SHEIKH MZIWANDA AWARIPUA MAASKOFU NA WARAKA WAO, KWANINI UWE KANISANI? NA KWANINI KATOLIKI?

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 19 ส.ค. 2023
  • Follow Us On:
    INSTAGRAM: / miladu_tv
    FACEBOOK: / babdeo miladu/
    TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan...
    TH-cam: / @babdeomiladu
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 2.3K

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye5972 11 หลายเดือนก่อน +18

    Innalillah wainna ilayhi rajiun, waislam wa Tanzania hatujitambui wengi miongoni mwetu ni waislamu wa kurithi, hatujitambui hata kidogo tumetawaliwa na hofu tunawahofu makafiri kuliko Allah. Tubadilike waislamu.

    • @AllyhHassani
      @AllyhHassani 11 หลายเดือนก่อน

      Upo sawa

    • @iddibakari8000
      @iddibakari8000 10 หลายเดือนก่อน

      Heko

    • @GloryDamian-ey2ii
      @GloryDamian-ey2ii 10 หลายเดือนก่อน

      We n mpumbavu uliekosa kufunzwa na mama ako nahs mama ako ndio kafiri

    • @sephaniayoram645
      @sephaniayoram645 10 หลายเดือนก่อน

      Angaza amani Allah atakujazi

  • @ndimuelias6183
    @ndimuelias6183 11 หลายเดือนก่อน +4

    Hapa tulipofikia mungu asiposimama Kuna hatari ya nchi hii kuingi kwenye vurugu we mwenyezi mungu tusaidie

  • @sadicksince2008
    @sadicksince2008 11 หลายเดือนก่อน

    Marhum ustadh Iman Petro, Mwenyezi Mungu amrehemu, aliweka wazi kuhusu kanisa katoliki. Wanapiga vita uislamu.

  • @aerobicdanceandtaekwondotr371
    @aerobicdanceandtaekwondotr371 11 หลายเดือนก่อน +1

    Natamani kama ungekuwa na huo mkataba utusomee na sisi Waislam tusiojua kingeleza tupate ufumbuzi ili tukiamka kutoka kwenye huo uoga tuwe na ushahidi wa kupigania uislaam wetu.

  • @LucinusTirutangwa-ez8kv
    @LucinusTirutangwa-ez8kv 11 หลายเดือนก่อน +4

    Ndugu zangu wakatoliki mnaotazama video kama hivi msirudishe neno ili kuulinda umoja cha muhimu tuwapende na mwisho wataelewa nia ye maaskofu ilio njema kama tukikaa kimya basi watatuelewa na hakutakuwa na uchochez wa kidini tena ndugu zetu waislam sisi ni ndugu kama walikosea basi nanyi toeni ushauri sisi tunataka lililo bora haijalishi limetoka kwa nani ndugu zetu tunasikitika mmetuelewa vibaya

  • @fadhililihinda6491
    @fadhililihinda6491 11 หลายเดือนก่อน +31

    Kwamba pakiuzwa Waislamu mnafaidika na nini or mkataba ukiendelea kama ulivyo, Waislamu watapoteza kitu gani na Wakristo hasa Wakatoliki watafaidika na nini? Bandari haina uhusiano na dini, ni upuuzi uliopitiliza kufikiria kwamba eti ili tuendelee lazima kila kitu kiuzwe, sasa tuligombania uhuru wa kazi gani? Namshukuru Mungu, watu waliokua wakisiliza wala hawakukupa kampani katika hili. Bandari ni ya Watanzania, sio ya Wakatoliki or ya Waislamu, hata wapagani inawahusu

    • @franklinmsamila1347
      @franklinmsamila1347 11 หลายเดือนก่อน +2

      Fadhili hongera sana kwa comment yako wewe ni mzalendo mwenye mtazamo chanya wa kiakili.
      Hongera sana.

    • @viwehamad
      @viwehamad 11 หลายเดือนก่อน +2

      Usifanye watu wehu katoliki ni walaji wa zamani serekalini

    • @hamzaabdallah8637
      @hamzaabdallah8637 11 หลายเดือนก่อน +2

      Hujielewi wewe ni fadhili jina tu mlevi usiye Sali

    • @faridamapogolo2892
      @faridamapogolo2892 11 หลายเดือนก่อน +1

      Kwaiyo nahao waarabu wakiuziwa bandari mtanufaika Nini??nakama Kuna manufaa mbona bandari ya Zanzibar haijatiwa ktk huumkataba nawao ndio bandari yao ipo karibu na bara la huko arabu?na dini yetu ya uislam imeshikwa sana huko makanisa machache lakini mkataba wa mwarabu hawaja husishwa

    • @omarinurdin261
      @omarinurdin261 11 หลายเดือนก่อน +1

      Nikubaliane na ww kwamba bandari haihusiani na dini, je unawashauri Nini wakristo wenzio walotoa waraka?

  • @faizaannassir2568
    @faizaannassir2568 11 หลายเดือนก่อน

    Allahuma barik yaa shekh unajitahid waamshe waislamu wamelala unajitahid mungu akupe nguvu tumungeni mkona mashekh amkeni semeni na nyinyi ww kishki na wenzako semeni

  • @johnmangula4832
    @johnmangula4832 11 หลายเดือนก่อน +2

    Ukweli utabaki kuwa ukweli, ni vema kutetea masilahi ya wananchi wote na sio maslahi ya ya dini moja. Hongera sana baraza la maaskofu.

    • @rahushussein1402
      @rahushussein1402 11 หลายเดือนก่อน

      Acha uongo wanatetea jambo lao na sio wa Tz wanatumia uchochoro huo kutimiza malengo yao

  • @derickcowly6681
    @derickcowly6681 11 หลายเดือนก่อน +6

    Imani bila mpango ni bure imani uenda na vitendo ni kuomba duwa sana umoja uwepo na ukweli kwenye mambo ya maendeleo ni bora kutetea maendeleo ya taifa

    • @ahmadmzoa74
      @ahmadmzoa74 11 หลายเดือนก่อน +2

      Hawa jamaa wanasema Waislamu mazezeta!? Zezeta ni yule anatulazimisha tuamini 1+1+1=1(poor arithmetic).

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 11 หลายเดือนก่อน +1

      @@ahmadmzoa74 Hivi Kwa nini tunashindwa kutumia wafadhili matajiri tulionao kujijengea Mahospitali ya rufaa vyuo vikuu vitega uchumi na mashule bora kama wenzetu.Huu si uzezeta??!

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@hashimchaoga9566we nae hujielewi,zezeta mwenyewe

  • @user-od1et5ii1k
    @user-od1et5ii1k 11 หลายเดือนก่อน +7

    Shehe sema kweli waislamu tumegeuka samaki aina ya pono

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo 11 หลายเดือนก่อน

    We unayesema shkh Hana shule Kwa kigezo kipi nyie ndo ambao mmmekosa akili mnatubu Kwa watawa badala ya mungu , acheni hapa hoja c bandari ni udini tuuuuu!!! Ninyi ndio cku zote mnajiti kimbelembele kwenye Kila jambo Sasa safari hii mmeyakanyaga kongole Kwa shkh salute!!!!!

  • @zainabuibrahim4766
    @zainabuibrahim4766 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah hakika ktk wanaume kuna mume nawewe uko miongoni mwao shukrani sana Shekhe wetu pointi yangu niliyokuelewa zaidi nikwanini(KATOLIKI?)

    • @user-hu1ev9pt8q
      @user-hu1ev9pt8q 11 หลายเดือนก่อน

      Katoliki ni maisha

    • @valeriamtenga3384
      @valeriamtenga3384 11 หลายเดือนก่อน

      Naona hatari sana mbele
      Ni km linageuzwa kidini

  • @alhilaltvonline
    @alhilaltvonline 11 หลายเดือนก่อน +11

    Nakukubali Sheikh wangu. Haki isemwe. Waislam bado tunajadili Maulid yanafaa au hayafai - tunatukanana.

    • @htvtanzania3483
      @htvtanzania3483 11 หลายเดือนก่อน

      maulidi ina kujaje sasa au una leta upuuzi hapa

    • @HabshyawadhiSalimu
      @HabshyawadhiSalimu 11 หลายเดือนก่อน

      Ww nawee maulid Na huku niwap nawap unazungumza nn

    • @htvtanzania3483
      @htvtanzania3483 11 หลายเดือนก่อน

      @@HabshyawadhiSalimu huyu ana penda ujinga ujinga

    • @user-lk8ws3fz9x
      @user-lk8ws3fz9x 11 หลายเดือนก่อน

      Acha uchochezi

    • @vedastovaleliani8153
      @vedastovaleliani8153 11 หลายเดือนก่อน

      Samahani jamani Mimi sijaelewa naomben mnisaidie, Masikofu wamepinga, mkataba mbovu, kwanini huyu shehe analalamika kwamba waislam tuamuke tutetee nchi yetu ote tuna haki, kwani kwani mkataba no wadini ya kislam au ni was Dubai.

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin634 11 หลายเดือนก่อน +4

    from Kenya,namuelewa sana huyu sheikh,last month nlisoma nakala ya huko kwenu TZ,ati Kanisa la Lutheran wameanzisha Dispensary alafu inalaumu serikali ati wamecheleweshwa mishahara,sasa nkajiuliza hospital ya kanisa lakini wanalipwa na serikali ya tz,inakuaje aje wakati huo ni mpango wa makanisa? watu waamke kweli including us Kenya

    • @oscarakepha8374
      @oscarakepha8374 11 หลายเดือนก่อน +1

      Huku kwetu kuna mkataba wa serikali kuunga mkono juhudi za mashirika ya Dini kwenye idara ya Afya , kumbuka Hiyo Dispensary iko kwenye eneo ambalo hakuna huduma na Wananchi wote ni wanufaika ,mshahara haiungii kanisani analipwa mtumishi anayehudumia Watanzania wote ,shida iko wapi? Mashirika ya Dini yanaisaidia serikali kufanya majukumu yake ,hayo ni makubaliano yapo tu ,Taasisi yoyote ya Dini ikajenge Hospital vijijini itoe huduma bila ubaguzi kwa watu wote itapata baadhi ya nafuu kama hizo

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 11 หลายเดือนก่อน +1

      For sure

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 11 หลายเดือนก่อน

      @@oscarakepha8374 waislam hawakubaliki kufanya ivo kwa ubaguzi wa wakristo

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 11 หลายเดือนก่อน

      Si Kenya si Tanzania kote Waislam tumelala tena ni aibu. Tunakazania tu kujenga misikiti madrasa na kujengewa visima. Wafadhiliatajiri Wa mafuta tunao na tunashindwa kuwatumia kujijengea mahospitali ya rufaa vyuo vikuu vitega uchumi na mashule bora yanayopasisha kama wenzetu. Afadhali Kenya mnajitahidi sana kutumia nafasi za kiislam katika elimu ya juu kwani nilisikia MNA wanafunzi wengi wamesoma na wanaosoma katika vyuo vikuu vilivyopo katika nchi za kiislam nafasi ambazo hutolewa na has a shirika LA dini likiziomba huku kwetu tuna Bakwata ambayo haina juhudi ya kuomba na kuzitafuta hizo scholarships na kuzitangaza .

    • @clarencebitegeko7079
      @clarencebitegeko7079 11 หลายเดือนก่อน

      Homeboy ​@@oscarakepha8374 nimekukubali. Nyayooo

  • @HezronSiwingwa-ny1gd
    @HezronSiwingwa-ny1gd 11 หลายเดือนก่อน

    MashaAllah,Alhamundulillah,SEMA shehe wangu😎😎😎💚💚💚💚💚💚💚

  • @venancymsukwa6431
    @venancymsukwa6431 11 หลายเดือนก่อน +2

    Tafadhali Viongzi wetu wa kidini tutambuwe majira yanayo faa tusiipeleke nchi shimoni kama mungu amewapa vipawa tumieni vipawa hivyo kwa kuleta Amani Kwa nchi yetu Waisilamu na wakatoriki wote tunamuomba Allah ya nini tuanze kuchochea udini vita ni mbaya sana Tafadhali tusifike huko

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 11 หลายเดือนก่อน

      Wameanza katoriki

  • @user-qx4dz5kx3g
    @user-qx4dz5kx3g 11 หลายเดือนก่อน +13

    Mashee wangu wakati wote mpaka mnamaliza kutoa dawa hamtaji hata robo ya kifungu chochote chamkataba, lkn niwakumbushe uwe udini au siasa chanzo ni mkataba,.Mwenyezi Mungu awasaidie mkumbuke kunukuu na vifungu.mtatusaidia sana sana.

    • @maftahmusa9513
      @maftahmusa9513 11 หลายเดือนก่อน +2

      Mashekhe walikwisha taja zamani sana vifungu vinavyo hitajika marekebisho rejea hutuba ya shekh Ponda na hao Maskofu katika waraka wao hawakutaja kifungu hata chochote wao Wamesema uongo eti wataanzania wote wameukataa mkataba huo. Hilo ndilo liloleta tabu wao kama akina nani kuwasemea watanzania eti hawautaki mkataba😢 hapo ndipo kanisa katoliki linapoleta vurugu

    • @edyi9187
      @edyi9187 11 หลายเดือนก่อน

      Rejea waraka vimetajwa vifungu zaidi ya 8 acha uongo

    • @ernesttomas85
      @ernesttomas85 11 หลายเดือนก่อน

      Hawana elimu ya darasani

    • @user-ki4sg8yz9j
      @user-ki4sg8yz9j 11 หลายเดือนก่อน

      Hatuna haja ya kifungu. Kwani nyie makafiri hamsemi. Kazi yenu kusema eti bandari imeuzwa basi. Mbona hamtaji bei?

    • @ernesttomas85
      @ernesttomas85 11 หลายเดือนก่อน +1

      @@user-ki4sg8yz9j basi huo ndio ujinga wenu,maana mnapinga msichokijua,wengi wenu shule hakuna,mnabaki kusema kafiri kafiri kwenye mkataba kuna mambo ya dini yenu pale,washezi Sana mnachojua kufuga majini

  • @masala8099
    @masala8099 11 หลายเดือนก่อน +4

    Shekhe umeongea vizuri shida humu ktk comments watu vichwa sifuri

    • @hamadsalim5641
      @hamadsalim5641 11 หลายเดือนก่อน

      Kuna msamaha wa kid hapo ndio maana wanahof WANAFAIDIKA Sana nayo ndio MAANA wanapiga KELELE Sana

    • @aliemdogo
      @aliemdogo 11 หลายเดือนก่อน

      Mkisikia katolik mnasikia hasira ya kutapika,isomen hata misikitin wakina ney wameongea ukweli lakin hamtafut mnataj katolik peleken ujinga huko

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@aliemdogokwahiyo dini yenu ukweli wake upo kupitia wasanii

  • @shabanilijoka199
    @shabanilijoka199 11 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah bab Allah akuhifadhi

  • @omarikessy2339
    @omarikessy2339 10 หลายเดือนก่อน

    Mwenyezi Mungu akulinde sheikh mziwanda

  • @winfordmwangonda5375
    @winfordmwangonda5375 11 หลายเดือนก่อน +11

    "Kama wao wametoa waraka usomwe makanisani ,na sisi sasa tutoe waraka tusome misikitini"... Sheikh Mziwanda.
    Hapo sasa ndio waislamu wanapofeli ,kufanya jambo kama majibu kwa wakiristo wakatoliki ,badala yao kufanya mambo yao.

    • @Hancymtembo
      @Hancymtembo 11 หลายเดือนก่อน +1

      Waislam akili zenu za kupepwa, wale wametoa waraka wa kupinga uwekezaji wa milele usio na mwisho nyinyi mnatoanwalaka wa uislamu na bandali mnaakili kweli?

    • @SebatianKisokola-hy7qs
      @SebatianKisokola-hy7qs 11 หลายเดือนก่อน

      Wengne wanaongea juu ya bandari ww unaongea juu ya uiaslam pumbavu ww mdini mkubwa ww kama hutaki vaa bom

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@Hancymtembowe are conscious

    • @hamidumpiga6283
      @hamidumpiga6283 11 หลายเดือนก่อน

      Shekh wetu uko sawa kabisa

    • @hamidumpiga6283
      @hamidumpiga6283 11 หลายเดือนก่อน

      Kabisa shekh uko sawa 13:06 13:07

  • @AliMohd-qc4go
    @AliMohd-qc4go 11 หลายเดือนก่อน +7

    ASANTE SHEIKH ALLAH AZIDI KUKUPA NGUVU ZA KUUTETEA UISLAM TUNAWASIHI NA MASHEKHE WENGINE WAMUUNGE MKONO SHEKHE MZIWANDA WASIMUACHIE KILA KITU ASEME YEYE

  • @mokitaa8750
    @mokitaa8750 11 หลายเดือนก่อน +1

    sahihi sheikh mziwanda MASHAALLAH

  • @boniphace.mark.2033
    @boniphace.mark.2033 11 หลายเดือนก่อน +3

    Maaskofu level nyingine, wanaelimu ya kuchambua mambo na hakurupuki katika mambo yao. Yesu Kristo ndiyo mwenye nguvu. Imeenda hiyo.

    • @mohamedmanga8391
      @mohamedmanga8391 9 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 imeenda wapi??? Nini maana ya Pauline church.

    • @user-xd2tg8eq1h
      @user-xd2tg8eq1h 9 หลายเดือนก่อน

      Wapi wewe yesu kwetu sisi waislam ni nabii hana zaidi ya cheo icho ipo siku mtaenda kueleza kwanini mlikuwa mnamwita mungu inshaalwah wakristo hawana elimu zaidi ya waislamu waislamu ndiyo bunadamu wenye hekma zaidi duni8

    • @TukhiAlfalakh
      @TukhiAlfalakh 5 หลายเดือนก่อน

      Ngoja Sasa tukianza kuwachinja ndo mtajua

  • @sativaamandus9281
    @sativaamandus9281 11 หลายเดือนก่อน +7

    Wewe mwenyewe umekashifu. Aisee, kweli wewe kichwani hamnazo

    • @muddycantona6286
      @muddycantona6286 11 หลายเดือนก่อน

      Ww pia mbofuuu

    • @ibnuqassim1614
      @ibnuqassim1614 11 หลายเดือนก่อน

      Acha lugha chafu ya kuwatukana viongozi wa dini

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 11 หลายเดือนก่อน

      Ndio dini yenu inavyowalea kutusi viongozi

  • @beddaathanas3150
    @beddaathanas3150 11 หลายเดือนก่อน +9

    Muogope mwenyezi Mungu, mtume hakuyaishi haya unayoyahubili.itukuze misingi ya mtume kwa kueleza yaliyo mema kiongozi wangu

    • @user-tn8jn2kh3d
      @user-tn8jn2kh3d 11 หลายเดือนก่อน

      Tulia mwache aseme

    • @Salum85
      @Salum85 11 หลายเดือนก่อน

      Kwenye dunia iliyobadilika kunahaja ya kuendana na mabadiliko mema na sio maovu. Leo ukisema mtume hakuzungumzia hayo unakosea sana na utapotea ndg yetu.

  • @malulufrank7871
    @malulufrank7871 11 หลายเดือนก่อน

    Habari za leo
    Hakika Mungu aendelee kulipigania Taifa hili swala hili la Bandari limechukua sura ya dini ya viongozi wanavyolichambua na tumeshindwa kusikiliza hoja za maendeleo ya bandari yetu na tumegeuza mjadala huu juu ya nani kasema nini na je yule ni wa dini yangu au sio.Niwaombe watanzania mjadala huu tuuendee tukiwa na akili zetu na kumuomba mwenyezi mungu juu ya hekima na busara.Leo kuna mambo mapya yataibuka na hata bandari ni sehemu 1 ya nchi yetu lakini Amani yetu , Uzalendo wetu , Utu wetu umejengwa kwa wazee wetu kujitoa na kuiwekea nchi hii misingi ya utulivu.
    Upendo utawale .Amini

  • @Marjeby
    @Marjeby 11 หลายเดือนก่อน

    Nakupenda sana Sheikh Mziwanda uko Modern sana lakini kikubwa kinachonivutia kwake haogopi kusema as long ni ukweli tu.
    Achana na hao kina Walid tangu zamani wako vuguvugu na sasa hivi ndio amemezwa na mfumo kabisa kucheka cheka tu mbele za watu.
    Basi shule mlibaniwa hata kusema ukweli tu bado mpaka leo mnafundisha kuoga janaba tu

  • @bernardndemba2253
    @bernardndemba2253 11 หลายเดือนก่อน +7

    kazi tunayo

  • @ondieckotoyo1143
    @ondieckotoyo1143 11 หลายเดือนก่อน +22

    Ni wakati pia ya kuoji muungano wa Tanganyika na zanzibar Kama ni muungano tuwe na rais moja wa Tanzania bendera moja nchi moja katiba moja Zanzibar ilishajitenga, lina katiba yake, rais wake, bendera yake , mipaka yake na majeshi yake, na bado wananufaika na kumiliki ardhi ya bara ambayo siyo sehemu ya muungano huku watanganyika hawaruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar hivyo wazibari wasiongeleh ubaguzi pale watanganyika wanapoibua hoja ya kero ya muungano hoja za watanganyika zisibezwe hata kidogo au kuzikejeli tunaitaji Tanganyika yenye katiba yake, bendera yake, nembo yake, mipaka yake, rais wake, bunge lake na serekali yake itayosimamia maswala yasiyo ya muungano kama ilivyo kwa Serekali ya mapinduzi ili muungano uwe wa usawa kwa pande mbili siyo sawa rais wa muungano ndiye rais watanganyika

    • @salumbaa7378
      @salumbaa7378 11 หลายเดือนก่อน +8

      sie wazanzibar tunataka hata kesho mjitenge watanganyika, sijui nani aliemshikilia mwenzake😂

    • @saiddaud3855
      @saiddaud3855 11 หลายเดือนก่อน +6

      Watupatie Zanzibar yetu tufanye mambo yetu

    • @najaributest
      @najaributest 11 หลายเดือนก่อน +5

      Mbona wazanzibar miaka yote wanadai znz yao au ww umeacha kunyonya juzi nyie ndo mudai tanganyika sio wazanzibar wadai znz yao mzanzibar akizaliwa leo kesho akiulizwa atasema hataki huu muungano

    • @suleymandachi782
      @suleymandachi782 11 หลายเดือนก่อน +2

      Tusiwe viziwi,kama wewe ni muislaam huwezi kuandika mambo ya kujitenga,shekh anahimiza waislaam tushikamane nyie mnaanzisha mjadala wakutengana, Tanzania visiwani,mombasa na Tanzania bara ni sehemu yenye waislaam wengi,kwanini tubaguane?

    • @ahmadamohamed1907
      @ahmadamohamed1907 11 หลายเดือนก่อน +3

      Watanganyika wapo wengi wanaomiliki ardhi wengi Sana usiseme jambo usilolijuwa

  • @neemataris3273
    @neemataris3273 11 หลายเดือนก่อน +1

    Maneno haya ni hatari sana kwa mtu wa Mungu, Lakini hakusemwa mwislamu kwenye walaka au nilisikia vibaya

  • @hamidumpiga6283
    @hamidumpiga6283 11 หลายเดือนก่อน +1

    Inalilah wainailah rajiiun,uko sawa shekh

    • @alexkitomo9259
      @alexkitomo9259 11 หลายเดือนก่อน

      Shehe mdomo ni mali yako unautumia utakavyo.

  • @mohammedhimba1647
    @mohammedhimba1647 11 หลายเดือนก่อน +5

    Pamoja shekh watajua hawajui pamoja sana

    • @leonardgalila3032
      @leonardgalila3032 11 หลายเดือนก่อน

      Kwenyi hili tusilete udini tujadili mkataba na tujibu hoja za mkataba huu udini tunataka tuhamishwe kwenye leri

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@leonardgalila3032nyie ndio mmeanza

  • @user-xf4cu3st5z
    @user-xf4cu3st5z 11 หลายเดือนก่อน +6

    Mnachanganya mambo haya na dini.mkataba huu unapingwa na wananchi kwa mapungufu yake na maslai makuu ya wananchi ya Tanzania.hapa hakuna dini.😊

    • @ibrahimsaad617
      @ibrahimsaad617 11 หลายเดือนก่อน

      Wwe unapambana na waisilamu ?

    • @salehkhamis-ob8ln
      @salehkhamis-ob8ln 11 หลายเดือนก่อน +1

      Ukiacha serikali Kwani walioanza kuongea huu mkataba ni nani. Maaskofu. Wakiongea mashehe mnadai wanaleta udini na wao wanyamaze basi hao maskafu na masheh watanyamaza tuachie serikali ifanya kazi yake msiipangie

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 11 หลายเดือนก่อน +1

      Wameanza katoriki

    • @abuumuhammad7133
      @abuumuhammad7133 11 หลายเดือนก่อน +1

      Unae ushahidi wengi ndio wanaepinga tatizo ni udini na wakatolliki baadhi yao viongozi wanapitishaga makontena bila ushuru sasa wanaona DP WORD anachukuwa bandari hakuna tena kupitisha makontena bure na nakuhakikishia DP WORD anachukuwa Bandari na huo ukiritimba wakupitisha makontena bure umeisha

    • @user-xf4cu3st5z
      @user-xf4cu3st5z 11 หลายเดือนก่อน

      Wanapitishaje bila mamlaka.nani msimamizi hapo? Kosa ni la Wananchi au mamlaka inayohusika? Ni hatua gani zilizochukuliwa na mamlaka kukomesha hali hii? Ni wananchi tena.inaonekana kosa ni la mamlaka husika.ebu tufikiri tu

  • @Nily-kz3db
    @Nily-kz3db 11 หลายเดือนก่อน +1

    MashaAllah,Shekhe Allah Akupe Kher,Wamezoe Hao Maskofu Kuongea Pumbaa, Tushkamane Waislam Tuwe Ktu kmoja,

    • @mathiasbukombe3543
      @mathiasbukombe3543 11 หลายเดือนก่อน

      ushikamane kufanya nini Sasa ,wewe mwehu kabisa

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@mathiasbukombe3543kwani we ni muislam, haikuhusu

  • @mahmoudhamisi673
    @mahmoudhamisi673 11 หลายเดือนก่อน

    Maashallah Allah akulinde udini wameuanza kina tundulisu na wenzake

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 11 หลายเดือนก่อน +9

    Allah akuhifadhi shehe wetu

    • @ozilismail7604
      @ozilismail7604 11 หลายเดือนก่อน

      Kilichoongelewa ni bandali dini limetoka wp shekhe acha ushenzi nanyie nendeni nahoja zenu kwanza ww umesomea ndini sioshelia 😊😊 12:48

  • @magnusraphael9007
    @magnusraphael9007 11 หลายเดือนก่อน +12

    Knowledge is power ignorance is weakness

  • @Zanzibar-LandOfBlacks
    @Zanzibar-LandOfBlacks 11 หลายเดือนก่อน

    Mimi maoni yangu, mama asiwatie waislam lawamani, swala la bandari aliwache, wanaomshauri na kumsukumasukuma hawamshauri vizuri, wanautia lawamani uislam, au kama kuwekeza bandari wangeipa kampuni ya kizungu tu au ya kichina.
    Ukweli ni kwamba, wenzetu wanataka kuifanya tanzania ni ya wakristo, waislamu ni watu wa daraja la pili. Jambo litakalokubaliwa na wakristo ni sawa lifanyike, lakini wakilikataa wao ndio lisiwe. Mahakama ya kadhi kwa kua hawakutaka wao na halikuwa. Wanataka kuifanya tanzania waislamu hawana kauli, na hawataki ionekane hivyo kweny uwanja wa kimataifa. Hili si jambo la sawa.

  • @EmmanuelThomass
    @EmmanuelThomass 11 หลายเดือนก่อน +1

    wengine tukisema mtatuona tuanawabagua acha ninyamaze lakin tambuweni ninyi ndio mnaanza kutubagua sawa

  • @user-hd5yl5ej4v
    @user-hd5yl5ej4v 11 หลายเดือนก่อน +7

    MaashaAllah Sheikh Wangu Mungu Akuzidishie Na Akulinde Dhidi Ya Fitna Za Hao Uliowapigilia Misumari

    • @rasnchimbi
      @rasnchimbi 11 หลายเดือนก่อน

      Aje na vifungu vya mkataba siyo story ubwabwa😂😂

    • @cath-ef7wd
      @cath-ef7wd 11 หลายเดือนก่อน

      Hawa makafiri(wakristo) wanaiharibu nchi sana kanisa ndo linajifanya kuisimamia kila serikali inayoshika hatamu kama kwamba hii nchi ni yao peke yao.hawa mbwa sana.Sheikh Mziwanda yupo sahihi sana.hawa waislamu wa leo na hasa wa tanganyika ni wajinga sana hebu amkeni nyinyi hawa makafiri watakulalieni siku moja na ujinga wenu. Kazi kucheka cheka ovyo.

    • @julianamasunga3458
      @julianamasunga3458 11 หลายเดือนก่อน +1

      Weee jionee huruma kwanza ,kabla yakumpongeza huyo shehe wako soma mkataba huo acheni ujinga naudini wakimasikini ,,,wale maaskofu wamesoma kuliko hao mbuzi wenu wawili samia na kikwete ,,,bandari siyo juzuu wewe niusalama wanchi,,,

    • @isaliisu3408
      @isaliisu3408 11 หลายเดือนก่อน

      Hapo unaposemema seriki inasaidiwa na kanisa katoliki umekoseya isipokuwa kanisa kstoliki linapendelewa na serikali munapewa zaidi ya bilioni 32 kwa mwaka tokeya mwaka 1992 rudiya gazeti la mwananchi la mwaka1992

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@julianamasunga3458Kama unaweza kutukana viongozi wako wewe wa Nini Sasa hata adabu ya kunywea maji huna

  • @mkude
    @mkude 11 หลายเดือนก่อน +9

    Maashaallah Sheikh mziwanda ALLAH Akuhifadhi. Watu wamepandikizwa chuki sanaa tunaunga mkono uwekezaji wa bandari kutoka kwa dubai

    • @roseyohana3500
      @roseyohana3500 11 หลายเดือนก่อน

      Wenzenu hawajamtaja shehe hamnasela

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@roseyohana3500na wamesimama Kama kinanani?

    • @dainessgaspar6042
      @dainessgaspar6042 11 หลายเดือนก่อน

      Unapoteza Muda tu, na uchochezi wako.

  • @khadijamusa2838
    @khadijamusa2838 11 หลายเดือนก่อน

    ManshaaAlla Allah akuhifadhi shek wetu

    • @martinmkoba361
      @martinmkoba361 11 หลายเดือนก่อน

      Kwa kusapoti ujinga maodari kweli.pelekeni watoto shule sio kupeleka madrasa😂😂😂

  • @kzonealtupela63
    @kzonealtupela63 11 หลายเดือนก่อน

    Allah akufanyie wepesii sheikh tusichoche itikadii zakidini walaah tusiongele swalaa la kuingiza dinii ongelea swala la mkabaa usiweke uchochezi wakidinii

  • @mwangajilemwangajile-hd9vj
    @mwangajilemwangajile-hd9vj 11 หลายเดือนก่อน +21

    Narrow knowledge is a very dangerous knowledge.

    • @shukurukoll7269
      @shukurukoll7269 11 หลายเดือนก่อน +2

      Who is having narrow knowledge. The time has come really Muslims should wake up.

    • @ototek8037
      @ototek8037 11 หลายเดือนก่อน

      @@shukurukoll7269 ni sawa kubadili sheria za nchi ili ziendane na mkataba? Ni sawa kusain mkataba usio na vipengere vya kuuvunja?
      Waislamu anzeni kupeleka watoto shule sio madrasa, mnapishana na dunia, mzungu sio ndugu wa mkristo wala mwarabu sio ndugu wa muislamu.
      Bandari zikibaki mikononi mwetu zitawasaidia watoto wetu sote, ila tunakoelekea zitawasaidia watoto wa waarabu na vizazi vyao kwa maana mkataba utaisha bahari ikikauka.

    • @mohamedjuma9517
      @mohamedjuma9517 11 หลายเดือนก่อน

      Sheikh muharram umeongea jambo la msingi sana hii dawa TEC itakuwa imewaingia vizuri sana

    • @bakarithegeoinformatician7406
      @bakarithegeoinformatician7406 11 หลายเดือนก่อน

      Who has the mandate to count it! Stupid

    • @jumabeja956
      @jumabeja956 11 หลายเดือนก่อน

      We ndo una elimu ndogo

  • @NassirMansour-zx2jd
    @NassirMansour-zx2jd 11 หลายเดือนก่อน +3

    Amani iwe juu yako sheikh mziwanda Allaah akuteremshie jeshi la ulinzi, yaarabbi tunakuomba umlinde huyu sheikh

  • @hamisiramadhani3538
    @hamisiramadhani3538 11 หลายเดือนก่อน +2

    Allah akuongoze sheikh mziwanda

    • @Bikhafija
      @Bikhafija 11 หลายเดือนก่อน

      Watoleeni wakala miskitini watu au hamna elimu.kama tunavyo ambiwa

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 11 หลายเดือนก่อน +1

    Shehe umesema kwel akikamatwa mkiristo hafiki wiki anaachiwa lakin akikamatwa shehe wataekwa miaka tele na waislam wanakaa kimya kazi yetu mungu yupo waislamu na sisi tuamke tuungane yakitokea mambo Kama hayo #

  • @mawiluomari3975
    @mawiluomari3975 11 หลายเดือนก่อน +13

    Tuko pamoja waislamu tuamke tushikamane ndivyo dini inavyotutaka
    هؤلاء يحبونهم ولا يحبونكم.....
    Hii ni Qur'ani inatuongoza hivi tukowapi sisi na kitabu chetu
    فالنجعل القرءان أمامنا لنهتدي به ولا نجعله في ظهورنا
    Tuijaalie Qur'ani mbele yetu ili tuongoke tuone tunapotakiwa kuhitajika kua
    Na tusiieke nyuma ya migongo yetu.
    Tutapotea

    • @CharlesLeoMgaya
      @CharlesLeoMgaya 11 หลายเดือนก่อน

      Mshikamane kuwasaport wanasiasa kuhusu uchafu wa mkataba au kusema ukweli juu ya udhaifu wa mkataba???

    • @RamadhanMwijage-ul2kj
      @RamadhanMwijage-ul2kj 11 หลายเดือนก่อน

      Shekh ongelea mkataba unasemaje?umeusoma na kujua mapungufu yaliyomo?

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@CharlesLeoMgayakupinga udini

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@RamadhanMwijage-ul2kjsio kazi yake

  • @swafiirbulbul819
    @swafiirbulbul819 11 หลายเดือนก่อน +7

    Well said ❤ Maashaa Allah

    • @shabanipanya1033
      @shabanipanya1033 11 หลายเดือนก่อน

      No is not well said,,,mimi ni muislamu nimesikiliza waraka wa wakatoliki hauna makosa wameongea vizuri tatizo la shekhe wetu ni chuki mbele na shule ndogo

    • @swafiirbulbul819
      @swafiirbulbul819 11 หลายเดือนก่อน +2

      @@shabanipanya1033 sawa shule nyingi.. hongera yako

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 11 หลายเดือนก่อน +2

      ​@@shabanipanya1033Yani ukisikia mtu anaanza na neno Mimi ni muislam, hakuna kitu hapo,mchongo mtupu

  • @munawwaradam8993
    @munawwaradam8993 10 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah masheikh watoeni tongotongo waislam ni waoga hawajitambui, sasa umefika wakati wa kujitambua

  • @sharifajosia879
    @sharifajosia879 11 หลายเดือนก่อน

    Allah akutangulie kwa kila hatua Bwana mziwanda Akupe mwisho mwema Akupe umri mrefu uzidi kutuzindua maana hawa wakatoliki wanataka kutupeleka pabaya lakini inshaallah wataangamia waowa

    • @angelsulle7177
      @angelsulle7177 11 หลายเดือนก่อน

      Wewe ni fala wa mwisho Kanisa Katoliki juuuu???? Washambaaaa!!!!!!!

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@angelsulle7177acha matusi

  • @justusjulius9279
    @justusjulius9279 11 หลายเดือนก่อน +7

    Toeni na nyie tamko sio kudiscuss matamko ya watu wengine

    • @najaributest
      @najaributest 11 หลายเดือนก่อน +1

      Usitufundishe jinsi ya kusema

    • @sheikhwalidalhadtv2950
      @sheikhwalidalhadtv2950 11 หลายเดือนก่อน +1

      Mnatujua vyema msijisahau sisi tushadiscus sanaaaa kuhusu mustakbala wa nchi hii na ndio wenye damu ya machafuko Ohoooo! Wenzunu sie HATUOGOPI KUFA sie kifo kwa ajili ya dini yetu ni IBADA

    • @ibrahimmakasi4690
      @ibrahimmakasi4690 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@sheikhwalidalhadtv2950wewe mjinga kweli yaani umwage damu kwa ajili ya waarabu? Dini yenu imekaa kiwizi Sana..

    • @user-oz1pp1ck2m
      @user-oz1pp1ck2m 11 หลายเดือนก่อน

      Hapo sasa wangenyoka na Yao wanautaka mkataba au hawautaki na sababu zao wao kudakia ya watu

    • @muhsinsasamalo987
      @muhsinsasamalo987 11 หลายเดือนก่อน

      Ndio Hilo tamko lishatolewa😂😂😂

  • @user-oe1qc6wr6c
    @user-oe1qc6wr6c 11 หลายเดือนก่อน +4

    mama samia piga kazi umewakomesha majambazi

    • @godsonishengoma5378
      @godsonishengoma5378 11 หลายเดือนก่อน

      Walewale wezi wa mali za taifa..
      Usiwatetee waovu.. Amin dunian hapa s kwe2 n njia tu ya kmrdia Muumba we2..

  • @stevensmawi6749
    @stevensmawi6749 11 หลายเดือนก่อน

    Naomba Mungu akulinde

  • @saidPeace-xq1ld
    @saidPeace-xq1ld 11 หลายเดือนก่อน

    Kwa hili waislam Hawa wezi kusema kwani Kwa sasa robo3 ya viongozi walioko mdarakani Kwa sasa niwaislam Sasa wakristo wamegundua mtego wenu waislam, tuwaache wakristo waongee mungu awape njia zaidi 🙏

  • @derickcowly6681
    @derickcowly6681 11 หลายเดือนก่อน +6

    Tuombe duwa jamani nyakati za mwisho tuombe rehema Tanzania

    • @myself4128
      @myself4128 11 หลายเดือนก่อน

      tumeomba sana ni kuamka na kupambana

  • @nassorntandu4513
    @nassorntandu4513 11 หลายเดือนก่อน +5

    Nashukuru sana Sheikh unavyowaamsha Waislam, kujitambua , kupigania haki zao na kuongeza uchumi wao! Hili suala na kiuchumi waislamu wetu ni jambo la muhimu sana!

    • @emmanuelbendu6625
      @emmanuelbendu6625 11 หลายเดือนก่อน

      Kwan hapo umepingwa mkataba au waislamu RC sio Mara moja kutoa waraka ata kipind Cha maguful walishatoa waraka kua nchii iongozwe kwa democracy

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 11 หลายเดือนก่อน +1

    Tunahitaji hospital ya Kanda ya kaskazin ijengwe Arusha tuachane na KCMC na hospital ya Kanda ya ziwa ijengwe mwanza tuachane na Bugando zilipe Kodi

  • @user-yf5lo1oc1x
    @user-yf5lo1oc1x 11 หลายเดือนก่อน

    Mashallah Allah akulipe kheri

  • @iddmwendotanzaniteexp5050
    @iddmwendotanzaniteexp5050 11 หลายเดือนก่อน +13

    Hongera sana shekh...tunakuombea kila la kheri shekh...!!!

  • @andrewkissavah8272
    @andrewkissavah8272 11 หลายเดือนก่อน +29

    Sasa,shekhe unaushahidi ya kuwa katoliki ndoo wezi wa bandarini kama haya unayosema unaushahidi nayo basi vyombo vya dola ni kukukabiri uonyeshe ushahidi nankupandishwa kwenye vyombo vya dola ,pia shekhe kwani kuuzwa kwa bandari ndo kwa waislamu ,pia kuzungumzia katoliki ni utofu wa nidham kumbuka katoliki ndo wafadhiri wa kubwa wa serikali katika secta nyingi ,kama secta ya afya,Elimu, nk,hivyo wewe shekhe nani atakusikiliza ,kwanza una mchango gani wewe shekhe mziwanda ,pia hao waislamu wenzako kwanini hawa kusikilizi ,hao wenzako ni waelewa wanaona unaongea uchochezi,udini, kuligawa taifa,halafu unahamazisha vurugu , kwa kweli niwaombe waislamu wote niwaombe mumwepuke kama ugonjwabwa ukoma huyo mziwanda ni mchochezi ,kwanza mziwanda hana elimu haja soma ni maamma ,halafu unasema wasitukane hebu ingia kwenye mitandao uone baadhi ya waislamu wanavyo litukana kanisa ,halafu eti unasema dini yako inahimiza nidhamu ,upendo,Amani kwa hayo unayoongea ivi ndo ya Amani hayo au mbona akiri yako ndogo

    • @killingmleke1810
      @killingmleke1810 11 หลายเดือนก่อน +1

      Na wewe nani kwani kujifanya unajua mambo ya bandary? Mjinga kabisa wewe mpuuzi mkubwa nenda huko

    • @salehkhamis-ob8ln
      @salehkhamis-ob8ln 11 หลายเดือนก่อน

      Katoliki wezi ndio maana wanaupinga mkataba hawatoweza kupitisha mambo yao maovu kwa kinyemela janja janja haitokuepo tena

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 11 หลายเดือนก่อน

      Duu gazeti

    • @Zayeed_tv
      @Zayeed_tv 11 หลายเดือนก่อน +2

      Anaongea vitu hata havihusiani ..ujingaujinga tu anakata udini kwenye mambo ya msingi

    • @hajjisanga789
      @hajjisanga789 11 หลายเดือนก่อน

      Kama nyinyi mna mchango pesa mnatoa wapi waislam pia ksma shule tunayo uwezo kama vyuo pia tunayo ila ش 11:53 "

  • @benedictkihombo348
    @benedictkihombo348 11 หลายเดือนก่อน +2

    Shule ni muhimu sana kwa kweli.

    • @allyjuma2574
      @allyjuma2574 11 หลายเดือนก่อน

      Msingi wa elimu za wazungu ni wizi,unyonyaji, ubaguzi,ubinafsi...na kauli zenu zinafanana hivohivo

  • @roggoyacny
    @roggoyacny 11 หลายเดือนก่อน +1

    Walio muombea Dua Nyerere,,Mkapa na MAGUFULI hao wanatakiwa kufanya Toba kwa ALLAH 🙏

    • @flova7022
      @flova7022 11 หลายเดือนก่อน

      Duuu kazi IPO ..shida ni kuwa mjinga na mshamba...hivi mkristu kumwombea muislam ni dhambi..kaz ipo

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 11 หลายเดือนก่อน +4

    Uko sawa sheikh ,tunalilia Amani hatutaki ushoga ,wakatoliki ndio wamehalisha ndoa za jinsia moja duniani ,wakianzia Roma ...Yani hata tukirudi enzi za machief hivyo vitu havikuwepo...

    • @Expedito2512
      @Expedito2512 11 หลายเดือนก่อน +1

      Unachoongea ni kweli?

    • @timeofjesusministries9611
      @timeofjesusministries9611 11 หลายเดือนก่อน

      Yule askari wa zanzibar ni mkatoliki?

    • @ukuvukiland2387
      @ukuvukiland2387 11 หลายเดือนก่อน

      @@timeofjesusministries9611 hembu angalia habari za duniani papa ndio mtu wa Kwanza kuidhinisha ndoa za jinsia moja,ndio mana hatutaki kiongozi yoyote bongo atuletee huo ujinga,watalii wakija huko wanaharibu vijana wetu na wadogo zetu na vijana wetu ,kiongozi atakaepitisha hilo atatuharibia taifa kwa ujumla ,ndio point yangu ya msingi..

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@timeofjesusministries9611amefuata propaganda za kikatoriki(lgbtq)

    • @clethbarnaba923
      @clethbarnaba923 11 หลายเดือนก่อน

      Mungu akusamehe kwa kuwa haujui usemalo.

  • @salehemohamed2937
    @salehemohamed2937 11 หลายเดือนก่อน +3

    MashAllah, umesema kweli,hakika ukweli unauma

  • @ShafiiYusouf
    @ShafiiYusouf 11 หลายเดือนก่อน +2

    Naaaam sheikh swadaqta washatuzoea Hawa wanajiona wao ni bora kuliko wengine wote.

  • @hamzaomari3148
    @hamzaomari3148 11 หลายเดือนก่อน

    Allah akupe mazur sheikh mziwanda

  • @musachongowe1695
    @musachongowe1695 11 หลายเดือนก่อน +4

    Huo sio waraka wa kwanza kwa maaskofu,maskofu wanatoa waraka kilalinapo tokea jambo la kutatanisha,watu wameuwawa hapa waislamu hawajaongea wataongea nini kwa unafiki

    • @milcahkapan7932
      @milcahkapan7932 11 หลายเดือนก่อน

      Yaan hawa huwa wanakurupuka,hivi hawajui TEC walikosoa kila kiongozi aliyekuwa madarakani wao wakiwa kimya tu,Magufuli kwenye kutokuvaa barakoa TEC walimkosoa,Mkapa kwenye ubinafsishaji wa airport TEC walimkosoa,Kikwete pia,Leo wameongea tena kwa data na facts kumkosoa Samia napo ni baada ya kuona serikali inaminya uhuru wa watu kuongea mnalalamika.TEC waliita waandishi wa habari muda wa kutoa Tamko lakini hakuna media yoyote kubwa iliyopost habari hizo ndo wakaamua tusomewe tamko nchi nzima makanisani of which is very right kabisaa na Taarifa imepenyaa Hadi huko vijijini chap na litasomwa kwa wiki nne mfululizo ili Kila muumini awe na taarifa

    • @maulidkhamis4442
      @maulidkhamis4442 11 หลายเดือนก่อน +1

      Hakuna hata waraka mmoja uliotoka ukasomwa nchi nzima baada ya huu ni udini wa wazi wazi

    • @musachongowe1695
      @musachongowe1695 11 หลายเดือนก่อน

      Hakuna udini waislam tuamke acheni fikra mbovu hakuna Alie taja uislam vitahii ni ya ukoloni mamboleo

    • @maulidkhamis4442
      @maulidkhamis4442 11 หลายเดือนก่อน +1

      @@musachongowe1695 wewe huwajui hawa jamaa wadini mno aliyepita aliua democrs ila haukutoka waraka ulioambowa usomwe makanisa yote

    • @musachongowe1695
      @musachongowe1695 11 หลายเดือนก่อน

      @@maulidkhamis4442 shida waislam hata wakipewa tende basi wanaridhika hawaangalii mbele.ccmwalivyo ona mambo magumu 2015 wakaweka kwenye ilani tutafanyia kazi mahakama ya kadhi baada ya hapo wali geuka Bado tunaurafiki na hii serikali tunajiongeza kweli,waislam wanatumika kwenye mapambano baada ya hapo wanakula wajanja sisi tunahubiri amani

  • @placidiakambuga3508
    @placidiakambuga3508 11 หลายเดือนก่อน +7

    Shule ni muhimu sana aisee, watu wanaongelea partmanent sovereignty ndio haitakiwa kwenye mkatana ww unaleta udini.

    • @rahushussein1402
      @rahushussein1402 11 หลายเดือนก่อน +1

      Mnatafuta pa kujifichia yaliyo ndani ya mioyo yenu ni makubwa sana kuliko mnayotuonesha muache Sheikh aseme

    • @daudimahede6014
      @daudimahede6014 11 หลายเดือนก่อน

      Fikiria kutumia utumbo

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo 11 หลายเดือนก่อน

    Safi sana shekh Hawa maaskofu wanahisi nchi ni Yao wameshaona upole wa waislam kama magoigoi.

  • @aishamakiya486
    @aishamakiya486 11 หลายเดือนก่อน

    ALLAH amuhifadhi Sheikh letu

  • @kitutujuma9602
    @kitutujuma9602 11 หลายเดือนก่อน +3

    Shekh huku mtaani kwa sasa tumegubikwa na wimbi la bandari.
    Kutaka kufafanuliwa zaidi ili kujua tunanufaika vp na mkataba huo na ukomo wa mkataba huo.
    Tena ni vyema ungekua na mkataba huo utuchambulie.
    Viongozi wa dini wa kiisalamu toeni walaka inapobidi kuhusiana na hili ili tujue umelizika na hili la bandari au laah.
    Maslahi ya taifa kwanza.
    Dini ni njia tu yenye muongozo kutokana na matakwa ya mungu kwa imani zetu.
    Please musituletee kutaka kutugawa kupitiaudini ktk hili.
    Tuambieni misimamo yenu ktk shwala la bandari.

    • @dickaugustino8238
      @dickaugustino8238 11 หลายเดือนก่อน

      Very good ideas, udini tupakule ,wasome MIKATABA 36 yote iliosainiwa baada tu ya JPM kufa,majizi sio poa

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya2950 11 หลายเดือนก่อน +7

    Njooni na ufafanuzi kama wakatholic

    • @omaryissa2562
      @omaryissa2562 11 หลายเดือนก่อน

      Ukatholic ndio nini
      Tuondoleeni ukatoliki wenu mwapenda kula kilaini sana
      ngoja wote tupambane mnapenda kugamia serekali sana nyinyi wakiristo

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 11 หลายเดือนก่อน

      We Kama Nani

    • @jescakahabi10
      @jescakahabi10 11 หลายเดือนก่อน

      Waje na fact cio kuonge afu maaskofu hawajawataka waislam bhn wametaja xababu xxa kupinga mkataba na xio vinginevyo lakn sheikh yuko bize kutamka kula tuuuu hahha hatari

    • @muhsinsasamalo987
      @muhsinsasamalo987 11 หลายเดือนก่อน

      Walitoa ufafanuzi gani zaidi ya kukataa tu mkataba. Waambie walete takwimu za Wanaopina mkataba. Kuhusu vipengele Tata serikali ilishatoa maelekezo ya kufanyika maboresho

    • @muhsinsasamalo987
      @muhsinsasamalo987 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@jescakahabi10Kuna mengi huyajui dadangu. The hammer doesn't remember the pain, but the nail will always remember

  • @user-xi7wh3dr4o
    @user-xi7wh3dr4o 11 หลายเดือนก่อน +2

    ربنا لا تجعلنا فتنة للقوم الظالمين ونجنا برحمتك من القوم الكافرين

    • @user-xd2tg8eq1h
      @user-xd2tg8eq1h 9 หลายเดือนก่อน

      Safi Islamic is power wald

    • @philipjoseph5931
      @philipjoseph5931 5 หลายเดือนก่อน

      ومن هم الكفار وبمن يكفرون؟ الكافر هو معارض وأكبر المدافعين عن يسوع المسيح هم الذين يرفضون ألوهيته وموته على الصليب وقيامته وصعوده إلى السماء. أولئك هم الكفار، أعاذنا الله منهم

  • @broumaiyyah8018
    @broumaiyyah8018 11 หลายเดือนก่อน

    Fact Sheikh uko sawa kabsaa 100%

  • @hajisaid3024
    @hajisaid3024 11 หลายเดือนก่อน +16

    Shekh wape ukweli wameila sana nchi nchi yetu wote

    • @AliMahmoud-tj2jb
      @AliMahmoud-tj2jb 11 หลายเดือนก่อน +1

      Kweli sheikh ,kilichobakia ss na sisi waislamu tuwe na msimamo mmoja tuckubali Hawa makafiri kuharibu nchi💪💪💪

    • @elishakayagwa9371
      @elishakayagwa9371 11 หลายเดือนก่อน +3

      Nyie mnanchi gani wapuuzi nyie? Tena msilete ujinga na kama hamtaki nendeni Zanzibar.

    • @daudimichael7338
      @daudimichael7338 11 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@AliMahmoud-tj2jbMakafiri ni wale wanaouza bandari yetu

    • @heritier5119
      @heritier5119 11 หลายเดือนก่อน

      Madalali wa kuuza bandari Sasa uislam na bandari vina uhusiano gani

    • @heritier5119
      @heritier5119 11 หลายเดือนก่อน

      Chuki hizo wamekulaje ni awamu ipi ya dini zinaliwa

  • @swalehabdulrahman4118
    @swalehabdulrahman4118 11 หลายเดือนก่อน +2

    الحق يقال،حفظك آل

  • @user-yz2iq1lx3d
    @user-yz2iq1lx3d 11 หลายเดือนก่อน

    Aisee,ipo kazi,mungu tusimamie

  • @helentelemla5623
    @helentelemla5623 11 หลายเดือนก่อน +35

    Shekhe wetu mpendwa huu mkataba haufungamani na imani yenu maana hata sisi tuna ndugu wa imani ya kiislam.Lkn wapo waislam na wakristo wanaopinga baadhi ya vipengele Tunasikiliza hoja tunafanya maamuzi .Huu waraka ni ujumbe kwa serikali

    • @mohamedlamimu
      @mohamedlamimu 11 หลายเดือนก่อน +3

      Waraka haupingi tu vipengele, unataka mkataba ufutwe kabisa na wala si kurekebishwa hivyo vipengele wanavyodai vina kasoro! Hapa ni wazi kuna chuki dhidi ya wanaopewa mkataba na uongozi wa serikali uliopo kwa sasa!!

    • @yassinhamisi922
      @yassinhamisi922 11 หลายเดือนก่อน

      Kuhusu huo mkataba wanaopinga uwekezaji wanamaslahi binafsi.
      Kuna baadhi ya mathehebu wanamaslahi binafsi.
      Km kuna vipengele virekebishwe na usifutwe maana kuna upigaji sana bandarini.

    • @yussuph-lx7cu
      @yussuph-lx7cu 11 หลายเดือนก่อน +1

      Hili ni nchi ya ajabu kweli ,,kuna mikataba iliyofungwa kabla ya mkataba huu wa bandari ambayo ilikuwa mibovu na hivi sasa tunatakiwa tulipe penalti kwasababu ya kuivunja na imevunjwa na maccm ,,,kuhusu sheikh anazungumza kuingiza mizigo bila kulipiwa ushuru hilo si kosa LA watanzania ni kosa LA maccm ndio wanaoruhusu kupitisha miziigo bila kulipa ushuru ,,ccm mumeshindwa kuongoza nchi waachilieni wapinzani waongoze nchi ,nchi yote mumewauzia wageni kwa mikataba mibovu na hiii bandari munataka kuikodisha kwa mkataba mbovu sisi wananchi hatutaki,,,sheikh umetumwa na maccm ,usikubali kutumika sisi wananchi tunaakili timamu tushajifunza kwa mikataba iliyopita

    • @patrickmunishi2277
      @patrickmunishi2277 11 หลายเดือนก่อน +1

      MUNGU AKUBARIKI SANA

    • @davidsamson8204
      @davidsamson8204 11 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe shehe umeramba asali Ludi nyuma wewe si mtanzania ndiomana unaipigania Dpwd

  • @shersaid7988
    @shersaid7988 11 หลายเดือนก่อน +6

    Shekhe umeongea maneno ya maana.Shukran.

    • @user-hp1im5ek4r
      @user-hp1im5ek4r 11 หลายเดือนก่อน

      W hujitambuli wengine wanapigania inchi nyie mnaleta udini au kwa vile anayepingwa ni mwarabu huwezi binafisha bandali za ziwani na inchi kavu nyie marofa wakubwa

  • @ndayambajefikirini7252
    @ndayambajefikirini7252 11 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana sheikh wamshe waisilam tumelala sana

    • @danielmpaka
      @danielmpaka 11 หลายเดือนก่อน

      Yaani muamshane kwa lipi ndugu zetu waislam,kwani ninyi waislamu ndio mnaopigia upatu mkataba wa bandari kisa ni mwarabu,je unajua kule liliodo baada ya kuhamishwa wamasai,ameingia mwarabu na eneo lile sio letu tena hata network sio ya tz?.msiamshane bila kujua mnaenda wapi amani tuliyo nayo ikipotea KURUDI ni ngumu,Kikwete enzi ya urais wake aliwafunga jera mashekhe wa uamsho miaka zaidi ya 6 bila hukumu,ivi imagini ndo angekuwa MAGUFULI ambaye ni mkristo afanye hivyo sijui nchi ingekuwa wapi,pia ukumbuke hata Hawa wakatoliki baadhi Yao walikuwa WANAMPINGA MAGUFULI.sasa mkisema muamshane pia mkumbuke kwama mnaamshana kwa lipi.mimi mkristo lakini ❤❤ Sana waislam lakini sio ktk hili la kuharibu amani tuliyo nayo kisa mwarabu ndy anayekuja KUIMILIKI bandari,hata hao maaskofu katka walaka wao hawajawataja waislamu hata chembe,ila namshangaa huyo shekhe mziwanda kuongea bila staha suala kama hili linaloweza kuipeleka nchi kuwa KISIWA Cha DAMU.

  • @SelemaniDowile-mk1wm
    @SelemaniDowile-mk1wm 11 หลายเดือนก่อน +1

    Waislamu tuamke haya mambo yanaumiza sana ila wapo waislamu wengine hawapo huku wala kule

  • @jerome3143
    @jerome3143 11 หลายเดือนก่อน +3

    Pambaneni akuna neno udini hapo kaeni mtoe waraka na ninyi watu wausome

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 11 หลายเดือนก่อน

      Msitupangie

  • @abdallaahabdallaahibrahim6719
    @abdallaahabdallaahibrahim6719 11 หลายเดือนก่อน +3

    Tunausubir tamko la barazakuu la waislam TZ

  • @nicolausminja689
    @nicolausminja689 11 หลายเดือนก่อน

    Kwani huu mkataba unahusiana na uislam!? Maana waraka ni ushauri kwa serikali kuhusu huo mkataba kwa lengo la kulinda amani ya nchi. Ushauri waweza upuuza au kuzingatia.uwekezaji sio mbaya ishu vipengele vinavyo lalamikiwa virekenishwe visikinzane na katiba.wakristu na waislam sisi ni ndugu msitugombanishe.Mungu ibariki Tanzania,🕌❤⛪🇹🇿

  • @allybetese6201
    @allybetese6201 11 หลายเดือนก่อน

    Dah ❤

    • @peterryoba
      @peterryoba 11 หลายเดือนก่อน

      Mim sijakuelewa vizuli maana mkataba Hauna mwisho na unachotakiwa kupewa hakijulikani ,,tuwambie vizuli wew labuda unajua ni sh ngap na mwisho wa mkataba ni mwaka gan?

  • @saidkipalo4427
    @saidkipalo4427 11 หลายเดือนก่อน +3

    Shukrani kaka Mziwanda Hakika Umesema Maneno Leo

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv 11 หลายเดือนก่อน +4

    MASHA ALLAH 🇰🇪💚💚💚

  • @user-rq7ry4nu1s
    @user-rq7ry4nu1s 11 หลายเดือนก่อน

    Daa mungu tusaidie

  • @ngaribaonlinetv
    @ngaribaonlinetv 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mshikamano ukikosekana hayo yote lazima yatokee waislamu tubadilike umoja ni nguvu utengano ni udhaifu, ajabu wasiokuwa waislam tunawafanyia ihisani lakini sisi kazi kukosoana TU tukacha kubaguana sisi Kwa sisi tutafika mbali Sana!!

  • @eliakanyika4921
    @eliakanyika4921 11 หลายเดือนก่อน +10

    Huyu shehe ana udini sana kuliko uzarendo

    • @asnathmasegenya9890
      @asnathmasegenya9890 11 หลายเดือนก่อน

      Kachanjwa huyo😂 matokeo hayo

    • @rahushussein1402
      @rahushussein1402 11 หลายเดือนก่อน

      Bora huyu msema kweli, kuliko maaskofu wanaojificha kwenye uzalendo kumbe wanafiki wana UDINI na roho mbaya kuliko IBILISI

    • @daudimahede6014
      @daudimahede6014 11 หลายเดือนก่อน

      Subiriii ujibiwe

    • @user-hj3gr2lw9o
      @user-hj3gr2lw9o 10 หลายเดือนก่อน

      Unataka waislam wanyamaze Tu muwapande kichwani hii nchi ya dini zote kwann akandamizwe mmoja tu

    • @user-vt4eq2ho9v
      @user-vt4eq2ho9v 10 หลายเดือนก่อน

      Uzalindo nininii???

  • @quwwangaemanuel7360
    @quwwangaemanuel7360 11 หลายเดือนก่อน +3

    Shekh hujitambui hata kidogo 😢

  • @AbuuRuudaynaa
    @AbuuRuudaynaa 11 หลายเดือนก่อน

    allah akubariki

  • @maigengeme
    @maigengeme 11 หลายเดือนก่อน +1

    Wenzenu wamezungumzia mkataba mbovu, ni nanyie muelezee ubora wa mkataba watu waelewe, teteeni kwa hoja za mkataba tujue kama mkataba ni mzuri, mnaanza kutaja dini tena. Tuambieni uzuri wa mkataba na sio dini

  • @alexchamy2289
    @alexchamy2289 11 หลายเดือนก่อน +16

    Kwani waraka umepinga dini yako, sijakuelewa unapigia kelele Nini!!. Waraka ule ni juu ya kuhoji, kukosa na kushauri serikali juu ya mkataba unaoingiwa kati ya serikali na mwekezaji Sasa wewe unaumia na Nini. Labda kama unahoja za kujibu huo waraka basi zitoe sio kuleta udini. In short kama uwekezaji utakuwa na maslahi basi yatawahusu aidha watanzania wote pasipo kujali dini na wawekazaji na haitakuwa na maslahi kwenu peke yenu. Na kama utakuwa na hasara zitawahusu watz pasipo kujali dini na sio RC pekee. Hivyo ni vyema na busara waraka uliotolewa ukasikilizwa, ukajibiwa au ukatumika katika kujitahadharisha. Udini tuweke pembeni yanapokuja mambo ya kitaifa. Mie Sina dini kwanza mkileta udini mnanichanganya

    • @rahushussein1402
      @rahushussein1402 11 หลายเดือนก่อน

      Bado hujasema

    • @user-zd3ds6vt7u
      @user-zd3ds6vt7u 10 หลายเดือนก่อน

      Yo anasababu naislamu wenziye siunaona anavyo waambia alishambuliwa sijui alishambuliwa nanini anajua yeye anasema waislamu hawakumsaidia kama hawakukusadia wakatoliki wanaingiaje hapo kama unata misaada yakatoliki mbona ikowazi wakatoliki siyo wachoyo sema usaidiwe siyo kuongea maneno hata hayaeleweki katoliki wamachungu nataifa wewenae unaleta udini hata wenzako wanakushangaa hawakuelewi unakuwa kama unampigia mbuzi kirtaa acheze haya weebwabwaja sasa labda hauna kaziyakufanya

  • @omaryramdhani9823
    @omaryramdhani9823 11 หลายเดือนก่อน +14

    ليس لها من دون الله كاشفة اللهم بحق هذه الآية الشريفة وما حوته من الأسرار المنيفة أن تصرف عن رئيسنا سمع بنت صلح شر الحساد و الظالمين والموذين والساحرين والباغين والسارقين وكل من كادها بالسوء من الجن و الشياطين والانس اللهم اردد كيدهم في نحورهم اللهم اشغلهم بشاغل لا يستطيعون رده اللهم شتت شملهم اللهم مزق جمعهم اللهم فل حدهم اللهم قل عددهم اللهم ارسل العذاب إليهم وصلى الله على سيدنا محمد وعلى اله وصحبه وسلم

    • @MohamedMatata-iu9mm
      @MohamedMatata-iu9mm 11 หลายเดือนก่อน +1

      allahuma amiin

    • @hamadfaki2503
      @hamadfaki2503 11 หลายเดือนก่อน +1

      اللهم آمين

    • @Bikhafija
      @Bikhafija 11 หลายเดือนก่อน +4

      Vibaraka nyie masheee haoa sosi bandar lkn hattaki muwekezaji mm muislamu.lkn sitaki

    • @Bikhafija
      @Bikhafija 11 หลายเดือนก่อน +1

      Jsmbo hili sio.la.kidini hapa shekh zungumzia bandari Sasa ata mkimkodisha muarabu unaona ndio tutakua sawa uwekezaji mingapi shekhe lkn hali ngumu watu wanaangaika nyie mnatembeaa vijijin mmewaona watu wanavyo teseka kuweni na uruma niyie

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 11 หลายเดือนก่อน +1

      Ufuta 3750 badala ya 1800, njungu 14000 badala ya 6000,mpunga shs 13000 badala ya 8000, mbaazi 2100 badala ya 300 Sasa ni Hali ngumu kushindwa wakati wa bei hizo za nyuma,tuseme ukweli tuacge chuki binafsi

  • @mrishojuma4695
    @mrishojuma4695 11 หลายเดือนก่อน

    Sheikhe uko sawa kabisa yaani hayo makristo yanataka mikataba iwe Kwa wazungu tu lakini Kwa mwarabu hafai ni wakuda saana

  • @ngoni7944
    @ngoni7944 11 หลายเดือนก่อน +1

    Umeuliza kwa nini wakatoliki? Jibu ni wakatoliki ni waanzilishi wa elimu duniani, mfumo wa shule umeanzishwa na wakatoliki. Ni wasomi, kuwa padri mpaka uwe na degree, je shehe? TEC wamesema "sauti ya watu sio wewe umewakoti vibaya umesema sauti ya wengi. Usishindane na ukristo ndio dini ya kwanza hapa duniani. Uislam umekuja baada ya miaka 600 baada ya ukristo. Unaposema Uislam unapenda wakristo sio kweli soma quran 9: 5 kill disbelievers.

  • @kitosio
    @kitosio 11 หลายเดือนก่อน +8

    Sh. MZIWANDA NI Kipaji ALLAH AKUPE NGUVU KTK ELIMU NA HOJA NA USHINDI.

    • @cath-ef7wd
      @cath-ef7wd 11 หลายเดือนก่อน +1

      Amin