DALILI NA TIBA ZA MTU MWENYE MSONGO WA MAWAZO (STRESS)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- Kutokana na WHO miaka ya hivi karibuni, zaidi ya watu milioni moja wanakufa kila mwaka kutokana na tatizo la msongo wa mawazo (traumas). Zipo sababu nyingi zinazochangia katika tatizo hili ambazo zinaweza kuonekana kutokana na dalili mbalimbali zinazoweza kuonekana. Na pia zipo tiba za namna gani ya kutatua tatizo la #TIBANADALILIZAMSONGOWAMAWAZO.
Katika video hii nimeweza kuelezea dalili na tiba mbalimbali za msongo wa mawazo.
usisahau ku share, like na subscribe.
Dah! Nimekubali sana mwamba mgomba WA njonge, mm yondi WA hapo Kwa mwanakanuda mwamashindike🙏🤝 goog lesson Mungu akubariki sana❤
Asante sana Kaka Yondi🙏
Ubarikiwe sana mtumishi. Somo zurii
Amina. Ubarikiwe pia Mwl wangu
Asante kwa Somo zuri kaka Mgomba🙏🙏
Asante sana rafiki. Share link kwa rafiki zako wabarikiwe zaidi
Asante sana kwa SoMo Zur mtumishi
Asante kwa somo zuri😊
Asante. Barikiwa zaidi mpendwa
Ubarikiwe sana kwa somo zuri
Amina. Ubarikiwe zaidi, endelea kufuatilia kubarikiwa zaidi
Docta asante sana kwa ushauli hizo dalili nnazo kabisa
Pole wasiliana nami kwa 0765928215 au +255719397995 kwa ushauri
Be blessed My friend.
Amen. Stay blessed always
Nabarikiwa sana mtumishi
Amina. Ubarikiwe sana. Watumie wengine link wabarikiwe pia
Barikiwa mwinjilist
Amina. Ubarikiwe pia. Share kwa wengine wabarikiwe zaidi
Ubarikiwe
Shukrani sana barikiwa pia rafiki
Asate sana❤
Be blessed
Amina sana ubarikiwe pia rafiki
Somo zuri sana
Ubarikiwe sana
Watumie wengine wabarikiwe
Barikiwaaaa
Ubarikiwe pia Madam
Nzuri
Ubarikiwe sana. Subscribe na ku share kubariki wengine
Be blessed classmate
Ahsante classmate wangu. Nitafute inbox tafadhali kwa 0765928215
Samahani naomba nikuulize Yan mm naumwa na kichwa mara kwa mara naishiwa nguvu hd kuna mda macho yanauma hd nahc kizunguzungu nisaidie shida itakuwa nn 😢samahan
Pole sana rafiki. Naomba unitafute inbox kwa namba hii +255765928215
Sawa
Uyu mm kabisa😢 Vp umetumia dawa gn au ni maombi tu?
Amen 🙏🙏
Umesahau moja, kuokoka ni lazima
Amina
Nkwel kaka hebu tufungue akili ama utufungue moyo kkaangu
Asante sana. Mungu akubariki na kutupa amani sote
Barikiwa
Amina, ubarikiwe pia rafiki, waweza share zaidi wabarikiwe wengine
msongo wa mawazo. yanaweza kusababisha mtu akavua nguo na kusikia sauti zinamwamlisha ??
N kweli hilii jambo limekuwa changamoto sana, ndiyo maana tunaelimishana tuliepuke
Suri
Mimi nina msongo wa mawazo sipati usingizi usiku na mchana. Nina hofu wasiwasi hamu ya kula sina natamani kujiua napata shida kizuguzungu kukojoa kila mara upweke
Pole sana rafiki. Ni hali ya muda tu naamini utakaa sawa, Hebu Naomba unitafute inbox kwa namba zifuatazo 0765928215 au 0719397995 ili tusaidiane.
Dia pole
Pole rafiki yangu, utakuwa sawa na uyo pepo kujinyonga atashindwa,kama dipresion nilipona ata ww naupone rafiki yangu
@@MARYAsembo-ne3xkhabari
Uyu mm kabisa 😢japo naona yangu ni zaidi ya ilo ila Tumuombe sana Mwenyez mungu haya ni mapepo sio hali ya kawaida 🙏🏽