Sis wenye tushindwa kujitambua nakujiani kama tuna uwezo wakijiongoza wenywe tunaona kama bila ya wao sisi hatuwezi nizaifu mkubwa wakifikra na kiimani husband viongozi walioko madarakani
hayo mambo ya mungu ndyo yanayo tuludisha nyuma tumeinginiziwa imani za hovyo na wageni kuacha ualisia wetu wa kiafrica na kujikuta kupokea imani za watu ambazo zinatufanya mpaka leo tumekuwa wajinga na kuwa kichaka cha maladhi
Hainishtui kiasi cha kunifanya niwaze sana kuhusiana na hii ishu coz I know I’m the best in front of my creator and I believe that there’s a reason behind why I were created black, so I’m very proud to be the way I am and I’ll never ever regret to, Code ni moja tu akikubagua mbague.
Ifike wakat cc watu weusi tujitambue km tunabaguliwa tusilazimishe kujichanganya nao Ni bora zaid tuish maisha yetu mana haitokuja tokezea ubaguzi WA watu weusi kuondoka duniani kwasababu hata watoto wao huwasomesha namna ya kutubagua
Haya Ruto umeona kaz hiy adi unapendwa ujue wana shida zao..Na huy mbibi wa kizungu kama ndio alimuanzishia kiran yan alianz kumbagua kitambo...mie ushaur kama upo huko we tafuta pesa urud mambo yao waachie ila nk vyema kaongeza kura kwa trump hasa kwa watu weusi walioumizwa na hilo...trump naye keshapata hoja ya kumkaanga na kufanyia kampeni
Jmn mrembo mzuri mwamfrica yaani anapendeza kazidi hawa weupe kama vile wana ugonjwa wa ukoma. Dada mweusi mzuriii sana, angalia tu macho yake tu jmn mtoto huyu dahhh!! Wazungu jmn Mbinguni hawataingia!! Sisi sote ni wa Mungu mmoja. Amen.
Shida sio dada tatizo ni mfumo wetu wa akili katika uso wa Dunia hata ningekuwa mm ingetokea hivo tu asiwaze kwetu ss ni shujaa wetu dada mwenyewe mrembo mzuri tu jaman❤
Ni ssi tu huwa tunajipendekeza kwa hawa watu weupe,sio wazungu tu hata wahindi,waarabu wachina,wote wanajiona wao bora zaidi na wenye bahati zaidi yetu.SISI TUKUBALI TU KIBAYA ZAIDI HAWA WATU MUNGU AMEWABARIKI MALI HAPO KIBIRI NDO KINAZIDI ZAIDI TUFANYE IBADA SANA ILI FUNGU LETU TULIKUTE KWA MUNGU WETU ILA HAPA DUNIANI HAWA WATU WANATAMANI WANGETUONDOA WATU WOTE WEUSI WABAKI WAO TU.
Inakeraa aricho kifanya biden. Ila kama irivyo kawaida wachafu wengi ndiyo wanavaaga nguo safi nakuaminika kiulaisi ishakua kawaida2 vitukama ivyo ugenini kule. Unakuta hao hao wa wanaobaguriwa ndiyo wanao mumarizia kula ya ushindi haanhahahaha
Hawa wazungu hawawezi kutupenda sisi watu weusi, ni sisi tuu ndio tunajipendekeza kwao. "If one day the Europeans praise me, know that I have betrayed you" very great quotations By Samora Machel.
@@santinoplacid7571 wao ndio wanaotutegemea waafrica kwa kila kitu, madini na rasilimali nyengine nyingi, ni muda kwa viongozi wetu kubadili muelekeo kwa manufaa yetu nasio manufaa ya mabeberu
Hii inafunzokubwa kwa viongozi machawa wawa zungu wanaokula pesa zawazungu wajuwe wana wauza nduguzao kwa watu ambao hawawapendi Nandiomaana viongozi wa kiafrika wenye msimamo huwa wanawauwa R.i.p magufuli
Hawa weusi wanatakiwa wafanye yafuatayo: 1. Wasimpigie kura huyu magazine na badala yake wampigie wa Republican ingawaje wao ni wabaya zaidi. 2. Wasome kwenye disciplines tofauti 3. Watafute pesa kwenye maeneo tofauti 4. Watengeneze wanasiasa wengi 5. Waongeze idadi yao nk
Nlijionea kanisani kuna mtoto aliyekuwa anabatizwa msimamizi alikuwa mweusi akaambiwa sogea kasubirie nje alipotolewa nje na mwenye mtoto akatoka nae na baadhi ya wengine wakatoka nusu ya kanisa walisusia ile ibada wakapanda magari yao wakaondoka hii kitu ipo kila sehem kwa wazungu wabaguzi sana😢
Hivi inanikumbusha civil Rights movement 1960 huko marekani. Wamarekani weusi waliteseka kwa miaka mingi Sana. Walibaguliwa kwa Mambo mengi. Wakachoka wakaamua kulianzisha. Wakaazisha civil Rights movement wakinakili baadhi ya vifungu kutoka kwa katiba yao ya marekani. Nawakumbuka mashujaa wao Kama Martin Luther King, Fred shuttlesworth, Rosa Packs,, wanasheria Kama Autherin Lucy,Thurgood Marshall na Arthur Shores.
Hata ukristo haukuruhusu ubaguzi,ubaguzi nitabia ya watu weupe wote dhidi ya mtu mweusi,warabu na wahindi ni wabaguz xana pia,hakuna Cha uislam Wala ukristo
The black queen never give up, I know you feel so sad because of this but stand firm be strong coz there's a day the truth will reveal it. I know you have a lot of love with your president but the president Biden make rejected to you. But I promise you all African and worldwide appreciate you and we love you forever.
Mimi ni mmarekani mweusi ,nipo San diego california , kwa hili alilo lifanya Biden amedhihirisha kuwa yeye ni mbaguzi kabisa.. kura yangu hawezi kuipata kamwe.. ndio maana hata katika uchaguzi wa awali nilimchagua yena bwana Trump. 😢😢😢😢
Ata nchini kwako ni wabaguzi sema ninyi mmezoea ubaguzi wa rangi tu. Wewe mtanzania ukienda dukani kwa mtanzania mwenzako, halafu muda huo huo akaja mzungu kwenye duka hilo, mzungu atasikilizwa na kuhudumiwa wa kwanza hata kama wewe umemtangulia kufika. Mkienda nyumbani kwenu ndugu zako wenye hela ndio wanaonekana wa maana zaidi, wewe usie na hela wanakubagua na kukuona huna umuhimu au una umuhimu mdogo sana. Hata baba yako unakuta anabagua watoto, anapendelea watoto wenye mafanikio halafu wale wasio na kitu anawaona takataka
Mababu zetu walizingua sana kuwauza ndugu zetu uko ulaya ona weusi wanavyobaguliwa pole sana weusi wenzetu mlioko uko ma ulaya marekani Asia kikubwa dua MUNGU yu pamoja nanyie
Ubaguzi uko kila sehemu na kila kabila duniani.Hapa hapa Tanzania tunabaguana sembuse huko Marekani.Hebu angalia hapo kenya wanavyobaguana,ww mbara nenda zanzibar au nende arabuni huko kote kuna ubaguzi.
@@MathewNathan-yb2bz ni lini ww ulishawahi kwenda zanzibar ukabaguliwa au unaushahidi wwte wa video au audio ikimuonyesha mtu wabara au ww mwenyew ukibaguliwa? Usiongee kwahisia ongea kiuhalisia usiongee kwa chuki mm nimeshaenda znzibar na nimeshakaa zaidi ya miaka miwili na hawaja wahi kunibagua na sijawahi kusikia kma kuna mtu wa bara amebaguliwa labda tuseme2 kua ss wabara tumetokea kuwachukua wazanzibali huo ndio ukwel tunawatengenezea chuki ila wale watu ni watofauti kabisa kwanza hawana habal kabisa na mtu kule kila mtu anaangalia maisha yke aisee kwakwl wale jamaa ni haki yao wakatae muungano mana kwanza hatufanani nao kwachochote nikimaanisha maadili yao hayaendani kabisa na yakwetu
Sishangai kuonaili kwani nikawaidayao kuwabagua watu wengine ndomana wanakwenda kwenye matifa mengine kufanya ugaidi nakisha wanawaita wao ndio magaidi kwani alieondoka alifanyaje sialisema akipata uraisi atawatoa raia wakigeni wate na wananchi wao walishangilia alipoingia alifanyaje si aliwatimua kwaiyo msishangae atawanaopigwa kisasi ni raia wakigeni
Pole sana dada yangu mweusi wewe ni wathamami kubwa badili tu eneo apo sio Alafu Ruto na weusi wake woote eti Biden kampa kiti chake akiikaliye Kwa mtazamo huu Mimi naamini Bila shaka kile kiti hakikuwa chenyewe na kama kitakuwa ni chenyewe baada ya Ruto kukiikaliya kilitupwa
Hakuna aliebora kwa Allah s w ispokua anaemuabudu yeye tu kama unaamini like
Sis wenye tushindwa kujitambua nakujiani kama tuna uwezo wakijiongoza wenywe tunaona kama bila ya wao sisi hatuwezi nizaifu mkubwa wakifikra na kiimani husband viongozi walioko madarakani
Huyo Allah ana ubora gani?
Utakuja kujua inshaallaah 😢
@@vincentcharles4385Chunga maneno yako...
Hakuna Siku Mzungu Atapenda Mtu Mweusi,Hata Akikupenda Huwa Na Kachuki Fulani,Ogopa Mzungu 😭😭😭😡
Nikweli kabisa wazungu hawawezi kutupenda kamwe inatia uchungu huyo binti
Nikweli haujakosea
Never happen
Siyo wote
Kwaiyo jaymondi anabaguliwa kumbe😂
Kama unaamini sote ni wa Mungu mmoja gonga like
Sisi na wazungu ni tofauti kabisa sisi ndio Wana wa Muumba wa kweli SEMA tumepoteza asili kupitia dini
hayo mambo ya mungu ndyo yanayo tuludisha nyuma tumeinginiziwa imani za hovyo na wageni kuacha ualisia wetu wa kiafrica na kujikuta kupokea imani za watu ambazo zinatufanya mpaka leo tumekuwa wajinga na kuwa kichaka cha maladhi
@@cryptoboy-5jidanganye siku ukifa utajua vzr
@@francejuya1248hakuna mzungu wala china sie sote ni wa Mwenyezi Mungu lkn wazungu wanajiona wao wajuzi
@@cryptoboy-5 sasa hapa dini imeingiaje? Watu waliozoea kwenda kwa waganga utawajua tu!😅
Hainishtui kiasi cha kunifanya niwaze sana kuhusiana na hii ishu coz I know I’m the best in front of my creator and I believe that there’s a reason behind why I were created black, so I’m very proud to be the way I am and I’ll never ever regret to, Code ni moja tu akikubagua mbague.
Yaani nilikua nasikiaga ubaguzi leo nimeuona live
Aki nimeumia roho 😢😢😢
Mimi siwenzi kushangaa kwa ngonzi nyeupe kuhusu ubanguzi Kama sisi kwa sisi tunabaguana wafrica kwa nn isewe kwa nzungu Africa tuungane
Hakuna chakushagaa hapo wazungu wote hawatupendi sisi weusi
Wazungu hawawapendi hata waarabu sio muafrika tu
🎉🎉🎉🎉
@@user-dx6dm6lh1i🎉🎉🎉🎉kabisaaa
Uyoo..so Raisi ni mubaguzi wa Rangi.....🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤ hafai kuwa mtawala
Ifike wakat cc watu weusi tujitambue km tunabaguliwa tusilazimishe kujichanganya nao Ni bora zaid tuish maisha yetu mana haitokuja tokezea ubaguzi WA watu weusi kuondoka duniani kwasababu hata watoto wao huwasomesha namna ya kutubagua
Acha kwenda kwenye makanisa na misikiti yaho kwaza
@@frocoissango8973Makanisa yao yako wapi?
Kinachotakiwa ni kujikomboa kifikra Kwanza...Ukipenda kusaidiwa ujiandae na kibaguliwa
Ubaguzi Marekani haujaanza leo,una historia yake.
Sasa eti ata Biden mwenye upungufu wa kumbukumbu analeta ubaguzi duuh. Mbona rais mwenyewe mgonjwa jmn
Ndo ache shobo za wazungu yy ashajiona kima anakwenda vipi kwa nguruwe mweupe ndo akome
Kweli huwa wanajishauwa sana
Kutoka Gikombaa Nairobi leo sijakusikia kaka ulivyotokea nimefurahi sana big up family ya sns
VIPI GEN-Z
KESHO WATAKIWASH🔥?
@@allahisone6386 hapana Kesho ni sikuku ya sabasaba
Gikomba nyie weziiiii sana 😂😂😂😂
@@Officialjidaa-sn9cs ndo akili yako imekutuma ivyo
@@Brunotarimo10 si kweli Kwan uongo
Haya Ruto umeona kaz hiy adi unapendwa ujue wana shida zao..Na huy mbibi wa kizungu kama ndio alimuanzishia kiran yan alianz kumbagua kitambo...mie ushaur kama upo huko we tafuta pesa urud mambo yao waachie ila nk vyema kaongeza kura kwa trump hasa kwa watu weusi walioumizwa na hilo...trump naye keshapata hoja ya kumkaanga na kufanyia kampeni
mbaguz huyu jamaaa. ameisha
kabisa
Tunashabikia sana wazungu tena ao ao ndio wanasema Human Rights ila ubaguzi kwaio umezidi
Kweli kabisa ,amebagua huyu mdada mweusi ,amekosea sana
Ubaguzi Marekani haujaanza leo,, una historia yake
Dah kuna aibu nyingine zinaumiza tena asa kwa mtu unaemuamini.
Yani i feel her pain mim peke nimeumia utadhan ni mim kampa mfadhaiko mbele za watu…. Ila na wao wakome
Daah, kweli bhana hawa watu hawatupend. Imenihuzunisha
Jmn mrembo mzuri mwamfrica yaani anapendeza kazidi hawa weupe kama vile wana ugonjwa wa ukoma. Dada mweusi mzuriii sana, angalia tu macho yake tu jmn mtoto huyu dahhh!! Wazungu jmn Mbinguni hawataingia!! Sisi sote ni wa Mungu mmoja. Amen.
Baguzi halitoboi this time
Hata huyo trump mbaguzi waamerika their in trouble 😂
Dah!nimejisikia vibaya sana
Shida sio dada tatizo ni mfumo wetu wa akili katika uso wa Dunia hata ningekuwa mm ingetokea hivo tu asiwaze kwetu ss ni shujaa wetu dada mwenyewe mrembo mzuri tu jaman❤
Very Sad 😢, Namkumbuka Jk Nyerere alisema… wazungu ni….ma….bwa! Kwa kweli
Na yy kafat nn apo
🤣🤣🤣hapo sasa,hata nami najiuliza hivo...
😂😂😂 kapata alichokifuata
Kwa kweli imeniuma hadi machozi
Nyoooo. Kutwa kuzungumzia uchaguz wa Marekan.. Wa Tanzania aaah
Sisi watu weusi Mungu alivyo tuumba ndio tunao jali utu wa watu wote dada your still strong don't be so sad
Kabisa tuna roho ya upendo❤
😢😢😢😢Be strong my girl✊✊and be courage. We will win as the black😍
Is not a first time from him
Hata Trum mbaguz na hata huku kwetu pia kuna ubaguz wabongo hujifanya wako juu na wapemba na wao usiseme waunguja tuko kimya tunawatizama tu
Kababu kasenge haka!
Ucjali kana kufa tu kesho kakaktane na adhabu za mungu kibri chote kitaisha😢😢😢
Yaah ,its not their home, Africa is, Africa is the paradise, Black is beauty always.
Hakuna watu wabaguzi kma hawa ngozi nyeupe sijui wanajiona kina nani hapa dunian aiseee hata mimi nishakosa kaz dubai sababu tu ni rangi n mweusi🙌🏾🙌🏾
😢😢😢😢😢
Nipo Dubai mwaka 7 sijaona Hilo
Tembea kweny matamasha sio upo dubai unalal kwenye kochi siku nzima
@@AmusedCatfish-hd8wo hayajakukuta tulia
@@abdulrazackabbas2634 mwambie huyo haya mamb yapo ukisikia mwenzio unaona n uzishi likikukuta sasa
Takwambia Nini Kaka Sky mbona uku Capetown na sisi uzuni namadjozi vimetujaa,Allah Amchukue na Hamlaze mahali pema motoni
Ni ssi tu huwa tunajipendekeza kwa hawa watu weupe,sio wazungu tu hata wahindi,waarabu wachina,wote wanajiona wao bora zaidi na wenye bahati zaidi yetu.SISI TUKUBALI TU KIBAYA ZAIDI HAWA WATU MUNGU AMEWABARIKI MALI HAPO KIBIRI NDO KINAZIDI ZAIDI TUFANYE IBADA SANA ILI FUNGU LETU TULIKUTE KWA MUNGU WETU ILA HAPA DUNIANI HAWA WATU WANATAMANI WANGETUONDOA WATU WOTE WEUSI WABAKI WAO TU.
Mungu anawaumbua 2
Ilibidi sisi tuwachukie wazungu na tuwabague ila kuna mahali wametuwahi ila katika kuumbwa sisi tumebarikiwa sana trust
Shenzi huyu mzee 🚮
Inakeraa aricho kifanya biden. Ila kama irivyo kawaida wachafu wengi ndiyo wanavaaga nguo safi nakuaminika kiulaisi ishakua kawaida2 vitukama ivyo ugenini kule. Unakuta hao hao wa wanaobaguriwa ndiyo wanao mumarizia kula ya ushindi haanhahahaha
Hawa wazungu hawawezi kutupenda sisi watu weusi, ni sisi tuu ndio tunajipendekeza kwao.
"If one day the Europeans praise me,
know that I have betrayed you" very great quotations By Samora Machel.
tutafanyaje sasa wakati ndio wametufanya tuwategemee kwa kila kitu😢😢
@@santinoplacid7571 wao ndio wanaotutegemea waafrica kwa kila kitu, madini na rasilimali nyengine nyingi, ni muda kwa viongozi wetu kubadili muelekeo kwa manufaa yetu nasio manufaa ya mabeberu
Dah inauma sana
Daah so sad.. nimelia sana
Skay kaka nafurahi sana unavo tupa vitu va kudunia nikuambietu hawa wazungu sio watu kabisa
Vizee vimezeeka vinaenda kufa ndomana havijali watu sey no to rashizim lachesism
Aisee sns mpo vizur sana
Kuna kaka aisema ivi vitu walimutukana kaka wawatu nimelia sana 😢😢 ubaguzi upo 😢
Mimi hata nkiambwa jckie kama upo nyumban lakn cjsahau mimi n Nan 😂😂😂😂
Daah😢😢😢😢😢
Hii inafunzokubwa kwa viongozi machawa wawa zungu wanaokula pesa zawazungu wajuwe wana wauza nduguzao kwa watu ambao hawawapendi
Nandiomaana viongozi wa kiafrika wenye msimamo huwa wanawauwa
R.i.p magufuli
Kweli mschana kajisikia vibaya sana, inasikitisha sana amemdhalilisha kiukweli, mwanzoni nilimpenda Biden, ila kwa hili simpendi tena.
Waafrika wenyewe hawapendani
nimeumia sana kwa kweli huyu jamaa anaroho mbaya sana sana
Si warudi kwao Africa
Wapi?
Jielimishe!
Kufanya nini...
Hao wazungu wenyewe sio asili yao huko
Asife moyo hii ndo dunia na dunia always haina usawa usawa upo kwa Mungu pekeyake
aisee kaka wewe ni mbunifu Sana kwenye Sanaa umeiwasilisha vizur Sana
Inauma ila mm nikizani mtu akiwa na umri uyo sasa anajuwa kama akuna tofauti wa mtu na ungine kumbe ukubwa njinga 😢😢
OMG I feel Her huu ni ubaguzi sema kama kajaribu kuuficha flani hivi
Kujipendekeza Kwao sana
dah 😢
Too bad for us as Africans and our race of people in USA
Inaumiza sana😢
Hawa weusi wanatakiwa wafanye yafuatayo:
1. Wasimpigie kura huyu magazine na badala yake wampigie wa Republican ingawaje wao ni wabaya zaidi.
2. Wasome kwenye disciplines tofauti
3. Watafute pesa kwenye maeneo tofauti
4. Watengeneze wanasiasa wengi
5. Waongeze idadi yao nk
Ila Luto ni mweusi zaidi kuliko huyu dada, be care African 😢
Yaan ingekua ni Mimi,huyo mbibi kwanza ningemtia ngumi ya uso ..
4:16 Hafai kua Rais tena Hana Maana kwa kizazi Cha sasa. Nimemfuta Kuanzia sasa. Aibu imrudie Biden mara 100
Nlijionea kanisani kuna mtoto aliyekuwa anabatizwa msimamizi alikuwa mweusi akaambiwa sogea kasubirie nje alipotolewa nje na mwenye mtoto akatoka nae na baadhi ya wengine wakatoka nusu ya kanisa walisusia ile ibada wakapanda magari yao wakaondoka hii kitu ipo kila sehem kwa wazungu wabaguzi sana😢
Inauma sana ila ni funzo kwa wengine wanaojipendekeza
Kweli,Hadi huruma
Waafrica acheni kujipendkeza kwa wazungu mwisho wake ndio kama hayo yanayowakuta
Machoko yatakuja hapa kumtetea choko mwenzao
Lizee linaroho mbaya sana hili
Hivi inanikumbusha civil Rights movement 1960 huko marekani. Wamarekani weusi waliteseka kwa miaka mingi Sana. Walibaguliwa kwa Mambo mengi. Wakachoka wakaamua kulianzisha. Wakaazisha civil Rights movement wakinakili baadhi ya vifungu kutoka kwa katiba yao ya marekani. Nawakumbuka mashujaa wao Kama Martin Luther King, Fred shuttlesworth, Rosa Packs,, wanasheria Kama Autherin Lucy,Thurgood Marshall na Arthur Shores.
Inaumiza kweli naskia najiskiya kama ni mimi
Ndomana uwislam umenyosha tutasimama kwenye swala hija aijalishi we mzungu au mweusi .na mbora katika cc anaefanya mazuri kwa Allah
Uislam ndo haki
Hata ukristo haukuruhusu ubaguzi,ubaguzi nitabia ya watu weupe wote dhidi ya mtu mweusi,warabu na wahindi ni wabaguz xana pia,hakuna Cha uislam Wala ukristo
@@josephkiwale374 hao mashoga wazungu wamezid ubaguz mashetani hayo
Wazungu wabaguzi mnooo 😢😢😢😢😢😢😢
Anajipendekeza
Weusi tunabaguliwa sana aise yote tisa kumi tupambanee yoooh😢😢😮😅
Du!nimemuonea huruma huyu dada Jamani 😮😮 bora nilizaliwa Africa kwenye asili yetu.
Atajua hajui
😭😭😭
I think the black American people should think twice of how to support the politician. It is so sad.
The black queen never give up, I know you feel so sad because of this but stand firm be strong coz there's a day the truth will reveal it. I know you have a lot of love with your president but the president Biden make rejected to you. But I promise you all African and worldwide appreciate you and we love you forever.
Daaaah maskin na bango lake kubwa lkn wapiiii wengne hawana hta mabango lkn hug za kutosha
Daah huu ni ubaguzi wawazi kabisa some shit ain't cheap 😢,
Mimi ni mmarekani mweusi ,nipo San diego california , kwa hili alilo lifanya Biden amedhihirisha kuwa yeye ni mbaguzi kabisa.. kura yangu hawezi kuipata kamwe.. ndio maana hata katika uchaguzi wa awali nilimchagua yena bwana Trump. 😢😢😢😢
Huyo Dada amebaguliwa
Hakuna kiumbe mbora mbele ya mwenyezi mungu ispokuwa awe mchamungu.
Ndo akome kujipendekeza😢
Kila siku harufu ya maiti kwa wafiwa ni uzuni lakini kwa asiye usika na msiba ni harufu mbaya 😢
🎉🎉🎉@@computerjoshua96
Hao Ndio Wazungu Tunaowafaham Kamwe hawatofungamana nawatu wausi labda kunajambo lao wakiwa wanalitaka
Sijuwi kwanini najisikia vibaya na nivitu naviona kila siku 😢
Ngoja niendelee kuishi kwenye nchi yang nifanye sanaa Zang has hizi habari za kwenda nje ya nchi ni hatali 😢😢😢😢
Uko nchini kwako hubaguliwi? Tena afadhai ubaguliwe na mgeni kuliko kubaguliwa nchini kwako. Nchini kwako ukiwa huna pesa ndefu unaonekana muhuni tu.
Ata nchini kwako ni wabaguzi sema ninyi mmezoea ubaguzi wa rangi tu. Wewe mtanzania ukienda dukani kwa mtanzania mwenzako, halafu muda huo huo akaja mzungu kwenye duka hilo, mzungu atasikilizwa na kuhudumiwa wa kwanza hata kama wewe umemtangulia kufika.
Mkienda nyumbani kwenu ndugu zako wenye hela ndio wanaonekana wa maana zaidi, wewe usie na hela wanakubagua na kukuona huna umuhimu au una umuhimu mdogo sana. Hata baba yako unakuta anabagua watoto, anapendelea watoto wenye mafanikio halafu wale wasio na kitu anawaona takataka
Mababu zetu walizingua sana kuwauza ndugu zetu uko ulaya ona weusi wanavyobaguliwa pole sana weusi wenzetu mlioko uko ma ulaya marekani Asia kikubwa dua MUNGU yu pamoja nanyie
Inauma sana
Nimeumia sanaaa sitaki hata kutazama
Ndo mjioneee uko waaafrika mnaojipendekeza na wazungu eakati wala hawawapendi
Ubaguzi uko kila sehemu na kila kabila duniani.Hapa hapa Tanzania tunabaguana sembuse huko Marekani.Hebu angalia hapo kenya wanavyobaguana,ww mbara nenda zanzibar au nende arabuni huko kote kuna ubaguzi.
@@MathewNathan-yb2bz ni lini ww ulishawahi kwenda zanzibar ukabaguliwa au unaushahidi wwte wa video au audio ikimuonyesha mtu wabara au ww mwenyew ukibaguliwa? Usiongee kwahisia ongea kiuhalisia usiongee kwa chuki mm nimeshaenda znzibar na nimeshakaa zaidi ya miaka miwili na hawaja wahi kunibagua na sijawahi kusikia kma kuna mtu wa bara amebaguliwa labda tuseme2 kua ss wabara tumetokea kuwachukua wazanzibali huo ndio ukwel tunawatengenezea chuki ila wale watu ni watofauti kabisa kwanza hawana habal kabisa na mtu kule kila mtu anaangalia maisha yke aisee kwakwl wale jamaa ni haki yao wakatae muungano mana kwanza hatufanani nao kwachochote nikimaanisha maadili yao hayaendani kabisa na yakwetu
@@MathewNathan-yb2bzlazma uwatetee mashoga wenzako
Haya makuma yalija kwenu mnawaona malaika kumazenu
Anayempenda Allah tu ndio kafaulu, Allah hambagui mtu ila kwa madhabi yake usipotubu
Sishangai kuonaili kwani nikawaidayao kuwabagua watu wengine ndomana wanakwenda kwenye matifa mengine kufanya ugaidi nakisha wanawaita wao ndio magaidi kwani alieondoka alifanyaje sialisema akipata uraisi atawatoa raia wakigeni wate na wananchi wao walishangilia alipoingia alifanyaje si aliwatimua kwaiyo msishangae atawanaopigwa kisasi ni raia wakigeni
Pole sana dada yangu mweusi wewe ni wathamami kubwa badili tu eneo apo sio
Alafu Ruto na weusi wake woote eti Biden kampa kiti chake akiikaliye
Kwa mtazamo huu Mimi naamini
Bila shaka kile kiti hakikuwa chenyewe na kama kitakuwa ni chenyewe baada ya Ruto kukiikaliya kilitupwa
Nashangaaga sana watu wwnavyo papatikia nch za watu