Natumaini serikali hii ni tofauti sana na zilizopita. Naiomba itoe nafasi kwa watu hawa kwa kuwapa mafunzo ya ziada ili nasi tunufaike na rasilimali watu wetu! Ni jambo kujivunia kabisa kuwa na watu hawa. Mungu wasaidie wapewe nafasi hiyo!
Tunaiomba serikali impe support kubwa miheshimiwa sugu na wafadhili pia wampe nguvu ili aweze kua miongoni mwa watu wahistoria ktk dunia hii mungu akubariki sana?
Hongereni sana KTV TZ kwa vipindi vyenu vya kuelimisha jamii ila jaribuni sana kwa watangazaji wenu wawe wanaelimisha jamii kwa kila kitu sikupendezwa na mtangazaji kukata mkato wa nywele kama ilivyo hapo hii ni kupotosha maadili AHSANTENI .
Mashaallah Allah amzidishie maarifa...wazanzibari tujifunze kupeana moyo...na serekali mtu km huyu ni wa kuwa nae kabisaa hakuna kisichowezekana kwani waliotengeneza ndege..gari..jet ..na vyenginevyo sio wanyama bali ni binaadamu kwa hio tusidharau mtu kila kitu kinawezekana sana tu hongera mr sugu nakuombea mafanikio na ujuzi zaidi ipo siku watakuelew tu.
Mashallah ndugu yangu umekua imani yako ndio itayokufanya usifike mbali ungekua upande wa pili wangekusapoti na kuendeleza kipaji chako kwani walioanza kubuni vitu ilikuaje lazima wajalibu waone kama inafanya kazi na walikuwa wanafanikiwa Allah akujalie kwa ubunifu wako
Hongera ndugu Said Sugu kwa ufundi wako wa kuigiza helicopter. Mungu akuzidishie kipawa cha kuweza kuvumbua kitu kitakacho saidia taifa kimaendeleo. hapo ulipofika tosha kuwa unao uwezo wa kufanya hivyo. chekecha akili serikali itakuinua kwa mawazo mbadala ya kutatua matatizo ktk jamii. Allah yupamoja nawe
Taarifa haijakamilika bila ya kuirusha hewani watu wakaprove ikiwa angani kwa kuruka na kutua salama. Lakini nampongeza kwa body niliyoiona ikiwa chini.
Hongera sana. Allah atakufungulia kila la kheri. In sha Allah atokee mtu aione clip hii na awe na hamu ya kuja kuonana na wewe na uwe mwanzo wa kufungukana. Analolitaka mungu mja hapangui. Iwe ni kheri yako in sha Allah
Tuko pamoja Sana ndugu yetu mtanzania mwenzetu umeonyesha uwezo uliokuwa nao Mungu akusimamie hadi mwisho wa jambo lako kwa uhakika unaitangaza nchi ya Tanzania kimataifa zaidi
Hawa watu wanaojitahidi kutengeneza helicopter waangaliwe wasaidiwe,nchi zote zinazotengeneza vitu vikubwa kwa sasa walianza hivi hivi mdogo mdogo mpaka wakafanikiwa, Korea ya kaskazini ilikuwa haina trchnolojia ya kutengeneza makombora, ikaanza mdogo mdogo wakajaribu zikawa zinaanguka hovyo, wakitengeneza tena zinaanguka, lakini mpaka sasa wameshafanikiwa kutengeneza zinazo aminika, ile kujaribu jaribu na kushindwa ndo kunakoleta mafanikio baadae.
Hongera sana Sugu pia hongra sana mtangazaji hakika Kupitia hii video fupi nimejionea vipaji viwili adi vitatu ambavyo vitafika mbali sana ktk maisha First wewe mwenyewe ndugu mtangazaji! Yani sio siri ndugu yngu Your the Best! Keep it up utafika mbali sana but the best thing cha kukushauri ni appearance yko kidogo Uizidishe like Those hair apo juu, I know bdo ujana Unakuendea but unaweza kupata nafas ya kutangaza katika mashirika makubwa Tanzania adi duniani lkn Ukafail kwa sababu ya appearance yako tu! But keep it up I believe utafika mbali!💪 then Mh. Sugu Kuhusu Helkopta yko Hauwez kurusha kwasababu Tanzania kuna kitu kinaitwa Mamlaka ya Anga Ambayo ni Tanzania Civil Aviation Authority (T.C.A.A) hawa majamaa kazi yao kubwa ni kulinda maisha ya wana anga na abiria like kwann hawajakuruhusu kurusha iyo Helkopta coz hawajui km ipo salama kuruka ama vipi hawataki kuona mtu apoteza maisha kizembe kwa kutumia vitu vya angali that why wanaangalia safety yko! Cha msingi nenda TCAA ukaombe Permission ya kuja kukikagua Chombo chako then wakakuelekeza jinsi ya kufanya alafu lazima kuna vitu wakufahamishe like wtu angani wanazungumza lugha ambayo ni tofauti na lugha za kawaida kwa mtu wa kawaida hauwez kuelewa so fanya ivo ndugu yngu! Naamini utafika mbal inshallah!👏👏✈💪
Iruke isiruke ila hongera uo ndo mwanzo jamani wazanzibar tuna vipaji. Serikali watu kama hawa watumieni hata ao waliotengeneza magar tunayopanda na meli na kila kitu walianza hivyo uo ndo mwanzo, hongera sana
Mashaallah Hongera Tunaweza Wakati umefika wenye vipaji wasaidiwe tupaye songa mbele
Allah akuwezesheni waznz amin musiwaachie wazungu tu
Mungu akubaliki kipaji chacko kidumu
Najivunia Nchi yangu ya Tanzania kwa kubarikiwa kwa vipaji tofauti tofauti.
hongera Allah akujaalie kila lakheri
Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Natumaini serikali hii ni tofauti sana na zilizopita. Naiomba itoe nafasi kwa watu hawa kwa kuwapa mafunzo ya ziada ili nasi tunufaike na rasilimali watu wetu! Ni jambo kujivunia kabisa kuwa na watu hawa. Mungu wasaidie wapewe nafasi hiyo!
Hongera kaka kwa kuiwakilisha Zanzibar yenu
Tunaiomba serikali impe support kubwa miheshimiwa sugu na wafadhili pia wampe nguvu ili aweze kua miongoni mwa watu wahistoria ktk dunia hii mungu akubariki sana?
Sio serekali ya tanzania
Mshkaji hongera mzee baba uko poa mwanangi
Hongereni sana KTV TZ kwa vipindi vyenu vya kuelimisha jamii ila jaribuni sana kwa watangazaji wenu wawe wanaelimisha jamii kwa kila kitu sikupendezwa na mtangazaji kukata mkato wa nywele kama ilivyo hapo hii ni kupotosha maadili AHSANTENI .
Nice
ingekua ulaya angesha zaminiwa
apewe sapota
na vidani
Mast Zube
Duh!! Mashallah Hays serikali kazi kwenu SSA watu wanataka seaport yenu tuu waiinue tz...
Mashaallah Allah amzidishie maarifa...wazanzibari tujifunze kupeana moyo...na serekali mtu km huyu ni wa kuwa nae kabisaa hakuna kisichowezekana kwani waliotengeneza ndege..gari..jet ..na vyenginevyo sio wanyama bali ni binaadamu kwa hio tusidharau mtu kila kitu kinawezekana sana tu hongera mr sugu nakuombea mafanikio na ujuzi zaidi ipo siku watakuelew tu.
Safi sana kwa moyo wako
Ana kipaji kikubwa mashaallah! Ila bahati mbaya umezaliza tz. Usikate tamaa na Rehma za ALLAH. ALLAH akufikishe mbali aamin.
Mungu nimwemA sana amina
Mashallah ndugu yangu umekua imani yako ndio itayokufanya usifike mbali ungekua upande wa pili wangekusapoti na kuendeleza kipaji chako kwani walioanza kubuni vitu ilikuaje lazima wajalibu waone kama inafanya kazi na walikuwa wanafanikiwa Allah akujalie kwa ubunifu wako
Peleka udini pimbi ww
MashaAllah hongera sana hakika hiki ni kipaji kikubwa sanaaaa
hongera bwana said sugu mungu akuzidishie ujuzi na utaalamu.
Hongera ndugu Said Sugu kwa ufundi wako wa kuigiza helicopter. Mungu akuzidishie kipawa cha kuweza kuvumbua kitu kitakacho saidia taifa kimaendeleo. hapo ulipofika tosha kuwa unao uwezo wa kufanya hivyo. chekecha akili serikali itakuinua kwa mawazo mbadala ya kutatua matatizo ktk jamii. Allah yupamoja nawe
Mashaallah
Na mimi nitatengeneza ndege ya ajabu ambayo itaizunguka Dunia ndani ya mda mfupi tu.
du! big up saidy
Suguuu we noma serikali mpeni fursa mzanzibar mwenzitu mungu amempa kipaji.
hongera sna lakn kwa inch kama hii mtakufa na vpaji vyenu
Ikiruka juu mkae mbali Sana,... Odd do change
Mungu Tunakushukuru kwa ajili yake
Mashaallah .
Hongera sana Mr sugu kutokana na kazi yako nzuri
Mashallah nakukumbuka jang'ombe 1979-80 hongera
Masha Allah, hongera sana Best wangu, Coach mwenzangu Mr Sugu Allah akuongezee zaid yahapo ulipo kaka
Mashallah
Masha Allah
Hongera broo
hongera kwa bw.sugu na mwanae ingawa sioni sababu ya kukupa hongera mtangazaji cz kwanza umetudanganya sana kwa kusema itaruka.
umezimgua boy. .
Mungu akulinde
Safi sana
Naomba namba zake huyu engineer,,tuongee tupange tushinde
Hongera
Sawa, Ahsante sana. Sote tumshukuru Mola. Nawatakia kheri sana Ndugu Sheni na Maalim Seif, Wazanzibari na Watanzania wote kwa ujumla.
Hongera sana bwana sugu lakin serikali ndo wenye dhamana kwaajili ya usalama wako na watanzania wote
Hongera sana bwana sugu lakin serikali ndo wenye dhamana kwaajili ya usalama wako na watanzania wote
mashallah
Mashallah sugu
Mnaishia kuwapa vyeti baada ya kuwasomesha wafundishe wengine?
TALENTED
Good job bwana sugu
mtangazaji mtindo wa nywele brother so maadili.
ukovizuli
Mapicha
mzee uuni ni nikujishushia dhamani ...wewe ni journalist ..mbona unanyoa kama mwanamziki eshimu unacho kifanya
Taarifa haijakamilika bila ya kuirusha hewani watu wakaprove ikiwa angani kwa kuruka na kutua salama. Lakini nampongeza kwa body niliyoiona ikiwa chini.
Hongera sana. Allah atakufungulia kila la kheri. In sha Allah atokee mtu aione clip hii na awe na hamu ya kuja kuonana na wewe na uwe mwanzo wa kufungukana. Analolitaka mungu mja hapangui. Iwe ni kheri yako in sha Allah
umejitahidi saana mzee hongera nimeipenda
Jamani serekali tunahitaji support
Big up..God bless Africa
Serikali muda mwengine mnaboa kamsomesheni huyu baba tuwe na watu hawa nyinyi mko kwenye ujinga tu
Big shaq
Wallah yakh wao wamo tu kalba aswad
we ndo mjinga kweli, huo ni ubunifu au kuiga ? kungekuwa duniani hakuna kitu kama hicho ndo ungekuwa ubunifu,
@@mwibatraining4736 kamanikuiga siuige nawewe wivu unaitafuna bongo watukamanyie hukukwetu nikuwapotezatu
@@mwibatraining4736 yaan wewe
Nasubiri nione itaruka 😘💞💝
God bless you
tufikie muda TZ tupeleke ama kuwekeza pesa pahala husika kama huku kwenye mafunzo haya siyo kila kukicha kuziweka kwenye siasa tuu..!!
Big up xn kaka
sugu yuko imara✅namkubal
Big up
ugera sana
Blessed
I like hlcpt
Kwakweli ni nchi kukosa maendeleo na kuwapa sapot watu kama hawa wagekua mbali sana
Unataka kuuwa watu wewe hiyo kama una test weka toy usipandishe mtu kesi hiyo
Nchi ya Tanzania kwenye visiwa vya Zanzibar.... damnnn now
Asalaamghalaykum maashaallah
Tuko pamoja Sana ndugu yetu mtanzania mwenzetu umeonyesha uwezo uliokuwa nao Mungu akusimamie hadi mwisho wa jambo lako kwa uhakika unaitangaza nchi ya Tanzania kimataifa zaidi
Abdu Salum acha ujinga wewe
Mko vizuri sana ktv
Hawa watu wanaojitahidi kutengeneza helicopter waangaliwe wasaidiwe,nchi zote zinazotengeneza vitu vikubwa kwa sasa walianza hivi hivi mdogo mdogo mpaka wakafanikiwa, Korea ya kaskazini ilikuwa haina trchnolojia ya kutengeneza makombora, ikaanza mdogo mdogo wakajaribu zikawa zinaanguka hovyo, wakitengeneza tena zinaanguka, lakini mpaka sasa wameshafanikiwa kutengeneza zinazo aminika, ile kujaribu jaribu na kushindwa ndo kunakoleta mafanikio baadae.
Hercopter zote za Africa hua haziluki chunguza tu uone vtuko ipo ya Kenya Uganda Ghana Zimbabwe ivory cost Tanzania nk zoote ni vituko
Hongera Sana'a kaka yangu
namkubsli
Hongera sana Sugu pia hongra sana mtangazaji hakika Kupitia hii video fupi nimejionea vipaji viwili adi vitatu ambavyo vitafika mbali sana ktk maisha First wewe mwenyewe ndugu mtangazaji! Yani sio siri ndugu yngu Your the Best! Keep it up utafika mbali sana but the best thing cha kukushauri ni appearance yko kidogo Uizidishe like Those hair apo juu, I know bdo ujana Unakuendea but unaweza kupata nafas ya kutangaza katika mashirika makubwa Tanzania adi duniani lkn Ukafail kwa sababu ya appearance yako tu! But keep it up I believe utafika mbali!💪 then Mh. Sugu Kuhusu Helkopta yko Hauwez kurusha kwasababu Tanzania kuna kitu kinaitwa Mamlaka ya Anga Ambayo ni Tanzania Civil Aviation Authority (T.C.A.A) hawa majamaa kazi yao kubwa ni kulinda maisha ya wana anga na abiria like kwann hawajakuruhusu kurusha iyo Helkopta coz hawajui km ipo salama kuruka ama vipi hawataki kuona mtu apoteza maisha kizembe kwa kutumia vitu vya angali that why wanaangalia safety yko! Cha msingi nenda TCAA ukaombe Permission ya kuja kukikagua Chombo chako then wakakuelekeza jinsi ya kufanya alafu lazima kuna vitu wakufahamishe like wtu angani wanazungumza lugha ambayo ni tofauti na lugha za kawaida kwa mtu wa kawaida hauwez kuelewa so fanya ivo ndugu yngu! Naamini utafika mbal inshallah!👏👏✈💪
Ahsante sana nimekuelewa na nitayafanyia kazi
T.man fatah umejitahidi kutoa maoni mazuri
Mwenyezi Mungu ni Mkubwa
Big up kaka ww ni mfano wakuigwa na vijana wetu
Iruke isiruke ila hongera uo ndo mwanzo jamani wazanzibar tuna vipaji. Serikali watu kama hawa watumieni hata ao waliotengeneza magar tunayopanda na meli na kila kitu walianza hivyo uo ndo mwanzo, hongera sana
DAH kiukwel uyo jamaa jembe ama nn mdada sema nao selikali wanazingua tu pia cjui kma italukaaa lkn itaruka
TZ vijana tukiwezeshwa tunaweza
Safii hongeren
Hongera sana.
VERY GOOD AND COOL
Nchi za Africa tunataka watu kama hawa Hongera sana.
Hii korokpta ya kwenda giningi ii
Chına 1990's ilianza hiv hiv serikali iliwaruhusu wabunifu na leoo hii china ni level nyingne
mungu akujalie
Ana kipaji kizuri cha kutengeneza kengeneza bodi ya helicopter. Je, amefunga injini ya bajaj ama!
😀😀😀😀😀
ZANZIBAR MKO VIZURI
salute sana
kutengeneza hongela ipae sio tunajalibu tu fanya kweli
Zanzibar stand up
Ayo ndio mambo unayo yataka haswa sio majungu,
Good
Haya bhana
Hongera Sana.
AkiliMtuwangu 😇
vipaji tanzania yetu nivingi sana tatizo serekali yetu ndo mtihani tutasubiri sana tena sana ili iruke hewani
Najivunia kua mzanzibar
Big up kaka
Wil
Q
very nice
hongera babu
Bigup znz
1.MAJINIAZ UNGANENI MTENGENEZE KIKUNDI CHENU CHA WATU WENYE VIPAJI MAALUM.
M/Mungu anzidishie
UKOVIZURI SANA BRATHER BAMBANA MBWANA SUGU
Imeishiwa wapi hii watanzania?
Tunaweza