Kamati ya Maridhiano Six:Mhe Tundu Lissu April 16 2014

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 เม.ย. 2014

ความคิดเห็น • 151

  • @nuruelymollel707
    @nuruelymollel707 4 ปีที่แล้ว +20

    Wanaomuangalia lissu 2020 tujuane

  • @gabrielmalecela3701
    @gabrielmalecela3701 5 ปีที่แล้ว +14

    Ipo siku mungu atadhibitishaa ukuu wakoo ,uzalendo wakoo bingwa nyaturu mwenye unyaturu wakiharakati , wew ni shujaaa Wa taifa- wale madicteta uchwala wanakuogopA dingilAi, see you AgAin✌ get well sOon tundu

  • @isayaemanuelshalali8453
    @isayaemanuelshalali8453 6 ปีที่แล้ว +12

    Nimekuelewa vizur sana mheshimiwa. Mungu akubariki.

  • @husseinbakari8903
    @husseinbakari8903 5 ปีที่แล้ว +19

    Daaaah yani huyu Jamaa namkubali mpaka nalia duuuuh natamani nimrithi huyu jamaa

  • @uriotv9989
    @uriotv9989 6 ปีที่แล้ว +21

    Lissu Mungu yu pamoja nawewe

  • @husseinbakari8903
    @husseinbakari8903 5 ปีที่แล้ว +5

    Verry verry good miss sana hy jamaaa kichwa sana gombea uraisi kaka nyerere sio mungu

  • @barakamathayo5946
    @barakamathayo5946 3 ปีที่แล้ว +7

    Tunaoangalia hotuba za mwamba Tundu Lissu 2020 tujuane kwa like hapa

  • @mengishilogela9710
    @mengishilogela9710 5 ปีที่แล้ว +8

    Mh;tumekumic XANA bado tuko p1nawewe mungu akujalie afya njema !

  • @davidkaguru9511
    @davidkaguru9511 5 ปีที่แล้ว +8

    Lissu the great

  • @christinamsongole7877
    @christinamsongole7877 6 ปีที่แล้ว +19

    lissu ni rasimali ya Taifa kiujumla

  • @flavianwilliams2888
    @flavianwilliams2888 2 ปีที่แล้ว +2

    Zitto ukimwangalia postures zake ni kwamba anamuelewa mno Tundu Lisu, man of steel Tundu Lisu

  • @trilionea_online_TV
    @trilionea_online_TV 6 ปีที่แล้ว +14

    Kweli shangaa kabla hujashangiliwa, nikifatilia coment nyingi humu ndani zinampongeza lisu, nikiangalia coment za mwaka jana zinamtukana lisu,, shangaa kabla hujashangiliwa

    • @mohamedothman9769
      @mohamedothman9769 5 ปีที่แล้ว

      Je waliomtukana ni wale wale waliomsifia..??

    • @emanuelmwanga4
      @emanuelmwanga4 3 ปีที่แล้ว +1

      Waliomtukana wengine wale majiwe wasiolewa kinachozungumzwa wanaompongeza humu wanaelewa nini anazungumza

  • @mwinyimjaka4782
    @mwinyimjaka4782 3 ปีที่แล้ว +4

    Tundu lisu unatisha uko vizuri Sana mungu akulinde na maduwi mungu AKIPENDA UTAKUWA RAHISI WETU

  • @edrickbyamaka4950
    @edrickbyamaka4950 6 ปีที่แล้ว +14

    Nimekumic sana nakuombea urud kwenye hali yako

    • @nyangwetv2204
      @nyangwetv2204 6 ปีที่แล้ว

      Edrick Byamaka daahhh, hadi napata uzuni

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 8 วันที่ผ่านมา

    Oooh allah wewe ni mjuzi wawa juzi hujua tusivyo vijua tujaalie amani mola wangu❤❤❤

  • @chachamagoti2400
    @chachamagoti2400 5 ปีที่แล้ว +12

    Kweli Tz haiwezi endelea kama mtu wa aina hii anawindwa kuuliwa.

    • @zephaniapaul4437
      @zephaniapaul4437 3 ปีที่แล้ว +1

      Uliongea poainti Sana kijana....kamwe hatuwezi kuendelea

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 5 ปีที่แล้ว +6

    Huyu ni zaidi ya watu milioni mia

  • @mwinyimjaka4782
    @mwinyimjaka4782 4 ปีที่แล้ว +4

    Anaye mlani lisu mbumbavu Sana na mungu alani

  • @simonfundi3609
    @simonfundi3609 4 ปีที่แล้ว +7

    2020 president

  • @williamkirway4620
    @williamkirway4620 3 ปีที่แล้ว +2

    Maelezo ya lissu zinaonyesha umakini na ananukuu anafwatilia sana historia yenye uwazi,kuhusu muungano.watakukumbuka,kwanza katiba haionyeshi kuungana,mkataba haionyeshi hati ya muungano haipo,ipo siku tutaelewa.

  • @trgphonegeorge3832
    @trgphonegeorge3832 6 ปีที่แล้ว +16

    Msomi ni msomi tu!!!!

  • @jacoblaizer8222
    @jacoblaizer8222 4 ปีที่แล้ว +6

    Hakika ulikua mtu wa pekee hapo mjengoni... kura yangu October Ni kwako.

  • @hemmyphilbert8725
    @hemmyphilbert8725 6 ปีที่แล้ว +8

    one of my role model,hon Tunu Lissu

  • @zakaboy1305
    @zakaboy1305 5 ปีที่แล้ว +5

    we miss you lisu

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 10 หลายเดือนก่อน +2

    HUYU MWAMBA HAJAWAHI KUPOA❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @nabakitz83
    @nabakitz83 8 ปีที่แล้ว +7

    That is quite true!!!

  • @inocentmarandu3323
    @inocentmarandu3323 5 ปีที่แล้ว +4

    Asante lissu kwaukweli

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn ชั่วโมงที่ผ่านมา

    The genius one

  • @acreyseverian7129
    @acreyseverian7129 5 ปีที่แล้ว +14

    Saw Rais 2020

  • @saifalbarwani4993
    @saifalbarwani4993 3 ปีที่แล้ว +3

    safari hii sijui watakuua na nini mzee baba

  • @yohanapetro4937
    @yohanapetro4937 4 ปีที่แล้ว +5

    Kwa halihiyo lazima ccm wakuchukie kwasababu Hawakuwezi kwahoja nikiwa namtoo nitamuita lisu lbda Anaweza kuwa km yy

  • @uwezobenard5319
    @uwezobenard5319 7 ปีที่แล้ว +5

    Noma sana

  • @mwidausaid5701
    @mwidausaid5701 5 ปีที่แล้ว +23

    Watu km hawa ni hazina ya nchi tulitakiwa kuwaenz na kuwaheshim sio kuwapiga risasi huu ni ushetani aliofanyiwa Huyu jamaa

    • @tawfiqissa6123
      @tawfiqissa6123 4 ปีที่แล้ว +1

      Kabisaaa upo saw sana t

    • @najmaharoub280
      @najmaharoub280 3 ปีที่แล้ว +1

      Najiona kama napindukia kukupenda lissu mkombozi wa wa tanzania waambie wasio jijua

    • @MajiiIfande
      @MajiiIfande 6 หลายเดือนก่อน

      Watu makini huwa hawapendwi na watawala

  • @shizoshop2469
    @shizoshop2469 ปีที่แล้ว +1

    Huyu mwamba namuelewa sana namuona zitto katulia anasikilza madini ya mkulungwa lissu

  • @abdulmubason7542
    @abdulmubason7542 9 ปีที่แล้ว +4

    Lisu big up

  • @nzeyyunus5990
    @nzeyyunus5990 5 ปีที่แล้ว +7

    We Miss Youu Lissu

  • @issacallando6222
    @issacallando6222 3 ปีที่แล้ว +3

    Kuna ukweli mwingi Sana huu

  • @avitymendezy9891
    @avitymendezy9891 ปีที่แล้ว

    2023 gonga like

  • @feyzalyusuph14
    @feyzalyusuph14 4 ปีที่แล้ว +3

    Ukweli sisi watanzania hatujamtendea haki Tundu Lissu...ilibidi abaki Bungeni mpaka 2025 halafu baada ya hapo tunampa Urais

    • @saifalbarwani4993
      @saifalbarwani4993 3 ปีที่แล้ว

      yaani bunge la mwaka huu sijui litakuaje

  • @fungamtamafrancis3719
    @fungamtamafrancis3719 9 ปีที่แล้ว +20

    Lissu ni kisu.

  • @emanuelmwanga4
    @emanuelmwanga4 3 ปีที่แล้ว +3

    Afu jamaa anaongea watu wapo serious akuna anaecheka ndio ujue anaongea mambo ya msingi na siyo comedy kama wakina musiba

  • @polycarpmdemu3552
    @polycarpmdemu3552 3 ปีที่แล้ว

    Unatuharakisha Admin

  • @mackrankagenzi5236
    @mackrankagenzi5236 วันที่ผ่านมา

    2024/08/02 Big up Hon: Tundu A. Lissu

  • @chachamagoti2400
    @chachamagoti2400 5 ปีที่แล้ว +11

    Huyu ndiye mzalendo wa Tz acha akina musiba.

  • @richardmchelema6828
    @richardmchelema6828 4 ปีที่แล้ว +2

    genius

  • @athuimansaid1369
    @athuimansaid1369 3 ปีที่แล้ว +3

    Hichi kichwa nibalaaa

  • @simonmagembe7140
    @simonmagembe7140 6 ปีที่แล้ว +5

    Rasilimali MTU ndo hii

  • @maximemasinga9504
    @maximemasinga9504 ปีที่แล้ว +1

    Hicho kichwa Baba we ach t 2022

  • @emanuelmwanga4
    @emanuelmwanga4 3 ปีที่แล้ว +3

    Mshaona wapi magu anatoa madini kama haya wanaomponda wakapimwe malaria

  • @eliurumameshak3533
    @eliurumameshak3533 6 ปีที่แล้ว +11

    tunahitaji viongozi kama hawaa

  • @allenjoseph8314
    @allenjoseph8314 3 ปีที่แล้ว +1

    Ama kweli uraisi unakufaaa

  • @allyngatta9327
    @allyngatta9327 9 ปีที่แล้ว +6

    Viongozi kama hawa wanafaa

  • @kfastak
    @kfastak 6 ปีที่แล้ว +3

    Dah . Lisu

  • @sombakombo2143
    @sombakombo2143 4 ปีที่แล้ว +1

    Safii sanaa

  • @amaniasheri2120
    @amaniasheri2120 5 ปีที่แล้ว +4

    Moto wa kuotea mbali

  • @bakarijuma3006
    @bakarijuma3006 3 ปีที่แล้ว

    Mungu mjaali lissu

  • @maryjoseph7931
    @maryjoseph7931 3 ปีที่แล้ว +1

    Ujuzi unapotumika kutetea upuuzi😇😇

  • @denischacha9104
    @denischacha9104 6 ปีที่แล้ว +3

    Noma

    • @manihanzumbi7767
      @manihanzumbi7767 3 ปีที่แล้ว

      Jaman kama huyu mwamba ni shujaa wa Dunia

  • @mohamedykabwanga1647
    @mohamedykabwanga1647 หลายเดือนก่อน

    Tunaomwangalia lisu 2024 tujuane

  • @philipowyinjones9645
    @philipowyinjones9645 4 ปีที่แล้ว +1

    Nice oneeeee

  • @joshuakalimpic6302
    @joshuakalimpic6302 4 ปีที่แล้ว

    We Agnes erasto unamkosoa Nn lisu
    Huyo ndiye rais wa sheria laiti angekuwaekuwemo humo Bungeni Asa hv wangenyoooka . Yaani anacho kiongea ni ukweli Mtupu Wala Hapana kupinga tundu lisu Mungu akujaaalie tu ya

  • @athuimansaid1369
    @athuimansaid1369 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyu jamaa nishida

  • @DanielDaniel-jp3iw
    @DanielDaniel-jp3iw 4 ปีที่แล้ว +1

    Naona Lowassa anasikiliza kwa makini,

  • @nunikayuni867
    @nunikayuni867 5 ปีที่แล้ว +1

    Nimekwerewa kwamaneno

  • @philimonambilikile6645
    @philimonambilikile6645 2 ปีที่แล้ว

    Tatizo lako unajaribu kuwafunua waliofunikwa kwa chupa tundu lisu wewe ni mtata sana pole kwa kuwa unajaribu kuwaweka sawa wanaoliwa

  • @josephmwambene3202
    @josephmwambene3202 5 หลายเดือนก่อน

    Lissu baba

  • @davidkaguru9511
    @davidkaguru9511 5 ปีที่แล้ว +2

    Hivi huyu MTU wanataka kumuua kwa sababu zipi?haswa wajibu maswali anayoyauliza

  • @abilahimbinga3509
    @abilahimbinga3509 5 ปีที่แล้ว +1

    Lisu sio mnafiki kabisa. Ni muwazi Sana yaaani hata ccm wenywewe wanaona aibu ccm hawana ukweli. Ayo yote yapo hai na walioandika vitabu wamo umo ila hawatetei maandiko yao ya kweli Bali Ni matumbo yao aibu Sana.

  • @emanuelwakawenga4023
    @emanuelwakawenga4023 ปีที่แล้ว

    2022 mpo

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 6 หลายเดือนก่อน

    👍👊✌️.

  • @markkayuni9775
    @markkayuni9775 6 ปีที่แล้ว +4

    akuna kama lisu duh

    • @laummasi462
      @laummasi462 5 ปีที่แล้ว

      Mark Kayuni love it

  • @daudhenry8909
    @daudhenry8909 4 ปีที่แล้ว +1

    Strong mp

  • @eliyakitamwas4156
    @eliyakitamwas4156 ปีที่แล้ว

    Gemd

  • @nak3477
    @nak3477 3 ปีที่แล้ว +1

    Mtetezi wa wanyonge

  • @simongodola4813
    @simongodola4813 4 ปีที่แล้ว +1

    Akili kubwa

  • @bernardoleonard7331
    @bernardoleonard7331 4 ปีที่แล้ว +3

    Shida mwenye akili akikaa katikati ya wajinga ataonekan yeye ndye...

  • @kishepokishepo4971
    @kishepokishepo4971 5 หลายเดือนก่อน

    Wale wa 2024 tujuane tuliotoka tiktok

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi8977 2 ปีที่แล้ว

    WAMBIE WAMBIE VICHWA VIGUMU HAWA MADIKTETA WA CCM AU MCC WAPUMBAVU TU AKILI HAWANA KIKWETE KASOMESHWA ZNZ NA ANAITIYA ZN
    Z AIBU HERO TUNDULISU ANAWASOMESHA WAPUMBAVU WASIOTOSHEKA KUIBA MATRIONI YA ZANZNZIBARI 🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😂👹🇹🇿😇👹🇹🇿😂👹🇹🇿👹🇹🇿👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹

  • @ngassalindani1852
    @ngassalindani1852 4 ปีที่แล้ว

    kua uyaone na kuona ni kwa mimi. dhaaa basi yote maisha.

  • @MajiiIfande
    @MajiiIfande 3 หลายเดือนก่อน

    Siku zijazo tutakuelewa tukiwa tumechelewa sana

  • @meshackelias7267
    @meshackelias7267 5 ปีที่แล้ว +1

    an assert

  • @jonasmaganga7433
    @jonasmaganga7433 3 ปีที่แล้ว

    Nakukubal sana lisu

  • @wisewise2482
    @wisewise2482 4 ปีที่แล้ว +2

    Kaka ww ni kisanga cha ccm

  • @joshuasamson4174
    @joshuasamson4174 3 ปีที่แล้ว +1

    Mwendelezo jamani ili tumalizie ukweli wa story

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya5855 3 ปีที่แล้ว

    Mmm nomaaA

  • @josephrichard3967
    @josephrichard3967 หลายเดือนก่อน

    2024/06/19

  • @saidhamza5318
    @saidhamza5318 ปีที่แล้ว

    Angekuwa mzalendo Kwa vitendo na si Kwa maneno angekuwa mtu sahihi wa kutuongoza .. lkn wapi 🤔

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd หลายเดือนก่อน

    Huyu mwamba anaitendea haki Elimu yake kweli

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 ปีที่แล้ว

    Muuuhh huyu jamaa natamani arudi bungeni tena😅😅

  • @emanuelwilbrod8720
    @emanuelwilbrod8720 5 ปีที่แล้ว +2

    big up

  • @johnsanda4931
    @johnsanda4931 3 ปีที่แล้ว

    Tundu lieu anajua Sheria jamani tuache ushabiki.

  • @musabashiru2705
    @musabashiru2705 4 ปีที่แล้ว +3

    Kaka lisu nakusamimia mimi

  • @gilbertmtoshu4334
    @gilbertmtoshu4334 6 ปีที่แล้ว +4

    mic u lissu

    • @bahatisadikiwambura8547
      @bahatisadikiwambura8547 6 ปีที่แล้ว +1

      huyu anakipaji kwenye fani hii hana mfano kwa hapa Tanzania

    • @godlivingmboya2899
      @godlivingmboya2899 5 ปีที่แล้ว +1

      Ugua pole jembe karibu tena Tanzania mh lissu

  • @saifalbarwani4993
    @saifalbarwani4993 3 ปีที่แล้ว +1

    Rudi bungeni baba

  • @josephchagevara78
    @josephchagevara78 5 ปีที่แล้ว +1

    tunakukumbuka Sana

    • @eliaspaulo1359
      @eliaspaulo1359 5 ปีที่แล้ว

      Joseph Chagevara aha tatizo unawivu xan

  • @ukweliunauma4570
    @ukweliunauma4570 4 ปีที่แล้ว +1

    Hakuna tena nchi inayo itwa zanzibar tena ni kisiwa cha zanzibar chini ya tz passport 1 lungha moja chama kimoja, isipokua malipo ya ushuru ndio tofauti ikitoka zanzibar kwenda Bara uipinchwa kama una TV au gari pesa tena, na unasaeachiwa kama gaidi 🤣👍😜

  • @alimuhamed1830
    @alimuhamed1830 3 ปีที่แล้ว

    Du ssi tumekuelewa ZANZIBAR sasa kimekua kichaka chamauwaji yajabu sana hiyi nihatari

  • @edwinboaz2628
    @edwinboaz2628 3 ปีที่แล้ว

    Lisu ni moto wakuotea mbali

  • @emanuelmwanga4
    @emanuelmwanga4 3 ปีที่แล้ว

    Dahhh yani tz MTU kama huyu ni wa kupewa ulinzi kama wa raisi

  • @fakihdarusi4385
    @fakihdarusi4385 2 ปีที่แล้ว

    UKWELI UNAJULIKANA ILA NDIO IVO