ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

BIDEN ahutubia taifa na kulaani jaribio la kuuawa TRUMP

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 13 ก.ค. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

ความคิดเห็น • 36

  • @denisrenatus4935
    @denisrenatus4935 หลายเดือนก่อน +2

    Sns hamlali jaman muda wote mnapiga kaz tu

  • @BakarAlshiraziy
    @BakarAlshiraziy หลายเดือนก่อน +2

    Wana GPS naomba unisaidie hili kwa nini ilipotokea hili tukio hakuna hata kiongozi mmoja wa dunia ambae katumia meno kua uliofanyika ni UGAIDI na wamesema ni vurugu za kisiasa tu hii inakuwaje ????

  • @sajasiver
    @sajasiver หลายเดือนก่อน +1

    Yangu macho

  • @NdovuDentalClinic_
    @NdovuDentalClinic_ หลายเดือนก่อน +2

    Kama walimshitaki kwa kesi za kusingiziwa za wanawake wanaojiuza , basi nae apambanie hapo Biden atoke na chama lake la vita

  • @consult_alex9411
    @consult_alex9411 หลายเดือนก่อน +7

    Duuh hadi milango ya white house inalia aisee 2:23 , kumbe sio wangu tuu..😅😅😅

    • @aikt.
      @aikt. หลายเดือนก่อน

      😀😀

    • @donaldmgunda4970
      @donaldmgunda4970 หลายเดือนก่อน

      Aseee nimechekaaa😂😂😂

    • @henry11781
      @henry11781 หลายเดือนก่อน

      😂😂

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga7 หลายเดือนก่อน +1

    Huo ndio mpasuko utakaotesa marekani kwa zaidi muongo mmoja

  • @kafitiwilliam8358
    @kafitiwilliam8358 หลายเดือนก่อน

    Safi sana

  • @AnangisyeMbughi-xw4ky
    @AnangisyeMbughi-xw4ky หลายเดือนก่อน +2

    Biden asijisafishe juu ya hili,Mimi nafikiria ndiye aliyepanga kumuua mpinzani wake,kawaida siasa ni mchezo mchafu,jaribio limefeli anajisafisha,upuuzi mtupu.

    • @johnmike6059
      @johnmike6059 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa wapuuz sana awa

  • @hazygardmericho9571
    @hazygardmericho9571 หลายเดือนก่อน +2

    niiiiiiyeye

  • @OlgaChirezi-qt1pg
    @OlgaChirezi-qt1pg หลายเดือนก่อน

    Wana juwa kila kitu hao mwaka huuu Baden atapigwachini

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 หลายเดือนก่อน +1

    😂 vurugu za kisiasa ,,ila ,awasemi ,ni ugaidi wazungu wajanja

  • @user-rk9gr9yf3i
    @user-rk9gr9yf3i หลายเดือนก่อน +1

    Gaidi wa kimarekani alifanya jaribio kutaka kumuuwaa Trump

  • @johnmike6059
    @johnmike6059 หลายเดือนก่อน

    Mpuuzi mmoja uyu ndo waliopanga njama kameona akatoboi kwa trump vinataka kumuua na trump atawachana tu we subili akae sawa

  • @husseinmassawa7186
    @husseinmassawa7186 หลายเดือนก่อน +1

    Shingo haipindi ata chini, awa wenzetu wa tofauti sana😅

    • @user-vh3hj8mt6l
      @user-vh3hj8mt6l หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂 csemi kitu mm

  • @aminaali792
    @aminaali792 หลายเดือนก่อน

    Wanatupotezea time waache uongo tunawajuwa ni wao wao wanataka kumpoteza Biden 🙄but Allah has more plans 🤲🏼🤦🏽‍♀️

  • @ZiyandaMhlana
    @ZiyandaMhlana หลายเดือนก่อน

    Wanajuwana

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu หลายเดือนก่อน

    team TRUMP tijuwane hapa 🤸🤸🤸❤️❤️❤️❤️❤️

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu หลายเดือนก่อน +2

    Mbona hapa haja kosea kuongea 😂😂😂😂au anajizima data

  • @hemedisufiani3219
    @hemedisufiani3219 หลายเดือนก่อน

    Huuuu ndo mwisho wako kaka shetani umeeka 😅😅😅😅 una chako umeuwa watu wengi na bado kaka malipo ni apa apa duniani japokua unasema amna mungu ila tunasubili mwisho wenu 😂😂😂😂😂

  • @ThomasMgwabati-cj1zh
    @ThomasMgwabati-cj1zh หลายเดือนก่อน +1

    Kama wenyewe kwa wenyewe mnauwana mtaweza kusimsmia amani ya dunia nyie nikwazo kwa dunia likikuwa suala la muda tu kujionyesha kuwa nyie nimashetani mwacheni mwamba putini awe kilanja waamani duniani

  • @malkiawagiza1327
    @malkiawagiza1327 หลายเดือนก่อน

    Biden anapaswa kujiondoa kwa hiari kwani ameshapoteza uchaguzi. Kwa bahati mbaya hadi sasa hajatoa dalili yoyote kwamba atafikiria kujiuzulu 😂

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 หลายเดือนก่อน +1

    Kenge tu huyu Biden

  • @besteva499
    @besteva499 หลายเดือนก่อน

    Kumbe kina hakirii 😂😂😂ira kinajifanya chizi furani

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah439 หลายเดือนก่อน

    Amna kitu ni mpango yake wewe chako kwasababu unajua kabisa atakupita

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 หลายเดือนก่อน

    Nyie acheni kusema kwamba Biden anahusika, mnadhani huko ni kama Afrika?
    Wahusika wa tukio waliuawa pale pale, Amerika ukikosea hata kwa wizi wa kukwepa kodi unaenda mahakamani hata kama ni Rais.

    • @IbniAbbas-yz3kt
      @IbniAbbas-yz3kt หลายเดือนก่อน

      Bob michezo michafu kwenye siasa sio Africa tuu na ndomana huwa wanasingiziana sana makesi ya kipuuzi ili mmoja apoteze ushawishi!hiyo ndo maana ya siasa ni mchezo mchafu mtu yupo tayari mpaka kukutoa roho kwa sababu ya nyadhfa!hivyo kaa ukijua Marekani sio mbinguni mjomba!!

    • @MwanahamisHussein-dp2if
      @MwanahamisHussein-dp2if หลายเดือนก่อน

      muongo unajitia mjuaji