@@janetymatola6639 Mimi siwez kua sehem ya mazwazwa uyu mpina wakat wa magufuli akiwa wazili wa uvuvi alipima samaki kwa lura watu walikufa kwa presha alichoma mitego ya watu mitumbwi leo kakosa uwazili analopoka tu kama kanywaa changaa
10:35 10:35 Nchi yetu imekosa maadili kabisa,Wapigaji wamerudi kwa kasi kubwa,.Viwanda vyetu vya sukari vinavyolipa Kodi,kutoa ajira vinashambuliwa na matapeli wanaoagiza sukari nnje,na mbaya zaidi sukari inapata msamaha wa Kodi!!,Sukari inapewa vipi msamaha wa Kodi wakati Ni biashara?!,Nchi inarudi kule tulikotokam😅
Mungu akulinde sana Mhe. Mpina. Tunatamani wabunge wengine wawe hivi; lakini ujasiri na uhodari huu ni kwa wachache wasiojali matumbo yao.. Mungu akubariki sana!
Hongera sana wavejaa sana Tuta kuchangiaa kupambana na Ufisadi Twende mbelee kamanda wetu Tutashinda Bila kuhamaa CCM labudaa Tufukuzwa napo Hatu hamii CCm ni Chana chetu Humuhumu Tuta pambana kwa Nguvu zote Dhidi ya Ufisadi
Safiiiii Sasa tunakuomba mwabukus usimame na mpina mahakaman Aya majizi yakafungwe asa mwiguru katufany watanzania kuishi maisha ya taabu na manyanyaso
Kweli wewe mjinga,,mjinga haoni,haambiwi wala hasikii,ccm wote ni wezi kwani toka uhuru hadi leo anaongoza nsni? CCM wote ni wezi wachumis tumbo kuanzia mwenyekiti wao mpaka mjumbe wa nyumba kumikumi.
@@CharlesLeoMgaya we fala uzalendo gani wakati wenzio waloshika madaraka wanatuibia kila siku sasa huo uzalendo uko wapi? Au mzalendo ni wewe kila siku wenzio wanakula matunda ya nchi wewe unabaki kusifia eti ccm hoyeeh na kupiga makofi? Kweli wewe boya.
Haiwezekani ng'oooo😢,unadhani akipata huo urais atakuwa kama huyo unamuona hapoooo ndugu yangu,hayo YOTE anayoyalalamikia HAPO,yeye ndo atafanya zaidi,kwani si alishawahi kuwa waziri wa mifugo,huyo unakumbuka alivyochoma vifaranga vya kuku namanga na alichoma nyavu za wavuvi wadogowadogo huko mwanza,kupima samaki Kwa rula.Nchi hii omba sisi maskini tubaki na Amani tu ya kutuwesesha sisi kuuza nyanya na KUPATA mlo wa siku Basi,hayo mengine tuwaachie wao huko juu,acha waendelee kula,Mwisho wa siku wote kaburi linatungoja mpendwa😢.MUNGU akubariki.
Hakika.imejulikama waz kuwa wasukuma ni wazalendo leo makonda haoneikan alipo kwa sababu ya mema anayoyatenda mama amewakumbatia sana hao mafisadi ambao ndo walimuua jpm na wanataka kumuua pia makonda ifike mahali wananchi tuamke
Mpina mtu kama wewe hawakujitaji ccm wao wanapenda kusifiwa tu sio kukosolewa ila mungu atakusimamia endelea kupigania taifa na kuwatetea wanyonge umekua sauti ya wanachi na sio sauti ya kisesa good job
Safi sana kamanda wangu luhaga mpina, nakukabiz jopo la wanasheria waine 1,mwamkus,2piter kibatara, 3piter madereka,4john Malia kwajopo hili mpaka waseme
Nature has NO medicine unless Mungu aingilie kati kupitia watu kama hawa,, kusimamia HAKI mtu moja katikati ya maelfu ambao msingi mzima wa maisha yao umetekwa na tamaa, ubinafsi na ufisadi si jambo jepesi ila tunaamini kila chenye mwanzo kina mwisho.. Mungu ashughulike na mioyo yao na macho yafunguliwe ili waone mateso wanayosababishia Watanzania kukosa HAKI yao ya msingi waliyoahidiwa na Mungu..
Acha ukabila, mpina yupo hivyo sio kwasababu ya usukuma wake, wasukuma kama mbunge msukuma unamsemeaje. Tushukuru tu nchi Ina mbunge mmoja(mpina) nae ndo huyo anapigwa vita kwasababu ya ukweli wake
Tatizo ni rahis mwenyewe. Mwigulu anasema tunakopa kwa vile sisi ni matajiri. Rahis analalamika kuwa wanadhalilishwa. Kwanini hajamuwajibisha Mwigulu wala Bashe? Je wanakusanya fedha kwa ajili ya uchaguzi?
Wanajenga mabitite lakini maisha magumu tu jengeni maisha ya watu.kula shida ulimi shida afya shinda waliyo wengi tukufa na MARAZI Tanzania shida tu maraisi wote ni moja tu alitusaidua sana kipindi chake cha uraisi
Ndugu yangu usikubali kujisahau na kusema wewe ni CCM kumbuka hivi ni vyama vya siasa tuchagueni viongozi bora siyo kuchagua chama naombeni tusikalili CHAMA
Hii Tanzania Mungu atusaidie sana sababu Rais anaenda kukopa fedha kwa ajili ya maendeleo lakini fedha zenyewe zinaishia kuliwa na mafisadi. Uwiiiiihii naomba duwa muharishe mpaka msinyae, Ongera sana Mpina kwa kuyakemea haya madudu Mungu hakulinde 🎉🎉🎉🎉
Bashe ni pandikizi la Rostam. Ni jizi kubwa. Bashe alipashwa kufanya kazi chini ya Rais mkali kama Magufuli hapo angedhibitiwa lakini kwa huyu mama, vichochoro vingi viko wazi. Rais alifanya makosa kukumbatia ushauri wa JK
@@yudachelango6824 tatizo sheria mbovu sheria nyingi zipo kwa ajili ya kumlinda kiongozi , hata mahakama zetu hazina meno make zinafanya kazi kwa maelekezo nasio haki .
Ifike hatua CCM wakubali wananchi sio wajingaa hii nchi hata Susi maskini tunapenda kuishi Kama malaika Kama wao
Nakupenda sana uje kuwa rais
😂😂😂😂 sure
Maiti
Tunakupenda upo vizuri tunakutaka uwe Rais wa Nchi upo vixuri mno Mungu akulindr chukuwa kijiti 2030 Mungu awe nawe daima
Sema unampenda unamuunganisha na nan kwenye mapenz yako na mpina?
Et awe rais duuuh
@@janetymatola6639 Mimi siwez kua sehem ya mazwazwa uyu mpina wakat wa magufuli akiwa wazili wa uvuvi alipima samaki kwa lura watu walikufa kwa presha alichoma mitego ya watu mitumbwi leo kakosa uwazili analopoka tu kama kanywaa changaa
@@janetymatola6639 Angefaa pia kuwa w/ mkuu kwanì atakuwa mtendaji mkuu
@@user-ie2sr4fi4kni wengi tunampenda musema haki. Wewe una ukakasi wa wizi. Ni mmoja unayefaidika na unyakuwaji ndiyo maana Una chuki.
I will stand with Mpina
Hongera sana Mpina, kwa hakika TANGANYIKA tunahitaji watu walio na ujasiri kama wewe. Big-up Mpina
Tunapatikana kanda ya ziwa na zanzibar tu.
Hongera Mpina 😂😂😂😂😂😂nimekukubali.vyuma hivi vya kanda ya Ziwa.Tetea wanyonge Baba.
Hacha fikra za kinyonge wewe,kum support mpina ni Sawa kabisa lakini kujiita mnyonge ni kosa,maana ukombozi sahi uanzia ndani ya fikra zako
@@alexandermalima610 sikupingi bro
10:35 10:35 Nchi yetu imekosa maadili kabisa,Wapigaji wamerudi kwa kasi kubwa,.Viwanda vyetu vya sukari vinavyolipa Kodi,kutoa ajira vinashambuliwa na matapeli wanaoagiza sukari nnje,na mbaya zaidi sukari inapata msamaha wa Kodi!!,Sukari inapewa vipi msamaha wa Kodi wakati Ni biashara?!,Nchi inarudi kule tulikotokam😅
Sikupingi bro
Mungu akulinde sana Mhe. Mpina. Tunatamani wabunge wengine wawe hivi; lakini ujasiri na uhodari huu ni kwa wachache wasiojali matumbo yao.. Mungu akubariki sana!
Hongera sana wavejaa sana Tuta kuchangiaa kupambana na Ufisadi Twende mbelee kamanda wetu Tutashinda Bila kuhamaa CCM labudaa Tufukuzwa napo Hatu hamii CCm ni Chana chetu Humuhumu Tuta pambana kwa Nguvu zote Dhidi ya Ufisadi
Hongera sana mpina.Watanzania tuko nyuma yako
Niko nyuma yako nakuombea sana mpina
Safiiiii Sasa tunakuomba mwabukus usimame na mpina mahakaman Aya majizi yakafungwe asa mwiguru katufany watanzania kuishi maisha ya taabu na manyanyaso
The future of Tanzania, but no one knws😥, it's greatfu to hv some people Iike him,,
True. Some of them suggest bishop, this one is ahead him 100 times.
Which Bishop? Lwakalinda!?@@leahmgunda4154
Damu ya Yesu ikufunike. Vita hii Apigane Mungu Baba.
Damu ni najisi
Ikimfunika ataweza kuhema kwel
Damu ya Yesu ikufunike.
Mbona mnapemda sana kumzingizia sana Mzee Yesu na Damu yake hata haina mahusiano na chochote?....
AMEN
Hongera. Mpina.
Inasikitisha sana, kumtokomeza k. Mpina kwa kutetea ufisadi wao, hivi hii nchi inakwenda wapi? Mungu tusaidie
Tatizo sio CCM bali ni baadhi ya viongoz waliopo ndani ya CCM kutokuwa wazalendo.hongera sana bro Mpina.
Kweli wewe mjinga,,mjinga haoni,haambiwi wala hasikii,ccm wote ni wezi kwani toka uhuru hadi leo anaongoza nsni? CCM wote ni wezi wachumis tumbo kuanzia mwenyekiti wao mpaka mjumbe wa nyumba kumikumi.
Uzalendo unanguvu ikiwa sheria zinamfunga
@@CharlesLeoMgaya we fala uzalendo gani wakati wenzio waloshika madaraka wanatuibia kila siku sasa huo uzalendo uko wapi? Au mzalendo ni wewe kila siku wenzio wanakula matunda ya nchi wewe unabaki kusifia eti ccm hoyeeh na kupiga makofi? Kweli wewe boya.
Safi sana MPINA TUNAKUELEWA VIZURI NA TUKO PAMOJA NAWE
Nakupongeza Sana Mhe Mpina kwa ujasiri na uzalendo wako wa kweli na wa kiwango Cha juu. Nafurahi sana kuona kuwa nchi hii bado Ina wazalendo kila kona
Mungu hawezi kukuacha kwa kulitetea Taifa letu
Allah akulinde na akubariki SANA. Endalea kumsaidia Raisi kwa kuwafichua mafisadi. Lakini wakibainika WAFILISIWE MALI ZAO SIYO LELEMAMA.
Huyu jamaa akiwa rais nchi itakuwa viziri sana na rushwa inaweza kutoweka
Uko sahiii mkuuuuuuuuuu uyu na MWABUKUSI hatareeeee
Ukweli usiopingika
Haiwezekani ng'oooo😢,unadhani akipata huo urais atakuwa kama huyo unamuona hapoooo ndugu yangu,hayo YOTE anayoyalalamikia HAPO,yeye ndo atafanya zaidi,kwani si alishawahi kuwa waziri wa mifugo,huyo unakumbuka alivyochoma vifaranga vya kuku namanga na alichoma nyavu za wavuvi wadogowadogo huko mwanza,kupima samaki Kwa rula.Nchi hii omba sisi maskini tubaki na Amani tu ya kutuwesesha sisi kuuza nyanya na KUPATA mlo wa siku Basi,hayo mengine tuwaachie wao huko juu,acha waendelee kula,Mwisho wa siku wote kaburi linatungoja mpendwa😢.MUNGU akubariki.
Kaka hujajua hii nch haitaki
Umesema kweli lakini sijawahi kuwaamini wanasiasa maneno mazuri machache unaweza ukamuamini ukampa nchi badae ukajuta hua wanajisahau.
Hakika.imejulikama waz kuwa wasukuma ni wazalendo leo makonda haoneikan alipo kwa sababu ya mema anayoyatenda mama amewakumbatia sana hao mafisadi ambao ndo walimuua jpm na wanataka kumuua pia makonda ifike mahali wananchi tuamke
Yani tuamke kweli mana Hawa viongozi hawatufai hata vyama vaupizani nihovyokabisa hakuna mtetez watanganyika ila Kuna wauzaji nch
Makonda Mkuu wa Mkoa Arusha umesahau. Kakumbatiwa na mama au nae ni fisadi Nini?
Wewe muhongo vyama vya upinzani vinahusikaje na hili.@@davidmalogo7100
Tunakuunga mkono,
Mungu akulinde kaka.
Kaongea vzr sana, mianya izibwe
Mpina Wewe ni Mzalendo wa kweli Mungu atakupa ulinzi songa mbele
Hongera Mpina kwa uzalendo wako. Mwezi Mungu akusimamie
Magufuri kajionyesha kwako kaka nakupenda sana tusaidie nasi tupo nyuma yako
Mungu akusimamie kila atua inshallah usirudi nyuma tuko pamoja nawe Mpina🙏🏿
Huyu Mpina ni kichwa sana🙌,jamaa anajielewa kupita kiasi,hongera kwake
Chapa kaz napenda sana kusikiliza hotuba zako
mpina mungu akuupe umri mrefu tuzidi kukufaidi kwa faida ya taifa let u,🤝🏿💪🏿👍🏿🧠
Mpina mtu kama wewe hawakujitaji ccm wao wanapenda kusifiwa tu sio kukosolewa ila mungu atakusimamia endelea kupigania taifa na kuwatetea wanyonge umekua sauti ya wanachi na sio sauti ya kisesa good job
Safi sana mpina
Safi sana kamanda wangu luhaga mpina, nakukabiz jopo la wanasheria waine 1,mwamkus,2piter kibatara, 3piter madereka,4john Malia kwajopo hili mpaka waseme
Tunakupenda ni mkweli
Mungu akulinde
Nature has NO medicine unless Mungu aingilie kati kupitia watu kama hawa,, kusimamia HAKI mtu moja katikati ya maelfu ambao msingi mzima wa maisha yao umetekwa na tamaa, ubinafsi na ufisadi si jambo jepesi ila tunaamini kila chenye mwanzo kina mwisho..
Mungu ashughulike na mioyo yao na macho yafunguliwe ili waone mateso wanayosababishia Watanzania kukosa HAKI yao ya msingi waliyoahidiwa na Mungu..
Naomba niwahakikishie kwamba kikombe hiki nitakinywea ,,, mpina mpina , nakubari
Mzalendo wa kweli. Mungu akulinde dhidi ya husda ya wachumia matumbo yao.
Mungu amekuona tumumbeye mwabukusi ashinde muungane kupambana na mafisadi wa nao muhujumu mama mama awashugulikie
Mpina for President...
Hakunaga Msukuma Fala aisee nawaelewaga sana Wasukuma na Wakulya ni wathubutu na hawaogopi kitu
Mafala wapo mbuge msukuma mwenyewe wa geita aliesema mpina apimwe akili aliongea ufala
🙏🙏🙏💯
Huwajui wanyakyusa wewe?
Acha ukabila, mpina yupo hivyo sio kwasababu ya usukuma wake, wasukuma kama mbunge msukuma unamsemeaje. Tushukuru tu nchi Ina mbunge mmoja(mpina) nae ndo huyo anapigwa vita kwasababu ya ukweli wake
@@Mosmwampa ni kweli kabisa.
Watanzania wazalendo nawachache sana luhanga pina I lovo pigakaz
❤mpina MUNGU yupo nawewe endelea kupigania haki ya watanzania
Tnapenda sana ndugu ila uwe makin sana maana awa jamaa watakua wanakwinda sanaa maana awapendi uwe mkweli katika ufisadi uhuu
Mpina we kiboko nimekuelewa sana
Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutupa wewe. Tutakuombea katika sala zetu.
Mulikuwa hamjui raisi kipenzi cha watanzania alivyo kaamua kujisimamia mwenyewe bila kuomba mdahada nje mulikuwa munamchukiliaje😂
JPM Alifagia Njia Kosa Kuwaludisha Kama Aliwaludisha Waliofukuzwa Na JPM Apo Kazi Ipo Au Achukue Atua Kali Zaidi
Narudia tna tukpata kumi kama wew mle Tanzania yangu naiona ntaiona mbali. Mungu akulinde MPINA
Tatizo ni rahis mwenyewe. Mwigulu anasema tunakopa kwa vile sisi ni matajiri. Rahis analalamika kuwa wanadhalilishwa. Kwanini hajamuwajibisha Mwigulu wala Bashe? Je wanakusanya fedha kwa ajili ya uchaguzi?
Kweli
Ubalikiwe sana mwenyez Mungu akusimamie
Wanajenga mabitite lakini maisha magumu tu jengeni maisha ya watu.kula shida ulimi shida afya shinda waliyo wengi tukufa na MARAZI Tanzania shida tu maraisi wote ni moja tu alitusaidua sana kipindi chake cha uraisi
Guys midi meninges I'll kaka mungu akusimamie Sana maana unagusa maslah ya watu
Mm ni ccm kuzaliw upo sawa mpina haki itakuweka huru Wacha wachumia yumbo wakurushie mawe ucjali tunakuelew
Sasa siuachane na ccm unakaaje kwenye chama chawezi?
Ndugu yangu usikubali kujisahau na kusema wewe ni CCM kumbuka hivi ni vyama vya siasa tuchagueni viongozi bora siyo kuchagua chama naombeni tusikalili CHAMA
@@robertphilip385
Kwani mwanao akiwa mwizi ana kuwa sio mwanao . Na atakwenda wapi wakati ufisadi na rushwa kila chama upoo
Kaka unaakili sana wachache sana watu kama wewe tunakuombea pambama tupo nyuma yako
MPINAAAAAAAA, MPINAAAAAAAAAA MPINAAAAAAAAAAA
TUNAMUONA MAGUFULI NDANI YAKO, MUNGU AKUTANGULIE MKUU, MUNGU AWE NAWE
Safi Sana inahitaji watu jasiri kama Mpina wawe hata erfu mmoja nchini
🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Baba Mungu Jehovah mbariki mlinde Mpina kwa jina la Yesu Kristu Amina
Uongozi safi hapa nchini, upo na watani wazuri,"Wasukuma tu" !
Mungu akupiganie mpina watanzania wote tunaelewa hao mafisadi
Safi sana hayomajinzi yashitakiwe
❤❤❤❤mpina twende twende twende tuko pamoja
Hongera sana mpina
Ndugu yangu ni kumtegemea Mungu tu lakini uwe makini katika nyendo zako ama sivyo una nafasi katika safari isoyojulikana.
Amen Mungu akutetee kaka
Hawa ndio viongozi big up
Asante sana anco mpina mung awe pia nawe
Ubarikiwe ndugu yetu
Hongera sana mh Mpima Mungu akutuze sana,watu kama wewe huwa hawaishiiiii kabisa
Hii Tanzania Mungu atusaidie sana sababu Rais anaenda kukopa fedha kwa ajili ya maendeleo lakini fedha zenyewe zinaishia kuliwa na mafisadi. Uwiiiiihii naomba duwa muharishe mpaka msinyae, Ongera sana Mpina kwa kuyakemea haya madudu Mungu hakulinde 🎉🎉🎉🎉
CCM imejaa uchawi...nyayo za Mzee Popo Harmonize kuroga kazi za Diamond Platnumz TH-cam....Aibu Tanzania😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Huyu mheshimiwa asipuuzwe asikilizwe na mambo anayozungumza yafanyiwe Kazi ukweli ujulikane
Hongera sana Mpina Mungu akutie nguvu
Mungu akutangulie ndugu yangu maana ww ni kama jpm
Harakati zako Mungu anaziona,,kiukweli una hofu ya Mungu. ..
Mungu atakuwa nawe siku zote,
hatokuacha kwa kulipigania Taifa lako
Hii vita mheshimiwa ni mbaya utaiweza kweli maana ni wengi wanapotea wakipambana na rushwa
Mi nashauri hata asipoenda mahakamani, inatosha
Acha uonga, na kumvunja moyo
Mungu Akusimamie upo vizuri sana Hongera sana
Mpina big up!, ni Bora kuwa mzalendo wa Taifa kuliko kuwa mzalendo wa chama!
Honera kaka, wew ndo wabunge mnao hitajika,
Bashe mwizi sana aiseee
Bashe ni pandikizi la Rostam. Ni jizi kubwa. Bashe alipashwa kufanya kazi chini ya Rais mkali kama Magufuli hapo angedhibitiwa lakini kwa huyu mama, vichochoro vingi viko wazi.
Rais alifanya makosa kukumbatia ushauri wa JK
@@charlesshitobelo6870 hafai hata kidogo yule mtoto balaa sana
Mungu Akusimamie ,mh unakubarika kwa ukomavu wako wakutetea wanyonge❤❤❤❤
Mm nilisema katiba ya CCm iko wazi Sera zake zinajieleza lkn wa2 waliopo ni madudu 2 wezi wamejazanaa hawana maana wao ni kula 2
Endeleeni kuwa SISIEM
@@yudachelango6824 tatizo sheria mbovu sheria nyingi zipo kwa ajili ya kumlinda kiongozi , hata mahakama zetu hazina meno make zinafanya kazi kwa maelekezo nasio haki .
HONGERA SANA MPINA
Mpina, Mungu akupe ulinzi wake na endelea kupigania Taifa letu bila kuchoka mpaka hao wabadhilifu wa Mali za umma wadhibitiwe
Mh Mpina tupambanie , pia wasukuma tunajikubali na hatuna tabia ya UONGO . MUNGU PAMOJA NA WEWE
Mungu akutangulie
Ndungu yangu mpina ujitahazali naao mafisadi kwani mtandao wao mkubwa usijuachie kwani iyovita kubwa ndungu mng afanyie weoesi kulinde🙏
Upo sawa kiongozi wetu
Huyo ni njaa alipo kuwa waziri wavuvi wengi ali wa filisi na wengine kufa kwa thuma aliyo fanya huyu yeye ndio afunguliwe kesi
Safi sana mh. Mpina tunakuunga mkono hiyomijizi inakerasana
Mkuu huyu yuko vizuri Mama fumbua macho tunakupenda.
Rais wetu ni mzuri sana ila watendaji wake ni shida tupu 🥰🥰🥰🇹🇿🇹🇿🇹🇿SAMIA 💪💪💪💪
Anatakiwa awe kama Magufuli, mbona hawchukulii hatua hao mafisadi na yeye ni mkuu wa nchi
@@panadomadola3064 umakini mkubwa akienda kichwa kichwa watamzulu unaona
Fanya kaka make hawo watu wamezidi wizi na kujichukuwa sana
Heko mh. Mpina, usikate tamaa. Sisi wana-ccm tuko nyuma yako.Mafisadi wote waondoke ccm, wakatafute chama kinachokumbatia ufisadi,siyo ccm.
Tunakupenda mpina
Ubarikiwe
Mama samia hajui kuiongoza nchi yy ndo anasabibisha majanga bora liondoke tu
Ni kama Mchungaji mtikila kazaliwa ama kafufuka rasmi Tz....
Mungu akusimamie na kukupa wepesi mpina brother!
Kwa kawaida mzalendo hafi Wala hazikwi. Na ikitokea akafa na akazikwa, basi badala yake watafufuka maelfu ya wazalendo kila Kona
Tupambanie mh Rais ajaye 2040
HONGERA SANA.
PAMBANA SANA KAKA TUPO WATU AMBAO TUNAONA HIVYO.
M nahis walimchukulia poaw ,honger sana mpina,.
😅😅😅😅😅🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Mahakama hizi za Tz tunazozijua hazina msaada labda Ingekuwa nchi ya Kenya lkn wananchi tumekuelewa Sana na bunge letu tumelielewa linasimamia nn