Innalillah wainna ilayhi rajiun, waislam wa Tanzania hatujitambui wengi miongoni mwetu ni waislamu wa kurithi, hatujitambui hata kidogo tumetawaliwa na hofu tunawahofu makafiri kuliko Allah. Tubadilike waislamu.
Natamani kama ungekuwa na huo mkataba utusomee na sisi Waislam tusiojua kingeleza tupate ufumbuzi ili tukiamka kutoka kwenye huo uoga tuwe na ushahidi wa kupigania uislaam wetu.
Ndugu zangu wakatoliki mnaotazama video kama hivi msirudishe neno ili kuulinda umoja cha muhimu tuwapende na mwisho wataelewa nia ye maaskofu ilio njema kama tukikaa kimya basi watatuelewa na hakutakuwa na uchochez wa kidini tena ndugu zetu waislam sisi ni ndugu kama walikosea basi nanyi toeni ushauri sisi tunataka lililo bora haijalishi limetoka kwa nani ndugu zetu tunasikitika mmetuelewa vibaya
Kwamba pakiuzwa Waislamu mnafaidika na nini or mkataba ukiendelea kama ulivyo, Waislamu watapoteza kitu gani na Wakristo hasa Wakatoliki watafaidika na nini? Bandari haina uhusiano na dini, ni upuuzi uliopitiliza kufikiria kwamba eti ili tuendelee lazima kila kitu kiuzwe, sasa tuligombania uhuru wa kazi gani? Namshukuru Mungu, watu waliokua wakisiliza wala hawakukupa kampani katika hili. Bandari ni ya Watanzania, sio ya Wakatoliki or ya Waislamu, hata wapagani inawahusu
Kwaiyo nahao waarabu wakiuziwa bandari mtanufaika Nini??nakama Kuna manufaa mbona bandari ya Zanzibar haijatiwa ktk huumkataba nawao ndio bandari yao ipo karibu na bara la huko arabu?na dini yetu ya uislam imeshikwa sana huko makanisa machache lakini mkataba wa mwarabu hawaja husishwa
Imani bila mpango ni bure imani uenda na vitendo ni kuomba duwa sana umoja uwepo na ukweli kwenye mambo ya maendeleo ni bora kutetea maendeleo ya taifa
@@ahmadmzoa74 Hivi Kwa nini tunashindwa kutumia wafadhili matajiri tulionao kujijengea Mahospitali ya rufaa vyuo vikuu vitega uchumi na mashule bora kama wenzetu.Huu si uzezeta??!
We unayesema shkh Hana shule Kwa kigezo kipi nyie ndo ambao mmmekosa akili mnatubu Kwa watawa badala ya mungu , acheni hapa hoja c bandari ni udini tuuuuu!!! Ninyi ndio cku zote mnajiti kimbelembele kwenye Kila jambo Sasa safari hii mmeyakanyaga kongole Kwa shkh salute!!!!!
Samahani jamani Mimi sijaelewa naomben mnisaidie, Masikofu wamepinga, mkataba mbovu, kwanini huyu shehe analalamika kwamba waislam tuamuke tutetee nchi yetu ote tuna haki, kwani kwani mkataba no wadini ya kislam au ni was Dubai.
from Kenya,namuelewa sana huyu sheikh,last month nlisoma nakala ya huko kwenu TZ,ati Kanisa la Lutheran wameanzisha Dispensary alafu inalaumu serikali ati wamecheleweshwa mishahara,sasa nkajiuliza hospital ya kanisa lakini wanalipwa na serikali ya tz,inakuaje aje wakati huo ni mpango wa makanisa? watu waamke kweli including us Kenya
Huku kwetu kuna mkataba wa serikali kuunga mkono juhudi za mashirika ya Dini kwenye idara ya Afya , kumbuka Hiyo Dispensary iko kwenye eneo ambalo hakuna huduma na Wananchi wote ni wanufaika ,mshahara haiungii kanisani analipwa mtumishi anayehudumia Watanzania wote ,shida iko wapi? Mashirika ya Dini yanaisaidia serikali kufanya majukumu yake ,hayo ni makubaliano yapo tu ,Taasisi yoyote ya Dini ikajenge Hospital vijijini itoe huduma bila ubaguzi kwa watu wote itapata baadhi ya nafuu kama hizo
Si Kenya si Tanzania kote Waislam tumelala tena ni aibu. Tunakazania tu kujenga misikiti madrasa na kujengewa visima. Wafadhiliatajiri Wa mafuta tunao na tunashindwa kuwatumia kujijengea mahospitali ya rufaa vyuo vikuu vitega uchumi na mashule bora yanayopasisha kama wenzetu. Afadhali Kenya mnajitahidi sana kutumia nafasi za kiislam katika elimu ya juu kwani nilisikia MNA wanafunzi wengi wamesoma na wanaosoma katika vyuo vikuu vilivyopo katika nchi za kiislam nafasi ambazo hutolewa na has a shirika LA dini likiziomba huku kwetu tuna Bakwata ambayo haina juhudi ya kuomba na kuzitafuta hizo scholarships na kuzitangaza .
Tafadhali Viongzi wetu wa kidini tutambuwe majira yanayo faa tusiipeleke nchi shimoni kama mungu amewapa vipawa tumieni vipawa hivyo kwa kuleta Amani Kwa nchi yetu Waisilamu na wakatoriki wote tunamuomba Allah ya nini tuanze kuchochea udini vita ni mbaya sana Tafadhali tusifike huko
Mashee wangu wakati wote mpaka mnamaliza kutoa dawa hamtaji hata robo ya kifungu chochote chamkataba, lkn niwakumbushe uwe udini au siasa chanzo ni mkataba,.Mwenyezi Mungu awasaidie mkumbuke kunukuu na vifungu.mtatusaidia sana sana.
Mashekhe walikwisha taja zamani sana vifungu vinavyo hitajika marekebisho rejea hutuba ya shekh Ponda na hao Maskofu katika waraka wao hawakutaja kifungu hata chochote wao Wamesema uongo eti wataanzania wote wameukataa mkataba huo. Hilo ndilo liloleta tabu wao kama akina nani kuwasemea watanzania eti hawautaki mkataba😢 hapo ndipo kanisa katoliki linapoleta vurugu
@@user-ki4sg8yz9j basi huo ndio ujinga wenu,maana mnapinga msichokijua,wengi wenu shule hakuna,mnabaki kusema kafiri kafiri kwenye mkataba kuna mambo ya dini yenu pale,washezi Sana mnachojua kufuga majini
"Kama wao wametoa waraka usomwe makanisani ,na sisi sasa tutoe waraka tusome misikitini"... Sheikh Mziwanda. Hapo sasa ndio waislamu wanapofeli ,kufanya jambo kama majibu kwa wakiristo wakatoliki ,badala yao kufanya mambo yao.
Waislam akili zenu za kupepwa, wale wametoa waraka wa kupinga uwekezaji wa milele usio na mwisho nyinyi mnatoanwalaka wa uislamu na bandali mnaakili kweli?
ASANTE SHEIKH ALLAH AZIDI KUKUPA NGUVU ZA KUUTETEA UISLAM TUNAWASIHI NA MASHEKHE WENGINE WAMUUNGE MKONO SHEKHE MZIWANDA WASIMUACHIE KILA KITU ASEME YEYE
Wapi wewe yesu kwetu sisi waislam ni nabii hana zaidi ya cheo icho ipo siku mtaenda kueleza kwanini mlikuwa mnamwita mungu inshaalwah wakristo hawana elimu zaidi ya waislamu waislamu ndiyo bunadamu wenye hekma zaidi duni8
Kwenye dunia iliyobadilika kunahaja ya kuendana na mabadiliko mema na sio maovu. Leo ukisema mtume hakuzungumzia hayo unakosea sana na utapotea ndg yetu.
Habari za leo Hakika Mungu aendelee kulipigania Taifa hili swala hili la Bandari limechukua sura ya dini ya viongozi wanavyolichambua na tumeshindwa kusikiliza hoja za maendeleo ya bandari yetu na tumegeuza mjadala huu juu ya nani kasema nini na je yule ni wa dini yangu au sio.Niwaombe watanzania mjadala huu tuuendee tukiwa na akili zetu na kumuomba mwenyezi mungu juu ya hekima na busara.Leo kuna mambo mapya yataibuka na hata bandari ni sehemu 1 ya nchi yetu lakini Amani yetu , Uzalendo wetu , Utu wetu umejengwa kwa wazee wetu kujitoa na kuiwekea nchi hii misingi ya utulivu. Upendo utawale .Amini
Nakupenda sana Sheikh Mziwanda uko Modern sana lakini kikubwa kinachonivutia kwake haogopi kusema as long ni ukweli tu. Achana na hao kina Walid tangu zamani wako vuguvugu na sasa hivi ndio amemezwa na mfumo kabisa kucheka cheka tu mbele za watu. Basi shule mlibaniwa hata kusema ukweli tu bado mpaka leo mnafundisha kuoga janaba tu
Ni wakati pia ya kuoji muungano wa Tanganyika na zanzibar Kama ni muungano tuwe na rais moja wa Tanzania bendera moja nchi moja katiba moja Zanzibar ilishajitenga, lina katiba yake, rais wake, bendera yake , mipaka yake na majeshi yake, na bado wananufaika na kumiliki ardhi ya bara ambayo siyo sehemu ya muungano huku watanganyika hawaruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar hivyo wazibari wasiongeleh ubaguzi pale watanganyika wanapoibua hoja ya kero ya muungano hoja za watanganyika zisibezwe hata kidogo au kuzikejeli tunaitaji Tanganyika yenye katiba yake, bendera yake, nembo yake, mipaka yake, rais wake, bunge lake na serekali yake itayosimamia maswala yasiyo ya muungano kama ilivyo kwa Serekali ya mapinduzi ili muungano uwe wa usawa kwa pande mbili siyo sawa rais wa muungano ndiye rais watanganyika
Mbona wazanzibar miaka yote wanadai znz yao au ww umeacha kunyonya juzi nyie ndo mudai tanganyika sio wazanzibar wadai znz yao mzanzibar akizaliwa leo kesho akiulizwa atasema hataki huu muungano
Tusiwe viziwi,kama wewe ni muislaam huwezi kuandika mambo ya kujitenga,shekh anahimiza waislaam tushikamane nyie mnaanzisha mjadala wakutengana, Tanzania visiwani,mombasa na Tanzania bara ni sehemu yenye waislaam wengi,kwanini tubaguane?
Ukiacha serikali Kwani walioanza kuongea huu mkataba ni nani. Maaskofu. Wakiongea mashehe mnadai wanaleta udini na wao wanyamaze basi hao maskafu na masheh watanyamaza tuachie serikali ifanya kazi yake msiipangie
Unae ushahidi wengi ndio wanaepinga tatizo ni udini na wakatolliki baadhi yao viongozi wanapitishaga makontena bila ushuru sasa wanaona DP WORD anachukuwa bandari hakuna tena kupitisha makontena bure na nakuhakikishia DP WORD anachukuwa Bandari na huo ukiritimba wakupitisha makontena bure umeisha
Wanapitishaje bila mamlaka.nani msimamizi hapo? Kosa ni la Wananchi au mamlaka inayohusika? Ni hatua gani zilizochukuliwa na mamlaka kukomesha hali hii? Ni wananchi tena.inaonekana kosa ni la mamlaka husika.ebu tufikiri tu
Mimi maoni yangu, mama asiwatie waislam lawamani, swala la bandari aliwache, wanaomshauri na kumsukumasukuma hawamshauri vizuri, wanautia lawamani uislam, au kama kuwekeza bandari wangeipa kampuni ya kizungu tu au ya kichina. Ukweli ni kwamba, wenzetu wanataka kuifanya tanzania ni ya wakristo, waislamu ni watu wa daraja la pili. Jambo litakalokubaliwa na wakristo ni sawa lifanyike, lakini wakilikataa wao ndio lisiwe. Mahakama ya kadhi kwa kua hawakutaka wao na halikuwa. Wanataka kuifanya tanzania waislamu hawana kauli, na hawataki ionekane hivyo kweny uwanja wa kimataifa. Hili si jambo la sawa.
Hawa makafiri(wakristo) wanaiharibu nchi sana kanisa ndo linajifanya kuisimamia kila serikali inayoshika hatamu kama kwamba hii nchi ni yao peke yao.hawa mbwa sana.Sheikh Mziwanda yupo sahihi sana.hawa waislamu wa leo na hasa wa tanganyika ni wajinga sana hebu amkeni nyinyi hawa makafiri watakulalieni siku moja na ujinga wenu. Kazi kucheka cheka ovyo.
Hapo unaposemema seriki inasaidiwa na kanisa katoliki umekoseya isipokuwa kanisa kstoliki linapendelewa na serikali munapewa zaidi ya bilioni 32 kwa mwaka tokeya mwaka 1992 rudiya gazeti la mwananchi la mwaka1992
@@shukurukoll7269 ni sawa kubadili sheria za nchi ili ziendane na mkataba? Ni sawa kusain mkataba usio na vipengere vya kuuvunja? Waislamu anzeni kupeleka watoto shule sio madrasa, mnapishana na dunia, mzungu sio ndugu wa mkristo wala mwarabu sio ndugu wa muislamu. Bandari zikibaki mikononi mwetu zitawasaidia watoto wetu sote, ila tunakoelekea zitawasaidia watoto wa waarabu na vizazi vyao kwa maana mkataba utaisha bahari ikikauka.
Shehe umesema kwel akikamatwa mkiristo hafiki wiki anaachiwa lakin akikamatwa shehe wataekwa miaka tele na waislam wanakaa kimya kazi yetu mungu yupo waislamu na sisi tuamke tuungane yakitokea mambo Kama hayo #
Tuko pamoja waislamu tuamke tushikamane ndivyo dini inavyotutaka هؤلاء يحبونهم ولا يحبونكم..... Hii ni Qur'ani inatuongoza hivi tukowapi sisi na kitabu chetu فالنجعل القرءان أمامنا لنهتدي به ولا نجعله في ظهورنا Tuijaalie Qur'ani mbele yetu ili tuongoke tuone tunapotakiwa kuhitajika kua Na tusiieke nyuma ya migongo yetu. Tutapotea
No is not well said,,,mimi ni muislamu nimesikiliza waraka wa wakatoliki hauna makosa wameongea vizuri tatizo la shekhe wetu ni chuki mbele na shule ndogo
Allah akutangulie kwa kila hatua Bwana mziwanda Akupe mwisho mwema Akupe umri mrefu uzidi kutuzindua maana hawa wakatoliki wanataka kutupeleka pabaya lakini inshaallah wataangamia waowa
Mnatujua vyema msijisahau sisi tushadiscus sanaaaa kuhusu mustakbala wa nchi hii na ndio wenye damu ya machafuko Ohoooo! Wenzunu sie HATUOGOPI KUFA sie kifo kwa ajili ya dini yetu ni IBADA
Kwa hili waislam Hawa wezi kusema kwani Kwa sasa robo3 ya viongozi walioko mdarakani Kwa sasa niwaislam Sasa wakristo wamegundua mtego wenu waislam, tuwaache wakristo waongee mungu awape njia zaidi 🙏
Nashukuru sana Sheikh unavyowaamsha Waislam, kujitambua , kupigania haki zao na kuongeza uchumi wao! Hili suala na kiuchumi waislamu wetu ni jambo la muhimu sana!
Sasa,shekhe unaushahidi ya kuwa katoliki ndoo wezi wa bandarini kama haya unayosema unaushahidi nayo basi vyombo vya dola ni kukukabiri uonyeshe ushahidi nankupandishwa kwenye vyombo vya dola ,pia shekhe kwani kuuzwa kwa bandari ndo kwa waislamu ,pia kuzungumzia katoliki ni utofu wa nidham kumbuka katoliki ndo wafadhiri wa kubwa wa serikali katika secta nyingi ,kama secta ya afya,Elimu, nk,hivyo wewe shekhe nani atakusikiliza ,kwanza una mchango gani wewe shekhe mziwanda ,pia hao waislamu wenzako kwanini hawa kusikilizi ,hao wenzako ni waelewa wanaona unaongea uchochezi,udini, kuligawa taifa,halafu unahamazisha vurugu , kwa kweli niwaombe waislamu wote niwaombe mumwepuke kama ugonjwabwa ukoma huyo mziwanda ni mchochezi ,kwanza mziwanda hana elimu haja soma ni maamma ,halafu unasema wasitukane hebu ingia kwenye mitandao uone baadhi ya waislamu wanavyo litukana kanisa ,halafu eti unasema dini yako inahimiza nidhamu ,upendo,Amani kwa hayo unayoongea ivi ndo ya Amani hayo au mbona akiri yako ndogo
Uko sawa sheikh ,tunalilia Amani hatutaki ushoga ,wakatoliki ndio wamehalisha ndoa za jinsia moja duniani ,wakianzia Roma ...Yani hata tukirudi enzi za machief hivyo vitu havikuwepo...
@@timeofjesusministries9611 hembu angalia habari za duniani papa ndio mtu wa Kwanza kuidhinisha ndoa za jinsia moja,ndio mana hatutaki kiongozi yoyote bongo atuletee huo ujinga,watalii wakija huko wanaharibu vijana wetu na wadogo zetu na vijana wetu ,kiongozi atakaepitisha hilo atatuharibia taifa kwa ujumla ,ndio point yangu ya msingi..
Huo sio waraka wa kwanza kwa maaskofu,maskofu wanatoa waraka kilalinapo tokea jambo la kutatanisha,watu wameuwawa hapa waislamu hawajaongea wataongea nini kwa unafiki
Yaan hawa huwa wanakurupuka,hivi hawajui TEC walikosoa kila kiongozi aliyekuwa madarakani wao wakiwa kimya tu,Magufuli kwenye kutokuvaa barakoa TEC walimkosoa,Mkapa kwenye ubinafsishaji wa airport TEC walimkosoa,Kikwete pia,Leo wameongea tena kwa data na facts kumkosoa Samia napo ni baada ya kuona serikali inaminya uhuru wa watu kuongea mnalalamika.TEC waliita waandishi wa habari muda wa kutoa Tamko lakini hakuna media yoyote kubwa iliyopost habari hizo ndo wakaamua tusomewe tamko nchi nzima makanisani of which is very right kabisaa na Taarifa imepenyaa Hadi huko vijijini chap na litasomwa kwa wiki nne mfululizo ili Kila muumini awe na taarifa
@@maulidkhamis4442 shida waislam hata wakipewa tende basi wanaridhika hawaangalii mbele.ccmwalivyo ona mambo magumu 2015 wakaweka kwenye ilani tutafanyia kazi mahakama ya kadhi baada ya hapo wali geuka Bado tunaurafiki na hii serikali tunajiongeza kweli,waislam wanatumika kwenye mapambano baada ya hapo wanakula wajanja sisi tunahubiri amani
Shekh huku mtaani kwa sasa tumegubikwa na wimbi la bandari. Kutaka kufafanuliwa zaidi ili kujua tunanufaika vp na mkataba huo na ukomo wa mkataba huo. Tena ni vyema ungekua na mkataba huo utuchambulie. Viongozi wa dini wa kiisalamu toeni walaka inapobidi kuhusiana na hili ili tujue umelizika na hili la bandari au laah. Maslahi ya taifa kwanza. Dini ni njia tu yenye muongozo kutokana na matakwa ya mungu kwa imani zetu. Please musituletee kutaka kutugawa kupitiaudini ktk hili. Tuambieni misimamo yenu ktk shwala la bandari.
Walitoa ufafanuzi gani zaidi ya kukataa tu mkataba. Waambie walete takwimu za Wanaopina mkataba. Kuhusu vipengele Tata serikali ilishatoa maelekezo ya kufanyika maboresho
ومن هم الكفار وبمن يكفرون؟ الكافر هو معارض وأكبر المدافعين عن يسوع المسيح هم الذين يرفضون ألوهيته وموته على الصليب وقيامته وصعوده إلى السماء. أولئك هم الكفار، أعاذنا الله منهم
Shekhe wetu mpendwa huu mkataba haufungamani na imani yenu maana hata sisi tuna ndugu wa imani ya kiislam.Lkn wapo waislam na wakristo wanaopinga baadhi ya vipengele Tunasikiliza hoja tunafanya maamuzi .Huu waraka ni ujumbe kwa serikali
Waraka haupingi tu vipengele, unataka mkataba ufutwe kabisa na wala si kurekebishwa hivyo vipengele wanavyodai vina kasoro! Hapa ni wazi kuna chuki dhidi ya wanaopewa mkataba na uongozi wa serikali uliopo kwa sasa!!
Kuhusu huo mkataba wanaopinga uwekezaji wanamaslahi binafsi. Kuna baadhi ya mathehebu wanamaslahi binafsi. Km kuna vipengele virekebishwe na usifutwe maana kuna upigaji sana bandarini.
Hili ni nchi ya ajabu kweli ,,kuna mikataba iliyofungwa kabla ya mkataba huu wa bandari ambayo ilikuwa mibovu na hivi sasa tunatakiwa tulipe penalti kwasababu ya kuivunja na imevunjwa na maccm ,,,kuhusu sheikh anazungumza kuingiza mizigo bila kulipiwa ushuru hilo si kosa LA watanzania ni kosa LA maccm ndio wanaoruhusu kupitisha miziigo bila kulipa ushuru ,,ccm mumeshindwa kuongoza nchi waachilieni wapinzani waongoze nchi ,nchi yote mumewauzia wageni kwa mikataba mibovu na hiii bandari munataka kuikodisha kwa mkataba mbovu sisi wananchi hatutaki,,,sheikh umetumwa na maccm ,usikubali kutumika sisi wananchi tunaakili timamu tushajifunza kwa mikataba iliyopita
W hujitambuli wengine wanapigania inchi nyie mnaleta udini au kwa vile anayepingwa ni mwarabu huwezi binafisha bandali za ziwani na inchi kavu nyie marofa wakubwa
Yaani muamshane kwa lipi ndugu zetu waislam,kwani ninyi waislamu ndio mnaopigia upatu mkataba wa bandari kisa ni mwarabu,je unajua kule liliodo baada ya kuhamishwa wamasai,ameingia mwarabu na eneo lile sio letu tena hata network sio ya tz?.msiamshane bila kujua mnaenda wapi amani tuliyo nayo ikipotea KURUDI ni ngumu,Kikwete enzi ya urais wake aliwafunga jera mashekhe wa uamsho miaka zaidi ya 6 bila hukumu,ivi imagini ndo angekuwa MAGUFULI ambaye ni mkristo afanye hivyo sijui nchi ingekuwa wapi,pia ukumbuke hata Hawa wakatoliki baadhi Yao walikuwa WANAMPINGA MAGUFULI.sasa mkisema muamshane pia mkumbuke kwama mnaamshana kwa lipi.mimi mkristo lakini ❤❤ Sana waislam lakini sio ktk hili la kuharibu amani tuliyo nayo kisa mwarabu ndy anayekuja KUIMILIKI bandari,hata hao maaskofu katka walaka wao hawajawataja waislamu hata chembe,ila namshangaa huyo shekhe mziwanda kuongea bila staha suala kama hili linaloweza kuipeleka nchi kuwa KISIWA Cha DAMU.
Kwani huu mkataba unahusiana na uislam!? Maana waraka ni ushauri kwa serikali kuhusu huo mkataba kwa lengo la kulinda amani ya nchi. Ushauri waweza upuuza au kuzingatia.uwekezaji sio mbaya ishu vipengele vinavyo lalamikiwa virekenishwe visikinzane na katiba.wakristu na waislam sisi ni ndugu msitugombanishe.Mungu ibariki Tanzania,🕌❤⛪🇹🇿
Mim sijakuelewa vizuli maana mkataba Hauna mwisho na unachotakiwa kupewa hakijulikani ,,tuwambie vizuli wew labuda unajua ni sh ngap na mwisho wa mkataba ni mwaka gan?
Mshikamano ukikosekana hayo yote lazima yatokee waislamu tubadilike umoja ni nguvu utengano ni udhaifu, ajabu wasiokuwa waislam tunawafanyia ihisani lakini sisi kazi kukosoana TU tukacha kubaguana sisi Kwa sisi tutafika mbali Sana!!
Wenzenu wamezungumzia mkataba mbovu, ni nanyie muelezee ubora wa mkataba watu waelewe, teteeni kwa hoja za mkataba tujue kama mkataba ni mzuri, mnaanza kutaja dini tena. Tuambieni uzuri wa mkataba na sio dini
Kwani waraka umepinga dini yako, sijakuelewa unapigia kelele Nini!!. Waraka ule ni juu ya kuhoji, kukosa na kushauri serikali juu ya mkataba unaoingiwa kati ya serikali na mwekezaji Sasa wewe unaumia na Nini. Labda kama unahoja za kujibu huo waraka basi zitoe sio kuleta udini. In short kama uwekezaji utakuwa na maslahi basi yatawahusu aidha watanzania wote pasipo kujali dini na wawekazaji na haitakuwa na maslahi kwenu peke yenu. Na kama utakuwa na hasara zitawahusu watz pasipo kujali dini na sio RC pekee. Hivyo ni vyema na busara waraka uliotolewa ukasikilizwa, ukajibiwa au ukatumika katika kujitahadharisha. Udini tuweke pembeni yanapokuja mambo ya kitaifa. Mie Sina dini kwanza mkileta udini mnanichanganya
ليس لها من دون الله كاشفة اللهم بحق هذه الآية الشريفة وما حوته من الأسرار المنيفة أن تصرف عن رئيسنا سمع بنت صلح شر الحساد و الظالمين والموذين والساحرين والباغين والسارقين وكل من كادها بالسوء من الجن و الشياطين والانس اللهم اردد كيدهم في نحورهم اللهم اشغلهم بشاغل لا يستطيعون رده اللهم شتت شملهم اللهم مزق جمعهم اللهم فل حدهم اللهم قل عددهم اللهم ارسل العذاب إليهم وصلى الله على سيدنا محمد وعلى اله وصحبه وسلم
Jsmbo hili sio.la.kidini hapa shekh zungumzia bandari Sasa ata mkimkodisha muarabu unaona ndio tutakua sawa uwekezaji mingapi shekhe lkn hali ngumu watu wanaangaika nyie mnatembeaa vijijin mmewaona watu wanavyo teseka kuweni na uruma niyie
Ufuta 3750 badala ya 1800, njungu 14000 badala ya 6000,mpunga shs 13000 badala ya 8000, mbaazi 2100 badala ya 300 Sasa ni Hali ngumu kushindwa wakati wa bei hizo za nyuma,tuseme ukweli tuacge chuki binafsi
Umeuliza kwa nini wakatoliki? Jibu ni wakatoliki ni waanzilishi wa elimu duniani, mfumo wa shule umeanzishwa na wakatoliki. Ni wasomi, kuwa padri mpaka uwe na degree, je shehe? TEC wamesema "sauti ya watu sio wewe umewakoti vibaya umesema sauti ya wengi. Usishindane na ukristo ndio dini ya kwanza hapa duniani. Uislam umekuja baada ya miaka 600 baada ya ukristo. Unaposema Uislam unapenda wakristo sio kweli soma quran 9: 5 kill disbelievers.
Innalillah wainna ilayhi rajiun, waislam wa Tanzania hatujitambui wengi miongoni mwetu ni waislamu wa kurithi, hatujitambui hata kidogo tumetawaliwa na hofu tunawahofu makafiri kuliko Allah. Tubadilike waislamu.
Upo sawa
Heko
We n mpumbavu uliekosa kufunzwa na mama ako nahs mama ako ndio kafiri
Angaza amani Allah atakujazi
Hapa tulipofikia mungu asiposimama Kuna hatari ya nchi hii kuingi kwenye vurugu we mwenyezi mungu tusaidie
Marhum ustadh Iman Petro, Mwenyezi Mungu amrehemu, aliweka wazi kuhusu kanisa katoliki. Wanapiga vita uislamu.
Natamani kama ungekuwa na huo mkataba utusomee na sisi Waislam tusiojua kingeleza tupate ufumbuzi ili tukiamka kutoka kwenye huo uoga tuwe na ushahidi wa kupigania uislaam wetu.
Ndugu zangu wakatoliki mnaotazama video kama hivi msirudishe neno ili kuulinda umoja cha muhimu tuwapende na mwisho wataelewa nia ye maaskofu ilio njema kama tukikaa kimya basi watatuelewa na hakutakuwa na uchochez wa kidini tena ndugu zetu waislam sisi ni ndugu kama walikosea basi nanyi toeni ushauri sisi tunataka lililo bora haijalishi limetoka kwa nani ndugu zetu tunasikitika mmetuelewa vibaya
Kwamba pakiuzwa Waislamu mnafaidika na nini or mkataba ukiendelea kama ulivyo, Waislamu watapoteza kitu gani na Wakristo hasa Wakatoliki watafaidika na nini? Bandari haina uhusiano na dini, ni upuuzi uliopitiliza kufikiria kwamba eti ili tuendelee lazima kila kitu kiuzwe, sasa tuligombania uhuru wa kazi gani? Namshukuru Mungu, watu waliokua wakisiliza wala hawakukupa kampani katika hili. Bandari ni ya Watanzania, sio ya Wakatoliki or ya Waislamu, hata wapagani inawahusu
Fadhili hongera sana kwa comment yako wewe ni mzalendo mwenye mtazamo chanya wa kiakili.
Hongera sana.
Usifanye watu wehu katoliki ni walaji wa zamani serekalini
Hujielewi wewe ni fadhili jina tu mlevi usiye Sali
Kwaiyo nahao waarabu wakiuziwa bandari mtanufaika Nini??nakama Kuna manufaa mbona bandari ya Zanzibar haijatiwa ktk huumkataba nawao ndio bandari yao ipo karibu na bara la huko arabu?na dini yetu ya uislam imeshikwa sana huko makanisa machache lakini mkataba wa mwarabu hawaja husishwa
Nikubaliane na ww kwamba bandari haihusiani na dini, je unawashauri Nini wakristo wenzio walotoa waraka?
Allahuma barik yaa shekh unajitahid waamshe waislamu wamelala unajitahid mungu akupe nguvu tumungeni mkona mashekh amkeni semeni na nyinyi ww kishki na wenzako semeni
Ukweli utabaki kuwa ukweli, ni vema kutetea masilahi ya wananchi wote na sio maslahi ya ya dini moja. Hongera sana baraza la maaskofu.
Acha uongo wanatetea jambo lao na sio wa Tz wanatumia uchochoro huo kutimiza malengo yao
Imani bila mpango ni bure imani uenda na vitendo ni kuomba duwa sana umoja uwepo na ukweli kwenye mambo ya maendeleo ni bora kutetea maendeleo ya taifa
Hawa jamaa wanasema Waislamu mazezeta!? Zezeta ni yule anatulazimisha tuamini 1+1+1=1(poor arithmetic).
@@ahmadmzoa74 Hivi Kwa nini tunashindwa kutumia wafadhili matajiri tulionao kujijengea Mahospitali ya rufaa vyuo vikuu vitega uchumi na mashule bora kama wenzetu.Huu si uzezeta??!
@@hashimchaoga9566we nae hujielewi,zezeta mwenyewe
Shehe sema kweli waislamu tumegeuka samaki aina ya pono
😂😂😂
😂😂
We unayesema shkh Hana shule Kwa kigezo kipi nyie ndo ambao mmmekosa akili mnatubu Kwa watawa badala ya mungu , acheni hapa hoja c bandari ni udini tuuuuu!!! Ninyi ndio cku zote mnajiti kimbelembele kwenye Kila jambo Sasa safari hii mmeyakanyaga kongole Kwa shkh salute!!!!!
Mashaallah hakika ktk wanaume kuna mume nawewe uko miongoni mwao shukrani sana Shekhe wetu pointi yangu niliyokuelewa zaidi nikwanini(KATOLIKI?)
Katoliki ni maisha
Naona hatari sana mbele
Ni km linageuzwa kidini
Nakukubali Sheikh wangu. Haki isemwe. Waislam bado tunajadili Maulid yanafaa au hayafai - tunatukanana.
maulidi ina kujaje sasa au una leta upuuzi hapa
Ww nawee maulid Na huku niwap nawap unazungumza nn
@@HabshyawadhiSalimu huyu ana penda ujinga ujinga
Acha uchochezi
Samahani jamani Mimi sijaelewa naomben mnisaidie, Masikofu wamepinga, mkataba mbovu, kwanini huyu shehe analalamika kwamba waislam tuamuke tutetee nchi yetu ote tuna haki, kwani kwani mkataba no wadini ya kislam au ni was Dubai.
from Kenya,namuelewa sana huyu sheikh,last month nlisoma nakala ya huko kwenu TZ,ati Kanisa la Lutheran wameanzisha Dispensary alafu inalaumu serikali ati wamecheleweshwa mishahara,sasa nkajiuliza hospital ya kanisa lakini wanalipwa na serikali ya tz,inakuaje aje wakati huo ni mpango wa makanisa? watu waamke kweli including us Kenya
Huku kwetu kuna mkataba wa serikali kuunga mkono juhudi za mashirika ya Dini kwenye idara ya Afya , kumbuka Hiyo Dispensary iko kwenye eneo ambalo hakuna huduma na Wananchi wote ni wanufaika ,mshahara haiungii kanisani analipwa mtumishi anayehudumia Watanzania wote ,shida iko wapi? Mashirika ya Dini yanaisaidia serikali kufanya majukumu yake ,hayo ni makubaliano yapo tu ,Taasisi yoyote ya Dini ikajenge Hospital vijijini itoe huduma bila ubaguzi kwa watu wote itapata baadhi ya nafuu kama hizo
For sure
@@oscarakepha8374 waislam hawakubaliki kufanya ivo kwa ubaguzi wa wakristo
Si Kenya si Tanzania kote Waislam tumelala tena ni aibu. Tunakazania tu kujenga misikiti madrasa na kujengewa visima. Wafadhiliatajiri Wa mafuta tunao na tunashindwa kuwatumia kujijengea mahospitali ya rufaa vyuo vikuu vitega uchumi na mashule bora yanayopasisha kama wenzetu. Afadhali Kenya mnajitahidi sana kutumia nafasi za kiislam katika elimu ya juu kwani nilisikia MNA wanafunzi wengi wamesoma na wanaosoma katika vyuo vikuu vilivyopo katika nchi za kiislam nafasi ambazo hutolewa na has a shirika LA dini likiziomba huku kwetu tuna Bakwata ambayo haina juhudi ya kuomba na kuzitafuta hizo scholarships na kuzitangaza .
Homeboy @@oscarakepha8374 nimekukubali. Nyayooo
MashaAllah,Alhamundulillah,SEMA shehe wangu😎😎😎💚💚💚💚💚💚💚
Tafadhali Viongzi wetu wa kidini tutambuwe majira yanayo faa tusiipeleke nchi shimoni kama mungu amewapa vipawa tumieni vipawa hivyo kwa kuleta Amani Kwa nchi yetu Waisilamu na wakatoriki wote tunamuomba Allah ya nini tuanze kuchochea udini vita ni mbaya sana Tafadhali tusifike huko
Wameanza katoriki
Mashee wangu wakati wote mpaka mnamaliza kutoa dawa hamtaji hata robo ya kifungu chochote chamkataba, lkn niwakumbushe uwe udini au siasa chanzo ni mkataba,.Mwenyezi Mungu awasaidie mkumbuke kunukuu na vifungu.mtatusaidia sana sana.
Mashekhe walikwisha taja zamani sana vifungu vinavyo hitajika marekebisho rejea hutuba ya shekh Ponda na hao Maskofu katika waraka wao hawakutaja kifungu hata chochote wao Wamesema uongo eti wataanzania wote wameukataa mkataba huo. Hilo ndilo liloleta tabu wao kama akina nani kuwasemea watanzania eti hawautaki mkataba😢 hapo ndipo kanisa katoliki linapoleta vurugu
Rejea waraka vimetajwa vifungu zaidi ya 8 acha uongo
Hawana elimu ya darasani
Hatuna haja ya kifungu. Kwani nyie makafiri hamsemi. Kazi yenu kusema eti bandari imeuzwa basi. Mbona hamtaji bei?
@@user-ki4sg8yz9j basi huo ndio ujinga wenu,maana mnapinga msichokijua,wengi wenu shule hakuna,mnabaki kusema kafiri kafiri kwenye mkataba kuna mambo ya dini yenu pale,washezi Sana mnachojua kufuga majini
Shekhe umeongea vizuri shida humu ktk comments watu vichwa sifuri
Kuna msamaha wa kid hapo ndio maana wanahof WANAFAIDIKA Sana nayo ndio MAANA wanapiga KELELE Sana
Mkisikia katolik mnasikia hasira ya kutapika,isomen hata misikitin wakina ney wameongea ukweli lakin hamtafut mnataj katolik peleken ujinga huko
@@aliemdogokwahiyo dini yenu ukweli wake upo kupitia wasanii
Masha Allah bab Allah akuhifadhi
Mwenyezi Mungu akulinde sheikh mziwanda
"Kama wao wametoa waraka usomwe makanisani ,na sisi sasa tutoe waraka tusome misikitini"... Sheikh Mziwanda.
Hapo sasa ndio waislamu wanapofeli ,kufanya jambo kama majibu kwa wakiristo wakatoliki ,badala yao kufanya mambo yao.
Waislam akili zenu za kupepwa, wale wametoa waraka wa kupinga uwekezaji wa milele usio na mwisho nyinyi mnatoanwalaka wa uislamu na bandali mnaakili kweli?
Wengne wanaongea juu ya bandari ww unaongea juu ya uiaslam pumbavu ww mdini mkubwa ww kama hutaki vaa bom
@@Hancymtembowe are conscious
Shekh wetu uko sawa kabisa
Kabisa shekh uko sawa 13:06 13:07
ASANTE SHEIKH ALLAH AZIDI KUKUPA NGUVU ZA KUUTETEA UISLAM TUNAWASIHI NA MASHEKHE WENGINE WAMUUNGE MKONO SHEKHE MZIWANDA WASIMUACHIE KILA KITU ASEME YEYE
Shida ni bwakwata kukaa mfukoni mwa ccm
sahihi sheikh mziwanda MASHAALLAH
Maaskofu level nyingine, wanaelimu ya kuchambua mambo na hakurupuki katika mambo yao. Yesu Kristo ndiyo mwenye nguvu. Imeenda hiyo.
😂😂😂 imeenda wapi??? Nini maana ya Pauline church.
Wapi wewe yesu kwetu sisi waislam ni nabii hana zaidi ya cheo icho ipo siku mtaenda kueleza kwanini mlikuwa mnamwita mungu inshaalwah wakristo hawana elimu zaidi ya waislamu waislamu ndiyo bunadamu wenye hekma zaidi duni8
Ngoja Sasa tukianza kuwachinja ndo mtajua
Wewe mwenyewe umekashifu. Aisee, kweli wewe kichwani hamnazo
Ww pia mbofuuu
Acha lugha chafu ya kuwatukana viongozi wa dini
Ndio dini yenu inavyowalea kutusi viongozi
Muogope mwenyezi Mungu, mtume hakuyaishi haya unayoyahubili.itukuze misingi ya mtume kwa kueleza yaliyo mema kiongozi wangu
Tulia mwache aseme
Kwenye dunia iliyobadilika kunahaja ya kuendana na mabadiliko mema na sio maovu. Leo ukisema mtume hakuzungumzia hayo unakosea sana na utapotea ndg yetu.
Habari za leo
Hakika Mungu aendelee kulipigania Taifa hili swala hili la Bandari limechukua sura ya dini ya viongozi wanavyolichambua na tumeshindwa kusikiliza hoja za maendeleo ya bandari yetu na tumegeuza mjadala huu juu ya nani kasema nini na je yule ni wa dini yangu au sio.Niwaombe watanzania mjadala huu tuuendee tukiwa na akili zetu na kumuomba mwenyezi mungu juu ya hekima na busara.Leo kuna mambo mapya yataibuka na hata bandari ni sehemu 1 ya nchi yetu lakini Amani yetu , Uzalendo wetu , Utu wetu umejengwa kwa wazee wetu kujitoa na kuiwekea nchi hii misingi ya utulivu.
Upendo utawale .Amini
Nakupenda sana Sheikh Mziwanda uko Modern sana lakini kikubwa kinachonivutia kwake haogopi kusema as long ni ukweli tu.
Achana na hao kina Walid tangu zamani wako vuguvugu na sasa hivi ndio amemezwa na mfumo kabisa kucheka cheka tu mbele za watu.
Basi shule mlibaniwa hata kusema ukweli tu bado mpaka leo mnafundisha kuoga janaba tu
kazi tunayo
Ni wakati pia ya kuoji muungano wa Tanganyika na zanzibar Kama ni muungano tuwe na rais moja wa Tanzania bendera moja nchi moja katiba moja Zanzibar ilishajitenga, lina katiba yake, rais wake, bendera yake , mipaka yake na majeshi yake, na bado wananufaika na kumiliki ardhi ya bara ambayo siyo sehemu ya muungano huku watanganyika hawaruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar hivyo wazibari wasiongeleh ubaguzi pale watanganyika wanapoibua hoja ya kero ya muungano hoja za watanganyika zisibezwe hata kidogo au kuzikejeli tunaitaji Tanganyika yenye katiba yake, bendera yake, nembo yake, mipaka yake, rais wake, bunge lake na serekali yake itayosimamia maswala yasiyo ya muungano kama ilivyo kwa Serekali ya mapinduzi ili muungano uwe wa usawa kwa pande mbili siyo sawa rais wa muungano ndiye rais watanganyika
sie wazanzibar tunataka hata kesho mjitenge watanganyika, sijui nani aliemshikilia mwenzake😂
Watupatie Zanzibar yetu tufanye mambo yetu
Mbona wazanzibar miaka yote wanadai znz yao au ww umeacha kunyonya juzi nyie ndo mudai tanganyika sio wazanzibar wadai znz yao mzanzibar akizaliwa leo kesho akiulizwa atasema hataki huu muungano
Tusiwe viziwi,kama wewe ni muislaam huwezi kuandika mambo ya kujitenga,shekh anahimiza waislaam tushikamane nyie mnaanzisha mjadala wakutengana, Tanzania visiwani,mombasa na Tanzania bara ni sehemu yenye waislaam wengi,kwanini tubaguane?
Watanganyika wapo wengi wanaomiliki ardhi wengi Sana usiseme jambo usilolijuwa
Maneno haya ni hatari sana kwa mtu wa Mungu, Lakini hakusemwa mwislamu kwenye walaka au nilisikia vibaya
Inalilah wainailah rajiiun,uko sawa shekh
Shehe mdomo ni mali yako unautumia utakavyo.
Pamoja shekh watajua hawajui pamoja sana
Kwenyi hili tusilete udini tujadili mkataba na tujibu hoja za mkataba huu udini tunataka tuhamishwe kwenye leri
@@leonardgalila3032nyie ndio mmeanza
Mnachanganya mambo haya na dini.mkataba huu unapingwa na wananchi kwa mapungufu yake na maslai makuu ya wananchi ya Tanzania.hapa hakuna dini.😊
Wwe unapambana na waisilamu ?
Ukiacha serikali Kwani walioanza kuongea huu mkataba ni nani. Maaskofu. Wakiongea mashehe mnadai wanaleta udini na wao wanyamaze basi hao maskafu na masheh watanyamaza tuachie serikali ifanya kazi yake msiipangie
Wameanza katoriki
Unae ushahidi wengi ndio wanaepinga tatizo ni udini na wakatolliki baadhi yao viongozi wanapitishaga makontena bila ushuru sasa wanaona DP WORD anachukuwa bandari hakuna tena kupitisha makontena bure na nakuhakikishia DP WORD anachukuwa Bandari na huo ukiritimba wakupitisha makontena bure umeisha
Wanapitishaje bila mamlaka.nani msimamizi hapo? Kosa ni la Wananchi au mamlaka inayohusika? Ni hatua gani zilizochukuliwa na mamlaka kukomesha hali hii? Ni wananchi tena.inaonekana kosa ni la mamlaka husika.ebu tufikiri tu
MashaAllah,Shekhe Allah Akupe Kher,Wamezoe Hao Maskofu Kuongea Pumbaa, Tushkamane Waislam Tuwe Ktu kmoja,
ushikamane kufanya nini Sasa ,wewe mwehu kabisa
@@mathiasbukombe3543kwani we ni muislam, haikuhusu
Maashallah Allah akulinde udini wameuanza kina tundulisu na wenzake
Allah akuhifadhi shehe wetu
Kilichoongelewa ni bandali dini limetoka wp shekhe acha ushenzi nanyie nendeni nahoja zenu kwanza ww umesomea ndini sioshelia 😊😊 12:48
Knowledge is power ignorance is weakness
Maaskofu mafilosofia
🤣🤣🤣🤣
Mimi maoni yangu, mama asiwatie waislam lawamani, swala la bandari aliwache, wanaomshauri na kumsukumasukuma hawamshauri vizuri, wanautia lawamani uislam, au kama kuwekeza bandari wangeipa kampuni ya kizungu tu au ya kichina.
Ukweli ni kwamba, wenzetu wanataka kuifanya tanzania ni ya wakristo, waislamu ni watu wa daraja la pili. Jambo litakalokubaliwa na wakristo ni sawa lifanyike, lakini wakilikataa wao ndio lisiwe. Mahakama ya kadhi kwa kua hawakutaka wao na halikuwa. Wanataka kuifanya tanzania waislamu hawana kauli, na hawataki ionekane hivyo kweny uwanja wa kimataifa. Hili si jambo la sawa.
wengine tukisema mtatuona tuanawabagua acha ninyamaze lakin tambuweni ninyi ndio mnaanza kutubagua sawa
MaashaAllah Sheikh Wangu Mungu Akuzidishie Na Akulinde Dhidi Ya Fitna Za Hao Uliowapigilia Misumari
Aje na vifungu vya mkataba siyo story ubwabwa😂😂
Hawa makafiri(wakristo) wanaiharibu nchi sana kanisa ndo linajifanya kuisimamia kila serikali inayoshika hatamu kama kwamba hii nchi ni yao peke yao.hawa mbwa sana.Sheikh Mziwanda yupo sahihi sana.hawa waislamu wa leo na hasa wa tanganyika ni wajinga sana hebu amkeni nyinyi hawa makafiri watakulalieni siku moja na ujinga wenu. Kazi kucheka cheka ovyo.
Weee jionee huruma kwanza ,kabla yakumpongeza huyo shehe wako soma mkataba huo acheni ujinga naudini wakimasikini ,,,wale maaskofu wamesoma kuliko hao mbuzi wenu wawili samia na kikwete ,,,bandari siyo juzuu wewe niusalama wanchi,,,
Hapo unaposemema seriki inasaidiwa na kanisa katoliki umekoseya isipokuwa kanisa kstoliki linapendelewa na serikali munapewa zaidi ya bilioni 32 kwa mwaka tokeya mwaka 1992 rudiya gazeti la mwananchi la mwaka1992
@@julianamasunga3458Kama unaweza kutukana viongozi wako wewe wa Nini Sasa hata adabu ya kunywea maji huna
Maashaallah Sheikh mziwanda ALLAH Akuhifadhi. Watu wamepandikizwa chuki sanaa tunaunga mkono uwekezaji wa bandari kutoka kwa dubai
Wenzenu hawajamtaja shehe hamnasela
@@roseyohana3500na wamesimama Kama kinanani?
Unapoteza Muda tu, na uchochezi wako.
ManshaaAlla Allah akuhifadhi shek wetu
Kwa kusapoti ujinga maodari kweli.pelekeni watoto shule sio kupeleka madrasa😂😂😂
Allah akufanyie wepesii sheikh tusichoche itikadii zakidini walaah tusiongele swalaa la kuingiza dinii ongelea swala la mkabaa usiweke uchochezi wakidinii
Narrow knowledge is a very dangerous knowledge.
Who is having narrow knowledge. The time has come really Muslims should wake up.
@@shukurukoll7269 ni sawa kubadili sheria za nchi ili ziendane na mkataba? Ni sawa kusain mkataba usio na vipengere vya kuuvunja?
Waislamu anzeni kupeleka watoto shule sio madrasa, mnapishana na dunia, mzungu sio ndugu wa mkristo wala mwarabu sio ndugu wa muislamu.
Bandari zikibaki mikononi mwetu zitawasaidia watoto wetu sote, ila tunakoelekea zitawasaidia watoto wa waarabu na vizazi vyao kwa maana mkataba utaisha bahari ikikauka.
Sheikh muharram umeongea jambo la msingi sana hii dawa TEC itakuwa imewaingia vizuri sana
Who has the mandate to count it! Stupid
We ndo una elimu ndogo
Amani iwe juu yako sheikh mziwanda Allaah akuteremshie jeshi la ulinzi, yaarabbi tunakuomba umlinde huyu sheikh
Huyu ni bwege sana
Allah akuongoze sheikh mziwanda
Watoleeni wakala miskitini watu au hamna elimu.kama tunavyo ambiwa
Shehe umesema kwel akikamatwa mkiristo hafiki wiki anaachiwa lakin akikamatwa shehe wataekwa miaka tele na waislam wanakaa kimya kazi yetu mungu yupo waislamu na sisi tuamke tuungane yakitokea mambo Kama hayo #
Tuko pamoja waislamu tuamke tushikamane ndivyo dini inavyotutaka
هؤلاء يحبونهم ولا يحبونكم.....
Hii ni Qur'ani inatuongoza hivi tukowapi sisi na kitabu chetu
فالنجعل القرءان أمامنا لنهتدي به ولا نجعله في ظهورنا
Tuijaalie Qur'ani mbele yetu ili tuongoke tuone tunapotakiwa kuhitajika kua
Na tusiieke nyuma ya migongo yetu.
Tutapotea
Mshikamane kuwasaport wanasiasa kuhusu uchafu wa mkataba au kusema ukweli juu ya udhaifu wa mkataba???
Shekh ongelea mkataba unasemaje?umeusoma na kujua mapungufu yaliyomo?
@@CharlesLeoMgayakupinga udini
@@RamadhanMwijage-ul2kjsio kazi yake
Well said ❤ Maashaa Allah
No is not well said,,,mimi ni muislamu nimesikiliza waraka wa wakatoliki hauna makosa wameongea vizuri tatizo la shekhe wetu ni chuki mbele na shule ndogo
@@shabanipanya1033 sawa shule nyingi.. hongera yako
@@shabanipanya1033Yani ukisikia mtu anaanza na neno Mimi ni muislam, hakuna kitu hapo,mchongo mtupu
Mashaallah masheikh watoeni tongotongo waislam ni waoga hawajitambui, sasa umefika wakati wa kujitambua
Allah akutangulie kwa kila hatua Bwana mziwanda Akupe mwisho mwema Akupe umri mrefu uzidi kutuzindua maana hawa wakatoliki wanataka kutupeleka pabaya lakini inshaallah wataangamia waowa
Wewe ni fala wa mwisho Kanisa Katoliki juuuu???? Washambaaaa!!!!!!!
@@angelsulle7177acha matusi
Toeni na nyie tamko sio kudiscuss matamko ya watu wengine
Usitufundishe jinsi ya kusema
Mnatujua vyema msijisahau sisi tushadiscus sanaaaa kuhusu mustakbala wa nchi hii na ndio wenye damu ya machafuko Ohoooo! Wenzunu sie HATUOGOPI KUFA sie kifo kwa ajili ya dini yetu ni IBADA
@@sheikhwalidalhadtv2950wewe mjinga kweli yaani umwage damu kwa ajili ya waarabu? Dini yenu imekaa kiwizi Sana..
Hapo sasa wangenyoka na Yao wanautaka mkataba au hawautaki na sababu zao wao kudakia ya watu
Ndio Hilo tamko lishatolewa😂😂😂
mama samia piga kazi umewakomesha majambazi
Walewale wezi wa mali za taifa..
Usiwatetee waovu.. Amin dunian hapa s kwe2 n njia tu ya kmrdia Muumba we2..
Naomba Mungu akulinde
Kwa hili waislam Hawa wezi kusema kwani Kwa sasa robo3 ya viongozi walioko mdarakani Kwa sasa niwaislam Sasa wakristo wamegundua mtego wenu waislam, tuwaache wakristo waongee mungu awape njia zaidi 🙏
Tuombe duwa jamani nyakati za mwisho tuombe rehema Tanzania
tumeomba sana ni kuamka na kupambana
Nashukuru sana Sheikh unavyowaamsha Waislam, kujitambua , kupigania haki zao na kuongeza uchumi wao! Hili suala na kiuchumi waislamu wetu ni jambo la muhimu sana!
Kwan hapo umepingwa mkataba au waislamu RC sio Mara moja kutoa waraka ata kipind Cha maguful walishatoa waraka kua nchii iongozwe kwa democracy
Tunahitaji hospital ya Kanda ya kaskazin ijengwe Arusha tuachane na KCMC na hospital ya Kanda ya ziwa ijengwe mwanza tuachane na Bugando zilipe Kodi
Mashallah Allah akulipe kheri
Hongera sana shekh...tunakuombea kila la kheri shekh...!!!
Sasa,shekhe unaushahidi ya kuwa katoliki ndoo wezi wa bandarini kama haya unayosema unaushahidi nayo basi vyombo vya dola ni kukukabiri uonyeshe ushahidi nankupandishwa kwenye vyombo vya dola ,pia shekhe kwani kuuzwa kwa bandari ndo kwa waislamu ,pia kuzungumzia katoliki ni utofu wa nidham kumbuka katoliki ndo wafadhiri wa kubwa wa serikali katika secta nyingi ,kama secta ya afya,Elimu, nk,hivyo wewe shekhe nani atakusikiliza ,kwanza una mchango gani wewe shekhe mziwanda ,pia hao waislamu wenzako kwanini hawa kusikilizi ,hao wenzako ni waelewa wanaona unaongea uchochezi,udini, kuligawa taifa,halafu unahamazisha vurugu , kwa kweli niwaombe waislamu wote niwaombe mumwepuke kama ugonjwabwa ukoma huyo mziwanda ni mchochezi ,kwanza mziwanda hana elimu haja soma ni maamma ,halafu unasema wasitukane hebu ingia kwenye mitandao uone baadhi ya waislamu wanavyo litukana kanisa ,halafu eti unasema dini yako inahimiza nidhamu ,upendo,Amani kwa hayo unayoongea ivi ndo ya Amani hayo au mbona akiri yako ndogo
Na wewe nani kwani kujifanya unajua mambo ya bandary? Mjinga kabisa wewe mpuuzi mkubwa nenda huko
Katoliki wezi ndio maana wanaupinga mkataba hawatoweza kupitisha mambo yao maovu kwa kinyemela janja janja haitokuepo tena
Duu gazeti
Anaongea vitu hata havihusiani ..ujingaujinga tu anakata udini kwenye mambo ya msingi
Kama nyinyi mna mchango pesa mnatoa wapi waislam pia ksma shule tunayo uwezo kama vyuo pia tunayo ila ش 11:53 "
Shule ni muhimu sana kwa kweli.
Msingi wa elimu za wazungu ni wizi,unyonyaji, ubaguzi,ubinafsi...na kauli zenu zinafanana hivohivo
Walio muombea Dua Nyerere,,Mkapa na MAGUFULI hao wanatakiwa kufanya Toba kwa ALLAH 🙏
Duuu kazi IPO ..shida ni kuwa mjinga na mshamba...hivi mkristu kumwombea muislam ni dhambi..kaz ipo
Uko sawa sheikh ,tunalilia Amani hatutaki ushoga ,wakatoliki ndio wamehalisha ndoa za jinsia moja duniani ,wakianzia Roma ...Yani hata tukirudi enzi za machief hivyo vitu havikuwepo...
Unachoongea ni kweli?
Yule askari wa zanzibar ni mkatoliki?
@@timeofjesusministries9611 hembu angalia habari za duniani papa ndio mtu wa Kwanza kuidhinisha ndoa za jinsia moja,ndio mana hatutaki kiongozi yoyote bongo atuletee huo ujinga,watalii wakija huko wanaharibu vijana wetu na wadogo zetu na vijana wetu ,kiongozi atakaepitisha hilo atatuharibia taifa kwa ujumla ,ndio point yangu ya msingi..
@@timeofjesusministries9611amefuata propaganda za kikatoriki(lgbtq)
Mungu akusamehe kwa kuwa haujui usemalo.
MashAllah, umesema kweli,hakika ukweli unauma
Naaaam sheikh swadaqta washatuzoea Hawa wanajiona wao ni bora kuliko wengine wote.
Allah akupe mazur sheikh mziwanda
Huo sio waraka wa kwanza kwa maaskofu,maskofu wanatoa waraka kilalinapo tokea jambo la kutatanisha,watu wameuwawa hapa waislamu hawajaongea wataongea nini kwa unafiki
Yaan hawa huwa wanakurupuka,hivi hawajui TEC walikosoa kila kiongozi aliyekuwa madarakani wao wakiwa kimya tu,Magufuli kwenye kutokuvaa barakoa TEC walimkosoa,Mkapa kwenye ubinafsishaji wa airport TEC walimkosoa,Kikwete pia,Leo wameongea tena kwa data na facts kumkosoa Samia napo ni baada ya kuona serikali inaminya uhuru wa watu kuongea mnalalamika.TEC waliita waandishi wa habari muda wa kutoa Tamko lakini hakuna media yoyote kubwa iliyopost habari hizo ndo wakaamua tusomewe tamko nchi nzima makanisani of which is very right kabisaa na Taarifa imepenyaa Hadi huko vijijini chap na litasomwa kwa wiki nne mfululizo ili Kila muumini awe na taarifa
Hakuna hata waraka mmoja uliotoka ukasomwa nchi nzima baada ya huu ni udini wa wazi wazi
Hakuna udini waislam tuamke acheni fikra mbovu hakuna Alie taja uislam vitahii ni ya ukoloni mamboleo
@@musachongowe1695 wewe huwajui hawa jamaa wadini mno aliyepita aliua democrs ila haukutoka waraka ulioambowa usomwe makanisa yote
@@maulidkhamis4442 shida waislam hata wakipewa tende basi wanaridhika hawaangalii mbele.ccmwalivyo ona mambo magumu 2015 wakaweka kwenye ilani tutafanyia kazi mahakama ya kadhi baada ya hapo wali geuka Bado tunaurafiki na hii serikali tunajiongeza kweli,waislam wanatumika kwenye mapambano baada ya hapo wanakula wajanja sisi tunahubiri amani
Shule ni muhimu sana aisee, watu wanaongelea partmanent sovereignty ndio haitakiwa kwenye mkatana ww unaleta udini.
Mnatafuta pa kujifichia yaliyo ndani ya mioyo yenu ni makubwa sana kuliko mnayotuonesha muache Sheikh aseme
Fikiria kutumia utumbo
Safi sana shekh Hawa maaskofu wanahisi nchi ni Yao wameshaona upole wa waislam kama magoigoi.
ALLAH amuhifadhi Sheikh letu
Shekh huku mtaani kwa sasa tumegubikwa na wimbi la bandari.
Kutaka kufafanuliwa zaidi ili kujua tunanufaika vp na mkataba huo na ukomo wa mkataba huo.
Tena ni vyema ungekua na mkataba huo utuchambulie.
Viongozi wa dini wa kiisalamu toeni walaka inapobidi kuhusiana na hili ili tujue umelizika na hili la bandari au laah.
Maslahi ya taifa kwanza.
Dini ni njia tu yenye muongozo kutokana na matakwa ya mungu kwa imani zetu.
Please musituletee kutaka kutugawa kupitiaudini ktk hili.
Tuambieni misimamo yenu ktk shwala la bandari.
Very good ideas, udini tupakule ,wasome MIKATABA 36 yote iliosainiwa baada tu ya JPM kufa,majizi sio poa
Njooni na ufafanuzi kama wakatholic
Ukatholic ndio nini
Tuondoleeni ukatoliki wenu mwapenda kula kilaini sana
ngoja wote tupambane mnapenda kugamia serekali sana nyinyi wakiristo
We Kama Nani
Waje na fact cio kuonge afu maaskofu hawajawataka waislam bhn wametaja xababu xxa kupinga mkataba na xio vinginevyo lakn sheikh yuko bize kutamka kula tuuuu hahha hatari
Walitoa ufafanuzi gani zaidi ya kukataa tu mkataba. Waambie walete takwimu za Wanaopina mkataba. Kuhusu vipengele Tata serikali ilishatoa maelekezo ya kufanyika maboresho
@@jescakahabi10Kuna mengi huyajui dadangu. The hammer doesn't remember the pain, but the nail will always remember
ربنا لا تجعلنا فتنة للقوم الظالمين ونجنا برحمتك من القوم الكافرين
Safi Islamic is power wald
ومن هم الكفار وبمن يكفرون؟ الكافر هو معارض وأكبر المدافعين عن يسوع المسيح هم الذين يرفضون ألوهيته وموته على الصليب وقيامته وصعوده إلى السماء. أولئك هم الكفار، أعاذنا الله منهم
Fact Sheikh uko sawa kabsaa 100%
Shekh wape ukweli wameila sana nchi nchi yetu wote
Kweli sheikh ,kilichobakia ss na sisi waislamu tuwe na msimamo mmoja tuckubali Hawa makafiri kuharibu nchi💪💪💪
Nyie mnanchi gani wapuuzi nyie? Tena msilete ujinga na kama hamtaki nendeni Zanzibar.
@@AliMahmoud-tj2jbMakafiri ni wale wanaouza bandari yetu
Madalali wa kuuza bandari Sasa uislam na bandari vina uhusiano gani
Chuki hizo wamekulaje ni awamu ipi ya dini zinaliwa
الحق يقال،حفظك آل
Aisee,ipo kazi,mungu tusimamie
Shekhe wetu mpendwa huu mkataba haufungamani na imani yenu maana hata sisi tuna ndugu wa imani ya kiislam.Lkn wapo waislam na wakristo wanaopinga baadhi ya vipengele Tunasikiliza hoja tunafanya maamuzi .Huu waraka ni ujumbe kwa serikali
Waraka haupingi tu vipengele, unataka mkataba ufutwe kabisa na wala si kurekebishwa hivyo vipengele wanavyodai vina kasoro! Hapa ni wazi kuna chuki dhidi ya wanaopewa mkataba na uongozi wa serikali uliopo kwa sasa!!
Kuhusu huo mkataba wanaopinga uwekezaji wanamaslahi binafsi.
Kuna baadhi ya mathehebu wanamaslahi binafsi.
Km kuna vipengele virekebishwe na usifutwe maana kuna upigaji sana bandarini.
Hili ni nchi ya ajabu kweli ,,kuna mikataba iliyofungwa kabla ya mkataba huu wa bandari ambayo ilikuwa mibovu na hivi sasa tunatakiwa tulipe penalti kwasababu ya kuivunja na imevunjwa na maccm ,,,kuhusu sheikh anazungumza kuingiza mizigo bila kulipiwa ushuru hilo si kosa LA watanzania ni kosa LA maccm ndio wanaoruhusu kupitisha miziigo bila kulipa ushuru ,,ccm mumeshindwa kuongoza nchi waachilieni wapinzani waongoze nchi ,nchi yote mumewauzia wageni kwa mikataba mibovu na hiii bandari munataka kuikodisha kwa mkataba mbovu sisi wananchi hatutaki,,,sheikh umetumwa na maccm ,usikubali kutumika sisi wananchi tunaakili timamu tushajifunza kwa mikataba iliyopita
MUNGU AKUBARIKI SANA
Wewe shehe umeramba asali Ludi nyuma wewe si mtanzania ndiomana unaipigania Dpwd
Shekhe umeongea maneno ya maana.Shukran.
W hujitambuli wengine wanapigania inchi nyie mnaleta udini au kwa vile anayepingwa ni mwarabu huwezi binafisha bandali za ziwani na inchi kavu nyie marofa wakubwa
Safi sana sheikh wamshe waisilam tumelala sana
Yaani muamshane kwa lipi ndugu zetu waislam,kwani ninyi waislamu ndio mnaopigia upatu mkataba wa bandari kisa ni mwarabu,je unajua kule liliodo baada ya kuhamishwa wamasai,ameingia mwarabu na eneo lile sio letu tena hata network sio ya tz?.msiamshane bila kujua mnaenda wapi amani tuliyo nayo ikipotea KURUDI ni ngumu,Kikwete enzi ya urais wake aliwafunga jera mashekhe wa uamsho miaka zaidi ya 6 bila hukumu,ivi imagini ndo angekuwa MAGUFULI ambaye ni mkristo afanye hivyo sijui nchi ingekuwa wapi,pia ukumbuke hata Hawa wakatoliki baadhi Yao walikuwa WANAMPINGA MAGUFULI.sasa mkisema muamshane pia mkumbuke kwama mnaamshana kwa lipi.mimi mkristo lakini ❤❤ Sana waislam lakini sio ktk hili la kuharibu amani tuliyo nayo kisa mwarabu ndy anayekuja KUIMILIKI bandari,hata hao maaskofu katka walaka wao hawajawataja waislamu hata chembe,ila namshangaa huyo shekhe mziwanda kuongea bila staha suala kama hili linaloweza kuipeleka nchi kuwa KISIWA Cha DAMU.
Waislamu tuamke haya mambo yanaumiza sana ila wapo waislamu wengine hawapo huku wala kule
Pambaneni akuna neno udini hapo kaeni mtoe waraka na ninyi watu wausome
Msitupangie
Tunausubir tamko la barazakuu la waislam TZ
Tamko gani?
Usipotoshe waislam mkataba mbovu
Mkataba ni mbovuuuuu
@@abdulhussein7774we nae ni muislam?
Kwani huu mkataba unahusiana na uislam!? Maana waraka ni ushauri kwa serikali kuhusu huo mkataba kwa lengo la kulinda amani ya nchi. Ushauri waweza upuuza au kuzingatia.uwekezaji sio mbaya ishu vipengele vinavyo lalamikiwa virekenishwe visikinzane na katiba.wakristu na waislam sisi ni ndugu msitugombanishe.Mungu ibariki Tanzania,🕌❤⛪🇹🇿
Dah ❤
Mim sijakuelewa vizuli maana mkataba Hauna mwisho na unachotakiwa kupewa hakijulikani ,,tuwambie vizuli wew labuda unajua ni sh ngap na mwisho wa mkataba ni mwaka gan?
Shukrani kaka Mziwanda Hakika Umesema Maneno Leo
MASHA ALLAH 🇰🇪💚💚💚
Kweri
Daa mungu tusaidie
Mshikamano ukikosekana hayo yote lazima yatokee waislamu tubadilike umoja ni nguvu utengano ni udhaifu, ajabu wasiokuwa waislam tunawafanyia ihisani lakini sisi kazi kukosoana TU tukacha kubaguana sisi Kwa sisi tutafika mbali Sana!!
Hakika
Huyu shehe ana udini sana kuliko uzarendo
Kachanjwa huyo😂 matokeo hayo
Bora huyu msema kweli, kuliko maaskofu wanaojificha kwenye uzalendo kumbe wanafiki wana UDINI na roho mbaya kuliko IBILISI
Subiriii ujibiwe
Unataka waislam wanyamaze Tu muwapande kichwani hii nchi ya dini zote kwann akandamizwe mmoja tu
Uzalindo nininii???
Shekh hujitambui hata kidogo 😢
Unao waraka hapo?? 😀 😀
Ww pia
Wewe unajitambua? 😂😂😂
allah akubariki
Wenzenu wamezungumzia mkataba mbovu, ni nanyie muelezee ubora wa mkataba watu waelewe, teteeni kwa hoja za mkataba tujue kama mkataba ni mzuri, mnaanza kutaja dini tena. Tuambieni uzuri wa mkataba na sio dini
Kwani waraka umepinga dini yako, sijakuelewa unapigia kelele Nini!!. Waraka ule ni juu ya kuhoji, kukosa na kushauri serikali juu ya mkataba unaoingiwa kati ya serikali na mwekezaji Sasa wewe unaumia na Nini. Labda kama unahoja za kujibu huo waraka basi zitoe sio kuleta udini. In short kama uwekezaji utakuwa na maslahi basi yatawahusu aidha watanzania wote pasipo kujali dini na wawekazaji na haitakuwa na maslahi kwenu peke yenu. Na kama utakuwa na hasara zitawahusu watz pasipo kujali dini na sio RC pekee. Hivyo ni vyema na busara waraka uliotolewa ukasikilizwa, ukajibiwa au ukatumika katika kujitahadharisha. Udini tuweke pembeni yanapokuja mambo ya kitaifa. Mie Sina dini kwanza mkileta udini mnanichanganya
Bado hujasema
Yo anasababu naislamu wenziye siunaona anavyo waambia alishambuliwa sijui alishambuliwa nanini anajua yeye anasema waislamu hawakumsaidia kama hawakukusadia wakatoliki wanaingiaje hapo kama unata misaada yakatoliki mbona ikowazi wakatoliki siyo wachoyo sema usaidiwe siyo kuongea maneno hata hayaeleweki katoliki wamachungu nataifa wewenae unaleta udini hata wenzako wanakushangaa hawakuelewi unakuwa kama unampigia mbuzi kirtaa acheze haya weebwabwaja sasa labda hauna kaziyakufanya
ليس لها من دون الله كاشفة اللهم بحق هذه الآية الشريفة وما حوته من الأسرار المنيفة أن تصرف عن رئيسنا سمع بنت صلح شر الحساد و الظالمين والموذين والساحرين والباغين والسارقين وكل من كادها بالسوء من الجن و الشياطين والانس اللهم اردد كيدهم في نحورهم اللهم اشغلهم بشاغل لا يستطيعون رده اللهم شتت شملهم اللهم مزق جمعهم اللهم فل حدهم اللهم قل عددهم اللهم ارسل العذاب إليهم وصلى الله على سيدنا محمد وعلى اله وصحبه وسلم
allahuma amiin
اللهم آمين
Vibaraka nyie masheee haoa sosi bandar lkn hattaki muwekezaji mm muislamu.lkn sitaki
Jsmbo hili sio.la.kidini hapa shekh zungumzia bandari Sasa ata mkimkodisha muarabu unaona ndio tutakua sawa uwekezaji mingapi shekhe lkn hali ngumu watu wanaangaika nyie mnatembeaa vijijin mmewaona watu wanavyo teseka kuweni na uruma niyie
Ufuta 3750 badala ya 1800, njungu 14000 badala ya 6000,mpunga shs 13000 badala ya 8000, mbaazi 2100 badala ya 300 Sasa ni Hali ngumu kushindwa wakati wa bei hizo za nyuma,tuseme ukweli tuacge chuki binafsi
Sheikhe uko sawa kabisa yaani hayo makristo yanataka mikataba iwe Kwa wazungu tu lakini Kwa mwarabu hafai ni wakuda saana
Umeuliza kwa nini wakatoliki? Jibu ni wakatoliki ni waanzilishi wa elimu duniani, mfumo wa shule umeanzishwa na wakatoliki. Ni wasomi, kuwa padri mpaka uwe na degree, je shehe? TEC wamesema "sauti ya watu sio wewe umewakoti vibaya umesema sauti ya wengi. Usishindane na ukristo ndio dini ya kwanza hapa duniani. Uislam umekuja baada ya miaka 600 baada ya ukristo. Unaposema Uislam unapenda wakristo sio kweli soma quran 9: 5 kill disbelievers.
Sh. MZIWANDA NI Kipaji ALLAH AKUPE NGUVU KTK ELIMU NA HOJA NA USHINDI.
Amin