Tundu Lissu alivyotinga Polisi kuchukua GARI lake; afunguka MAZITO kushambuliwa kwake
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2023
- Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lisu amefika kwenye ofisi ya Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma RPC Martin otieno akitaka kuliangalia gari lake ambalo anadai alishambuliwa akiwa kwenye gari hilo.
Lissu amefika leo Alhamisi, Februari 9, 2023, huku akisema kuwa alikuwa amewasiliana na RPC kwaajili ya kwenda kuliona gari lake hilo ambalo hata hiivyo bado hajafanikiwa kuliona akielekezwa kurudi wakati mwingine kutokana na RPC kuwa kwenye shughuli nyingine.
Waandishi wanalazimisha ajibu tofauti.Kumbe mwenzao msomi na yuko makini sana.
Umeona eeeee
Maswali ya waandishi hayaukizwi kitaalamu kabisa Swali utafikiri anahubiri badala ya kwenda straight to the point
Ukweli hata mm niliumia sana ulipopigwa risasi,ukionekana TANZANIA ccm wanapata tabu sana
Mungu ataendelea kua nawewe
Safi sana Mhe lissu. Umeongea vyema kabisa. We keep going ✌️✌️✌️
Apewe urais huyu ndugu ameteswa mno
Mwamba hyuu apa✌
Mwandishi uriovaaa miwani na tai nyekundu unaakiri Sana maswali mazuri
Walinzii Wa Lissu Wapewe Silaha sasa lissu never Give Up.. mama Samia suluu sisi watanzania tunaumia tunauwawawa😢😢😢
Ujinga kabisa! Yaan huyu mbwa anadharau Sana!
peleka makumbusho
Muuwaji na yeye si ameshakufa sasa wasi wasi wa nini?
@@gulionigulioni3234 nani qlitaka kumuua...?
@@ajsmainde5138 kwani kuna mwingine zaidi ya mwendazake dikteta jiwe na kundi lake la sukuma gang.
Nakubali sana lisu uko vyema baba ishi miaka mingi...
Kabsaaa
Lisu,anafaa sana kuwa kiongozi mkuu was nchi hii. Mungu ambariki sana. Watz tumwombee sana!
Roho ya paka kidume wa kweli , mungu akutie nguvu zaidi tunataka Raisi kama wewe usio na woga na hawa madhalimu washenzi
Muda wake haukufika tu wala hakuna roho ya paka mungu akikuita
ila huyu mwamba anajua hadi anakera ndiyo maana Mungu ameruhusu aendelee kuwepo atupatie madini
Mtu muhimu sana kwa Tanzania... Ni mtu muhimu mno.
Umepitia mengi Sana dady kwakel Mungu yupo Tanzania nlihamin kupitia wew na Mungu amejidhihilisha kupitia wew apa Tanzania
Love u Lissu my neighbor at Tegeta’s
Hongela laisi tundulisu
Mwamba kardi miaka 100000
Kweli lissu umeiva kisiasa
Ukimpinga tundu lissu utakufa Kama jpm amina
Waandishi wa habari wa tz bhana,mnapenda unafki na maswali local sana!
Tanzania HAKUNA Wandishi kila mtu anatafuta watu wa kumshabikia.
Hahaaaa kabisaa uchonganishi ni mwingi
Ungekuwa wewe ungeulizaje?
Kabisaaa ... tooo locally
@@lionofjudahtv8796 Mtu umempa lift, lunch, posho. Unampangia cha kukuuliza na baadae ufanye editing ndio HABARI gani. Habari ni kile usichopenda kukisikia.
2025 Nakuona Ikulu Mh T L Mghwai Home boy
Hili ni tatizo kubwa sana watanzania take care yajayo yanafurahisha maana hiyo gari inatakiwa ikafanyiwe uchunguzi wa kina sana na hao polisi mm naimani hiyo gari apo haipo mm mwenyewe binafsi apo kituoni sijawahi kuiona kazi ipo kama ni picha hii ndio inaanza naimani picha likiisha kubwa la madui atafia kwenye bustani ya maua.
Point yako ni kubwa sana ulicho kidhania na mimi nadhani ipo hivyo
Nimekuelewa picha inaanza kujionyesha
Hahahah aiseee weulishawah kwenda kituon hukuiona
The giant politician in Tanzania
He is very courageous,that is he a master of fear and not absent of fear
VIVA TUNDU ANTIPHAS LISSU ✌🏿
Ameolewa Belgium 🇧🇪 huyo
Asant mungu kukupa nguvu yakuteteya wanyonge unaongeya kwaajili yetu kwa uwezo wa Allah atakupa maisha marefu
NIMEKUELEWA SANA Kwamba Tumehuru ya Uchaguzi ni lazima kwanza na mambo mengine yaendelee kutekelezwa
Sio TUME HURU ni KATIBA MPYA lazima ndio inafuata TUME HURU
Anaongea poa saana
Raisi Tundu lisu
Lisu nakukubali sanaaaa
Huyu ndie kiongozi ajae
Bado sana Hadi CCM tuamue kuwapa
Kiukweli huyu Lisu ni mzalendo wa kweli
mwamba kabsa tundu lissu one of the best a man politics
Kamanda lissu mwanasheliya
Mungu akujalie maono mema
Mzee wa unanifahamu!!
Jeshi La Police LA Tanzania Mguseni sasa Raia yetu Lissu
Kwani kipindi alipokimbia mlikuwa amjazaliwa
HILO GARI LIHIFADHIWE KWENYE KUMBUKUMBU ZA (TAIFA) maana tukio hili ni kubwa sana, Asije kufanyiwa MTANZANIA MWINGINE,
Safisana lissu mwambie nalema alejee nyumbani
Lema ameshatangaza anarejea March 1, 2023.
Trh 01/03/2023 pale KIA airport,karibu tumpokee
Good
Waliotaka kumuua mtoto washakufa
Nakupenda baba angu Allah akupe hitaji la moyo wako ✌️✌️✌️✌️✌️
Nakupenda sana MWAMBA nahitaji kuwa wakala wakusajili watu kidigitali namimi pia nahitaji kadi ya kidigital
upo wapi?
Kweli huyu mwamba ni tishio kwenye serikali ya CCM 😂😆😆😆 Batakoyola Dagaa 😂
Mtu wa haki kweli kweli
Kwa tundu lissu mb zang zitaisha mno darasa tosha
Huyu jamaa ni kimbunga anatisha ni zaid ya Mbappe!!
@@dicksonexavery726 hehee saf mno
Kwa wanaomuelewa huyu jamaa kumckiluza hawachoki mm nataman kila cku afanye interview na waandishi, chakushangaza suali gumu yy analijibu rahic tena kwa hoja na sio porojo
Huyo ndiye Rais mtarajiwa✌️✌️
Raisi wanyoko
Raisi ajae
Mywen number ya tundu lissu naomba anitumie pls. .. l love this guy ..sana huyu mtu Kweli kutoka moyoni....????
Waandishi mchwara mnaboa sana aisee maswali hayana miguu wa kichwa et watachukua viti vyote sasaivi wanashindana na chama gan?
Hiyo mzee lisu muda mwengine niki mtazama sura yake yajileta kama Ray kigosi vp anavo ongea tofauti tu Lissu anongea kwa busara sana diplomatic
Subhana'Allah
Mungu ni kubwa
Huwezi kuchukua roho ya mtu hadi Mola atake
Kwani yy huyo boss akiwa hayupo yy inakua hamna assistant wake?mbona bongo mna visa!hata raisi akisafiri hua anabaki msaidizi wake.
Nakukubali sana Lissu. MUNGU akutangulie
Ukianza kumsikiliza, hutamani amalize. Kila swali analijibu kwa ufasaha kabisa
Hongra kamanda lisu
Pamoja, kamanda Lissu. VIVA mh Lissu viva
Duuuuh.Huyu Jamaa ana ujasiri wa kuzaliwa
"courage is not the absence of fear,it is a mastery of fear"TWAIN
Exactly 💯💯
Huwezi kumng'oa Samia , usitake kuhurumiwa na wananchi Bali pigania nchi, mambo ya risasi mshukuru Mungu, angalia maisha ya watz
LENGO SIYO KUMNG'OA SAMIA BALI KATIBA IWE HURU BILA KUKOSA NGUVU KTK KUSIMAMIA JAMBO. TUSIWE NA MATAMKO KANDAMIZI BALI SOTE TUWE CHINI YA KATIBA.
Ase naona Lissu akifanya makubwa tz
Nimekuelewa
Kweer kabisa walipta bila kuchaguliwa na hofu yao kubwa ni 225
Nimempenda sana mheshimiwa samia raisi wetu Mungu akulinde akupe maisha marefu sana.una ubinadam na hiyo ndiyo thamani yako
Mwandishi uliyevaa miwani haujui namna ya kuuliza maswali. Unaelezea sana. Question must be brief and clear. Zingatia haupo peke yako hapo, wapo na wenzako.
Uko vizuri sana lisu
.ni kweli walitaka kumuuwa lkn ndo ivyo mungu ajapanga we unapigwa risasi zaid ya mbili alf ni mjini tuseme police walishindwa kuwakamata wausika mbona hamza alijisalimisha na akauliwa na hao hao police
Nchi yetu sote tunahitaji katiba mpya, tufumue huo ujagili unaondelea
Katiba inawafaidisha wachache
This car shd be an interesting musium piece
Mwambaaa huyu hapaaaaa
Kwani zipo za pesa pesa
Sio ambalo anadai Bali gari ambayo ndio alishambuliwa nalo!!
Siku hizi hata waandishi ni machawa
When Tundu Lissu speaks, you listen. What a briliant man!
Ongea kiswahili wewe, acheni kushoboka na phrases za kingereza
This Man is very bright
@@joesimba vipi wewe hili neno la "phrases" ni la kiswahili KIONGOZI!
@@issackchalahani1235 nimeleweka kuweka msisitizo waache kushobokea kingereza, tumia akili.
@@joesimba kumbe hata Mimi kuliza sijatumia akili! Sawa ahsante.
Well done Comander
Jamani mlinzi anakitambi bongo!!
🤣🤣 polisi wenyewe wa vitambi, itakuwa huyo mlinzi tu.
Kuna mjeshi nimewahi muona ni kibongeeeee
Kwani bunduki inahitaji uwe mwembamba?
Siyo wanamwita ndivyo alivyo jamani!
Binafsi nimefurahi sana haki kutamalaki tumpe muda Rais Samia atafanya mengi mazuri
Kabisa. Samia ana hekima tofauti na magu
@@joshualeonard1375 That Guy was a Devil
Very humble this man appreciate you Sana
✌️✌️
Hii michezo ya siasa inawaacha wananchi wateseke
Daah jembe ni jembe tu
Lissu ni Raila wa Tanzania Mungu akubariki sana naakupe maisha malefu uwasaidie watanzania...
Waandishi dhaifu kabisa!
LISSU...BIG BRAIN
Hv Magu alijikutka nan haswaa hapa Dunian!😢
Huyo mwandishi anahakiri upinzani upo juu zaidi mawingu
Mungu akulinde na watu wabayaa lisu
Yaan waandishi hatuna kbs bali tunawachukua matukio kwa camera tu
Ccm, mna kazi, ni Pole2, nduo amemuweza huyo
Etu kuwasalimia! Anakuja kuwasalimia kwa lipi zuri mlilomsaidia baada ya kupigwa risasi? Mliweza kuwatia hatiani waliompiga risasi?
Mimi binafs ninamkubali sana Rais Samia anaongoza nchi kweli kweli Mungu ampe miaka mingi ili aweze kutuongoza vema miaka kumi na tano ya Urais mimi ninampa kura yangu
Tatizo LA Tanzania Ni mifumo Wa kuongoza nchi Ni mbovu na hasa viongozi kutengeneza miradi kwa manufaa yao kwa hiyo tunahitaji katiba mpya tu.
Mungu akulinde sana Raisi wetu mtarajiwa. Hiki kichwa walitaka kukizima jamani Mungu awasamehe .
Mungu asiwasamehe Mbwa hao waliompangia kifo awamalize
Mwamba anadunda alyejiona Mungu mtu kalala zke huko!😅
Yes the the top leader has to much power to a point that they're idolized
Mtanikumbuka kwa vyema kumbuka hilo
Freedom of speech...
Mbona plate namba za zanzibar??
Lissu mpaka siwezi kusema lakini kwa vile ume vuvuka tunashukuru Mungu t, yupo
Kazi kwenu
Jamaa anajielewa aisee huyu
Sio chama Cha makondoo Bali kitakuwa Cha Cha mambuz
Magufuli nae alikuta utaratibu wa tume huko hivyo. Acha kumuandama Jemedari wetu na mzalendo wa kweli.
Unafel
Maana ya uzalendo ni nini???
Hahaha... Atasemwa kwa mabaya yake
Hata mimi nahitaji ulinzi nikirudi Tanzania
Mwandishi ulie na miwani tathimin tahaluma yako naona uelewa wako una taflani kiongoz anajaribu kukuelewesha ila mguuuuumu kuelewa
Siasa kweli mchezo mchafu akiwafuatilia wanasiasa imekula kwako
Siasa ni maisha na huwezi kumtenganisha mwanadamu na siasa!
Hukunielewa simaanishi tusifatilie siasa ninamaanisha wanasiasa hawa uchwara vibaraka wakubwa wa Wazungu
itakua unamimba wewe mana sio kwa hasila hiyo mako
Wazungu Hawana Mpango na Tanzania Yako Acha Kuvuta bangi
Na ww...unawaza ujinga..lisu alienda Ulaya kwa Matibabu