NILIACHA CHUO CHINA KUPAMBANIA NDOTO YANGU YA HOLLYWOOD

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 182

  • @nassinassor872
    @nassinassor872 10 หลายเดือนก่อน +21

    Marekani haina good social benefits kama inchi zingine za ulaya.kwa mfano canada,Norway,Denmark, Sweden, Finland, Germany, nertherland, Belgium, France, Austria, Ireland, UK, luxembourg, Switzerland, austalia,newzealand. Hizo ndo ichi za kutafutia maisha ndo inchi za kuishi,acheni kutafuta maisha ya kinamarekani,marekani ningumu sana ku survive.

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน +3

      I agree hapo kwenye social services. Europe is good hapo

    • @habibarnabas
      @habibarnabas 10 หลายเดือนก่อน +2

      Ni kweli kabsa nchi za ulaya ziko powah sana

    • @rich.kizza10
      @rich.kizza10 10 หลายเดือนก่อน +2

      lakini Canada haipo Ulaya

    • @user-lg8zy1st1c
      @user-lg8zy1st1c 10 หลายเดือนก่อน +10

      Bills ni wewe mwenyewe na sifa zako, unless otherwise bills nyingine zote ni zile zile kama za Tz, OYA MTZ UKIPATA CHANCE YA MAREKANI USIACHE watu tuna 5 yrs tu, ila tumepga hatua za ajabu

    • @chapamoko3067
      @chapamoko3067 10 หลายเดือนก่อน +3

      Hapo german ni mtumbwi wa vibwengo bora urusi hao wagerma n wabaguz knoma

  • @annamussa185
    @annamussa185 9 หลายเดือนก่อน +5

    Wity sisi wasukuma wajanja bwana harafu wa kaka wa handsome wadada kaka mimi warembo hatari😍💐💐💐

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  9 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣 Mnajitahidi sana

  • @gaspermadumla5800
    @gaspermadumla5800 10 หลายเดือนก่อน +9

    Mimi ni mmoja wa watu ambaye nimekuwa nikikufatilia Jack muda mrefu. Ubarikiwe

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน +2

      Nimefurahi sana kujua

    • @AMOSJOHN-ln8xq
      @AMOSJOHN-ln8xq หลายเดือนก่อน

      Dada​@@Witnessvlog

  • @nassinassor872
    @nassinassor872 10 หลายเดือนก่อน +9

    Marekani ina uchumi mkubwa lakini uchumi wa marekani hauna faida kwa watu wake,nguvu kubwa ya uchumi wa marekani umeishia kwenye kulijenga jeshi lao.

    • @edwardmkwelele
      @edwardmkwelele 10 หลายเดือนก่อน +1

      Siyo kweli FANYA tafiti za kutosha

  • @nassinassor872
    @nassinassor872 10 หลายเดือนก่อน +7

    Wanajitangaza sana wamarekani kwa sababu media nyingi nizakwao

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 10 หลายเดือนก่อน +3

    Moja ya watu nawakubali sana jack ni moja ya vijana ambao wanapenda kuwaonyesha njia piya sana vijana wenzao

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน

      Hakika yani 🙌🏾🙌🏾

  • @WaweruG
    @WaweruG 10 หลายเดือนก่อน +4

    Kiswahili ya huyu Mwamba Jack wa USA huwa top notch.

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน

      Hatari🔥

  • @nurupaje9041
    @nurupaje9041 8 หลายเดือนก่อน +1

    Jack nampenda sana nilianza naje akiwa na 10k

  • @DIEUDONNEAMISI-ex4dl
    @DIEUDONNEAMISI-ex4dl 9 หลายเดือนก่อน +3

    jack jieshimu kigoma tuwajanja wewe unachezea mwisho wa reli wewe lakini wote wa tanzania ni utani tu na mimi niko USA

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  9 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣🤣🤣si ndioo. Habari za uko

  • @Tiffany340
    @Tiffany340 9 หลายเดือนก่อน +2

    Binafsi napenda sana kumfatilia jack,huwa nakuelewa na kujifunza kwa maelezo yako.🙏💖

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  9 หลายเดือนก่อน +1

      He is amazing

    • @seffsamwel5649
      @seffsamwel5649 7 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@WitnessvlogHabari yako dada yangu samahani vp kuhusu visa nataka kuja marekani naomba msaada kwa hilo please🙏🙏

  • @upendolema9809
    @upendolema9809 8 หลายเดือนก่อน +2

    Namfatilia sana Jack❤❤❤

  • @carlmax2221
    @carlmax2221 10 หลายเดือนก่อน +3

    Mimi ni raia wa Kenya 🇰🇪 natazama hapa Rome Italy 🇮🇹

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน

      Nimefurahi sana kujua. Salaam Rome

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866 10 หลายเดือนก่อน +6

    This is your best interview my sister🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน

      Aw it is. Thank you so much

  • @nassinassor872
    @nassinassor872 10 หลายเดือนก่อน +5

    Dada yangu witnesses achana na mawazo ya marekani ila kama unataka kwenda kutembea siyo mbaya lakini siyo pakuishi,icho kiwanja ulichopo dada yangu nikiwa bora sana kuliko marekani.

    • @nassinassor872
      @nassinassor872 10 หลายเดือนก่อน +1

      Denmark is among of the best country to live my sister witness,be proud of Denmark that beautiful.

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน +1

      Thanks and i am happy that i am here. Maswali nayouliza ni kwa faida ya wengine pia

  • @nassinassor872
    @nassinassor872 10 หลายเดือนก่อน +4

    Watu ndo wanaopendaga kuipambia marekani,na marekani yenyewe inajitangaza sana kwamazuri lakini ina mabaya mengi

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน +1

      Yes! power of branding. Wanajua kujibrand

  • @deusntobi1450
    @deusntobi1450 10 หลายเดือนก่อน +2

    Jack home boy kabsa. Chali mjanja sana na kuna kitu ndani yake Mungu awe nae na hata akatimize yote yaliyomatarajio yake.

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน

      Amen! yuko vizuri sanaa

  • @amanimyolo1478
    @amanimyolo1478 7 หลายเดือนก่อน

    Mashaalah alhamdulilah

  • @majutoeliasi
    @majutoeliasi 10 หลายเดือนก่อน +4

    Marekani ni nchi imbayo inajipenderea sana

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน +1

      Inajipromote sana

  • @vicentjohn
    @vicentjohn 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nice enterview Jack

  • @EzekielramadhaiMbala-hq2lm
    @EzekielramadhaiMbala-hq2lm 8 หลายเดือนก่อน +1

    Noma sana aisee

  • @nassinassor872
    @nassinassor872 10 หลายเดือนก่อน +5

    Mshahara wote mkubwa utakaoupata marekani utaishia kwenye bills,wana bills za ajabuajabu sana,kilakitu kwao ni pesa.

    • @lucksonomari4999
      @lucksonomari4999 10 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe mwenyewe uko Bongo haulipi bills, stima, maji, takataka, shule hulipi Karo na hospitali unatibiwa bure?

    • @devidjav3583
      @devidjav3583 8 หลายเดือนก่อน

      Izi vitu kama nyumba ambazo wanajenga Africa iyo hela wanatoa wapi?

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  8 หลายเดือนก่อน

      @devidjav3583 Ukipokea pesa in USD ukiileta bongo inathamani zaidi kuliko huku. So ni rahis kuendeleza home

  • @nassinassor872
    @nassinassor872 10 หลายเดือนก่อน +1

    Marekani inashindwa sana na inchi zingine za ulaya kimaisha

  • @msengasikaonga3039
    @msengasikaonga3039 10 หลายเดือนก่อน +3

    Nakufatilia sana Niko Kitwe Zambia

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน +1

      Habari za kitwe? nashukuru sana

  • @nassinassor872
    @nassinassor872 10 หลายเดือนก่อน +4

    Alafu kitu kingine haina usalama hata kidogo,kupigwa bunduki au kuchomwa kisu marekani ni mambo ya kawaida,ujambazi nimambo ya kawaida,ukabaji nimambo ya kawaida,utekaji nyara nimambo yakawaida,yani mabaya yote yapo marekani lakini hawayaoneshi kwenye TV.

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน

      Kwakweli that part is scary

    • @AllyMwaugali
      @AllyMwaugali 10 หลายเดือนก่อน

      Kila sehemu kuna matatizo yake kama UK karibu kila siku watu wanauana Kwa kuchomana visu,Jana tu binti wa miaka 15 alikua anaenda shule kachomwa kisu kafariki

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน +1

      🥹🥹That is very sad kwakweli.
      Ni kuomba Mungu atuepushe na majanga

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni9561 10 หลายเดือนก่อน +1

    Watz n wachache L.A Lakin niliona pamoja na uchache wao lakin walileta hamsha hamsha Kidogo

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน

      Kabisa they were so loud

  • @EzekielramadhaiMbala-hq2lm
    @EzekielramadhaiMbala-hq2lm 8 หลายเดือนก่อน +2

    Saivi umetusaliti mkali unabonga english tu hutúambii kwa kiswahili mkali

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  8 หลายเดือนก่อน

      😂🙌🏾

  • @lightnessabdallah2340
    @lightnessabdallah2340 10 หลายเดือนก่อน +2

    waooh kaka jack

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน

      👏🏾👏🏾

  • @James-g7y
    @James-g7y 10 หลายเดือนก่อน +2

    Wow.
    Congratulations dada

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน

      Thank you kaka

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 10 หลายเดือนก่อน +2

    Niko USA 🇺🇸 ni pazuri na pesa ina patikana vizuri tu.

    • @LinahRwambali
      @LinahRwambali 10 หลายเดือนก่อน +1

      Duh mnatuchanganya sasa embu wewe wa marekan tupe picha kamili mwaya,pesa ipo au haipo,na kama ipo ipo kwa non professional jobs au professional jobs?

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน

      Nashea experience za watu na kila mtu ana experience yake.

    • @happymaimu4330
      @happymaimu4330 9 หลายเดือนก่อน

      Mm natamani kuja huko KUSOMA postgraduate nifanyaje ndugu?

    • @devidjav3583
      @devidjav3583 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@happymaimu4330apply Kwa shule direct

  • @user-xo5cx2ru2t
    @user-xo5cx2ru2t 10 หลายเดือนก่อน +1

    Good interview

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน

      Thank you

  • @MulumeBaragizi
    @MulumeBaragizi 4 หลายเดือนก่อน

    Guanini Willis she also making my community

  • @Directorsunga
    @Directorsunga 10 หลายเดือนก่อน +4

    Actually this is most valuable interview I have watched 🎉🎉❤❤

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน +1

      Say that again🙌🏾👏🏾👏🏾. Sure it is. Thank you for the feeback

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e 10 หลายเดือนก่อน +1

    Jacque umedili lisha

  • @williamkeita1519
    @williamkeita1519 9 หลายเดือนก่อน +1

    Respect from 255

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  9 หลายเดือนก่อน

      Thank you William

  • @Eng2460
    @Eng2460 5 หลายเดือนก่อน

    Nice interview,Hongera witness🤝

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  5 หลายเดือนก่อน

      Asante sana Davis.

  • @Directorsunga
    @Directorsunga 10 หลายเดือนก่อน +3

    Watu wangu wa nyumbani kabisa mlimhola ghete 😊

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 4 หลายเดือนก่อน

    OK

  • @denissilver3551
    @denissilver3551 10 หลายเดือนก่อน

    Watanzaniaaa mpo wachacheeee

  • @umelamedia
    @umelamedia 10 หลายเดือนก่อน +1

    All in all Tanzania 🇹🇿 tuko poa

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน

      Thank you so much for watching

  • @laurentedward1081
    @laurentedward1081 10 หลายเดือนก่อน +2

    Nili fatilia china na marekani kwenye miji na vijiji daaaa China iko juuu Zaid

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 10 หลายเดือนก่อน +1

      china hakuna kazi kwa wageni

    • @amoskagika8884
      @amoskagika8884 9 หลายเดือนก่อน

      @@kwisa4899kabisaaaa

  • @Ajome_Family
    @Ajome_Family 10 หลายเดือนก่อน +3

    Interview imetulia

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน +1

      Asante sanaa

  • @charlesjaphet5768
    @charlesjaphet5768 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nipo Tanzania nawapata vizuri

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน

      Thank you charles

  • @user-ij9sc8cp8v
    @user-ij9sc8cp8v 10 หลายเดือนก่อน

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน

      ❤️❤️

  • @dictarchelsea
    @dictarchelsea 10 หลายเดือนก่อน +1

    witness ko wasukuma ni washamba Sisi??🙄😂 tutawashangaza

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣🤣nisameheni jamani

  • @ahazimzebo9086
    @ahazimzebo9086 10 หลายเดือนก่อน +1

    Interview ni nzuri

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน

      Shukrani sana kwa kuangalia

  • @nickylyanga2139
    @nickylyanga2139 10 หลายเดือนก่อน

    Ngoja niweke bando kbs wooou🎉😢😅😅😅😂

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน

      Haswaa🙌🏾👏🏾

  • @MulumeBaragizi
    @MulumeBaragizi 4 หลายเดือนก่อน

    You have a panda sound like Tanzania me navigate

  • @thomasadriano4191
    @thomasadriano4191 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nakupata vizuri kutoka kahama,kagongwa

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน +1

      Salaam Kahama

    • @thomasadriano4191
      @thomasadriano4191 10 หลายเดือนก่อน

      @@Witnessvlog zimewafikia saaana wasalimie huko ulikoooo 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน

      @thomasadriano4191 Shukrani sana

  • @user-jy3sw2jj4f
    @user-jy3sw2jj4f 10 หลายเดือนก่อน +1

    brother Ako anaye anaye fanya vulgo Russian account yake ya TH-cam inaitwa je

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน

      Sijaelewa

  • @nassinassor872
    @nassinassor872 10 หลายเดือนก่อน +1

    Marekani ni jina tu,lakini ni inchi ya kipumbavu sana,siyo inchi ya kuishi

    • @ahmedjuma397
      @ahmedjuma397 10 หลายเดือนก่อน

      marekani ni ngumu sana kama hutokua mpambanaji na kama hautoheshimu na kufata sheria zao ila kwa kipato mimi sitaki kwenda nchi nyengine mana najua sitopata kama ninavopata hapa watu wengi wavivu hukimbilia canada kwenda kulelewa na serikali 😅 by the way majembe tu ndo tunaweza kuishi USA nyie wengine bakini uko mulipiwe kodi na serikali

  • @mcjadu2513
    @mcjadu2513 10 หลายเดือนก่อน

    Dar es salaam Tanzania 🇹🇿

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน

      I see you😊

  • @nassinassor872
    @nassinassor872 10 หลายเดือนก่อน +2

    Siyo tu calfornia yenye homeless,karibia marekani nzima ina homeless.

    • @dorahmcharo3083
      @dorahmcharo3083 10 หลายเดือนก่อน +2

      Wanaoongoza kwa homeless nahisi ni Philadelphia, New York upande wa chini na New Jersey. Hii miji kuna maeneo ni machafu imejaa mateja unaweza hisi haupo America.

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน

      @dorahmcharo3083 whoa! asante kwa kutwambia zaidi

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 10 หลายเดือนก่อน

      Homeless ni kawaida wanalipa rent kwa mwezi

  • @Salumchiwili2023
    @Salumchiwili2023 10 หลายเดือนก่อน

    Uko na mwanangu jack mzee rodeo drive 😅

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน

      😊 He is good

  • @user-mt3id9lt2n
    @user-mt3id9lt2n 10 หลายเดือนก่อน

    From tz no problem Jack wa U S A Niko zangu home chekanao village kiteto manyara nakufwatilieni Na my ccter witness

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน

      Thank your bro

    • @zuli.comedy.
      @zuli.comedy. 10 หลายเดือนก่อน

      Wa nyumbn kbc matui me nipo namibia

    • @user-mt3id9lt2n
      @user-mt3id9lt2n 10 หลายเดือนก่อน +1

      @@zuli.comedy. Allah atulinde sote ndugu yangu

    • @user-kr2yk6gn4q
      @user-kr2yk6gn4q 5 หลายเดือนก่อน

      Mambo from Daresalam vip uko manyara

  • @nassinassor872
    @nassinassor872 10 หลายเดือนก่อน

    Na inchi nyingine nzuri kwa kuishi ni iceland

    • @ahmedjuma397
      @ahmedjuma397 10 หลายเดือนก่อน

      ndugu nipo marekani sio miaka mingi nimeingia hapa ila watu wavivu na wasio wachapa kazi nimewapita kimaendeleo sana na wao wamenitangulia kwa miaka 5 sasa kama wewe ni mpambanaji marekani ni sehemu ya kutengeneza maisha kwa haraka sana ukijituma uhakika kwa kazi hizi za kawaida utaingiza hata dola laki 1 kwa mwaka iyo ni kazi ya kawaida endapo utakua na social ila uwe ni mpambanaji sio unafanya masaa 8 kisha unaenda kulala nyumbani na kujiposti instagram bill ni kawaida watu wanakopa magari wanakopa nyumba sasa kwanini usilipe na umekopa ok kodi za serikali za ni za kawaida ambazo zinakuja kurudi kwako baadae km hazijarudi basi zitakusaidia kwa njia tofauti

  • @MichaelSimba-nk7mu
    @MichaelSimba-nk7mu 8 หลายเดือนก่อน

    Ukiwa na Utashi

  • @stannydidasy
    @stannydidasy 10 หลายเดือนก่อน +1

    🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน

      🔥🔥

  • @Witnessvlog
    @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน +1

    Habarini ndugu .
    Subscribe kwenye channel ya jack 👇🏿
    youtube.com/@jackwausa?si=N3NYrNlsCCnQTWYm
    Pia Naombeni usubscribe kwenye channel yangu ya pili ya kingereza
    youtube.com/@witnessvlogenglish?si=ut-wRUSgEPFfvfSi
    Asante

  • @sospeteralex378
    @sospeteralex378 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nipo mwanza

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน

      Thanks for watching

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866 10 หลายเดือนก่อน

    Ninakuona home boy

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน +1

      🙌🏾

  • @robertnkaragano298
    @robertnkaragano298 8 หลายเดือนก่อน

    Mbona km mnafanana saaana

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  8 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣🙌🏾

  • @soweto05
    @soweto05 10 หลายเดือนก่อน

    Niko kigoma nakufatilia sana ja wa usa.

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน

      Asante sana kwa kuangalia. Hakika yuko vizuri

  • @ruthmukami7573
    @ruthmukami7573 5 หลายเดือนก่อน

    Sababu ya homeless ya watu weusi ni history yao ya discrimination, Jack kasahau hiyo.

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  5 หลายเดือนก่อน +1

      It might be a reason but not necessarily. Thank you for your comment

    • @ruthmukami7573
      @ruthmukami7573 5 หลายเดือนก่อน

      Hey there kaka Jack... ok tuingie kwenye debate basi... you ever see parts of the county in a state like Mississippi that have alot of minorities... check out their services there.. go to that Walmart or another store. Compare to a Walmart in Hollywood or with a huge caucasian people. Very different. Prices, items etc. Clinics, day cares, even hospitals they are quite different in terms of their services they provide depending on locations. Now having said, I completely agree with you that it may not be a direct reason why people are homeless but it's definitely a contributing factor. It makes it harder but not impossible for a black or minority person living and competing on unequal territory. Think about it? nakupenda bure lakini !!!and (by the way you are talking to an educated lady with a Masters Degree in Social Work attained at Howard University....lol. one day would love tuongee face time on how allocation of resources in this country is a huge contributing factor to homelessness..

    • @ruthmukami7573
      @ruthmukami7573 5 หลายเดือนก่อน +1

      Also this one is also a huge factor that you mentioned. Mental health. In terms of Alcoholism and drugs, this is a huge factor. They continue to target the minority population on where pombe is sold. Kila kona kuna maduka ya pombe in a poor area, very sad 😿

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  5 หลายเดือนก่อน +1

      @ruthmukami7573 Well said. Hata miaka ya nyuma wazungu walisambaratisha umoja wa waafrika kwa kuwauzia drugs ila wasifight against American racist system

  • @juma2979
    @juma2979 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nchi nzr kwa kuishi ni Dubai peke yke coz hii nchi huckii mtu kauwawa kwa kuchomwa kisu au kupigwa risasi yani UAE iki vzr sana.

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน +1

      Ila kweli sijawahi sikia matukio ya hivyo dubai. Wako vizuri kwakweli

    • @SamwelJoseph-yk3cw
      @SamwelJoseph-yk3cw 10 หลายเดือนก่อน

      Na australia je?

    • @anastaziamathias8861
      @anastaziamathias8861 9 หลายเดือนก่อน

      Waarabu Wana ubaguzi WA kazi Kwa wageni sanaaa kingine nao wanauwana Tu mfano majuzi Tu kijana kapewa adhabu ya kachinjwa sababu kamuua binamu yake yaani mauwaji NI dunia nzima Tu nchi zuri za kuishi NI ulaya na canada

    • @devidjav3583
      @devidjav3583 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@anastaziamathias8861Kwa usalama hakuna nchi inafika kiwango Cha UAE, very safe ila kule unaishi tu kazi za mshahara mdogo haki maisha dubai

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 10 หลายเดือนก่อน

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌。

  • @tanzaleo8670
    @tanzaleo8670 10 หลายเดือนก่อน

    RUDINI NYUMBANI KUMENOGA

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน

      Twaja twaja

  • @user-ju8dn5jt3p
    @user-ju8dn5jt3p 9 หลายเดือนก่อน

    Jack uko poa san

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  9 หลายเดือนก่อน

      Yuko vizuri mnoo

    • @CarvinMichael
      @CarvinMichael 9 หลายเดือนก่อน +1

      @@Witnessvlog Jack .nakuelewa sana unaotuonyesha mitaa.kama tumefika malekan

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  9 หลายเดือนก่อน

      @CarvinMichael Kabisa

  • @Arnolvel
    @Arnolvel 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mnaikandia USA lol!!! Kila mtu na priority yke

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน +2

      Ni kweli kila mtu ana mawazo yake

  • @neemahappyeverafter6181
    @neemahappyeverafter6181 10 หลายเดือนก่อน +1

    @jackwausa watu wa kigoma tunaku zoom hapa .

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣Yani ni uchokozi huo

  • @happynessphilemon-qz8rf
    @happynessphilemon-qz8rf 9 หลายเดือนก่อน

    Instagram ya Jack ni ipi?

  • @msengasikaonga3039
    @msengasikaonga3039 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nakufatilia sana Niko Kitwe Zambia

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  10 หลายเดือนก่อน +1

      I see you brother