ILA JAMANI WATANGANYIĶA TUNATAWALIWA KIENYEJI SANA JAMANI.WANANCHI TUAMKE KUTETEA UTAIFA WETU VINGINEVYO NCHI INAUZWA JAMANÌ na NCHI INA HALIMBAYA KIUCHUMI,, KISIASA na KIJAMII "
@@salimmalaka256 Acha Kuchukulia Kwamba Watu Wote Wana tabia Za Kishenzi Pasipokuwajua, CCM Wametufikisha Pabaya Sana Haijawahi kutokea Kwahiyo Ni Wakati Wao Kuachia Na Kukaa Pembeni Kabla Mabaya Hayajatokea "
Kumbe tukisema kwamba Watanganyika wengi wamefanywa wajinga kuhusu kujua ukweli wa muungano huwa hatubahatishi. Hivi unaweza ukatutajia kirefu cha Tanzania, na ilikuwaje jina la Tanzania likapatikana? Jibu swali bwege we.
Hakuna mahali alinukuliwa Lissu akidai wazanzibari siyo watanzania, sijui hayo uliyapata wapi? Wazanzibari hawataki kuficha uasili wao, wanajivunia na kujitambulisha kwa uasili wao. Hawataki kuwa mbumbumbu walioisalimisha na kuifuta historia yao. Badala ya kuwabeza wanastahili kuigwa na kupongezwa!
Siyo kitu cha ajabu mwanza kabla wewe hukuzaliwa watu wa Zanzibar walikuwa wakiingia Dar es salam kwa passport. Na yuko alokuwa mshenzi mmoja wa Zanzibar ndio alosema wa Bara waingie Zanzibar bila ya passport na wengi walikuwa hawajataka jambo hilo.
UNAJUA KUWA ZANZIBAR INAINGIA KWA TZ BARA MARA NGAPI? INAMEZWA NA BARA ZAIDI YA MARA LAKI TATU !! NA TANZANIA YOTE BARA NA VISIWANI HUMILIKI ARDHI KAMA YAKO ILA UNAPEWA LIZI NA HIYO LIZI INATEGEMEA NI MIAKA MINGAPI AIDHA 33 ,66, AU 99 LAKINI ARDHI SIO YAKO LAU KWENYE HIYO ARDHI KWAPATIKANA MAFUTA BASI SERIKALI WANACHUKUA WENYEWE, LAKINI NCHI ZA WENZETU ARDHI MALI YAKO KIKIPATIKANA CHOCHOTE MALI YAKO!!!!
Yaani Umeenda kwa wananchi kusikiliza shida zao, na wamekutuma, wamekuchagua uwawakilishe hoja zenyewe Ndio Kama hizo ,hata mpangilio wa kuongea huna ,hii nchi ni ngumu Sana.
Ubaguzi mnao. Kweli wazanzibari. Leo umefanyiwa wewe unaona uchungu. Mnayotufanyia huku hamuoni kama ubaguzi. Shilingi Ina pande mbili mweshimiwa. Leo shilingi imekugeukia umeumia😂😂
Huyu asikilizwe vizuri huenda ana hoja za msingi kama tunaingia Zanzibar Kwa passport basi lije suala la vibali Kazi, kila upande uombe vibali vyote vya makazi na Kazi, na si ruhusa kumiliki ardhi upande wowote hadi Uwe mzawa
Kweli Wabaguzi kwa ajili ya Nchi yetu si Mukaungane na Machogo wezenu Kenya Uganda Congo Burundi nyie Wa Tanganyika sisi Wa Zanzibari na Timu yetu ya Taifa Zanzibar Heroes
Zanazibar, Tanzania , Tanganyika iko wapi apo hatutaki muongano imetosha apo bc kila mtu achukue ubao wake ishaAllah vunjika shetani muongano toka na uwende Zako
Achen ujinga nyiee hii nchi ina amani kulko nchi nyngne yyote ndio kitu tunachotkiwa kujivunia iv mushafkiria kuh vitukuu vyenu hao wabunge wengne wavurugaji tu..ss n wamoja❤Ilove u Tanzania
Mbona znz aijawai kua na Rais mtanganyika?? Rais Husein ni mzariwa wa Zanzibar huku mnaturetea samia atutaki aende kwao kizimkazi sawa waarabu nyiee nendeni hata Dubai atuwataki
Ivi huu muungano nyie wabunge wa ccm mmeung'ang'ania wa nini Huyo mwenzenu kashasema yeye ni mzanzibar, Sasa kama pana mzanzibar kwenye bunge la muungano kwanini mbunge wa mtu wa bara hawezi kuwa mbunge wa zanzibar??..?..?????
Juzi nolimsikia Mh Warioba. Nilimuelewa sana. Ukweli kuna changamoto za Muungano ambazo kila upande unalalamika. Ila Tanganyika ndo imeonewa zaidi. Kwa vitu vingi tu. Inafaa kukaa chini na kuziondoa changamoto hizi.
Umeanza kuelewa ila endelea kufanya research ujue nani anaeonewa zaid zengo sisi tunaupenda muungano ila vitu vingi tunaumizwa sie leo imekua mtu wa Kenya akija na mzigo kutoka kwao kuingia tanga halipi we njo undue TV upitishe apo wanataka pesa ulipie ushuru
Mi natamani hoja hii ifanyiwe kazi, wabara waridi bara ili wazanzibar viwanja vya kujenga wapate, and vice versa wazanzibari warudi kwao halafu tuone kama kile kisiwa kitawatosha. Lakini pia tutawauzia chakula kama tunavyowauzia Kenya na kwingineko nione kama hamtakula......yenu.
@LUBAINAMOHDRAJAB kila watu wajitegemee, maana sisi tunaoumia hata hatusemi, ila wao wanaotunyonya kelele juu baada ya kushiba kiporo cha ugali wa mtama.😅😅😅
" Abrave and honest hounerable member of parliament representing the interests of this romantic, beautiful island! Hata Mombasa na Pwani ya Kenya has the same problem! Kuna ukabila, ubaguzi, ufisadi wa kila aina! Serikali zinaongozwa ni watu kutoka bara zinabagua wenyeji wa pwani na kisha sisi ndio tunautajiri/ Uchumi mzuri! Nahisi siku moja kenya itagawanyika kwani tuliunganishwa ni wakoloni na hatukutaka kamwe kuwa na ushirika na Nairobi! Isitoshe, tuliunganishwa kwa miaka 50 na mkataba ukaisha 2013!! Love from Mombasa!!
Hii ni dharau na ni kejeli ya kiwango ati na yeye ana fikra ya kuja kututawala watanganyika. Aah halafu waheshimiwa wetu wa bara wanashangilia.aah sijui afya ya akili wanayo kweli.
ZANZIBAR ipo na itaendelea kuwepo hofu Tanzania kuwepo miaka 60 ijayo coz Tanzania imeundwa ili kusudi kuidhibiti Zanzibar na wazanzibari wameamka sasa
Muungano utakapozingatia matakwa ya wananchi kama walivyojieleza katika rasimu zote za katiba, kwa kutaka serikali 3, ndio utakuwa mwisho wa mtifuano wa wabunge wazanzibari na watanganyika. Huo ni mwanzo tu wa muungano wa Lazima serikali 2.
Tusiwe wanafiki jamani. JMT ni muungano wa WaTanganyika na WaZanzibar. Ni wazi kuwa Rais anaweza akatoka Zanzibar au Tanganyika. Kwa hiyo kusema Rais ni Mzanzibar siyo kosa bali ni ukweli. Anayebisha aseme basi Rais anatoka wapi. Nafikiri kulikuza jambo hili kuwa ni ubaguzi siyo sahihi.
Yaani huyu mbunge imekuaje anaongea lsfudhi ya kibara kamavile haja zaliwa na ku kukulia Pemba. Au ndio wale ambao makaazi yao yapo Bara ila jimbo liko Pemba 😅😅😅
Wazanzibar wanatakiwa wapaze sauti kila siku kuogopa ogopa ifikie mwisho watazidi kutuburuza hawa Zanzibar inakitambulisho chake cha uzanzibar ety wee so mzanzibar wee ni mtanzania halafu mbona mnainga,ngania Zanzibar sana why's????
KWASABABU NYERERE ALIKUWA MLAFI NA ULAFI WAKE ALIFIKIRI ATAIFANYA ZANZIBARI NI JIMBO LAKE NDIO MAANA BARA MKAINGIZWA MKENGE 😂😂😂. TAMAA MBAYA ZA MWALIMU WENU MJINGA NDIO WAZANZIBARI BARI TUNAPATA FURSA YA KUUZA BANDARI ZENU KWA WARABU WETU NA MBUGA ZENU ZA WANYAMA MPAKA TUMALIZE. HATA WABARA MKIPATA UHURU UJUE ZANZIBARI TUSHAWALA KISHUNDU 😂😂😂
Yote ni tanzani ni sawa nitakavotoka mwanza kwenda dar sa passport ya nni na nchi ni moja ye mwenyewe apo alipo hana paspoti afu yupo bara mpuuzi kwel,,, ukitaka urais gombea tukupe kura acha upuuzi
Munakataakatiba mpya kwasababu dhamirizenu zawashuhudia mumepewa ubunge wa mabavu,mupo Kwa ajili ya matumboyenu na familiazenu sio Kwaajiliyetu watanzania,mpina usiogope mungu atakulinda semaukwelimtupu,wakipitamitaani hawana hatamvuto,uheshimiwa gani mulionao Huku munauzanchiyetu?mwogopeni mungu
Mimi mwenyewe siwapendi wa znz kwa kuuzaa bandari zetu bara mmeanza ubaguzi na mwanzirishi wa ubaguzi ni Mh samia na limote yake ya msoga tutamzomea samia wakati wa kampeni zake
Co passport ht mkitaka 2gawane fresh 2 cc 2nataka nn kwenu marais wt wawil wazanzibar na cc ha2semi nyinyi wazanzibar mnajitambua kwer mm naona samia na mwinyi akir zao zingekuwa km nyinyi ingekuwa vurugu mechi
Co passport ht mkitaka 2gawane fresh 2 cc 2nataka nn kwenu marais wt wawil wazanzibar na cc ha2semi nyinyi wazanzibar mnajitambua kwer mm naona samia na mwinyi akir zao zingekuwa km nyinyi ingekuwa vurugu mechi
Kama mheshimiwa speaker angekuwa makini jimbo analowakilisha mbunge huyu lingetangazwa JIMBO WAZI na mchakato wa uchaguzi ungeanza kesho asubuhi. Huwezi kuukana utaifa ukabaki na dhamana ya ubunge. Ana hasira, anatukana ovyo, hana kariba ya ulmi, hafai! Sasa sijui kama bunge letu ni kibogoyo au limeng'oka meno!
Wazanzibari ni wabaguzi kwanini hata kipindi chauchaguzi ukiwa kitambulisho cha Zanzibar ila ukigundulika ni mtanganyika unawekwa ndani? Na kwanini asilimali zetu tunawakatia fungu ila wao hawajawai jaman mfikirie apo viongozi na mlitatue
Huyu mbunge mwenyewe siyo mtanzania ni mzanzibari, atakuwaje Raidi wa nchi ambaye yeye anakiri kuwa kuwa yeye si Ntanzania? Tutamchagua Mtanzania ila kama siyo mtanzania bali mzanzibar, hatumuhitaji anatupigia kelele.
Nadhani ni vizuri sana tukitengana coz Tanganyika tuna kila kitù sioni maana ya kuungana, wazanzibar wakae na zanzibar Yao na Tanganyika tukae Tanganyika yetu ltakuwa poa sana
Uko wp huo utanganyika wenu kipi kinachokufanyeni nyinyi kujiita wtnganyika muliaminiahwa kwmba hkun mtnganyika wa mznzbar munaamini hivyo lkn cc wznzbar tunaamini hkuna Tnznia bli kuna mznzbar tu na hkuna mznzbar anaejiita yeye nimtnznia bli kuna wtu wliokua wtnganyika wnajiita wao niwtnzania 😂😂😂😂nakuikana nakuifuta tngnyika yao
Haiwezikua mtanganyika na mzanzibar sawa numbingly na ardhi watanganyikaniwashenzi nushenziwaowameufikishahadi zanzibar wiziwalevimalaya zanzisasakunanukakwasababuyawatanganyika
Safi sana muheshi tuko pamoja kaza kamba hataka wengine tuko Kenya but tuko wote hatutaki muungano tena wabaki na utanganyika wao tubaki na Zanzibar yetu
Wazanzibar nyie wabaguzi.. Wabara mnataka tuingie Zanzibar kwa passport. Kivipi nchi mmoja kwann mnataka passport za nn??? Mnazuia wabara kumiriki ardhi huko visiwani. Wakati nyie mkija huku mnamiriki ardhi bila shida... Wabara hawaruhisiwi kuwa viongozi Zanzibar . Wakiti nyie huku mnaongoza bara
Watanganyika munajikomba Sana kwa hawa wanyamwezi na wasukuma na wamakonde watumwa na wavuvi wa wa waarabu, anajamba hapo ameshiba posho kutoka kwa wakinga na wanyakyusa ,,, pumbavu😮
Mwenyewe kasema yeye ni mzanzibar nyie mnamlazimisha awe mtanzania, kwakua nyie hajitambui kuukana utanganyika wenu,lisu hana mpinzani kwenye hoja yake,tumpe maua yake lisu🎉🎉🎉🎉🎉🎉
wazanzibari mnapaswa kuamka sasa hiki kisaka cha muungano kinatukosesha haki zetu nyingi lkn kubwa zaid kisiwa kidgo kinaelemewa na uhamiaji kutoka bara ambao baada ya miaka kadhaa pa kutia mguu itakuw hapana serekali haina udhibiti kuhusu jambo hili . hali itakuja kua ngumu zaid miaka ikizidi kusonga
Mmasai akipita sehemu popote Tanzania anaeitwa kwa kabila lake Wala hakuna shida Leo mzanzibari akiitwa mzanzibari huku bara ni ubaguzi, wakiitwa watanzania hawataki pia Sasa watuambie wanataka waitwaje?
Muungano mnaungangania wa nini au mna manufaa gani kwa huo Muungano. Ipitishwe referrendum wakati wa uchaguzi mkuu, ili tujue kama Muungano uendelee au uvunjike
Wazanzibar na watanganyika sio wamoja wacheni kujipendekeza hatuwataki tena watanganyika kuja Zanzibar huyo mbunge muacheni aongee musimkatizie muda wake hatuna umoja na watanganyika na wala hatuna haja na watangika kwendendeni mbele mbele huko
Hamna jipya Roho za dhuruma zinawatafuna mnatapatapa kujadili mambo ya msingi hamna mumeuza bandali na ngorongoro mnajinenepesha ninyi wengine wafa njaa Mungu anawaona
Ndio Muheshimiwa usipokee taarifa, Kwani hapo Mwanzo hakuwepo Mh Nyerere na Mh Mkapa mbona huku Zanzibar hatukusema kuwa tumetawaliwa, Hapa hakuna mjadala, panatikiwa zile kero za Muungano zitatuliwe. Hizi ndo kero Zenyewe.
Hivi tuna matatizo gani Tanganyika Zanzibar tumelogwa na nani?kila Raisi wa Zanzibar anakili tatizo hivi ni uraisi wa namna gani ule haendi nje wala hatembelewi na maraisi jamani tuachane na ujima huo yanayo fanyika si biblia wala msahafu kwa maoni yangu Zanzibar iwe huru Tanganyika iwe huru
Uyo mbunge wa Zanzibar ni zamwamwa kweli aiwezikani nchi moja usafiri kwa passport eti kwa ajiri ya usalama afadhar angesema Kitumike Kitambulisho Cha Nida kama kitumikavyo sasa ange eleweka lakin siyo kusema passports. Hata ivyo Wazanzibar walisha jibagua wenyewe kwa kutokua sehemu ya muungano kwa maaana ya kujitengenezea vitambulisho vyao vya Taifa, na wanarahisi wao pamoja na bunge lao na serikali yao ivyo tunaomba Wazanzibar mtuachie Bunge letu please bakini kwenu Tunaitaji Tanganyika yetu iheshimiwe na ihudumiwe na kusimamiwa na Watanganyika wenyewe.
ILA JAMANI WATANGANYIĶA TUNATAWALIWA KIENYEJI SANA JAMANI.WANANCHI TUAMKE KUTETEA UTAIFA WETU VINGINEVYO NCHI INAUZWA JAMANÌ na NCHI INA HALIMBAYA KIUCHUMI,, KISIASA na KIJAMII "
Ww mvutu kweli itauzwa na Nan?
inauzwa na CCM Wenzio Wasiolitakia mema Taifa Letu Rushwa na Ufisadi Huoni Vimetapakaa kila kona au ??"
Suala hili mlaumuni julius nyerere alieikataa Tanganyika kuwa na serikali yake@@JacksonFrances
@@JacksonFrances KWANI HAO MAFISADI NI CCM PEKE YAO??? WEWE UKIPATA UPENYO WA KUIBA UTAIBA NA RUSHWA UTAPOKEA USIJIFANYE MALAIKA.
@@salimmalaka256 Acha Kuchukulia Kwamba Watu Wote Wana tabia Za Kishenzi Pasipokuwajua,
CCM Wametufikisha Pabaya Sana Haijawahi kutokea Kwahiyo Ni Wakati Wao Kuachia Na Kukaa Pembeni Kabla Mabaya Hayajatokea "
Kumbe TUNDU LISU yuko sahihi kabisa kusema kuwa Wazanzibar sio Watanzania.
Kumbe tukisema kwamba Watanganyika wengi wamefanywa wajinga kuhusu kujua ukweli wa muungano huwa hatubahatishi.
Hivi unaweza ukatutajia kirefu cha Tanzania, na ilikuwaje jina la Tanzania likapatikana?
Jibu swali bwege we.
Hakuna mahali alinukuliwa Lissu akidai wazanzibari siyo watanzania, sijui hayo uliyapata wapi? Wazanzibari hawataki kuficha uasili wao, wanajivunia na kujitambulisha kwa uasili wao. Hawataki kuwa mbumbumbu walioisalimisha na kuifuta historia yao. Badala ya kuwabeza wanastahili kuigwa na kupongezwa!
Elezea wanzibari ni watanzania ila watanzania si wanzanzibar
Si kweli wazanzibari ni watamzania lakini wwabara huwa mnafanya ishu kutibagua
@@omaryjumas6327 Wa Zanzibari sio Wa Tanganyika kwani kabla ya 1964 kulikua nchi inaitwa Tanzania?
Lisu ni mkweli sana
Zanzibar tukipata wabunge kama hawa kumi tu bungeni muungano ungevunjika 😂😂😂😂😂😂😂😂
Watafuteni 😂😂😂
Kwanini msijitenge tuu,mnangoja nini.
@@venancemwanya4212Watanganyika mumetuganda
Wabunge wakishiba posho zetu wanaanza kuongea wanachojickia na sisi tunaendelea kuwatafutia kwa jasho ...
Mbona likija swala la muungano
Hakika lisu na mbowe naona wako sahihi kabisa na ss watanganyika tudai uhuru wetu
Yani ww ndio mwenye akili nyingi ktk watu 100 niliowasikiliza ni kweli coz u haven't government so struggle ur cntry.. am srry umoja ni nguvu..
Bora mudai uwo Uhuru wenu wazanzibar angalau tunywe maji hatuna Raha kwA nyie nahaya yote kayataka karume kuitoa nchi kw warabu kuipeleka kw wanyAmwez
😂😂😂😂😂😂endeleeni tu kujiita Watanzania
@@SalumJuma-iz2gjmmejazana bara
@@FridayMwassa sindio tuna watajirisha
Mtu wa Bara haruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar! Ila Wazanzibar wanamiliki ardhi Bara! Mbona huo ni ubaguzi wa wazi tu!?
Siyo kitu cha ajabu mwanza kabla wewe hukuzaliwa watu wa Zanzibar walikuwa wakiingia Dar es salam kwa passport. Na yuko alokuwa mshenzi mmoja wa Zanzibar ndio alosema wa Bara waingie Zanzibar bila ya passport na wengi walikuwa hawajataka jambo hilo.
UNAJUA KUWA ZANZIBAR INAINGIA KWA TZ BARA MARA NGAPI? INAMEZWA NA BARA ZAIDI YA MARA LAKI TATU !! NA TANZANIA YOTE BARA NA VISIWANI HUMILIKI ARDHI KAMA YAKO ILA UNAPEWA LIZI NA HIYO LIZI INATEGEMEA NI MIAKA MINGAPI AIDHA 33 ,66, AU 99 LAKINI ARDHI SIO YAKO LAU KWENYE HIYO ARDHI KWAPATIKANA MAFUTA BASI SERIKALI WANACHUKUA WENYEWE, LAKINI NCHI ZA WENZETU ARDHI MALI YAKO KIKIPATIKANA CHOCHOTE MALI YAKO!!!!
Mimi mzazibar, kiukweli Wazanzibar wabaguzi sana! Mungu awahifadhi, wanachuki na watu wa bara for no reason!
Hatuna Imani na wanyamwezi
Reason no kuwa wazanzibari wanahujumiwa na watanganyika na watanganyika wamepora haki za wazanzibari na haki ya nchi yao.
Muuongo wewe Si mzanzibari Chuki yetu tunataka nchi yetu kwani mtu kudai chake ndio hua Chuki
Muongo wewe si mzanzibar wewe mbongo nyoso unaechangia kutunyang'anya haki zetu pumbavu yako
Mzanzibar gan weye
Yaani Umeenda kwa wananchi kusikiliza shida zao, na wamekutuma, wamekuchagua uwawakilishe hoja zenyewe Ndio Kama hizo ,hata mpangilio wa kuongea huna ,hii nchi ni ngumu Sana.
Ubaguzi mnao. Kweli wazanzibari. Leo umefanyiwa wewe unaona uchungu. Mnayotufanyia huku hamuoni kama ubaguzi. Shilingi Ina pande mbili mweshimiwa. Leo shilingi imekugeukia umeumia😂😂
Huyu asikilizwe vizuri huenda ana hoja za msingi kama tunaingia Zanzibar Kwa passport basi lije suala la vibali Kazi, kila upande uombe vibali vyote vya makazi na Kazi, na si ruhusa kumiliki ardhi upande wowote hadi Uwe mzawa
Hivi tukisema kila watu warudi kwao; Zanzibar patatosha?
Tatizo lipo ila wanapotezea kwa kuwa wanapenda sana pesa kuliko ubinaadamu wa binaadamu.
Nanikamchagua huyorais?mtanganyika gani kawarais Zanzibar?alekwetu mulekwetu tusilekwenu,
Viongozi walioko madarakani wanajifanya hawaoni tatizo kwa sababu ya maslahi binafsi.Halafu wanaanza kuwalaumu Akina Lissu kwa kivuli Cha ubaguzi...
Wazanzibari wabaguzi sana
Ulikuja Zanzibar ukabaguliwa
Nyinyi wtnganyika munongoza kwakubaguliwa duniani 😂😂😂wzungu wbguzi wkenya wbguzi wznzbar wbguzi ondokeni duniani bc
SAFI SANA, KILA MMOJA ASHIKE NJIA YAKE. UKOLONI UMESHAPITWA NA WAKATI. TWATAKA NCHI YETU
Hata tukiwa wabaguzi.......ni heri kwetu na nyie bakini na utanzania wenu
Kweli Wabaguzi kwa ajili ya Nchi yetu si Mukaungane na Machogo wezenu Kenya Uganda Congo Burundi nyie Wa Tanganyika sisi Wa Zanzibari na Timu yetu ya Taifa Zanzibar Heroes
Zanazibar, Tanzania , Tanganyika iko wapi apo hatutaki muongano imetosha apo bc kila mtu achukue ubao wake ishaAllah vunjika shetani muongano toka na uwende Zako
Achen ujinga nyiee hii nchi ina amani kulko nchi nyngne yyote ndio kitu tunachotkiwa kujivunia iv mushafkiria kuh vitukuu vyenu hao wabunge wengne wavurugaji tu..ss n wamoja❤Ilove u Tanzania
Mbona znz aijawai kua na Rais mtanganyika?? Rais Husein ni mzariwa wa Zanzibar huku mnaturetea samia atutaki aende kwao kizimkazi sawa waarabu nyiee nendeni hata Dubai atuwataki
Marehemu mwinyi pia mzanzibar
Kwa hiyo Zanzibar ni mkoa?????
Ivi huu muungano nyie wabunge wa ccm mmeung'ang'ania wa nini
Huyo mwenzenu kashasema yeye ni mzanzibar,
Sasa kama pana mzanzibar kwenye bunge la muungano kwanini mbunge wa mtu wa bara hawezi kuwa mbunge wa zanzibar??..?..?????
Watanganyika wanatung'ang'ania wazanzibar sijui kwanini
Juzi nolimsikia Mh Warioba. Nilimuelewa sana. Ukweli kuna changamoto za Muungano ambazo kila upande unalalamika. Ila Tanganyika ndo imeonewa zaidi. Kwa vitu vingi tu. Inafaa kukaa chini na kuziondoa changamoto hizi.
Umeanza kuelewa ila endelea kufanya research ujue nani anaeonewa zaid zengo sisi tunaupenda muungano ila vitu vingi tunaumizwa sie leo imekua mtu wa Kenya akija na mzigo kutoka kwao kuingia tanga halipi we njo undue TV upitishe apo wanataka pesa ulipie ushuru
Muhimu Hata huu muungano hatuutaki tena sote kila upande iwe kivyake lakin ccm ndio wanalazimisha tufanane
KWANINI TUNAUNGANA PARSPOT?. WANYAMWEZI MJE NA PARSPOT ZENU PEMBA😂😂😂
Mi natamani hoja hii ifanyiwe kazi, wabara waridi bara ili wazanzibar viwanja vya kujenga wapate, and vice versa wazanzibari warudi kwao halafu tuone kama kile kisiwa kitawatosha. Lakini pia tutawauzia chakula kama tunavyowauzia Kenya na kwingineko nione kama hamtakula......yenu.
@LUBAINAMOHDRAJAB kila watu wajitegemee, maana sisi tunaoumia hata hatusemi, ila wao wanaotunyonya kelele juu baada ya kushiba kiporo cha ugali wa mtama.😅😅😅
hufai wew,unazungumzia uzanzibar ,tokaaaaaà
Kama ndo wabunge wazanzibar wote wapo kama huyu basi Amna wabunge Zanzibar
Hivi kumbe wa Zanzibar ndiyo wanachangia hivi?
Tanzania ina mazombi sio watu
Kwanini
" Abrave and honest hounerable member of parliament representing the interests of this romantic, beautiful island! Hata Mombasa na Pwani ya Kenya has the same problem! Kuna ukabila, ubaguzi, ufisadi wa kila aina! Serikali zinaongozwa ni watu kutoka bara zinabagua wenyeji wa pwani na kisha sisi ndio tunautajiri/ Uchumi mzuri! Nahisi siku moja kenya itagawanyika kwani tuliunganishwa ni wakoloni na hatukutaka kamwe kuwa na ushirika na Nairobi! Isitoshe, tuliunganishwa kwa miaka 50 na mkataba ukaisha 2013!! Love from Mombasa!!
Amka ukojoe bana
Hii ni dharau na ni kejeli ya kiwango ati na yeye ana fikra ya kuja kututawala watanganyika. Aah halafu waheshimiwa wetu wa bara wanashangilia.aah sijui afya ya akili wanayo kweli.
Kuna shida kubwa kwenye huu muungano, Kuna kesho na kesho hiyo Kuna watakaokaa na kuangalia maslahi ya muungano kwa pande zote mbili
ZANZIBAR ipo na itaendelea kuwepo hofu Tanzania kuwepo miaka 60 ijayo coz Tanzania imeundwa ili kusudi kuidhibiti Zanzibar na wazanzibari wameamka sasa
Mimi sio Mzanzibar ila nakubali hili Muungano huu upo kwa ajiri ya kutawala Zanzibar
Muungano utakapozingatia matakwa ya wananchi kama walivyojieleza katika rasimu zote za katiba, kwa kutaka serikali 3, ndio utakuwa mwisho wa mtifuano wa wabunge wazanzibari na watanganyika. Huo ni mwanzo tu wa muungano wa Lazima serikali 2.
Tusiwe wanafiki jamani. JMT ni muungano wa WaTanganyika na WaZanzibar. Ni wazi kuwa Rais anaweza akatoka Zanzibar au Tanganyika. Kwa hiyo kusema Rais ni Mzanzibar siyo kosa bali ni ukweli. Anayebisha aseme basi Rais anatoka wapi. Nafikiri kulikuza jambo hili kuwa ni ubaguzi siyo sahihi.
Yaani huyu mbunge imekuaje anaongea lsfudhi ya kibara kamavile haja zaliwa na ku kukulia Pemba. Au ndio wale ambao makaazi yao yapo Bara ila jimbo liko Pemba 😅😅😅
TUNATAKA WAJE PEMBA KWA PARSPOT HAWA WANYAMWEZI😂😂😂
Wazanzibar wanatakiwa wapaze sauti kila siku kuogopa ogopa ifikie mwisho watazidi kutuburuza hawa Zanzibar inakitambulisho chake cha uzanzibar ety wee so mzanzibar wee ni mtanzania halafu mbona mnainga,ngania Zanzibar sana why's????
Yeye anataka serikali 3, ya Muungano na serikali ya Zanzibar na Tanganyika. Pia anahangaika na Uzanzibari ambao hawezi kumsadidia.
Sisi Muhimu kwetu ni Zanzibar yenye Mamlaka kamili sio Tanzania tunajua Tanzania ni Tanganyika ni kivuli tu cha kuikalilia Zanzibar
Ni kweli sijui Nyerere alikua na nia Gani mpaka anatuajia bomu kubwa namna hii ambaye Leo tunafarakana
KWASABABU NYERERE ALIKUWA MLAFI NA ULAFI WAKE ALIFIKIRI ATAIFANYA ZANZIBARI NI JIMBO LAKE NDIO MAANA BARA MKAINGIZWA MKENGE 😂😂😂. TAMAA MBAYA ZA MWALIMU WENU MJINGA NDIO WAZANZIBARI BARI TUNAPATA FURSA YA KUUZA BANDARI ZENU KWA WARABU WETU NA MBUGA ZENU ZA WANYAMA MPAKA TUMALIZE. HATA WABARA MKIPATA UHURU UJUE ZANZIBARI TUSHAWALA KISHUNDU 😂😂😂
Yote ni tanzani ni sawa nitakavotoka mwanza kwenda dar sa passport ya nni na nchi ni moja ye mwenyewe apo alipo hana paspoti afu yupo bara mpuuzi kwel,,, ukitaka urais gombea tukupe kura acha upuuzi
Mpuuz babaako
Munakataakatiba mpya kwasababu dhamirizenu zawashuhudia mumepewa ubunge wa mabavu,mupo Kwa ajili ya matumboyenu na familiazenu sio Kwaajiliyetu watanzania,mpina usiogope mungu atakulinda semaukwelimtupu,wakipitamitaani hawana hatamvuto,uheshimiwa gani mulionao Huku munauzanchiyetu?mwogopeni mungu
Mna nini ambacho mnajivunia huko zanzibar,mbaki pekeyenu baharini muone.Someni history ya zanzibar kiundani na location yake.Kama hamtavuliwa nguo
Mimi mwenyewe siwapendi wa znz kwa kuuzaa bandari zetu bara mmeanza ubaguzi na mwanzirishi wa ubaguzi ni Mh samia na limote yake ya msoga tutamzomea samia wakati wa kampeni zake
Huna lote limekuganda hilo Passport ni lazima ipo zamani
Co passport ht mkitaka 2gawane fresh 2 cc 2nataka nn kwenu marais wt wawil wazanzibar na cc ha2semi nyinyi wazanzibar mnajitambua kwer mm naona samia na mwinyi akir zao zingekuwa km nyinyi ingekuwa vurugu mechi
Co passport ht mkitaka 2gawane fresh 2 cc 2nataka nn kwenu marais wt wawil wazanzibar na cc ha2semi nyinyi wazanzibar mnajitambua kwer mm naona samia na mwinyi akir zao zingekuwa km nyinyi ingekuwa vurugu mechi
Kama mheshimiwa speaker angekuwa makini jimbo analowakilisha mbunge huyu lingetangazwa JIMBO WAZI na mchakato wa uchaguzi ungeanza kesho asubuhi. Huwezi kuukana utaifa ukabaki na dhamana ya ubunge. Ana hasira, anatukana ovyo, hana kariba ya ulmi, hafai! Sasa sijui kama bunge letu ni kibogoyo au limeng'oka meno!
Jaribu muone ndio patachinbika zai
KOMENI KUMDHARAU RAISI WA NCHI.
Wazanzibari ni wabaguzi kwanini hata kipindi chauchaguzi ukiwa kitambulisho cha Zanzibar ila ukigundulika ni mtanganyika unawekwa ndani? Na kwanini asilimali zetu tunawakatia fungu ila wao hawajawai jaman mfikirie apo viongozi na mlitatue
Huyu mbunge mwenyewe siyo mtanzania ni mzanzibari, atakuwaje Raidi wa nchi ambaye yeye anakiri kuwa kuwa yeye si Ntanzania? Tutamchagua Mtanzania ila kama siyo mtanzania bali mzanzibar, hatumuhitaji anatupigia kelele.
Safi sana , naunga mkono wazanzibar tunataka passport yetu , hatutaki kuwa na machogo
Nadhani ni vizuri sana tukitengana coz Tanganyika tuna kila kitù sioni maana ya kuungana, wazanzibar wakae na zanzibar Yao na Tanganyika tukae Tanganyika yetu ltakuwa poa sana
Akili hunaa
Sasa si nchi mbili mbona watu wa bara hawanunui ardhi zanzibar,, na wa zanzibar wamenunua huku bara😢😢😢wako tele ila watu wa wanaroho ngumu sana
Co roho ngumu wazanzibar ni acri yao waarabu kwahyo wana roho mbaya hawa
Hii ndoa ya muungano ni kubakana tu Wala siyo mapenzi msimlaumu mh Mbowe watanganyika tunaburuzwa tu
wazanzibar wanajielewa sana.hata wabunge hawtaki kuitwa watanzania..lakini watanganyika wanapenda kuitwa watanzania na kusahau utanganyika wao.ndio maana za Tanganyika zinachezewa lakin za zanzibar zinalindwa kwa kiza kijacho.jamani wabunge tulio wachagua watanganyika wenzetu.ebu situken bac.punguzen uchawa angalien Tanganyika kwanza. mukizubaa mutakuja kustuls Kila kitu sio chetu tena.mutakiambia Nini kizaz kinacho kuja.
Uko wp huo utanganyika wenu kipi kinachokufanyeni nyinyi kujiita wtnganyika muliaminiahwa kwmba hkun mtnganyika wa mznzbar munaamini hivyo lkn cc wznzbar tunaamini hkuna Tnznia bli kuna mznzbar tu na hkuna mznzbar anaejiita yeye nimtnznia bli kuna wtu wliokua wtnganyika wnajiita wao niwtnzania 😂😂😂😂nakuikana nakuifuta tngnyika yao
Haiwezikua mtanganyika na mzanzibar sawa numbingly na ardhi watanganyikaniwashenzi nushenziwaowameufikishahadi zanzibar wiziwalevimalaya zanzisasakunanukakwasababuyawatanganyika
Wabunge wa Zanzibar wanajitambua sana, wabunge wa Tanzania bara hawajitambui kabisa, ni mazuzu tu na uchawa tu
Mheshimiwa presha yako iko juu sana fanya mazoezi broo.
Kalewa posho
Wazanzibar ndo wabaguz Sana koo mm Zanzibar siipend kabisayan bora muungano uvunjike tu
Hakuna kitu ninachokichukia ktk maisha yang km watanganyika mana ni matapel wezi washenz Wana Killa aina ya ushenz
Hiyo ndio demokrasia ya kweli na Uhuru wa maoni
sisi ni wazanzibar.
Sio watanzania.
Wala sio watanganyika.
Ndouwo ubaguzi tunao ambiwa
Sorry lkn,KM ANAKATAA UTANZANIA(HAFAI KUA KIONGOZI)AU KM ANAKATAA MFUMO WA UTANZANIA ULIVYO(HAJAKOSEA)INSHAA ALLA KHEIR
Tumshukiru tu kwa kusimama kuchangia ila kiujumla kuna hoja ambazo sio kipaumbele ndani ya hilo jengo letu tukufu huko dodoma
Sisi Wazanzibari Muungano sio kipa umbele chetu.
Sisi Wazanzibari tunataka mamlaka kamili.
Safi sana muheshi tuko pamoja kaza kamba hataka wengine tuko Kenya but tuko wote hatutaki muungano tena wabaki na utanganyika wao tubaki na Zanzibar yetu
Nyie ndiyo mtakao umia
Wazanzibar nyie wabaguzi..
Wabara mnataka tuingie Zanzibar kwa passport. Kivipi nchi mmoja kwann mnataka passport za nn???
Mnazuia wabara kumiriki ardhi huko visiwani. Wakati nyie mkija huku mnamiriki ardhi bila shida...
Wabara hawaruhisiwi kuwa viongozi Zanzibar . Wakiti nyie huku mnaongoza bara
Tanzania haina watu wanaojulikana kama WABARA bali kuna watanganyika na wazanzibari. Zingatia hilo!
Nchi mbili co moja
KAMA NCHI MOJA ISINGEITWA MUNGANO NINI MAANA YA MUUNGANO ???
Nchi moja umeiunda weye hiz nchi mbili ziloungana itafuteni tanganyika yenu
ukipigia hesabu ya visiwa vya zanzibar ukubwa wake ukilinganisha na tanzania bara ndio utajua kuna umuhimu wa ww kuja kwa passport uku zanzibar
Kila mtu akae kwake! Kila mtu akae kwake! Nchi ndogo inataka kukaa kichwani mwa nchi kubwa?Huu muungano umefeli!
Mbona mzanzibar anaweza miliki ardhi bara lakini mbara hawezi miliki zanzibar?
Watanganyika munajikomba Sana kwa hawa wanyamwezi na wasukuma na wamakonde watumwa na wavuvi wa wa waarabu, anajamba hapo ameshiba posho kutoka kwa wakinga na wanyakyusa ,,, pumbavu😮
Huo ni ubaguzi mzee mwwnzangu wapemba acheni siasa musiikaange mbuyu mukaja walisha wengine
Mwenyewe kasema yeye ni mzanzibar nyie mnamlazimisha awe mtanzania, kwakua nyie hajitambui kuukana utanganyika wenu,lisu hana mpinzani kwenye hoja yake,tumpe maua yake lisu🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kwa nn serikari 3 inakigugumizi??
Mwanzo mbn umekubali kuwa ni mzanzibari mbn unajikataa
Kwa Nini bandari za Zanzibar hazijaunganishwa ktk mkataba wa DPw Mali za Zanzibar bandari zake mbona hazipo
Watanzania mulio nje ya nchi popote duniani chunguzenimtu yeyote anae ficha pesayetu njeyanchi ukifika wakati zijezirudi
Ndio Mheshimiwa waingie Zanzibar na paspoti makafiri hao hawana ata dini awo waja fanya nn kwetu
Dini uliletewa na muarabu acha ufala weye
NAOMBA NIULIZEE NANI ALIMUONA MTU KUTOKA BARA KAWA RAISI WA ZANZIBAR NAN ALIINA KUNA MBUNGE KUTOKA BARA KAWA MBUNGE WA ZANZIBAR TUAMKEE TUJIELEWEE
Tunduliss alisema Zanzibar hwjlizia muungano
hapo kweli wanzanzibari ndyo wanao zinguwa wanaubanguzi na zalau juu
Mheshimiwa ni mpinatu,wengine wote hawanahadhi ya kuitwa waheshimiwa kufuata a na matendoyao
Mbona taarifa zimekuwa nyingi, Why!
Hawa ote awana njaa wanashiba vizur san sisi huku tunapata shida tu
Serikali ya Ya muungano ndio nn, kwanza wazanzibar hawastahili hata kuwepo bungeni hawasa pumbavuuuu zaoooo , Tunaitaka Tanganyika yetu !
Nataka tanganyikayenu ingiieni barabarani mpaka mahakaman mkadaihuko
Wabunge wazanzibar wamokatika sehem yamuungano ila ukivunjika muungano hamtowaona hao
wazanzibari mnapaswa kuamka sasa hiki kisaka cha muungano kinatukosesha haki zetu nyingi lkn kubwa zaid kisiwa kidgo kinaelemewa na uhamiaji kutoka bara ambao baada ya miaka kadhaa pa kutia mguu itakuw hapana serekali haina udhibiti kuhusu jambo hili . hali itakuja kua ngumu zaid miaka ikizidi kusonga
Fala ww amnaakili
@@MosesEmanuel-fs3lc ukiwa nazo ww tu inatosha
Mimi sio mzanzibar ila nawaunga mkono WA Zanzibar mdai uhuru wenu mnatawaliwa
@@milanozanzibar ww nishoga tu maana unataka uhururu njoo Arusha tuwape
@@MosesEmanuel-fs3lc fumba choo chako chogo ww
NAHAPO HAMGUNDUI CCM hamuoni Kama mnajipendekeza?
Naona wazanzibari wanasema wanadhulumiwa
Nataka kujua wanafhuliwa wapi
Mmasai akipita sehemu popote Tanzania anaeitwa kwa kabila lake Wala hakuna shida Leo mzanzibari akiitwa mzanzibari huku bara ni ubaguzi, wakiitwa watanzania hawataki pia Sasa watuambie wanataka waitwaje?
Muungano mnaungangania wa nini au mna manufaa gani kwa huo Muungano. Ipitishwe referrendum wakati wa uchaguzi mkuu, ili tujue kama Muungano uendelee au uvunjike
ZNZ ipo Kamili maana Ina serikali yake.hata mkisema.
Serikali ya Tanganyika Iko wapi?
TANYIKA NA ZANZIBAR SIO NCHI MOJA! ZANZIBAR INA KATIBA YAKE NA RAIS WAKE, WATANGANYIKA NDIO MAZUZU NA WALEMAVU WA AKILI!
Hakika !
Dooooh hao wanaoishi visiwani hawataki muungano muungano uvunjwe tuu watanganyika tubaki kwetu na wao warudi kwao na walipr Kodi ya makazi kama wageni
Wazanzibar na watanganyika sio wamoja wacheni kujipendekeza hatuwataki tena watanganyika kuja Zanzibar huyo mbunge muacheni aongee musimkatizie muda wake hatuna umoja na watanganyika na wala hatuna haja na watangika kwendendeni mbele mbele huko
Mna kipi huku Zanzibar hadi tujikombe kwenu masikini wa kutupwa
Tulo wingi Zanzibar hatutaki mungano wanazalimisha TU Tanganyika kwa maslahi yao
Hatuwataki hata sisi 😂
Kwendeni zenu
Wabaguzi na wazanzibar cyo Sisi…Haki huu Muungano ungevunjwa tu au kuwe na serikali tatu..
Wazanzibar hatuutaki muungano .kwani lazima .mitanganyika nyieee.
@@ibrahimame9805 moto ushawaka hata watanganyika nao hawataki tena na Hali inazidi
Hamna jipya Roho za dhuruma zinawatafuna mnatapatapa kujadili mambo ya msingi hamna mumeuza bandali na ngorongoro mnajinenepesha ninyi wengine wafa njaa Mungu anawaona
Tunadai Tanganyika yeti! Wazanzibari wasitutanie
WA ZNZ WANA ROHO YA UBAGUZI WAKATI NIWANYAMWEZI CJUI WANATUCHUKULIAJE?YANA ROHO M'BAYA SANAAAA
Asiyekuwa Mtanzania/anayekana Utanzania anafaa kuendelea kuwa mbunge?
Rudisha wakanywe urojo
KOMENI KUMDHARAU RAISI.
@@salimmalaka256 amezungumxiwa huyu MBUNGE, sio RAIS, rais mbona hana kauli km hizo?
@@Worldunite HUJANIFAHAMU YEYE ANACHO ONGELEA NI WATU KUTOWA KAULI CHAFU KWA RAISI HAJAUKATAA MUUNGANO UJUWE HILO.
Wewe dada usiseme kwamba watanzania wote tuna sapoti
Mh mohd issa yupo sawa
Nyinyi kumbe ndio mnae tengeneza ukabira😢
Kuna zanbari na tanganga nyika la sivyo kuna tanzania bara na tanzania viziwani .
Ndio Muheshimiwa usipokee taarifa, Kwani hapo Mwanzo hakuwepo Mh Nyerere na Mh Mkapa mbona huku Zanzibar hatukusema kuwa tumetawaliwa, Hapa hakuna mjadala, panatikiwa zile kero za Muungano zitatuliwe. Hizi ndo kero Zenyewe.
Kweli kabisa wazanzibar wana ubaguzi sana,ukitaka kujua ubaguzi wao nenda kwao ndio utajua
Hivi tuna matatizo gani Tanganyika Zanzibar tumelogwa na nani?kila Raisi wa Zanzibar anakili tatizo hivi ni uraisi wa namna gani ule haendi nje wala hatembelewi na maraisi jamani tuachane na ujima huo yanayo fanyika si biblia wala msahafu kwa maoni yangu Zanzibar iwe huru Tanganyika iwe huru
Wenyewe wabaguzi kama nini, utadhani wametoka peponi
Hili bunge hivi wanajua kuwa mishahara ni midogo Kwa walimu wanaongea nonsense tyu
Uyo mbunge wa Zanzibar ni zamwamwa kweli aiwezikani nchi moja usafiri kwa passport eti kwa ajiri ya usalama afadhar angesema Kitumike Kitambulisho Cha Nida kama kitumikavyo sasa ange eleweka lakin siyo kusema passports. Hata ivyo Wazanzibar walisha jibagua wenyewe kwa kutokua sehemu ya muungano kwa maaana ya kujitengenezea vitambulisho vyao vya Taifa, na wanarahisi wao pamoja na bunge lao na serikali yao ivyo tunaomba Wazanzibar mtuachie Bunge letu please bakini kwenu Tunaitaji Tanganyika yetu iheshimiwe na ihudumiwe na kusimamiwa na Watanganyika wenyewe.
Hamwishi na hizo taarifa. Mwecheni akamilishe.