MKAGUZI WA CHAKULA CHA RAIS MWINYI:TUMBO LILIMSUMBUA/NAONJA MIMI KWANZA/ALIPENDA SANA BIRIANI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ส.ค. 2024
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" TH-cam channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 46

  • @jaymwinyi6957
    @jaymwinyi6957 5 หลายเดือนก่อน +3

    Mashaallah tabaraqallah Allah amzidishie umri zaidi hyu mzee Abdallah bado yuko fomu

  • @AyshaYassin-hm5xo
    @AyshaYassin-hm5xo 5 หลายเดือนก่อน +3

    Wakwanzaa🎉🎉❤

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 5 หลายเดือนก่อน +1

    Big up somo

  • @mariamkibindo1741
    @mariamkibindo1741 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mashaallah ALLAH amjaalie Afya njema na umri twawil

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 5 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu jamaa anajua sana kumhoji mtu.hongera sana.

    • @sophiakassim6784
      @sophiakassim6784 5 หลายเดือนก่อน

      Ila anazingua sometimes swali moja analirua kuuliza mara mbili mbili wakati kashajibiwa

  • @lucasdismas4314
    @lucasdismas4314 หลายเดือนก่อน

    Mzee alikuwa kitengo

  • @Fred-Ma
    @Fred-Ma 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mwalimu alikuwa hali Kitimoto?😂😂

  • @josephatmathiasgalagalabuh786
    @josephatmathiasgalagalabuh786 5 หลายเดือนก่อน +2

    Kwa nini kila Kaunda akiwepo kunatokea kasoro? Mara moja huyu mzee aliona kijana mbaya akamkamata na ARUSHA akala samaki na Kaunda?

  • @sophiakassim6784
    @sophiakassim6784 5 หลายเดือนก่อน

    Mtangazaji sauti kweli unayo ila kwenye kuhoji jipange unarudia sana maswali hayo kwa hayo

  • @msongamwinyi2877
    @msongamwinyi2877 5 หลายเดือนก่อน +1

    Video ya mzee kwenye meza mbona mmeotoa mngeiacha kupendezesha storia

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera bab Kaz umefanya kwa weled

  • @judithsimon7892
    @judithsimon7892 5 หลายเดือนก่อน

    Kwanza vpi kuhusu Historia ya kazaliwa,kakulia wapi elimu,mwenyeji wa mkoa gani eti bado kuna watu wanampongeza mwandishi inaamana hawajaona hayo

    • @sophiakassim6784
      @sophiakassim6784 5 หลายเดือนก่อน +1

      Sauti kweli anayo ila mambo mengi anasanda kwenye kuhoji hajajipanga

  • @madenge731
    @madenge731 5 หลายเดือนก่อน

    #USALAMA huyoooo ❤❤❤

  • @Fred-Ma
    @Fred-Ma 5 หลายเดือนก่อน

    Kumbe Lambart upo huku? Nimekutafuta sana kule😂😂

  • @evaristmbuya6220
    @evaristmbuya6220 5 หลายเดือนก่อน

    Mwinyi alikuwa Mzaramo aliyekuwa anaishi Zanzibar kwa hiyo Mwinyi alikuwa Mtanganyika kwa kuzaliwa! Somo zuru tuishi kindugu

  • @jacobnorbertchenga9465
    @jacobnorbertchenga9465 5 หลายเดือนก่อน +1

    Zamaradi mtunze huyu jamaa Crown Fm wanamjadiri sasa

  • @iliyasabakari
    @iliyasabakari 5 หลายเดือนก่อน +1

    Final uzeeni

  • @MrishoHakim
    @MrishoHakim 5 หลายเดือนก่อน

    Mumuhoji muanzilishi WA taasisi ya kuzuia na kupambana na madawa ya kulevya, George Timbuka

  • @evaristmbuya6220
    @evaristmbuya6220 5 หลายเดือนก่อน

    Kwa kifupi mzee kasema wasomi ni majizi badala ya kusaidia nchi wanajisaidia wenyewe

  • @evaristmbuya6220
    @evaristmbuya6220 5 หลายเดือนก่อน

    Food tester

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km 5 หลายเดือนก่อน +1

    Ila uzee hauna adabu

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z 5 หลายเดือนก่อน +1

    USISHTUKE,,WANAKULA VYAKULA KAMA UNAVYOKULA WEWE KWENU,,,,,TOFAUTI NI KWENYE KUANDAA..KAMA NI SAMAKI USIDHANI WA BEI ZENU IZO.

  • @user-cw3vu8mu3k
    @user-cw3vu8mu3k 5 หลายเดือนก่อน

    Kwa wale wanaojua protocol atuambie je ni kuonja vya kula ,je hakuna vipimo

  • @oswardwenge2351
    @oswardwenge2351 5 หลายเดือนก่อน

    Kipindi unatambaa inamaana watu hawakuona na kujiuliza kuna nn ?

  • @mozasalim7725
    @mozasalim7725 5 หลายเดือนก่อน +7

    Leo wapili kudadeki wanikabizi mimi nionje chakula jamani

  • @giztony2009
    @giztony2009 5 หลายเดือนก่อน

    Kwa levo yko nahisi unafaa hata uwe unatangazia BBC

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 5 หลายเดือนก่อน

    Ilikua Mozambique hiyo alipomuwahi mdunguaje niliwahi kumsikia ulipomhoji before

  • @evaristmbuya6220
    @evaristmbuya6220 5 หลายเดือนก่อน

    Kwa hiyo kikiwa na sumu unaanza kufa wewe hii imekaa vizuri

  • @user-pw8pc3by8p
    @user-pw8pc3by8p 5 หลายเดือนก่อน

    Dr mwinyi amuone huyu mzee

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 5 หลายเดือนก่อน

    Ebwanae kwenye chakula viongozi wetu wajiangalie sana wakija majuu ,kusaini mikataba ya wananchi kuna viongozi wengi ,clip zao zipo kwenye you tube,uzalendo kwanza hata kwenye pombe na uraibu mwengine,kuna dawa unaweza ukawekewa hazikuui leo zitaukuua 1,2,34 kama sindano za sumu wanazopigwa wagonjwa huku ulaya ,wachukue hela za uzeeni......

  • @protusmushi7162
    @protusmushi7162 5 หลายเดือนก่อน

    Mwinyi alikuwa anakula chapati.
    Mbona janabi anatukatza tusile chapati?

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 5 หลายเดือนก่อน +3

    Uyu mwandish anastahili BBC au AZAM au any very big media houses

    • @boscokikoti
      @boscokikoti 5 หลายเดือนก่อน

      Wewe jamaa umeona mbali sana.mimi namkubali sana anajua anatamka matamshi ya kiswahili kwa ufasaha sana

    • @FreeGod368
      @FreeGod368 5 หลายเดือนก่อน

      @@boscokikoti Kabisa kaka jamaa ana uwezo mkubwa sana na utulivu katika kuhoji

  • @TPW_FLUXY
    @TPW_FLUXY 5 หลายเดือนก่อน

    Wewe muongo haikuwa hivyo waongo wakibwa nyie mnasifia uongo mbona hamsemi alivyo kiwa anakimbia na mabox ya pesa kwenda oman

    • @abdikadirhassan935
      @abdikadirhassan935 5 หลายเดือนก่อน

      Ww mnafki ulimuona akiiba pesa? Hayo mabox umeyaona au unaamini vya kumbiwa

  • @wechemakambo2182
    @wechemakambo2182 5 หลายเดือนก่อน

    Mzee kaficha kitu...kujulikana na Mwl haikuwa Kaunda bali akiwa JKT,akatembelea na kwenye gwaride Mwl akasema namhitaji huyu kijana Ikulu na Mwl akampa hilo jukumu ila yy hakujua mpk leo why Mwl alimchagua...ila pale kambini alikuwa na kipaji cha kawaida cha kugundua chakula chenye shida...sababu hapo anachanganya kuwepo kwenye circle ya Mwl ilikuwa lazima mpikwe kweli na yy anasema tukio la Kaunda je alikuwa nani kama hakuwa na kazi hiyo?Alikuwa ni mwonjaji na ni kazi ipo mpk leo...MWONJAJI yuko close na Wapishi,,haiingii Akilini wapishi wasimjue yy bali wamjue km mpenda kula tu?Hawa wenye mafunzo huwa hawafunguki sana wanakuwa limited.

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l 5 หลายเดือนก่อน

    Hiyo ndo tanzania watu muhim kama hawa leo mtu amekua choka mbaya ka choka kama mpira wa makaratasi

    • @khatibabass3106
      @khatibabass3106 5 หลายเดือนก่อน +6

      Kwaio umri wa miaka 96ulitaka afanywe nn? Au arejeshewe ujana? Kama nyumba anayoishi ninzuri ,nguo kavaa nzuri ulitakaje?

    • @ttss7716
      @ttss7716 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@khatibabass3106Asanti sana pia mimi nilikuwa nataka kumuuliza hilo swali😂😂😂

    • @mohamedhamismagoraonlinetv459
      @mohamedhamismagoraonlinetv459 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@khatibabass3106Umenena kweli. Umri ni mkubwa ni lazima azeeke

    • @winfordmwangonda5375
      @winfordmwangonda5375 5 หลายเดือนก่อน

      Asante point maridhawa​@@khatibabass3106

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z 5 หลายเดือนก่อน

    USISHTUKE,,WANAKULA VYAKULA KAMA UNAVYOKULA WEWE KWENU,,,,,TOFAUTI NI KWENYE KUANDAA..KAMA NI SAMAKI USIDHANI WA BEI ZENU IZO.