"NILITEKWA URUSI SABABU YA KUWA NA PESA NYINGI" - DR. LUIS SHIKA ASIMULIA

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 808

  • @bensonfrank643
    @bensonfrank643 6 ปีที่แล้ว +196

    Ndugu zangu PhD ya MEDICAL SCIENCE sio ya kipole pole, Kama kusoma inabidi uwe Kichwa Sana Yaan, Ifike Time Tumpe HESHIMA huyu Mzee Amesoma Sana. He's very Innocent, Obedient, Smart kichwani.. RESPECT ndio kitu cha kumpa huyu Mzee Msifanye TOYI

    • @shadrackmnjelu5285
      @shadrackmnjelu5285 6 ปีที่แล้ว +1

      Benson Frank kweeeliiii kaka uyuuuu mzeeee kiboko

    • @adrofgwahula7294
      @adrofgwahula7294 6 ปีที่แล้ว +1

      Benson Frank kwer

    • @kassimdiscover7730
      @kassimdiscover7730 6 ปีที่แล้ว +2

      Dahhh nimemkubali huyu Mzee iinauma sana na itabid aangaliwwe jaman PhD sio mchezo mmchezo

    • @obedisaruni395
      @obedisaruni395 6 ปีที่แล้ว +1

      good broo kwakumuelew mzee

    • @prudencepflanzl576
      @prudencepflanzl576 6 ปีที่แล้ว

      Benson Frank Tell Them,,

  • @godotaru7088
    @godotaru7088 6 ปีที่แล้ว +22

    Asee mzee nakuombea mungu akufanikishe uweze kulipa.iliwatu wanao jua kuhukumu waaibike

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 6 ปีที่แล้ว

      god otaru Mambo vipi?
      Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

  • @deusmadel3283
    @deusmadel3283 6 ปีที่แล้ว +10

    Wanaokudharau, sku moja watakusalimia kwa heshima. Ukweli utajulikana tu... but huyu baba yuko vizuri sana. Big_up kwake Atainuliwa. Mungu kaamua kumfungulia milango kwa njia hiyo.

  • @veronicasarvatory9516
    @veronicasarvatory9516 6 ปีที่แล้ว +3

    Mungu wangu. Umenitoa machozi Dr. Shika roho inaniuma Sana. Pole Sana. Mungu akusaidie upate pesa zako zote utimize Marengo yako .mungu anakupenda Sana. Kwa hiyo atakusaidia sana

  • @chobaray
    @chobaray 6 ปีที่แล้ว +4

    Mzee kasoma Elimu ya Juu Sana,Kuliko Watu wengi sana Tanzania,#Salute OG
    GOD BLESS YOU

  • @mariamoman7593
    @mariamoman7593 6 ปีที่แล้ว +22

    sbuhanna allh pole babu kwa yaliyo kukuta nmekupenda bure babu ang
    😘😘😘😘

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 6 ปีที่แล้ว

      Mariam Oman Assalamualaikum!
      Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

    • @elastomsigala5153
      @elastomsigala5153 6 ปีที่แล้ว

      Mariam Oman

    • @mariamoman7593
      @mariamoman7593 6 ปีที่แล้ว

      +Elasto Msigala hi

  • @basharahamtzhalisi6871
    @basharahamtzhalisi6871 6 ปีที่แล้ว +107

    Nimemuelewa sana huyu mzee. Kiukweli anachosema kina ukweli ndani yake. Mtu muongo anaonekana tu hata kwa macho. Mi naamini haya maneno yake yote ni ya kweli.

    • @prettymum7430
      @prettymum7430 6 ปีที่แล้ว +2

      Bashiri Girro hata mim sijuwi kwanini but i trust him

    • @kipipakipipa5050
      @kipipakipipa5050 6 ปีที่แล้ว

      Feeling so sad

    • @sulleymanjimmy3199
      @sulleymanjimmy3199 6 ปีที่แล้ว

      duh noma aisee nmemuelewa Sana Dr Shika

    • @doramsuya5135
      @doramsuya5135 6 ปีที่แล้ว

      Bashiri Girro kweli kabisa....

    • @namsamson3443
      @namsamson3443 6 ปีที่แล้ว +1

      Alafu mtu muongo hawezi rudia kitu hicho hicho kila enterview angekuwa anasahau maneno mengine

  • @bakarimakida1145
    @bakarimakida1145 6 ปีที่แล้ว +36

    Dah... kama hii ni kweli... basi mjomba kapitia misukosuko ya kutosha... pole sana jomba.... Lkn pia tusisahau kauli mbiu yake "Suala la kukaa peke yako halikubaliki"😅😅

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 6 ปีที่แล้ว

      Bakari M Akida Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

    • @emanuelmaando4753
      @emanuelmaando4753 4 ปีที่แล้ว

      Bakari M Akida nimeelewwa

  • @irenelyimo3215
    @irenelyimo3215 6 ปีที่แล้ว +4

    Pole sana mzee wetu nimejifunza kitu kupitia ww kwamba usimzarau mtu kwa muonekano wake

  • @tumsifujoachim5877
    @tumsifujoachim5877 6 ปีที่แล้ว +30

    hujafa hujaumbika, kweli mzee kateseka sana

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 6 ปีที่แล้ว

      TUMSIFU JOACHIM Mambo vipi?
      Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

    • @bettyowiti397
      @bettyowiti397 3 ปีที่แล้ว

      Rip..

  • @timothwaitara4458
    @timothwaitara4458 6 ปีที่แล้ว +89

    mzeee huyo anakili sana hata kujielezea anajua kweli huyu ni doctor of philosophy

    • @yohanamartin9012
      @yohanamartin9012 6 ปีที่แล้ว

      Timoth Waitara o;in

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 6 ปีที่แล้ว

      Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ili ili hapo uku kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

    • @fatmanasornasor9047
      @fatmanasornasor9047 4 ปีที่แล้ว

      BC akuoe

    • @bbakzuvciIii
      @bbakzuvciIii 3 ปีที่แล้ว

      SEMA KAMA HAJAMCHAGUA BWANA YESU KRISTO IT IS NOTHINGG...😪😫😥

    • @stellanyaonge285
      @stellanyaonge285 3 ปีที่แล้ว

      @@bbakzuvciIii mjinga tu wew

  • @immaruzige1845
    @immaruzige1845 6 ปีที่แล้ว +91

    Huyu mzee kiukweli nimetokea kumuelewa sanaaaa

    • @mansheshe8258
      @mansheshe8258 6 ปีที่แล้ว +1

      Wewe Kama Mimi vile

    • @winniechoyo4072
      @winniechoyo4072 6 ปีที่แล้ว +1

      IMANI ELIAZARY mi pia

    • @danielpatrickrobert125
      @danielpatrickrobert125 6 ปีที่แล้ว

      Huyu mzee inaonekana alikuwa na pes , ila sasa mambo sio baada ya mambo fulani aliyopitia

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 6 ปีที่แล้ว

      Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ili ili hapo uku kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

    • @abuuyahya8864
      @abuuyahya8864 5 ปีที่แล้ว

      Imma Ruzige huyu Mzee muongo

  • @gadsonogega3774
    @gadsonogega3774 6 ปีที่แล้ว +4

    He is vry educated , clever and hardworking man . Nice inspirational speech to learn what life holds .

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 6 ปีที่แล้ว +2

    Sasa nimemuelewa mzee jmn, heshima kwako Dr, Pole sanaaaa umekutana na mambo mengi kimaisha katika nchi za watu mpaka inaonekana hauko sawa kiakili. Mungu akupe nguvu

  • @veronicasarvatory9516
    @veronicasarvatory9516 6 ปีที่แล้ว +3

    Pole Sana mungu akupe maisha marefu zaidi hapa duniani Amina

  • @comedykitaa
    @comedykitaa 6 ปีที่แล้ว +2

    Kinachotokea mtandaoni ndio lilikuwa lengo lake na alisubili sana nafasi hii na imejitokeza. Haikuwa rahisi kupata Masaada bila ya kufanya hivi. Kwa hili Kama nizo pesa zipo serikal itamsaidia. Salute kwako dr shika

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 6 ปีที่แล้ว

      comedy kitaa Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

  • @chichijuma1466
    @chichijuma1466 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akulaze mahalo pema lnshaallah

  • @zainabbakari3603
    @zainabbakari3603 6 ปีที่แล้ว +59

    Tusizarau watu tusio wajua kwa muonekano wao tuu sio vzr jaman dah mzee yuko tmamu tuu pole babu wng

    • @kyaro5945
      @kyaro5945 6 ปีที่แล้ว +1

      Zainab Bakari polis walimdharau

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 6 ปีที่แล้ว

      Assalamualaikum!
      Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ili ili hapo uku kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

  • @foryourglory3041
    @foryourglory3041 6 ปีที่แล้ว +3

    Asante Millard kwa hii habari. We are very quick to judge before hearing someone out. Sasa reputation imechafuka and He has already been through so much. A book is never to be judged by its cover. Hope his story has a better ending now that his story is out.

  • @mathayomatondo4024
    @mathayomatondo4024 6 ปีที่แล้ว +35

    Millard MPE hela huyu mzee umetengeneza pesa nyingi sana mungu anakuona ujue

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 6 ปีที่แล้ว

      Mathayo Matondo Mambo vipi?
      Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

  • @cosmaspaul8452
    @cosmaspaul8452 6 ปีที่แล้ว +2

    Pole mzee wangu kwa yaliyokukuta, na mwenyez Mungu aendelee kukulnda.... I love you.

  • @a.j9964
    @a.j9964 6 ปีที่แล้ว +6

    Nimegundua mzee amesoma sana ndo maana anavaa simple sana...daaah pole sana mzee tusamehe watanzania wote

    • @abdallasabour5034
      @abdallasabour5034 6 ปีที่แล้ว

      athman luanda , you are really true
      Wasomi wako simple, pia hata Dada msomi nywele simple, njoo umuangalie mwny cheti cha kuzaliwa tu utajua balaa nywele mavazi km taahra wa Ufilipino

  • @perfecthilarymbewa5968
    @perfecthilarymbewa5968 6 ปีที่แล้ว +62

    mpen kipindi clauds jamaa ana ongea vitu vya kweli kabisa story yake ina sisimua sana naamini walisikiliza watanzania wata jifunza mengi sana

    • @issamakoba1608
      @issamakoba1608 6 ปีที่แล้ว

      hilary mbewa

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 6 ปีที่แล้ว

      Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ili ili hapo uku kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

  • @janethlilja9975
    @janethlilja9975 6 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana baba! Nimejifunza kitu maisha mwangu, samahani sana kwani nami nilikua miongoni wa wasiokuamini. Sasa na najuta ila nimejifunza, usimdharau umsiemjua wala usimcheke!
    Sasa nimegundua kwanini unaishi maisha yale, sasa kumbe bado umgonjwa wa mbavu kutokana na mateso makali. Hata meno na vidole walikutoa. Hakika Mungu ni mwema. Natamani ningekuona tu ningefurahia moyoni. Wewe ni sawa na umri wa baba ngu ingawa alishatangulia mbele za haki. Naomba Mwenyezi Mungu awaseheme wote waliokukebehi. Kumbe usilolijua kama usiku wa Giza. I promise nikifika Tz nitafanya juu chini nikitafute.

  • @lucylavender2584
    @lucylavender2584 6 ปีที่แล้ว +1

    Ooh my God ,mungu akusaidie buda

  • @josephvictor6871
    @josephvictor6871 6 ปีที่แล้ว +1

    Millard ayo nakukubali mnooo kwa habari mzuri na zaukweli sio kama wengine wanatafuta watazamaji kwa habari za uwongo mungu akulinde na akusimamie kazi zako vyema

  • @josephatjordan2150
    @josephatjordan2150 3 ปีที่แล้ว +6

    R.I.P our Dad !!Nenda salama tuko nyuma yako🙏🙏

  • @charlesabednego9424
    @charlesabednego9424 6 ปีที่แล้ว +23

    mzee yuko vizuri sana anajua kujieleza tusimdharau tusie mjua

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 6 ปีที่แล้ว

      charles abednego Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

  • @adaash6591
    @adaash6591 6 ปีที่แล้ว +2

    Men Of The Year Dr Lewis I salute you

  • @omarymasoudykisondo389
    @omarymasoudykisondo389 6 ปีที่แล้ว +2

    Usimdhalau mtu kwa kumuona tu ujui yupoje. Big up mzee baba upo vizuli

  • @kato_tz
    @kato_tz 6 ปีที่แล้ว +3

    Asante Milard Ayo, Jana nilisema jamani mwacheni mzee afunguke ana mengi ya kushare. Maskini mpaka chozi limenitoka kwa kweli utajiri wafaa nini kama maisha yako yko hatarini. Baadhi tulisema kuna vitu behind the scene sio bure. Mnaona sasa. So Mzee ameona maisha ya kukaa amejificha hayatamsaidia na angeweza pengine hata kufa bila hata kujulikana. Nakumbuka kamanda wa Police Dar es salaam Mambosasa alimkebehi huyu Mzee kwamba mtu mwenye kavaa ndala hela atatoa wapi, Hii Kauli ilitupa shida tulio wengi.
    Cha kumshukuru Mungu ni kwamba Mzee yuko hai na Afya yake itarejea tu. Amefanya jambo la maana sana kusema ukweli. Mi nahisi bado anayo mengi mpeni tu Kipindi afunguke na kadiri anavofunguka ndivyo chances za kusurvive zinaongezeka.

  • @kingzed7763
    @kingzed7763 6 ปีที่แล้ว +41

    naamini huyu mzee ni billionaire kweli, he knows how to explain his self dah nlikerwa na yule afande aloongea pumba kwa kumjaj mtu kimuonekano ata kabla ya kucheki hii

    • @magenysamike4075
      @magenysamike4075 6 ปีที่แล้ว

      Pole saaana jamani inatia huruma

    • @habibumianga6461
      @habibumianga6461 6 ปีที่แล้ว

      King Zed #pesamadafu AFANDE mwenyewe ni form four failure

    • @kingzed7763
      @kingzed7763 6 ปีที่แล้ว

      msenge kweli

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 6 ปีที่แล้ว

      Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

    • @salaamclinicoftraditionalm3641
      @salaamclinicoftraditionalm3641 4 ปีที่แล้ว

      Kwa maradhi sugu,uzazi na uungaji mifupa
      0716651640

  • @cammyris2168
    @cammyris2168 6 ปีที่แล้ว +3

    Heshima kwako Baba We do respect you so much na Mungu anakupenda sana Na ndio maana mpaka Leo upo

  • @yaledimlawa9108
    @yaledimlawa9108 6 ปีที่แล้ว +2

    Sawa mzee mungu akusimamie sana!!!! Daaaaaa!!! aya bana duuuu!!!!!

  • @abdallahhemed3527
    @abdallahhemed3527 6 ปีที่แล้ว +43

    pole Mzee tumekuelewa.Allah atakulipa kwa hizi zulma walizo kufanyia.Sasa nyinyi muliomzalau mumeona MTU alivyokuwa yuko lakini,je MTU ambae ana akili a naweza kuwa na kumbukumbu kiasi hiki?kutokan na hii mitihani aliyopita ndio imuathiri kisakolojia lakini bado anajitambua

    • @yohanamartin9012
      @yohanamartin9012 6 ปีที่แล้ว

      Abdallah Hemed

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 6 ปีที่แล้ว

      Abdallah Hemed Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ili ili hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

  • @khalfansimba9610
    @khalfansimba9610 6 ปีที่แล้ว +15

    *Touch story. Then usimdharau usiemjua kwakweli. Binafsi nimemuelewa. Mbali na changamoto alizopitia lkn ki saikolojia yuko okay, imagine wewe unakutana na vitu kama hivyo. Pole mzee ndio dunia. Nashauri serikali wamuangalie kwa jicho la tatu, hapo aliposema anataka kuhamishia kampuny nchini kwani akifanikiwa means atatoa ajira kwa vijana wa kitanzania wasio na ajira.*

    • @bbakzuvciIii
      @bbakzuvciIii 3 ปีที่แล้ว

      HAYA NI MAISHA NDIYO UMUHIMU WA KUMJUA BWANA YESU KRISTO KAMA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YETU HALLELUIYAH.. KUWA VIZURI SANA KATIKA MAISHA YA KIROHO.. THAT'S ALL WHAT MATTERS

  • @fababindawood8363
    @fababindawood8363 6 ปีที่แล้ว +1

    nimemuelewa sana Dr Millard Ayo msaidiye huyuu mzee

  • @paulmshabaha6356
    @paulmshabaha6356 6 ปีที่แล้ว +4

    He is smart and has a family great thing!!that is real genius🔥🔥

  • @samkabaysa6487
    @samkabaysa6487 6 ปีที่แล้ว +1

    Dr. Shika yaonyesha ni mtu makini sana, na msomi mzuri. Pongezi kwako mheshimiwa.

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 6 ปีที่แล้ว +28

    Dah maskini, mzee anastori ya kusikitisha sana nimestruggle sana kumaliza dakika zake19:38 inasikitisha japo mwisho kuna kautani kidogo. Ila nimejifunza vitu vipya 3 leo toka kwa huyu mzee. Moja ni Shikiria kengele aka "mbupu" mbwa mkali habwaki( hii ni kwa sie boys tu)
    2. Shika kitovu nyoka mkali hakusogelei kabisa
    3. Usimtazame usoni mtu aliyelala utamwamsha

    • @amimubecha3241
      @amimubecha3241 6 ปีที่แล้ว

      joji georige pamoja kaka, pamoja sana.

    • @minharhocuma5264
      @minharhocuma5264 6 ปีที่แล้ว

      na ya nne "kukaa mwenyewe haikubaliki"

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 6 ปีที่แล้ว

      joji georige Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

    • @mwaijatvonline895
      @mwaijatvonline895 5 ปีที่แล้ว

      Nimepata somo pia je kwa wanawake unashikilia Nini? Unapopita kwenye mbwa wakali?

    • @sabinamagesse2013
      @sabinamagesse2013 3 ปีที่แล้ว

      Dah

  • @basharahamtzhalisi6871
    @basharahamtzhalisi6871 6 ปีที่แล้ว

    Pole sana Dr Shika nimekuelewa sana mzee. Wewe ni mtu mwenye busara na hekima tofauti na wanavyokuelewa kimtazamo.

  • @gugutachief2950
    @gugutachief2950 6 ปีที่แล้ว +1

    Pole mzee yote maisha...mungu ndo muweza wa kila jambo

  • @remedymoody
    @remedymoody 6 ปีที่แล้ว

    Pole sana Dr.

  • @josephfather2890
    @josephfather2890 6 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akutie nguvu katika mambo ako

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 3 หลายเดือนก่อน

    Du pole Sana Baba yetu, Mungu Azidi kukupigania na Akubariki zaidi, akupe furaha na Amani kwa Maisha yako

  • @gracekihampa3350
    @gracekihampa3350 6 ปีที่แล้ว +1

    mbinu za watekaji na namna ya kusepa! asante docta.." shikilia kengele mbwa hatabweta"

  • @balozibalozi5257
    @balozibalozi5257 6 ปีที่แล้ว +2

    Pole sana MZEE nimesikitika tujifunze Kitu vijana

  • @blasskameta944
    @blasskameta944 3 ปีที่แล้ว +5

    Daaah R.I.P Dr shika pumzika kwa Amani

  • @shadrackmnjelu5285
    @shadrackmnjelu5285 6 ปีที่แล้ว

    Mzeeeeee ukooo vzriiiii kbsaaa yaan

  • @boscomuyinga2164
    @boscomuyinga2164 6 ปีที่แล้ว +3

    😢 😢 😢 😢 😢 😢 😢 kwenyekipigo pole sana mzee

  • @sebamabee5228
    @sebamabee5228 6 ปีที่แล้ว +5

    Ingekuwa mbele tayari watayarishaji wa kubwa na makampuni makubwa ya Filamu yangekuwa tayari yapo location januari tunasubiria movie mupya ya Dr Louis S Kid. Ila kwa hapa kwetu Bongo lala ni balaa watayarishaji wa filamu wanataka watutengenezee filamu zao za mtu katoka bush huko kakutana na demu wa kishua alaf anafanikiwa kimaisha (hizo ni bangi). Stori ya huyu mzee ni Bonge la filamu la kupiga hela na kujitofautisha kimtazamo na utayarishaji wa filamu.

  • @karimhemed9261
    @karimhemed9261 6 ปีที่แล้ว

    Dah!! Maisha Haya!! Cha Msingi Ni Kumuomba Mungu Tu Akufanyie Wepesi Kwenye Kutafuta Rizki Yako!! Maana Hakuna Anayejua Kesho Yake! Pole sana Doctor Historia Ya Maisha Yako Inasikitisha Sana!! Mungu Akusimamie Inshaallah

  • @ckukuu8404
    @ckukuu8404 6 ปีที่แล้ว

    Woooi jamani duniani kuna watu wabaya mi mpka mwili umekauka...pole sana Mzee Allah atakusimamia kila kitu utokea kwa sababu...+254 Mombasa

  • @faridmobji
    @faridmobji 6 ปีที่แล้ว +2

    Mzee yuko poa sana sana 👏👏👏👏

  • @iviejustified8109
    @iviejustified8109 6 ปีที่แล้ว +11

    Degree Nne.... Mzee Daktari haswaa...
    Si mchezo

  • @emmanuelyandu1608
    @emmanuelyandu1608 6 ปีที่แล้ว +2

    OMG, I'm moved!

  • @masakakambesha4521
    @masakakambesha4521 6 ปีที่แล้ว +6

    So smart kichwani

  • @omarisaid1315
    @omarisaid1315 6 ปีที่แล้ว

    Dr shika kaeleweka sana.... kwel ucmzarau ucye mjua.... katupa elimu (Ukishindika kengele zako mbwa javelin) na (ucmtazame alye lala ataamua) Hatariiii.

  • @zahabujoseph6584
    @zahabujoseph6584 6 ปีที่แล้ว

    Mzee nimekuelewa vilivyo uko smart sana, hapo ndo tofauti ilipo kati ya kusoma na kuelimika na kusoma kuongeza miaka shuleni.

  • @youngdady7901
    @youngdady7901 6 ปีที่แล้ว +1

    big up sana unahitaji kujiriwa serikalin

  • @samuelmuhindosivamwanza4988
    @samuelmuhindosivamwanza4988 5 ปีที่แล้ว

    Pole sana baba. Mungu aendelee kukulinda

  • @emmanuelkanje7585
    @emmanuelkanje7585 6 ปีที่แล้ว

    Naomba kuuliza
    Huyu Dr L.S Kid, kwa wale mmefuatilia maelezo yake kwenye You tube. Inaonekana ni kichwa sana ila kuna misukosuko alopitia kulingana na maelezo yake. Je hamna jinsi yoyote serikali Inaweza kufanya kufuatilia ukweli na endapo wakagundua kasema ukweli hamna jinsi ya kumsaidia akarudi kwenye form yake, Dr Shika ni rasilimani adimu sana, tukiacha ikapotea hivi hivi kwa kweli ni dhambi hata mbele za Mungu. Naomba kuwasilisha

  • @winniechoyo4072
    @winniechoyo4072 6 ปีที่แล้ว +7

    Pole kwa matatizo mzee Wang

  • @amoseliud6515
    @amoseliud6515 6 ปีที่แล้ว +2

    We mzee noma nimekuelewa sana

  • @elymollel
    @elymollel 6 ปีที่แล้ว

    This man is smart we shouldn't underate him. Kama mtu nk mwongo maelezo yake huwa hujulikana tu.

  • @upendomunisi9482
    @upendomunisi9482 6 ปีที่แล้ว

    pole sana Dr Luis. binafsi nimekuelewa.

  • @breymbasa8647
    @breymbasa8647 6 ปีที่แล้ว +1

    mungu anakuongoza

  • @ARCHANDRAMUMBUNGU
    @ARCHANDRAMUMBUNGU 6 ปีที่แล้ว +55

    KWANZA MAGUFULI MWAJILI HUYU MZEE PALE MUHIMBILI.
    PILI TUSIMDHARAU MTU TUSIYE MJUA
    TATU VYOMBO VYA HABARI MCHANGIENI HUYU MZEE MAANA MNAPATA PESA NYINGI KUPITIA YEYE.

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 6 ปีที่แล้ว

      Ebwana mambo vipi
      Ningependa kusubscrube kwenye channel yako ila uko-SUBSCRIBE kwangu kwenye channel yangu ntafanya Hivyo kwako.

    • @ARCHANDRAMUMBUNGU
      @ARCHANDRAMUMBUNGU 6 ปีที่แล้ว +1

      Sabas vLogs POA FANYA TU. HAKUNA WASI BRO

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 6 ปีที่แล้ว

      MBINGA TV
      Pamoja mkubwa.Tumesomana

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 6 ปีที่แล้ว

      Managonga SUBSCRIBE kwako tayari.

    • @demetrykisiya1396
      @demetrykisiya1396 6 ปีที่แล้ว

      Daah

  • @sulejiTv
    @sulejiTv 6 ปีที่แล้ว

    Pole Sana Mnzee wangu Mungu you po.

  • @officialkissmiva9778
    @officialkissmiva9778 6 ปีที่แล้ว +48

    To be honest nimekoma kufuata mkumbo na kuchukulia watu poapoa wallah tunajudge vitu kwa impression za physical appearance ndio maana si maisha,mapenzi na mengineyo "impression" inatesa watu na kuwa soooo judgemental...forgive my manners Dr louis

    • @thomasbikemo8252
      @thomasbikemo8252 6 ปีที่แล้ว

      Wavanilla tz same as me mkuu mzee nimemuelewa

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 6 ปีที่แล้ว

      Wavanilla tz Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

  • @ngussa7513
    @ngussa7513 6 ปีที่แล้ว +1

    Dr Luiz Shika...👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👍

  • @davidklm123
    @davidklm123 6 ปีที่แล้ว +9

    Tunaitwa nyani kilamaala, ata na india wanatuita nao nyani kipindi wao ni nyani weusi mno zaidi yetu... ila chaajabu South Africa wa india wapo Bungeni na hapa kwetu Tanzania wapo Bungeni pia tena uki cheki wapo kwenye u spiker wa Bunge South Africa na Tanzania pia. Yaani hii tabia yetu sisi weusi wakiafrica kuchukiana nakugombezana kati yetu yaani Mungu atuurumiye sana. Cheki unyama wa mzungu sasa hadi walimkata vidole. Nyinyi wakujipendekeza kwa wazungu nawapa pole.

  • @mukeshaemmerance3358
    @mukeshaemmerance3358 6 ปีที่แล้ว

    Poleni mzee wangu

  • @denisrwebangira136
    @denisrwebangira136 6 ปีที่แล้ว +1

    Aaaaahhh safi sana doctor.

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca 6 ปีที่แล้ว

    Wow, what an amazing story...

  • @DrNyamwiMSMD
    @DrNyamwiMSMD 6 ปีที่แล้ว +3

    he is very smart and technical.......bt some shit happens..

  • @mussakipete6371
    @mussakipete6371 6 ปีที่แล้ว +1

    Dua yangu na iwe mbele yako daima mzee wangu

  • @edithakaaya7551
    @edithakaaya7551 6 ปีที่แล้ว

    nimemuelewa sanaaa..Anahitaji msaada...wap mr presdent

  • @dorahmoya4854
    @dorahmoya4854 6 ปีที่แล้ว +3

    kidole kimeniumaaa mimi hikooo!! hapana jamani.. mateso ya mwenye haki ni mengi lakini Bwana humponya nayo yooote!! Unakwenda kupokea muujiza wako Dr Louis!!

  • @masharamadhanmashaka6571
    @masharamadhanmashaka6571 6 ปีที่แล้ว +1

    kweli usimzarau usie najuwa, pole sana babu kwayote yalokukuta Mungu atakulipia yote hayo

  • @youngmau923
    @youngmau923 6 ปีที่แล้ว

    mzee yuko makini kwanza anajua kujieleza pili anajua kunyoosha maelezo so good mzee

  • @danielsiasa459
    @danielsiasa459 6 ปีที่แล้ว +1

    Huyu mzee afuatiliwe vizuri inaonekana kuna mambo mengi ndani yake..ni kama msema kweli hiviii
    900 Itapendezaaa 😊😊

  • @ashuashu3843
    @ashuashu3843 5 ปีที่แล้ว

    Pole sana dunian kuna viumbe vinaroho ngumu sana sana,binadamu anakuwa zaid ya wanyama wenye miguu minne,nimeumiumia sana kwa dhulma.eee mungu zitie roho zetu Iman.

  • @titomgimwa6092
    @titomgimwa6092 6 ปีที่แล้ว

    Daah Pole Sana dk shika

  • @hongerakkachawasemewwkzbut4996
    @hongerakkachawasemewwkzbut4996 6 ปีที่แล้ว

    pole sana baba angu duu umepitia mitihani mingi ila mungu yupo nawe baba imeniuma sana wallah.

  • @emanueljuma1139
    @emanueljuma1139 6 ปีที่แล้ว

    pole sana aise, inavyoonekana maisha uliyo ptia ndo yamekufanya uwe hvo. ila ukwl inaonyesha kuwa ww ni mtu msomi na umeelimika, wanachotakiwa kukufanyia ni kukupatia msaada ili upate stahiki zako..!!

  • @jayproducts5871
    @jayproducts5871 6 ปีที่แล้ว +3

    Tajiri Dr luis

  • @dativarutta4346
    @dativarutta4346 6 ปีที่แล้ว

    pole sana mzee wangu

  • @saighilunyangusi4986
    @saighilunyangusi4986 5 ปีที่แล้ว

    Pole sana mzee wangu,

  • @farajampombo1981
    @farajampombo1981 6 ปีที่แล้ว +15

    Daaaaah aisee wanadam tunapitia mambo mengi,Kuna shida na raha humo humo.Jamaa kapitia magumu kwel.

    • @abesa_worldwide
      @abesa_worldwide 6 ปีที่แล้ว +1

      Kweli Mkuu

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 6 ปีที่แล้ว

      FARAJA MPOMBO Mambo vipi?
      Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

    • @allybakari2325
      @allybakari2325 6 ปีที่แล้ว

      FARAJA MPOMBO huyo mzee ni noma

  • @dvjkelly8449
    @dvjkelly8449 6 ปีที่แล้ว

    ahaaaaahaaaaahaaaaaaahaaaaa, aki huyo mzee anakaa dramatic sana, his too good, too funny na hiyo stori yake, i wish afunguliwe hashtag kichekesho, anafaa sana standup comedy, churchill we got the talent search for this guy

  • @agnesmoriss7463
    @agnesmoriss7463 6 ปีที่แล้ว

    mungu akuongezee umri baba

  • @theplanet247
    @theplanet247 6 ปีที่แล้ว

    Dah so painful😢😢 ngumi na kidole kukatwa

  • @niaanthony9588
    @niaanthony9588 6 ปีที่แล้ว

    Pole sana mzee hapo nimekuelewa

  • @mustafamaulidi869
    @mustafamaulidi869 6 ปีที่แล้ว +1

    Kaza mzee wangu usijali tupo pamoja sema nini mzee wangu kiki yako nzuli sana

  • @hongerakkachawasemewwkzbut4996
    @hongerakkachawasemewwkzbut4996 6 ปีที่แล้ว +1

    toa na kitabu mzee iwe historia ya watanzania maana walio wengi hawaelewi kuwa umepitia mitihani mingi sana duu pole sana.

  • @khamiskombo1149
    @khamiskombo1149 6 ปีที่แล้ว

    Tuna shukuru xna mzee wetu ww ni mtanzania mwenzetu tunaomba serikali imsaidie huyu mzee nimtu mzuri mwenye nia yakuleta maendeleo

  • @leonardqamunga2141
    @leonardqamunga2141 6 ปีที่แล้ว

    Millard uko vzr na utafika mbali sanaaaaaaaa kwa kazi nzur unayoifanya

  • @jackswat
    @jackswat 6 ปีที่แล้ว

    I think this man is not only wealthier in terms of his money, but even the story he is telling is quite exciting.! True stories kama hizo ni chache sana duniani bwana!. If he manages to put that together in some kind of a book - he will make even more money!. VERY FEW PEOPLE ARE SUCH AS HIM!! - I challenge biographers to take that chance.

  • @cammyris2168
    @cammyris2168 6 ปีที่แล้ว

    Nimekupenda to the extent Na Mwenyezi Mungu Anisamehe Kwa pale nilipolopoka kuhuxu mia TSA inapendeza