@@mwasamiladldm7557 Mbona unatufokea? Mbona unaparamia hivyo? Hakuna unafki popote, ni kweli hiyo sio afya ya brother Dudu! Inaonekana kuna jambo linalomtafuna moyoni na akilini, ndio maana Fety Mchina, amekataa lawama na kumweka mwamba huyo mikononi mwa Mungu, kwani hapo ndio kuna usalama na utakaso timilifu. Acha kuhukumu na kulaumu wengine bwan Mwasamila!
Yaaan mtangazaji hujui unafanya mahojiano na dudu baya kichwa sana...hembu andika point muhimu Kwanza kabda hujamuuliza, maana naona huna hata hoja zaidi yakutaka tu kupata views.
Acha kujifahalisha dudu usaidiwe unaonyesha kabisa hapo ulipo huna ata wallet ya elfu 50🤣🤣🤣🤣 shuka mzee watu wakupige tafu ustar sio ukuvimbishe wakat una njaaa ona umekondeana mpaka suluwali yakushuka
Utanunua madini kwa pesa ipi wewe acha kufunga watu kamba fala wewe. Huongei habari ya kukaa jela unaongea uongo mzee mzima hovyooo. Hata nyumba ya kulala huna unaongea barabarani.
Kukonda ajakonda bali nywele zimemnyonya mwili... Nywele zinakula vitamini sana
Kweli
Ameisha
Nampenda sana dudu kwa sababu mwema kwel
Unamfahamu vyema ......huyu mtu
Inasikitisha wanaume kusema mwanaume kakonda wakati maisha yanaeleweka Duniani hapa ni kupanda na kushuka
true
Respect🤝
Kweli man fighter ananaelewa iyooo kitu
Uko sawa
Kakonda sababu yajela
Kaka umepungua sana kama nimatatizo Mungu akusaidie kama nipombe acha kaka🙏
Maisha ni kupanda Na Kushuka Autopanda Milele So Ni Kwa mda tu Kwa Sababu ni mtafutaji kupungua Kawaida
@@allykazoa8324 yah!Mungu amfanyie wepesi🙏
Fety China,
Wewe ni mtu mwema sana! Asante kwa kubariki wengine
@@sirialemmy37 🙏🙏❤
@@mwasamiladldm7557
Mbona unatufokea?
Mbona unaparamia hivyo?
Hakuna unafki popote, ni kweli hiyo sio afya ya brother Dudu! Inaonekana kuna jambo linalomtafuna moyoni na akilini, ndio maana Fety Mchina, amekataa lawama na kumweka mwamba huyo mikononi mwa Mungu, kwani hapo ndio kuna usalama na utakaso timilifu.
Acha kuhukumu na kulaumu wengine bwan Mwasamila!
Bahari yenyewe inajaa na kupungua iwe Konk Konk!YESU Anaokoa jamani Tuokoke vijana
Napenda sana pale akicheka na kugonga
Mbona mchafu na kakonda ile mbaya!😁😁😁
Hayo ndo maisha humu duniani kupanda na kushuka
MIND YOUR OWN BUSINESS KOMAA AKILI BADALA YA KUKOMAA MWILI.
we agwulubi sjui ndurubi
POST PICHA ZAKO TUKUONE ULIVYONENEPA ALAFU MSAFI Ku"MA WEWE
@@nassjog990youtube6 kuma Ya baba yako! Msenge mwenzio ,Mimi naishi Atlanta
@@johnmichaellukindo21 😂🤣😂🤣 labda ndotoni kuma kibuyu wewe!
Mpaka anatembea anashiikilia suruali duh
Sasa hii nyumba lodge hehehehe dah mwana huyu anapotea kbs hapo alipo uhakika ht elf20 hana
Yaaan mtangazaji hujui unafanya mahojiano na dudu baya kichwa sana...hembu andika point muhimu Kwanza kabda hujamuuliza, maana naona huna hata hoja zaidi yakutaka tu kupata views.
Kwa akili zake yeye bado ni msaniinmkubwa mfalme na tajiri mkubwa but kwa ground anahitaji usaidizi kinoma
Umevaaa t-shirt kuwa Ili tusigunduwi..tunaona hâta ungevaa coti kubwa
We badala ya uandishi ungekuwa mchezaji mpira miguu yako imekaa vizuri sana
Umeona ee
Watu mnachunguza kweli...niljua nimeona peke angu kumbe video nyeupe
Sasa hapo ndio safii,,,umekuwa DuDU BayAa kweRii KweRii!!!
😂😂😂😂😂
Duuu ametokea kwenye tundu la sindano kweli kakonda sana
Maneno ya kike hayo kukonda sio ugojwa
Iyo t-shirt imeandikwa MAYEMU yaan bangi au😁😁
🤣🤣🤣🤣🤣
Koki naona kma kapata wehu
🤣🤣🤣🤣MAYHEM JAMANII KAMA HAMJUIWI MAAANA YAKEE NI MABANGI UYUUU JAMAAA KUNA SHIDAAA
Mayhem ni movie ya kitambo sana ya kivita
Anasema hawez kufa hata siku Mmoja, Allah amsamehe
Kila nafc itauonja umaut
Hiyo kauli ni ya kijahili walliitumia ma firauni. Tumwombe Allah Amsmehe na Atujaalie mwisho mwema
acheni tu jmni konk konk master napnda nikweli msemaji ukweli jpo hpo kweny migod katupig 😂😂😁😁 ila maongez yk nayaelew saaanaaaa .marehem Mzee wangu alikua anaepend saan
Kakonda kinoma
We hujawah kukonda?? Mbn kawaida kupanda na kushuka kaka??
Dudu baya sikupingi unaelewa ishi bro UTATU ###
The man of true the g o at kony kony master
mamba kawa kichaa huyu atakua alikula fisi mtoni du anaelekea kua mjusi ss
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣
Daresalama kwani kuna madini, Kwani c kuna Malaya tu"Dudu ww
Mwime madini yapo mimi nipo apa saiv kuna gora zinauza azam hadi mil100
@@jumaabdu7054 Huwa unajihusisha na biashara ya madini mkuu?
@@Joe-tr2vk yaap ndio shughuru yangu
Mwime iko wilaya gani
Dudu haumwi wala hajaathirika ila kaathirika kisaikolojia,,huyu jamaa ni mtu poa xema wengi hawamuelew
Tutafutieni basi na Pierre mama na kufa 😅😅 nae kitambo hasikiki
Dudu baya anakaa Lodge Sinza acheni uongo 😅😅😅😅
Mi mwenyew namkutaga huko huko Sinza kijiweni😂
Jamani koki
Uyu ni dudubaya ? Mbona kakonda kiasi?
Madawa ya kulenyva
Kukonda nikawaida sana katika maisha
Wanyama nao wanaish wanakonda
Konki master for really👊👊
In short dudu hana nyumba
Ila waandishi wa michongo mpo wengi
Good
Dudu baya ukapmwe afya mbona amezofika sana
Apewe lish
Dah! Hayupo sawa, nadhani ndio maana wengi wanaamua kuwa chawa
Maskin dudu baya mbona umepungua sana jamani!!
Kweli maisha yamembadilisha mpaka amepungua pole broo Mungu akusaidie
Aayeeeeee. Konk. konk . Konk master
Huyu jamaa anaonekana hayupo sw kiafya,,,,,anajifirce had kutembea
Mzee wa konyagii
Dudu kalime
Kweli nilhsi jembe alipo tena Duniani huyo jamaa namkubali sana
Wana Habari mlisomea wap kufika nakuanza interview utangulizi noo mh tunawazidi uelewa
Sasa sio KOMKI,,ni gorila mzee👁️👁️
Dudubaya kachoka Brother sio Muda tutachanga kama hatabadilika
Daa Cong kaisha
Jamaa amejenga kweli
Kanda ya ziwa unavoiongelea utafikir sio Tanzania hii
Ila huo mgodi wa Mwatulole sasa😁😁😁!
mshamba uyo
Dudu baya anadata nyingi hadi anaonekana kadata
Dudu baya Ni mkongwe
jela sio pazuri, mzee kuwa makini watakuteza
Kweli kabsaaa
Apunguze pombe😢😢
Mmmm dudubaya;,mama anita wa maganzo kakuunguz mkuuu!
Ucseme hvo jinyoshee kidole mwenyew
Aisee jamaa amekonda sana, mpaka suruali anaishikilia akitembea ina dodondoka
Kwani alishawahi kua mnene? Halafu kunenepa sio maisha mazuri, ni kushindilia maugali na wali
Oiri chafu
Dudu baya
Kashapiga vitu da maskini
Hapo bar hao wahudumu wanaish hapo na dudubaya
Msema kweli kama mm
Mwanamke ndo wakuulizwa vp mbona umekonda,lkn sio mwanaume, wanaume tunayopitia Leo mtu akuulize mbona umekonda ili iwe nn?🤔👉🚮nyie
Kabisa unaanzaje kumwambia mwanaume mwenzio amekonda
Wewe uwe unaongeakwa sauti
Mamba oil chafu konk master💪💪💪mala 3 😂
Mmmmh🙆
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Kakola my home
Kakola mgodin au
Kakonda maskin dah
Kimuonekano kabisa nyumba kaazima kushuti interview
Hi namwamnia dudu baya,Jamani naweza pata namba ya simu ya dudu baya?jamana naiomba namba yake.
Kwake au anaishi
We mjinga ha
Kweli umekoa rasta maana sio kukonda uko
Media siku hizi ni za mchongo sana mmekaa kimchongo mchongo tu
Imenibid nicheke Bure et dsm hakuna madin Kuna Malaya tuu
Mwee mbona anatisha alikuwa wapi
Dah kweli kaisha Yani kabaki kichwa tu
Mbona ni nje
Nipe ukweli jamani Mimi Niko Dubai but kama mwime Kuma madini tuanboane jamani
Dubai tena mzee,,,, mi nipo mwime
@@kasabukuanthony6208 hapo mwime napajuwa bro kwasasa naishi huku Dubai ila home nihapo kahama nyansubi
@@brunoyusuph8469 oooh okay mi naishi nyahanga hapa Mwime huwa naenda harakati
@@kasabukuanthony6208 okay na hapo mwime mgodini ninamatafiki wengi niliokuwa nafanya nao kazi zamani
Kaomba nyumba ya mtu afanyiwe interview
Kwani Hana nyumba?
Acha izo fikra hta km ameomba unaumia nn au unatoka familia ya kichawi
Mbona unateseka sana 😅😅😅
Du..guo..inaguka..nitakubaia..mishibi..
tz watu wa dini sielewi vile stars wao hupotea.sad
Acha kujifahalisha dudu usaidiwe unaonyesha kabisa hapo ulipo huna ata wallet ya elfu 50🤣🤣🤣🤣 shuka mzee watu wakupige tafu ustar sio ukuvimbishe wakat una njaaa ona umekondeana mpaka suluwali yakushuka
😂😂 wana damu noma
This guy needs help😢
Mfalme wap bhana
anachekesha dudu
Siku izi hakuna kota hawatambuliki baada ya kufungua masoko ya madini
Bado wapo. Sasa hapo soko la madini nani ananunua?
Vijana tuwache mihadarati
DUDU AMECHANGANYIKIWA ANAFAA KUPELEKWA REHABILITATION CENTRE
Utanunua madini kwa pesa ipi wewe acha kufunga watu kamba fala wewe. Huongei habari ya kukaa jela unaongea uongo mzee mzima hovyooo. Hata nyumba ya kulala huna unaongea barabarani.
Konki umeyayuka kweli domo limekushuka kweli umeponea chupuchupu bro
Poor introduction mwandishi hasemi yuko wilaya au mkoa gani
Au walimla kiboka🤔
Kapanga au kajengaa????
Kakonda
Jamaa kalewa
. Mbona hajachana nywele? Huo ni uchafu
👹👹👹👹👹👹👹
Jamaa alifichwa sober house Nini khaaa😳 adi amekuwa kama mtu wa kale kwakwel shughuli ya magufuli pevu hahaaaa
Magufuli vipi.mbna ujaeleweka
Kreizi boy
Konki kwa hali yake halisi.