Pole sana sisi wote tume zaliwa na mwanamke bibilia ina sema mwanadamu alie zaliwa na mwanamke sikuzake zakuishi sii nyingi mambo yote tuna mwachia mungu
@@pundatr8103 lissu si victim aende akafungue mashtaka alafu aje na huyo Adam atoe ushahidi lissu mwenyewe hata hana uhakika kwa sasa nani alimfanyia tukio
Naomba ahojiwe vzuri atakuwa anajuwa kwann. Hakumwambia boss wake mapema ili atoe taarifa police anasubiri mpaka avamiwe hapo naona kuna alama ya kuuliza hatakama sijasoma
Dereva anahusika kwanini. Ashuke wakati aliona hatari? Na kwanini asimwambie boss kuna watu wanatuatilia? Ili achukue tahadhari? Akafanya siri kisha akashuka ili risasi zisimpate? Hao waliofanya kitendo hicho ni wafuasi wa chadema wameona tundu lisu kimbelembele hataki wenzake washike nafasi ya urais maana mbowe alitaka awe rais Dr silaa Sharif hamad na pro lipumba wote walitaka wagombee sasa jamaa kagoma hapo ukawa na ukuta ikafa hivyo ni visasi vyao tu na dereva anajua yote lakini mjue kikulacho kinguoni mwako
Hawa wanasinema wazur sana, huyu jamaa nafsi yake inamambo mengi juu ya hili..... Ni serikali ya wapi itumie mateja au walevi kufanya ambush kama hiyo? Maana mtu aliyempiga hizo bastola za kupigia njiwa pori anaonekana kbsa ni kilaza tu, mm naamini asingetoka mtu hapo, 32 bullets 🙄🙄🙄. CCTV gn kwan mtu akisema umeng'oa kigingi hata kama hakikuwepo mdomo wake utabambika?
hivi dakika zote hizo mnashangaa lile gari na hadi linageuza mmeshindwaje kuchukua namba za gari? plate no.? dakika 10 mmeshindwa kuchukua hata picha? hata kupiga simu kwa ndugu wa karibu?
Njoo ukajibu mashitaka na Lissu wako ili ukweli ujulikane.Swala kubwa lissu hataki ukweli ujulikane kwa sababu anatumia risasi kama sera kupata ubunge😢
Mungu. Ndiye mueza ya yote nakumbuka lisu alisema kabisa kwenye vyombo vya habari anafaatiliwa mjitahidi sana kuangalia taarifa kesho yake ndio akapigwa risasi
Mungu anawaona wtz mnaye amini dereva alihusika lakini amini nawaambieni lisu ni mtu ambaye Mungu amempa Karama ya kuongoza watu yote hiyo mlitaka afe Mungu kuzuia kajiinua mumjue mungu hakika naamini kwa kilicho tokea kwa tundu lisu Mungu atatufundisha na hatuta amini lakini tutaelewa kuwa Mungu alisimama kwa ajiri ya taifa la Tanzania sio kila magumu tunasema shetani amejiinua mungu anaruhusu tujifunze watanzania yatakapo timia lisu atakumbukwa na watanzania wote asante .
Huyu ni mwislam Lissu ni mkristo angalia walivyokuwa wakiishi vizuri tunatakiwa tuwe hivo kulikoni shetani aliyepanga mauaji naye Mungu akawanusuru wote wawili Mungu ni mkubwa
Nimashaka wakati unaona watu wanafatilia nyuma kwanini haukumwambia naye akajiwekatayari aidha kuitaji msaada wa rafiki au majirani kuwa tunafutiliwa nyuma kitakachotokea mjue kuna watu. Sababu ya kuwa watu wawili nini sasa kama boss wako hautaki kuongea naye pale penye mashaka.
@@alexvenas2699watu wengine wanasikiliza lakini wanajitia ukiziwi kwa kutaka kujifanya wanajua zaidi wakati huyu alifungua mlango akalala chini nje ndio pona yake .Na wauaji nadhani walifokas kumlenga Lisu pia walikua waoga hata wao hawakujiamini walipokuwa wanatenda lile tukio
Nikwer kabisa hatamie hua ninamashaka makubwa sana juu ya lisu kupigwa lisasi kwa hivi wangekua ni jambazi kabisa kwann walishindwa kushot la kwenye moyo? Mie nahisi ni njama zake tu ili ajizolee umalufu😏😏😏🤣🤣
Ww bro me kuna kitu unanitisha mbona lisu anasema ulimwambia mapema kuwa kuna watu wanawafatilia? Na lisu anasema kuwa ww ilipopigwa risasi ya kwanz ww ndo ulimwinamisha gafla?! Ww umesema had unafika area D lisu alikuwa hajui kitu ? Lkn lisu anasema ulimwambia mapema
Hawa watu mlianza kuwatilia mashaka umbali mrefu hivyo hadi wasiwasi uliendelea hadi nyumbani ulikuwa na sababu gani kuendelea unashangaa wakati ulishaona hakuna walinzi. Pili wakati mashambulizi hayo yanaendelea kwanini hukuomba msaada kwa majirani. Naomba Watanzania tuwe makini
Wote walijua kuwa wanafuatiliwa hata kuna wkt Lissu aliomba ulonzi je wote wanapaswa kutiwa hatiani kutokana na tukio hilo? Na kama risasi zilipigwa kutokea nje ya gari je alishuka mtu katiyao kupiga risasi? Na vipi risasi zisichunguzwe kujua in bunduki gani inamilikiwa na nani.....
Askari wa Tz, wanaweza kuua hadi watu 3 kwa risasi moja tu. Inakuwaje lisu apigwe risasi 16 na bado asiuawe? Huyu alipigwa na watu waliopangwa au washamba kabisa wa matumizi ya silaha. Tusidanganyane huo ni mpango wa kutafuta kura za huruma tu.
POLISI WA TANZANIA NENDENI SHULE MKAJIFUNZE UPELELEZI. KAZI YENU ILIKUWA TAYARI IMEKWISHA KAMA MSINGEIBA MASHINE ZA CCTV. MUMETUMA WATU WAFUNGUE MASHINE ZA CCTV MKIJUA USHAHIDI UMEPOTEA. JESHI LA POLISI NI JESHI LA KIHUNI LINALOFANYA KAZI CHINI YA CCM.
Gari imetobolewa mala 32 lisu risasi 16 wewe ujaguswa hata kidogo ww ni zaidi ya malaika .....pili risas zmepigwa upande wako wa kushoto lisu amepigwa mguu wa kulia hizo zilizompiga lisu kulia zilitoka wapi na ww ulikua kulia hukuguswa kabisa tatu Kama risas zilipigwa kiholela ilikuwaje zilenge mguu tu ...kk tunaomba uhojiwe ilitupate majibu yaliyonyooka
Dereva unasoma mazingira dhidi ya serikali. Katikati ya mji anaona magari yanakufuata. V8 ikapaki, Nissani ikawa nanyi. Gari ikarudi reverse kwa Kasi na kuanza kusikia risasi na kusikia milio ya Boss. Risasi zikitoka nikalaza kiti. Huyu dereva ana Kasi zaidi ya risasi. Moyo wa dereva haukushtuka kwani alikuwa anajua anafuatiliwa. Risasi zilipigwa umbali wa hatua nne, lazima ushtuke. Huyu ndiye dereva wa Lissu.
Mmmmm, acha nipite nisije kukufuru bure , huyu dereva na maongezi ya Lisu yanapishana ni bora hata asingeongea maana wanapozidi kujichanganya mnapoteza hata maana .
Huyu dereva, nimeyasikiliza maelezo yake kwa umakini sana ... kuna haja kubwa sana ya kuhojiwa na Idara ya Upelelezi ya Jeshi la Polisi. Jeshi letu la Polisi halina utaratibu wa kwenda kuwahoji washukiwa nje ya nchi, wewe kama Mtanzania ulitakiwa kuhitikia wito wa Jeshi la Polisi kuja kuhojiwa Tanzania. Ulikaidi, na hata sasa hutaki kurudi Tanzania. Mwenye akili za kupembua anaona kabisa kuna siri nzito zimefichwa! Wahusika wanazidi kujificha kwa kuelekeza lawama serikalini ili wasifikiriwe! Njoo uhojiwe!! Kikulacho kinguoni mwako, ipo siku MUNGU Mwenyezi atawafunulia Wana-CHADEMA. Jiulizeni ... kwanini kila anaeinuka kuwania Uwenyekiti wa CHADEMA lazima ashambuliwe au kufa kabisa, au kunyang'anywa uwanachama kabisa?! Huyu Top kwanini yeye haya hayamkuti?? !!! CHADEMA fikirieni mara nyingine tena! Mzua pembe ndo mzika pembe!!
Ukweli ni kwamba Kipindi Lisu anapigwa Risasi alikuwa anapiga Kauli ya Rais kutaka kupima mchanga ambao walipopima mara ya kwanza alisema nchi ya Tz itashitakiwa alipoona majibu ya pili yametoka na wenye migodi wanahitaji mapatano na kulipa ndio tunaona kapigwa Risasi hivyo alijua kabisa watu wote watajua ni Serikali imempiga ila Serikali impige wakati walichokuwa wanapigania wamekipata ? Kuna mtu alitumia hii fursa akampiga mwenzie ili macho yawe kwa Raisi ila ameishashindwa icho kitendo kitamtafuna mpaka atakili alikifanya
Ukiangalia kwa undani zaidi unaona kabisa hii ilikuwa ni tamthilia kabisa! Hizi zilikuwa Kiki za siasa kutaka kuivuruga serikali! Kama uliona Kuna dalili hizo za mwanzo za kufuatiliwa kwa nn hamkupiga cm polisi kabla hata hamjafika sehemu ya nyumbani? Huyu dereva bhana alikuwa anajua kinachoendelea muda wote alishindwa kutoa taarifa kwenye vyombo vya usalama? Na kwa nn hakumwambia bosi wake muda wote huo huenda angemshauri kuwa toa taarifa popote! Hii ilikuwa move tu!
Taratibu kisheria mtu wa kwanza kumhoji Ni Yule aliyekuopo kwenye tukio ndipo upelelez mwngn unaendelea sasa ninyi wote mko ulaya sasa nani atafungua kesi nani atatoa maelezo ili kusaidia police. Leo naamin wana macho lkn hawaon wana masikio hawasikii.
Ungekuwa ni ww umedhuriwa familia Yako Leo ingekuwa na Hali gani kweli nimeona wew ni Moja ya watu muhimu kwenye hili tukio wewe unamwambia mwisho ungemshirikisha mapema angeweza kukushauri either msifike home au vinginevyo
Hapa kuna kitu ambacho kinafichwa kwanini utoroke baada ya tukio? Je huko uliko ndiyo watakusaidia? Acheni kutumwa kuichafua nchi kwa maslahi yenu Mungu atawaumbua siku moja Tanzania inasonga na itaendelea kusonga Mungu ibariki Tanzania
Kwahiyo we unaona ni mazingaumbwe au?kwenye hatari hasa risasi inaweza kulenga popote hasa mtu anapojigeuzageuza kwa kukwepa au kuugulia majeraha .kwani mguu wa kulia si sehemu ya mwili?au Lisu ni gogo na huwa hajigusi hata kwenye hatari?comment yako haina mashiko. Au kusema hivyo yaweza ashiria ulikuwa na washambuliaji na mnajua risasi mlikoelekeza na pengine hamkupanga kulenga mguu wa kulia..Kasaidie polis na wewe
@@midumbiojijo8126 umesikiliza vizuri maelezo ya dereva? Anasema alikuwa upande wa kulia wa Lisu. Ona gari lilivyo shambuliwa - Risasi kutoka kushoto zilipiga kona? Mbowe alisema ni bunduki ya SMG ilitumika - sikiliza video yake mara tu baada ya tukio, na sijui alijuaje!!
@@neemajohn754 Mbowe alisema ni bunduki ya SMG ilitumika - sikiliza video yake mara tu baada ya tukio, na sijui alijuaje!! Risasi hazipindi kona - research ukweli
Mungu ni mkuu sana ni mlinzi wa maisha yetu anatupigania
Adam mpe Yesu maisha yako umeokoka kwenye tundu la simba okoka YESU atawale maisha yk
Mungu ni mwema.
Yesu yupi iyo ?
@@huyu1993unasemaje?
Poleni Sana tufungeni siku mtu mungu atajibu
Pole sana sisi wote tume zaliwa na mwanamke bibilia ina sema mwanadamu alie zaliwa na mwanamke sikuzake zakuishi sii nyingi mambo yote tuna mwachia mungu
Pole sana kaka Lisu tunakupenda Mungu wako yupo hai.
Jipe moyo
inauma sana,damu hi ikawe laana kwa wamwagaji wote
Ameni, mmoja ishalipwa magu
We love you dear
Pole sana uliweza kumuokoa Mwamba wetu Lisu mungu akulinde huko uliko Lisu tunae
Jamaa yangu mungu akuongezee siku za kuishi pamoja na familia yako
La pole mwenye ,zmungu akulinde zaid
Adam Asante kwa
wako ukweli na Mungu atakuhifadhini wewe na Muhishimiwa Ameen
Ukweli aupeleke police kesi ianze waache mambo ya kihuni huyu ni shahidi number moja
Adam aje tz mbona lisu kalud ajeahojiwe napols muuaj skatangulia
@@pundatr8103 lissu si victim aende akafungue mashtaka alafu aje na huyo Adam atoe ushahidi lissu mwenyewe hata hana uhakika kwa sasa nani alimfanyia tukio
Asante kwa kuokoa maisha ya lissu Mungu atakulipa
🙏
Pole kaka
Pole sana dereva na hongera kwa kushiriki kumnusuru Tndu Lissu. Mungu akusaidie ili siku moja uwe dereva wa rais Tundu Lissu
Bigappu sana kijana Mungu atakuripa
Pole pole ila YESU anaokoa Yesu aliwaokoa wewe na bosi wako mpeni Yesu maisha yenu mmeongezewa siku
Mungu mwema na ndio mana kawanusuru hamkuwa na hatia tunawaombea sana
Mungu anajua zaidi
Pole saana
Pole sana
Naomba ahojiwe vzuri atakuwa anajuwa kwann. Hakumwambia boss wake mapema ili atoe taarifa police anasubiri mpaka avamiwe hapo naona kuna alama ya kuuliza hatakama sijasoma
Kwanini walitoa Camera
Polis gani tena ushaambiwa walitoa taarifa mapema saan na hakuna kilichofanyikaa
Dereva anahusika kwanini. Ashuke wakati aliona hatari? Na kwanini asimwambie boss kuna watu wanatuatilia? Ili achukue tahadhari? Akafanya siri kisha akashuka ili risasi zisimpate? Hao waliofanya kitendo hicho ni wafuasi wa chadema wameona tundu lisu kimbelembele hataki wenzake washike nafasi ya urais maana mbowe alitaka awe rais Dr silaa Sharif hamad na pro lipumba wote walitaka wagombee sasa jamaa kagoma hapo ukawa na ukuta ikafa hivyo ni visasi vyao tu na dereva anajua yote lakini mjue kikulacho kinguoni mwako
Kabisa kwanin yeye hajapata majeruhi
Hawa wanasinema wazur sana, huyu jamaa nafsi yake inamambo mengi juu ya hili..... Ni serikali ya wapi itumie mateja au walevi kufanya ambush kama hiyo? Maana mtu aliyempiga hizo bastola za kupigia njiwa pori anaonekana kbsa ni kilaza tu, mm naamini asingetoka mtu hapo, 32 bullets 🙄🙄🙄. CCTV gn kwan mtu akisema umeng'oa kigingi hata kama hakikuwepo mdomo wake utabambika?
Waliopotea tu inatosha kutohowa nakupata Lugha kamili yawalio husika.Mungu ndie muweza wayote hakuna atakaeishi milele.Mungu atukuzwe kwakuwaponya.
Tf brtteyy
Pole kmnd tuko pamoja nawe
Poleni mungu atajibu
Mission impossible....Mungu mwema
Dereva. Ausik .kwaniangeshindwa kumalZ. WEWENIMTUMUNGU NAMUNGUAKULIND UWENAMOYO UWO UW
Very smart and honest guy👏
How? wewe watu wakifuata ,utawapeleka mpka kwako na na kusubili nje?
@@AD-qi3wb6:11inawezekana ukihisi kitu why not mimi naweza kusubiri nikihisi
Utungaji.
Jina jingine ufahamu
hivi dakika zote hizo mnashangaa lile gari na hadi linageuza mmeshindwaje kuchukua namba za gari? plate no.? dakika 10 mmeshindwa kuchukua hata picha? hata kupiga simu kwa ndugu wa karibu?
Wakati ukishka unashtiwa mzee😅
Mungu ni mwema
Njoo ukajibu mashitaka na Lissu wako ili ukweli ujulikane.Swala kubwa lissu hataki ukweli ujulikane kwa sababu anatumia risasi kama sera kupata ubunge😢
Mungu. Ndiye mueza ya yote nakumbuka lisu alisema kabisa kwenye vyombo vya habari anafaatiliwa mjitahidi sana kuangalia taarifa kesho yake ndio akapigwa risasi
Mungu anawaona wtz mnaye amini dereva alihusika lakini amini nawaambieni lisu ni mtu ambaye Mungu amempa Karama ya kuongoza watu yote hiyo mlitaka afe Mungu kuzuia kajiinua mumjue mungu hakika naamini kwa kilicho tokea kwa tundu lisu Mungu atatufundisha na hatuta amini lakini tutaelewa kuwa Mungu alisimama kwa ajiri ya taifa la Tanzania sio kila magumu tunasema shetani amejiinua mungu anaruhusu tujifunze watanzania yatakapo timia lisu atakumbukwa na watanzania wote asante .
Huyo chiba mpiga dili jibo lilimshinda amuongoze nan
Si kweli.
Amina
Kiuhakisia izo risasi zingemjeruhi na yeye picha LA kihindi ili😂😂😂
acha ukuma wewe, mbn ushangai walinzi wa hapo walikuwa wap!!!???
@@bennymochiwa4800Asanteee benny
Hiyo hotuba ya RAIS WETU INAITWAJE TH-cam, ALIYOTAMKA MANENO HAYO ILI TUSIKIE ACHENI KUTUFANYA MAZOBA
Shida ipo kwenye kuumia mguu wa kulia alihari umekaa upande wa kushoto ya mungu mengi
Kwahiyo amejipiga risasi au??? Wewe unaweza?
Kawaida ya risasi ukipigwa kushoto hutokea kulia.
Polen sana
Pole sana lissu wote waliohusika kukupiga lisasi watakufa watakuacha naamini
🙏
Mungu ni mkui
Huyu Adam ni mwongo amekaririshwa maneno ya kuongea na tundu kwanini tundu karudi ye hataki kurudi? Inafikirisha sana
Mungu Ndo shaidi pekee🙏
Siasa nimchezo mchafu sana mtajuana wenyewe huko siasa nikama ugonjwa
Ulitakiwa na police kwa nn umegoma kuja
Unaielewa vizur selikal ya tz au unaropoka
Huyu jamaa si mnzima!
So painfully
Hakika iliumiza sana
Huyu ni mwislam Lissu ni mkristo angalia walivyokuwa wakiishi vizuri tunatakiwa tuwe hivo kulikoni shetani aliyepanga mauaji naye Mungu akawanusuru wote wawili Mungu ni mkubwa
Kuna clip ulisema ulilaza kiti ndio. Maana risasi hazikumpata hapa unasema ulilaza kwenye kiti chako
Ulikuwa unajua kila kitu wew acha kudanganya
❤
Kwa maelezo ya awali na unayotoa kuna tofauti
Nimashaka wakati unaona watu wanafatilia nyuma kwanini haukumwambia naye akajiwekatayari aidha kuitaji msaada wa rafiki au majirani kuwa tunafutiliwa nyuma kitakachotokea mjue kuna watu.
Sababu ya kuwa watu wawili nini sasa kama boss wako hautaki kuongea naye pale penye mashaka.
Uko poa bro
Kama Lisu hakufariki bado ni shahidi siyo akomaliwe dereva tu hii ni move ya kucreat
Daah gari ulikuwa nyuma ya gari yao kisha wanapigwa na risasi tokea nyuma ya gari inampiga mshambuliwa kwenye paja hii kali
Haujasikiliza maelezo vzri ndugu,gari ilirudi reverse na kwa Kasi ilipofika usawa wa gari lao wakashambuliwa risasi.
@@alexvenas2699watu wengine wanasikiliza lakini wanajitia ukiziwi kwa kutaka kujifanya wanajua zaidi wakati huyu alifungua mlango akalala chini nje ndio pona yake .Na wauaji nadhani walifokas kumlenga Lisu pia walikua waoga hata wao hawakujiamini walipokuwa wanatenda lile tukio
Tukumbuke hata Sativa alilengwa hapa na hapa lakini Mungu alimuokoa maana walengaji pia wanakiwewe cha dhambi mpaka hawakutimiza dhulma zao
NAKUSHUKURU SANA MUNGU TUNDULISSU AMEPONA.HATIMAYE ALIYETAKA UFE AMEKUFA YEYE NA WEWE NDIYE ULIYEIAMBIA DUNIA KUHUSU UGONJWA WAKE
Ulikuwa nimupango wamagufurinandugainawashirika wait waccm sasamajibu tayari mungu kakuokoa lissu mapambano bado!!!!
Hawa walikuwa wakisubiria ashuke I li wammalizie kabisa mungu mwema ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga.
Pole baba ugua pole
Police lisu alijipiga mwenyee nyie fanyeni kazi zingine upuuzi hatutaki Sisi wasitufanye wajinga hao
nadhani mbugila lilianzia kwenu
nadhani mbugila lilianzia kwenu
Nikwer kabisa hatamie hua ninamashaka makubwa sana juu ya lisu kupigwa lisasi kwa hivi wangekua ni jambazi kabisa kwann walishindwa kushot la kwenye moyo? Mie nahisi ni njama zake tu ili ajizolee umalufu😏😏😏🤣🤣
Memory yako nahisi haifanction very well
@@rahmaoman5122 kwa haya mawazo yako tanzania tuna safari ndefu
Huyu anajua
Unajua kuna watu wanadhani labda wataishi milele malipo hapa hapa duniani
Mimi siandamani tena
P0le
Wote tutakufa tatizo ni muda tu 🙏🏾🙏🏾🙏🏾 na anayeua kwa Upanga naye .........................
Wewe ni Mjeshi safi kabisa
Hongera wewe hukuumia
Aise inasikitisha sana
ila Mngu Ni mwema
YAANI KAMA UNGEMUACHIA ASHUKE ANGEPIGWA ZA KICHWA DOH! UMEMSEVU KUMUAMBIA ASISHUKE
Hilal Alhabsi Ungepata faida gani Kama angepigwa za kichwa? Acha ujinga wewe unashabikia upumbavu
Ww bro me kuna kitu unanitisha mbona lisu anasema ulimwambia mapema kuwa kuna watu wanawafatilia? Na lisu anasema kuwa ww ilipopigwa risasi ya kwanz ww ndo ulimwinamisha gafla?! Ww umesema had unafika area D lisu alikuwa hajui kitu ? Lkn lisu anasema ulimwambia mapema
Hawa watu mlianza kuwatilia mashaka umbali mrefu hivyo hadi wasiwasi uliendelea hadi nyumbani ulikuwa na sababu gani kuendelea unashangaa wakati ulishaona hakuna walinzi. Pili wakati mashambulizi hayo yanaendelea kwanini hukuomba msaada kwa majirani. Naomba Watanzania tuwe makini
MUNGU awatunze sana wewe na boss wako
Kwa mtu mwenye akili timamu ukisikiliza tu maelezo ya dreva inatosha kuonyesha kuwa dreva alijua shambulizi 100% believe me
Mimi nadhani yeye aliwaona na aliwajuwa ila anashindwa kutaja hadharani ni vyema vyombo vya usalama kukaa nae na kuongea nae vizuri
Uyu jamaa maelezo yake duh nina was2
Dereva alinunuliwa huyo
Alijua na ndo maana Lisu alipona
Wote walijua kuwa wanafuatiliwa hata kuna wkt Lissu aliomba ulonzi je wote wanapaswa kutiwa hatiani kutokana na tukio hilo? Na kama risasi zilipigwa kutokea nje ya gari je alishuka mtu katiyao kupiga risasi? Na vipi risasi zisichunguzwe kujua in bunduki gani inamilikiwa na nani.....
Mda wote hukuchukua video kwa cm
Rudi nyumbani uje ueleze vizuri kaka! Maana maneno yako yanaonyesha kuna kitu unakijua vizuri
Askari wa Tz, wanaweza kuua hadi watu 3 kwa risasi moja tu. Inakuwaje lisu apigwe risasi 16 na bado asiuawe? Huyu alipigwa na watu waliopangwa au washamba kabisa wa matumizi ya silaha. Tusidanganyane huo ni mpango wa kutafuta kura za huruma tu.
Mzee unarud lini tunataka urud jmn tunakukubali sana tunakuomba urud uje kupambana na huyu mzee
Apambane na mzee gan
POLISI WA TANZANIA NENDENI SHULE MKAJIFUNZE UPELELEZI. KAZI YENU ILIKUWA TAYARI IMEKWISHA KAMA MSINGEIBA MASHINE ZA CCTV. MUMETUMA WATU WAFUNGUE MASHINE ZA CCTV MKIJUA USHAHIDI UMEPOTEA. JESHI LA POLISI NI JESHI LA KIHUNI LINALOFANYA KAZI CHINI YA CCM.
Gari imetobolewa mala 32 lisu risasi 16 wewe ujaguswa hata kidogo ww ni zaidi ya malaika .....pili risas zmepigwa upande wako wa kushoto lisu amepigwa mguu wa kulia hizo zilizompiga lisu kulia zilitoka wapi na ww ulikua kulia hukuguswa kabisa tatu Kama risas zilipigwa kiholela ilikuwaje zilenge mguu tu ...kk tunaomba uhojiwe ilitupate majibu yaliyonyooka
Kabisa hatamimi wananichanganya
Mungu yuko nawawo watakufa
Kwani amekufa..?
Acha kuwaombea mabaya siyo vizuri mungu anakuwona
Mungu amependa lisu aishi ila ushoga noma
Dereva unasoma mazingira dhidi ya serikali. Katikati ya mji anaona magari yanakufuata. V8 ikapaki, Nissani ikawa nanyi. Gari ikarudi reverse kwa Kasi na kuanza kusikia risasi na kusikia milio ya Boss. Risasi zikitoka nikalaza kiti. Huyu dereva ana Kasi zaidi ya risasi. Moyo wa dereva haukushtuka kwani alikuwa anajua anafuatiliwa. Risasi zilipigwa umbali wa hatua nne, lazima ushtuke. Huyu ndiye dereva wa Lissu.
Mmmmm, acha nipite nisije kukufuru bure , huyu dereva na maongezi ya Lisu yanapishana ni bora hata asingeongea maana wanapozidi kujichanganya mnapoteza hata maana .
babyee Da love hawana utofauti wowote ila siasa tu ndo zinazowatoa roho kwa iyo ht mukiambiwa mutasema uongo
@@abdulkareemseif667 yes ni kweli
Maelezo yao yapo sawa kabisa ila wewe ndio chenga
uuni mpango wa risu mwenyewe kwanini haukupiga sm police umeona unafatatiliwa haukupiga sm
Jackson Joakim wakati mwengine unapo toa maoni yako tambua kwanza unacho taka kuongea ama kusema
@@danielichuwa3747 kwani kakosea Nini ndyo alipaswa kupiga c
@@roseesospeter1792 kasema kajipiga mwenyewe au umesoma ya sm tuu🤔
Mungu anakuona
mmh namwachia mungu
poresana mungumwema
Huyu dereva, nimeyasikiliza maelezo yake kwa umakini sana ... kuna haja kubwa sana ya kuhojiwa na Idara ya Upelelezi ya Jeshi la Polisi. Jeshi letu la Polisi halina utaratibu wa kwenda kuwahoji washukiwa nje ya nchi, wewe kama Mtanzania ulitakiwa kuhitikia wito wa Jeshi la Polisi kuja kuhojiwa Tanzania. Ulikaidi, na hata sasa hutaki kurudi Tanzania.
Mwenye akili za kupembua anaona kabisa kuna siri nzito zimefichwa! Wahusika wanazidi kujificha kwa kuelekeza lawama serikalini ili wasifikiriwe! Njoo uhojiwe!!
Kikulacho kinguoni mwako, ipo siku MUNGU Mwenyezi atawafunulia Wana-CHADEMA. Jiulizeni ... kwanini kila anaeinuka kuwania Uwenyekiti wa CHADEMA lazima ashambuliwe au kufa kabisa, au kunyang'anywa uwanachama kabisa?! Huyu Top kwanini yeye haya hayamkuti?? !!! CHADEMA fikirieni mara nyingine tena! Mzua pembe ndo mzika pembe!!
Kweli kabisa mbowe ndo anaewamalizaa
Inakuhitaji uwe na uwezo mdogo sana wa akili kuamini upuuzi na propaganda za ccccm
Ukweli ni kwamba Kipindi Lisu anapigwa Risasi alikuwa anapiga Kauli ya Rais kutaka kupima mchanga ambao walipopima mara ya kwanza alisema nchi ya Tz itashitakiwa alipoona majibu ya pili yametoka na wenye migodi wanahitaji mapatano na kulipa ndio tunaona kapigwa Risasi hivyo alijua kabisa watu wote watajua ni Serikali imempiga ila
Serikali impige wakati walichokuwa wanapigania wamekipata ?
Kuna mtu alitumia hii fursa akampiga mwenzie ili macho yawe kwa Raisi ila ameishashindwa icho kitendo kitamtafuna mpaka atakili alikifanya
Suba na Julieth hapa mmenena kabisaaa.. tatizo watanzania hatutaki kufikiri hivyo tunafuata tu upepo.
Ukiangalia kwa undani zaidi unaona kabisa hii ilikuwa ni tamthilia kabisa! Hizi zilikuwa Kiki za siasa kutaka kuivuruga serikali! Kama uliona Kuna dalili hizo za mwanzo za kufuatiliwa kwa nn hamkupiga cm polisi kabla hata hamjafika sehemu ya nyumbani? Huyu dereva bhana alikuwa anajua kinachoendelea muda wote alishindwa kutoa taarifa kwenye vyombo vya usalama? Na kwa nn hakumwambia bosi wake muda wote huo huenda angemshauri kuwa toa taarifa popote! Hii ilikuwa move tu!
Dah huyu dereva kaonesha uzembe kabisa angeona wanavofuatiliwa angetoa taarifa polisi au wangerudi bungeni 🤔
Polisi wa wapi hao wenu wanaibeba ccm khhaa usichafuwe hali ya hewa hapa
Tundu lisu anasema gari ilioingia na nyie ni Mitsubish, wewe unasema ni Nissan, mkanganyiko tayari😟
Hilo ndilo lilifyatua risasi kwann yeye asijeruhiwe hata chembe...macho tu yanaonyesha no muhusika no 1
Yeyote aliyehusika iwe ni Chadema,Serikali au yeyote Yule unyama aliofanyiwa Lissu haukubaliki ni vizuri wananchi wakaambiwa ukweli
Anajua huyo sana
Taratibu kisheria mtu wa kwanza kumhoji Ni Yule aliyekuopo kwenye tukio ndipo upelelez mwngn unaendelea sasa ninyi wote mko ulaya sasa nani atafungua kesi nani atatoa maelezo ili kusaidia police. Leo naamin wana macho lkn hawaon wana masikio hawasikii.
Brother we umeongea kitu chamsingi sana
Moo Roma walitekwa na mpaka Leo unataarifa gan maana wao walitwa polis na wakahojiwa hebu tupe mwendelezo wa ni kwanini walitekwa
Christopher Jimmy wangekufa je?
@@jonijojoss9181 we ni ndezi kweli
Wangekufa wote miili yao ingefanyiwa uchunguzi.
Dreva wa lissu sio shaidi wa serikali hawa wanamtaka ili kumwuwa kupoteza ushahidi awana jambo jingine
Hao watu walikuwa pembeni yenu kwa zaidi ya dakika SITA-6..
MLIKUWA MNASUBIRI FILAMU IANZE.!
Ungekuwa ni ww umedhuriwa familia Yako Leo ingekuwa na Hali gani kweli nimeona wew ni Moja ya watu muhimu kwenye hili tukio wewe unamwambia mwisho ungemshirikisha mapema angeweza kukushauri either msifike home au vinginevyo
Hukumu ya watu waliofanya tukio la kiharamu wote hawataishi . Poleni sana wanatoa cctv camera a kweli ni hujuma .
Mbona upotee usiende kwenye vombo vya usalama, nakwanini uende arusha kulala huko wakati tukio lometokea Dom?
Lisen before you judge alikuwa anaenda Nairobi kupitia Arusha
Huyu yuko wapi mpaka sasa
Jamani huyu dereva hajui ila alifanya uzembekidogo
Hapa kuna kitu ambacho kinafichwa kwanini utoroke baada ya tukio? Je huko uliko ndiyo watakusaidia? Acheni kutumwa kuichafua nchi kwa maslahi yenu Mungu atawaumbua siku moja Tanzania inasonga na itaendelea kusonga Mungu ibariki Tanzania
Acha ujingavww alitoroka kivip sasa
Hata hivyo Mungu ni mwema 17 March alitenda.
Ulikuwa wapi siku zote hizo Leo unatoa maelezo
Mbona gari imeshambuliwa kushoto mguu wakulia ndio unavyuma..dereva ulikua upande gani
Kwahiyo we unaona ni mazingaumbwe au?kwenye hatari hasa risasi inaweza kulenga popote hasa mtu anapojigeuzageuza kwa kukwepa au kuugulia majeraha .kwani mguu wa kulia si sehemu ya mwili?au Lisu ni gogo na huwa hajigusi hata kwenye hatari?comment yako haina mashiko. Au kusema hivyo yaweza ashiria ulikuwa na washambuliaji na mnajua risasi mlikoelekeza na pengine hamkupanga kulenga mguu wa kulia..Kasaidie polis na wewe
Ww acha ushamba magar za serikali V8 zinakua na Sterling Kushoto
Ili kuwezesha kutembea nchi yoyote
@@midumbiojijo8126 umesikiliza vizuri maelezo ya dereva? Anasema alikuwa upande wa kulia wa Lisu. Ona gari lilivyo shambuliwa - Risasi kutoka kushoto zilipiga kona? Mbowe alisema ni bunduki ya SMG ilitumika - sikiliza video yake mara tu baada ya tukio, na sijui alijuaje!!
@@neemajohn754 Mbowe alisema ni bunduki ya SMG ilitumika - sikiliza video yake mara tu baada ya tukio, na sijui alijuaje!! Risasi hazipindi kona - research ukweli