'Sikutoroka' - Dereva wa Lissu aiambia DW

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 734

  • @ismailzakayo1139
    @ismailzakayo1139 ปีที่แล้ว +9

    Mungu ni mkuu sana ni mlinzi wa maisha yetu anatupigania

  • @rebecashumbi3450
    @rebecashumbi3450 ปีที่แล้ว +17

    Adam mpe Yesu maisha yako umeokoka kwenye tundu la simba okoka YESU atawale maisha yk

    • @JoswamBalongo
      @JoswamBalongo 6 หลายเดือนก่อน

      Mungu ni mwema.

    • @huyu1993
      @huyu1993 4 หลายเดือนก่อน +3

      Yesu yupi iyo ?

    • @romanilyimo
      @romanilyimo 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@huyu1993unasemaje?

  • @jastinistivini9687
    @jastinistivini9687 3 ปีที่แล้ว +4

    Poleni Sana tufungeni siku mtu mungu atajibu

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp 6 หลายเดือนก่อน

    Pole sana sisi wote tume zaliwa na mwanamke bibilia ina sema mwanadamu alie zaliwa na mwanamke sikuzake zakuishi sii nyingi mambo yote tuna mwachia mungu

  • @mclangutut5912
    @mclangutut5912 ปีที่แล้ว

    Pole sana kaka Lisu tunakupenda Mungu wako yupo hai.
    Jipe moyo

  • @jenniferkayoza9618
    @jenniferkayoza9618 4 ปีที่แล้ว +6

    inauma sana,damu hi ikawe laana kwa wamwagaji wote

    • @ericfelician7996
      @ericfelician7996 4 หลายเดือนก่อน

      Ameni, mmoja ishalipwa magu

  • @glorychristopher7283
    @glorychristopher7283 ปีที่แล้ว +1

    We love you dear

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 4 หลายเดือนก่อน

    Pole sana uliweza kumuokoa Mwamba wetu Lisu mungu akulinde huko uliko Lisu tunae

  • @MeckIsaac
    @MeckIsaac 6 หลายเดือนก่อน

    Jamaa yangu mungu akuongezee siku za kuishi pamoja na familia yako

  • @jumaally4215
    @jumaally4215 3 ปีที่แล้ว

    La pole mwenye ,zmungu akulinde zaid

  • @rashadallamki8862
    @rashadallamki8862 4 ปีที่แล้ว +1

    Adam Asante kwa
    wako ukweli na Mungu atakuhifadhini wewe na Muhishimiwa Ameen

    • @lulurubby2235
      @lulurubby2235 2 ปีที่แล้ว

      Ukweli aupeleke police kesi ianze waache mambo ya kihuni huyu ni shahidi number moja

    • @pundatr8103
      @pundatr8103 ปีที่แล้ว

      Adam aje tz mbona lisu kalud ajeahojiwe napols muuaj skatangulia

    • @lulurubby2235
      @lulurubby2235 ปีที่แล้ว

      @@pundatr8103 lissu si victim aende akafungue mashtaka alafu aje na huyo Adam atoe ushahidi lissu mwenyewe hata hana uhakika kwa sasa nani alimfanyia tukio

  • @AnneNdabila-uv2qh
    @AnneNdabila-uv2qh 11 หลายเดือนก่อน +6

    Asante kwa kuokoa maisha ya lissu Mungu atakulipa

    • @Kiswahili
      @Kiswahili  11 หลายเดือนก่อน +1

      🙏

  • @PaulJimora
    @PaulJimora 11 หลายเดือนก่อน

    Pole kaka

  • @johngibson3089
    @johngibson3089 2 ปีที่แล้ว +6

    Pole sana dereva na hongera kwa kushiriki kumnusuru Tndu Lissu. Mungu akusaidie ili siku moja uwe dereva wa rais Tundu Lissu

  • @RaheemaOm-d5e
    @RaheemaOm-d5e หลายเดือนก่อน

    Bigappu sana kijana Mungu atakuripa

  • @rebecashumbi3450
    @rebecashumbi3450 ปีที่แล้ว

    Pole pole ila YESU anaokoa Yesu aliwaokoa wewe na bosi wako mpeni Yesu maisha yenu mmeongezewa siku

  • @robertnsambila7354
    @robertnsambila7354 4 ปีที่แล้ว +3

    Mungu mwema na ndio mana kawanusuru hamkuwa na hatia tunawaombea sana

  • @mussaharun7257
    @mussaharun7257 4 ปีที่แล้ว +3

    Mungu anajua zaidi

  • @bishirashaka1556
    @bishirashaka1556 4 ปีที่แล้ว

    Pole saana

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 7 หลายเดือนก่อน

    Pole sana

  • @rajabungereza8755
    @rajabungereza8755 5 ปีที่แล้ว +21

    Naomba ahojiwe vzuri atakuwa anajuwa kwann. Hakumwambia boss wake mapema ili atoe taarifa police anasubiri mpaka avamiwe hapo naona kuna alama ya kuuliza hatakama sijasoma

    • @ramadhannjuch9549
      @ramadhannjuch9549 4 ปีที่แล้ว +7

      Kwanini walitoa Camera

    • @franknamkoko8228
      @franknamkoko8228 4 ปีที่แล้ว +7

      Polis gani tena ushaambiwa walitoa taarifa mapema saan na hakuna kilichofanyikaa

    • @zuhurageyash3519
      @zuhurageyash3519 4 ปีที่แล้ว +3

      Dereva anahusika kwanini. Ashuke wakati aliona hatari? Na kwanini asimwambie boss kuna watu wanatuatilia? Ili achukue tahadhari? Akafanya siri kisha akashuka ili risasi zisimpate? Hao waliofanya kitendo hicho ni wafuasi wa chadema wameona tundu lisu kimbelembele hataki wenzake washike nafasi ya urais maana mbowe alitaka awe rais Dr silaa Sharif hamad na pro lipumba wote walitaka wagombee sasa jamaa kagoma hapo ukawa na ukuta ikafa hivyo ni visasi vyao tu na dereva anajua yote lakini mjue kikulacho kinguoni mwako

    • @mariamsuma3003
      @mariamsuma3003 4 ปีที่แล้ว

      Kabisa kwanin yeye hajapata majeruhi

    • @loner_wolf
      @loner_wolf 3 ปีที่แล้ว

      Hawa wanasinema wazur sana, huyu jamaa nafsi yake inamambo mengi juu ya hili..... Ni serikali ya wapi itumie mateja au walevi kufanya ambush kama hiyo? Maana mtu aliyempiga hizo bastola za kupigia njiwa pori anaonekana kbsa ni kilaza tu, mm naamini asingetoka mtu hapo, 32 bullets 🙄🙄🙄. CCTV gn kwan mtu akisema umeng'oa kigingi hata kama hakikuwepo mdomo wake utabambika?

  • @jasonhiphop2589
    @jasonhiphop2589 5 ปีที่แล้ว +10

    Waliopotea tu inatosha kutohowa nakupata Lugha kamili yawalio husika.Mungu ndie muweza wayote hakuna atakaeishi milele.Mungu atukuzwe kwakuwaponya.

  • @gelardanyasi919
    @gelardanyasi919 ปีที่แล้ว

    Pole kmnd tuko pamoja nawe

  • @DausonShensherwa
    @DausonShensherwa 6 หลายเดือนก่อน

    Poleni mungu atajibu

  • @johanesjohn8471
    @johanesjohn8471 4 ปีที่แล้ว +6

    Mission impossible....Mungu mwema

    • @immailecx5355
      @immailecx5355 2 ปีที่แล้ว

      Dereva. Ausik .kwaniangeshindwa kumalZ. WEWENIMTUMUNGU NAMUNGUAKULIND UWENAMOYO UWO UW

  • @neemakrekamoo4789
    @neemakrekamoo4789 2 ปีที่แล้ว +6

    Very smart and honest guy👏

    • @AD-qi3wb
      @AD-qi3wb 11 หลายเดือนก่อน

      How? wewe watu wakifuata ,utawapeleka mpka kwako na na kusubili nje?

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@AD-qi3wb6:11inawezekana ukihisi kitu why not mimi naweza kusubiri nikihisi

  • @pauldavid5141
    @pauldavid5141 6 ปีที่แล้ว +12

    Utungaji.

  • @ramanizetu_blog5973
    @ramanizetu_blog5973 4 ปีที่แล้ว +3

    hivi dakika zote hizo mnashangaa lile gari na hadi linageuza mmeshindwaje kuchukua namba za gari? plate no.? dakika 10 mmeshindwa kuchukua hata picha? hata kupiga simu kwa ndugu wa karibu?

    • @Kumalo-q2i
      @Kumalo-q2i 4 หลายเดือนก่อน

      Wakati ukishka unashtiwa mzee😅

  • @sadikirajabu6806
    @sadikirajabu6806 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu ni mwema

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 2 หลายเดือนก่อน

    Njoo ukajibu mashitaka na Lissu wako ili ukweli ujulikane.Swala kubwa lissu hataki ukweli ujulikane kwa sababu anatumia risasi kama sera kupata ubunge😢

  • @MeryLyatuu-to9ks
    @MeryLyatuu-to9ks 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu. Ndiye mueza ya yote nakumbuka lisu alisema kabisa kwenye vyombo vya habari anafaatiliwa mjitahidi sana kuangalia taarifa kesho yake ndio akapigwa risasi

  • @suzymwageni7228
    @suzymwageni7228 4 ปีที่แล้ว

    Mungu anawaona wtz mnaye amini dereva alihusika lakini amini nawaambieni lisu ni mtu ambaye Mungu amempa Karama ya kuongoza watu yote hiyo mlitaka afe Mungu kuzuia kajiinua mumjue mungu hakika naamini kwa kilicho tokea kwa tundu lisu Mungu atatufundisha na hatuta amini lakini tutaelewa kuwa Mungu alisimama kwa ajiri ya taifa la Tanzania sio kila magumu tunasema shetani amejiinua mungu anaruhusu tujifunze watanzania yatakapo timia lisu atakumbukwa na watanzania wote asante .

    • @pundatr8103
      @pundatr8103 ปีที่แล้ว

      Huyo chiba mpiga dili jibo lilimshinda amuongoze nan

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 3 ปีที่แล้ว

    Si kweli.

  • @daudisebastian4935
    @daudisebastian4935 3 ปีที่แล้ว

    Amina

  • @erastoonesmo6109
    @erastoonesmo6109 4 ปีที่แล้ว +16

    Kiuhakisia izo risasi zingemjeruhi na yeye picha LA kihindi ili😂😂😂

    • @bennymochiwa4800
      @bennymochiwa4800 4 ปีที่แล้ว +4

      acha ukuma wewe, mbn ushangai walinzi wa hapo walikuwa wap!!!???

    • @daudidarabo3311
      @daudidarabo3311 4 ปีที่แล้ว +3

      @@bennymochiwa4800Asanteee benny

    • @joyceshile6322
      @joyceshile6322 4 ปีที่แล้ว

      Hiyo hotuba ya RAIS WETU INAITWAJE TH-cam, ALIYOTAMKA MANENO HAYO ILI TUSIKIE ACHENI KUTUFANYA MAZOBA

  • @elishangomele9937
    @elishangomele9937 4 ปีที่แล้ว +5

    Shida ipo kwenye kuumia mguu wa kulia alihari umekaa upande wa kushoto ya mungu mengi

  • @mariamichael3088
    @mariamichael3088 4 ปีที่แล้ว

    Polen sana

  • @AnneNdabila-uv2qh
    @AnneNdabila-uv2qh 11 หลายเดือนก่อน

    Pole sana lissu wote waliohusika kukupiga lisasi watakufa watakuacha naamini

    • @Kiswahili
      @Kiswahili  11 หลายเดือนก่อน

      🙏

  • @salamwajeka-yo6su
    @salamwajeka-yo6su 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu ni mkui

  • @AllyIyimo
    @AllyIyimo 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu Adam ni mwongo amekaririshwa maneno ya kuongea na tundu kwanini tundu karudi ye hataki kurudi? Inafikirisha sana

  • @kpetres2872
    @kpetres2872 4 ปีที่แล้ว

    Mungu Ndo shaidi pekee🙏

  • @rashidbusanya7166
    @rashidbusanya7166 5 ปีที่แล้ว +6

    Siasa nimchezo mchafu sana mtajuana wenyewe huko siasa nikama ugonjwa

  • @andrewemilly2890
    @andrewemilly2890 5 ปีที่แล้ว +14

    Ulitakiwa na police kwa nn umegoma kuja

  • @jitelyashibuka3072
    @jitelyashibuka3072 4 หลายเดือนก่อน

    So painfully

    • @Jephason-m3z
      @Jephason-m3z 3 หลายเดือนก่อน

      Hakika iliumiza sana

  • @malindimalindimerinyo1632
    @malindimalindimerinyo1632 2 ปีที่แล้ว

    Huyu ni mwislam Lissu ni mkristo angalia walivyokuwa wakiishi vizuri tunatakiwa tuwe hivo kulikoni shetani aliyepanga mauaji naye Mungu akawanusuru wote wawili Mungu ni mkubwa

  • @godisgreat1845
    @godisgreat1845 4 ปีที่แล้ว +3

    Kuna clip ulisema ulilaza kiti ndio. Maana risasi hazikumpata hapa unasema ulilaza kwenye kiti chako

  • @mariamsuma3003
    @mariamsuma3003 4 ปีที่แล้ว

    Ulikuwa unajua kila kitu wew acha kudanganya

  • @ramadhanilessosaidi9691
    @ramadhanilessosaidi9691 หลายเดือนก่อน

  • @AbelMwakilembembwate
    @AbelMwakilembembwate 7 หลายเดือนก่อน

    Kwa maelezo ya awali na unayotoa kuna tofauti

  • @projestusbernad3813
    @projestusbernad3813 4 ปีที่แล้ว +2

    Nimashaka wakati unaona watu wanafatilia nyuma kwanini haukumwambia naye akajiwekatayari aidha kuitaji msaada wa rafiki au majirani kuwa tunafutiliwa nyuma kitakachotokea mjue kuna watu.
    Sababu ya kuwa watu wawili nini sasa kama boss wako hautaki kuongea naye pale penye mashaka.

  • @privatuswapeter4457
    @privatuswapeter4457 5 ปีที่แล้ว +10

    Uko poa bro

  • @YudaMatesie80
    @YudaMatesie80 5 ปีที่แล้ว +5

    Kama Lisu hakufariki bado ni shahidi siyo akomaliwe dereva tu hii ni move ya kucreat

  • @humaidalnaamani4183
    @humaidalnaamani4183 4 ปีที่แล้ว +5

    Daah gari ulikuwa nyuma ya gari yao kisha wanapigwa na risasi tokea nyuma ya gari inampiga mshambuliwa kwenye paja hii kali

    • @alexvenas2699
      @alexvenas2699 5 หลายเดือนก่อน +1

      Haujasikiliza maelezo vzri ndugu,gari ilirudi reverse na kwa Kasi ilipofika usawa wa gari lao wakashambuliwa risasi.

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@alexvenas2699watu wengine wanasikiliza lakini wanajitia ukiziwi kwa kutaka kujifanya wanajua zaidi wakati huyu alifungua mlango akalala chini nje ndio pona yake .Na wauaji nadhani walifokas kumlenga Lisu pia walikua waoga hata wao hawakujiamini walipokuwa wanatenda lile tukio

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 3 หลายเดือนก่อน

      Tukumbuke hata Sativa alilengwa hapa na hapa lakini Mungu alimuokoa maana walengaji pia wanakiwewe cha dhambi mpaka hawakutimiza dhulma zao

  • @frankanold9803
    @frankanold9803 3 ปีที่แล้ว +1

    NAKUSHUKURU SANA MUNGU TUNDULISSU AMEPONA.HATIMAYE ALIYETAKA UFE AMEKUFA YEYE NA WEWE NDIYE ULIYEIAMBIA DUNIA KUHUSU UGONJWA WAKE

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 3 ปีที่แล้ว

    Ulikuwa nimupango wamagufurinandugainawashirika wait waccm sasamajibu tayari mungu kakuokoa lissu mapambano bado!!!!

  • @onesmominga844
    @onesmominga844 4 ปีที่แล้ว

    Hawa walikuwa wakisubiria ashuke I li wammalizie kabisa mungu mwema ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga.

  • @tegamaduhu5204
    @tegamaduhu5204 5 ปีที่แล้ว +1

    Pole baba ugua pole

  • @kaniogachief6151
    @kaniogachief6151 5 ปีที่แล้ว +14

    Police lisu alijipiga mwenyee nyie fanyeni kazi zingine upuuzi hatutaki Sisi wasitufanye wajinga hao

    • @simonetz7036
      @simonetz7036 5 ปีที่แล้ว

      nadhani mbugila lilianzia kwenu

    • @simonetz7036
      @simonetz7036 5 ปีที่แล้ว

      nadhani mbugila lilianzia kwenu

    • @rahmaoman5122
      @rahmaoman5122 4 ปีที่แล้ว +1

      Nikwer kabisa hatamie hua ninamashaka makubwa sana juu ya lisu kupigwa lisasi kwa hivi wangekua ni jambazi kabisa kwann walishindwa kushot la kwenye moyo? Mie nahisi ni njama zake tu ili ajizolee umalufu😏😏😏🤣🤣

    • @princessfettyrashidi2409
      @princessfettyrashidi2409 4 ปีที่แล้ว

      Memory yako nahisi haifanction very well

    • @tiktoktdmdynamo3100
      @tiktoktdmdynamo3100 4 ปีที่แล้ว +2

      @@rahmaoman5122 kwa haya mawazo yako tanzania tuna safari ndefu

  • @josephjulio6112
    @josephjulio6112 6 หลายเดือนก่อน

    Huyu anajua

  • @johanesdeocles6337
    @johanesdeocles6337 4 ปีที่แล้ว +1

    Unajua kuna watu wanadhani labda wataishi milele malipo hapa hapa duniani

  • @peteralfonce5848
    @peteralfonce5848 5 ปีที่แล้ว +11

    Mimi siandamani tena

  • @francismsonde3307
    @francismsonde3307 4 ปีที่แล้ว +3

    Wote tutakufa tatizo ni muda tu 🙏🏾🙏🏾🙏🏾 na anayeua kwa Upanga naye .........................

  • @mustafajumajuma2226
    @mustafajumajuma2226 3 ปีที่แล้ว

    Wewe ni Mjeshi safi kabisa

  • @mfaumehseyyid9750
    @mfaumehseyyid9750 4 ปีที่แล้ว

    Hongera wewe hukuumia

  • @muhojaonetv1374
    @muhojaonetv1374 2 ปีที่แล้ว +1

    Aise inasikitisha sana
    ila Mngu Ni mwema

  • @hilalalhabsi2047
    @hilalalhabsi2047 4 ปีที่แล้ว +6

    YAANI KAMA UNGEMUACHIA ASHUKE ANGEPIGWA ZA KICHWA DOH! UMEMSEVU KUMUAMBIA ASISHUKE

    • @danielmarunda153
      @danielmarunda153 4 ปีที่แล้ว

      Hilal Alhabsi Ungepata faida gani Kama angepigwa za kichwa? Acha ujinga wewe unashabikia upumbavu

  • @gabrielzakaria2810
    @gabrielzakaria2810 ปีที่แล้ว +1

    Ww bro me kuna kitu unanitisha mbona lisu anasema ulimwambia mapema kuwa kuna watu wanawafatilia? Na lisu anasema kuwa ww ilipopigwa risasi ya kwanz ww ndo ulimwinamisha gafla?! Ww umesema had unafika area D lisu alikuwa hajui kitu ? Lkn lisu anasema ulimwambia mapema

  • @stephentossi2626
    @stephentossi2626 2 ปีที่แล้ว

    Hawa watu mlianza kuwatilia mashaka umbali mrefu hivyo hadi wasiwasi uliendelea hadi nyumbani ulikuwa na sababu gani kuendelea unashangaa wakati ulishaona hakuna walinzi. Pili wakati mashambulizi hayo yanaendelea kwanini hukuomba msaada kwa majirani. Naomba Watanzania tuwe makini

  • @rehemamshiko6753
    @rehemamshiko6753 ปีที่แล้ว

    MUNGU awatunze sana wewe na boss wako

  • @yagwishaheke6930
    @yagwishaheke6930 5 ปีที่แล้ว +25

    Kwa mtu mwenye akili timamu ukisikiliza tu maelezo ya dreva inatosha kuonyesha kuwa dreva alijua shambulizi 100% believe me

    • @NeemaMedia
      @NeemaMedia 5 ปีที่แล้ว

      Mimi nadhani yeye aliwaona na aliwajuwa ila anashindwa kutaja hadharani ni vyema vyombo vya usalama kukaa nae na kuongea nae vizuri

    • @franceobed7463
      @franceobed7463 5 ปีที่แล้ว

      Uyu jamaa maelezo yake duh nina was2

    • @maselejacob8370
      @maselejacob8370 5 ปีที่แล้ว +1

      Dereva alinunuliwa huyo

    • @YudaMatesie80
      @YudaMatesie80 5 ปีที่แล้ว +1

      Alijua na ndo maana Lisu alipona

    • @frankjohn8570
      @frankjohn8570 5 ปีที่แล้ว +1

      Wote walijua kuwa wanafuatiliwa hata kuna wkt Lissu aliomba ulonzi je wote wanapaswa kutiwa hatiani kutokana na tukio hilo? Na kama risasi zilipigwa kutokea nje ya gari je alishuka mtu katiyao kupiga risasi? Na vipi risasi zisichunguzwe kujua in bunduki gani inamilikiwa na nani.....

  • @MRHURUMAHuruma
    @MRHURUMAHuruma 11 หลายเดือนก่อน

    Mda wote hukuchukua video kwa cm

  • @dizledizle1802
    @dizledizle1802 5 ปีที่แล้ว +3

    Rudi nyumbani uje ueleze vizuri kaka! Maana maneno yako yanaonyesha kuna kitu unakijua vizuri

  • @AthanasMsangule
    @AthanasMsangule 4 หลายเดือนก่อน

    Askari wa Tz, wanaweza kuua hadi watu 3 kwa risasi moja tu. Inakuwaje lisu apigwe risasi 16 na bado asiuawe? Huyu alipigwa na watu waliopangwa au washamba kabisa wa matumizi ya silaha. Tusidanganyane huo ni mpango wa kutafuta kura za huruma tu.

  • @alexchacha4441
    @alexchacha4441 4 ปีที่แล้ว

    Mzee unarud lini tunataka urud jmn tunakukubali sana tunakuomba urud uje kupambana na huyu mzee

  • @evansmlalo4049
    @evansmlalo4049 4 ปีที่แล้ว +1

    POLISI WA TANZANIA NENDENI SHULE MKAJIFUNZE UPELELEZI. KAZI YENU ILIKUWA TAYARI IMEKWISHA KAMA MSINGEIBA MASHINE ZA CCTV. MUMETUMA WATU WAFUNGUE MASHINE ZA CCTV MKIJUA USHAHIDI UMEPOTEA. JESHI LA POLISI NI JESHI LA KIHUNI LINALOFANYA KAZI CHINI YA CCM.

  • @joelcassian2388
    @joelcassian2388 4 ปีที่แล้ว +3

    Gari imetobolewa mala 32 lisu risasi 16 wewe ujaguswa hata kidogo ww ni zaidi ya malaika .....pili risas zmepigwa upande wako wa kushoto lisu amepigwa mguu wa kulia hizo zilizompiga lisu kulia zilitoka wapi na ww ulikua kulia hukuguswa kabisa tatu Kama risas zilipigwa kiholela ilikuwaje zilenge mguu tu ...kk tunaomba uhojiwe ilitupate majibu yaliyonyooka

  • @zulekhasaidmohamed4043
    @zulekhasaidmohamed4043 5 ปีที่แล้ว +1

    Mungu yuko nawawo watakufa

  • @gregoryntibani6640
    @gregoryntibani6640 4 หลายเดือนก่อน

    Dereva unasoma mazingira dhidi ya serikali. Katikati ya mji anaona magari yanakufuata. V8 ikapaki, Nissani ikawa nanyi. Gari ikarudi reverse kwa Kasi na kuanza kusikia risasi na kusikia milio ya Boss. Risasi zikitoka nikalaza kiti. Huyu dereva ana Kasi zaidi ya risasi. Moyo wa dereva haukushtuka kwani alikuwa anajua anafuatiliwa. Risasi zilipigwa umbali wa hatua nne, lazima ushtuke. Huyu ndiye dereva wa Lissu.

  • @dawillygene
    @dawillygene 5 ปีที่แล้ว +5

    Mmmmm, acha nipite nisije kukufuru bure , huyu dereva na maongezi ya Lisu yanapishana ni bora hata asingeongea maana wanapozidi kujichanganya mnapoteza hata maana .

    • @abdulkareemseif667
      @abdulkareemseif667 5 ปีที่แล้ว

      babyee Da love hawana utofauti wowote ila siasa tu ndo zinazowatoa roho kwa iyo ht mukiambiwa mutasema uongo

    • @NeemaMedia
      @NeemaMedia 5 ปีที่แล้ว +1

      @@abdulkareemseif667 yes ni kweli

    • @princessfettyrashidi2409
      @princessfettyrashidi2409 4 ปีที่แล้ว +1

      Maelezo yao yapo sawa kabisa ila wewe ndio chenga

  • @jacksonjoakim4115
    @jacksonjoakim4115 5 ปีที่แล้ว +5

    uuni mpango wa risu mwenyewe kwanini haukupiga sm police umeona unafatatiliwa haukupiga sm

    • @danielichuwa3747
      @danielichuwa3747 5 ปีที่แล้ว +1

      Jackson Joakim wakati mwengine unapo toa maoni yako tambua kwanza unacho taka kuongea ama kusema

    • @roseesospeter1792
      @roseesospeter1792 4 ปีที่แล้ว +1

      @@danielichuwa3747 kwani kakosea Nini ndyo alipaswa kupiga c

    • @hilalalhabsi2047
      @hilalalhabsi2047 4 ปีที่แล้ว

      @@roseesospeter1792 kasema kajipiga mwenyewe au umesoma ya sm tuu🤔

    • @emmashayo8774
      @emmashayo8774 4 ปีที่แล้ว

      Mungu anakuona

  • @mzafaludauda5342
    @mzafaludauda5342 5 ปีที่แล้ว +2

    mmh namwachia mungu

  • @kelvinibrahim1828
    @kelvinibrahim1828 4 ปีที่แล้ว

    poresana mungumwema

  • @cypmkutubi3109
    @cypmkutubi3109 5 ปีที่แล้ว +14

    Huyu dereva, nimeyasikiliza maelezo yake kwa umakini sana ... kuna haja kubwa sana ya kuhojiwa na Idara ya Upelelezi ya Jeshi la Polisi. Jeshi letu la Polisi halina utaratibu wa kwenda kuwahoji washukiwa nje ya nchi, wewe kama Mtanzania ulitakiwa kuhitikia wito wa Jeshi la Polisi kuja kuhojiwa Tanzania. Ulikaidi, na hata sasa hutaki kurudi Tanzania.
    Mwenye akili za kupembua anaona kabisa kuna siri nzito zimefichwa! Wahusika wanazidi kujificha kwa kuelekeza lawama serikalini ili wasifikiriwe! Njoo uhojiwe!!
    Kikulacho kinguoni mwako, ipo siku MUNGU Mwenyezi atawafunulia Wana-CHADEMA. Jiulizeni ... kwanini kila anaeinuka kuwania Uwenyekiti wa CHADEMA lazima ashambuliwe au kufa kabisa, au kunyang'anywa uwanachama kabisa?! Huyu Top kwanini yeye haya hayamkuti?? !!! CHADEMA fikirieni mara nyingine tena! Mzua pembe ndo mzika pembe!!

    • @fredymachumu1631
      @fredymachumu1631 5 ปีที่แล้ว +1

      Kweli kabisa mbowe ndo anaewamalizaa

    • @japhetyanania8589
      @japhetyanania8589 5 ปีที่แล้ว

      Inakuhitaji uwe na uwezo mdogo sana wa akili kuamini upuuzi na propaganda za ccccm

    • @juliethhouseofdesigns147
      @juliethhouseofdesigns147 4 ปีที่แล้ว +2

      Ukweli ni kwamba Kipindi Lisu anapigwa Risasi alikuwa anapiga Kauli ya Rais kutaka kupima mchanga ambao walipopima mara ya kwanza alisema nchi ya Tz itashitakiwa alipoona majibu ya pili yametoka na wenye migodi wanahitaji mapatano na kulipa ndio tunaona kapigwa Risasi hivyo alijua kabisa watu wote watajua ni Serikali imempiga ila
      Serikali impige wakati walichokuwa wanapigania wamekipata ?
      Kuna mtu alitumia hii fursa akampiga mwenzie ili macho yawe kwa Raisi ila ameishashindwa icho kitendo kitamtafuna mpaka atakili alikifanya

    • @jamalfauz4264
      @jamalfauz4264 4 ปีที่แล้ว +2

      Suba na Julieth hapa mmenena kabisaaa.. tatizo watanzania hatutaki kufikiri hivyo tunafuata tu upepo.

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 2 ปีที่แล้ว

    Ukiangalia kwa undani zaidi unaona kabisa hii ilikuwa ni tamthilia kabisa! Hizi zilikuwa Kiki za siasa kutaka kuivuruga serikali! Kama uliona Kuna dalili hizo za mwanzo za kufuatiliwa kwa nn hamkupiga cm polisi kabla hata hamjafika sehemu ya nyumbani? Huyu dereva bhana alikuwa anajua kinachoendelea muda wote alishindwa kutoa taarifa kwenye vyombo vya usalama? Na kwa nn hakumwambia bosi wake muda wote huo huenda angemshauri kuwa toa taarifa popote! Hii ilikuwa move tu!

  • @sitisuleiman7889
    @sitisuleiman7889 5 ปีที่แล้ว +4

    Dah huyu dereva kaonesha uzembe kabisa angeona wanavofuatiliwa angetoa taarifa polisi au wangerudi bungeni 🤔

    • @ukhtyalpha1344
      @ukhtyalpha1344 5 ปีที่แล้ว

      Polisi wa wapi hao wenu wanaibeba ccm khhaa usichafuwe hali ya hewa hapa

  • @Boaz22
    @Boaz22 2 ปีที่แล้ว

    Tundu lisu anasema gari ilioingia na nyie ni Mitsubish, wewe unasema ni Nissan, mkanganyiko tayari😟

  • @molenicharles9107
    @molenicharles9107 ปีที่แล้ว

    Hilo ndilo lilifyatua risasi kwann yeye asijeruhiwe hata chembe...macho tu yanaonyesha no muhusika no 1

  • @kabwangaselemani5228
    @kabwangaselemani5228 2 ปีที่แล้ว

    Yeyote aliyehusika iwe ni Chadema,Serikali au yeyote Yule unyama aliofanyiwa Lissu haukubaliki ni vizuri wananchi wakaambiwa ukweli

  • @lenatusnestorykilalika7514
    @lenatusnestorykilalika7514 5 ปีที่แล้ว +3

    Anajua huyo sana

  • @christopherjimmy8925
    @christopherjimmy8925 5 ปีที่แล้ว +15

    Taratibu kisheria mtu wa kwanza kumhoji Ni Yule aliyekuopo kwenye tukio ndipo upelelez mwngn unaendelea sasa ninyi wote mko ulaya sasa nani atafungua kesi nani atatoa maelezo ili kusaidia police. Leo naamin wana macho lkn hawaon wana masikio hawasikii.

    • @simonshitindi6242
      @simonshitindi6242 5 ปีที่แล้ว +1

      Brother we umeongea kitu chamsingi sana

    • @jonijojoss9181
      @jonijojoss9181 5 ปีที่แล้ว +2

      Moo Roma walitekwa na mpaka Leo unataarifa gan maana wao walitwa polis na wakahojiwa hebu tupe mwendelezo wa ni kwanini walitekwa

    • @hemedmteza6956
      @hemedmteza6956 5 ปีที่แล้ว +1

      Christopher Jimmy wangekufa je?

    • @fredymachumu1631
      @fredymachumu1631 5 ปีที่แล้ว +1

      @@jonijojoss9181 we ni ndezi kweli

    • @ceciliamhumba7349
      @ceciliamhumba7349 5 ปีที่แล้ว

      Wangekufa wote miili yao ingefanyiwa uchunguzi.

  • @saidchaula1947
    @saidchaula1947 4 หลายเดือนก่อน +1

    Dreva wa lissu sio shaidi wa serikali hawa wanamtaka ili kumwuwa kupoteza ushahidi awana jambo jingine

  • @wilsonchallange4420
    @wilsonchallange4420 5 ปีที่แล้ว +6

    Hao watu walikuwa pembeni yenu kwa zaidi ya dakika SITA-6..
    MLIKUWA MNASUBIRI FILAMU IANZE.!

  • @sundaynurdin2864
    @sundaynurdin2864 2 ปีที่แล้ว

    Ungekuwa ni ww umedhuriwa familia Yako Leo ingekuwa na Hali gani kweli nimeona wew ni Moja ya watu muhimu kwenye hili tukio wewe unamwambia mwisho ungemshirikisha mapema angeweza kukushauri either msifike home au vinginevyo

  • @DandasiKundi
    @DandasiKundi 5 หลายเดือนก่อน

    Hukumu ya watu waliofanya tukio la kiharamu wote hawataishi . Poleni sana wanatoa cctv camera a kweli ni hujuma .

  • @sememakolo9360
    @sememakolo9360 4 ปีที่แล้ว

    Mbona upotee usiende kwenye vombo vya usalama, nakwanini uende arusha kulala huko wakati tukio lometokea Dom?

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 3 หลายเดือนก่อน

      Lisen before you judge alikuwa anaenda Nairobi kupitia Arusha

  • @charlesphillip1855
    @charlesphillip1855 4 ปีที่แล้ว

    Huyu yuko wapi mpaka sasa

  • @suleymanmrutu9498
    @suleymanmrutu9498 3 ปีที่แล้ว

    Jamani huyu dereva hajui ila alifanya uzembekidogo

  • @eddynyaki5539
    @eddynyaki5539 4 ปีที่แล้ว +4

    Hapa kuna kitu ambacho kinafichwa kwanini utoroke baada ya tukio? Je huko uliko ndiyo watakusaidia? Acheni kutumwa kuichafua nchi kwa maslahi yenu Mungu atawaumbua siku moja Tanzania inasonga na itaendelea kusonga Mungu ibariki Tanzania

  • @timothkyamba8898
    @timothkyamba8898 3 ปีที่แล้ว

    Ulikuwa wapi siku zote hizo Leo unatoa maelezo

  • @hassansamata5995
    @hassansamata5995 5 ปีที่แล้ว +4

    Mbona gari imeshambuliwa kushoto mguu wakulia ndio unavyuma..dereva ulikua upande gani

    • @neemajohn754
      @neemajohn754 4 ปีที่แล้ว

      Kwahiyo we unaona ni mazingaumbwe au?kwenye hatari hasa risasi inaweza kulenga popote hasa mtu anapojigeuzageuza kwa kukwepa au kuugulia majeraha .kwani mguu wa kulia si sehemu ya mwili?au Lisu ni gogo na huwa hajigusi hata kwenye hatari?comment yako haina mashiko. Au kusema hivyo yaweza ashiria ulikuwa na washambuliaji na mnajua risasi mlikoelekeza na pengine hamkupanga kulenga mguu wa kulia..Kasaidie polis na wewe

    • @midumbiojijo8126
      @midumbiojijo8126 4 ปีที่แล้ว

      Ww acha ushamba magar za serikali V8 zinakua na Sterling Kushoto
      Ili kuwezesha kutembea nchi yoyote

    • @JEMBEKALI
      @JEMBEKALI 4 ปีที่แล้ว

      @@midumbiojijo8126 umesikiliza vizuri maelezo ya dereva? Anasema alikuwa upande wa kulia wa Lisu. Ona gari lilivyo shambuliwa - Risasi kutoka kushoto zilipiga kona? Mbowe alisema ni bunduki ya SMG ilitumika - sikiliza video yake mara tu baada ya tukio, na sijui alijuaje!!

    • @JEMBEKALI
      @JEMBEKALI 4 ปีที่แล้ว

      @@neemajohn754 Mbowe alisema ni bunduki ya SMG ilitumika - sikiliza video yake mara tu baada ya tukio, na sijui alijuaje!! Risasi hazipindi kona - research ukweli