FULL VIDEO- TUNDU LISU AMUITA RAIS MAGUFULI DIKTETA UCHWALA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
- MBUNGE WA SINGIDA KWA TIKETI CHADEMA,MWASHERIA MKUU WA CHADEMA NA RAIS WA TLS TUNDU LISU AMESEMA RAIS MAGUFULI ANAENDA NCHI KWA MISINGI YA UPENDELEO WA KIFAMILIA,KIKABILA NA KIKANDA
HAYO AMEYAZUNGUMZA LEO MAKAO MAKUU YA CHAMA HICHO KINONDONI JIJINI DAR ES SALAAM KWENYE MKUTANO WAKE NA WAANDISHI WA HABARI
Asante Lissu, wewe ni MTU Wa kipekee kwa wakati sahihi. Mungu akuweke salama.
Silanda Silanda ..kama huoni mema anayofanya magufuli.. Naomba MUNGU akupige ukipofu WA macho Usije ona chochote maishani mwako
julius katemi nitajie unayoona yamefanyika niyasifie,
+julius katemi hahaaa mbavu zangu mie kwel apigwe upofu
Silanda Silanda big up lisu
Wabongo kwa unafk..... Ndo zetu
Oooooh kung'ata pole
Hat mwan pharsa alixema mtu vuguvugu ni hatar
mungu akubariki lissu akupe usalama kila uendapo
Asante Kwa Kutufuatilia
JPM anaweza kuwa the best in this country ila anapaswa kufata misingi ya katiba
Lissu anachokisema au kukipigania ni kufatwa kwa katiba hii kitu kuna watu hawajamwelewa kwakua wameweka ushabiki ila ipo siku tutakuja kumwelewa.
Issue ya Escrow ulileta ushabiki namna hii angalia sasa yaliyoibuka
hivi kuna ugumu gani kufata sheria na katiba inavyosema?
Asante Kwa Kutufuatilia
Kuwe na debate ya wagombes waone muziki was Lissu
Asante Kwa Kutufuatilia
tundu mungu anakuona wanaokubeza Leo kesho wataelewa unamanisha nini tatizo ninalo liona wengi wao wako kishabiki kama si kuonyesha nidhamu ya woga wanajalibu kuupindisha ukweli ili uonekane ni uongo au uchochezi iko siku utakumbukwa daima siku zote wenye mawazo mgando au hasi hawataki kukosolewa hata kama wanakosea jipe moyo lisu wengi tupo nyuma yako.
Maisha yake hatokaa aje kuwa rais! Labda awe rais wa familia yake!
Asante Kwa Kutufuatilia
Ww hapo unajifanya kumwelewa lisu mwelewe ww ss wengine tunahangaika na Alie tusaidia Corona huyo mbelighiji
Ndo maana watesi wako wako walishindwa kutoa uhai wako!!
Asante Kwa Kutufuatilia
Nakubali kamanda wangu mbele mbele yao
Asante Kwa Kutufuatilia
Kuna siku watakuja kukuelewa Lisu,unachoongea wachache bado hawakuelewi
Fuck u
Asante Kwa Kutufuatilia
We choko na huyu bwana wako risu
Watamwelewa kwa lipi labda kujiteka mwenyewe
@@zaidatuissa3018 tena mjinga alie pindukia kbs
Ninakukubal lissu 👏👏👏👏👏
Asante Kwa Kutufuatilia
Nimekumic sana lissu nikaona nirudi kucheki hii clip rudi bwana kunakitu tunakitunakosa
Asante Kwa Kutufuatilia
HUYU MWAMBA HAJAWAHI KUMUNG'UNYA MANENO ❤❤ WALA YEYE SIO KAMA KINYONGA HAJAWAHI KUYUMBA KWA MISIMAMO YAKE YA KUSIMÀMIA HAKI NAMPENDA SANA HUYU MWANAUME.❤
Asante Kwa Kutufuatilia
My favorite african politician.
Asante Kwa Kutufuatilia
Nyerere alipinga sana ukabila but raisi wetu sasa anaturudisha huko so hongera sana lisu kufumbua macho ya wasio jua, Bali watu wa ndio mzee wata kutusi but mungu awe nawe
Asante Kwa Kutufuatilia
Duh! Kunakipindi kabla cjakufuatilia nilikua ckuelewi kabisa ila sasa nakuelewa vibaya mno
Asante Kwa Kutufuatilia
Great mind discuss future!
Asante Kwa Kutufuatilia
big up men
Asante Kwa Kutufuatilia
nilikua sijasikiliza hii.Lakini kama this is true aisee its time watanzania tuwe wazalendo na sio kuwa waoga tena.
Asante Kwa Kutufuatilia
Anza wwww
Wewe unawenge, acha maneno ya kuiga
Big up lissu
Asante Kwa Kutufuatilia
we don't want to be lead by dictatorship kind of leadership end of the day blood will shed if not of the president himself it'll be of the people by the people (chama kwa chama) sure am telling you,GOD BLESS TSNZANIA tungejua mapema tungeipiga chini ccm tukaipa kijiti chadema
Asante Kwa Kutufuatilia
big up
Asante Kwa Kutufuatilia
Nampenda sna nakuombea kwa mungu upone
Asante Kwa Kutufuatilia
Me naomba afe na ushoga wake
@@washingtonjohnson3335 umenichekesh wew na kunikosha pia, yahn simpend uyu bab
Lissu takatak mkubwa wew
Asante Kwa Kutufuatilia
Tna mmbwa kbs
Kweli ya lissu yametimia
Takataka ilishaondoka
I can understand Kwanini ulitakiwaufe. You are important to the nation.siyokilamutuana take risk kamahiyo mzee
Asante Kwa Kutufuatilia
Safi Sana mungu akulinde Sana LISU
Asante Kwa Kutufuatilia
Lissu bwana!! Pona haraka bwana mambo yamellala huku!!
Asante Kwa Kutufuatilia
Nikweli kabisa, MH. Lussu sasa huku tunalia Vijana mitaani hakuna Ajira, Uchumi na Biashara ni Shida huku, Maendeleo yote ni Kanda ya ziwa
Asante Kwa Kutufuatilia
ukiwa mtu wachato utapewa ajira
nakuku bali tundu atakae kataa hajielew
Akili ndogo hii
Asante Kwa Kutufuatilia
Wew na lisu ndyo wte mapoyoyo
huna uliwezalo mpuuz tuu wewe
@@brightdeogratias6664 Yuko wapi mzee wenu?
Nguvu ya umma sauti ya Mungu
Asante Kwa Kutufuatilia
Magufuli na Serikali yake Oyee
Samiah Suluhu Oyee
Kassim Majaliwa Oyee
WaTanzania Wazalendo Wakweli wenye kuteka Maendeleo Oyee
Serikali.inayo.kusanya.kodi.kuliko.serikali.yote.duniani.serikali.inajaliwanyonge.kuliko.serikali.yote.duniani.usione.watanzania.wamenyamaza.sio.waji ga.kama.wewe
Asante Kwa Kutufuatilia
Lisu ww ni Kama shetan tu ww umefanyann jimbon kwako
Asante Kwa Kutufuatilia
Ulitaka afanye nini wewe jimboni kwake usha wahi kufika
@@selemaniahmadi8501 Hajielewi uyo analopoka kipindi chake ayo mageti mageti aliyapiga stop ili wananchi wasipate tabu
Dikteta uchwara ameshakufa sasa mama iongoze nchi kwa kufuata katiba
Hakika wanaompinga Lissu wametumwa na wanamaslahi yao ktk comments zao mitandaoni!!! Hata ukweli huu mnaupinga!!?
Asante Kwa Kutufuatilia
M4C mbele daima
Asante Kwa Kutufuatilia
Daima hata km wakae bila mikutano sera zao zinagusa wananchi kweli
Kamwambie mama yako
Pale mkuu wa kaya anapokuwa mfalme Juha..., Kila Kitu ni hovyo Tuu, watanzania wengi ubongo zao zina Kutu,wanahitaji kufanyiwa service ya kutosha ili waelewe...., Aluta continua Lissu..... ninakuelewa sana mkuu...... Hata kama Hii nchi ni kubwa isiwe sababu ya Mfalme Juha kujiamulia Tuu, kiholela
Asante Kwa Kutufuatilia
Mungu akurinde, mwanzo hawakukuelewa, Leo hii wanakuelewa
Asante Kwa Kutufuatilia
Umemuelewa wee mwenyew tu
Mkweli wa dhati!! Mungu akulinde!!
Asante Kwa Kutufuatilia
Tundu Lisu kalogwa. yupo kwa ajali ya kupinga.... anasapotiwa na aliologwa nao wenzie.. hata siku Moja Hatari msaada wowote kwa hii nchi.. majungu, uhasama, na wivu ndo yake tundu lisu.. ninge kuwa rais mimi ningemfunga kifungo cha Maisha jela.huyo lisu
TATIZO BADO UNAISHI KWA MAMA NA BABA NDO MAANA HUELEWI NN ANAONGEA.....JARIBU KUJITEGEMEA NA KULIPA KODI UTAELEWA MAMA ANGU
Asante Kwa Kutufuatilia
Mungu akubariki sana
Asante Kwa Kutufuatilia
lieu uko vizuri kaka wasio elewa watabaki na ujinga tu maana wanadhani woga ni sifa
Asante Kwa Kutufuatilia
Wewe ndio uzomewe na uchu wako wa madaraka Magufuri yuko juu kimataifa na kitaifa tunampenda hata akitawala miaka 30 anachofanya kinaonekana kwa vitendo sio maneno tena ndio Rais tulie muomba kwa mungu na dio tunayemtaka Tz
Asante Kwa Kutufuatilia
hahahaaa povu..povu..povu.. pole bro naona umevurugwa, nafasi Iko wazi gombea nawe 2020
Utamuelewa tuu Lissu yuko 100% sahihi
hunalolote wewe wizi wa kura na ubabe ndo unawabakisha madarakani.Refaree Jecha baada yakuona timu yake inashindwa akachukuwa mpira akafuta ushindi watimu asiteshabikia
Asante Kwa Kutufuatilia
@@jimmysalm3954 umefeli kwa ilo msijidanganye
Nakukubali sna baba
Asante Kwa Kutufuatilia
Wenye akili tunakuelewa sana,
ASANTENI KWA KUTUFUATILIA
Mungu akulinde akutie nguvu uweze kutuelemishe wengi bado hawajaelewa
Wewe huna akili kabisaaa hivi nyinyi huwa mnatoka hats kwenda mikowani kweri Nazi kupongeza utumbo wa huyu mbwa kama we we eti watakuelewa sisi tunataka mtendaji kazi tu hatutaki polojo eti tumpe ulaisi huyu tumelogwa ukinijibu tu mm bwana wako ukikaa kimya unaniogopa kenge wewe
mmmmmmhh......kuna mengi nilikua sijui lakini sasa nimejua yaani mpaka nimetetemeka.....
Asante Kwa Kutufuatilia
Unatetemeka nn katetemekee kwenu sio mitandaoni
Shikamoo Tundu Lissu
JChuwa Tv ok mungu akungose baba
Asante Kwa Kutufuatilia
Mungu alikupiginia kwa garama zote nchi ilikua inaongonzwa kifamilia na akuna aliyekua ana oji wala kuhuliza ata hayo magugu yaliyokua yanatumwa kuja kukuoji eti ni mchochezi yalikua yameka kmy ila yupo mungu asiye lala
Asante Kwa Kutufuatilia
ipo siku watu kaka watakuelewa natuko kuona mungu shahidi
Asante Kwa Kutufuatilia
IPO cku watakuelewa lissu!! unatufumbua mengi!! wacha wengine waendelee kushabikia tu pasipo kuangalia nyuma ya pazia kuna nn!
katufumbua nn kwa mfano
Frank de gang kweri bradha
Frank de gang tatizo sio kumuelewa, tunauhakika gani anazungumza ukweli?
Alishahi kutuaminisha Lowasa mwizi, kifika uchaguzi akampitisha na kumpigia kampeni mwizi ili aje atuibie. Alitoa kauli kama hizi kwa Lowasa na wenzie leo anawatetea. So La Choo sio mtu wa kumuamini kabisa. Ni mtu wa kiki tu. Anatakiwa apige kazi jimboni kwake. Na asisahau waliomba wenyewe wapate dikteta leo wanajuta . Wanataka tumpige. Kwendaaaaaaa.
Rama Khatibu :huoni mambo yanavoenda??kweli tunapopelekwa ni kwenye udicteta trust me
Hi
I'm from India and its nice to see so similar name (lisu) as my tribe name is Lisu too but I belong to the Mongolian tribe . what an coincidence .
Asante Kwa Kutufuatilia
tumeibiwa Mno..toka enzi za a babu zetu wazungu wanatuibia tu. Leo hii tumepata mtu Anaye pinga wizi Naye eti hatumtaki.. lisu uraniwe we mwana haramu
ASANTENI KWA KUTUFUATILIA
ndugu unakosea
Huyu jamaa ukikaa kiumakin ukamfatia anacho ongea utajionea maajabu mengi ya hii nchi maana utafunguka kiakili mungu azidi kumbariki huyu mtu hakika wahenga wanasema thamani ya mtu huonekana pale akifa ndipo watu watasema hakika mtu huyu halikuwa mwema kwa Yale haliyo kuwa akiyazungumza watanzania yatubidi kuhamka zaidi tuchukue madini ya dhahabu kwa huyu mtu Tena ya bure🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Asante Kwa Kutufuatilia
Kikwete mlimtukana hadharani tena bungeni akanyamaza. Sasa sjui unataka Babu yako ndo aje kuwa rais ndo unyamaze umuunge mkono? Au ndege zilizonuniliwa ni za kwake?? Kwakweli ulistahili kuu..
Asante Kwa Kutufuatilia
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
ndugu zanguni ebu tujielewe uyu lisu alikua wazir miaka mingapi!!!!!na nikipi kizur alichokifanya kipindi akiwa wazir,lkn maguful alifanya mazuri kipindi akiwa wazir tunayajua nimengi
Asante Kwa Kutufuatilia
tunajua unatafuta kiki lkn wapuuzi wenzako ndo utawadanganya kama co kuwatapel!!!!!ulikua wazir miaka mingapi na ulifanya nn!!!!huna wakumlaghai,jimbo lAko kuna kila shida.
Lissu fokasi innocent yukosahihi 100%
Asante Kwa Kutufuatilia
Kweli sisi waTz Raia kama Raia kupata maendeleo yetu binafsi ni ngumu sana mana leo hapa kuna lijitu Linatamani lisu angeuwawa hata baada ya kutolewa ile report ya CAG na TAKUKURU Juzi bado hajayaona haya alokuwa akiongia Lisu - Shit
Asante Kwa Kutufuatilia
Lisu ongea mambo yenye maana. Huo ubaguzi umeuona Leo?
Asante Kwa Kutufuatilia
Hamsomi historia! Manyumbu, tunasoma!
Asante Kwa Kutufuatilia
Wewe ndo dicteta,umewatelekeza Ikungi kwenu,unawatetea wazungu wezi!!
Akilizako Hazina ufaham ndo maana umeandika comment bila kutumia akili ume kurupuka tu hujui kwani alikuwepo tanzania c alikuwa akuugulia uko miaka mingi tu tumia akili ndugu acha ushabiki wa .......
Asante Kwa Kutufuatilia
Mshenzi tu we Lisu,katu hakuna askari hata mmoja atakayekupigia saluti kama unaota kuwa rais wa Tanzania naoto ambayo haitatimia kamwe kwako. Fyooooo...
Kwan uongo😂😂😂
Asante Kwa Kutufuatilia
Usituletee ukabila muheshimiwa , tunaitaji kiongozi mzalendo..na pia sisi tunaangalia maendeleo tu ndio kiu ya watanzania wote ,, Afrika yote inamtamani magufuli so wanakushangaa sana na hayo maneno yako
Asante Kwa Kutufuatilia
wafadhili wasitoe msaada ili wananchi tusipate msaada huu ndo ujuha kabisa kabisa onaombea matatizo yatupate wananchi ndo siasa gani hizi
Hujielewi mwana dikteta ww
Asante Kwa Kutufuatilia
wewe ndo hufai kabisa, utuambie hafai kwaajili ya nn huna issue
hv wananchi wa singida mashariki wakikosa huduma bora utawaambia wewe ndo ulizuia
hizo ndege si ndio faida za nchi
ASANTENI KWA KUTUFUATILIA
Hivi jimboni kwako kuna maendeo kweli unajua sharia ambazo hazikusaidi wew wala wananchi walio kuchagu.
Asante Kwa Kutufuatilia
mm naona kama unapoteza muda wako atakusikiliza nani ww tangu umeanza kumkosoa rais nawafuas nakuelekeza unavyo taka ww kuna mtu au kiongozi aliye wahi kusimama nakuuwambia umma kuwa lisu ameongea au kuelekeza kitu kizuli ss huon apo kama unatwanga maji kwenye kinu pumzk unaumia bila faida
POVU POVU POVU LISU UTATOKA POVU HADI KAMASI WEWE ACHA UJINGA UMESOMA WAPI WEWE MAANA UNALOPOKA TU, ACHA KUTUCHANGANYA SIYE NGOJA TUFANYE KAZI NA RAIS WETU WEEEE POVU LINAKUTOKA UNAKOSA SERA MAANA JPM ANAFANYA YOTE, HONGERA JPM WETU
Asante Kwa Kutufuatilia
Extremely intelligent man
Asante Kwa Kutufuatilia
huo ni ............i, hiyo sheria inasema hivyo? but ndo elimu ye2 ya bongo watu wana matured kwenye inshu zisizo na..........
Asante Kwa Kutufuatilia
Rudi kutoka huko ulaya uone cha moto tumechoka matusi yako sisi wanyonge tulimpenda sana mwenyezi mungu amlaze mahali pema hayati Rais magufuli
Asante Kwa Kutufuatilia
Toa ujinga wako mnyonge ni wewe
braza mtu anateuliwa kwa uwezo wake na sio sehem anaotokea wala rangi yake
hata kwa kikwete pia mlisema anaweka ndugu zake
Asante Kwa Kutufuatilia
hahhahahhhahhhaha siasa bwana ujinga tyuuuuuu km nchi inaenda acha iende
Asante Kwa Kutufuatilia
Wewe kuma acha kumdisi laisi wangu wekuma nn
Asante Kwa Kutufuatilia
mungu akupe maisha marefu
Asante Kwa Kutufuatilia
kwa style hiyo hamuwezi kupambana na JPM maana anafanya kazi kwa maslahi ya umma
Asante Kwa Kutufuatilia
Hotubayako nzuri.ila ukweli magufuri ni moto wakuotea mbali.hakuna mtanzania ataeweza kuvaa viatuvyake.natamani afufuke ataleo
Asante Kwa Kutufuatilia
Tusihudumu kwenye matusi. Tudadili kwa uungwana. Hiyo ndio democrasi. Usitukane. Jibu hoja kwa hoja
Asante Kwa Kutufuatilia
atuache na raisin wetu
Asante Kwa Kutufuatilia
Upo sawa
Asante Kwa Kutufuatilia
sisi hatutaki kujua hilo tunahitaji kuona chadema ikifaa tu ....na ndio kunako endea huko
msta mbise kilamwenye akilitimamu atakua anamwelewa tundulsu coz jamaa anamahamuz yacyo zingatia misingi yautawala bora kwaseem
Asante Kwa Kutufuatilia
Lissu yuko sawa kuna wengine wanapendelewa sana hatujamsahau bashite hivi ndiyo vinavyomharibia magufuli anafanya vizuri lakn ache haya ya upendeleo na yale ya kubana wengine kwasababu wafadhili hawajaleta fedha toka mwaka jana
Asante Kwa Kutufuatilia
ulipokuwa na miguu 2 ulikuwa na upungufu sana. leo una miguu 4 unapendeza sana 'baby' wa wazungu!
Asante Kwa Kutufuatilia
Hiyo bendera mmeifunga hiyo ngeuza ..kijani ndo huanza juu Sasa hiyo bluu
Asante Kwa Kutufuatilia
lisu ni mpinzani mzuri,ila njisi anavyowakilisha ujumbe wake kwa jamii,sio poa,ni mbaya sana,na ukifutilia hutuba zake haziwatakii wananchi maisha mema na inaonekena lisu ni mfuasi wa watu fulani,lisu hana uchungu na watanzani ila anampango wa kuangamiza wtz,huyu si mtu mzuri,kwa alipofikia mmmm
Big Dady safi...
Asante Kwa Kutufuatilia
Kazi ya ukibaraka umeanza zamani sana huna hoja ya msingi kibara wewe
Asante Kwa Kutufuatilia
Apo kwa akili yako unaona hakuna hoja Ila utaelewa tyu vitu vinahitaji mda na ufikiliaji mi mwenyewe ccm lakini this lissu is an icon
Hamna lolote!!!! Uchafu kwetu tupa kuleeee!!! Magufuri namba 1
Asante Kwa Kutufuatilia
Kbs uyu si paka tu
Hapa sikuungi mukono kwa kusema magufur hapo hapana mwacheni mwenda zake apuzike kwa amani diri na wasasa
Asante Kwa Kutufuatilia
Lisu sera iko wapi?
Asante Kwa Kutufuatilia
braza tunahitaji maendeleo sio porojo zako
watumishi waserikali ni wengi sana
Abmeleck Juma Huyo Lissu nawenzake siku zote wapo sahihi hawakurupuki
Asante Kwa Kutufuatilia
acha majungu huu rais tumepewa Mungu hata Yesu alianzia kwao
Asante Kwa Kutufuatilia
Huyu Lissu hafai kama ningelikuwa mie basi ningeliwashawishi watanzania kumchukia rais. Lakini kutokana na kutokuwa na breki naye anahisi kila achokiongea yuko sahihi kumbe mengine anaongea utumbo tu tumpuuze kwa watu wanaofocas mbele. Huyu mtu hana uzalendo hata kidogo
Asante Kwa Kutufuatilia
Kwani Chato siyo Tanzania mbona mnaleta hizo mbona chama chenu ni kanda kaskazini hamuoni? Chato pia kuna watanzania hakai Rais tu kuna wananchi wengi tu je hao wananchi hawataki kupanda ndege? Mbona Singida kuna uwanja Wa ndege je ubomolewe? Acheni siasa ambazo hazina Faida kwetu tumewapa nafasi kwaajili ya kutuondolea matatizo yetu sio mtuletee matatizo ya kikabila kidini mwalimu nyerere aliyamaliza hayo mapema mnatuletea sasa tunahitaji maendeleo hatuhitaji chuki na maneno ambayo hayana tija kwetu hatutaki kama siasa zimewashinda tafuteni kazi nyengine za kufanya
Asante Kwa Kutufuatilia
Tunachotaka niutalatibu nausitaarabu wakufanyamabohayo!!!!
nyie endeleeni kutetea mafisadi na wanao kula mali za umma
Asante Kwa Kutufuatilia
HIVI UNAUJUA UDIKTETA???INGEKUA DICTETA UNGEONGEA HAYO?
Asante Kwa Kutufuatilia
lissu u are really sick mentally plz huyu jama anafa kupimwa akili nahisi simzima hata kidogo.
Asante Kwa Kutufuatilia
Ukitaka kujua kuwa utafiti wa twaweza upo sahihi basi pitia hizi comments humu. Halafu jiulize wanawaza kwa kutumia kiungo gani hawa watu? Haya bhana, shkamoo Lissu.
Asante Kwa Kutufuatilia
Eti Dikteta Uchwara!, bora iwe hivyo Ndege ziwepo! Kabla havikuwepo! Ameona bora Ajaribu Nyumbani!; ili yote yafanyike!; Acha Uchochezi Tundu lisu!!:
Asante Kwa Kutufuatilia
Wewe kaa na Ushoga wako na Ukuwadi wa Mabeberu wewe fuata waume zako ukipata Mimba uje ujifungue Jimboni kwako hata Nyumba huna unalala Forest Lordge Shoga we
Asante Kwa Kutufuatilia
Huna hoja matusi tu
LISSU ni msema kweli tunataka mdahalo wa wagombea uraisi 2020
Acha kutukana wewe fala hana nyumba wewe ndo mkewe
@@selemaniahmadi8501 Ahaa nawew unaejua ni mkewe au
kwani kujenga uwanja wilayani ni kosa? Mbona Mpanda ulijengwa uwanja wa ndege wa lami ikiwa bado wilaya? Nenda kajipange tena, usituchonganishe watanzania. Usijikite kwenye madhaifu machache ukasahau mazuri mengi yanayofanywa. Hiyo nafasi ya jaji mkuu unataka akupe wewe? Njoo na solution zinazolenga kulipeleka mbele taifa na si kuleta ukinzani/friction.
Asante Kwa Kutufuatilia
We lisu atutaki maneno tunataka maendereo enderea kuchochea vurugu unachokitaka utakipata
Asante Kwa Kutufuatilia
Kwel
Asante Kwa Kutufuatilia
Liongo hillooo toka hapo lissu
Asante Kwa Kutufuatilia
CCM Oyee
Asante Kwa Kutufuatilia
Mwanasheria gani wewe. Toka na sheria yako ya shinyanga vijijini.
Asante Kwa Kutufuatilia
Siyo chato vijijini?