MAGUFULI AMPIGIA MKURUGENZI TAKUKURU LAIVU, AMFUKUZA KAMISHNA WA MKOA!

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 145

  • @johnferdnand2048
    @johnferdnand2048 5 ปีที่แล้ว +38

    Kama umemuona RPC anatia huruma gonga like

    • @officialjohanesmkandara4301
      @officialjohanesmkandara4301 5 ปีที่แล้ว

      John Ferdnand kwanza nilijua yeye ndo anatumbuliwa

    • @princessaidal1130
      @princessaidal1130 5 ปีที่แล้ว

      John Ferdnand yaan mm ndo mpaka nime feel kulia nilivyoona akitia huruma sana,, nyie watu wanoko kumbe umemuona nww

    • @watakaniitaje1215
      @watakaniitaje1215 5 ปีที่แล้ว

      🤣 🤣 🤣 Yaani inavyoonekana na yeye Ana yake ndo maana alitaka kama kulia

    • @princessaidal1130
      @princessaidal1130 5 ปีที่แล้ว

      John Ferdnand kabisaaaaa

  • @emanuelseka7581
    @emanuelseka7581 5 ปีที่แล้ว +19

    God bless you Mungu akubariki na akulinde na magonjwa nahatari zote Amen

  • @iddyprod3187
    @iddyprod3187 5 ปีที่แล้ว +17

    JPM ulikuwa wapi toka zamani....?...tutaandamana ili uongoze nchi hii hata miaka 40

    • @kahroogall5695
      @kahroogall5695 5 ปีที่แล้ว +2

      Thanks so much Mimi pia naomba ataware mpaka 2035

    • @solomtz7049
      @solomtz7049 5 ปีที่แล้ว +2

      Ndio mimi nimekubali aongoze miaka 40...tutafika mbali

    • @noronhacompanylimited5370
      @noronhacompanylimited5370 5 ปีที่แล้ว +1

      iddy prod mimi nitayaongoza hayo maandamano mstari wa mbele

  • @lwitikomwakibete7525
    @lwitikomwakibete7525 5 ปีที่แล้ว +15

    Raisi wangu pole kwa kazi ngumu unazofanya

  • @munguaibarikitanzanianawat9254
    @munguaibarikitanzanianawat9254 5 ปีที่แล้ว +2

    Mueshimiwa raisi kuwa na subr katika hatua .maana binadamu hatuko sawa mungu akupe subra katika kazi ishallaha..allah akulinde na mitiani unayo ikuta asante penda sana rais wetu

  • @abdul-rahimkadhi2322
    @abdul-rahimkadhi2322 5 ปีที่แล้ว +16

    Diwani yuko vizuri ...big up

  • @phiniasphinias8963
    @phiniasphinias8963 5 ปีที่แล้ว +21

    diwani yuko vizur aiseee.kama anajiamini hiv..

  • @salumhamzahamza1920
    @salumhamzahamza1920 5 ปีที่แล้ว +12

    Huyu mama Yuko vizuri Sana kwa kuelezea changamoto

  • @msemwawalter837
    @msemwawalter837 5 ปีที่แล้ว +6

    Huyu Rais anamaliza MB zangu kihalali.

  • @shamimushittindi1418
    @shamimushittindi1418 5 ปีที่แล้ว +11

    Kumdanganya john c rahisi kama unavyofikiri

  • @hamisikaliza9960
    @hamisikaliza9960 5 ปีที่แล้ว +1

    Nakupenda sana Mzee wetu Rais wetu, pole sana kwa kazi ngumu

  • @eliasboniface8887
    @eliasboniface8887 5 ปีที่แล้ว +7

    Wewe ni katapila huchoki, maamuzi magumu, kweli wewe ni jembe mungu wetu tunamshukuru Sana wewe nimfuatiliaji hongera sana

  • @phiniasphinias8963
    @phiniasphinias8963 5 ปีที่แล้ว +11

    😀😁😁 nasema mpigieni mnanishangaa tu..aisee mzee hataki mchezo kabisa.

  • @felixmoses9863
    @felixmoses9863 5 ปีที่แล้ว +12

    Watakuelewa tu Mheshimiwa Raisi wetu mpendwa

  • @emanuelseka7581
    @emanuelseka7581 5 ปีที่แล้ว +4

    Uko hapo kwa sababu Mungu akutangulie

  • @bikailamhando5969
    @bikailamhando5969 5 ปีที่แล้ว +3

    Asante sana mungu akupe maisha marefu raisi wetu asante kwa kufika kwetu chigugu

    • @safinaeli5701
      @safinaeli5701 5 ปีที่แล้ว

      Nitazidi kukuombea rais makufuli.nakupenda mpk naumwa

  • @waltermbelwa4973
    @waltermbelwa4973 5 ปีที่แล้ว +15

    Kweli hapo ni kazi tuu.Mambo ya uuhandsome mwisho Chalinze.

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 5 ปีที่แล้ว +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂 Hii naona chalinze karibu huko ubena karibu na moro

  • @rhiophiri9645
    @rhiophiri9645 5 ปีที่แล้ว

    Africa needs presidents like magufuli,Tanzanians give magufuli support

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 5 ปีที่แล้ว +4

    Diwani yuko vizuri sana,mkuu wa mkoa anajiamini safi sana,kamanda wa Takukuru wa mkoa..masikini chaliii...sa sijui alikuwa nje ya mkoa kikazi maskini ya Mungu...Magufuri nadhani uongezewe tu muda wa kutawala, katiba si inabadilishwa tu...kwani kitu gani..bhana

  • @kikongajoel2693
    @kikongajoel2693 5 ปีที่แล้ว +2

    Rais kweli unapiga kazi sana mungu akubariki

  • @a.a.a.s8322
    @a.a.a.s8322 5 ปีที่แล้ว +8

    Kiboko ya wazembe. Hakuna ujanja hapa.

  • @alirahma8967
    @alirahma8967 5 ปีที่แล้ว +6

    Manshallah raisi wawanyonge,mungu asimame nawewe

  • @samniza1763
    @samniza1763 5 ปีที่แล้ว +8

    I love this! You can and you must, but you need to recruit new young blood to think and see like you do so that when you retire they keep maintaining your system, you can not do it alone abeg ooh!

    • @paccomabula1456
      @paccomabula1456 4 ปีที่แล้ว +1

      Magu has performed your wish.....the parliament is full of young people.

  • @zikirination6769
    @zikirination6769 5 ปีที่แล้ว +7

    Kazi kwel kwel awamu hii Kama una presha yakushuka Bora ukae pemben

  • @mwalimabrahmanmohamed8245
    @mwalimabrahmanmohamed8245 5 ปีที่แล้ว +9

    Asante maguuu tunakuelewaaa

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 5 ปีที่แล้ว +3

    Hapa kazi tu! Hakuna kubembelezana!!!!

  • @upendompokigwa5045
    @upendompokigwa5045 5 ปีที่แล้ว +1

    Mungu wa mbinguni akulinde kwa kazi nzur asante baba magufuli

  • @costantinejoseph4907
    @costantinejoseph4907 5 ปีที่แล้ว +2

    ogopa sana sauti ya zege isikufikie kuanzia leo natubu kwa mungu kukupinga ila taendelea kuwa upinzan

  • @klaragreen7999
    @klaragreen7999 5 ปีที่แล้ว +7

    YAANI UONGOZE TU KAMA NYERERE HATA MIAK 100

  • @emilynathanielluvanda8298
    @emilynathanielluvanda8298 5 ปีที่แล้ว +9

    NCHI imempata kiongoz

  • @luizabahati5198
    @luizabahati5198 5 ปีที่แล้ว +5

    KWA KWELI HATUTAKI KUBEMBELEZWA SAA HIVI TWENDE HIVIHIVI HII STYLE NI NZURI..ZEGE HALILALI

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 4 ปีที่แล้ว

    huyu regional commissioner is doing his job. well done sir! oh hapa ni mtwara...safi RC wa Mtwara

  • @abediiromba1200
    @abediiromba1200 5 ปีที่แล้ว +4

    Yuko vzr sana

  • @alloycejames5285
    @alloycejames5285 11 หลายเดือนก่อน

    Kwenye kazi magu was wonderful

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 5 ปีที่แล้ว +3

    Nyoosha kabisa Baba Jesca watakuelewa tu

  • @saifysaid7556
    @saifysaid7556 5 ปีที่แล้ว +4

    Mama anakwambia mm naweza haraka haraka

  • @smkinuthia6094
    @smkinuthia6094 5 ปีที่แล้ว

    Powerful President no-nonsense. Why can Uhuru stand like this man and act instead of just talking.

  • @stephanokanyika6321
    @stephanokanyika6321 5 ปีที่แล้ว +2

    Piga kazi baba magufuri

  • @amazingswahili5025
    @amazingswahili5025 5 ปีที่แล้ว +6

    This is my president!

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 5 ปีที่แล้ว +11

    Inabidi nicheke mpigieni au hamtaki🤣🤣🤣😂😂😂

  • @mamymamiza2924
    @mamymamiza2924 5 ปีที่แล้ว +2

    Yani rais nakupenda mpaka naumwa mungu akupe afya

  • @erickmkwera2784
    @erickmkwera2784 5 ปีที่แล้ว +2

    Magufuri kiongozi bwana

  • @daudijohn5650
    @daudijohn5650 5 ปีที่แล้ว +3

    Diwani yuko vzur sana

  • @renatuskailole9568
    @renatuskailole9568 5 ปีที่แล้ว +5

    Kazikazi wabongo mafisadi mtanyooooooka!!!!!!! Kubembelezana kwisha

  • @AllyJSingu
    @AllyJSingu 5 ปีที่แล้ว

    Asante mkuu ubarikiwe sana

  • @barakamwakapoma2702
    @barakamwakapoma2702 5 ปีที่แล้ว +3

    Safi sana raisi wangu

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 4 ปีที่แล้ว

    tungepata watu 10 kama former Prime Minister and minister for home affairs Agustino Lyatunga Mrema, duuh wangeshirikiana vizuri sana na Mh. John P Magufuli

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni4258 5 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana fukuza hadi kieleweke

  • @gililwise
    @gililwise 5 ปีที่แล้ว

    Wanawake tunawezaaa tupeni nafasi ya uongozi.hingera mama kwa kutuwakilisha vema.

  • @barakaathumani3481
    @barakaathumani3481 5 ปีที่แล้ว

    Hapa kazi tuuuuuuuu

  • @mamymamiza2924
    @mamymamiza2924 5 ปีที่แล้ว +5

    Hii ndio maana ya hapa kazi tu kubembeleza mwisho awamu zilizo pita piga kazi baba mambo ya kujimwambafai oyeeeeeeee maendeleo tunayaona🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @alfoncentabwa7133
    @alfoncentabwa7133 5 ปีที่แล้ว +2

    hakika rais wetu kaz unayo ngumu xana viongoz unaowateua wanajisahau xana

  • @micamathew6433
    @micamathew6433 5 ปีที่แล้ว +1

    Yaan watu wengine ni wakwamishaji kweli. Sasa na walaaniwe kisha watupwe mbali. Mana wao ni wanyama hawafai kukaa na binadamu wenye kumcha Mungu. Lkn kumbuka ufisadi ni dhambi.. Sasa nashangaa watu siku hizi hawamwogopi Mungu. Inanishangaza kweli.

    • @bakarshaban703
      @bakarshaban703 5 ปีที่แล้ว

      Nenda tanga korogwe vjijini kijj Cha mwenga hakna huduma ya umeme Wala afya mpaka elimu

  • @hon-mlenga
    @hon-mlenga 5 ปีที่แล้ว +10

    logistic President JPJM

  • @albertremmy3479
    @albertremmy3479 5 ปีที่แล้ว +1

    namuonea huruma sana huyu kamanda wa takukuru mkoa wa mtwara. najiuliza hivi kwamfano yupo hospitali kalazwa au yupo kwenye msiba afu anaskia habari hii dah! pole kamanda.

    • @msovietimjamaa3017
      @msovietimjamaa3017 5 ปีที่แล้ว

      Kweli ndgu

    • @oslonorway664
      @oslonorway664 5 ปีที่แล้ว +3

      alitakiwa awepo muwakilishi tuache siasa

    • @EK-kp2np
      @EK-kp2np 5 ปีที่แล้ว +3

      Albert Remmy Kunapokuwa na ziara ya mkuu wa nchi, kila mwakikishi wa eneo hilo anatakiwa kuwepo, kama ana udhuru anapeleka mwakilishi wake baada ya kutoa taarifa ya udhuru alionao

  • @halisiaisaya7832
    @halisiaisaya7832 5 ปีที่แล้ว +3

    Haya mie naweza haraharaka.

    • @slimjumakimambi2909
      @slimjumakimambi2909 5 ปีที่แล้ว

      Yani nilikuwa natizama comment kuna mtu kainyaka. Kumbe du umeinyaka nimecheka sana

  • @nyangimarwa3448
    @nyangimarwa3448 10 หลายเดือนก่อน

    Dah jamani pumzika kwa amani Baba

  • @Levimakokha-ch6id
    @Levimakokha-ch6id 3 หลายเดือนก่อน

    🙏🙏🙏🙏

  • @klaragreen7999
    @klaragreen7999 5 ปีที่แล้ว +1

    Mtanyooka mwaka huu..PUMBAVU

  • @venanceshija2025
    @venanceshija2025 5 ปีที่แล้ว +1

    Rpc Anataka kulia😂😂😂

  • @kiuwamhina2802
    @kiuwamhina2802 5 ปีที่แล้ว +5

    Wanaosema asiongezewe muda wakafie mbele ya safari cc wananchi tushamwongezea, wanataka wavivu na wezi tu serikali tumewashitukia tunamwongezea

  • @sharifaabdullah6825
    @sharifaabdullah6825 5 ปีที่แล้ว +3

    Magufuli kanyaga

  • @agneserasto9806
    @agneserasto9806 5 ปีที่แล้ว

    Hukweri rahis wetu Mpendwa tunakuona hunavyofanya jitiada zote hunazowapigania wananchi wanyonge kweri hunawapambania KI hushujaa

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 5 ปีที่แล้ว +1

    Duh mwaka wakazi tu. Papo kwa papo zawadi unapata

  • @ashurar2721
    @ashurar2721 5 ปีที่แล้ว

    Woyoooo maliza baba apa kazitu

  • @PeterbokemwitaMwita
    @PeterbokemwitaMwita 4 หลายเดือนก่อน

    Rip😢

  • @francismigongwa4146
    @francismigongwa4146 3 หลายเดือนก่อน

    Rip mh JPM

  • @princessaidal1130
    @princessaidal1130 5 ปีที่แล้ว

    Magufuli hakikisha unafika Kagera hasa wilaya ya Ngara kuna ushenzi usioelezeka

  • @mustafaabdallah822
    @mustafaabdallah822 5 ปีที่แล้ว +1

    Pita kibaigwa kongwa

  • @Hm-gb6wg
    @Hm-gb6wg 26 วันที่ผ่านมา

    2,025 ✅

  • @ommarymgeni1536
    @ommarymgeni1536 5 ปีที่แล้ว

    bab piga kazi tunakukubali nenda hata kondoa ukawatumbue wamezidi sanaaaa sanaaa

  • @humayduwe1762
    @humayduwe1762 5 ปีที่แล้ว +1

    Mama umechomoa betri

  • @BaloMega
    @BaloMega 5 ปีที่แล้ว

    ABUSIVE OF POWER!!

  • @geofreygkivamba9110
    @geofreygkivamba9110 5 ปีที่แล้ว

    Jumaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @moranilesoile9125
    @moranilesoile9125 5 ปีที่แล้ว

    Njoo manyara mh jpm raisi wa wanyonge

  • @uledimtumwa2406
    @uledimtumwa2406 5 ปีที่แล้ว +1

    Kazi ipo

  • @abuuashyam8417
    @abuuashyam8417 5 ปีที่แล้ว

    Jamani sheria na huruma,hatakuulizwa kama anaumwa au kapata zarura ganiii ya kwanini hajakuwepo,aaaaa,hii sasa toomuch

    • @athumanikhalid216
      @athumanikhalid216 5 ปีที่แล้ว

      Angetoa taarifa, kama ni kiongozi mwajibikaji!..

    • @abuuashyam8417
      @abuuashyam8417 5 ปีที่แล้ว

      @@athumanikhalid216 hapana ubinaadam kwanza umuulizie japo kwasimu,

    • @pascalwissi4805
      @pascalwissi4805 5 ปีที่แล้ว

      Pia tukumbuke Magufuri hakurupuki, lzima ktk ziara hii yote ana taarifa za.huyo mtu.

  • @fredymjindoseverine1280
    @fredymjindoseverine1280 10 หลายเดือนก่อน

    RIP

  • @saidymkariboymkariboy3330
    @saidymkariboymkariboy3330 5 ปีที่แล้ว

    hii ndo awamu ya tano bwana5

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 5 ปีที่แล้ว

    Asiyekupenda lazima atakubali tu.

    • @fatumalema3891
      @fatumalema3891 5 ปีที่แล้ว

      Njoo Kilimanjaro rais wa wanyonge

  • @leonardjohnson2058
    @leonardjohnson2058 5 ปีที่แล้ว +1

    Kwan aliechukua korosho ninan????? Siasa hizi

    • @ngakayukadogo8475
      @ngakayukadogo8475 5 ปีที่แล้ว

      Leonard Johnson itakuwa hujaelewa,korosho zilibebwa na serikali na pesa ikatolewa hao waliotajwa wakazipiga ndio maana wanadaiwa, sijui siasa inaingiaje hapo mzee

    • @leonardjohnson2058
      @leonardjohnson2058 5 ปีที่แล้ว

      Ngakayu Kadogo kwa hyo bunge la mwisho wazir alitudanganya??

    • @travelwaka770
      @travelwaka770 5 ปีที่แล้ว +1

      Hilo ni deni la mwaka 2017 hizo korosho zilinunuliwa na vyama vya ushirika sio serikali

  • @britonngale6644
    @britonngale6644 5 ปีที่แล้ว

    Magu wape adabu hao

  • @Hassan-ot1mc
    @Hassan-ot1mc 5 ปีที่แล้ว

    Njoo wilaya ya muheza Tanga

  • @xelinerparis7365
    @xelinerparis7365 5 ปีที่แล้ว +3

    Yan siku nikiteuliwa ntalia kilio cha kisulisuli

    • @shadrackjoseph5831
      @shadrackjoseph5831 5 ปีที่แล้ว

      Eee mwenyezi mungu mjalie rais wetu aishi miaka mingi zaidi duniani, aongoze inchi yetu miaka 30 kama katiba itaruhusu

    • @tedymwandara5480
      @tedymwandara5480 5 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂

  • @SaidSaid-cs7mm
    @SaidSaid-cs7mm 5 ปีที่แล้ว

    Mikutano ufanye pekeako daaaa 😄

  • @symonfx1995
    @symonfx1995 5 ปีที่แล้ว

    Jamaa mpaka akatoke madarakani naamini baba yangu nae atakua ameteuliwa kua kamshina pia

    • @gauligunga9516
      @gauligunga9516 5 ปีที่แล้ว

      Mungu anamakusudi na Tanzania kwa kumleta mtumishi wako rais Magufuli

  • @ancomagu9025
    @ancomagu9025 5 ปีที่แล้ว

    WATANZANI SISI TULIVYO UWA TUNASIFIA WAKITOKA MADALAKANI

    • @ancomagu9025
      @ancomagu9025 5 ปีที่แล้ว

      @fortnite beast yani hata sierewi

  • @florakankutebe3987
    @florakankutebe3987 5 ปีที่แล้ว +1

    Nakuelewa sana kiongozi wetu

  • @salumnassor3845
    @salumnassor3845 5 ปีที่แล้ว +2

    Naskitika kwa nini tokea mwanzo sikumpenda hyu mzee

  • @Nuruchoir
    @Nuruchoir 11 หลายเดือนก่อน

    Jmn

  • @africanhappyadventure6951
    @africanhappyadventure6951 5 ปีที่แล้ว

    Haws ndio Viongozi wakipewa kueleza Matatizo ya Wananchi wanaeleza Vizuri sio Wale Wajinga wajinga Kusifia sifia wakati wananchi wanaishi kwa SHIDA..

  • @evodiushenerico2497
    @evodiushenerico2497 5 ปีที่แล้ว +2

    Wew ndo jembe letu

  • @kwesinjoku8940
    @kwesinjoku8940 5 ปีที่แล้ว +1

    This president a whole joke 😤

  • @barakamweta9958
    @barakamweta9958 5 ปีที่แล้ว

    Kweli,hata Tanesco ukilitimba umejaa wanasinzia sana,wanasumbua kutoamita,fukuza wamezidi,wanadharau sana,fukuza wote,toa kabisa

  • @fauziaabeid3751
    @fauziaabeid3751 5 ปีที่แล้ว

    firimoni mboe

  • @tanzania_education_theatretz
    @tanzania_education_theatretz 5 ปีที่แล้ว +1

    You can't read in a dream because reading and dreaming are functions of different sides of the brain, which don't cooperate while dreams

  • @eddyphonce2287
    @eddyphonce2287 5 ปีที่แล้ว

    Duh,

  • @Sedouf
    @Sedouf 5 ปีที่แล้ว

    Rais asiyejuwa hata jina la kijiji alichofikia,hii ni kali.Rais anayemfukuza mtu kazi hadharani kwa kosa la kutokuwepo kwenye mkutano bila ya rais kujuwa sababu gani iliyomfanya huyo mhusika kushindwa kuwepo hapo.Ama kweli mmepata rais jiwe ,

    • @fortidasfidell2681
      @fortidasfidell2681 5 ปีที่แล้ว

      Asante sana mkuu wa nchi ya Tanzania.

    • @YassinYassin-vw2zb
      @YassinYassin-vw2zb 5 ปีที่แล้ว

      Unataka hapa ujuwe sababu ipi wewe unafaham bosi wako anakuja halafu unatoroka nikwamba siyo mchapa kazi kwani siangeacha muwakilishi wewe ndiyo huelewi taratibu zakikazi hongeara sana rais wetu

    • @zuberiramadhani5062
      @zuberiramadhani5062 5 ปีที่แล้ว

      ama kweli rais tumepata

  • @francejoseph8741
    @francejoseph8741 5 ปีที่แล้ว

    Wataelewa walizohea kula to na kulala

  • @simonsadala2386
    @simonsadala2386 5 ปีที่แล้ว

    Shkamooooooooooo Mh Rais hahahaaaaa