Utajiri unatoka kwa Mungu nguvu ya kujituma kwa bidiii na kufanya kaz kwa bidiii... Kuuwa mwenzako ili upate hii si sawa.. #Tumuamini Mungu anaweza yote
Natamani adhabu ya awa watu walio fanya ivi iwe ya kikatili kama walivyo mfanyia ivi uyu mtoto ifanyike adharani watu wajifunze kwao kwa kuona kwa macho yao
Asimwe angekua mtu mkubwa sana tz,,maana alikua na nyota ya upendo sana na watu,,angalien tuu nyie,,wangapi albuno wameuawa ila waheshimiwa hawakwenda wala selikali haishughuriki kama kwa huyu malaika,, Yaan mashetani hawa wamekatisha maisha na ndoto za mrembo asimwe,,na jina lake lilikua zuri kama yeye mwenyewe
Daaaah nmeumia kiukweli na maneno ya mheshimiwa
Inauma sana,na Hawa watu wanaroho mbaya sana
Innalilah wainalillah lajuuni
Apumzike kwa amani mtoto asimwe
Mungu ampe faraja na subira mama asimwe.
Yaan maumivu niliyopata ata sisem nikiona picha ya uyu mtt nalia sana😢😢
😢😢😢mimi nikimkumbuka yule PAROKO,PAROKO,PAROKO😢😢😢
Pumzika kwa Amani
Utajiri unatoka kwa Mungu nguvu ya kujituma kwa bidiii na kufanya kaz kwa bidiii... Kuuwa mwenzako ili upate hii si sawa.. #Tumuamini Mungu anaweza yote
Inalilaahi wainalilah rajighun polen wazazi pamoja na jamaa zake
God in heaven help her😭😭😭😭😭
Natamani adhabu ya awa watu walio fanya ivi iwe ya kikatili kama walivyo mfanyia ivi uyu mtoto ifanyike adharani watu wajifunze kwao kwa kuona kwa macho yao
Yaani ningefunga safari mpka bukoba nikashuhudie wanavouwawa
Pole sana mdogo wangu
Inaumiza mno mno.pole sana
Poleni sana
Aki,umemaanisha,mungu akulinde mheshimiwa ni wachache sana wenye moyo huo
Unapoteza mtoto kwa uchungu na unapoteza kipenz cha moyo kwa tamaaa za shetan dah inauma Mungu muone huyu mama kibanadam ni ngum mnoooo
Inauma sana jamn
POLE MWANANGU MUNGU YUPO AKUPE SUBRA KIPINDI HIKI KIGUM.NAKAMA KWELI MUMEO KASHIRIKI HUYO HAFAI ANAWEZA KUKUUA HATA WW
Jamani 😢😢😢😢
Inalilaahi wainalilah rajighuni
Huyo baba mtoto atalaanika milele
Inasikitisha sana /
Innallilah wainallilah rajiun 😢😢😢
إن لله وانا إليه راجعون. Amelaaniwa wanao tenda maovu
Nimelia upya😭
Ndivyo ilivyo wana siasa ndio wabaya hao usiwatetee
Jamani.
Nimelia sanaaa nimejikuta machozi yamenitokaaaa pole mdogo wanguu
Innalilah waiynna ilay rajoon
Asimwe angekua mtu mkubwa sana tz,,maana alikua na nyota ya upendo sana na watu,,angalien tuu nyie,,wangapi albuno wameuawa ila waheshimiwa hawakwenda wala selikali haishughuriki kama kwa huyu malaika,,
Yaan mashetani hawa wamekatisha maisha na ndoto za mrembo asimwe,,na jina lake lilikua zuri kama yeye mwenyewe
Adhabu ya kunyongwa ni muhimu nipotayari kuwa mnyongaji
😢😢
😭😭
😢😢😢
Inauma jamaan😢😢
😢😢😢😢😢😢
😭😭😭😭
😢😢😢😢
😭😭😭😭😭😭😭😭😭
😭😭😭😭😭😭😭
😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪
😢😢