Nilikuwa natizama live last night nilikuwa nacheka kauli za Trump Kwa Biden na watu waliokuwa waki comments ... Aise watu wengi inaonesha hawamtaki Biden... Hata alipoongelea kuhusu Putin, Kim na Xi 😂😂😂
@@Fgldesigns. Lengo la kupiga kura ni kuwashawishi wapiga kura wanaowakilisha jimbo lako, ambao nao watapiga kura kumchagua mgombea wako. Katika kila jimbo, kura ya watu wengi huamua idadi ya wapiga kura ambao wameahidi kumpigia kura mgombeaji wa chama fulani. Sio uchaguzi wa moja kwa moja; unapiga kura kumchagua mtu ambaye atapiga kura kwa niaba yako. Mshindi sio kila mara mtu aliyeshinda kura nyingi kwa sababu mbili: 1. Majimbo madogo yana uzito kupita kiasi katika idadi ya wapiga kura wanaopata. Kila jimbo hupata wapiga kura sawa na idadi ya wawakilishi pamoja na maseneta wawili. Wawakilishi wanalingana na idadi ya watu, lakini maseneta kuna mfumo tofauti: kila jimbo linapata wawili, iwe Californi au Rhode Island(Ndio state ndogo sana Marekani). Kwa hivyo majimbo madogo hupata kura kadhaa za ziada. 2. Upeo wa ushindi katika jimbo haujalishi. Ukishinda 100% ya kura katika CA na ukingo mdogo kwingineko, bado unaweza kushinda uchaguzi ikiwa maeneo uliyoshinda kwa nywele yatakuwa na wapiga kura wengi kuliko California. Kwa hivyo sio mfumo uliojengwa ili kuakisi kura ya watu wengi; ni mfumo uliojengwa ili kuhakikisha kuwa majimbo makubwa hayaendeshi uchaguzi upande mmoja mara kwa mara. Lakini matokeo kwa ujumla yanawiana na kura za watu wengi. Katika uchaguzi huu uliopita (ambapo Clinton alishinda kwa kishindo kikubwa katika California na New York na kushindwa kwa tofauti ndogo katika majimbo mengine mengi), lakini kwa wingi wa majimbo mengine. Unapaswa kupiga kura kwa sababu ile ile ambayo ungepiga kura katika uchaguzi wa moja kwa moja: kumfanya mtu wako afisini. Ni kwamba tu unampigia kura mpiga kura, sio moja kwa moja kwa mgombea. Chuo cha uchaguzi huchagua, lakini unachagua chuo cha uchaguzi.
Roe vs wade iliondolewa chini ya Biden😂😂😂 asimseme Trump, halafu sasa mahakama ya marekan imempa kinga Trump, hahahahahahah kwahyo huyu mzee bado yupo yupo, na hii ni kesi ya biden, kwasababu mahakama ya juu ilisema Mahakama haina mamlaka ya kuamua utoaj mimba bunge ndio ina hiyo haki, so wabunge wa democrats ilibidi walete muswada bungeni wa kupromote utoaj mimba walishindwa, so wasimlaumu Trump🤣🤣🤣🤣 hawa jamaa hawashindi tenaa
@@emmaonalloh5515 unatakiwa kabla hujajibu uelewe kwanza sijasema huyu sio Biden kwamba nna uhakika 100% ila nimeongea kwa baadhi ya madai ya wa2 yanaweza yasiwe yakwel pia ndomaana shule mkaambiwa read instructions yaan jibu kitu ambacho unaelewa nacho ok!
Kaka Sky sie wengine tulikuwa tunasubiria hatma ya GAZA na URUSI, ila jamaa wamecheza trick Kwenye kuuliza maswali na kujibu maswali. Biden & Trump are Zionists Brothers
Nampenda sana turmpo
Umesahau aliamuru waafrika warudi kwao
@@Qqambaana walirudi au
Nampenda sana trump unatulegezea sauti mvulie chupi bs
Trump bana huyu jamaa ni mchokozi saaana cheko yake yenyewe na vile anamuangalia Biden ni kicheko tosha
😂😂😂😂 cjui nini kinanichekesha..sasa yule msemaji wa Hhite House atajitokeza kwa waandishi kumtetea #Bidenica😂
Hawa wote lao moja tu hamna unafuu 😢
Amuna cha mafua wala mafuta iyo umekwisha 😊😅😊
Trump alivyo kuwa anamwangalia sasa😂😂😂😂😂
😂
Trump jau sana 😅😅
Kesha kubwa damu za watu wa gaza ishamlewesha mungu atamlipa hapahapa duniani kwa kuchochea vita
Ndo nilikuwa nasubiria. Hii mada kali mno.
Viva Trump
Mungu mpe uraisi Trump iwe sababu ya kusimamisha vita
Uyo tramp ndio nsenge kabisa
Nani kakudanganya?
Uyu kama ndo tramp ndo aliziteta mada za ushoga simpendi wallah
Kumbe watu hawajui tramp kuwa ndo hatarii
@@Farhah0035Trump hatetei ushoga acha ujinga kama hufuatilii siasa za marekani Kaa kimya, bora Trump kuliko biden
Nilikuwa natizama live last night nilikuwa nacheka kauli za Trump Kwa Biden na watu waliokuwa waki comments ... Aise watu wengi inaonesha hawamtaki Biden... Hata alipoongelea kuhusu Putin, Kim na Xi 😂😂😂
Safi sana muche ajikanyage tu mda wake wa kuwa mtoto ushafikia
Very good mh trump. Kwa kufanya vizur
Cheki Trump anavyomkata jicho Biden hahahahahahaha inanichekesha 😂😂😂😂 kwelikweli
Tumpu yupo vzr ila sera zake haziibebi africa
Thanks Bundara!
The 1
Raisi ana kigugumzi
Hawa wamarekani eti wanaona hilo ni jambo baya akati wameruhusu uchafu,
jamn democratic mbn hamnaa akili kwann mnamlazimisha biden
Tanzania pia tuweke midahalo kama hii...😊
Nani atakubali unafikiri
Nani atakubali unafikiri
Wote wamezeeka hamna mzima hapo wote wapigwe chini
Walisahau humpiga shindano ya energiser robot,ili awe active
Uyu miaka yake imesha pita yy ahache wengine watawale 😅😅😅😅 baiden kachoka kabisa 😢😢😢😢😢 sioni baiden kushinda
Heee ata wao wanadaiwa duu mimi ni nan 😅
Angekuwa ndiyo rais wa Afrika hapo wangemsema kweli kweli hajiwezi lakini bahati mbaya ni wao sasa
Wazunqu hawana time ya kuwasema watu weusi
Mansemana wenyew,mnaibiana wenyewe na kuuwana wenyew kwa wenyewe.
@@mussakiziyzi408ww choko unatetea mashoga
@@mussakiziyzi408kwel kabsa
Trump ww n noma Sana Yan unamuangalia Biden kijeuri kweli aki hii nkali🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kusema ukweli uyu mzee amchoka hajiwezi kabisa
Lakini mboka kama Amedhohofu sana
Dunia hii omba sana usokutane na changamoto ambazo hata pesa haiwezi kukusaidia chochote...omba sana!!!!!
Point kaka
Kwan beiden ninan aswaaa kama mnajua lecode yake nijuzeni😂😂 malekan inachekesha mngu ata walipa xku moja
Trump sura yake bwana😂😂😂
Mbona wazee sana
Ila wana mitonyo💸💵
Moja ya sifa kushinda uchaguzi mkuu Marekani,ili usiwe mwizi mwizi😂😂😂
kwanza Trump kavaaa tai nyekundu nzuri Sana alitakiwa havae Joe Biden Kama raisi wa sasa.
Jamaaa na si kumchukia lakini aachane tu na uongozi lakini hii inaonyesha kuna watu au mtu sahii analiendesha taifa
Eeeh yani anaongea kama roboti
Wakwanza
Trump ndie anaefaa kuwa Rais nipo Tanzania lakin kama kunaruhusa ya kupiga kura basi kura yangu nampigia kura mwamba trump
Hata hao wamarekani wenyewe hawawezi kuchagua, rais anachaguliwa na Masenata wala sio raia
@@Fgldesigns alafu utasikia raiya wao wanademokrasia kumbe hawana lolote
@@Fgldesigns. Lengo la kupiga kura ni kuwashawishi wapiga kura wanaowakilisha jimbo lako, ambao nao watapiga kura kumchagua mgombea wako.
Katika kila jimbo, kura ya watu wengi huamua idadi ya wapiga kura ambao wameahidi kumpigia kura mgombeaji wa chama fulani. Sio uchaguzi wa moja kwa moja; unapiga kura kumchagua mtu ambaye atapiga kura kwa niaba yako.
Mshindi sio kila mara mtu aliyeshinda kura nyingi kwa sababu mbili:
1. Majimbo madogo yana uzito kupita kiasi katika idadi ya wapiga kura wanaopata. Kila jimbo hupata wapiga kura sawa na idadi ya wawakilishi pamoja na maseneta wawili. Wawakilishi wanalingana na idadi ya watu, lakini maseneta kuna mfumo tofauti: kila jimbo linapata wawili, iwe Californi au Rhode Island(Ndio state ndogo sana Marekani). Kwa hivyo majimbo madogo hupata kura kadhaa za ziada.
2. Upeo wa ushindi katika jimbo haujalishi. Ukishinda 100% ya kura katika CA na ukingo mdogo kwingineko, bado unaweza kushinda uchaguzi ikiwa maeneo uliyoshinda kwa nywele yatakuwa na wapiga kura wengi kuliko California.
Kwa hivyo sio mfumo uliojengwa ili kuakisi kura ya watu wengi; ni mfumo uliojengwa ili kuhakikisha kuwa majimbo makubwa hayaendeshi uchaguzi upande mmoja mara kwa mara. Lakini matokeo kwa ujumla yanawiana na kura za watu wengi. Katika uchaguzi huu uliopita (ambapo Clinton alishinda kwa kishindo kikubwa katika California na New York na kushindwa kwa tofauti ndogo katika majimbo mengine mengi), lakini kwa wingi wa majimbo mengine.
Unapaswa kupiga kura kwa sababu ile ile ambayo ungepiga kura katika uchaguzi wa moja kwa moja: kumfanya mtu wako afisini. Ni kwamba tu unampigia kura mpiga kura, sio moja kwa moja kwa mgombea. Chuo cha uchaguzi huchagua, lakini unachagua chuo cha uchaguzi.
Biden ni kama robot vile
Wala hakuna wa maana apo
Lkn panapo na vbaya viwili bs ki1 kitakua afadhali
😅😅😅😅😅😅 ila Trump
Kamaaa unamkubal Trump
Nilingojea kwa hamu sana. Ila trump kauwa
Huyo biden ni robot😂😂😂mnipe like zangu
Trump Sasa alivyo kunja mdomo 🤣🤣🤣🤣🤣
Angekuwa rais wa wenzao uyu sijui ingekuaje bahat mbaya ni wao
Trump hii sura yake sasa na alivyo jaariwa zarau😂
😂😂😂😂trump siyo mambo yake 😂😂😂
Mara anajamba huyo mzee, kun clip km tatu au nne hiv anajamba
1❤
Hamjuagi Biden ni Robort? Ile ni AI. Biden alishafariki.
Biden ni mzee mwenye shida ya akili wapaswa kumwacha astaafu 😕Hata hajui anachozungumza.
Mpumbavu baideni kauwa watu wengi sana huyu mzeeee loho zitamtesa sana kabuli lake litawaka moto milele 😢😢😢
Trumph kajikaza sana kuto kumwingilia Biden na kumchamba Kwa udhaifu wake😂😂😂
Sanaaaaaa😂😂😂
Najarbu kutafakar ikifika tz hi democracy, huku samia vs mbowe! Naamin siku hyohyo kuna mtu ataomba kujiuzuru😂😂😂
😂😂 trump hivyo anavyomtizama..... Biden
Team Trump 🎉
Wote wamezeeka wakwende huko kwan America haina vijana wa kugombea urais😢
Wampe Kanye West tu
@@partnersah8802😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
America wote mashoga
Hawa wazee wote wana bore,kwani hakuna vijana hukooo
Bado biden atashinda tu,hakuna wa kumzuia hapo
Ina maaana wa democrats hawana wagombea wengine zaidi ya Biden😂😂
Wasioleweka
baiden kama lowasa
Mbona haujachambua na alio yasema Trump
DT for the president hii Amerika inamhitaji mwamba wa sheria kali Trump akishinda tu wenye upinde wakatafute kwa kuishi 😂
Mimi kama mkenya niko team trumph,,, huyu biden amepea ruto kiburi they mus go
Speech diosder 😂😂😂
Watu wengi wanamtaka tramp ila tramp ndio mpumbav akiwa rais
hakuna waislam wanaomkubali Trump maana Ni myahudi😂
Make American great again, Viva Trump
Marekani toka atoke Obama Bado hawajapata Raisi, Antony Blinken anafaa
😂😂😂😂
Trump kama kichaa flani hiv 😂😂 kumbe ni genius
Ulafi wa madaraka Jaman, Biden kazeeka vibaya, aachie madaraka. Kufiamadaraka
Kaz kwen waislam mambo yameanza kuchangamka mnajifanya kmsifu Trump nnasahau kpind chake alizuia nch za kiislam kuingia america viva tramp
Si ubakie kwako, unatafuta nini usikohitajika!
TRUMP /YES
Sasa😅 kwanini wanajua na wana uhakika kama hayuko vuzuri alafu wana kuhusu hii midahalo kwani ni lazima?😅😅😅
Sio tz hiyo utake usitake lazima ufanye
Hyo ni katiba ya USA🇺🇸
@@personpeter2221 okay!
@@AjiaMohamed-rt5pb eeh kumbe!
Huo muono wa Trump sasa 😂😂.jpt
plz like video
Roe vs wade iliondolewa chini ya Biden😂😂😂 asimseme Trump, halafu sasa mahakama ya marekan imempa kinga Trump, hahahahahahah kwahyo huyu mzee bado yupo yupo, na hii ni kesi ya biden, kwasababu mahakama ya juu ilisema Mahakama haina mamlaka ya kuamua utoaj mimba bunge ndio ina hiyo haki, so wabunge wa democrats ilibidi walete muswada bungeni wa kupromote utoaj mimba walishindwa, so wasimlaumu Trump🤣🤣🤣🤣 hawa jamaa hawashindi tenaa
Ilipaswa kichwa cha habari kiandikwe biden kayakanyaga lkn sio kajikanyaga😂😂
😂😂😂
Nyie acheni habari za uongo...ndo kuongeya kwa Baden.
Trump ipo makini san😂😂
😂😂😂😂😂
Trump anamwangalia biden kama vile helewi
Trump kawapa mayahudi mji mkuu jerusalem nauyu baiden kaja kupiga haya karibuni wote mbwa nyie uwanjani mpaka muombe poo
😂
Trump direct white house ❤
Trump apewe nchi Baden apumzike
Biden inasemekana ni Robot tu sio mtu sahihi
Inasemekana wapi Biden kawa kwenye siasa miaka zaidi ya 50 , ni sawa we Leo useme yusuph makamba sio mtu ni robot
@@FahadAbubakariakili yake haiko sawa anasahau sahau vitu
@@emmaonalloh5515 uzee
@@FahadAbubakari inasemekana huyu Biden sio yule halisia wakawa wanaonesha na tofauti za Biden Og na huyu Robot wanaamini yule halisi ashafariki
@@emmaonalloh5515 unatakiwa kabla hujajibu uelewe kwanza sijasema huyu sio Biden kwamba nna uhakika 100% ila nimeongea kwa baadhi ya madai ya wa2 yanaweza yasiwe yakwel pia ndomaana shule mkaambiwa read instructions yaan jibu kitu ambacho unaelewa nacho ok!
Huyu biden ni gay, hayo sio mafua, hiyo sauti ishaanza kubadilika, hivyo ndio mahanis wanavyokuwa
Trump latima ashinde
Welcome trump Biden buried
Uwe unanyama kaka tuwasikilize viongozi mda wotw unaongea wewe tu unakera bana
Kaka Sky sie wengine tulikuwa tunasubiria hatma ya GAZA na URUSI, ila jamaa wamecheza trick Kwenye kuuliza maswali na kujibu maswali. Biden & Trump are Zionists Brothers