Ipo siku mungu atadhibitishaa ukuu wakoo ,uzalendo wakoo bingwa nyaturu mwenye unyaturu wakiharakati , wew ni shujaaa Wa taifa- wale madicteta uchwala wanakuogopA dingilAi, see you AgAin✌ get well sOon tundu
Kweli shangaa kabla hujashangiliwa, nikifatilia coment nyingi humu ndani zinampongeza lisu, nikiangalia coment za mwaka jana zinamtukana lisu,, shangaa kabla hujashangiliwa
Maelezo ya lissu zinaonyesha umakini na ananukuu anafwatilia sana historia yenye uwazi,kuhusu muungano.watakukumbuka,kwanza katiba haionyeshi kuungana,mkataba haionyeshi hati ya muungano haipo,ipo siku tutaelewa.
We Agnes erasto unamkosoa Nn lisu Huyo ndiye rais wa sheria laiti angekuwaekuwemo humo Bungeni Asa hv wangenyoooka . Yaani anacho kiongea ni ukweli Mtupu Wala Hapana kupinga tundu lisu Mungu akujaaalie tu ya
Lisu sio mnafiki kabisa. Ni muwazi Sana yaaani hata ccm wenywewe wanaona aibu ccm hawana ukweli. Ayo yote yapo hai na walioandika vitabu wamo umo ila hawatetei maandiko yao ya kweli Bali Ni matumbo yao aibu Sana.
WAMBIE WAMBIE VICHWA VIGUMU HAWA MADIKTETA WA CCM AU MCC WAPUMBAVU TU AKILI HAWANA KIKWETE KASOMESHWA ZNZ NA ANAITIYA ZN Z AIBU HERO TUNDULISU ANAWASOMESHA WAPUMBAVU WASIOTOSHEKA KUIBA MATRIONI YA ZANZNZIBARI 🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😂👹🇹🇿😇👹🇹🇿😂👹🇹🇿👹🇹🇿👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹
Hakuna tena nchi inayo itwa zanzibar tena ni kisiwa cha zanzibar chini ya tz passport 1 lungha moja chama kimoja, isipokua malipo ya ushuru ndio tofauti ikitoka zanzibar kwenda Bara uipinchwa kama una TV au gari pesa tena, na unasaeachiwa kama gaidi 🤣👍😜
Wanaomuangalia lissu 2020 tujuane
Uhakika
2024 niko hapa
2024 hii😅
Ipo siku mungu atadhibitishaa ukuu wakoo ,uzalendo wakoo bingwa nyaturu mwenye unyaturu wakiharakati , wew ni shujaaa Wa taifa- wale madicteta uchwala wanakuogopA dingilAi, see you AgAin✌ get well sOon tundu
Nimekuelewa vizur sana mheshimiwa. Mungu akubariki.
Daaaah yani huyu Jamaa namkubali mpaka nalia duuuuh natamani nimrithi huyu jamaa
Lissu Mungu yu pamoja nawewe
s
ngumi
Verry verry good miss sana hy jamaaa kichwa sana gombea uraisi kaka nyerere sio mungu
Tunaoangalia hotuba za mwamba Tundu Lissu 2020 tujuane kwa like hapa
Mh;tumekumic XANA bado tuko p1nawewe mungu akujalie afya njema !
Lissu the great
lissu ni rasimali ya Taifa kiujumla
Zitto ukimwangalia postures zake ni kwamba anamuelewa mno Tundu Lisu, man of steel Tundu Lisu
Kweli shangaa kabla hujashangiliwa, nikifatilia coment nyingi humu ndani zinampongeza lisu, nikiangalia coment za mwaka jana zinamtukana lisu,, shangaa kabla hujashangiliwa
Je waliomtukana ni wale wale waliomsifia..??
Waliomtukana wengine wale majiwe wasiolewa kinachozungumzwa wanaompongeza humu wanaelewa nini anazungumza
Tundu lisu unatisha uko vizuri Sana mungu akulinde na maduwi mungu AKIPENDA UTAKUWA RAHISI WETU
Nimekumic sana nakuombea urud kwenye hali yako
Edrick Byamaka daahhh, hadi napata uzuni
Oooh allah wewe ni mjuzi wawa juzi hujua tusivyo vijua tujaalie amani mola wangu❤❤❤
Ccm ni chama tawala
Kweli Tz haiwezi endelea kama mtu wa aina hii anawindwa kuuliwa.
Uliongea poainti Sana kijana....kamwe hatuwezi kuendelea
Huyu ni zaidi ya watu milioni mia
Anaye mlani lisu mbumbavu Sana na mungu alani
2020 president
Maelezo ya lissu zinaonyesha umakini na ananukuu anafwatilia sana historia yenye uwazi,kuhusu muungano.watakukumbuka,kwanza katiba haionyeshi kuungana,mkataba haionyeshi hati ya muungano haipo,ipo siku tutaelewa.
Msomi ni msomi tu!!!!
Hakika ulikua mtu wa pekee hapo mjengoni... kura yangu October Ni kwako.
one of my role model,hon Tunu Lissu
we miss you lisu
HUYU MWAMBA HAJAWAHI KUPOA❤❤❤❤❤❤❤❤
That is quite true!!!
Asante lissu kwaukweli
The genius one
Saw Rais 2020
safari hii sijui watakuua na nini mzee baba
Kwa halihiyo lazima ccm wakuchukie kwasababu Hawakuwezi kwahoja nikiwa namtoo nitamuita lisu lbda Anaweza kuwa km yy
😂😂kwel kabsa
Noma sana
Watu km hawa ni hazina ya nchi tulitakiwa kuwaenz na kuwaheshim sio kuwapiga risasi huu ni ushetani aliofanyiwa Huyu jamaa
Kabisaaa upo saw sana t
Najiona kama napindukia kukupenda lissu mkombozi wa wa tanzania waambie wasio jijua
Watu makini huwa hawapendwi na watawala
Huyu mwamba namuelewa sana namuona zitto katulia anasikilza madini ya mkulungwa lissu
Lisu big up
We Miss Youu Lissu
Kuna ukweli mwingi Sana huu
2023 gonga like
Ukweli sisi watanzania hatujamtendea haki Tundu Lissu...ilibidi abaki Bungeni mpaka 2025 halafu baada ya hapo tunampa Urais
yaani bunge la mwaka huu sijui litakuaje
Lissu ni kisu.
unasema ukweli kaka
Afu jamaa anaongea watu wapo serious akuna anaecheka ndio ujue anaongea mambo ya msingi na siyo comedy kama wakina musiba
Unatuharakisha Admin
2024/08/02 Big up Hon: Tundu A. Lissu
Huyu ndiye mzalendo wa Tz acha akina musiba.
genius
Hichi kichwa nibalaaa
Rasilimali MTU ndo hii
Hicho kichwa Baba we ach t 2022
Mshaona wapi magu anatoa madini kama haya wanaomponda wakapimwe malaria
tunahitaji viongozi kama hawaa
Ama kweli uraisi unakufaaa
Viongozi kama hawa wanafaa
Dah . Lisu
Safii sanaa
Moto wa kuotea mbali
Mungu mjaali lissu
Ujuzi unapotumika kutetea upuuzi😇😇
Makalio yanapotumika badala ya akili
Noma
Jaman kama huyu mwamba ni shujaa wa Dunia
Tunaomwangalia lisu 2024 tujuane
Nice oneeeee
We Agnes erasto unamkosoa Nn lisu
Huyo ndiye rais wa sheria laiti angekuwaekuwemo humo Bungeni Asa hv wangenyoooka . Yaani anacho kiongea ni ukweli Mtupu Wala Hapana kupinga tundu lisu Mungu akujaaalie tu ya
Huyu jamaa nishida
Naona Lowassa anasikiliza kwa makini,
Nimekwerewa kwamaneno
Tatizo lako unajaribu kuwafunua waliofunikwa kwa chupa tundu lisu wewe ni mtata sana pole kwa kuwa unajaribu kuwaweka sawa wanaoliwa
Lissu baba
Hivi huyu MTU wanataka kumuua kwa sababu zipi?haswa wajibu maswali anayoyauliza
Lisu sio mnafiki kabisa. Ni muwazi Sana yaaani hata ccm wenywewe wanaona aibu ccm hawana ukweli. Ayo yote yapo hai na walioandika vitabu wamo umo ila hawatetei maandiko yao ya kweli Bali Ni matumbo yao aibu Sana.
2022 mpo
👍👊✌️.
akuna kama lisu duh
Mark Kayuni love it
Strong mp
Gemd
Mtetezi wa wanyonge
Akili kubwa
Shida mwenye akili akikaa katikati ya wajinga ataonekan yeye ndye...
Wale wa 2024 tujuane tuliotoka tiktok
WAMBIE WAMBIE VICHWA VIGUMU HAWA MADIKTETA WA CCM AU MCC WAPUMBAVU TU AKILI HAWANA KIKWETE KASOMESHWA ZNZ NA ANAITIYA ZN
Z AIBU HERO TUNDULISU ANAWASOMESHA WAPUMBAVU WASIOTOSHEKA KUIBA MATRIONI YA ZANZNZIBARI 🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😂👹🇹🇿😇👹🇹🇿😂👹🇹🇿👹🇹🇿👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹
kua uyaone na kuona ni kwa mimi. dhaaa basi yote maisha.
Siku zijazo tutakuelewa tukiwa tumechelewa sana
an assert
Nakukubal sana lisu
Kaka ww ni kisanga cha ccm
Mwendelezo jamani ili tumalizie ukweli wa story
Mmm nomaaA
2024/06/19
Angekuwa mzalendo Kwa vitendo na si Kwa maneno angekuwa mtu sahihi wa kutuongoza .. lkn wapi 🤔
Huyu mwamba anaitendea haki Elimu yake kweli
Muuuhh huyu jamaa natamani arudi bungeni tena😅😅
big up
Tundu lieu anajua Sheria jamani tuache ushabiki.
Kaka lisu nakusamimia mimi
mic u lissu
huyu anakipaji kwenye fani hii hana mfano kwa hapa Tanzania
Ugua pole jembe karibu tena Tanzania mh lissu
Rudi bungeni baba
tunakukumbuka Sana
Joseph Chagevara aha tatizo unawivu xan
Hakuna tena nchi inayo itwa zanzibar tena ni kisiwa cha zanzibar chini ya tz passport 1 lungha moja chama kimoja, isipokua malipo ya ushuru ndio tofauti ikitoka zanzibar kwenda Bara uipinchwa kama una TV au gari pesa tena, na unasaeachiwa kama gaidi 🤣👍😜
Kwakweli
Du ssi tumekuelewa ZANZIBAR sasa kimekua kichaka chamauwaji yajabu sana hiyi nihatari
Lisu ni moto wakuotea mbali
Dahhh yani tz MTU kama huyu ni wa kupewa ulinzi kama wa raisi
UKWELI UNAJULIKANA ILA NDIO IVO