ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

DJ Sma afunguka kwanini alitabiri jaribio la kuuliwa TRUMP, ‘Aliyehusika ni mbuzi wa kafara’

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ส.ค. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

ความคิดเห็น • 247

  • @assateke7199
    @assateke7199 หลายเดือนก่อน +32

    Hahahaha Hatuna Dj tuna intelligent 🧠 kwa kweli... Hurrah

  • @aminaali792
    @aminaali792 หลายเดือนก่อน +29

    Dj Sma with Big Brain Allahumah Bareek 🤲🏼🤍

    • @noonelike6382
      @noonelike6382 หลายเดือนก่อน

      @aminaali792 🙌

  • @AFRICA_D669
    @AFRICA_D669 หลายเดือนก่อน +53

    Alafu huyo jamaa DJ sma nilisha mfatilia toka mda kuna neno amewahi kusema kipindi yuko Ivory Coast, niliamini kua anaweza kua mwana intelligencia, mungu awalinde #vladmir puttin,#hayatollah khamenei,#Xin jinping,#kim jong un #donard trump #aleksandra lukashenko,#shebaz sharif,#nalendra damodardas,#victor orban 🙏🙏🙏🙏

    • @africanmandetraveler2847
      @africanmandetraveler2847 หลายเดือนก่อน +4

      Anaweza akawa ni intelligence service

    • @AFRICA_D669
      @AFRICA_D669 หลายเดือนก่อน

      @@africanmandetraveler2847 sure kbs

    • @kassimbayuu
      @kassimbayuu หลายเดือนก่อน +2

      @@africanmandetraveler2847
      Hahahahah hahaha

    • @JOHNINSURANCE
      @JOHNINSURANCE หลายเดือนก่อน

      @@africanmandetraveler2847 😀😀

    • @BenPeter-vp2cy
      @BenPeter-vp2cy หลายเดือนก่อน +1

      Facts and locig & time will tell😂😂 uyo ndy dj sma

  • @12345678938129
    @12345678938129 หลายเดือนก่อน +47

    Sky kwanini DJ smart asiwe na political show take mwenyewe mara kadha kwa week . Kwasababu iko vizuri sana na history , economics, and research

    • @Eng2460
      @Eng2460 หลายเดือนก่อน +3

      Fuse ipo and ana mambo mengi anafanya sio rahisi kujigawa,ndo maana tunapaswa kuwasupport kwa kutuma tips ili waweze kujitoa kufanya haya mambo

    • @BillyJames-l6x
      @BillyJames-l6x หลายเดือนก่อน

      Hayupo vizuri Ww ndio upo vibaya kaka

    • @zahrababygarl1568
      @zahrababygarl1568 หลายเดือนก่อน

      Fuse ipo

    • @Eng2460
      @Eng2460 หลายเดือนก่อน

      @@zahrababygarl1568 🥂🥂

  • @kassimbayuu
    @kassimbayuu หลายเดือนก่อน +20

    Smaa nakukubali sana, hongera kwa kazi nzuri

  • @valleluoga6258
    @valleluoga6258 หลายเดือนก่อน +13

    Asante sana kwa SNS na kaka DJ SMA, Kwa uchambuzi wenye weledi, Kwakweli political view ya sasahivi Marekani inazidi kuwa complex na hasa upepo wa kimadaraka the more complicated time is coming

  • @elisanteezekiel5998
    @elisanteezekiel5998 หลายเดือนก่อน +17

    Dj Sma is well informed and a good analyst's, ally masubi is detailed, technical details, na Sasa Henry kwenye GPS you guys your making a good team.

    • @kassimbayuu
      @kassimbayuu หลายเดือนก่อน

      @@elisanteezekiel5998 yaan unajua kuipanga battline

  • @kassimbayuu
    @kassimbayuu หลายเดือนก่อน +19

    Mzee wa fact and logical,

  • @sakitiyesse5973
    @sakitiyesse5973 หลายเดือนก่อน +14

    DJ smaa naona ulishafanya profiling ya situation mapema, yaani you are a profiler, apo imebaki tu kuanalyse crime scene eneo la tukio. Hongera bro.

  • @JosephMpangala-wd5mp
    @JosephMpangala-wd5mp หลายเดือนก่อน +2

    Jambo la Maana syo kumwinua na kutumtukuza kiasi hiki,bali kitakacholeta baraka dj smaa nikumtukuza Mungu aliyemfanya awehivyo,jina la Bwana litukuzwe sana.

  • @thadeomwaulambo
    @thadeomwaulambo หลายเดือนก่อน +2

    Dakika almost 6 za kujisifia go straight to the point tutakupa maua yako 🎉 though haipingiki your a good analyst

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda5063 หลายเดือนก่อน +4

    Dj sma ni kati ya binadamu wachache wenye akili nyingi sana na uwezo mzuri wa kufikiria.
    Mwenyez Mungu amjaalie maisha marefu yenye afya njema inshallah.

  • @user-gi2jv4kl7s
    @user-gi2jv4kl7s หลายเดือนก่อน +3

    DJ sma kwa kweli dah? Mungu akuhifadhi sana.una akili kubwa sana ya ziada hii Ni zawadi maalumu toka kwa mungu halafu una kipaji chenye maono sana.alla akubaariq DJ sma...

    • @faridhamad3678
      @faridhamad3678 หลายเดือนก่อน

      Allahumma Amiin 🤲

  • @ABDULShq-wv6st
    @ABDULShq-wv6st หลายเดือนก่อน +10

    Good job sma 👍

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 หลายเดือนก่อน +4

    Hongera sana @djsmaa we ni genius wa Geopolitics..hongereni sana SNS..hongera sana sky..

  • @yusuphrashidi-dr1kb
    @yusuphrashidi-dr1kb หลายเดือนก่อน +5

    Jamaa smaaa anajua hatari mungu akuqwke

  • @user-si7kv4vl2b
    @user-si7kv4vl2b หลายเดือนก่อน +6

    Dj Smaa pa1 na elimu ulinayo pia una kipaji ndan yko lkn kubwa zaid ulichomuomba Mwenyez Mungu ktk kaz zako ndicho anachokuonesha ili watu wauelewe ule ukweli ambao unaousema siku zote shukran Allah akupe maarifa zaid uendelee kutupa ukweli next ukiwa na wachambuzi wenzako hapo mjengoni.

    • @user-si7kv4vl2b
      @user-si7kv4vl2b หลายเดือนก่อน +1

      Wakuitwa Mwembe from Mtwara mmetisha sn wana SnS.

    • @faridhamad3678
      @faridhamad3678 หลายเดือนก่อน

      Allahumma Amiin 🤲

    • @mohamediidrisa1259
      @mohamediidrisa1259 หลายเดือนก่อน

      Mwembe yupi jumanne au mtwara home pia chikongola ndio kitaa ​@@user-si7kv4vl2b

  • @MudyBankary
    @MudyBankary หลายเดือนก่อน +12

    dj sm 🙌

  • @matanohassan9667
    @matanohassan9667 หลายเดือนก่อน +4

    Dj sma Hatari sana namuelewa kuliko YOYOTE Yule

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga7 หลายเดือนก่อน +8

    Amuelewa dj smaa, hiyo aliyonayo ni gift hata kama angekuwa hasomk sehemu, ila kitakachomjia hua hivyo

  • @seemeyou862
    @seemeyou862 13 วันที่ผ่านมา

    ❤kazi nzuri sana bro

  • @msafirikalinga6938
    @msafirikalinga6938 หลายเดือนก่อน +2

    DJ Smaa ni mwanadam makini sana naomba kuwakilisha

  • @midundotechtz6843
    @midundotechtz6843 หลายเดือนก่อน +2

    Wanetu leo tupo trending

  • @kibokutiwanatanyika1540
    @kibokutiwanatanyika1540 หลายเดือนก่อน +3

    Nilichofurahishwa na dj smaa ni msimamo wake kwenye videos za mahojiano yake kwa kutowekwa matangazo ya pombe❤,
    Pombe kwa waislamu ni haramu na wala haitakikani kushiriki chochote katika kuitangaza au kuifanyia promo yoyote.

  • @josephm4233
    @josephm4233 หลายเดือนก่อน +4

    I was waiting for SnS reaction

  • @user-nl9mc4ji8n
    @user-nl9mc4ji8n หลายเดือนก่อน +8

    Nakukubari sana

  • @noonelike6382
    @noonelike6382 หลายเดือนก่อน +1

    Please please SNS na dj smaa na brothers wengine hapo studio shalom/bwana yesu asifiwe, Aisee brothers tunahitaji uchambuzi wa mahojiano aliyo fanyiwa yule kijana Joshua okayo raisi wa baraza la wanafunzi chuo cha KSL Kenya, mahojiano aliyofanyiwa na kituo cha NTV, baada ya kutekwa na kupatikana. Please please ilye interview inavitu Naona Ndani yake. Please please.

  • @masoudnzowa4608
    @masoudnzowa4608 หลายเดือนก่อน +4

    daah DJ smaa nomaa

  • @dorcaskarago2876
    @dorcaskarago2876 หลายเดือนก่อน

    DJ anaiba prophecy kwa Mitanndao imetabiriwa tangu 2021

  • @B13-AK47
    @B13-AK47 หลายเดือนก่อน +5

    Nimekupata dj smaa Ile muvi Kali sana Kuna mwamba anaitwa bob Lee swagger. Ileyeshutumiwa mauaji hatariii.

    • @dmsports255
      @dmsports255 หลายเดือนก่อน

      jana tu imerushwa dstv nimeirudia kuangalia ni same story na h

    • @baizoboy1719
      @baizoboy1719 หลายเดือนก่อน

      SHOOTER , 2007 Action Mark Wahlberg- Bob Lee Swagger😅

  • @wazirngwadi7311
    @wazirngwadi7311 หลายเดือนก่อน +1

    huyu jamaa ni hatari na ndo aliyenifanya nikaipenda sns niliachana demu kisa yeye aliniomba hela ya bando na mm sina bando nikamwambia bora ukose ila nisimkose kumsikiliza dj sma255🇹🇿🇹🇿🇹🇿😍😍😍👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👊🏿👊🏿👊🏿

  • @idanysedrc1200
    @idanysedrc1200 หลายเดือนก่อน +3

    Dj sma ni hatareee sana na wewe inabid ujilinde sana 😀 maana unatusanua sana

  • @morganyiskaka815
    @morganyiskaka815 หลายเดือนก่อน +3

    The shouter niliona kama bendera ya tz ilionekana

  • @michaeljuma7764
    @michaeljuma7764 หลายเดือนก่อน

    Huyu dj sma Bundala sio dj tena huyu ni mwana intelijensia. This guy is so smart aise

  • @khalfanmlala5093
    @khalfanmlala5093 หลายเดือนก่อน +3

    Dj smaa nakuelewa sana

  • @yahayaannu3663
    @yahayaannu3663 หลายเดือนก่อน

    Warra DJ smaa Asante sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @godefroidniyonkuru7332
    @godefroidniyonkuru7332 หลายเดือนก่อน +5

    Kuna video ali shoot before tukio anadai eti anacukia Republicans na Trump ila mwisho akasema eti otea " mulinasa wrong guy"

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2q หลายเดือนก่อน +1

    Unachambua vizuri mno media za magharibi hawakupendi unawamaliza

  • @isayajoseph14
    @isayajoseph14 หลายเดือนก่อน

    Shooter ni noma sana inafundisha sana

  • @ramadhaniseifuledi513
    @ramadhaniseifuledi513 หลายเดือนก่อน

    Salute 🫡 dj 🙌 🙏 👏 💪 💯 unajua kutabiri

  • @user-lq4cm4rq6z
    @user-lq4cm4rq6z 29 วันที่ผ่านมา

    Watu wenye uwezo kma smaa nchi za waenzetu huwachukuw na kuwaeka sehemu inayofaa kwa nchi zetu za Africa wanawapuuzia ila kwa sisi wananchi tunajuwa muhimu wa Smaa ktk swala zima la kutupatia vitu vya uhakika

  • @chande2k250
    @chande2k250 หลายเดือนก่อน +3

    Dj smah nakukubali issue ya trump inaendana na movie ya shooter kabisa

  • @jumaamsuya5
    @jumaamsuya5 หลายเดือนก่อน

    Unastaili sifa gd kanzi nzuri

  • @jacksonmrema4737
    @jacksonmrema4737 หลายเดือนก่อน

    Dj sma sio mtabiri aliyetabiri anaitwa Prophet Eubert Angel tofautisha kunarrate na kutabiri ndugu sns

  • @mzomemzome6723
    @mzomemzome6723 หลายเดือนก่อน

    DJ. Smaa yuko vizuri

  • @FadhiliAlly-fy2tx
    @FadhiliAlly-fy2tx หลายเดือนก่อน +2

    Sma we inabid serikali yetu inabd ikuajir we ni ktk vichwa adim sana dunian

  • @sugumbeya
    @sugumbeya หลายเดือนก่อน

    Dj uko vizuri kaka, lakini huyo dogo ndiye muhusika, kwa kuwa wamemkuta hana ID yoyote ile ikawa ngumu kumtambua, then risasi na bastora waliyomkutana nayo zimesajiliwa kihalali kabisa kwa sheria za marekani, na hiyo bastora ni inamilikiwa na baba yake mzazi. Lakini dogo hana historia yoyote mbaya. Naomba kuwasilisha

  • @lucasmhagama8166
    @lucasmhagama8166 หลายเดือนก่อน +7

    Nyie mngefungua chanel ya television mngepata fans wengi sana

  • @BenPeter-vp2cy
    @BenPeter-vp2cy หลายเดือนก่อน +1

    Nakumbuka dj sma alitabiri kweri duuh😮😮 hapa ndio namuelewa dj sma akisema nakupa facts and logic & time will tell🤔🤔🤔🤔

  • @flaviaurio7957
    @flaviaurio7957 หลายเดือนก่อน +1

    Pamoja sana

  • @chabrumachabruma
    @chabrumachabruma หลายเดือนก่อน +5

    Risasi imepita na sikio!halikuwa igizo

    • @theonestrenatus954
      @theonestrenatus954 หลายเดือนก่อน +2

      MUNGU amemsaidia sana trump angekufa,,

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 หลายเดือนก่อน +2

    Selikali tadhania mngetumia kumpa kazi anajua kweli mnawatu wanaakili hamtumii ila watakuja warusi wamerekani watachukua sasa muhamuwe akipaji umakini mfatiaji sio balaa nalka ausifa una haja kusikiliza cnn kumsikiliza tu unajua kila kitu

  • @user-ls8zn3ho8l
    @user-ls8zn3ho8l หลายเดือนก่อน

    😂Dj angalia kwa umakini mkubwa hii ni kiki trump anaigiza angalia reaction ya alie chunoi na risasi from Congo

  • @HadijaJulius
    @HadijaJulius หลายเดือนก่อน

    Djsmaa una kitu kikubwa sana🙌🙌

  • @user-co1bk7wo7t
    @user-co1bk7wo7t หลายเดือนก่อน

    Dj sema 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 หลายเดือนก่อน

    Angekua ni muislam tungeambiwa ni shambulizi la kigaidi na waislamu huko wangejuta kuwepo marekani

  • @husseinmassawa7186
    @husseinmassawa7186 หลายเดือนก่อน +3

    Wacha tusubirie GPS

  • @user-lq4cm4rq6z
    @user-lq4cm4rq6z หลายเดือนก่อน

    Smaa Genius

  • @sereveolivier5395
    @sereveolivier5395 หลายเดือนก่อน +1

    sns kwakweli napenda Sana kuwafatiliya ila ikiwa hamtakua makini na wafatiliaji watawavuruga Sana Iyo tabiya yakiubaguzi siju wamoja DJ sma Ally masubi wengine wanaenda mbali Zaidi wanaleta hadi ubaguzi wa kidini na ninavyo one kwasasa vimaanza kuwasili muweni makini Sana Izi siku Ally tunamusikia Sana ila sio kwaubaya but not again just because people trying to separate you guys love you all Wana sns Yusuf from 🇿🇲

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk หลายเดือนก่อน

    Kweli kabisa propaganda tu alietaka kuua sio wanayosema ni wao manyang'au...DJ SMA salute

  • @hamidamussa-sy4fm
    @hamidamussa-sy4fm หลายเดือนก่อน

    Putini naye atauliwa na zelesiky pia atauliwa Nami nitakufa na dj Sma nayeye atauliwa

  • @paulvimbamvula9508
    @paulvimbamvula9508 หลายเดือนก่อน

    Yes, on migrants,you are right bro

  • @starjay3052
    @starjay3052 หลายเดือนก่อน +3

    hii tukio linataka kua kama la jay f kennedy

  • @bonifacewanyonyi3555
    @bonifacewanyonyi3555 หลายเดือนก่อน

    Sma upo vizuri

  • @hemedmwipopo780
    @hemedmwipopo780 หลายเดือนก่อน +1

    Ni woga tu huo, baada ya Marekani Chini ya Biden kuhisi kushindwa kwa Putin ndiyo wameona bora wamuue Trump ili asije akawachafua baada Biden kushindwa Katika Uchaguzi maana wanahisi kwamba Trump akishinda Uchaguzi atauanika kwa Wamarekani Uchafu wote uliofanywa na Democrat ndani ya Uongozi wa Biden kwa mda wa miaka minne ya Uongozi wake.

  • @ahmedymahmudu9532
    @ahmedymahmudu9532 หลายเดือนก่อน +1

    Safisana Dj smaaa

  • @coolsinare8824
    @coolsinare8824 หลายเดือนก่อน +1

    the shooter naijuwa..ndo mchezo huo

  • @POLITICS_WAR_DIPLOMACY
    @POLITICS_WAR_DIPLOMACY หลายเดือนก่อน +1

    Sma yupo vizuri ata ile notio ya kuwa biden hatagombea pia itabainika na mishel Obama pia possible kuwa nominee wa chama chake

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 หลายเดือนก่อน +2

    Dj smaa ni mchambuzi na nusu huwa anawaambia mapema ila vilaza mashoga wanaleta ubishi… ata kenya Smaa alisema mapema Ruto avunje baraza lamawaziri

  • @baizoboy1719
    @baizoboy1719 หลายเดือนก่อน +1

    SHOOTER , 2007 Action Mark Wahlberg- Bob Lee Swagger😮

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 หลายเดือนก่อน +1

    Dj sma ni bonge la mchmbuzi kutoka nairobi

  • @murtalla2826
    @murtalla2826 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna yule dogo anaitwa Ali masumbwi 😂😂😂 ama kweli yule ni masumbwi 😂😂😂

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z หลายเดือนก่อน

    Afu skilizeni. Mungu akiamua uende we unaenda tu...kwa ile ile moja...hao walinzi ni mifumo tu

  • @ASALABOY
    @ASALABOY หลายเดือนก่อน

    SnS inaunguruma ukweli n UWAKIKA 🇲🇿🇹🇿

  • @zeinababdi4757
    @zeinababdi4757 หลายเดือนก่อน

    You dont need cristal ball to see what is coming, give the atmosphere right now😮

  • @MwadawaSaidi
    @MwadawaSaidi หลายเดือนก่อน

    Tunampenda Trump haijalishi hapendi wa Africa ila tunampenda sana sisi wazazi kwasababu anatupatia pesa tuna enjoy kwakweli nisameheni wanaomchukia 😂😂😂😂kura yangu nisha mpa kitambo

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 หลายเดือนก่อน

    Wabongo bana..,hizi story zimesemwa saana na watu kibao.,years back. Sasa huyu amepita mulemule anajifanya ni yeye kapatia.

  • @brightsakafu
    @brightsakafu หลายเดือนก่อน +11

    There's no way trump akarudi madarakani, ila kuna namna trump anarudi madarakani tena

  • @shirimabenedict5431
    @shirimabenedict5431 หลายเดือนก่อน +1

    Dj sma nakukubali chukua soda hapo ntalipa

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc หลายเดือนก่อน

    kuna mtu atasema alikuwa atafuta kiki😂😂😂

  • @CantonaKunona
    @CantonaKunona หลายเดือนก่อน +3

    Iyo risas imempata au mbona hamuongei habar ya kueleweke na kama imempata sehem ganii ya mwili maneno kibaoo mxuuuu😬

    • @misagosylvestre3356
      @misagosylvestre3356 หลายเดือนก่อน

      Imesepa na sikio

    • @valleluoga6258
      @valleluoga6258 หลายเดือนก่อน

      Sasa si ufatilie vema hiyo habari ndg..!? Unamletea nani makasiriko sasa wakati simu kubwa unayo na unaweza kuperuzi chochote...!? Haya nenda DW, BBC au nenda TBC au Jamii forum. Utakuta unachotaka, jiongeze basi siku nyingine, Simu kubwa kutumia akili aaahh...!!!

    • @salehkhalfan7345
      @salehkhalfan7345 หลายเดือนก่อน

      Imempata ktk sehm ya sikio lke la kushoto

    • @jacksonmsendo3478
      @jacksonmsendo3478 หลายเดือนก่อน

      Imemparaza tuu sikio

  • @mathiaslaurent756
    @mathiaslaurent756 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna mtu tunaye ila nadhani bado hatujamtumia vizuri, dj sma ni mmoja ya watu makini na anachimbua sana vitu kwa logic and facts binafsi namwamini sana!!

  • @hubertgodwini3574
    @hubertgodwini3574 หลายเดือนก่อน

    Inaitwaje hiyo movie

  • @kabwelerywamwatumu5078
    @kabwelerywamwatumu5078 หลายเดือนก่อน +1

    DJ Sma umeongea ukweli yule ni mbuzi wa kafara

  • @jakayajuma9867
    @jakayajuma9867 หลายเดือนก่อน

    Very nice

  • @richarddavidmk
    @richarddavidmk หลายเดือนก่อน

    Mnachqmbua vizuri

  • @user-hj4bc5uh2x
    @user-hj4bc5uh2x หลายเดือนก่อน

    Watuwenyeakilinyingi tunaendramwishon yanabakia kizazichapili kutokazombi wejamaa unaonambali unanishinda kupangiliamada kutokana naelim aliokujaalia mwenyeiz mungu

  • @davidngomeni2608
    @davidngomeni2608 หลายเดือนก่อน

    Nimekuelewa sana ulivyoonganisha na #shooter

  • @KidawaMzee-xr3mv
    @KidawaMzee-xr3mv หลายเดือนก่อน +1

    Ah bro unakitu ndani yako bana sio bure

  • @youngbona3804
    @youngbona3804 หลายเดือนก่อน +1

    #SMA 🔥🔥🔥

  • @venancerutta6875
    @venancerutta6875 หลายเดือนก่อน

    H. Clton mke wa rsis wa zaman marekan alitabiliwa kushinda kwa aslmia 100,,%

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 หลายเดือนก่อน +1

    Dj smaa Wewe utakua KGB intelligence service cz unavyo chambua na kutabiri uko smart sana kwenye anga ya Geopolitics. Jamaa katolewa kafala ila FBI,CIA wako nyuma ya assassination attempt dhidi ya Trump.

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 หลายเดือนก่อน

    nomaa risasi ilipita Kwa sikio ingepata kitwa trump angeenda😢

  • @aginsagins-jf4vz
    @aginsagins-jf4vz หลายเดือนก่อน +1

    Naomba uitabirie na nchi yetu ya Tanzania

  • @IsakaMgeje
    @IsakaMgeje หลายเดือนก่อน

    Good job . Pia Kuna channel ya Cartoon inaitwa Simpson Huwa wanatoa Matukio kama hAya kabla . Walitabiri nyingi tu ukiangalia utajua vingi sana

  • @user-sg4xn4hz5d
    @user-sg4xn4hz5d หลายเดือนก่อน

    Kuna wachambuzi alafu kun huyu dj smaa jamaa ya yup vizur sana ya kun mamb mengi ameshawahi kusem na kwel yanatokea japo kun watu wanampinga ila mwenyw anamsemo wake anasem time will tell na ndo hivi sas

  • @Josephkamau12
    @Josephkamau12 หลายเดือนก่อน +1

    I want to join fuse group? DJsma

  • @francisdavo
    @francisdavo หลายเดือนก่อน

    Kweli Kaka nishaona hiyo muvie

  • @sosbrayantbenjamin9701
    @sosbrayantbenjamin9701 หลายเดือนก่อน

    Dj sma Jin aiseee

  • @Shokolokobango9385
    @Shokolokobango9385 หลายเดือนก่อน

    Hakuna alichotabiri alisoma tuu kwenye habari za wenyew wamarekan ndo walishatabiri mauji ya trump kutokea msimpe kichwa ni vile tuu wabongo hamfatilii vitu vya msingi mnafatilia udaku