Umenigusa sana dokta,ninamme lakini ninaishi kama single mama,miaka 10 kwenye ndoa sijawahi kuishi pamoja na mme wangu,natamani kutoka kwenye hii ndoa😭😭😭😭nae anachukulia poa anachojali ni matumizi tuu😭😭😭
@@HappynessObed Daah nilijua nipo peke yangu mwaka wa Tisa huu akiulizwa anasema anatuma matumiz hata mkionana hakuna mawasiliano n upweke yupo busy na cmu na ndugu zake nipo tu had nimechoka
Sasa wewe unasema miaka 9 umepoteza muda, mi njna miaka 12 na watoto wa4 ungefanyaje? Kilichobaki ni kujipenda kujijali kujipa furaha, ikitokea jamaa inakujali pita nayo🙈
Yote uliyosema hata mm napitia docta, nasizani kama nitaacha, ndipo amani yng ilipokwasasa, baada ya kuumizwa
Kwa sasa sitaki usikia kitu mapenzi, niliumizwa sana😢, nawaza kutimiza ndoto zangu, Mungu akubaliki sana Dr, mauki
Mmh sijui kwann mapenz yaliletwa, Usha mwambia nini unakosa kakipunguza au afanyi tena nabado atak badilika apo ndo unaaangalia upande wapil washiling
Umenigusa sana dokta,ninamme lakini ninaishi kama single mama,miaka 10 kwenye ndoa sijawahi kuishi pamoja na mme wangu,natamani kutoka kwenye hii ndoa😭😭😭😭nae anachukulia poa anachojali ni matumizi tuu😭😭😭
@@HappynessObed Daah nilijua nipo peke yangu mwaka wa Tisa huu akiulizwa anasema anatuma matumiz hata mkionana hakuna mawasiliano n upweke yupo busy na cmu na ndugu zake nipo tu had nimechoka
Unaongea point sana Dr.Godbless you
Kisasi ndiyo chanzo kikubwa
Thank you my brother 🙏 Mungu akubariki
😢vyote ulivyoongea ndio ninavyopitia mm
Kwahiyo unachepuka
@@mj.tv.forpeople992😂😂😂😂😂😂
@@mj.tv.forpeople992 🤣
Ndio nachepuka
Pole ila siyi jibu bado, itabidi umusaidie
Kweli yàani kisasi no muhimu wanaume wabaya Sana Wana penda kujeruhi moyo wa wanawake
Ameen
Hongeraa snaaa
Mapenz/ndoa hapana Nina miaka9kwa ndoa, nmepoteza mda sana kwasasa najiangalia mimi
Sasa wewe unasema miaka 9 umepoteza muda, mi njna miaka 12 na watoto wa4 ungefanyaje? Kilichobaki ni kujipenda kujijali kujipa furaha, ikitokea jamaa inakujali pita nayo🙈