombea?
Mungu atuhurumie,maana alisema jaribu haritarudia Mara mbili
Mpka mseme ukweliiii
Mulitudanganya kwa magufuli kumbe mlimuua na makonda Tena mmemuua hapana hatukubali muwaachishe watu watoto wao na wazazi wao Bora mngemwacha tuu mm Kama mm Sina usingizi nawaza tuu Tanzania hii vip hatuelew kwa kwel
11:17 lakini kwanii kilaklicho chema mbona hakidum
Paulo makonda
Embu tuelewe jembe ketu lipo wapi??
Nyie viongonzi wa chama husika jichanganyeni tuu na likinzo ya makonda mkija kutanganza amekufa tuu olle wenu ck hiyo tunangoja tuu maana hata wakuu wa nchi wamesikia wananchi wanalalamika makonda Yuko wapi nyie mmenyamanza tuu ok tusubiri
Apotee Tu huyo
Pumbavu😢😢