ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

ASKOFU BILA WOGA AMVAA RAIS SAMIA, "RAIS SAMIA AMEKATALIWA NA MUNGU, USALAMA WA TAIFA HAWANA AMANI"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 13 ก.ค. 2024
  • #TANZANIA: Askofu Mwanamapinduzi amvaa Rais Samia, "wafanyakazi hawana amani, usalama wa Taifa pia hawana amani, ndani ya miaka mitatu wamebadilishwa Wakurugenzi wanne, kwa hiyo hata aliyepo hana amani, maana muda wowote hana kazi, mnatumika tu kama kalai"
    Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE TH-cam Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

ความคิดเห็น • 172

  • @HellenLemilya
    @HellenLemilya หลายเดือนก่อน +9

    Amina kubwaaaaa acha kujipendekeza kwa watu , Mungu akubariki mchungaji, ulisema kweli

  • @obedimunguachiza8434
    @obedimunguachiza8434 21 วันที่ผ่านมา +3

    Serikali ingeliwasikiliza hawa jamaa Mbarikiwa Mwakipesile na Askofu Mwanamapinduzi nchi hii ingelikuwa nusu paradise , Mungu ibariki Tz.

  • @vickytango5591
    @vickytango5591 11 วันที่ผ่านมา +1

    Kama unakubaliana na andiko hili..... Watakatifu walioko duniani hao ndio waliobora like hapa

  • @josephmallya5525
    @josephmallya5525 25 วันที่ผ่านมา +3

    Aminaababa❤❤❤msituletee mambo ya kibojo ya wachawi apa tule taka taka

  • @AtugonzaRutaselwa
    @AtugonzaRutaselwa วันที่ผ่านมา +1

    Ameen sema baba wapasue

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 หลายเดือนก่อน +9

    UMENENA VEMA ASKOFU MPENZI WA MUNGU NI MSEMA KWELI ❤

  • @veronicamnico4773
    @veronicamnico4773 4 วันที่ผ่านมา +1

    Ni kweli mtu wa MUNGU

  • @MagrethKatondo-qs9oz
    @MagrethKatondo-qs9oz หลายเดือนก่อน +4

    Mmmmhh aliyeshiba hamjui mwenye njaa. Daima Apendae fedha hatashiba fedha. Mungu utuhurumie.

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 6 วันที่ผ่านมา +1

    Asante sanaa Baba Mungu akubariki

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr 3 วันที่ผ่านมา

    Amuongelei fedha za waumini wenu..watu huwa wanaamishwa nchi NZIMA na huwa wanalipya acheni uchochezi

  • @theogeorge3773
    @theogeorge3773 28 วันที่ผ่านมา +5

    hata hapa wapo Tulieni Aiseeee

  • @RESTITUTAMOLLED-mp3pp
    @RESTITUTAMOLLED-mp3pp 4 วันที่ผ่านมา +1

    sema mtumishi wa Mungu,tumechoka baba na maonevu

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 2 วันที่ผ่านมา +1

    Wameshiba pesa itapiga kura

  • @SamwelJoseph-yk3cw
    @SamwelJoseph-yk3cw 8 วันที่ผ่านมา +1

    Majeshi majeshi, majeshi ya BWANA ameeeeeeeeeeen

  • @AmusedAstrolabe-fh8ox
    @AmusedAstrolabe-fh8ox 6 วันที่ผ่านมา +1

    Sema baba apone aache unafiki

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 3 วันที่ผ่านมา +1

    🙏🙏🙏🙏🙏

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 6 วันที่ผ่านมา +1

    Utashinda kwa jina la Yesu

  • @HeppyRafaeli
    @HeppyRafaeli 9 วันที่ผ่านมา +1

    Aminaaa.

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 6 วันที่ผ่านมา +1

    Shetani ni shetani tuu Baba

  • @MathewsSikazwe-up4qd
    @MathewsSikazwe-up4qd หลายเดือนก่อน +1

    kazinzuri sana! Mungu atawaripa.

  • @user-yg8bv6de9v
    @user-yg8bv6de9v 7 วันที่ผ่านมา +1

    Mtumishi bwana akuzidishe kwa uweza wake zaidi

  • @spiderelexander9977
    @spiderelexander9977 หลายเดือนก่อน +3

    Kumekucha siku zote Mungu ni mwema

  • @Gaynor1234
    @Gaynor1234 11 วันที่ผ่านมา +1

    ASKOFU, KUMBUKENI SANA BENDERA YA TANZANIA ILIVYOKATIKATI YA WAARABU WAKITOA LAANA ZAO. Hiyo msiisahau, tafadhali ifanyieni kazi jamani.

  • @AnnaBituro
    @AnnaBituro 24 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu akuzidishie ujasiri katika
    Roho mtakatifu mtumishi wa
    Mungu .
    Sema sema sema!!!. Mungu yuko nawe .jamani tukisikia hivyo tuombe rehema zaidi yatulivyokuwa tunaomba.
    Taifa lipo kwenye mambo magumu.

  • @user-td5ye9zb1l
    @user-td5ye9zb1l หลายเดือนก่อน +1

    Fact indeed pastor

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 14 วันที่ผ่านมา +3

    Hiyo bibilia ndiyo imekwambia hivyo au. Siasa kanisani yani mtihanikweri hamchahui pakuongelea chukiimekujaa. Kwa Raisi wetu kipenzi ❤mama Samia Allah akulinde na maadui wakilakona anaekuzamiliaubaya umludie mwenyewe

    • @hamismabula9934
      @hamismabula9934 2 วันที่ผ่านมา

      Kwan wanapoapa huwa wanashika na kuinua juu kitabu cha siasa!?

  • @ericlondonmuwazijimmy1221
    @ericlondonmuwazijimmy1221 หลายเดือนก่อน +2

    Kama kweli amekataliwa tutaona ishara zote, mbele

  • @user-eh2fi9ds5h
    @user-eh2fi9ds5h หลายเดือนก่อน +1

    Sema mtumishi wa mungu

  • @HassanKibwana-h3w
    @HassanKibwana-h3w 8 วันที่ผ่านมา

    Amina

  • @ramadhansuluhu772
    @ramadhansuluhu772 2 วันที่ผ่านมา

    Hivi Askofu wewe ndio Mungu unajua Ardhi na Mbingu zimembwa vipi?

  • @AmenMushi-j2j
    @AmenMushi-j2j 6 วันที่ผ่านมา +1

    Hatupigani kwa mwili bali kwa roho pastor

  • @elizabethawuor5402
    @elizabethawuor5402 24 วันที่ผ่านมา +1

    Amen

  • @user-zi1gp6dc2q
    @user-zi1gp6dc2q 29 วันที่ผ่านมา +1

    Kweli baba semaa

  • @JaneChissawilo-dr7nn
    @JaneChissawilo-dr7nn 15 วันที่ผ่านมา

    Ameen!

  • @MjumbeAgano
    @MjumbeAgano 12 วันที่ผ่านมา +1

    Vema ndugu ruhusu Neno la wakati kwa mjumbe wa agano duniani nchi itulie.

  • @JELSONMAUKI
    @JELSONMAUKI 19 วันที่ผ่านมา

    Mimi sina mwanasheria. Mwanasheria wangu ndo kwanza Yuko form 1 C 😅😅😅😅🙌🙌🙌

  • @mwaamwetahussain9947
    @mwaamwetahussain9947 21 วันที่ผ่านมา

    Yaani kosa moja linavunja mwema Mia moja

  • @matatizonkwera8607
    @matatizonkwera8607 วันที่ผ่านมา

    Ubiri watu waendee mbinguni,siasa na dini huwezi: na kwa taarifa yako Mama samia ni chagua la mungu kwani uliumpa urais wewe? Samia Suruhu Hassan is our destiny" mitano mingine 2025,utake usitake mitano mingine kwa mam🎉

  • @meshackwilliam8238
    @meshackwilliam8238 8 วันที่ผ่านมา

    🙆🏽‍♀️Ni baraaa2

  • @RashidiDaudy-ez6zt
    @RashidiDaudy-ez6zt หลายเดือนก่อน +4

    amin mtumishi

  • @leonardramiye8207
    @leonardramiye8207 28 วันที่ผ่านมา

    Happy life kwa mchungaji

  • @leoteryezekiel9745
    @leoteryezekiel9745 22 วันที่ผ่านมา

    Mamlaka yoote Duniani yamewekwa na Mungu. Unyenyekevu kwa kiongozi wa nchi ni hekima hata kama anakosea, wewe mtumishi wa Mungu unapaswa kuwa mnyenyekevu kwa kadri ulivyo ongozwa kuufikisha ujumbe wako na si kuropoka madhabahuni.

  • @babazungu3180
    @babazungu3180 3 วันที่ผ่านมา

    Chuki yako ni mbaya sana mtumishi

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 20 วันที่ผ่านมา

    Ongea kuhusu biblia na siyo siasa.😢

  • @MsafirGervas
    @MsafirGervas 22 วันที่ผ่านมา

    Mchungaji anakosea😢😢😢😢

  • @EdsonMbuza
    @EdsonMbuza 11 วันที่ผ่านมา

    Kama huna Cha. Kukomenti nimuhimu kukaa kimya kuliko kumtukana askofu unamwambia pumbavu kuwa na kiasi

  • @MsafirGervas
    @MsafirGervas 22 วันที่ผ่านมา

    Mwanasheria wangu kasafiri😢😢😢😢😢

    • @JELSONMAUKI
      @JELSONMAUKI 19 วันที่ผ่านมา

      Mimi wangu ndo kwanza Yuko form 1 C 😅😅😅😅

  • @kandoyamitoyababeliministr9745
    @kandoyamitoyababeliministr9745 หลายเดือนก่อน

    Mbona unabii ,umekuwa mwingi kwa Tanzania hasa kwa muhula huu wa Rais Samia S. A.hivi ni kweli ni kwa sababu hakubaliwi na Mungu ao ni kwa sababu ni mwanamke

    • @jesaminzo
      @jesaminzo 29 วันที่ผ่านมา

      Kwani mwanamke si binadamu?

  • @josephmwise3177
    @josephmwise3177 16 วันที่ผ่านมา

    Jamani Mama mbona powa! Nawachukia wote wasiompenda Mama.

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6d หลายเดือนก่อน +4

    Sio kweli mama samia hajakaliwa na mungu ndio kamuweka na Kama mungu angemkataa angemuondoa mama samia Hana Nguvu ya kushindana na mungu agome kuondoka madarakani wewe mtumishi wa shetani ndio unahamasisha upumbavu mtupu chuki binafs ya udini imekujaa mjinga wewe kwasababu ya kukatiwa maslahi yako bandalini na Mtu mzima ovyo

    • @annekiwori9504
      @annekiwori9504 หลายเดือนก่อน +1

      Pole naona mtumishi kapiga kwenye mshono,siyo maneno yake ni ya Mungu.

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 6 วันที่ผ่านมา

    Disaster Disasters men of God

  • @mwaamwetahussain9947
    @mwaamwetahussain9947 21 วันที่ผ่านมา

    Pastor umeongea ukwer tunakulinda ole wao tusikie huonekani tunaandamana Safar hii

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 20 วันที่ผ่านมา

    Usiwe chagadema au CCM😮

  • @athumanikajembe4585
    @athumanikajembe4585 26 วันที่ผ่านมา

    Hubiri vitu vya kiroho pastor mbona uhubiri kukemea ushoga na usagaji .Wasiojituma ndio wanaotema mate

  • @Debestsoul
    @Debestsoul 14 วันที่ผ่านมา

    Hello

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 20 วันที่ผ่านมา

    Tanzanian govt please this man is the most dangerous now.Take him seriously he is Hitler who killed millions during the second world war.Serikali imuchukulie hatua kali.Ni hatari sana kwa nchi yetu.Propaganda yake ni mbaya sana katika jina la Yesu.😢😢

  • @Gelenya-ne2ip
    @Gelenya-ne2ip 22 วันที่ผ่านมา

    Acha utumishi,ufanye siasa!

    • @veronicamnico4773
      @veronicamnico4773 4 วันที่ผ่านมา

      Acha ukweli usemwe,, mnataka kanisa linyamaze?

  • @athumanikajembe4585
    @athumanikajembe4585 26 วันที่ผ่านมา

    Mhubiri wanaotema mate ni wale wasiojituma .watu wanatoka nje wanasema fursa zipo nyingi Tanzania ila uvivu wa kufikiri na kufanya kazi ndio umekithiri.Nakushauri mhubiri kemea mapepo ya ushoga na usagaji.

    • @AlphaxardMRusweka-jr1wi
      @AlphaxardMRusweka-jr1wi 26 วันที่ผ่านมา

      Wewe una mtaji ndg.yangu,hata mimi naziona ,nisaidie mtaji ndg.

  • @mohamedimiraji5495
    @mohamedimiraji5495 12 วันที่ผ่านมา

    Toka lini askofu akawa mzalendo katika nchi hii? Hopeless

  • @user-vm5yf8cs2r
    @user-vm5yf8cs2r 10 วันที่ผ่านมา

    Huna AKILI. Hubiri. Dini
    Sio. Siyass
    Usi change. Dini. Na. Siyasa

    • @MkatorikiOg
      @MkatorikiOg 3 วันที่ผ่านมา

      Wewe mpumbavu ujitambui, ina maana kama ni paster aiche nchi yake iangamie kisa dini lazima aseme ukwelii

  • @johnboscomasumbuko1073
    @johnboscomasumbuko1073 27 วันที่ผ่านมา

    Amenyooka

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 หลายเดือนก่อน

    Wew lifisiemu tuache tusikilize nondo tulia bana sindano. Iwaingie. Tumewakataa. Mnatulazimisha tu ila mungu. Siyo mwanadamu atatuokoa tu

  • @DavidJosia
    @DavidJosia หลายเดือนก่อน

    Mhuu Mimi napita tu

  • @peterkibiriti5601
    @peterkibiriti5601 หลายเดือนก่อน

    Alliyekataliwa na mungu ameshaondolewa duniani

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 หลายเดือนก่อน

      hujui chochote 😂

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 หลายเดือนก่อน

      Huyo Mungu amempenda zaidi

    • @ScopionScopion-zj9cd
      @ScopionScopion-zj9cd หลายเดือนก่อน

      unaumwa mavi ww

    • @unjuinkuganda1991
      @unjuinkuganda1991 29 วันที่ผ่านมา

      KUMA KWELI WEWE

    • @gosbertrwezahura3645
      @gosbertrwezahura3645 27 วันที่ผ่านมา

      Pumbavu sana. Nyie ndo mlimuua. Mbwa wakubwa. Wakati wenu utafika na ninyi mtaondoka duniani.

  • @sskondopoleani9616
    @sskondopoleani9616 หลายเดือนก่อน

    Hivi aliyekataliwa na Mungu wewe UNAMJUA? Sasa wewe mtumishi wa Mungu au Mtumishi wa Siasa? Kutwa Majukwaani, pale Madhabahuni kanisani anakaa nani? Bora uvae Gwanda ufuatane na Mbowe, Tundulisu MKATUKANE vizuri, maana MATUSI ndio sera yao, wakichukua nchi basi kutakuwa na somo MAALUMU la MATUSI, kutakua na degree za MATUSI.

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd หลายเดือนก่อน

    wahubilie watu Neno acha siasa kama unapenda siasa funga kanisa bx uchaguzi unakalibia uende ukaropoke jukwaaani sio kanisani hapo

    • @jesaminzo
      @jesaminzo 29 วันที่ผ่านมา

      Kama huna ugomvi na biblia soma, Ezekiel 33:1-20

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 20 วันที่ผ่านมา

    Mwamposa ni mpotoshaji😮😮

  • @workmantiktok
    @workmantiktok หลายเดือนก่อน +1

    huyu mchungaji kuma lamama yake kaabisa linaangamia kwa ushoga haongei anaongelea ambayo hayamuhusu

    • @EzekiaMtwale
      @EzekiaMtwale หลายเดือนก่อน +1

      sa mbona matusi?!!!

    • @user-jc8el6je5e
      @user-jc8el6je5e หลายเดือนก่อน

      Kwani mama ako Ana iyo kuma .

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md หลายเดือนก่อน +1

      Kwa matusi hayo yanafunua uhalisia wa tabia yako chafu mtu kama wewe hufai kitu

    • @ayubungende5341
      @ayubungende5341 วันที่ผ่านมา

      tena wewe mungu akuue namatus yako

  • @iddiramadhani5111
    @iddiramadhani5111 หลายเดือนก่อน

    Hapo umeweka bendera ya Israel taifa la Wauaji wa wapalestina huna lolote danganya haohao mbumbu.

    • @jebace
      @jebace หลายเดือนก่อน

      umeitwa hapa au ulikuja mwenyewe,na wapalestina waliyataka wenyewe, mwanakulitafuta mwanakulipata😂

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 29 วันที่ผ่านมา

    Siasa na Mungu wapi na wapi

    • @petermatabwa2133
      @petermatabwa2133 28 วันที่ผ่านมา +1

      kanisa lipo dunian na tupo ndani ya siasa

    • @mustaphamasobe8343
      @mustaphamasobe8343 27 วันที่ผ่านมา

      Hujui kazi ya mtumishi wa Mungu

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 25 วันที่ผ่านมา

      Funga huo mkundu wako

  • @muridundhikri
    @muridundhikri หลายเดือนก่อน

    Haya tena kipindi cha uchaguzi kila alotomwa

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6d หลายเดือนก่อน +2

    Wewe unajipendekeza kwa chadema acha ujinga na upumbavu yani wewe uaacha kuhubilidini unahibili siasa umeshakataliwa na mungu wewe ndio maana unahubili siasa Kanisani udini umekujaa tuuu

    • @shabanadam4476
      @shabanadam4476 หลายเดือนก่อน +1

      Vitu anavyoonge askofu kuhusu watu kufukuzwa katika ardhi zao na kupewa waarabu vina maana kuliko wewe usie jitambua msaka tonge tu

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md หลายเดือนก่อน

      Kwa hio ukiwatetea watu wanaofukizwa kwenye aldhi yao umekuwa chawa wa chadema? Ahaa niambie wewe chawa wa ccm unamtetea nani ?

    • @ayubungende5341
      @ayubungende5341 วันที่ผ่านมา

      kufukuzwa kwa masai umefurai ety

  • @edyboychamiliion1360
    @edyboychamiliion1360 หลายเดือนก่อน

    Ww kijana mwenye njaa na umepauka vibaya hiyo bendera ya israel inahusika na nn na kanisa lako la uchwara wakati wayahudi hawana dini mbona mnajipendekeza na watoto wa shatani😂😂

    • @petermatabwa2133
      @petermatabwa2133 28 วันที่ผ่านมา

      hayo yamefichwa machoni pako

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 14 วันที่ผ่านมา

    Kwasababu.mkiristo nikuachetu maana hata Munguwako humjui. Hukiiulizwa Munguwako nani utasema.Yesu. 😂 ngojanikuachetu uwexikubishana na mtu hajuikitu

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 25 วันที่ผ่านมา

    Wewe umeongea na Mungu lini. Mungu hawezi kuongea na wewe kwamambo ya uzushi labda umeongea na Shetani simungu .Dini na siasa haviendi pamoja hata sekunde moja

    • @allymohamed2724
      @allymohamed2724 24 วันที่ผ่านมา

      Na akimaloza hapo ni toa bwana toa ulichonacho. Skeleton Church London, Kibwetere, na Kuna wale walofunga bila kula wafe wakutane na Yesu.

  • @emanuelmwakasungula3052
    @emanuelmwakasungula3052 หลายเดือนก่อน

    Unatimiza andiko katika chuo Cha isaya 1:17

  • @kilimaentertainment1687
    @kilimaentertainment1687 11 วันที่ผ่านมา

    Hamna kitu kibaya kama kujipendekeza kwa mungu mungu hapendi kabisa mimi ni islamic ila kumbuka hata pale isa/yesu alivyomwambia usimjaribu bwana mungu wako Mungu anapenda kweli.

  • @Gaynor1234
    @Gaynor1234 หลายเดือนก่อน

    Mtumishi wa Mungu, hayo mapazia Messi madhabahuni kwako ya nini? Ukiondoa hayo mapazia tutaona NURU.

  • @pauloropian2367
    @pauloropian2367 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akubariki mtumishi wa Mungu.

  • @muharamijuma1569
    @muharamijuma1569 หลายเดือนก่อน

    PUMBAVU WEWE HÙNA UNACHOJUA UTAWALA UNATOKA KWA MUNGU ACHA KELELE

  • @husseinjuma4575
    @husseinjuma4575 14 วันที่ผ่านมา

    Tusaidieni kupaza sauti

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂 huyu mchubgajee sio poaa

  • @geey7893
    @geey7893 หลายเดือนก่อน +1

    Sure, mama wa watu ngoma imemkataa lakini hajiongezi anataka tena kiti😮

    • @knight6757
      @knight6757 หลายเดือนก่อน

      🐸

    • @oklahommy9838
      @oklahommy9838 หลายเดือนก่อน

      Na atakipata ....asipokuwa rais tena niite mbwa nimekaa pale😅😅😅

    • @user-jt3gl9fo5e
      @user-jt3gl9fo5e 27 วันที่ผ่านมา

      Hujiongozi ww mwenye macho lkn huoni

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z หลายเดือนก่อน

    Ongelea na kuzitii mamlaka wewe hapo kanisani uneongezewa mshahara twambie

  • @LomnyakiSapunyu
    @LomnyakiSapunyu 17 วันที่ผ่านมา

    11:47 Seema tupone

  • @majondejohali5259
    @majondejohali5259 หลายเดือนก่อน

    Wakiongoza waupande wenu hamuongei hayo mafara nynyi

    • @issaibonyissaibony9934
      @issaibonyissaibony9934 6 วันที่ผ่านมา

      Mchungaji unapendera ya nchi inayoua watu Kwa halaiki tena ya kimbari halafu kigaidi ( wewe huna hazi ya mtu mwenye Imani ya mungu ) huo ni ugaidi kama wa bejemeni ntanyahu

  • @levissanga8867
    @levissanga8867 หลายเดือนก่อน

    Hata sasa ni mbwa

  • @SaidiiMlokaa
    @SaidiiMlokaa หลายเดือนก่อน +1

    Pumbavu wewe udini umekujaa paka wewe.

  • @laninjeje8290
    @laninjeje8290 หลายเดือนก่อน +1

    Mwanamapinduzi mbona anafahamika ni shoga, hata matako yake yamelegea 😂

    • @EzekiaMtwale
      @EzekiaMtwale หลายเดือนก่อน

      huo ushoga mnashiriki nae?!

    • @atupegemwakahesya
      @atupegemwakahesya หลายเดือนก่อน

      Hivi vinywa! Uwe makini. Kumtukana mtumishi wa Mungu bila hofu yo yote, badaye utajilaumu.

    • @laninjeje8290
      @laninjeje8290 หลายเดือนก่อน

      @@atupegemwakahesya huyu sio mtumishi wa Mungu ni mwanasiasa uchwara

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 29 วันที่ผ่านมา

    Eti mama samia kakataliwa wewe unaejiita askofu husomi neno ndo.umekataliwa Na Mungu biblia inasema kuna vitu wakuu wa nchi hawavijui umekazana eti watu wanalalamika hawana amani unaniuzi wewe askofu tukiwa na maaskofu 10 kama wewe Tanzania haipo huoni.wenzio.wakina.gwajima.wana akili.wamepewa maarifa wanajitambua.iga kwA kina gwajima amani haipatikani kwA raisi acha kuwapotosha watanzania amani inapatikana kwA kumcha Mungu na kushika.sheria ya Mungu tu.mbali na hapo haipo jisumbue sana mwanamapinduzi.laumu.sana wakuu wa nchi na mashoga wa.siku za mwisho na malawiti yenu hayo na wauza madawa ya kurevya na wanajua madhambi wanaofanya muunde nao magenge mulamugi marais kuwa haongozi vizuri kukosoa laisi kufanya ni kazi sana hata kuongea tu hujui

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 25 วันที่ผ่านมา

      Kauze mkundu wako huko

  • @user-iz4te4gs5s
    @user-iz4te4gs5s หลายเดือนก่อน

    Public coments

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838 หลายเดือนก่อน

    Mungu yupi yesu?

    • @joshuajohn2668
      @joshuajohn2668 หลายเดือนก่อน +1

      MUNGU NI MMOJA Na YESU NI MWANA WA MUNGU

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 หลายเดือนก่อน +1

    Dini gani wahubiria wee kenge tu. Hubiria dini yako Maandazi wahed

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 29 วันที่ผ่านมา

    Wakulima wa.wapi wanalalamika wakati mama samia mambolea.yalipanda.bei akayapunguza na Ruzuku wakulima wamesema tukuambie usituchonganishe na raisi wetu baki na chuki zako binafsi hoja huna

    • @ayubungende5341
      @ayubungende5341 วันที่ผ่านมา

      wewe acha kusema mborea beikali sana wewe

    • @festinamwakipale3919
      @festinamwakipale3919 วันที่ผ่านมา

      @@ayubungende5341 wanadamu.wa siku za mwisho asilimia kubwa wanawategemea.wanadamu.mioyon.mwao hawamtaki.Mungu.hivo imetimia.Yeremia.anasema watafanana na fukara aliyeko nyikani hawatayaona mema.yakitokea.leo serikali.imejenga mashule mahospital mabarabara mafukara.wa.nyika hawaoni.da.Tanzania unapenda wapo.Mungu.kakuwekea mipaka y'ako na.watu.wako.hutaki kuisoma vitabu vya Mungu unatamani manenomaneno.inauma.sana kama unaona

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 หลายเดือนก่อน +1

    Heading yako mbovu kabisa dogo wacha kupotosha watu bhana. Watu badala ya kuhangaikia maisha na Dini zao wanaingilia Serekali mpuuzi huyo

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 26 วันที่ผ่านมา

    Jamani kujipendekez kupo kama boss wako unajipendekeza.
    Yani hata kwenye hizi taasisi za dini kuna shida kibao.
    Kuongoza watu milioni 65 siyo mchezo mchungaji we acha tu.
    Tumwombee rais wa nchi

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu5765 หลายเดือนก่อน

    Wewe mwenyewe umekataliwa ndio ukaukumu, wakukataliwa unamjua wewe?

    • @gosbertrwezahura3645
      @gosbertrwezahura3645 27 วันที่ผ่านมา

      Acha uislamu. Pumbavu sana. Unamtetea kwa sababu nyote mmefunga vichwa.

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 27 วันที่ผ่านมา

      @@gosbertrwezahura3645 acha udude unaitwa ukiristo mkunduo, unajitoa fahamu kwakua mnatembea uchi uko makanisani kwenu, shetani wewe

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 27 วันที่ผ่านมา

      @@gosbertrwezahura3645 ibilisi wewe,kwani kufunga kichwa kuna ubaya ! Anajistiri na nyinyi hamjalizimishwa kufunga kichwa acha ushenzi na udini mbwa wewe, muislam kila atakachofanya mnawashwa!!!!! Amefunga kichwa na ni raisi, zageni pilipili muweke kwenye maji muoshe nayo uso, myuuuuuuuuuu, kufunga kichwa ni amri kutoka kwa MUNGU, na huyo mpuuzi mwenzio apo aliekosa la kuongea mwambie akuonye maandiko kwenye bibilia zenu mwanamke 👉 MWANAMKE ASIPOFUNIKA KICHWA CHAKE ANAJIAIBISHA, 👈 upo wewe mshenzi uliyekurupuka kutusi watu?

  • @user-jt3gl9fo5e
    @user-jt3gl9fo5e 27 วันที่ผ่านมา

    Lengo lako ni kupata pesa huna lolote mchungaji

  • @hamadfaki7625
    @hamadfaki7625 หลายเดือนก่อน

    Kashashiba pesa za sadaka t uyo

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri หลายเดือนก่อน +1

    WEWE NYIE VIONGOZI WADINI NYIE NDIYO MNASABABISHA WAKENYA WANA UANA HOVYO KATAMA ZENU ZAPESSA BADALA YA KUHAMASISHA AMANI MNATETEA VURUGU KATIKA NCHII MUOGOPENI MUNGU HAYO MAMBO YA UTO TUKANISA UCHWARA ACHENI NJAA HAMUWEZI KUPATA HELLA KUPITIUDANGANYIFU WENU WASHENZI WAKUBWA

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 หลายเดือนก่อน

      am proud 2 be

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm หลายเดือนก่อน +2

      Hamza ni mdini. Ukweli hutauelewa. Chaws, huna elimu na akili finyu. Ukweli unatuma. Mzanzibari Hana moyo wa Kitanganyika. Hana uchungu na Tanganyika. Si Mtanganyika. Kauza Tanganyika na bandari Za Tanganyika. Kauza mısitu ya Nombe. Kawafukuza Wamasai kwenye ardhi zao. Wengi wameuawa. Amani gani unayoizungumzia hapa.

    • @user-jl5uh1xq9f
      @user-jl5uh1xq9f หลายเดือนก่อน

      Wewe mtoa koment mshenzi mwenyewe

    • @andrewkissava9184
      @andrewkissava9184 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe hamza ndo mpumbavu mkubwa umejaa udini tu baada ya kusikiliza nini anasema wewe unaona udini tu hakika dini ya kiislamu ni hasana na ni dini ya kigaidi na mashetwani na uchawi dini kama hii siihitaji tanzania

    • @SaidiiMlokaa
      @SaidiiMlokaa หลายเดือนก่อน

      ​@@andrewkissava9184wewe kuma kweli huna akili kweli