ITAKULIZA! ALIYEKUWA MFANYAKAZI BENKI APEWA KESI ya KUMBAKA HOUSE GIRL, APOKONYWA MALI ZOTE na MKEWE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 13 เม.ย. 2023
  • ITAKULIZA! ALIYEKUWA MFANYAKAZI BENKI APEWA KESI ya KUMBAKA HOUSE GIRL, APOKONYWA MALI ZOTE na MKEWE...
    Simulizi ya kusikitisha ya Mohamed Kipa mfanyakazi wa benki aliyesingiziwa kesi ya kumbaka mfanyakazi wake wa ndani mkewe kuchukua mali zote alizokuwa anamiliki...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

ความคิดเห็น • 406

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  ปีที่แล้ว +5

    BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ0bE75nzavlm

    • @shebbymusic6224
      @shebbymusic6224 ปีที่แล้ว

      Habar

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 ปีที่แล้ว

      @@shebbymusic6224 N nzur

    • @agnesssimon3976
      @agnesssimon3976 ปีที่แล้ว

      Mahakama zetu zinatuumiza Kila Leo jamani hizi haki zetu yutapewa na nani?

    • @agnesssimon3976
      @agnesssimon3976 ปีที่แล้ว

      Mungu lazima akulipie HAPA duniani

    • @OmarKhan-oz7om
      @OmarKhan-oz7om 2 หลายเดือนก่อน

      À11q​@@ayshamahariq6665

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 2 หลายเดือนก่อน +6

    Mungu atakulipia Dua ya Madhlum hujibiwa kwa haraka lakini kwa haraka urudi kwenye Dini yako kwa imani. Mnafanya mchezo kuoa na kubadilisha Dini. Fanyeni michezo yenu yote msicheze na Dini.

  • @mngwalijuma597
    @mngwalijuma597 2 หลายเดือนก่อน +5

    Rudi kwa mungu wako uliyoyafanya ndio.mungu anakulipa umeacha dini yko ya haki umesaliti kwa ajili ya mapenzi kwa tubu kws mungu wako akusamehe yote yatakua sw kwa uwezo wa allaah hukuwa na imani ya dini yako ya Uislam
    Pole san kakasngu

    • @princematumbo
      @princematumbo 2 หลายเดือนก่อน

      Hata hastahili pole mshenzi huyu

    • @PaulinaSemindu-ob3de
      @PaulinaSemindu-ob3de 13 วันที่ผ่านมา

      Eti dini ya haki khaaa😂😂😂 hv kuna dini ya haki Zaid y Imani yako ww na Mungu wako

  • @user-xh7xf2ki3r
    @user-xh7xf2ki3r 2 หลายเดือนก่อน +2

    😭😭😭 Subhana Allah baba umeniliza sana mali ulochuma wewe leo zinakutesa pole sana kwa dhati ya moyo

  • @marthashenenga9076
    @marthashenenga9076 ปีที่แล้ว +3

    Mungu akusaidie baba angu uyo mwanamke aliyezaliwa na mwanamke muachie Mungu Sali moabidhi Mungu Kila kitu. Utakuja kumshuhudia na wale mashahidi wa uwongo wote utawashuudia amini ilo. Kwa Mungu haki zote zimeifadhiwa baba.

  • @zuwaynamussa5629
    @zuwaynamussa5629 2 หลายเดือนก่อน +2

    Sijawah kumuona baba angu sijawah feel ulebupondo wa baba ila hii stor ya huyu mzee imeniliza sana wallah

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ila mapenz yakiisha jmniiiiiiiiii 💔😢😢
    Pole sana Mzee ukwel wako anaujua Mwenye enz Mungu ila tu nikwambie dunian kupata haki ni ngumu mtegemee Mungu tu mali ni kitu cha kupita tu Bora uhai wako

  • @shanifesto9037
    @shanifesto9037 ปีที่แล้ว +13

    Pole sana babangu,,mwenyezi mungu anajibu kwa wakati na malipo yake ni hapa hapa dunianj,,mungu atakusaidia ,,utapata haki yako,,dahh so sad kwa kweli

    • @jumanesaidi7635
      @jumanesaidi7635 2 หลายเดือนก่อน

      Masikini mama Tz, nimeumia sana.
      Wanao tumeshafika hapo! Ziko wapi zile sifa zako za amani na utulivu, ambavyo ni asili, na jadi yako? Uko wapi moyo unaweza kuvumilia dhuluma, na ukatili kama huu, na bado tukabaki ndugu, kama ulivyotulea?

  • @deliriousgentleman7369
    @deliriousgentleman7369 ปีที่แล้ว +4

    Mshitakie kwa Mwenyezi Mungu. Ataku tetea

  • @salehrajab8341
    @salehrajab8341 ปีที่แล้ว +2

    Ifike wakati tuwe tunautambua uwepo wa mungu ktk maishayetu ili tusipate ujasir wakunyanyasa watu jmn hiidunia niajabu sana

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi118 ปีที่แล้ว +6

    😢😢😢malipo duniani atalipwa tu uyo mwanamke kwa njia yoyote

  • @azizaaziza7996
    @azizaaziza7996 ปีที่แล้ว +5

    Mungu atamlipa hapa duniani

  • @user-xh7xf2ki3r
    @user-xh7xf2ki3r 2 หลายเดือนก่อน +1

    😢 Subhana Allah pole sana baba Allah atakulipia kwa hili dhulma alokufanyia huyo mwanamke mpumbavu sana

  • @eastafricaqualitychickenfa9916
    @eastafricaqualitychickenfa9916 ปีที่แล้ว +4

    Mungu atalipa chozi la Mnyonge halipotei bure Ila mzee kosa kumkabizi mali Asimamie mwanamke

  • @suleabdullah2247
    @suleabdullah2247 ปีที่แล้ว +3

    Kama hawajafa wote hao dhulmati watalipwa mmoja baada ya mmoja.Hizi ndizo mahakama zetu na watoa haki wanaotegemewa,pepo ya Mungu nahisi haitakua na hawa watu wanaoitwa watoa haki.
    Vuta subra Mzee Mungu halali utauona mwisho wewe amka kila usiku wa manane kilio hicho kibadilishe kuwa ibada mlilie Mungu atakujibu kwa namna bora

  • @dennishyera5448
    @dennishyera5448 2 หลายเดือนก่อน

    Hatari sana, Kumbe ni kweli watu husema, raia wa kawaida usioe polisi, utajuta. Baba ukiweza hama usiishi nae jirani anajambo huyo. Mungu awe nawe.Glory be to God.

  • @fikirinimahamudu6488
    @fikirinimahamudu6488 ปีที่แล้ว +1

    Sheria Iko wap inakanyagwakanyagwa tu tutaishi wapi ss kama mahaka hazitoi haki?? Pole Sana Mzee wangu mm ushauri wangu kashtaki msikitini kwaidadi ya misikiti utayojaghaaliwa kutoa taarifa ifanyike Dua ya wengi hakika mwenyezi mungu ndie mjuzi 😢😢 naamini lolote laweza kutokea jema kwako wabillah twaufiq

  • @sein.208
    @sein.208 ปีที่แล้ว +2

    Subhana Allah
    Astaghafirullah
    Pole sana baba
    Allah ni mjuzi zaidi haki yako haitapotea

  • @djumakadege659
    @djumakadege659 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mzee ulikosea kosa kubwa sana la kubadilisha dini !
    Hayo yote yanayo kukuta ni kwa sababu ya kubadili DINI.
    Fanya shime kurudi kwenye dini yako.
    Koran haikucha kitu kwa hao manaswara.
    Umeyataka mwenyewe kwa hiyo basi usimuombe msaada Raisi wala mtu yeyote.
    Muombe sana MwenyeziMungu peke yake .
    MwenyeziMungu akunusuru inshaallah.

    • @alfoncejohn2104
      @alfoncejohn2104 2 หลายเดือนก่อน

      Mawazo yako tu

    • @evelynlehnard3928
      @evelynlehnard3928 2 หลายเดือนก่อน

      Dini hizi mbili ni utumwa wa akili..ni wengi wamepitia mambo mazito zaidi na hakuwa wamehusika na dini yeyote..wengini wako kwa dini zao wamefata kikamilifu na bado wamekuwa au wako kwenye mapito mazito sana. Hebu waafrika tujinasue kutoka kwa utumwa. Utumwa ulianza na waarabu halafu wakafata wazungu na moaka leo hatujiulizi kwanini sisi tunafata dini za watu ambao walikuja watukuta kwetu tukiwa tunamjua Mungu. Pili hakuna bara lingine duniani ambayo inaafata dini ya kuletewa. TULILOGWA NA NANI SISI ??

    • @user-jn7tr8ei5n
      @user-jn7tr8ei5n 2 หลายเดือนก่อน

      We kama huna unalo liwaza nibora upite tuu

  • @sawackoswald9322
    @sawackoswald9322 ปีที่แล้ว +2

    Hata juzi mwezi huu April tarehe 27 kunajamaa amefanyiwa ivi ivi na mwanamke Polisi wa pale Songea mjini nanipolisi pia sijui hizi Mali za hii Dunia zitawapeleka wapi Hawa watu WP wajitafakari sana Jamani jamani Mungu wa Mbinguni anawaona tafuteni ya Mungu hii dunia mtaaviacha vyote chini ya ulimwengu

  • @azizacherepa3979
    @azizacherepa3979 ปีที่แล้ว +3

    Imeniuzunisha sana jamani pole sana baba yangu Mungu akutie nguvu ww mama kua na huruma vitu vya kupita hivyo

  • @bokaiddi2961
    @bokaiddi2961 ปีที่แล้ว +3

    Pole sana mze wangu changamoto za wanawake zimekuwa nyingi sana ila inauma sana da😭😭

  • @asiasalim9323
    @asiasalim9323 ปีที่แล้ว

    Subhana ALLAH, Pole Sana kakangu ALLAH atakulipia, ila mwanamke mwenzangu ubabe hauna nafasi katika hii dunia yataja kukutokea puan hayo

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 2 หลายเดือนก่อน

    Duh mateso Pole sana kaka Hongera kwa ustamhimirivu MashaAllah.

  • @martinlema4192
    @martinlema4192 2 หลายเดือนก่อน

    Pole sana! Nguvu za giza zipo, pole sana. Jitahidi ufanye maombi!

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda2773 ปีที่แล้ว +1

    Uwiiii leo umenifundisha kitu kumbe kuoa hao watu ni hatari.😢😢😢😢eeeeh jamani yaani MUNGU ASIMAME MWANADAMU ASIPATE NGUVU.

  • @maryikambo6155
    @maryikambo6155 ปีที่แล้ว +1

    Pole kaka Mungu si kiziwi na wala hana upendeleo na haonei mtu. Ila anatwambia adui yako mwombee, maana kwa kufanya hivyo unampalia makaa ya moto kichwani.

  • @OnesmoDenis
    @OnesmoDenis 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbuken dunia tunapita tu namali siyo zetu vyote ni maua ya mwenyezi mungu nass anatutumia tu kuvitafuta na kupendezesha dunia yake pea anaweza kuvichukua akiamua hivyo we mama uszan utajir unaolilia niwa muhimu kuliko ubinadam

  • @humphreymkony8915
    @humphreymkony8915 ปีที่แล้ว +8

    Hili ni fundisho kwa vijana wa kiume ambao hamjaoa: ogopeni kuoa Wanawake ma Polisi. Hawa wanafaa waolewe na ma Polisi wanaume.

    • @d15355
      @d15355 ปีที่แล้ว +1

      kwanza ukitaaka stress oa hao askari kwani si mkeo peke yake hadi mabosi zake watakulia maana kule ni amri tu hawakataagi

    • @yohanakananika3586
      @yohanakananika3586 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@d15355hamnakitu kama hicho hakuna amri kwenye mambo hayo

  • @verryinyas5065
    @verryinyas5065 ปีที่แล้ว +2

    Mungu n mwaminifu pole sana baba Mungu yupo amesikia kilio chako serikal itakusaidia pia huku tulioguswa tunakuombea kila kitu kutakuwa Sawa Mungu n mwaminifu na Ndio maaan kila kesi hakupati anavyotaka yeye uwee dah uyo mama atapata alichokivuna Mungu yupo haki ya Mungu naapa utapata haki yako 🤲🙏

  • @yasintajohn1189
    @yasintajohn1189 ปีที่แล้ว +2

    Jaman Sisi wanawake tufike Mahal tubadilike jaman sad kwakwel .... huko uliko Mungu ana kuona

  • @aliferuzi1537
    @aliferuzi1537 2 หลายเดือนก่อน

    Pole Sana bro ndio maisha ila muombe mungu Nina hakika hski HAIPOTEI RUDI ktk Imani ya dini ULIOKUWA MWANZO nnina hakika kazi itakua ngumu kwake

  • @user-fh7wu8vx1y
    @user-fh7wu8vx1y 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mrudie mungu wako
    Umemkosea ALLAH

    • @princematumbo
      @princematumbo 2 หลายเดือนก่อน

      Anastahili kabisa yalomfika, mshenzi sana

  • @bupemwakihaba-lj2fb
    @bupemwakihaba-lj2fb 2 หลายเดือนก่อน

    Pole baba mungu yupo hivyo ni vitu vya duniani vyote tutaviacha,,mungu wako yupo

  • @elizabethismile6827
    @elizabethismile6827 ปีที่แล้ว +1

    Magu angkuepoo jmnii ungeskia naomba uyu baba asikilizwe 😢 uwiii kun watu wanakuag Yan kam vile hawan moyo kabsa uwiii maskinii jasho lako linakuangamiza🙌🙌

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 ปีที่แล้ว +4

    Mwanamke ana roho mbaya dah 😢😢

  • @bashirbaruan3969
    @bashirbaruan3969 ปีที่แล้ว

    Huyu mwanamke ni zaidi ya ibilisi aise, Hana utu wala khofu ya mungu hata kidogo mungu amlipe anachostahili hapa hapa Dunia kwanza

  • @saleemadhiyabalkhatri7800
    @saleemadhiyabalkhatri7800 ปีที่แล้ว +3

    Kaka hakiyako iko tu haitapotea mungu atasimama nawewe daima dhulma haidumu itamtesa tu

  • @evalineemmanuel8178
    @evalineemmanuel8178 2 หลายเดือนก่อน

    pole sana baba Mungu atamuhukumu hapa hapa duniani namachozi yako hayatapotea

  • @bahatijanvier6357
    @bahatijanvier6357 ปีที่แล้ว

    Pole sana mzee, ukikosea kuoa ndio hivo
    Wanaume tujifunze.....

  • @mchelekwanza
    @mchelekwanza ปีที่แล้ว +3

    Pole sana baba

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 9 หลายเดือนก่อน +2

    Hapa duniani tunapita
    Mwachie mungu huyo mwanamke yatamkuta dhuruma mbaya mwanamke kaudhu mkavu kweli kweli

    • @zayumar2955
      @zayumar2955 2 หลายเดือนก่อน

      Yaniii utadhan hajazaa nae😢😢

  • @brendangabriel1643
    @brendangabriel1643 ปีที่แล้ว +1

    Bw. Kipa, kama nyumba za Dodoma na Morogoro zipo upande wako, basi muachie cho chote anachogombea.
    Ishi kwa kutegemea hizo nyumba 2. Mali ni ya dunia hii, haitamsaidia, ina machozi ya kweli. Muombe Mungu akupe uzima tu na uhame msionane na hilo jambazi. Muachie hiyo mali, wala haitafika saa 12, utakuwa umepata matokeo. Narudia tena muachie hiyo HAKI yako aimeze iwe ndoano kooni.

  • @nassorowaziri3076
    @nassorowaziri3076 ปีที่แล้ว +1

    Pole Sana Kaka Mungu atakufuta machozi yako na pia tuko wengi wenye matatizo kama yako

  • @tausishabani263
    @tausishabani263 ปีที่แล้ว

    Pole baba malipo Ni hapa hapa duniani kwa mungu Ni hesabu tu muombe mungu na umlilie atamlipa

  • @user-ju4mi1qx5b
    @user-ju4mi1qx5b 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hatusikii sauti iko juu sana ya mziki

  • @dominickjohn1128
    @dominickjohn1128 ปีที่แล้ว +2

    Kama ni kumuua ungeshamuua siku nyingi sana lakn Mungu ana makusudi umefanya la maana kujitenga naye!!wanaume tunapitia mengi sana lkn hakuna wakisikiliza wanawake wamepewa nafasi ya kusikilizwa kuliko kitu chochote

  • @Moshiarusha360
    @Moshiarusha360 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wapo wanawake wengi wananyanyasa wanaume ,wanaume wamedhuliwa wamenyangajywa watoto na hawana pakukimbilia

  • @imagepower3641
    @imagepower3641 ปีที่แล้ว +2

    Pole mzee mwenzetu, ulikuwa unaishi na jini mtu

    • @HellenKerubo-mo9vh
      @HellenKerubo-mo9vh ปีที่แล้ว

      Hoo I'm so so sorry but it seems that the man is old than the wife , but mey God be with you

  • @victoriakiwanuka5428
    @victoriakiwanuka5428 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana baba Mungu atamlaani

  • @JoyceYohana-y7i
    @JoyceYohana-y7i 25 วันที่ผ่านมา

    Pole sana

  • @user-up2kg1wm9p
    @user-up2kg1wm9p 2 หลายเดือนก่อน

    Polee
    Sanaaa kaka mpakachozi limenitoka naomba serekali kuu imsaidiee huyu baba

  • @jonaspatrick2871
    @jonaspatrick2871 ปีที่แล้ว +2

    Nimepitia mengi sana na hawa wanawake ndio maana sitaki hata kusikia kitu kinachoitwa ndoa, Mungu anisamehe na namshukuru kwa kunipatia watoto hiyo tosha kabisa kwangu. Kwa kizazi hiki ndoa ni ngumu sana.

  • @sizalyimo8468
    @sizalyimo8468 2 หลายเดือนก่อน

    Duu Pole sana kaka kipa nimefanya kazi na wewe delina na kiasi mapito yako nayafamu Pole kaka yangu nimelia sana

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 หลายเดือนก่อน

    Uyo mama mwenyezi mungu ampe maradhi ambayo yatamfanya ajute kwa upumbavu na tamaa alizo zifanya Kama hatakufa vile?

  • @zuhuramussa3996
    @zuhuramussa3996 ปีที่แล้ว

    Pole sana kaka Mungu atakusaidia

  • @namumlaki9838
    @namumlaki9838 ปีที่แล้ว

    Mwenyezi atakufanyia wepesi uyo mama akae akijua Dunia hii tunapita atapigwa na mungu mwenyewe siku isiyokuwa na jina

  • @shimbaalex8837
    @shimbaalex8837 ปีที่แล้ว +1

    Mzee una uvumilivu sana sana ni wanaume wachache sana wanaoweza kuvumilia hayo.Huyo mama hata kazini kwake ana matatizo

    • @agnessamma4669
      @agnessamma4669 ปีที่แล้ว

      Pole Sana Baba Mungu atakusimamia hayayote yatapita usiogope Mungu atkua upande wako Sheria duniani haki kwa Mungu

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 ปีที่แล้ว

    Pole Sana baba

  • @aminaabdalla9949
    @aminaabdalla9949 ปีที่แล้ว +1

    Hayo machozi unayotoa yatalipa baba mueke mungu mbele 😭😭😭😭

  • @joanesasalavaleriano9980
    @joanesasalavaleriano9980 ปีที่แล้ว

    Dah pole sana baba yangu , hila wewe ungekua Kama babayangu tungeenda kumkata shingo kwa mganga tu NDIO sul🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇲🇿🇲🇿

  • @gloriamsaki9109
    @gloriamsaki9109 ปีที่แล้ว +4

    Pole Sana.wanaume mkipata fedha fanyeni mambo yenu wenyewe.Wanawake wamezoea kutawaliwa na kumilikiwa.mwanamke anapenda kutumia vya mwanaume Ila akiwa na uwezo kuliko mwanaume lazima amnyanyase

  • @mngwalijuma597
    @mngwalijuma597 2 หลายเดือนก่อน

    Ulichokikosea jamaa yangu kwanza kumkana mungu.wako kuritadi ndio.chanzo cha mitihani yko kwa hiyo allaah amekulipa

  • @princesschii4090
    @princesschii4090 ปีที่แล้ว +3

    Dah inahuzunisha sana....

  • @maryamudunga1094
    @maryamudunga1094 ปีที่แล้ว +3

    Subhanallah wanaume muagaliaga wanawake wakuowa tatizo mnafagamia wanawake

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 ปีที่แล้ว

      Mnafanana wote..wanaume tuko wakati mgumu..kuoa mwanamke wa kufaa mama watoto ni game of chance.. nafasi kubwa za utawala TZ mnazo, bado mnadai upendeleo.. Nampa pole huyu shujaa..ndiyo,ni ushujaa kutoka hadharani kueleza hayo

    • @leonardbrown181
      @leonardbrown181 ปีที่แล้ว

      Dah! Wanawake!!!

    • @maryamudunga1094
      @maryamudunga1094 ปีที่แล้ว

      @@josephlorri431 we usitujumuishe kwenye ujinga kwahiyo unataka kusema tz hakuna wanawake tulokuwa natabia nzuri

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 ปีที่แล้ว

      @@maryamudunga1094 njoo nikuoe ila mpaka boksa zangu nitaandika majina ya ndugu zangu

    • @user-ew4qf9ud4v
      @user-ew4qf9ud4v 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@Pedeshee01. Hufai kuoa kaa mwenyewe uoe alafu akili inaishi na nduhuzo kaa na ndugu zako inayosha

  • @amiribakari2528
    @amiribakari2528 ปีที่แล้ว

    Kaka endelea kuomba mungu..iko siku utayasahau hayo.maana mungu wa sasa iv ni kijana..pole sana ndio maana wengine wanauwa

  • @user-ji3yb4lm7u
    @user-ji3yb4lm7u 29 วันที่ผ่านมา

    Kaka kumbuka kosa ulilolifanya HAPO mwanzo umekosea MUNGU Rudi KWA MUNGU WAKO NA UMUOMBE MSAMAHA KWANI ULIMUACHA MUNGU WA KWELI UKAPOTEA NJIA SASA TUBU KWANZA KISHA ANZA UPYA KAMA NABII ADAMU ALIMWOMBA MSAMAHA MOLA MLEZI NA ALIMSAMEHE NAWE PIA ULIIFURAHISHA NAFSI HAYO MATOKEO

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 ปีที่แล้ว +5

    Siokila mwanamke anafaa kuwa mke watu wasio Jua wajifunze

    • @upendogreutert199
      @upendogreutert199 ปีที่แล้ว

      Asante Kama una ufahamu wa hili Broo 👍

    • @michaelsamson9663
      @michaelsamson9663 ปีที่แล้ว

      @@upendogreutert199 mzee analia kama mtoto mateso aliyo pitia

    • @judicalosika7642
      @judicalosika7642 ปีที่แล้ว +1

      Hakika wengine wanaoa LAANA WEZI MAJAMBAZI kabisa

  • @zuleyvendor6577
    @zuleyvendor6577 ปีที่แล้ว +4

    Aisee ndio mana unaambiwa fear woman

  • @johnsonbagambi1908
    @johnsonbagambi1908 ปีที่แล้ว

    Pole sana mzee

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka ปีที่แล้ว

    Pole sana ulikosea kuoa mke mwenye tamaa mbaya sheria ifate aki

  • @ankoanko-zz7it
    @ankoanko-zz7it 2 หลายเดือนก่อน

    Bro polesana

  • @faizaboubacar5064
    @faizaboubacar5064 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana babu angu

  • @ireneassey2022
    @ireneassey2022 ปีที่แล้ว +3

    Pole baba Haki yako utaipata tu

  • @zainabubalama8869
    @zainabubalama8869 ปีที่แล้ว

    Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi upate haki zako.huyo mkeo na Mamba mla Watu

  • @GerladSimon-me3sc
    @GerladSimon-me3sc 2 หลายเดือนก่อน

    Duuuuuh kunabaadhi yawatu nikatili sana. Mshukuru mungu uko hai kaambali nahuyo mwanamke

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 ปีที่แล้ว

    Mungu ataingilia kati haki itapatikana inshallah

  • @janetchinga695
    @janetchinga695 ปีที่แล้ว

    Usilie kaka mungu atakusaidia uyo nishetani mukumbwa sio muntu na atataja kilakitu alichokifanya pole sana

  • @kassimally-zu3dz
    @kassimally-zu3dz ปีที่แล้ว

    Mungu atalimpa mzee wangu kua na aman pole sana

  • @fatuma5208
    @fatuma5208 ปีที่แล้ว

    Pole.sana.kaka

  • @abbtsa3060
    @abbtsa3060 ปีที่แล้ว

    Pole mzee hao ni wanawake na umefanya makosa sana kumwamini huyo mwanamke

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 ปีที่แล้ว +1

    Ndiyo maana watu wa zamani walikuwa wanapeleleza kwanza familia unayoenda kuoa au kuolewa je wana utu?????

  • @extramileage6881
    @extramileage6881 ปีที่แล้ว +1

    Ndyo maana hata m/mungu hakumpa hata uongozi mwanamke na akasema tuishi nao kwa akili jamani😭😭😭😭😭😭

    • @anastaziamathias8861
      @anastaziamathias8861 2 หลายเดือนก่อน

      Huyo Rais wako NI mwanamume? Acha upumbavu mwanamke kapewa uwezo mkubwa mnooo ndo maana anabeba mimba anazaa na anamuongoza mwanae kuzungumza na kujua kila kitu

  • @mwanaidimwinyi844
    @mwanaidimwinyi844 ปีที่แล้ว

    Dah Mungu wa mbinguni akupe nguvu baba huyo mama hakukupenda alipenda Mali zako inauma kwakweli hakika ni bora ukosee kujenga nyumba kuliko mke au mume Allah atujalie tukutanae na watu watakaotupenda kwa dhati

  • @stanleymhozi7590
    @stanleymhozi7590 ปีที่แล้ว

    Pole mzee

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 ปีที่แล้ว +1

    Jamani inauma pole sana kaka

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 ปีที่แล้ว +6

    Pole sana mzee wangu inshallah Mungu atakufanyia wepesi utapata haki yako

    • @d15355
      @d15355 ปีที่แล้ว +2

      Allah hamfanyii wepesi wowote hapo ndio anauonesha yeye ni nani, yeye si alimkana sasa ndio anamwonesha kwa kuutoa ulinzi wake kwake na kumwacha aone uhalisia wake kuwa huko alikokimbilia ni kwenye zizi la simba na kilichokuwa kinamlinda siku zote ni ile dini yake ndio maana alipobadili tu dini na kumwoa shida ikaanzia hapo sababu ulinzi haupo teena yuko exposed to danger.

    • @zainabamri2421
      @zainabamri2421 ปีที่แล้ว

      Pole sana Kaka yangu. Allah atakulipia. Jasho la mtu haliendi bure. Najihusia na nakuhusia Dada Rehema uwe muungwana umezaa watoto ya huyo mumeo umembadilisha dini malipo yatakurudua kwa watoto wako. Msalie Mtume SAW. Muongope Mola wako. Mwachie nyumba na shamba. Mumeo asalimike ktk dunia. Laa mitihani mukubwa huu.

    • @anastaziamathias8861
      @anastaziamathias8861 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@d15355Mungu ni mmoja huyo Allah ndiye Mungu dini NI njia Tu ya kumjua Mungu Acha wazimu Mungu atamsaidia Mali c kitu hapa duniani Mungu atampa vingine vingi zaidi ya alivyopoteza

  • @saidakiwale9227
    @saidakiwale9227 2 หลายเดือนก่อน

    Jamani Roho inauma sana

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 9 หลายเดือนก่อน

    Pole bb hilo chixi unalolitoa mungu atakulipia

  • @sadakombo-li7yi
    @sadakombo-li7yi 2 หลายเดือนก่อน

    Mama samia suluhu hasan nakuita ×3 tunakuomba kwa heshima yako na kwa upendo wa mungu umsaidie huyu baba kuweza kufanikiwa haki yake ipatikane ni mimi mkizimkazi mwezio by sada mohd

  • @collincarlos7433
    @collincarlos7433 ปีที่แล้ว +1

    Hakim Mungu...HAO WOOOOTE HAWATAKUSAIDIA KWA LOLOTE...TOKA TU KAANZE UPYAAAA...BIBLIA INASEMA TUISHI NAO KWA AKIL...UCWAAMIN KAMWE

  • @ramadhanideu6444
    @ramadhanideu6444 ปีที่แล้ว

    Hasbiyallahu waneemal wakeeel

  • @makambamohamed3632
    @makambamohamed3632 ปีที่แล้ว

    Pole brother hawa askari depo huwa wanaenda kufundishwa manyanyaso Kwa raia

  • @amoonatnzani9834
    @amoonatnzani9834 ปีที่แล้ว +2

    Duuh Ndio maana yule mchezaji kila kitu kamuandika mamaake

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 ปีที่แล้ว

    Polesana mzee MUNGU yupo atakusaidia utavuka huumtihani hukujua kama ulimuowa shetani M/MUNGU atamuonesha kwa ubaya aliokufanyia

  • @user-xv1pj3wq5b
    @user-xv1pj3wq5b หลายเดือนก่อน

    Ndio myaone 😮mkiambiwa wananyanyasa wanaume mnawatetea imauma sana😮

  • @suleimankhamis8298
    @suleimankhamis8298 ปีที่แล้ว +1

    nakupongeza sana mwandishi kwa utulivu na umahiri mkubwa wa interviw hii

  • @naaalovee3910
    @naaalovee3910 ปีที่แล้ว +2

    Hiyo picha mnayoitumia ya huyo mwanamke hapo tuseme ndo house girl au?

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn ปีที่แล้ว

    Sasa ktka maelezo y huyu ndgu yangu, awali waliponunua shamba hakumshirikisha m/kiti wa kijiji? Na kwa hali hiyo hakupewa hati ya kijiji ya kumiliki shamba hilo? Hati hiyo ingemsaidia sana kama ipo. Kama nayo hana, kwa mwendo wa dhuluma ya dunia ya sasa,asitegemee huruma ila maumivu zaidi! Pole sana.

  • @nancyandrew9273
    @nancyandrew9273 ปีที่แล้ว

    So sad 😭