Ahsante mama. Mbali ya hizo kazi zako nakunasihi ifanye Quran rafiki yako mkubwa. Jaribu kuisoma na ufahamu tafsiri yake na ikuwezekana fanya bidii ya kuhifadhi japo kidogo. Ukweli itakutibu stess sana na kukusaidia kwa mengi. Tafsiri ya Quran kwa Kiswahili inapatikana mtandaoni ya Sheikh Ali Muhsin. Maisha mema
Samahani sana lkn inabidi tuseme ukweli ili watu waweze kujikwamua mana wengi husikitika stress/upweke na mwisho wake baadhi Yao huishia magomjwa ya akili, Allah atuhifadhi sote, amiin
Wa Aleykum salam sister Jamila na mimi na ndugu zangu tunakupenda fi Allah daima twakutaja kwa kheri unatuchekesha Jazashi'Allah kil'kher Allah akufanyieni wepesi na faraja katika kila gumu Liwe jepesi🤲 Kwa kweli sisi binadam tupo kwenye mitihani popote utapoishi ulimwenguni ikiwa kwenu au ugenini - Lamuhimu tuwe na Subra - Allah anatupa mitihani anatupima Imani zetu either tushukuru or tukufuru - tunamuomba Allah atuvushe salama kwenye mitihani anayotupa ya duniani na ya akhera na atujaalie khatima njema tuingie peponi In'Sha'Allah. ILa tujitahidi na silaha tatu za muhimu iLi tupambane na maisha - yakwanza ni (Iman kwa Mungu), Tuamini kuwa m'mungu ni mmoja hakuna mwingine na yeye ni muweza wa kila kitu Kwahiyo daima tumtegemee - na mwenye kumtegemea m'mungu anamjaalia milango ya faraja La muhim tusichoke kumuomba na kumuabudu. - Silaha ya pili Subra, tumuombe Allah atupe Subra fa Inna Allah masabrin m'mungu yupo na wenye kusubiri - Na silaha ya tatu Shukur kwa Allah, Daima tumshukuru Allah kwa kila kitu kwa furaha na karaha, tumshukuru kwa kila neema yoyote alotupa japo ndogo yaani tukinai - neema ya kwanza na muhim sana neema ya Uislam na kitabu chake katushushia Qurani wache tuijaalie iwe rafiki yetu inatupa Subra, raha ya nafsi, inatufungua akili, inatupa maarifa ukiifaham, na inatufundisha tusoyajuwa ya kumridhisha m'mungu. Tumshukuru Allah akitupa Afya, kwani wengi hawana upweke wame zungukwa na ndugu na majirani Lakini hawana Afya, hawawezi hata kutoka nje ya Nyumba na kuwatembelea watu. kila tukiamka asubuhi tuseme Alhamdulilah bado unaishi na una afya njema. Sister Jamila mashallah M'mungu kakuumba mzuri, bashusha, mcheshi na una imani, kakuruzuku mume na watoto you have nice family Alla ibarik mashallah mupo pamoja, mupo happy Alhamdulilah Allah akulindeni na kila mabaya In'Shaa'Allah wengi hawajaolewa au wameolewa Lakini hawana watoto - nakama usemavyo these days kuna mitandao ina turahisishia mengi Alhamdulilah tunaonana kwa sauti na picha tunashea online ikiwa sherehe or masomo upo nyumbani kwako Lakini unahudhuria live, bila ya kuhitajia kutoka au kuhitajia gari, wala safari yaani wajib tuseme Alhamdulilah rabil'alamin 🤲 kulinganisha na zamani mtu akisafiri hawawasiliani ILa kwa baruwa uifate post kama unamiliki postbox Otherwise inapita miaka mpaka iLi muonane tena mkijaaliwa uhai. Subhanallah kila jambo lina kheri yake Bora uko kivulini unakula na kulala pazuri wenzetu wapo vitani wakiishi Leo hawadhamini kesho - Let be positive huo upweke Labda Allah anakuepusheni na mengi mabaya na hasa huko hakufanani na mazingara yetu kama usemavyo - tusichukie kitu Labda kina kheri na sisi - tuchukulie kuwa upweke ulikuwa kama sababu na chanzo cha kuzinduka na kuchukua uamuzi upate kujishughulisha kwenye manufaa na In'sha'Allah yawe manufaa ya duniani na akhera - Mathalan faragha imekupa fikra ya kujilewaza na kulewaza wenzako kwa njia ya mtandao unatuchekesha tunafurahi unapata thawabu - tunaambiwa tabasam au kucheka kwenye uso wa ndugu yako muislam sadaqa😊 mimi kila siku nakutafuta mtandaoni Nipate kucheka umetufundisha Mahamri 😅namengi Jazashi'Allah kil'kher 🤲 Tuseme Alhamdulilah rabil'alamin kwa kila hali. Go ahead dear Allah karim - big hug with Love ❤️🌹
Alhamdulillah 'alaa kuli hali. Pole dada kwa huo upweke ni ngumu sana maisha ya ng'ambo mswahili ni kiumbe ameumbwa kuishi na jamii kwa furaha na amani.
Shukran Jamila... alhamdulillah MEM ametufundisha dini, Imani kwa hivyo we try our best but as a physician you can't help but feel sorry for elderly patients who just want somebody to talk to or have been abandoned by their families or countless people with depression and suicidal idealities..the basis is all loneliness. Thank you for bringing awareness to this topic. We love your videos. Mandaazi is not the same as mahambri. Regards from Virginia. Watu huku udegene utetene..love from Lamu
Ninkweli unayosema watu wetu wakisikia fulan yupo amerika wao waona yupo jannat firdous hawajui maisha ya huko yalivyo Allah atawastir daima dini na ibada ndio silah ya muislam quraan itawakinga na kila shari Allahuma Amin
Kweli maneno yako habibty... I can clearly relate to what you are saying sister.. It's not easy but that is life alhamdulillah na kila kitu ni makatib... Waarabu wasema "al ghurba saa'ba'" ugenini ni ngumu si rahisi... Mimi huondowa upweke hasusan nikiwa peke yangu nyumbani kwa kuskiza utube darsas za different shuyukh one of them ni sheikh Izzudin na jokes zake at times😅 huwa najskia niko home away from home😂 na naskiza kwa sauti ya juu kama vile radio.. so huku nafanya my house chores na huku naskiza durus nafaidika at the same time alhamdulillah... this is how I find relief and content in my heart😊 Be strong habibty and remember you are not alone Allah is with us all😊 Sending dua'a and hugs your way❤
Naam Kabisa na siye wengine tuko km miji ya huko kuwa na Allah Subhaana ❤ Kila wakati dini imekupangiya mpangiliwo wote WA siku nzima unatakiwa Nini ufanye Ili ufarijike ukitaka mzungumzaji kuraani inakutosha Alhamdulillah una Mume watoto dini liislaamu ❤ ni neema kubwa tuliya jipumzishe neema kubwa halikufiki jambo ila limekadiriwa maisha ni mpangiliwo upumzishe Moyo upumzike una sehemu yake ridhika na ushukuri mengine ni makubwa zaidi yetu siye tuseme Alhamdulillah tumuachiye Allah Subhaana vna viumbe wake In Shaa Allah
Maa shaa Allah angalau nimekutana na msg ya maoni yangu. Ttzo wengi wao hua si wenye kujishughulisha na dini na hata uchaguzi wa marafiki. Nchi hii ukiikosea mtihani!!!
Kwanza nakupa pole kwa maisha ya ugenini.Insha Allah Mola akujalieni kipato hicho mlokiendea.mkifanikiwa basi rudini kwenu.mtu kwao.hayo si maisha 😮. hususan kwa watoto.Subhana Allah .fikirieni kuna kesho mtaulizwa wachungaji.nini ulichokichunga.dada angu jiandae.
Nchi hzi upweke upo lkn ukiutaka kwa sbbu mambo yapo mengi yakufanya. Misikitini darsa za kusoma/kujifunza Qur-an na pirika tofauti zpo, kazi za ndani ya nyumba zinakutosha pia si kidogo na hatuna wafanyakazi, km waisilam pia kujitahid kusoma Qur-an na kuhifadhi japo sura ndogo ndogo, kazi za kuajiriwa zimejaa za kufanya ujipatie pesa nk, sehemu za kutembea na wtto au km hamna pia zimejaa! Upweke unatoka wapi????? Mm nahisi inategemea na maisha uliotokea Afrika, ikiwa ulikua mtu wa vibaraza, umbea utaona upweke lkn km ulikua mtu wa pirika zako mwenyewe hujisikii upweke.
Ni kweli kabisa upweke na faragha ni kitu kibaya Sana.. Mimi mke wangu kasafiri miezi minne tu basi unaona upweke Sana Ile siku yake ya kurudi unaiona mbali ni kwa sababu nchi za nje hizi upweke unakuwa mkubwa Sana.. Labda upate mambo ya kujibabaisha labda mazoezi kwenda mpirani.. Allah atupe nguvu na subra
Pole sana na Hongera Kwa kuwajuza wale wote wenye Tamaa ya kufika huko! Kwa uelewa wangu kila kitu kina Hasi na Chanya, huko pia kuna Hasi na Chanya, na huku kwetu kuna Hasi na Chanya, kama kuna changamoto hiyo huko basi chukua yaliyo Chanya ya huko na uyaache yaliyo Hasi na ikiwezekana kuchukua yaliyo Chanya , baadae pima mwenyewe Hasi na Chanya za nyumbani Afrika na za huko Bora wapi, halafu chukua hatua! Kumbuka Tu waswahili wanausemi wao kuwa " mwenda kwao si mtumwa ", na wazungu pia Wana usemi wao "Go East, West, South, North , but home is the best"
Na nyie mnaojitia hamna haraka ndio number moja kwa kuvuruga akili za jamaa zenu. Mana wengi wenu mmekaa huko mara niletee I phone 14 pro max wkt mwenzio hata kuijua haijua, Mara mnadai viwango vikubwa vya pesa na kusingizia majanga Mara umeezukiwa na bati Mara unauguliwa, Mara hli Mara lile, Mara mnawadanganya kufanya biashara mnawadhulumu Mara wanakuaminini muwajengee mnawadhulumu na kuwajengea vibanda mitaa ya ng’ambu na kuwatumia picha za nyumba za mitaa ya ghali au mnazila kabisa pesa zote hakuna hata kibanda mnaongezea wake au mnalia samaki wanene.
ASALAM POLENI SAANA NDUGU ZETU MLIOKUWA NJE KUMBE MNACHANGAMOTO SAANA ALLWAA ATAWANUSURUU . CHA ZIADA SWALA NA DUA . MAISHA NDIO YANAYOTUHANGAISHAA ALLWAA KARIM
Hakuna mahali nimetaja maneno uliyoyasema wewe, SoubhanaAllah kumshutumu mtu ni vibaya au kuchanganya waliokuwemo na wasiokuwemo pia sio Sawa. Allah atusameh in Shaa Allah Ameen
@@jkizondoswahilibites434.Kasema wengi lkn sio wote. Na hlo alilolisema lipo. Tuishini kiisilam na tutafute marafiki wa kiisilam wenye tabia nzuri akili zetu ziondokane na kutawaliwa na shaitwani. Mm nashauri sana hayo pamoja na kutafuta marafiki wa mataifa mengine ambao wanadini, imani na upendo wa kweli. W’ke wa nyumbani wengi wao akili zetawaliwa na hasad na ushaitwani. Hata ushauri hawana mana km huku Ulaya unakuta w’ke wa nyumbani wengi wao wanavuta waume zao huwafundisha waseme hawana waume au wenyewe wanapenda kufanya hayo huwaambia waume zao. Ssa ikiwa m’ke anaakili hzo za kuvuta unategemea atakushauri nn??? Ikiwa hata mwenyewe haki zake za kujuilikanq ndani ya nch kua anamume hazitaki.
Watu wengi sana wanawekeza lkn mnawadhulumu, na wengine mnawapa mizigo mingi sana kwa kuwakusanyia mttzo ya uwongo mara Leo bati limeizuka nitumie pesa Mara mtto anaumwa, Mara hli Mara lile ilimradi wengi wao unakuta pesa kuieka si rahisi km mmemfunganishia chuma ulete/mana akipata mnajua mnaziagiza kwa kujipachika majanga au kumlaghai kibiashara. Unakuta mtu awe na akili sana nchi hzi ndio aweze kueka pesa mpaka akiamua kurudi afanye mwenyewe la maana. Mana hata mkitumiwa na mwenyewe yupo huku mnakula na kufanyia yenu.
Unakuta mtu anakupangia mipango ya kupata millions lkn ukimpelekea pesa anakwambia biashara imeharibika hii hasara tupu wkt pesa ushamkabidhi na ashazivuruga au kishafanyia yake. Hata ukimpa mtu mtaji atafute daladala ili ajiweze basi pesa ya kupelekea garage ikiharibika atataka itoke kwako. Acha watu wazeeke alipowapangia Allah usiwape stress! Huezi kujua ya mbele yako naww unaeza kujq kizee huku! kuja kizee huku km Mungu kakupangia. Muombe Allah kile unachokipenda na hakuna ufundi wala ujuaji, maisha yetu yapo mikononi mwa Allah! Anapopataka yy ndio utapopaishi na asipopataka huishi!!!! Usistress watu na wala usiruhusu mtu kukustress kwenye jambo ambalo lipo nje ya uwezo wako! Muamini Allah na muombe Allah na muachie yy Allah!
Dear Rushyfah 😀😀 Shukran kwa kunisaidia kuwaelewesha Maana wengine tupo tupo tu hatuelewi mada za video za wenzetu SoubhanaAllah ila ni kashfa tuuu SoubhanaAllah. Shukran habbty
@@jkizondoswahilibites434 - ahsante,, karibu sana - ni ujinga kumtukana mtu ambaye hatukani na kila neno anamtaja Allah, anakurupuka mtu from no where anatukana matusi ya nguoni. kama si mtu mjinga alolaanika atakuwa ni binadamu wa dunia gani? ni kutafuta kulaanika tu..
Ahsante mama. Mbali ya hizo kazi zako nakunasihi ifanye Quran rafiki yako mkubwa. Jaribu kuisoma na ufahamu tafsiri yake na ikuwezekana fanya bidii ya kuhifadhi japo kidogo. Ukweli itakutibu stess sana na kukusaidia kwa mengi. Tafsiri ya Quran kwa Kiswahili inapatikana mtandaoni ya Sheikh Ali Muhsin. Maisha mema
MashaAllah Shukran sana kwa maoni yako mazuri ambayo tayari nayafanyia kaxi JazakaAllahu khairan
Samahani sana lkn inabidi tuseme ukweli ili watu waweze kujikwamua mana wengi husikitika stress/upweke na mwisho wake baadhi Yao huishia magomjwa ya akili, Allah atuhifadhi sote, amiin
@@Fear_Allah394i
Kweli kabisa.Ukifanya Qur'aan rafiki yako itakuzowea na utahisi upweke unapoikosa.
Subhannallah mola awahifadhi ummat Muhammad mola awajaalie mushike dini sana msiache quraan na sunna wewe na family yako
Allah akupe wepesi. Njoo huku utulie Aunt!
Jamila Allah is with you...may he protect you....
Wa Aleykum salam sister Jamila na mimi na ndugu zangu tunakupenda fi Allah daima twakutaja kwa kheri unatuchekesha Jazashi'Allah kil'kher Allah akufanyieni wepesi na faraja katika kila gumu Liwe jepesi🤲
Kwa kweli sisi binadam tupo kwenye mitihani popote utapoishi ulimwenguni ikiwa kwenu au ugenini - Lamuhimu tuwe na Subra - Allah anatupa mitihani anatupima Imani zetu either tushukuru or tukufuru - tunamuomba Allah atuvushe salama kwenye mitihani anayotupa ya duniani na ya akhera na atujaalie khatima njema tuingie peponi In'Sha'Allah.
ILa tujitahidi na silaha tatu za muhimu iLi tupambane na maisha - yakwanza ni (Iman kwa Mungu), Tuamini kuwa m'mungu ni mmoja hakuna mwingine na yeye ni muweza wa kila kitu Kwahiyo daima tumtegemee - na mwenye kumtegemea m'mungu anamjaalia milango ya faraja La muhim tusichoke kumuomba na kumuabudu. - Silaha ya pili Subra, tumuombe Allah atupe Subra fa Inna Allah masabrin m'mungu yupo na wenye kusubiri - Na silaha ya tatu Shukur kwa Allah, Daima tumshukuru Allah kwa kila kitu kwa furaha na karaha, tumshukuru kwa kila neema yoyote alotupa japo ndogo yaani tukinai - neema ya kwanza na muhim sana neema ya Uislam na kitabu chake katushushia Qurani wache tuijaalie iwe rafiki yetu inatupa Subra, raha ya nafsi, inatufungua akili,
inatupa maarifa ukiifaham, na inatufundisha tusoyajuwa ya kumridhisha m'mungu. Tumshukuru Allah
akitupa Afya, kwani wengi hawana upweke wame zungukwa na ndugu na majirani Lakini hawana Afya, hawawezi hata kutoka nje ya Nyumba na kuwatembelea watu.
kila tukiamka asubuhi tuseme Alhamdulilah bado unaishi na una afya njema. Sister Jamila mashallah M'mungu kakuumba mzuri, bashusha, mcheshi na una imani, kakuruzuku mume na watoto you have nice family Alla ibarik mashallah mupo pamoja, mupo happy Alhamdulilah Allah akulindeni na kila mabaya In'Shaa'Allah
wengi hawajaolewa au wameolewa Lakini hawana watoto - nakama usemavyo these days kuna mitandao ina turahisishia mengi Alhamdulilah tunaonana kwa sauti na picha tunashea online ikiwa sherehe or masomo upo nyumbani kwako Lakini unahudhuria live, bila ya kuhitajia kutoka au kuhitajia gari, wala safari yaani wajib tuseme Alhamdulilah rabil'alamin 🤲 kulinganisha na zamani mtu akisafiri hawawasiliani ILa kwa baruwa uifate post kama unamiliki postbox Otherwise inapita miaka mpaka iLi muonane tena mkijaaliwa uhai.
Subhanallah kila jambo lina kheri yake Bora uko kivulini unakula na kulala pazuri wenzetu wapo vitani wakiishi Leo hawadhamini kesho - Let be positive huo upweke Labda Allah anakuepusheni na mengi mabaya na hasa huko hakufanani na mazingara yetu kama usemavyo - tusichukie kitu Labda kina kheri na sisi - tuchukulie kuwa upweke ulikuwa kama sababu na chanzo cha kuzinduka na kuchukua uamuzi upate kujishughulisha kwenye manufaa na In'sha'Allah yawe manufaa ya duniani na akhera - Mathalan faragha imekupa fikra ya kujilewaza na kulewaza wenzako kwa njia ya mtandao unatuchekesha tunafurahi unapata thawabu - tunaambiwa tabasam au kucheka kwenye uso wa ndugu yako muislam sadaqa😊 mimi kila siku nakutafuta mtandaoni Nipate kucheka umetufundisha Mahamri 😅namengi Jazashi'Allah kil'kher 🤲
Tuseme Alhamdulilah rabil'alamin kwa kila hali.
Go ahead dear Allah karim - big hug with Love ❤️🌹
MashaAllah Alhamdulillah kwa maneno yako mazuri na ya busara ❤️❤️. Alhamdulillah JazakaAllahu khairan ❤️❤️
Mwenyezi Mungu atufanyie wepesi...shida zetu zikisha turudi nyumbani, salama insha Allah
Amen yaa rabb
Amini yarabi mungu atujalie salama inshaallah
Mashaaallah! Allah akusahilishie wewe , ayla yako na sisi tulio huku na ayla zetu. amyn!
Alhamdulillah 'alaa kuli hali.
Pole dada kwa huo upweke ni ngumu sana maisha ya ng'ambo mswahili ni kiumbe ameumbwa kuishi na jamii kwa furaha na amani.
Mtihani, aunty unacheka na embe! Allah atufanyie wepesi na mazonge ya dunia.
Shukran Jamila... alhamdulillah MEM ametufundisha dini, Imani kwa hivyo we try our best but as a physician you can't help but feel sorry for elderly patients who just want somebody to talk to or have been abandoned by their families or countless people with depression and suicidal idealities..the basis is all loneliness. Thank you for bringing awareness to this topic. We love your videos. Mandaazi is not the same as mahambri. Regards from Virginia. Watu huku udegene utetene..love from Lamu
na sie twakupenda kwa ajili ya Allah... Shukran mwenyezi Mungu akulinde inshallah
Allah awahifadhi,
muko na chance mzuri yakuhifadhi maneno ya Allah (qur'an)
Ninkweli unayosema watu wetu wakisikia fulan yupo amerika wao waona yupo jannat firdous hawajui maisha ya huko yalivyo
Allah atawastir daima dini na ibada ndio silah ya muislam quraan itawakinga na kila shari Allahuma Amin
Masha Allah bless the good work of your hands 🙏🥰🌹🌹😍💐🌹🌹🌹🌹💐💐💐🙏🙏
Mashaallah twakupenda pia jamila Allah atawalinda na atulinde n sisi tulioko kenya
Hiyo nchi imelaaniwa fanyeni mpango muondoke hakuna maisha huko
Shukran mpenzi wangu Allah atakuzidishia Iman na upendo maneno yako yote ni ya ukweli
Kweli maneno yako habibty... I can clearly relate to what you are saying sister.. It's not easy but that is life alhamdulillah na kila kitu ni makatib... Waarabu wasema "al ghurba saa'ba'" ugenini ni ngumu si rahisi... Mimi huondowa upweke hasusan nikiwa peke yangu nyumbani kwa kuskiza utube darsas za different shuyukh one of them ni sheikh Izzudin na jokes zake at times😅 huwa najskia niko home away from home😂 na naskiza kwa sauti ya juu kama vile radio.. so huku nafanya my house chores na huku naskiza durus nafaidika at the same time alhamdulillah... this is how I find relief and content in my heart😊 Be strong habibty and remember you are not alone Allah is with us all😊 Sending dua'a and hugs your way❤
Naam Kabisa na siye wengine tuko km miji ya huko kuwa na Allah Subhaana ❤ Kila wakati dini imekupangiya mpangiliwo wote WA siku nzima unatakiwa Nini ufanye Ili ufarijike ukitaka mzungumzaji kuraani inakutosha Alhamdulillah una Mume watoto dini liislaamu ❤ ni neema kubwa tuliya jipumzishe neema kubwa halikufiki jambo ila limekadiriwa maisha ni mpangiliwo upumzishe Moyo upumzike una sehemu yake ridhika na ushukuri mengine ni makubwa zaidi yetu siye tuseme Alhamdulillah tumuachiye Allah Subhaana vna viumbe wake In Shaa Allah
Maa shaa Allah angalau nimekutana na msg ya maoni yangu. Ttzo wengi wao hua si wenye kujishughulisha na dini na hata uchaguzi wa marafiki. Nchi hii ukiikosea mtihani!!!
Waleikum Salam warahmatulwahi wabarakatu na siye twakupenda kwa ajili ya Allah Jazakilahu khairan
asante kwetu pazuri mno naipenda sana tanzania yetu upendo bado upo
Kwanza nakupa pole kwa maisha ya ugenini.Insha Allah Mola akujalieni kipato hicho mlokiendea.mkifanikiwa basi rudini kwenu.mtu kwao.hayo si maisha 😮. hususan kwa watoto.Subhana Allah .fikirieni kuna kesho mtaulizwa wachungaji.nini ulichokichunga.dada angu jiandae.
Naaam shukrn sana kwa kutujuza na ALLAAh akuhifadhi wew na SiS pia
Huwa nakupenda sanaaaaaa sana mpaka nashanga wallah Allah akujaarie kila la kheri Amiina inshallah unanifurahisha nafurahi kukusikiliza pia
Asante mungu akubariki nikwel uyasemayo
shukran sana mama allah azidi kukuongoza katka dini ya uislamu na akukinge na shari za viumbe vyenye kudhuru
Watu huwatwa Makwao kwa shida za kilimwengu ALLAH AWAHIFADHI YAARAB🤲🏽
Aaaalllah anatumpenda sana❤❤
Assallam aleykum warahmatullahi wabarakatuh,shukran sana dadangu Allah barik inshallah 💞💞you so much dear from kenya
Shukran dadangu nakupenda pia 🥰
Nchi hzi upweke upo lkn ukiutaka kwa sbbu mambo yapo mengi yakufanya. Misikitini darsa za kusoma/kujifunza Qur-an na pirika tofauti zpo, kazi za ndani ya nyumba zinakutosha pia si kidogo na hatuna wafanyakazi, km waisilam pia kujitahid kusoma Qur-an na kuhifadhi japo sura ndogo ndogo, kazi za kuajiriwa zimejaa za kufanya ujipatie pesa nk, sehemu za kutembea na wtto au km hamna pia zimejaa! Upweke unatoka wapi?????
Mm nahisi inategemea na maisha uliotokea Afrika, ikiwa ulikua mtu wa vibaraza, umbea utaona upweke lkn km ulikua mtu wa pirika zako mwenyewe hujisikii upweke.
Waalaikumussalam Warahmatu llahi wabarakatuhu Habibty ❤❤❤❤
Ni kweli kabisa upweke na faragha ni kitu kibaya Sana.. Mimi mke wangu kasafiri miezi minne tu basi unaona upweke Sana Ile siku yake ya kurudi unaiona mbali ni kwa sababu nchi za nje hizi upweke unakuwa mkubwa Sana.. Labda upate mambo ya kujibabaisha labda mazoezi kwenda mpirani.. Allah atupe nguvu na subra
Kama jwatisha dada mutume murudi makwenu maisha ma uri ni kuwa na amani peace ya moyo kichwa hio tu nothing else
Ameeen &ameeen Inshallah shukran dada jamila
Ma sha Allah
Mashaallah Allah akuhifadhi daima na pia nauliza hayo maembe wafanya achari ya kulia wali au ni km mabuyu
Subhanalllah
Wa alaykum salaam my favorite sister
😂😂😂😂😂 loo nacheka mie..asaa.. huku nipo Spain na maisha ndo hvyo hvyo😅😅
Allah atakuhifadhi na mm pia Nakupenda
Pole sana na Hongera Kwa kuwajuza wale wote wenye Tamaa ya kufika huko! Kwa uelewa wangu kila kitu kina Hasi na Chanya, huko pia kuna Hasi na Chanya, na huku kwetu kuna Hasi na Chanya, kama kuna changamoto hiyo huko basi chukua yaliyo Chanya ya huko na uyaache yaliyo Hasi na ikiwezekana kuchukua yaliyo Chanya , baadae pima mwenyewe Hasi na Chanya za nyumbani Afrika na za huko Bora wapi, halafu chukua hatua! Kumbuka Tu waswahili wanausemi wao kuwa " mwenda kwao si mtumwa ", na wazungu pia Wana usemi wao "Go East, West, South, North , but home is the best"
Leo sheikh sijaona ndani hapo itabidi uje unitafsirie, kwa wakati wako😂😂😂
@@salma0000 Hasi (negative) , Chanya (positive), Kwa lugha nyepesi mabaya na mazuri,,,
MashaAllah kakangu Juma maneno kuntu ulosema yenye uzito wa busara MashaAllah Shukran sana, nimejifunza kitu from you shukran sana
@@jumakapilima7295 shukran
@@jkizondoswahilibites434 Shukran sana, hata Mimi pia nakiri nimejifunza sana Kwa maneno yako mazito kupitia clip hii! Be blessed!!
Subhanaallah
inshaAllah Allah atakusaidiya kwa kila jambo
Allah atawahifadhi leta adhkar kwa wingi na kusoma Quran, na dua kwa wingi, Allah yupo na nyinyi
Mimi niko Sweden na nakuelewa kabisa. Tena afadhali wewe uko na familia. Mimi niko peke yangu. InshaAllah Mola atatupa afueni
Kweri Allah atunusuru. Kuna muda kicwa kinaniuma mana natumia nguvu namuda mwingi kujiongeresha mwenyewe nawaza nakuwazua^😢
Jamila you are the best
Twakupenda pia kwa ajili ya Allah dadaa
Subhaana llwah Innaa lillaahi wainnaa ilayhi rajiuun
Ameen yaraab
ALLAH AKUBARIKI NA BIDII ZAKO NA KAZI ZAKO ZA MIKO O
SUBHANALLAH ALLAH😢
AMIN THUMMA AMIN
Jamila nakupenda dada angu
Ameen yaa rabb shukran sana
@@jkizondoswahilibites434 Kama unaona upweke huko nawashauri mmhamie Makha au Madina
Nakuelewa dadangu . Mimi pia nipo Marekan
Salam zangu kutoka neworleans Louisiana Nime furahi Sana nduguyagu maisha ya marekani
Shukran jaziira
soma sana qur an ifanye kuwa ndio rafiki yako
Mungu atawanusuru but ni hivo
Dada etu twakupenda sana
Aamin
Tinaongea na ukuta wakati kwetu tuna family.
Hahaha hatari
Pole ni rizki imekuita huko lakini kweli ni pagumu na maisha ya dhiki
Dooooh!polen kwa kweli,
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh mbone hamuombe kurudi nyumbani
Ameen Yarabb
Mashaallah na poleni sana
Uyo mama kashaona maisha ya uko alivo kwann asimpeleke mwenyewe mpaka akamfikisha lakini mnajitia mna haraka na kutafuta pesa
Na nyie mnaojitia hamna haraka ndio number moja kwa kuvuruga akili za jamaa zenu. Mana wengi wenu mmekaa huko mara niletee I phone 14 pro max wkt mwenzio hata kuijua haijua, Mara mnadai viwango vikubwa vya pesa na kusingizia majanga Mara umeezukiwa na bati Mara unauguliwa, Mara hli Mara lile, Mara mnawadanganya kufanya biashara mnawadhulumu Mara wanakuaminini muwajengee mnawadhulumu na kuwajengea vibanda mitaa ya ng’ambu na kuwatumia picha za nyumba za mitaa ya ghali au mnazila kabisa pesa zote hakuna hata kibanda mnaongezea wake au mnalia samaki wanene.
Mashallah
Kama unaona upweke hamieni Makha au Madina au mrudi nyumbani
Unaeza kuishi Makka, Madina na huko nyumbani na ukawa mpweke pia. Maisha bila ya Allah ppte pale yatakupa upweke na stress.
Wachaa upuzi weee
@@Fear_Allah394Kwa hiyo huyo Hana Allah ndiyo maana mpweke?
@@paulmushi2428. Jibu lako utapata kwenye Qur-an 13:28, Qur-an 20:124.
Amin yarabi thuma Amin
ASALAM POLENI SAANA NDUGU ZETU MLIOKUWA NJE KUMBE MNACHANGAMOTO SAANA ALLWAA ATAWANUSURUU . CHA ZIADA SWALA NA DUA . MAISHA NDIO YANAYOTUHANGAISHAA ALLWAA KARIM
Allah atawahifadhi awape na subra
Amen .🤲🤲🤲🤲
Ameen
Aaaalllahmdulilah
Ameen yarabbi 🤲
Watu hawajui nyumbani vile kuko hapa subhanallah
Na kama si msomaji vitabu ndo kamisaa😂😂😂
kitabu hakisomeki,labda movie
Asante Jamila
👍👊✌️.
❤❤❤
Allah atuhifadhi
Amiina allahumaa amiina
S.a habbty plz unaijua chapati ya oho plz vp unaipika na vitugani unatumia vya kupika
Wanawake wengi wanaishi kwa upweke kwa sababu ya tamaa zao,anamfukuza mwanaume au kumfungisha jela,ili hela ya Tax return aipate peke ake.
She has a husband and kids, the only time she feels lonely is when her husband and the kids are not home.
Hakuna mahali nimetaja maneno uliyoyasema wewe, SoubhanaAllah kumshutumu mtu ni vibaya au kuchanganya waliokuwemo na wasiokuwemo pia sio Sawa. Allah atusameh in Shaa Allah Ameen
@@jkizondoswahilibites434.Kasema wengi lkn sio wote. Na hlo alilolisema lipo. Tuishini kiisilam na tutafute marafiki wa kiisilam wenye tabia nzuri akili zetu ziondokane na kutawaliwa na shaitwani. Mm nashauri sana hayo pamoja na kutafuta marafiki wa mataifa mengine ambao wanadini, imani na upendo wa kweli. W’ke wa nyumbani wengi wao akili zetawaliwa na hasad na ushaitwani. Hata ushauri hawana mana km huku Ulaya unakuta w’ke wa nyumbani wengi wao wanavuta waume zao huwafundisha waseme hawana waume au wenyewe wanapenda kufanya hayo huwaambia waume zao. Ssa ikiwa m’ke anaakili hzo za kuvuta unategemea atakushauri nn??? Ikiwa hata mwenyewe haki zake za kujuilikanq ndani ya nch kua anamume hazitaki.
W’ke wengi sana wanashauriana upuuzi.
Ahsant my
Hayo maembe yatoka wapi
👏🏾👏🏾😥
Pia umefanya vizuri kusema watu wasiwe na tamaa ya kuja uko watosheke na ukuuku waliko matamaa ya mapesa simazuri tujifunze kushukuru
kweli kabisaa wallay maisha ya huku america ulaya heee yataka subra kweli kweli house maid hawapo kazi zote utajijuwa hahaha
Sister wa Sama Sawa sawa
Tafteni rizku muje muwekeze kwenu,musiombe kuzeekea huko,kwatisha,kwetu waislamu usiseme twachukiwa kweli kweli.
Kwa asiye na akili basi hata ukimtia akili ni kupoteza wakati, ila kwa mwenye akili zake anajua hakuna kama kurudi nyumbani.
Watu wengi sana wanawekeza lkn mnawadhulumu, na wengine mnawapa mizigo mingi sana kwa kuwakusanyia mttzo ya uwongo mara Leo bati limeizuka nitumie pesa Mara mtto anaumwa, Mara hli Mara lile ilimradi wengi wao unakuta pesa kuieka si rahisi km mmemfunganishia chuma ulete/mana akipata mnajua mnaziagiza kwa kujipachika majanga au kumlaghai kibiashara. Unakuta mtu awe na akili sana nchi hzi ndio aweze kueka pesa mpaka akiamua kurudi afanye mwenyewe la maana. Mana hata mkitumiwa na mwenyewe yupo huku mnakula na kufanyia yenu.
Unakuta mtu anakupangia mipango ya kupata millions lkn ukimpelekea pesa anakwambia biashara imeharibika hii hasara tupu wkt pesa ushamkabidhi na ashazivuruga au kishafanyia yake. Hata ukimpa mtu mtaji atafute daladala ili ajiweze basi pesa ya kupelekea garage ikiharibika atataka itoke kwako. Acha watu wazeeke alipowapangia Allah usiwape stress! Huezi kujua ya mbele yako naww unaeza kujq kizee huku! kuja kizee huku km Mungu kakupangia. Muombe Allah kile unachokipenda na hakuna ufundi wala ujuaji, maisha yetu yapo mikononi mwa Allah! Anapopataka yy ndio utapopaishi na asipopataka huishi!!!! Usistress watu na wala usiruhusu mtu kukustress kwenye jambo ambalo lipo nje ya uwezo wako! Muamini Allah na muombe Allah na muachie yy Allah!
Siurongo sister
Dada yetu tafuta namna ya kuhama hiyo nchi haikufai hama
Huo mtihani lkn muko bad munaishi
Hutujambo dadangu na ubarikiwe
Ndio maisha ya kidigitari ayo
😅😅😅😅😅
Uko marekani sehemu jimbo gani? Mbona huku tuliko sisi shuari tu
umemuelewa anachozungumza au lugha inakupiga chenga
kiswahili fasaha kabisa cha mwambao wa east africa
Dear Rushyfah 😀😀 Shukran kwa kunisaidia kuwaelewesha Maana wengine tupo tupo tu hatuelewi mada za video za wenzetu SoubhanaAllah ila ni kashfa tuuu SoubhanaAllah. Shukran habbty
@@jkizondoswahilibites434 - ahsante,, karibu sana - ni ujinga kumtukana mtu ambaye hatukani na kila neno anamtaja Allah, anakurupuka mtu from no where anatukana matusi ya nguoni.
kama si mtu mjinga alolaanika atakuwa ni binadamu wa dunia gani? ni kutafuta kulaanika tu..
Nzuri habibti. Lakini izo embe zote za nani???
😅😅😅😅😅
Achari
🤔Sio upweke huo dada mbona social media imerahisisha mambo yote. Kama ulivyosema tunaonana tunazungumza sasa upweke uko wapi?😂
So 24hrs niwe kwenye social media? Kuna undani wa hii story niyosema sikiza vizuri
@@jkizondoswahilibites434 Nimekufahamu lakini vumilia ndio ukubwa. Kwani huko vibrators hazitumiki😂😂
Fadhani niwe mpweke America kuliko kua maskini Africa dada wacheni kufuja watu moyo