Lissu alivyogoma kutoka Mahakamani ili asikamatwe na Polisi Dodoma

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 298

  • @meshackswai2843
    @meshackswai2843 4 ปีที่แล้ว +2

    Lisu Mungu anakuenda umalize kz yko ndio akuite kk kiukweli an vr goog my brother

  • @muhidinihassani520
    @muhidinihassani520 5 ปีที่แล้ว +5

    Mungu mjalie lisu

  • @brownmshan2629
    @brownmshan2629 7 ปีที่แล้ว +38

    binafsi huwa nakaa chini nazichambua hoja zako, nakuelewa xnaaa lisu na nakuunga mkono myb kwa sababu ya uwingi au uchache wa akili yang...!! ur right man.

  • @merrysabina7798
    @merrysabina7798 7 ปีที่แล้ว +4

    nakielewa sana hiki kichwa kimebarikiwa sana

  • @thadeipeter2592
    @thadeipeter2592 7 ปีที่แล้ว +22

    I love you Brother.

  • @fahamyjuma7082
    @fahamyjuma7082 7 ปีที่แล้ว +27

    nakulewa sana lisu

  • @meshackswai2843
    @meshackswai2843 4 ปีที่แล้ว +1

    Tundu mungu akupe maisha marefu kaka yngu

  • @officialkinghezekiah2094
    @officialkinghezekiah2094 7 ปีที่แล้ว +52

    unaongea mambo mapana sana kulko akil z baadhi y w Tz ...hatjui uhuru wetu 2nabak kutshwa kila leo

  • @morisbarakah5292
    @morisbarakah5292 7 ปีที่แล้ว +17

    pole sana kamanda lissu

  • @kfastak
    @kfastak 6 ปีที่แล้ว +2

    Dah. Baada yasiku hii, skuchache waka kupiga risas ... Pole Sana lisu.....

  • @edwinsombi175
    @edwinsombi175 7 ปีที่แล้ว +7

    i real love you lissu. uko vzur sana. long live sir

  • @footageguru
    @footageguru 7 ปีที่แล้ว +9

    Uhuru ni mdogo sana tz ndo kinachosumbua

  • @renoxtz8418
    @renoxtz8418 7 ปีที่แล้ว +46

    pole sana lissu ni kweli unachokiongea nchi hii niya kidiktekta pole sana hakimu

    • @meshackymishondo8087
      @meshackymishondo8087 7 ปีที่แล้ว

      kumbe unaongopaga mweu wee

    • @petervisent1522
      @petervisent1522 7 ปีที่แล้ว +2

      ww hata kuandka hujui muache msomi

    • @immamlowe734
      @immamlowe734 7 ปีที่แล้ว +1

      Hakuna msomi Tanzania. kama tungekuwa na wasomi tusingenunua maji ya drip Uganda.

    • @immamlowe734
      @immamlowe734 7 ปีที่แล้ว +3

      Renox Tz unampa pole ya nn?

    • @mtawalanyazirari376
      @mtawalanyazirari376 7 ปีที่แล้ว +4

      Renox Tz kumbe hata hujui tofauti ya wakili na hakumu ndio maana unamfurahia saaana tundulisu.

  • @jifunzeteknolojia9304
    @jifunzeteknolojia9304 7 ปีที่แล้ว +19

    Unatisha kamanda lissu

  • @joachimerass389
    @joachimerass389 7 ปีที่แล้ว +7

    Aiseeee wewe ni noma kuliko one love

    • @modestuskibwana8996
      @modestuskibwana8996 7 ปีที่แล้ว +2

      kumbe unajua kama unakosea,toka nje wewe si jasiri, unaogopa nini?

  • @bugombatv2166
    @bugombatv2166 7 ปีที่แล้ว +3

    Pole sn kk

  • @amirmotors9735
    @amirmotors9735 7 ปีที่แล้ว +14

    huu kwa mahakam mtaishia kumkamat tu kisha mnamuachia kwa sabbu vifung vyote vya sheria anavijua

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 3 ปีที่แล้ว

      Wakati mwingine ukimfunga mtu mwanasiasa unampa ujiko zaidi,,,,,,

  • @MasungaNekwa
    @MasungaNekwa 2 หลายเดือนก่อน

    Mwamba wa Afrika Mungu akulinde na akutunze.

  • @uthmanihimbawe5244
    @uthmanihimbawe5244 4 ปีที่แล้ว

    Mungu akusimamie

  • @KelvinLoshiva
    @KelvinLoshiva หลายเดือนก่อน

    Nzur

  • @chinaliviga7366
    @chinaliviga7366 5 ปีที่แล้ว +3

    Mungu yuko pamoja naww lisu kama serekari ya tanzania 🇹🇿 ya awam ya 5 kama aitaki hak kwako mungu ana waona apa dunian tuna pita kama awatak hak apa tulipo bc kwa mungu haki ipo______p1 xana mheshimiwa lissu uzma wa milele kwako mpenda haki

  • @ibrahimmzee3237
    @ibrahimmzee3237 7 ปีที่แล้ว +6

    Fresh brain

  • @victormalinga639
    @victormalinga639 5 ปีที่แล้ว

    Akiri zako ni pevu sana kaka lisu, songs mbele kwa maslahi ya Tanzania Yetu Mungu yupo Brother......!!!!

  • @hermankaspar9238
    @hermankaspar9238 7 ปีที่แล้ว +3

    mungu yu pamoja nawe lissu

  • @anthermysatriwhymwamasika6550
    @anthermysatriwhymwamasika6550 7 ปีที่แล้ว +23

    napenda sana mh. tundu lisu aje kua rais wa tanzania mwaka 2020ntafurahi sana sana tena sana hakika mwenyewe mungu ni mwema ipo siku utajua rais mwaka 2020

    • @luthermkally8142
      @luthermkally8142 7 ปีที่แล้ว +4

      Anthermy Satriwhy Mwamasika ndoto hizoo za mchana labda awe kiranja Wa mirembe hospital lakini kuwa rais ndotoo

    • @calvinerasm4426
      @calvinerasm4426 7 ปีที่แล้ว +3

      Anthermy Satriwhy Mwamasika upo sahihi. muosha vyombo hawez kukuelewa

    • @piusmarcomakelele2021
      @piusmarcomakelele2021 7 ปีที่แล้ว +1

      awe rais kupitia wapi hafai kabisa hata huo ubuge bas2 hafai kuwa na cheo Chochote anaombea mabaya nchi ye2.

    • @jafarihamis3694
      @jafarihamis3694 7 ปีที่แล้ว +2

      hata kwa tochi haupati

    • @vailethstanley9214
      @vailethstanley9214 7 ปีที่แล้ว

      Anthermy Satriwhy Mwamasika hapati ht kwa kupanga bunduki na risasi kila kona ya barabara zote za kwenda mikoani

  • @daudihassan411
    @daudihassan411 7 ปีที่แล้ว +18

    nakukubalisana risu daa endelea hivyohivyo usiache

  • @kingdomembassychannel8660
    @kingdomembassychannel8660 4 ปีที่แล้ว +1

    Who else matching this 2020 niyeye

  • @lemausontz3513
    @lemausontz3513 ปีที่แล้ว

    Nimeumia sana ila Sasa Hayo mambo hayapo tena Kiukweli ilkua msoto msoto

  • @allytafu4144
    @allytafu4144 7 ปีที่แล้ว +26

    wakili msomi

  • @gezaulole7988
    @gezaulole7988 7 ปีที่แล้ว +13

    Shikamoo Lissu

  • @janeobure890
    @janeobure890 7 ปีที่แล้ว +6

    nakukubali sana tundu lisu unatutetea Zungumza, ss tunazuiwa kuongea tunaelewa yote yanayoendelea kaza buti hipo siku mungu atasikiliza vilio vyetu,hata Wana wa Israel waliteseka utumwa Misri kwa muda wa miaka 400 lakini ilifika kipindi mungu aliwatoa utumwani Misri.

  • @kombosudy6106
    @kombosudy6106 7 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana lisu

  • @laurentmwawende9556
    @laurentmwawende9556 7 ปีที่แล้ว

    Big up RCO Wambura

  • @givenmwikanu5527
    @givenmwikanu5527 7 ปีที่แล้ว +8

    Kiukweli kaongea point mno hadi machozi

  • @yohanaadamuyohanaadamu7914
    @yohanaadamuyohanaadamu7914 4 ปีที่แล้ว +3

    Nakukubali sana lisu

  • @shindapapaya9194
    @shindapapaya9194 7 ปีที่แล้ว +11

    toka wapo nnje

  • @carodavies3422
    @carodavies3422 5 ปีที่แล้ว

    Your Excellency.my president. You working hard and proving that you are pracatising DEMOCRACY and this is the reason. Why you have been appointed the SADC Chairperson.tell the police to bring up a report on who attempted to kill t honourable tundulissu.because arresting him will paint a bad picture on you .ccm andopposition parties after he is just coming frm the hospital

  • @isackigacka9802
    @isackigacka9802 7 ปีที่แล้ว

    lisu mungu akulinde saana sana

  • @mbiyugobo1031
    @mbiyugobo1031 4 ปีที่แล้ว +1

    Kwanini kaka usiachana nahaya mambo ya kutafutwa mapolice tatizo nini

  • @dichodaplaiza
    @dichodaplaiza 7 ปีที่แล้ว +210

    kichwa hiki jaman hebu kama unakielewa gonga like hapa

    • @immamlowe734
      @immamlowe734 7 ปีที่แล้ว +2

      Dicho Da plaiza kumbe unaogopa kukamatwa. utakoma. kwanza we mwongo unajihami tu

    • @mussaleokayombokayombo2063
      @mussaleokayombokayombo2063 7 ปีที่แล้ว +11

      lissu anajitambuwa ila wabongo elimu habule chitu

    • @saginiaruna2909
      @saginiaruna2909 7 ปีที่แล้ว +3

      Dicho Da plaiza bora wewe unaejua kuandika jina langu

    • @sonbramadhani2822
      @sonbramadhani2822 6 ปีที่แล้ว +1

      yani nakukubali hadi naumwa

  • @richardkubanda6805
    @richardkubanda6805 4 ปีที่แล้ว

    Nakukubari sana Mzee Lissu. Hakika hoja zako zinaukweli mwingi ndani yake. Nakuombea kila LA kher kwa Mungu. Hoja zako zina mashiko Baba Lissu.

  • @Bumutz-po2df
    @Bumutz-po2df 2 หลายเดือนก่อน

    Tundu is the Man of country 💯

  • @SedekiaIsrael
    @SedekiaIsrael 4 หลายเดือนก่อน

    Balaa

  • @farajambela6975
    @farajambela6975 7 ปีที่แล้ว +1

    Aiseee

  • @SAMSONKITULA77
    @SAMSONKITULA77 7 ปีที่แล้ว +2

    tuko pamoja mh lissu Na Mungu yuko pamoja nawe

  • @semenimwalongo1841
    @semenimwalongo1841 7 ปีที่แล้ว

    Hii nimbaya sana

  • @mejatate48
    @mejatate48 6 ปีที่แล้ว

    yaani we lisu mungu hajakuumba kwa bahati mbaya. yaan unastahili na Tanzania wakiwepo hata watano wa type yako tungekuwa mbali ila kamanda ucjali 2020 kama kawa

  • @nickoemanuel9213
    @nickoemanuel9213 7 ปีที่แล้ว +8

    Lissu hakika ww ni mwanashiria mashuhuri na maridadi haswa!!! Big up xana kamanda!!!

  • @kidangashemaginde6320
    @kidangashemaginde6320 7 ปีที่แล้ว +34

    watu kama hawa wangekua kama 10 tz ingepiga hatua sana

    • @bushraponera6163
      @bushraponera6163 7 ปีที่แล้ว +5

      nliwahi kuishi na mwasheria yaan kuishi na mwanashelia unaenjoy sana

    • @ecosysinvestmentlimited1934
      @ecosysinvestmentlimited1934 7 ปีที่แล้ว +4

      Ivi unatambua mtu akipata madaraka hubadilika sana

    • @nyakimadeye6629
      @nyakimadeye6629 7 ปีที่แล้ว +3

      yani tusinge pelekwa pelekwa kiivyo

    • @nafsaabdillah8216
      @nafsaabdillah8216 7 ปีที่แล้ว

      yea..tru

    • @dadileonard2392
      @dadileonard2392 7 ปีที่แล้ว +1

      oü ukamatwe tu kwani Unäsaidia nn ktk Taifa hili....!

  • @jifunzeteknolojia9304
    @jifunzeteknolojia9304 7 ปีที่แล้ว +12

    Nchi ya kidikteta

  • @carodavies3422
    @carodavies3422 5 ปีที่แล้ว

    True democracy expect opposition parties to console the government. Honourable tundulissu we are praying for your agent recovery. God see you thru

  • @marcodavid4183
    @marcodavid4183 7 ปีที่แล้ว

    lisu namkubali sana......huu mwamba ni habari nyingine.....ila serikali punguzeni manyanyaso kwa wapinzani

  • @jumarajabu2137
    @jumarajabu2137 7 ปีที่แล้ว +4

    pamoja sana

  • @enriquestephen5323
    @enriquestephen5323 4 ปีที่แล้ว

    Nawakumbusha tu wanaomchukia Lissu na kumbeza kwa minaajili ya uccm, au maslahi binafsi wanayoyapata kutoka ccm naomba mjue tu kuwa mnashindana na ile KWELI ambayo mungu katuletea watanzania, ili umwelewe Lissu, weka uccm kando kwa dakika 2 tu umsikilize ukiwa mtanzania asiye na chama cha kisiasa

  • @machinjashabani5331
    @machinjashabani5331 4 ปีที่แล้ว +1

    Pamoja mkuu

  • @khalidguffu
    @khalidguffu 7 ปีที่แล้ว +5

    Kuna haki ya kuzungumza ila hakuna haki baada ya kuzungumza ...KAMA UMEKUBALIANA NA MIMI PIGA LIKE

  • @eliampagike6262
    @eliampagike6262 7 ปีที่แล้ว +2

    natamani xn nngekuwa kma Tundulisu

  • @godfreyappollinary2650
    @godfreyappollinary2650 4 ปีที่แล้ว +1

    Kikubwa rafikiang lisu hujui kuongea, ila unajua kutukana na kuchochea, huna adabu kupitia kinywa,

  • @sazafsuma7542
    @sazafsuma7542 7 ปีที่แล้ว

    maguful sikumchagua nasita mchagua nakama ntamchagua naomba mungu nife hapo hapo

  • @saidzww
    @saidzww 7 ปีที่แล้ว +1

    ww si jeuli toka njee uwone

  • @devidisaya4346
    @devidisaya4346 5 ปีที่แล้ว +1

    Nyie ndo munazuwia ndege zetu wanafiki

  • @sulaimanabdallah4088
    @sulaimanabdallah4088 5 ปีที่แล้ว +2

    Tanzania siyo nchi ya kidikteta usianze kuvuruga nchi wote msukumwe ndani

  • @haroldukason4302
    @haroldukason4302 7 ปีที่แล้ว +5

    Rais nampenda anafanya vizur sana. pia namuunga mkono Lisu kwa kuwa watu kama hawa wana faida kubwa kwa kuwa wanawafanya viongozi wasijisahau na kupitiliza

    • @nicholausrutayuga5865
      @nicholausrutayuga5865 7 ปีที่แล้ว

      Harold Ukason Kelele zake zitamfanya raisi azidi kuwatumikia wananchi ili asiteleze. Watu kama huyu ni wa muhimu ili serikali isijisahau. Si vema sana kumsifu rais kwa sasa. Tumkosoe pale anapokosea, tusimsifu kwa mazuri maana hayo ndiyo yanayotegemewa na kila mtu, rais hakutuahidi kututendea mabaya bali mazuri, akitenda hatuna haja ya kukaa tukisifu. Kwa Hulka zetu mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Upo wakati ambapo tutamsifu...ni pale amemaliza vema kazi yake. Hata mwenyewe sijawahi kumsikia akiwaomba wananchi wamsifu, anaomba wamwombee. Nadhani hilo ndo la kufanya

  • @anafihassani8315
    @anafihassani8315 7 ปีที่แล้ว +2

    Acha nikae kimyaaa

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800 4 ปีที่แล้ว

    kamanda ulianza vita kitambo na sasa ushindi unakaribia

  • @benedictmtewele9842
    @benedictmtewele9842 7 ปีที่แล้ว

    Ila tz ya Leo mungu ndo anae jua ila najiuliza kuna MTU aliye juu ya sheria kweli nawaza tu kwa sauti

  • @josephmuya3596
    @josephmuya3596 7 ปีที่แล้ว +2

    Nimekuelewa sana Lissu, Upo sahihi kabisa

  • @muhdsseif5785
    @muhdsseif5785 4 ปีที่แล้ว

    Halafu anatokea mtu anajiita yeye ndio mzalendo na lissu msaliti. ACHENI KUMUNGUNYA MANENO . TUNDU ANTIPAS LISSU NDIE MZALENDO NA KWA MADHILA ALIYOFANYIWA YEYE NDIE ANAESTAHILI KUWA RAISI 2015.

  • @BARAKABLESSING
    @BARAKABLESSING 7 ปีที่แล้ว +1

    hakuna kana Antipas

  • @paulmosha6335
    @paulmosha6335 7 ปีที่แล้ว +4

    siasa bongos ukiongea ukweliii

  • @aloycekiwia8613
    @aloycekiwia8613 7 ปีที่แล้ว +15

    Ebu MAGUFULI achana kufuatilia sana Wapinzani..!UNAJIARIBIA..!We piga kazi kama unavyosema,wananchi watakurudisha IKULU kama utatimiza uliyoahidi tu!

    • @saginiaruna2909
      @saginiaruna2909 7 ปีที่แล้ว +3

      Aloyce Kiwia magufuli hajamfuatilia mtu sema lisu hata angetukanwa na Mke wake angesema ni njama za rais ila huku kwetu tushamzoea

    • @issataslima6280
      @issataslima6280 7 ปีที่แล้ว

      +Sagini Aruna polesaaana wewe mtuganithujui hatakuandikajinalako

    • @nicholausrutayuga5865
      @nicholausrutayuga5865 7 ปีที่แล้ว +2

      Sagini Aruna hukusikia Rais akimwagiza Spika kuwashughulikia bungeni na yeye atadili nao wakiwa nje?

  • @regnaldobadia753
    @regnaldobadia753 5 ปีที่แล้ว +1

    Kichwa na akilii ya huyu jamaa computer haioni ndani.

  • @mboyajackson4574
    @mboyajackson4574 7 ปีที่แล้ว +2

    This guy he's so annoying, naomba tu akamatwe na afungwe maisha.

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 4 ปีที่แล้ว

      Na nosivyompenda anavyobwata kam halim mdee mhh wakafie huko huko

  • @victorstv255
    @victorstv255 7 ปีที่แล้ว

    HONGERA TUNDU LISSU kwa ujasiliwako laiti wangekuepo watu majasili kama lissu inchi ingepona

  • @aeroportonissan8077
    @aeroportonissan8077 7 ปีที่แล้ว +22

    duh!
    huyu jamaa ni jasiri.

    • @johns794
      @johns794 7 ปีที่แล้ว +3

      aeroporto Nissan Angetoka kama kweli nijasiri mpuuzi huyu.

    • @aeroportonissan8077
      @aeroportonissan8077 7 ปีที่แล้ว +1

      John s umenifuraisha sana kwa comment yako ya reply

    • @mrdeniskomba768
      @mrdeniskomba768 7 ปีที่แล้ว +9

      aeroporto Nissan mwenye akili timamu hawezi mpuuza risu.

    • @aeroportonissan8077
      @aeroportonissan8077 7 ปีที่แล้ว +3

      kwaiyo Jones hana akili timamu?

    • @nyakimadeye6629
      @nyakimadeye6629 7 ปีที่แล้ว +3

      nikweli kabisa yani huyu jamaa acha kabisa

  • @kingdomembassychannel8660
    @kingdomembassychannel8660 4 ปีที่แล้ว +2

    Mwamba tuvusheeee

  • @jamesswai6583
    @jamesswai6583 7 ปีที่แล้ว +1

    mmmh!

  • @nicethamanonga5855
    @nicethamanonga5855 4 ปีที่แล้ว

    Sijui alisomea wp uchochezi uyu baba

    • @gregoryocalvin9122
      @gregoryocalvin9122 4 ปีที่แล้ว

      Wewe sijui umesomea wapi ujinga
      Maana umefaulu ujinga kwa stashahada ya uzamivu ya ujinga

  • @ukweliunauma4570
    @ukweliunauma4570 4 ปีที่แล้ว

    Walikua wanakuinda zamani hawa jamaa, Mungu Anakupenda, wana anza tena hao watch out kamanda madictor wapo bado hapo eehh!

  • @brownjob9756
    @brownjob9756 7 ปีที่แล้ว

    kweli Lussu bongo bahati mbaya tu

  • @immamlowe734
    @immamlowe734 7 ปีที่แล้ว +1

    toka nji boss

  • @immamlowe734
    @immamlowe734 7 ปีที่แล้ว +3

    idad ya kukamatwa kinaendana na makosa

  • @emmanuelbirage4931
    @emmanuelbirage4931 7 ปีที่แล้ว +1

    bro toka nje tuone, basi si hauna kosa??

    • @markomabula3465
      @markomabula3465 5 ปีที่แล้ว

      sasa unagoma kutoka kwan hapo mahakamani ndiyo kwako nakama huna kosa mbona wasiwasi mwingi mzee baba

  • @kassidpandu9806
    @kassidpandu9806 5 ปีที่แล้ว +2

    Simuelewi kabisa hajui Sheria ni porojo tu wakiki gani anamchukia mkuu wa nchi yake

  • @immamlowe734
    @immamlowe734 7 ปีที่แล้ว +2

    wasomi gani wanakimbilia siasa?

  • @semenimtoka1121
    @semenimtoka1121 4 ปีที่แล้ว

    Acha unafki mbwa weee

  • @jbmonlinetv257
    @jbmonlinetv257 5 ปีที่แล้ว +2

    Br unatxh xnaaaaaa i like to be like you

  • @enockfumbuka107
    @enockfumbuka107 4 ปีที่แล้ว

    SIYO WAPINZANI WOTE NI NYINYI WACHACHE AND YOU ARE NOT ABOVE THE LAW.WAIT AND SEE JUSTICE IS NOT ONLY DONE BUT IT MUST BE SEEN TO BE DONE.TAKE YOU WILL GET TIRED OF FIGHTING THE GVT IN POWER.BE ASURED YOU ARE CONFUSED BE CAREFUL.

  • @saifalbarwani4993
    @saifalbarwani4993 4 ปีที่แล้ว +1

    penda sana wewe🤗🤗🤗🤗

  • @musasamwel9578
    @musasamwel9578 5 ปีที่แล้ว

    mimi nasema nyinyi wote munao mtukana tundulisu pumbavu zenu tena munakula mav

  • @omaryjamal1146
    @omaryjamal1146 4 ปีที่แล้ว

    Kama wanajua sheria kwa nini wanatumia bastora

  • @paulopastoli4827
    @paulopastoli4827 4 ปีที่แล้ว

    yan wwe hnamaana hata kgdo pga klle ira utanyamaza tuu

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 7 ปีที่แล้ว +10

    Waliambiwa haupo nyumbani na ni Dar es Salaam?maana yake hauishi Singida kule jimboni kwako unatatuaje matatizo ya wananchi wako?

    • @rukiarswidu834
      @rukiarswidu834 7 ปีที่แล้ว

      george massebu haihusiani kutokuwepo jimbon.kiongoz wa kitaifa huyu

    • @georgemassebu2083
      @georgemassebu2083 7 ปีที่แล้ว +1

      Rukia R Swidu mmeshikiwa akili mpaka nakuhurumieni

    • @rukiarswidu834
      @rukiarswidu834 7 ปีที่แล้ว +2

      george massebu jihurumie mwenyewe na kizaz chako.mpige LISSU kwa hoja.acha porojo.umesikia hoja zake na umezielewa?

    • @georgemassebu2083
      @georgemassebu2083 7 ปีที่แล้ว +2

      Rukia R Swidu siwezi kua na sababu ya kubishana na wewe hata kidogo maana unajionyesha akili yako iko vipi.MUNGU akusaidie sana na uwe na siku njema

    • @chrispinkilasi1648
      @chrispinkilasi1648 7 ปีที่แล้ว +3

      george massebu huyu pia ni rais wa mawakili tanzania kwa hyo ofisi zake ziko dar....

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 4 ปีที่แล้ว

    Duuuuuuuuu

  • @renatusmsenyele2253
    @renatusmsenyele2253 7 ปีที่แล้ว +3

    Ukome mkamateni anatuletea habari za wapi msomi asiyejua usomi wake kamata ashike adabu kwanza ajue hii nchi imefikia wapi na inaenda wapi cyo kuropoka kuanza kuchonganisha wananchi

  • @godfreymlay5106
    @godfreymlay5106 7 ปีที่แล้ว +2

    lisu wewe unaongelea udiktekta hivi unajua maana yake mimi nilikuwa natamani sana nchi ishikiliwe na jeshi nione hizo pumba zako utamuelezea nani usiwe mdomodomo sana fanya kazi yako pita kushoto duniani mapito tu hapa

    • @giztony2009
      @giztony2009 5 หลายเดือนก่อน

      Mbona unaongea kama umekatwa kichwa

  • @jacksonelieza5
    @jacksonelieza5 7 ปีที่แล้ว

    ujui ulicho kifanya utakubali

  • @mchomvuthuma8329
    @mchomvuthuma8329 7 ปีที่แล้ว

    wabongo
    huyu
    lisu
    hajui
    chochote
    anaogopa
    wazungu
    mwanasheria
    gani

  • @josephatjosephbaza2962
    @josephatjosephbaza2962 5 ปีที่แล้ว

    hakika lissu ndiye mtanzania wa kweli. Mungu akuponye

  • @atukuzwemungudaimaariseand6156
    @atukuzwemungudaimaariseand6156 7 ปีที่แล้ว +1

    lisu nishida kwa ccm lakini wanamuonea yuko sahii