#PART2

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 141

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  8 หลายเดือนก่อน +5

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @trillhappybeautypoint9874
    @trillhappybeautypoint9874 8 หลายเดือนก่อน +14

    My dady Mwamposa tunabarikiwa na tunazidi kubarikiwa in Jesus name 🙏🏼

  • @AishaOman-qz7tn
    @AishaOman-qz7tn 8 หลายเดือนก่อน +26

    Hallelujah hallelujah 🙌 nimefurah kusikia huu ushuhuda barikiwa Dr kumbuka 🙏

  • @florabuzoya3948
    @florabuzoya3948 8 หลายเดือนก่อน +17

    Ushuhuda Mzito Sana Huu🙏🏿Nimefurahi Mwamposa is truly man of God.

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 8 หลายเดือนก่อน +6

    Asante Dr kumbuka, mimi mwenyewe Nina ushuhuda jamani mkubwa sana mungu amuweke mwamposa miaka mingi

  • @mwanduelizabeth2282
    @mwanduelizabeth2282 7 หลายเดือนก่อน +2

    Kupitia madhabahu ya Mwamposa nimepokea vitu vingi Sana ikiwemo uponyaji, nyumba na mengine mengi,Ooooh haleluya Mungu aendelee kumbariki mtumishi wa Mungu Mwamposa Namuombea kwa Mungu Aishi miaka mingi 🙏🏼

    • @KennethMgona-jy4vc
      @KennethMgona-jy4vc 7 หลายเดือนก่อน

      Umefungwa

    • @mwanduelizabeth2282
      @mwanduelizabeth2282 7 หลายเดือนก่อน

      @@KennethMgona-jy4vcIsaya 54:17 kila silaha itakayofanyika juu yako haitafanikiwa na kila ulimi utakaoinuka juu yako utahukumiwa Kuwa mkosa.Niwe nimefunga wewe inakuhusu Nini mfyuuuu!

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de 7 หลายเดือนก่อน +3

    Hakika mm hunambii kitu kuhusu madhabahu ya inuka uangaze kawe imenitendea mambo makubwa mnoooo ubarikiwe mtumishi wa Mungu Boniface Mwamposa🙏

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 8 หลายเดือนก่อน +3

    Nilikuwa Sina kazi ndani ya miezi mitatu lakini nipoenda kwenye ibada kwa Imani mpaka Leo hii Nina interview kibao ❤❤❤

  • @Bless-sk8uv
    @Bless-sk8uv 7 หลายเดือนก่อน +12

    Mm hapa baada ya upako wa mwamposa nimepata mke sahihi na baba yangu mzazi alinitamkia sitoowa maishani mwangu na niliaangaika but after kufika kwa huyo mchungaji miezi miwili tu sio ushabiki

    • @ittybitty-bp1cl
      @ittybitty-bp1cl 7 หลายเดือนก่อน

      Nisaidie jinsi ya kufika 😣

    • @Bless-sk8uv
      @Bless-sk8uv 7 หลายเดือนก่อน

      @@ittybitty-bp1cl kufika wapi?

    • @FridaMwageni
      @FridaMwageni 7 หลายเดือนก่อน

      @ittybitty-bp1cl anapatkana kawe dar es salaam Tanganyika peackers

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 7 หลายเดือนก่อน +2

    Our lady Lilian is onpoint,ni kweli lazima ujiulize wanaume mahitaji yao hayaishi,umfanye mtoto,lakini mwanamke pia ni mtu na yeye anatamani kufanywa mtoto,nani atamfanya yeye mtoto...
    Ndo maana baadi ya wanawake waliolewa ndiyo the most sad/depressed people sbb wanajitoa sana lkn mmmh🙄🙄
    Lakini ukiwa dada wa mjini unatenda au unakuwa kahaba mara 5 mshahara wako ni matunzo😂😂😂😂ulipiwe kodi,ununuliwe kila upendacho na utakacho,upewe pesa hata kama huitaji..
    Kwaiyo kazi kwako,chagua kunyoa au usuke😂😂😂😂
    Ushauri wangu zingatia maokoto😂😂😂

  • @marymwaya9685
    @marymwaya9685 8 หลายเดือนก่อน +3

    Kwa kweli nilivyokuwa nakuona sivyo mungu akubariki sana

  • @ephraimkabeya9648
    @ephraimkabeya9648 8 หลายเดือนก่อน +3

    With this kind of talk Dr kumbuka I'm in your support

  • @beatricecherdiel9299
    @beatricecherdiel9299 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbuka you are a good person

  • @zenamwaisaka
    @zenamwaisaka 7 หลายเดือนก่อน +2

    Glory to God. Jesus is real

  • @doricekamara3631
    @doricekamara3631 3 หลายเดือนก่อน

    Kumbuka nakuelewaga sana unachokisikia moyoni ni kweli kbs una point sana barikiwa zaid

  • @ruckyaarabi4030
    @ruckyaarabi4030 7 หลายเดือนก่อน +2

    Chawa ni mtu mvivu. Nimekupenda sana kaka Kumbuka big up sana

    • @gracekiondo2541
      @gracekiondo2541 7 หลายเดือนก่อน

      Chawa sio mvivu tu,bali ni mtu ambaye ameshikwa na roho za mapepo na kichawi.shetani hataki ufanikiwe na kumbuka mwanadamu hajaumbwa amtawale mwanadamu mwenziwe.akifanya hivyo hiyo ni kufuru kwa Mungu.

  • @blaciachiunga8271
    @blaciachiunga8271 8 หลายเดือนก่อน +5

    Dr. Kumbuka uko vzr Baraka za Mungu ziambatane nawe ck zote,,,Big up Lilian Mwasha

  • @imanimwakinga4934
    @imanimwakinga4934 7 หลายเดือนก่อน +10

    Kumbe huyu jamaa ni mstaarabu aseee na ana madini sana, mi navyomuonaga na uswahili wake nikajua sijui wa wapi 😂😂😂 aisee ni mstaarabu basi tu ni hustles za maisha

    • @maryamadam5622
      @maryamadam5622 5 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa na mie nakuunga mkono. Dr ana kipaji mno

  • @vero57
    @vero57 8 หลายเดือนก่อน +5

    Wanawake kazi tunayo.
    Lakini kuna wanaume wengine hawasikii ata uwaoshe na olive oil 😂😂😂

    • @ambocornely
      @ambocornely 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @SalmaBakar-z4c
    @SalmaBakar-z4c 22 วันที่ผ่านมา

    Yaan mungu anatenda nimesumbiliwa na operation mpk nikawa kama mdudu siwez kumsahau jirani yang alinipeleka kwamwamposa jmn mungu alijua kunitendea kwa wakati

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 7 หลายเดือนก่อน +1

    Chawa kama chawa😂😂😂😂😂sio mchezo😂😂😂imebidi umejipanga😂😂😂😂😂

  • @rosemwakyoma8371
    @rosemwakyoma8371 7 หลายเดือนก่อน +2

    Barikiwa sana Dr kunbuka

  • @Hawaa-cw6fl
    @Hawaa-cw6fl 7 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani hata wakisema nn mwamposa ametutoa mbali ila wengine atutoi ushuhuda

  • @RosemaryLema
    @RosemaryLema 7 หลายเดือนก่อน

    Amen ukiamini Mungu anatenda

  • @hosianaeliud243
    @hosianaeliud243 8 หลายเดือนก่อน +2

    God is good

  • @fatihiyadossa375
    @fatihiyadossa375 8 หลายเดือนก่อน +1

    Asante kakangh kumbuka kwa unumbe wko mzuri

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma3045 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu anasikiia sanaa tena kwa sikio la wepesi sana

  • @ElizabethJoshua-op5fz
    @ElizabethJoshua-op5fz 7 หลายเดือนก่อน

    Asante kwa ushuhuda huu

  • @saraphinalupondo1115
    @saraphinalupondo1115 8 หลายเดือนก่อน +2

    Kuna kit nimkipataaa ubarikiwe weela sitakutafuta bali wewe,pesa utanitafuta mimi aminaaa sanaaaa

  • @sophiankwera9020
    @sophiankwera9020 7 หลายเดือนก่อน +1

    Unamaneno ya hekima sana Mungu akupe kuliishi kusudi lake

  • @Alexbenon-ow5lh
    @Alexbenon-ow5lh 4 หลายเดือนก่อน

    Mwasha ndo huyu duh😮😮

  • @monikamasasi7582
    @monikamasasi7582 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ushuhuda umenipa nguvu kubwa jamani,Mungu na Mimi naomba watoto mapacha mea Imani nipate

    • @marylutengano1555
      @marylutengano1555 7 หลายเดือนก่อน

      Tuko pamoja mama Mungu atupe mapacha

  • @bibielroybibielroy8710
    @bibielroybibielroy8710 7 หลายเดือนก่อน

    Haleluyaaaa Arise and shine 9:59 😅😅😅

  • @eunicesaimon9125
    @eunicesaimon9125 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu abaliki hikii kipindiii🙏🏿

  • @gracelee565
    @gracelee565 7 หลายเดือนก่อน

    Handudu handada🔥🔥🔥🔥🔥🤣🤣🤣🤣 you have killed me swahili norma

  • @gildopitapita1383
    @gildopitapita1383 7 หลายเดือนก่อน

    Asante brother

  • @mamaziada134
    @mamaziada134 8 หลายเดือนก่อน +1

    Napokea namimi ushuhuda huu mungu nisikie baba napata tabu baba naomba hiyo sauti ije na kwangu

  • @suzanmairy2638
    @suzanmairy2638 7 หลายเดือนก่อน

    😅😅😅yaani wewe kumbuka mpaka iyovi unapajua uwiiih😂😂😂😂😂

  • @jankenkasambala7687
    @jankenkasambala7687 7 หลายเดือนก่อน

    Ila huyu dada Mwasha kweli msanii. Eti Halleluya Amina

    • @Mina.15
      @Mina.15 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

  • @edinalihedule7609
    @edinalihedule7609 7 หลายเดือนก่อน

    Amen 🙏🙏

  • @JohanithaMugango
    @JohanithaMugango 7 หลายเดือนก่อน

    Amina

  • @nabwikekyokyo4906
    @nabwikekyokyo4906 7 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @hadijamadina6101
    @hadijamadina6101 6 หลายเดือนก่อน

    🙏🙏🙏

  • @VeledianaKalolo
    @VeledianaKalolo 7 หลายเดือนก่อน

    Dada liliani nabarikiwa sana na kipindi chako

  • @Siti_maroneit
    @Siti_maroneit 7 หลายเดือนก่อน

    Datario kumbuka kaongea big point.malaya awanaga aibuu hata kama nyonyooo limetepekaa wanajiachiaaa yaani awqnaga aibu wale ...

  • @esterjosephat971
    @esterjosephat971 7 หลายเดือนก่อน

    I like that😅😅😅😅 nimekuelewa sana Dr

  • @juliethkatabwa5306
    @juliethkatabwa5306 8 หลายเดือนก่อน +1

    Dr. Wanafanya ushirikina. Bwana. Kuna wanawake ni watendaji wazurii lkn hakuna kitu.

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 8 หลายเดือนก่อน +1

    Napenda jumbe za Dr Kumbuka 😅😂🤭🤣😂

  • @loveneskasanga4186
    @loveneskasanga4186 8 หลายเดือนก่อน

    Ameni❤❤❤

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 8 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani uchawi upooo khaa

  • @Hanifa4-d4q
    @Hanifa4-d4q 8 หลายเดือนก่อน

    Mpenda sanaaa dr

  • @vickysteven1172
    @vickysteven1172 8 หลายเดือนก่อน

    Kweli kabisa

  • @habibajumahabiba6730
    @habibajumahabiba6730 7 หลายเดือนก่อน

    ❤❤

  • @BeliBeli-n9h
    @BeliBeli-n9h 7 หลายเดือนก่อน

    Umsifie adi ndugu zake walio kufa😂😂😂😂

  • @OmegaThreads
    @OmegaThreads 8 หลายเดือนก่อน

    Dr. Kumbuuuuuuuuukaaaaaaa

  • @RamulaKabugho-bk8vk
    @RamulaKabugho-bk8vk 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nampenda huyu jama uwa mkweli sana😂

  • @giftgeza3662
    @giftgeza3662 8 หลายเดือนก่อน +1

    Aamen

    • @gfydfdf8869
      @gfydfdf8869 8 หลายเดือนก่อน +1

      Ameeni Mungu aliyee hai awabariki watumishi,wa Mungu kwa shuda nzito , barikiwa kwa ushuda, nzito ..

  • @pendomkumbo8262
    @pendomkumbo8262 8 หลายเดือนก่อน +1

    Dada Lily nikimkamata hair dresser wako namnyonga miguu

  • @MohammedJaizan-yf5yt
    @MohammedJaizan-yf5yt 8 หลายเดือนก่อน +1

    Heeeee yamekuwa hayo sasa

  • @JerusaMkuyu-pw1zo
    @JerusaMkuyu-pw1zo 7 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂kumbuka jaman

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 7 หลายเดือนก่อน

    Kwenye wanawake kushulika umeongea kweli kabisaaa 🤸

  • @angelalyimo2862
    @angelalyimo2862 8 หลายเดือนก่อน

    Nimejifunza

  • @salumlehani3952
    @salumlehani3952 หลายเดือนก่อน

    Kipindi kizuri kasoro ni kukosa maswali yenye mtiririko mzuri .

  • @saraphinalupondo1115
    @saraphinalupondo1115 8 หลายเดือนก่อน

    Nakweli watu tunaombaa alafu hatumuamini yule tunaemuomba kweli ukiamini kweli utajibiwa chap ila imani yako ikiwa kma ya thomaso utakuwa unaona Mungu hawez

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 8 หลายเดือนก่อน +3

    Mwamposa ni mtumishi

  • @Mkombozi255
    @Mkombozi255 8 หลายเดือนก่อน +2

    I dont know why but i dont like Lilian after katibu wa kanisa incident,I think she is fake😮

    • @MchagaUk
      @MchagaUk 8 หลายเดือนก่อน

      Same

  • @RogatheJosiah
    @RogatheJosiah 7 หลายเดือนก่อน

    Nilimfanyia nikaambiwa naanza kuwa Malaya mambo Gani nalenda ndani mwisho wa siku nikaondoka nikaipenda kazi kuliko mapenzi Na kuyachukia mapenzi milele am single 26years kwa kuchukia wanaume waonyo waongo Sana

  • @jenipherkamugisha4687
    @jenipherkamugisha4687 7 หลายเดือนก่อน

    Nifanye hayo yote na kazini naenda saa ngapi😅😅

  • @katsuvakamatedaniel7893
    @katsuvakamatedaniel7893 7 หลายเดือนก่อน

    Si amini macho yangu 😂ni huyu kumbuka anaye chamba watu kueli

  • @fidelitekarigirwamuyangwa973
    @fidelitekarigirwamuyangwa973 7 หลายเดือนก่อน

    Kumbuka sikubar minanjua mudada anyafanya Hadi kumuogesha anamufanyia utundu ila anamufisha Hadi Mari tena mudada muzur anmpikia Hadi tinasema

  • @Gdhjgjk
    @Gdhjgjk 7 หลายเดือนก่อน

    Jamani weekauzu.

  • @Gdhjgjk
    @Gdhjgjk 7 หลายเดือนก่อน

    Wee kaka napenda hataukiongea mambo ya Ibada badounaonekana kama unampasha mtu.

  • @gloriakawago6223
    @gloriakawago6223 7 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂 mnasifia hadi watu wa Kilolo, Iringa had walio kufa.

  • @Gdhjgjk
    @Gdhjgjk 7 หลายเดือนก่อน

    Jamani nyiemnolala bilakuoga mpo je ayomengine mtayaweza mtaolewa nakuachwa tu kwasababu hamjitumi .

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mlete tena ili aongee kuhusu mapenzi. From Europe

    • @MTOTOWAvitoto
      @MTOTOWAvitoto 8 หลายเดือนก่อน

      Mambo vp ndugu???

  • @LilianeShindano
    @LilianeShindano 7 หลายเดือนก่อน

    Dr kumbuka mwana muke naye anapashwa kupendwa tumeumizw

  • @vickysteven1172
    @vickysteven1172 8 หลายเดือนก่อน +1

    Siku moja dkt kumbuka ataokoka haki vile 😂😂

    • @optimumafrica1243
      @optimumafrica1243 8 หลายเดือนก่อน

      Walokole wana alama gani kwani?

    • @MchagaUk
      @MchagaUk 8 หลายเดือนก่อน

      Mungu wangu anajibu Ivo Ivo kama wa Dr Kumbuka

    • @MagrethCharles-ne2ts
      @MagrethCharles-ne2ts 7 หลายเดือนก่อน

      Very soon !😂

    • @AlphaBlessing-qx7ep
      @AlphaBlessing-qx7ep 7 หลายเดือนก่อน +1

      Tayari YESU anashuhulika na3

  • @vickysteven1172
    @vickysteven1172 8 หลายเดือนก่อน

    😂baba, junior 😂😂

  • @zenamwaisaka
    @zenamwaisaka 7 หลายเดือนก่อน

    Jesus is real

  • @MkoaniMkoani
    @MkoaniMkoani 7 หลายเดือนก่อน

    Saaa mbovu😅😅😅

  • @HumphreykirutuKirutu
    @HumphreykirutuKirutu 8 หลายเดือนก่อน

    Da ! Kwanza nimshukuru MUNGU kwa ajili ya DR.kumbuka nilikua namjugde vibaya hasa namna nilivyokua namsikia kwenye mitandao ya kijamii

  • @Bless-sk8uv
    @Bless-sk8uv 7 หลายเดือนก่อน

    Mimi nasema siri zetu ninyi wanawake hamtapata kamwe kama sisi tunavyoshindwa kugundua mnachokitaka usiwe na usiwe na nguvu za kiume bado tunaachwa tutasubiriana sana, hayo bra braa ni uongo tunatiana moyo tu

  • @nyandichearts
    @nyandichearts 8 หลายเดือนก่อน

    Kwani hawezi kuongea bila kulegeza mdomo pumbuka she looking like anashonwaaa😅

    • @malianonicass7029
      @malianonicass7029 7 หลายเดือนก่อน

      Yani kwenye mambo ya msingi unaleta ushoga kuku wewe

  • @abdulllyhussein3224
    @abdulllyhussein3224 7 หลายเดือนก่อน

    2016 mwamposa hakua kawe ..😂😂😂au n 19 maana imebid nirudie mara 2....KWAHIO IL TUAMIN VZUR SHUHUDA YAKO EB WEKA VZUR BAADH YA VITU MAANA N KAMA UNATUCHANGANYA....

    • @allenmlelwa7950
      @allenmlelwa7950 7 หลายเดือนก่อน

      Kuna kujichanganya kidogo bana kwenye tarehe.kikubwa ushuhuda umeeleweka.

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 8 หลายเดือนก่อน +1

    Sisi wanaume ni watoto katika wanawake ila jambo ilo wanawake wa leo hawalijui , big mistake

  • @MchagaUk
    @MchagaUk 8 หลายเดือนก่อน

    Uchawi upo

  • @lulurubby2235
    @lulurubby2235 8 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu mchawiiiiii na mwamposa wake

    • @claudiajames2003
      @claudiajames2003 7 หลายเดือนก่อน +1

      Basi ukiwa haujawahi kuhudumiwa na mchungaji yule basi usimtolee ushahidi wa uongo,tuliofanikiwa kwake tuna ushuhuda

    • @lulurubby2235
      @lulurubby2235 7 หลายเดือนก่อน

      @@claudiajames2003 wachungaji wote waganga wa kienyeji tuu ,hakuna mzinifu au mtoa kafara anaweza kufanya miujiza hao ni waganga wanatumia makanisa kujifanya eti wachungaji mmfyuu acha upuuzi

    • @PaulinaSemindu-ob3de
      @PaulinaSemindu-ob3de 7 หลายเดือนก่อน

      Siku yakikukuta utamimbilia Ile madhabahu na utaomba msamaha lulirubby 2235

    • @lulurubby2235
      @lulurubby2235 7 หลายเดือนก่อน

      @@PaulinaSemindu-ob3de mungu wangu ni mkubwa kuliko mwamposa nikaombewe kwa mchawi si bora niende kwenye mizimu najua kabisa hakuna unafiki huyo ni child abuser analala na mabinti wadogo eti ndio nabii nabii wa wapi ? Yesu hakua mbakaji au mtoa kafara na ndio maana miujiza aliopewa na mungu ilikua inafanya kazi

    • @lulurubby2235
      @lulurubby2235 7 หลายเดือนก่อน

      @@claudiajames2003 mwamposa mchawi tuu mganga wa kienyeji tuu hana tofauti na manyaunyau

  • @nehemia397
    @nehemia397 7 หลายเดือนก่อน

    dokta kivipi?

  • @Gdhjgjk
    @Gdhjgjk 7 หลายเดือนก่อน

    Weedada nawe usiwekama niangusage usichoelewa nini sisi tupo kwaajili Yao .

  • @magiehermess9949
    @magiehermess9949 7 หลายเดือนก่อน +2

    Nikajuaga ni Muslim, ila anakaa kama mhubiri,ana kitu flani cha kimungu.Tuache kuwa judge watu for sure

  • @lucywilson5875
    @lucywilson5875 8 หลายเดือนก่อน +2

    Injili zamafanikio. Tunapaswa kuacha dhambi na sio kuhubiriwa pesa nautajiri au maendeleo. Tafuteni ufalme wa Mungu kwanza ( Utakatifu ) mengine huja kwaziada.

    • @carolinederi5690
      @carolinederi5690 7 หลายเดือนก่อน

      Am surprised hakuna mtu anae sema nlikua mzinzi nkahubiriwa nikaacha,nlikua najichua nkaacha, nlikua na hasira au nlikua siez kufunga nakuomba sa hii naeza hakuna anae shuhudia nliacha kunywa pombe ila ni kazi na ndoa😢what a pity shetani ameroga amewapofusha akili na macho they don't see

    • @PrudencePaul-fj5sm
      @PrudencePaul-fj5sm 7 หลายเดือนก่อน

      Tumehaidiwa kufanywa vichwa na sio mikia tutakuwa wa kwanza sio wa mwisho shuhuda ni nyingi watu tumepona kupitia maombi SEMA nyie hamjui

  • @zoab2699
    @zoab2699 8 หลายเดือนก่อน +2

    We kumbuka ww ni mwislam hakuna mtume bada ya mtume mohamed aleye salaam

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 8 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂

  • @maxlattinokiki8105
    @maxlattinokiki8105 8 หลายเดือนก่อน

    Kwani kumbuka ni dini gani?

  • @risperladee5718
    @risperladee5718 8 หลายเดือนก่อน

    😂🤣🤣🤣

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 8 หลายเดือนก่อน

    Ngapu..

  • @hadijamadina6101
    @hadijamadina6101 6 หลายเดือนก่อน

    🙏🙏🙏

  • @Happy-yk3lv
    @Happy-yk3lv 8 หลายเดือนก่อน

    Amen