JKizondo Asimulia Maisha ya Marekani

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 ส.ค. 2023

ความคิดเห็น • 87

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 10 หลายเดือนก่อน +6

    Subhanaallah mwenyezi mungu ajalie kwa kila mtu maisha yawe mepesi yaarabi ameen

  • @abdulqadirissa2535
    @abdulqadirissa2535 3 วันที่ผ่านมา

    Shukran sana Okhti jamila maneno yako sawa ni ukweli sana👍

  • @aminamsimbe-en6rp
    @aminamsimbe-en6rp 10 หลายเดือนก่อน +3

    Asante kwa kutujuza sitamani kabisaa maisha ya huko

  • @ummusalim1991
    @ummusalim1991 10 หลายเดือนก่อน +5

    Nakupenda my dear kwa Juhudi zko😊
    Mola azidi kukupa afya na kukuhifadhi

  • @husnabachubachu9378
    @husnabachubachu9378 10 หลายเดือนก่อน +2

    Asalaam Hali yako nasika raha Jamila dadangu shukraan jazakallahu kheir mpenzi kwa kutujuisha maisha ya merikani,mtu nikungangana..

  • @ummusalim1991
    @ummusalim1991 10 หลายเดือนก่อน +3

    Shukran jazila dear 😊
    Mungu akupe afya Jamilaa😊

  • @missindependent1893
    @missindependent1893 18 วันที่ผ่านมา

    SHUKRAN JAZZAKKALLAHU KHEIR INSHA ALLAH

  • @Saaid-yv6bg
    @Saaid-yv6bg 10 หลายเดือนก่อน +2

    Shukran sana dada yetu Allah azidi kukupa afya njema na mwisho Inshallah Tunakusikiliza tukiwa south africa cape town

    • @jkizondoswahilibites434
      @jkizondoswahilibites434  10 หลายเดือนก่อน +1

      Alhamdulillah kwa dua ya Kheir kama hii dua niiombayo daima kwa wenzangu na Mie leo Allah kanirudishia kwangu kupitia wewe kakangu, TaqabalaAllah in Shaa Allah. Na Mie nakutakia Kheir na mafanikio leo mpaka kesho mbele ya Allah Ameen. Shukran sana ❤️❤️

  • @user-bz1wl4si8j
    @user-bz1wl4si8j 10 หลายเดือนก่อน +3

    Shukran...dada Allah akuneemeshe huko uliko inshaallah

    • @jkizondoswahilibites434
      @jkizondoswahilibites434  10 หลายเดือนก่อน +1

      Ameen yaa rabb, Hakuna kitu cha thamani kama dua njema kwa mwenzio, shukran sana. Nimefurahi sana leo kwa hii dua.. Alhamdulillah

  • @nabeelaali77
    @nabeelaali77 6 หลายเดือนก่อน +1

    So very true wallah.. even here in Europe

  • @AnwarAli-vs9mp
    @AnwarAli-vs9mp 9 หลายเดือนก่อน +1

    ASALAM ALIEKUM simba walai ww allah atakupa subra na mafanikio mema yenye baraka neema telee amin

  • @shabanmaulana8594
    @shabanmaulana8594 10 หลายเดือนก่อน +1

    Waaleykum mussalam warahma tull lahi wabarakatull shuqran, na wewe pia Mungu akufanyie wepesi katika yako inshah Allah. Msalimie jombaaaazi sanaaaa kitambo nime wapeza.. kutoka niache Facebook sija kusikia wewe na jombaaaazi. ❤😂😂😂 .

  • @saidomar567
    @saidomar567 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah dadaangu

  • @citykibonge2999
    @citykibonge2999 10 หลายเดือนก่อน

    Maa Shaa Allah, Tabaraka Allah... shukran daa...Allah akufanyie wepesi ktka maisha yako na abariki kaz ya mikono yako❤

  • @hassanabdalla9688
    @hassanabdalla9688 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akubariki.ameen.afyq umri. Ameen.

  • @zenaahmedi8857
    @zenaahmedi8857 10 หลายเดือนก่อน +5

    Subha Allah bora Oman

    • @jkizondoswahilibites434
      @jkizondoswahilibites434  10 หลายเดือนก่อน +1

      Alhamdulillah kwa kila Uhai na mipango yake Allah alotujaalia nayo

    • @mwajumamwajuma55
      @mwajumamwajuma55 10 หลายเดือนก่อน

      Kumbe😢

    • @utaani1
      @utaani1 9 หลายเดือนก่อน

      Karibu Pemba

  • @FatumaMuya
    @FatumaMuya 10 หลายเดือนก่อน +4

    Ni kweli kabisa Dada usemayo Allah tu atuepushe na Shari za hapa USA

  • @allymwinyi970
    @allymwinyi970 10 หลายเดือนก่อน

    Wa alaykumu ssalaam warahmatuLlah wabarakaatuh. Jamila nimefurahi kukuona dada. Tukikuwa wote IUIU japo ulituzidi mwaka mmoja. Mimi natoka TZ but I feel blessed to have seen u at one more time Maashallah.

    • @jkizondoswahilibites434
      @jkizondoswahilibites434  10 หลายเดือนก่อน

      Awww MashaAllah milima haikutani ila binadamu Alhamdulillah. Shukran sana kakangu

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything หลายเดือนก่อน +1

    👊👍✌️.

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 10 หลายเดือนก่อน

    Aleykum salam warhamatullah wabarakatuh
    Shukran sna dada Jamila maisha ya hapa USA daaaa EEE m/mungu atunusuru wallah

  • @muhsinsalim5724
    @muhsinsalim5724 10 หลายเดือนก่อน +1

    Shukran nakuelewa

  • @user-vq6dc4nr5p
    @user-vq6dc4nr5p 10 หลายเดือนก่อน +1

    Shukran kwa elimu

  • @Sweetie-im2jd
    @Sweetie-im2jd 10 หลายเดือนก่อน +1

    May the almighty Allah bless you always 🙏

  • @MuhamadAbdalla-bt3dr
    @MuhamadAbdalla-bt3dr 2 หลายเดือนก่อน +1

    A alykmu vip hl Yako

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 10 หลายเดือนก่อน +1

    The truth shall set you free!!

  • @ruthmukami7573
    @ruthmukami7573 4 หลายเดือนก่อน

    Asante dada.. ila si kila mtu anateseka usa. Get an education in a specialty like nursing, banking etc. Ni hali ya kujipanga tu with lengo unataka nini. Educate yourself. Mateso yapo but with end goal in mind you will be fine. Just like any other country you need to work hard and know what you want.

    • @jkizondoswahilibites434
      @jkizondoswahilibites434  4 หลายเดือนก่อน

      Dadangu Neno Kuteseka umelitumia wewe. Mimi nimesema ni nchi ya KUMENYEKA. Kisha sio kila mwenye education ya shule ndio hutoboa in life, someone like Ingvar Kamprad ( the owner of IKEA) never saw the door to school yet he is rich with furniture stores World wide, kama huna uwezo wa kuspeacilize na Hiyo nursing or banking aliyobahatika nayo mwenzako ufanyeje? Hii Dunia ni shule Tosha kwa kila mwanadamu kujifunza na kujiendeleza nayo. Kumenyeka na kuteseka ni vitu 2 tofauti, maelezo yangu ya hii video hayajataja unachoeleza wewe. Na kitambo ufikie uwezo wa kujielimisha ki shule anza na kujielimisha ki ubunifu na kuwa kazi yoyote ni kazi bora iwe halal na yenye kukukidhi shida zako. Marekani ni inchi ya uchumi wa juu zaidi kama sio kweli iweje kujae homeless people kila kina yake. Mimi sija specialize in any of what you said and am surviving coz nimebuni kazi yangu, sitaki kuajiriwa naajiri Alhamdulillah. Natumai mbali ya video yangu inavyoeleza hapa pia takua umenielewa.

    • @ruthmukami7573
      @ruthmukami7573 4 หลายเดือนก่อน

      Thanks dada. It's just the way you describe it, it gives someone a bad impression of the country. In every country there's ups and downs but I truly believe this is a land of opportunity and it depends how you yourself grab that opportunity.

    • @jkizondoswahilibites434
      @jkizondoswahilibites434  4 หลายเดือนก่อน

      @@ruthmukami7573 labda useme Kiswahili ni kigumu kwako, na iweje wewe pekee upate meaning tofauti na hawa wote waliosikiza meaning huelewi kisemwacho. Chengine nilieleza sababu ya mimi kuongea nilivyoongea kwasababu wengi walio Nje au nyumbani assume life is easy abroad, if it is to you basi ni bahati yako ila kwangu ni tofauti, Naona umeguswa na nchi ya wenyewe saying am giving a wrong impression please elewa kiini cha mazungumzo dada sio kudhania tofauti.

  • @fauzishabani2622
    @fauzishabani2622 10 หลายเดือนก่อน

    mmmh Kazi kazi

  • @ashahassan2120
    @ashahassan2120 10 หลายเดือนก่อน

    Asante dada mrembo

  • @mwajumamwajuma55
    @mwajumamwajuma55 10 หลายเดือนก่อน

    Asante my sister ❤kwa ukweli wako

  • @jumamohamed4808
    @jumamohamed4808 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah

  • @EdiOmar-vo6kb
    @EdiOmar-vo6kb 3 หลายเดือนก่อน

    Minaona anasumbuka tu anajifrahisha kimtindo tu huyo kashaombwa Masada na ndugu anajinasua

  • @aligmoha9015
    @aligmoha9015 10 หลายเดือนก่อน

    Maa sha allah dada

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 10 หลายเดือนก่อน

    Wallahi uko sahihi mpaka unajiuliza hizi pesa zangu zimejitumia wenyewe 😢 na kama huna kodi unalala nje

    • @jkizondoswahilibites434
      @jkizondoswahilibites434  10 หลายเดือนก่อน

      Ndio homeless inazidi kila uchao marekani wameshindwa kujimudu ki maisha na uchumi maskini

  • @madhuru2554
    @madhuru2554 9 หลายเดือนก่อน

    Kweli kabisa maneno yako

  • @jay29jay78
    @jay29jay78 10 หลายเดือนก่อน +4

    Maisha North America ni magumu...yanikumubusha ile movie ya eddie Murphy ," coming to America"...Eddie Murphy alisema in America " its free to succeed and free to fail"...it's a choice everyone gets to make....nawambia saa zote Hawa young Africans wanaokuja huku Wende wakasome college ama university to improve the chance to get better employement sio kubeba ma box warehouse...get trained for a skilled job hata kama ni plumbing or carpentry...Allah atusitiri

    • @bigboys016
      @bigboys016 10 หลายเดือนก่อน

      How about a bachelor degree holder as a teacher from east africa is eligible to come there

  • @aminahasan2630
    @aminahasan2630 10 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli

  • @MariamAlly-hk7io
    @MariamAlly-hk7io 10 หลายเดือนก่อน

    Allwah afanya wepesi tufarahie miji yetu

  • @agustinohizza1395
    @agustinohizza1395 10 หลายเดือนก่อน +2

    Ondoka nenda falme za kialabu unatoka kwenu unaenda kuoshea vyombo USA hovyooo

    • @jkizondoswahilibites434
      @jkizondoswahilibites434  10 หลายเดือนก่อน +2

      Tofauti iko wapi ya kuosha vyombo arabuni na kuvioshea marekani? Ni sabuni au kwa maji? 😂 tumbiri akinyimwa buyu husema lichungu.. 😂😂 elewa maana ya ndani na ovyo zako

    • @user-sn2ef2qt8r
      @user-sn2ef2qt8r 10 หลายเดือนก่อน +1

      😅Jamani

  • @zainabdadu2667
    @zainabdadu2667 10 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤

  • @salimafakhi9425
    @salimafakhi9425 10 หลายเดือนก่อน +2

    Waambie wajuwe.

  • @salojaanbaloch
    @salojaanbaloch 9 หลายเดือนก่อน

    Wewe wa Sama Sawa sister

  • @abdulwahababdulkadir9965
    @abdulwahababdulkadir9965 10 หลายเดือนก่อน

    Ni kawaida sana kwa marekani na nchi za ulaya maana mfumo wao ni wa kibepari na unafanya unyonyaji kwa wavuja jasho then wanatumia mabwanyenye,ingawaje na upande wa mafanikio pia upo na pesa inapatikana ikiwa utatoka magetoni

  • @Selina-jh1wq
    @Selina-jh1wq 11 วันที่ผ่านมา

    Dadaa nataka kuongea na wewe jaman

  • @sukaynaalyraza3973
    @sukaynaalyraza3973 8 หลายเดือนก่อน

    Wha

  • @MrMahmud888
    @MrMahmud888 10 หลายเดือนก่อน

    sirahisi❕❗naamini

  • @halimakatundu
    @halimakatundu 2 หลายเดือนก่อน

    M ndo napambana nakuja hukohuko

  • @JosephSimiyu
    @JosephSimiyu 10 หลายเดือนก่อน +1

    Dada hujambo

  • @agrivaluefarm3353
    @agrivaluefarm3353 10 หลายเดือนก่อน

    Dada naomba niwatembelee huko, mimi nipo mji wa San francisco California. natokea mwambao wa Mombasa - Tanga

    • @jkizondoswahilibites434
      @jkizondoswahilibites434  10 หลายเดือนก่อน

      Karibu sana ndugu!! Ugeni tunaupenda tu Maana ni baraka Shaa

    • @agrivaluefarm3353
      @agrivaluefarm3353 10 หลายเดือนก่อน

      Alhamdullilah, nashukuru kwa mualiko. inshAllah mungu akipenda tutaonana@@jkizondoswahilibites434

  • @issahassan8515
    @issahassan8515 7 หลายเดือนก่อน

    Sasa dada mbona haurudi nyumbani umekubali kuteseka?

  • @salojaanbaloch
    @salojaanbaloch 9 หลายเดือนก่อน

    Mimi Niko Canada

  • @EdiOmar-vo6kb
    @EdiOmar-vo6kb 3 หลายเดือนก่อน

    Rudi kwenu kwani umeitwa us waache wenyewe na mila zao

    • @jkizondoswahilibites434
      @jkizondoswahilibites434  3 หลายเดือนก่อน

      Huku pia ni kwetu kama wewe una kwenu kumoja basi pole yako

  • @user-lz3cc1pe6x
    @user-lz3cc1pe6x 10 หลายเดือนก่อน +1

    basi rudi mombasa ukapumzike

    • @user-cj2kl7cd9k
      @user-cj2kl7cd9k 10 หลายเดือนก่อน

      Katwambia kweli maisha ya marekani si mchezo

  • @mohaisha
    @mohaisha 9 หลายเดือนก่อน

    Basi hivi nlitaka nianze green card lottery 😊

    • @jkizondoswahilibites434
      @jkizondoswahilibites434  9 หลายเดือนก่อน

      Agiza tu kila mmoja na nyota yake huenda ukaipenda marekani au ukastahamili ufanikiwe

  • @dauddaud-xm2wc
    @dauddaud-xm2wc 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kwahivo unatushaur tusije ulaya bora tubak makwetu

    • @jkizondoswahilibites434
      @jkizondoswahilibites434  10 หลายเดือนก่อน

      Nimesimulia maisha halisi ya ulaya, huenda ikawa tofauti kwako wewe ila pia uwe tayari kwa lolote lile litakalo kukabili maishani kama mgeni

    • @dauddaud-xm2wc
      @dauddaud-xm2wc 9 หลายเดือนก่อน

      @@jkizondoswahilibites434 shukran sana

  • @mukahigiroverene4324
    @mukahigiroverene4324 9 หลายเดือนก่อน

    Mbona hamutoki?

  • @mukahigiroverene4324
    @mukahigiroverene4324 9 หลายเดือนก่อน

    kwani popote kunakura bira kazi?

  • @husnasalim9614
    @husnasalim9614 10 หลายเดือนก่อน

    Dah nipo amerka

  • @simeonmangi7602
    @simeonmangi7602 10 หลายเดือนก่อน

    Wambie waelewe dada na waache kuomba pesa wajishulishe

    • @jkizondoswahilibites434
      @jkizondoswahilibites434  10 หลายเดือนก่อน

      Kabisaa wajisaidie kivyao !! Kisha kuna wengine wanakuja na matusi failing to understand what point am putting across!!

  • @jay29jay78
    @jay29jay78 10 หลายเดือนก่อน

    Sister ...Kuna hii swahili village restaurant wanashtakiwa kuibia wafanyi kazi wao pesa...iko huko Maryland....I think you can do a better job than them...i have seen their menu...wanachafua jina la kiswahili Bure bure

    • @jkizondoswahilibites434
      @jkizondoswahilibites434  10 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂 kumbe umeona!! Watu wamo na wao wamo… Hakuna hata moja la USwahilini walipikalo

    • @jay29jay78
      @jay29jay78 10 หลายเดือนก่อน

      @jkizondoswahilibites434 sister kweli unavyosema....naona mapishi yako ni ya kimombasa kabisaa....I have full confidence in you that you can succeed if you go mainstream na mapishi yako...nishaona vitumbua na mikate ya sinia unavyo pika.....you are an excellent cook and I mean it......tujulishe kama waja Toronto...na kama utafanya cooking....will gladly attend the event

    • @jkizondoswahilibites434
      @jkizondoswahilibites434  10 หลายเดือนก่อน

      @@jay29jay78 watu hutumia jina Swahili kama pambo au mtego wa kunasa wengine kibiashara bila kujua thamani ya neno Swahili na matumizi yake. Wanatuharibia sana mapishi na maadili yetu ya USwahilini kama ina kera jamani. In Shaa Allah nitakuja canada some day shukran sana ndugu

  • @user-wd8ju8co9f
    @user-wd8ju8co9f 7 หลายเดือนก่อน

    😋👙😋☝️

  • @TikTokwin-xi8cd
    @TikTokwin-xi8cd 9 หลายเดือนก่อน

    Tell them tell them tell them dada