Tundu Lissu Amjibu Fatma Karume Sakata la "Ubaguzi"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 เม.ย. 2024
- Akihutubia wananchi wa jijini Dodoma Leo Aprili 29,2024, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu amemjibu Mwanasheria Fatma Karume aliyekosoa kauli za Tundu Lissu dhidi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa ni za kibaguzi wakati akihutubia wananchi wa Babati siku ya Ijumaa, Aprili 26, 2024 ikiwa ni siku ya maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru.
Kwa mara ya kwanza toka nianze kumsikiliza huyu jamaa,Leo nimemuelewa sana
Nakichwa kizito sana Leo tu
Umechelewa sana kumuelewa
Yaani tangu aanze hukuwahi kumwelewa? Basi kijani walikuwa wamekulevya sana
Lissu huwa unatwambia mambo ambayo yamejificha heko nyingi kwako
Ndugu Lissu nakuombea sana Mungu akulinde
Amina
@@masoudsalumAmina sasna
Amlinde wakati anaongea pumba zake za ubaguzi vunjeni muungano
Amina
Hakika
Tundu lissu wewe ni zawadi Mungu katupa Watanzania Mungu azidi kumlinda GENIUS
Hapo amehusisha Tanganyika so zawad ya Tanganyika iyo
Mwehu tuu huyu. Hana jipya.
Hakika wewe ni Mbaguzi na siasa zako hazina nia njema kwa Watanzania.
Hahaha huyo lissi bado sanaa mtamkubali wachache kama nyinyi mnataka kugawa watu ili mfaidike kisiasa.
Na yule mbunge wa za
Mimi ni mazanzibar lkn hizi nchi ni mbili wasituchanganye hawa. Ccm waweke wazi hizi nchi mbili. Serikali ziwe tatu
Huna akili
Una miaka mingapi..? maana tusije kupoteza nguvu kumjibu mtoto kwa hoja. Nikupe home work. Nenda katafute, muungano wowote wa nchi mbili wenye serikali tatu. ukiupata utuambie
Lamuhimu hapo kila mmoja ashike 50 zake atuoni umuhimu wowote wa muungano pia upande wa Tanganyika kwa sasa unaathirika zaidi asa wananchi wake na tangia mzanzibar alipo kaimu kiti cha Marehem Rais Magufuli hoja alizo ongea Lissu zina mashiko makubwa Rai yangu 2025 tusifanye makosa watanganyika tuakikishe raisi ajae ni Mtanganyika acha neni na wapemba ao wanayo Nchi yao jamani watupishe 2025 Tanganyika kwanza
Mzanzibar lakini una mashamba morogoro Pumbavu. Huu muungano hauna mantiki yoyote kwa watanganyika.
Hatuutaki muungano sie Watanganyika labda uwe wa serikali tatu.
Kumbe tuna miaka ya uhuru na tanganyika na miaka 60 ya mungano
Uhuru wa Tanganyika ikifika 9 Desemba 2024 na Muungano ilipofika 26 Aprili 2024 ulitimiza miaka 60.
Mungu akubariki Mr tundu na akuongezeee miaka mingi ya kuishi ktk uso wa dunia
Najivunia kuwa MZANZIBARI❤❤❤
Hizo ni nchi mbili tofauti, hata kama.jimbo moja kwa kura moja.
Tundu Lissu.ameona abadilishe gia angani.
Kwa haya namuunga mkono Tundu Lissu. Mtanganyika hawezi kununuwa aridhi Zanzibar, lakini muzanzibari anaweza kununuwa aridhi popote Tanganika
Kwa hili Tundu lisu umeongea ukweli 100%
SAHIHI KABISA LISSU UNAYOYASEMA.
Shida uelewa hasa hawa mabumunda wa ccm Lissu yuko sahihi
Daah lisu nakuelewa ila kwa hili sipo na ww unakosea sana. Piganieni katiba, tumehuru ya uchaguzi nk vikipatikana hivi hayo ya ubaguzi yatakaa kando
Ukitulia na kuichambua kauli zake utamuelewa tu
Ungekuwa umemuelewa usingeandika hayo mengine mbele
Kweli mfamaji haichi kutapapata. Bado ni mjinga Sana Lissu. Mbona husemi Kama. Mnasema muungano wa nchi mbili Wabunge wawe sawa bungeni. Nyie mko wengi. ?
Lissu siyo njinga,na siyo mpubavu na siyo mbaguzi,na anacho kisema yuko sahihi kabisa,ila ninyi Viongozi wa roho wa madaraka mliokalia madaraka ndo mnaoziharibu baina za hizi nchi mbili?maana mnamuona Lissu km mwiba kwenu,wakati anawambia ukweli viongozi,na wtz kwa ujumla!!!!mnamuona Lissu km hayuko sahihi maana anawatomaso,lkn mjue kuwa haki haipotei ila inacheleweshwa tu,Kuna siku itakuja kutimilika tu,asanteni,ila viongozi kumbukeni kuwa Mungu yupo,na mbeba maono hafi mpaka yatimiye asanten
Lissu nakupenda sana kutoka moyoni hasa maana mungu kakujalia baraka zote. Nawaomba Watanganyika wote tuungane maana lissu katuamsha. Ney wa mitego nae alisha tuamsha kupitia wimbo wake wa Amkeni Wake up TANGANYIKA
Amen
Nilipokuwa TZ 1994 i was told mtu kutoka TZ bara you wanted a visa to visit Zanziber.
I really wanted to visit zanzibar for holiday niliposikia hivo and me us a foreigner nilidhani ni Country moja so i refused to Travel to zanzibar.
Nilikuwa nataka ku Travel na my friend from TZ bara.
Wanataka kuhamisha mjadala. Asiyemuelewa Lissu sio mzima.
I'm from Somalia, if you are complaining that the people of the islands are exploiting them, why are you on the mainland forcing the union. I say this because I follow the politics of East Africa a lot.
How did you know that is a complaint? This means you know the language. if that is the case, contribute to Swahili for the betterment of the viewers.
Because they are Muslims-99%. They can't let them go. Some of their political -Christian leaders talked about it publicly.
@@fredrickchenga😂😂
Accept the fact my friend. Don't be unnecesarily defensive @@fredrickchenga
@@fredrickchenga😂😂😂
TUNDU ANTIPAS LISU MMMH🙌🙌🙌 UKIONGEA NA HIKI KICHWA JIPANGE SN. NI ZAWADI KUTOKA KWA. MUNGU TUNAOMBA MLINDE UNATUFAFANULIA VITU VILIVYOJIFICHA
Wewe n zawad kutoka Kwa shetan
Tundu Lissu is a school of its own.
Halafu kuna hao washua wanaitikia in the background...wanafurahisha sana plus wanaonyesha elimu inawaingia haswaa.
Huyu jamaa ni BRIGHT sana
Lisu Hatari sana kwa hoja ,unapotaka kupambana naye ni kujiandaa sana
Hana hoja yyote ni mbaguzi
Tatizo la tudu lissu huwa anadhania kuwa hao anaoongea nao hapo na penginepo kuwa wanamfahamu asilimia kubwa ya watanzania wenye maono wanamfahamu kuwa ni mtu wa propaganda na mwenye kueneza chuki na sintofahamu baina ya watanzania na pande mbili za muungano ni mtu asiye na uzalendo na taifa kwani ameelekeza chuk zaidi sana kwa kiongozi wa nchi huku akisahau kuwa raisi aliyepo madarakani yupo hapo kikatiba.
Tundu huna jipya nenda zako ukatumwe na wazungu hilo ndilo lililobakia kwako kwani huna sifa ya kuwa kiongozi kwa watanzania.
Tundu Lissu Mungu ana sababu ya kukulinda na yote waliyo panga Mungu azidi kukulinda. Mungu hashindwi na lolote lile. Kama Mungu akuweka jicho lake nani atakuwa kinyume cha Mungu? Mungu anaona yote wanayofany maovu ya kutuibia watanganyika. Mungu hapendi dhuruma!
Itoshe tu kusema Zanzibar ni nchi jilan
Hongera mheshimiwa Lisu
😂😂 Kuna mzee anaskika miyeyusho kichizi KASEMA "Lahaullah tumeliwa mbona anakula na uku" 😂😂
Piga kazi Lisu, sisi tunakuelewa sana
Mh. Kumbe chama cha CHADEMA kina Mazuzu eti. Mwanzo nilijua wanajielewa kumbe siasa zao ni Chiki na Ubaguzi tu kama hizi. Bora niendelee tu kuipambania CCM chama la wana. CCM hatumbagui mtu yyte si kwa Utaifa, jinsia, wala rangi. Kwetu ss ni Umoja, usawa na Utaifa mbele. ccm oyeeeeee🔥🔥🔥💚💚💛💛
Safi sana❤
❤
Haya mambo yataisha tukishavunja muungano
Kweli kabisa, mimi siutaki huu muungano wa mchongo
Zamani nilikua nakuona wa maana lkn saiv unapotea
Correct
Big brain brilliant intellectual treasure of Tanzania next president of Tanzania republic excellently president honorable Tundu Antipas Mugwahi Lissu
Ni raisi wako nani anamtaka huyu tahira kwanza ni mbeligiji si mtanzania shenzi huyu
Never
Hii ilitoka sana ungekuwa hivi tangu zamani tungekuchagua
Tundu A. Lissu, acha kupotosha UMMA, ongea ukweli
Ana potosha uma
isn't crime to fight what is ours...Lets go Tundu lissu
Tundu Lissu ni level nyingine sana usimvamie kichwa kichwa utaangukia pua.
Nampenda sana tundu lisu ni mwana siasa asiye yumbishwa kwa kile anacho kiamini, huyu ni legendary
Kichwa kina niuma
😂😂😂😂😂 Kwani lazima huu Muungano???? iwe Tanganyika na Zanzibar kama Zamani Nchi mbili majirani wazuri kama zamani.
jibu swali la msingi inamaana siasa za CHADEMA haziruhusu raisi wa Jamuhuri aweze kutokea Zanzibar?
Acha kufunika watu macho ww jibu swali.
Kwakweli ukweli unauma kamanda nakupenda sana wewe ndo kila kitu tunashukulu Kwa kutuelimisha watanganyika mungu aendele kukutunza
Napenda lisu akielinisha juu ya tanganyika ili watanganyika wajieliwe tupate tanganyika huru na Zanzibar huru
Huu muungano ujadiliwe upya ikiwamunataka ubaki
Kumbe bwana Lisu tumwiteje yaani sijui tumwitu fungua fungua be blessed et Lisu mbaguzi kumbe wabaguzi hawatakikujiita wabaguzi kwa sababu ni jina baya basi tumeshajua siri hizo ushauri wangu kwa viongozi rekebisheni mahali penye tatizo msifanye kazi ya kufunga vinywa vya watu
Lissu unaelewa vizuri unachokisema,
Kiuhalisia muungano huu unaihitaji kufanyiwa marekebisho muhimu yatakayoweka usawa kwa pande zote mbili
Mungu akutunze mtetezi wa wanyonge wa Tanzania 👏👏
Nyinyi wa Tanganyika tusaidieni sisi wa zanzibar kuuvunja huu muungano feki usio na tija kwetu ili munufaike na tanganyika yenu
Na mm natamani uvunjwe... mana hawa wabongo asaa 😢
Lakin lissu kasema ukweli ,sema CCM wako kimasilahi zaidi,Nanyie wanzanzibar muwe wakwanza kuukataa huu udhalimu,muungano feki
Huu hauvunjiki kamwe labda mhame Zanzibar nyinyi
Rais wa sasa anatoka kwenu mwambieni avunje muungano mtaona maisha yenu yatakavyo kuwa magumu
Kwani huu muungano ndo Mungu hata maisha yetu yawe magumu. Fahamu kwamba mambo ni kutegemeana hapa. Naona mmejaa tele hapa kutafuta maisha.@@FridayMwassa
Mm mzenji nimeipenda hii ni njia moja ya kujikwamua mwenye huu muungano batili
The only a living miracle! God have blessed us this human right defender and Democracy fighter.
Mungu akulinde sana kamanda Mhe Tundu Lissu
Waambie ukweli
Aisee wewe ni mwalimu, una akili sanaa, wala hoja zako haziwez kujibiwa na hawa CCC hata kidogo. Tunakuelewa sanaa
Wazanzibar wakomakini nauzanibari wao
Nadhani Lissu asikilizwe ana Hoja nzito yenye manufaa kwa taifa
Alooooooo. Umepiga hapo hatariiii
Umeongea sana ila hujajibu swali la wakili msomi fatma Karume
Lissu nakukubali sana ila hizi kauli zako hutamuathiri samia tu bali utatufanya tuanze kubaguana wananchi
Wewe ni kiongozi mkubwa hupaswi kuongea haya kwa njia hii, na kama ni kwa sbbu ya kura si kura yetu tunakupa wewe tunakukubali lakini usitufanye tukajenga chuki kwako kwa sbbu umoja wa raia una umuhimu zaid kuliko hata nyinyi viongozi 🙏
Una akili sana ww rafiki yangu your the president
Lisu mungu akupe heri maana watanzania elimu wamepewa kwamgongo. Wa chupa
Mimi nilikuwa sijui Leo ndio nimejua
Mungu akubariki Mheshimiwa Lissu
Wataelea 2
Ukweli siku zote unauma
Ipo shida sana ya kuishughulikia
✌️✌️✌️🙏🙏🙏
Tundu Lisu Acha kuzunguka Zunguka Hapo jibu hoja Kwani Katiba ya Chadema inasema Haitaongozwa na Mzanzibar ????
Huyo tundulisu nifitina sana nilikuwa nampenda lakini nimemjuwa nimtu fitinasana nimakufuli alimpiga risasi nimejuwa kwsnini makufuli alimpiga
Nasematena , mheshiwa Rais Alihasan mwinyi alitawala Zanzibar musiseme mtanganyika hajatawala Zanzibar, acheni ubaguzi
kabisa ata mm leo umeongea hapo hakuna haki kabisa kitu munafaa ungange pamoja watu wote waupizani ukiungana kama vile kenya walifanya 2002 umoja ni nguvu
Kama we Ni mtu wa bara na ulishagaenda Zanzibar ndo utamuelewa lisu anachosema
Mumejaa kama taka huku Zanzibar kazi yenu wizi na Ujambazi muekezaji anauza sumu ya panya na mifuko nitafutie mzanzibari mmoja tu anauza sumu ya panya Bara au karanga Mukitaka Musitake Sisi tuko juu tutakutumeni tu
Haeleweki.
Zanzibar ardhi yake ni ndogo.sasa wageni milioni 50 kutoka Bara wakiamua kumiliki ardhi.Zanzibar. Jee! Wazanzibari Wenyewe wataishi wapi?
Au mnataka mzanzibari akizaliwa tu akatafute makaazi nje ya nchi yake?
Tambuweni kwamba Zanzibar ni nchi Tangu enzi na enzi, Muungano usiwe sababu ya Zanzibar kupoteza hadhi yake ya kuwa nchi.
Tuliungana kwa kushirikiana baadhi ya mambo hatukuungana kwa kuuwa nchi.
We paulo kama kweli hicho unachosema Mwinyi anatoka wapi?! Zanzibar au Tanganyika?! ametoka Mkuranga Tanganyika mbona anatawala kule?! Wazanzibari na watanzania wote hatupo hivyo kaka, hizo no chuki tu mnazopandikiziwa na wanasiasa ili muivuruge amani ya taifa lenu!! Kuna mabwana zao nje huko wanaowatuma.
@@omaryjumas6327 na kwann raia wa Zanzibar anaweza kutawala bara Ila raia wa bara kutawala Zanzibar Ni changamoto
@@omaryjumas6327'nchi yake' ipi tena? Sisi si ni nchi moja?
Pambana lisu hadi Tanganyika itoke kwasababu nyinyi mumeingia chakike 😂z,one mamlaka kamili❤ Tanganyika kanyaga😂
Mungu ana sababu Kwa nn uko hai!!?Mama Samia sio Mungu Rais sio Mungu pale anapokesea ajirekebishe nchi inaingia Kwa waarabu kila ki2 mwarabu kwani hii nchi ya kiislamu
Ukweli unauma lakini lazima usemwe ili kujirekebisha panapostahili. Ukweli huu UNAUMIZA SANA.
Asante
Lisu wewe ni hazina kwa taifa letu,bali ugonjwa mkubwa unaotutafuna watanzania ni kutokubali ukweli na wavivu wa kusoma ili kuwa na uelewa mpana wa mambo na uwezo wa kuchambua mambo.
Fatma Karume pia ni Mzawa wa Zanzi b ar.Lakini wote sisi ni Watanganyika🎉
Nadhani hujui Maana ya Muungano. Wabunge WA Tanzania wanatakiwa wawe sawa kwa sawa Kati ya Zanzibar na Tanganyika. Bandaru ni sehemu ya Zanzibar AU umesahau mile 10
Umenena vyema kwakweli tunashukuru kwa shule yako Mr Tundulis
Watanganyika tumefanywa mambumbumbu Kwa mda mrefu sanaaa. Yaan cc ni km koloni la Zanzibar. Haturuhisiwi kumilik ardhi Zanzibar lkn wao wanaruhusiwa. Wao wanakuja kuongoza mikoa ya huku kwetu na cc hatuendi kuongoza kwao.
Tundu lisu umechanganyikiwa fikiria tena vizur kwani zanzibar mkoa ata uifanishe na dodoma
Sawa kabisa kamanda
Jamaaa mbaguzi kweli kwani amewahamisha kuwapeleka zanzibar si humohumo hiyo Tanganyika yenu mnayodai kosa liko wapi?
Jamaa yuko sahihi kabsa msikilize vzr hana ubaguz ata kidgo na ukwel wazanzibar wengi ndy mnaasir hii na tanganyika hawana kabsa tabia ya kumbagua mzanzibar i
Uko vizuri tundu lissu anayekubeza mjinga sanaaaaaa
Watu kweli hufanana. Kidogo niseme Bashite Kawa "Bodyguard" wa Mh. Lissu.😂😂
haya matatizo mmeyataka wenyewe kwa kulazimisha muungano nnavyoelewa mm watu wa zanzibar hawana tatizo ila watawala wa tanganyika mpk leo ndio tatizo,zanzibar haina choyo na tanganyika ila watawala ccm ndio tatizo iondoeni ccm madarakani tuekane sawa au tubaki majirani wema
Huyo mlinzi wa Muheshimiwa Lissu ni ndg yake na mkuu wa mkoa wa Arusha? Maana kama wamefanana... Ngoja niangalie tena vizuri 🥺🥺🥺
Lissu sisi kwakweli tunakuelewa sanaa endelea kupiga nyundo hapohapo mtu anaumia mtu kuitwa Mzanzibari ila haumizwi na kinachendelea kwenye ardhi za wamasai kama sio upumbavu ni nini na Juz tu Mbunge wa Zanzibar alisema Watanganyika tuingie Zanzibar kwa Passport na hapo hatukusikia wakipanua midomo kwamba ni ubaguzi ujinga kbsa
Wewe ni mtu wa Mungu TAL.
Tindu lisu,unatafuta Tanganyika babala ya kutafuta serikali ya Tanzania,tunatakiwa kizazi hiking kinataka Tanzania yenyewe serikali moja tu
Timekwelewa bbaa Mungu akufunike haisee wameelewa kabisa
Sio haki kbs kufukuza wazawa kwenye maeneo yao
Mheshimiwa Lisu uko sawa kabisa,mwungano haukuwekwa sawa , matokeo ya huu mwungano Nyerere hakuakisi sawa sawa na alifikiri viongozi wa nyakati zote watakuwa wacha Mungu kama yeye mwenyewe na watatenda haki,mwalimu hakudhani watanganyika watakujaendeshwa kihuni na kuhamishwa kwenye makao yao ya asili(wamasai) na mwanamke wa Zanzibar,angejua hilo kwa dhamiri yake mwalimi asingeukubali muungano huu,kwani alikuwa anagoma sana rushwa na mali za kuisaliti nchi yake,unatambua alikuwa na nafasi kubwa sana ya kuuza nchi na watu kuliko vibaka wa leo
Bila katiba haki hakuna vat Tozo petroleum sukar matbab juu maisha magumu Allah atusaidie
Iwelenja fredinand upo sawa na ndio maana tunataka katiba ifanyiwe minimum reform ili ujinga huu usijitokeze tena.
Listing anababaika,hana hoja yeyote ya maana, mara wamasai, mara lolyondo, mara raisi mzanzibari, mara waarabu. Huyu hajui kuangalia mambo ya serikali
Wazanzibari hatutaki kelele nyingi nyinyi ndio mnaong'a
Ng'ania muungano hebu vunjeni muone tutakavosheherekea then after 10 yrs muone maendeleo yetu .tushachoka na ukoloni wenu
Unazan rahis
@@mussamussa8181kwani kabla ya muungano ilikuaje? ama hujawahi kusoma historia ya Zanzibar?
Nakuelewa Sana kiongozi
Mbona hiyo Iko wazi, Samia suluhu hasani ni mzanzibar pure, nae ndiye mbaguzi kwa kuwa anawafukuza watanyika kutoka maeneo yao ya asili na kuwauzia waarabu, na hii inafanyika upande wa bara peke yake
😢 tunaibiwa sana
Mimi ni mwana CCM damu, lakini hapa nakubaliana na Lisu.