Tundu Lissu alivyotinga Polisi kuchukua GARI lake; afunguka MAZITO kushambuliwa kwake

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2023
  • Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lisu amefika kwenye ofisi ya Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma RPC Martin otieno akitaka kuliangalia gari lake ambalo anadai alishambuliwa akiwa kwenye gari hilo.
    Lissu amefika leo Alhamisi, Februari 9, 2023, huku akisema kuwa alikuwa amewasiliana na RPC kwaajili ya kwenda kuliona gari lake hilo ambalo hata hiivyo bado hajafanikiwa kuliona akielekezwa kurudi wakati mwingine kutokana na RPC kuwa kwenye shughuli nyingine.

ความคิดเห็น • 418

  • @mariakibwana3700
    @mariakibwana3700 ปีที่แล้ว +14

    Waandishi wanalazimisha ajibu tofauti.Kumbe mwenzao msomi na yuko makini sana.

    • @Wamoyothenumberone
      @Wamoyothenumberone ปีที่แล้ว

      Umeona eeeee

    • @dassustephen731
      @dassustephen731 ปีที่แล้ว

      Maswali ya waandishi hayaukizwi kitaalamu kabisa Swali utafikiri anahubiri badala ya kwenda straight to the point

  • @amanimanase8798
    @amanimanase8798 ปีที่แล้ว +11

    Ukweli hata mm niliumia sana ulipopigwa risasi,ukionekana TANZANIA ccm wanapata tabu sana

  • @mkijilukali2010
    @mkijilukali2010 ปีที่แล้ว +13

    Mungu ataendelea kua nawewe

  • @fadhilikombe3338
    @fadhilikombe3338 ปีที่แล้ว +14

    Safi sana Mhe lissu. Umeongea vyema kabisa. We keep going ✌️✌️✌️

    • @stelajoramu5298
      @stelajoramu5298 ปีที่แล้ว

      Apewe urais huyu ndugu ameteswa mno

  • @razakrazak7169
    @razakrazak7169 ปีที่แล้ว +10

    Mwamba hyuu apa✌

  • @bonabonaza5066
    @bonabonaza5066 ปีที่แล้ว +12

    Mwandishi uriovaaa miwani na tai nyekundu unaakiri Sana maswali mazuri

  • @abbynimel-kindy5107
    @abbynimel-kindy5107 ปีที่แล้ว +34

    Walinzii Wa Lissu Wapewe Silaha sasa lissu never Give Up.. mama Samia suluu sisi watanzania tunaumia tunauwawawa😢😢😢

    • @ndogoroedson199
      @ndogoroedson199 ปีที่แล้ว

      Ujinga kabisa! Yaan huyu mbwa anadharau Sana!

    • @bigbrothermwita1971
      @bigbrothermwita1971 ปีที่แล้ว +1

      peleka makumbusho

    • @gulionigulioni3234
      @gulionigulioni3234 ปีที่แล้ว +1

      Muuwaji na yeye si ameshakufa sasa wasi wasi wa nini?

    • @ajsmainde5138
      @ajsmainde5138 ปีที่แล้ว

      @@gulionigulioni3234 nani qlitaka kumuua...?

    • @gulionigulioni3234
      @gulionigulioni3234 ปีที่แล้ว +1

      @@ajsmainde5138 kwani kuna mwingine zaidi ya mwendazake dikteta jiwe na kundi lake la sukuma gang.

  • @mussamohammed6023
    @mussamohammed6023 ปีที่แล้ว +16

    Nakubali sana lisu uko vyema baba ishi miaka mingi...

  • @petsmore9955
    @petsmore9955 5 หลายเดือนก่อน +1

    Lisu,anafaa sana kuwa kiongozi mkuu was nchi hii. Mungu ambariki sana. Watz tumwombee sana!

  • @ukweliunauma4570
    @ukweliunauma4570 ปีที่แล้ว +6

    Roho ya paka kidume wa kweli , mungu akutie nguvu zaidi tunataka Raisi kama wewe usio na woga na hawa madhalimu washenzi

    • @jeffhard5773
      @jeffhard5773 ปีที่แล้ว

      Muda wake haukufika tu wala hakuna roho ya paka mungu akikuita

  • @paiwanjara3502
    @paiwanjara3502 ปีที่แล้ว +8

    ila huyu mwamba anajua hadi anakera ndiyo maana Mungu ameruhusu aendelee kuwepo atupatie madini

    • @expert5898
      @expert5898 ปีที่แล้ว

      Mtu muhimu sana kwa Tanzania... Ni mtu muhimu mno.

  • @edithamutagulwa1484
    @edithamutagulwa1484 ปีที่แล้ว +2

    Umepitia mengi Sana dady kwakel Mungu yupo Tanzania nlihamin kupitia wew na Mungu amejidhihilisha kupitia wew apa Tanzania

  • @sambiaj
    @sambiaj ปีที่แล้ว +5

    Love u Lissu my neighbor at Tegeta’s

  • @mashannapapaaa9582
    @mashannapapaaa9582 ปีที่แล้ว +6

    Hongela laisi tundulisu

  • @justinesalivatory7226
    @justinesalivatory7226 ปีที่แล้ว +10

    Mwamba kardi miaka 100000

  • @landisyloishiye933
    @landisyloishiye933 ปีที่แล้ว +14

    Kweli lissu umeiva kisiasa

  • @bonabonaza5066
    @bonabonaza5066 ปีที่แล้ว +3

    Ukimpinga tundu lissu utakufa Kama jpm amina

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 ปีที่แล้ว +18

    Waandishi wa habari wa tz bhana,mnapenda unafki na maswali local sana!

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 ปีที่แล้ว +2

      Tanzania HAKUNA Wandishi kila mtu anatafuta watu wa kumshabikia.

    • @polycarpykavishe9001
      @polycarpykavishe9001 ปีที่แล้ว

      Hahaaaa kabisaa uchonganishi ni mwingi

    • @lionofjudahtv8796
      @lionofjudahtv8796 ปีที่แล้ว

      Ungekuwa wewe ungeulizaje?

    • @jesuinababili2280
      @jesuinababili2280 ปีที่แล้ว

      Kabisaaa ... tooo locally

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 ปีที่แล้ว

      @@lionofjudahtv8796 Mtu umempa lift, lunch, posho. Unampangia cha kukuuliza na baadae ufanye editing ndio HABARI gani. Habari ni kile usichopenda kukisikia.

  • @lemausontz3513
    @lemausontz3513 ปีที่แล้ว +3

    2025 Nakuona Ikulu Mh T L Mghwai Home boy

  • @ahmedysaidy9874
    @ahmedysaidy9874 ปีที่แล้ว +16

    Hili ni tatizo kubwa sana watanzania take care yajayo yanafurahisha maana hiyo gari inatakiwa ikafanyiwe uchunguzi wa kina sana na hao polisi mm naimani hiyo gari apo haipo mm mwenyewe binafsi apo kituoni sijawahi kuiona kazi ipo kama ni picha hii ndio inaanza naimani picha likiisha kubwa la madui atafia kwenye bustani ya maua.

    • @georgegerald4153
      @georgegerald4153 ปีที่แล้ว +1

      Point yako ni kubwa sana ulicho kidhania na mimi nadhani ipo hivyo

    • @alphascaona576
      @alphascaona576 ปีที่แล้ว +1

      Nimekuelewa picha inaanza kujionyesha

    • @Wamoyothenumberone
      @Wamoyothenumberone ปีที่แล้ว +2

      Hahahah aiseee weulishawah kwenda kituon hukuiona

  • @emmapaul1766
    @emmapaul1766 ปีที่แล้ว +16

    The giant politician in Tanzania

    • @dassustephen731
      @dassustephen731 ปีที่แล้ว

      He is very courageous,that is he a master of fear and not absent of fear

  • @christophertz
    @christophertz ปีที่แล้ว +14

    VIVA TUNDU ANTIPHAS LISSU ✌🏿

    • @machintangachibwena5922
      @machintangachibwena5922 ปีที่แล้ว

      Ameolewa Belgium 🇧🇪 huyo

    • @abdallahkiduli1451
      @abdallahkiduli1451 ปีที่แล้ว

      Asant mungu kukupa nguvu yakuteteya wanyonge unaongeya kwaajili yetu kwa uwezo wa Allah atakupa maisha marefu

  • @V24hrs
    @V24hrs ปีที่แล้ว +7

    NIMEKUELEWA SANA Kwamba Tumehuru ya Uchaguzi ni lazima kwanza na mambo mengine yaendelee kutekelezwa

    • @imakitori399
      @imakitori399 ปีที่แล้ว +1

      Sio TUME HURU ni KATIBA MPYA lazima ndio inafuata TUME HURU

    • @Wamoyothenumberone
      @Wamoyothenumberone ปีที่แล้ว

      Anaongea poa saana

  • @frankfrancis5736
    @frankfrancis5736 ปีที่แล้ว +5

    Raisi Tundu lisu

  • @clemenceparokola
    @clemenceparokola ปีที่แล้ว +6

    Lisu nakukubali sanaaaa

  • @furahianyambo791
    @furahianyambo791 ปีที่แล้ว +5

    Huyu ndie kiongozi ajae

    • @jumamakuri9176
      @jumamakuri9176 ปีที่แล้ว

      Bado sana Hadi CCM tuamue kuwapa

  • @josephpaul885
    @josephpaul885 ปีที่แล้ว +5

    Kiukweli huyu Lisu ni mzalendo wa kweli

  • @hermanmazuri1619
    @hermanmazuri1619 ปีที่แล้ว +4

    mwamba kabsa tundu lissu one of the best a man politics

  • @warrenmgode1837
    @warrenmgode1837 ปีที่แล้ว +6

    Kamanda lissu mwanasheliya

  • @josephmwalah8202
    @josephmwalah8202 ปีที่แล้ว +10

    Mungu akujalie maono mema

  • @kibwetere1418
    @kibwetere1418 ปีที่แล้ว +8

    Mzee wa unanifahamu!!

  • @abbynimel-kindy5107
    @abbynimel-kindy5107 ปีที่แล้ว +9

    Jeshi La Police LA Tanzania Mguseni sasa Raia yetu Lissu

    • @hijafadhili4956
      @hijafadhili4956 ปีที่แล้ว

      Kwani kipindi alipokimbia mlikuwa amjazaliwa

  • @bonifacemwanga3115
    @bonifacemwanga3115 ปีที่แล้ว +2

    HILO GARI LIHIFADHIWE KWENYE KUMBUKUMBU ZA (TAIFA) maana tukio hili ni kubwa sana, Asije kufanyiwa MTANZANIA MWINGINE,

  • @mandaruukali2374
    @mandaruukali2374 ปีที่แล้ว +12

    Safisana lissu mwambie nalema alejee nyumbani

    • @csato9415
      @csato9415 ปีที่แล้ว +1

      Lema ameshatangaza anarejea March 1, 2023.

    • @charlesmurimi765
      @charlesmurimi765 ปีที่แล้ว

      Trh 01/03/2023 pale KIA airport,karibu tumpokee

  • @mwlpaulnghumbujanila6264
    @mwlpaulnghumbujanila6264 ปีที่แล้ว +6

    Good

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 ปีที่แล้ว +4

    Waliotaka kumuua mtoto washakufa

  • @zurufamzava7042
    @zurufamzava7042 ปีที่แล้ว +1

    Nakupenda baba angu Allah akupe hitaji la moyo wako ✌️✌️✌️✌️✌️

  • @meshackkazungu1948
    @meshackkazungu1948 ปีที่แล้ว +1

    Nakupenda sana MWAMBA nahitaji kuwa wakala wakusajili watu kidigitali namimi pia nahitaji kadi ya kidigital

  • @jaymandy8136
    @jaymandy8136 ปีที่แล้ว +8

    Kweli huyu mwamba ni tishio kwenye serikali ya CCM 😂😆😆😆 Batakoyola Dagaa 😂

  • @omaryramadhani290
    @omaryramadhani290 ปีที่แล้ว +9

    Mtu wa haki kweli kweli

  • @yudaseleman8320
    @yudaseleman8320 ปีที่แล้ว +14

    Kwa tundu lissu mb zang zitaisha mno darasa tosha

    • @dicksonexavery726
      @dicksonexavery726 ปีที่แล้ว +1

      Huyu jamaa ni kimbunga anatisha ni zaid ya Mbappe!!

    • @yudaseleman8320
      @yudaseleman8320 ปีที่แล้ว

      @@dicksonexavery726 hehee saf mno

    • @RashidAli-rn3ro
      @RashidAli-rn3ro ปีที่แล้ว +2

      Kwa wanaomuelewa huyu jamaa kumckiluza hawachoki mm nataman kila cku afanye interview na waandishi, chakushangaza suali gumu yy analijibu rahic tena kwa hoja na sio porojo

  • @loshirotatekoriosoombe2187
    @loshirotatekoriosoombe2187 ปีที่แล้ว +2

    Huyo ndiye Rais mtarajiwa✌️✌️

  • @jalalkhalid8499
    @jalalkhalid8499 ปีที่แล้ว +1

    Mywen number ya tundu lissu naomba anitumie pls. .. l love this guy ..sana huyu mtu Kweli kutoka moyoni....????

  • @rogersiddy
    @rogersiddy ปีที่แล้ว +4

    Waandishi mchwara mnaboa sana aisee maswali hayana miguu wa kichwa et watachukua viti vyote sasaivi wanashindana na chama gan?

  • @mwanamkeshujaabongoflavama7180
    @mwanamkeshujaabongoflavama7180 ปีที่แล้ว +2

    Hiyo mzee lisu muda mwengine niki mtazama sura yake yajileta kama Ray kigosi vp anavo ongea tofauti tu Lissu anongea kwa busara sana diplomatic

  • @mwanamkeshujaabongoflavama7180
    @mwanamkeshujaabongoflavama7180 ปีที่แล้ว +7

    Subhana'Allah
    Mungu ni kubwa
    Huwezi kuchukua roho ya mtu hadi Mola atake

  • @ssalimsalim3864
    @ssalimsalim3864 ปีที่แล้ว +1

    Kwani yy huyo boss akiwa hayupo yy inakua hamna assistant wake?mbona bongo mna visa!hata raisi akisafiri hua anabaki msaidizi wake.

  • @johngibson3089
    @johngibson3089 ปีที่แล้ว +8

    Nakukubali sana Lissu. MUNGU akutangulie

  • @jonasg5630
    @jonasg5630 ปีที่แล้ว +10

    Ukianza kumsikiliza, hutamani amalize. Kila swali analijibu kwa ufasaha kabisa

  • @alirashid3813
    @alirashid3813 ปีที่แล้ว +7

    Hongra kamanda lisu

  • @gangan3359
    @gangan3359 ปีที่แล้ว +1

    Pamoja, kamanda Lissu. VIVA mh Lissu viva

  • @dassustephen731
    @dassustephen731 ปีที่แล้ว

    Duuuuh.Huyu Jamaa ana ujasiri wa kuzaliwa
    "courage is not the absence of fear,it is a mastery of fear"TWAIN

  • @livingstonempuso4200
    @livingstonempuso4200 ปีที่แล้ว +2

    Exactly 💯💯

  • @JoseoneTv
    @JoseoneTv ปีที่แล้ว +1

    Huwezi kumng'oa Samia , usitake kuhurumiwa na wananchi Bali pigania nchi, mambo ya risasi mshukuru Mungu, angalia maisha ya watz

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 ปีที่แล้ว

      LENGO SIYO KUMNG'OA SAMIA BALI KATIBA IWE HURU BILA KUKOSA NGUVU KTK KUSIMAMIA JAMBO. TUSIWE NA MATAMKO KANDAMIZI BALI SOTE TUWE CHINI YA KATIBA.

  • @christophertarimo3044
    @christophertarimo3044 ปีที่แล้ว +2

    Ase naona Lissu akifanya makubwa tz

  • @nemamalovilinjo4919
    @nemamalovilinjo4919 ปีที่แล้ว +3

    Nimekuelewa

  • @vaskosamweli3556
    @vaskosamweli3556 ปีที่แล้ว +1

    Kweer kabisa walipta bila kuchaguliwa na hofu yao kubwa ni 225

  • @marymremi1051
    @marymremi1051 ปีที่แล้ว

    Nimempenda sana mheshimiwa samia raisi wetu Mungu akulinde akupe maisha marefu sana.una ubinadam na hiyo ndiyo thamani yako

  • @ezekielemanuel2910
    @ezekielemanuel2910 ปีที่แล้ว +1

    Mwandishi uliyevaa miwani haujui namna ya kuuliza maswali. Unaelezea sana. Question must be brief and clear. Zingatia haupo peke yako hapo, wapo na wenzako.

  • @frejascompany6094
    @frejascompany6094 ปีที่แล้ว +1

    Uko vizuri sana lisu

  • @kherihamad472
    @kherihamad472 ปีที่แล้ว +1

    .ni kweli walitaka kumuuwa lkn ndo ivyo mungu ajapanga we unapigwa risasi zaid ya mbili alf ni mjini tuseme police walishindwa kuwakamata wausika mbona hamza alijisalimisha na akauliwa na hao hao police

  • @selemanishabani126
    @selemanishabani126 ปีที่แล้ว +3

    Nchi yetu sote tunahitaji katiba mpya, tufumue huo ujagili unaondelea

    • @ibnhassan9980
      @ibnhassan9980 ปีที่แล้ว

      Katiba inawafaidisha wachache

  • @edsonmakarai9496
    @edsonmakarai9496 ปีที่แล้ว

    This car shd be an interesting musium piece

  • @shukranitv2971
    @shukranitv2971 ปีที่แล้ว +2

    Mwambaaa huyu hapaaaaa

  • @allymohamed2724
    @allymohamed2724 ปีที่แล้ว +2

    Kwani zipo za pesa pesa

  • @FestusJchunya-hc3hv
    @FestusJchunya-hc3hv ปีที่แล้ว

    Sio ambalo anadai Bali gari ambayo ndio alishambuliwa nalo!!

  • @ngambikomsu64
    @ngambikomsu64 ปีที่แล้ว +3

    Siku hizi hata waandishi ni machawa

  • @patricknamangoa6468
    @patricknamangoa6468 ปีที่แล้ว +21

    When Tundu Lissu speaks, you listen. What a briliant man!

    • @joesimba
      @joesimba ปีที่แล้ว +2

      Ongea kiswahili wewe, acheni kushoboka na phrases za kingereza

    • @odoieriasmonga6591
      @odoieriasmonga6591 ปีที่แล้ว +1

      This Man is very bright

    • @issackchalahani1235
      @issackchalahani1235 ปีที่แล้ว +1

      @@joesimba vipi wewe hili neno la "phrases" ni la kiswahili KIONGOZI!

    • @joesimba
      @joesimba ปีที่แล้ว

      @@issackchalahani1235 nimeleweka kuweka msisitizo waache kushobokea kingereza, tumia akili.

    • @issackchalahani1235
      @issackchalahani1235 ปีที่แล้ว

      @@joesimba kumbe hata Mimi kuliza sijatumia akili! Sawa ahsante.

  • @brother_majesty
    @brother_majesty ปีที่แล้ว

    Well done Comander

  • @bbccaa4156
    @bbccaa4156 ปีที่แล้ว +5

    Jamani mlinzi anakitambi bongo!!

    • @csato9415
      @csato9415 ปีที่แล้ว +1

      🤣🤣 polisi wenyewe wa vitambi, itakuwa huyo mlinzi tu.

    • @dorisfabian4776
      @dorisfabian4776 ปีที่แล้ว

      Kuna mjeshi nimewahi muona ni kibongeeeee

    • @thehunter5920
      @thehunter5920 ปีที่แล้ว

      Kwani bunduki inahitaji uwe mwembamba?

  • @helenarhobi1250
    @helenarhobi1250 ปีที่แล้ว +1

    Siyo wanamwita ndivyo alivyo jamani!

  • @mohamedmabruki7866
    @mohamedmabruki7866 ปีที่แล้ว +3

    Binafsi nimefurahi sana haki kutamalaki tumpe muda Rais Samia atafanya mengi mazuri

    • @joshualeonard1375
      @joshualeonard1375 ปีที่แล้ว +1

      Kabisa. Samia ana hekima tofauti na magu

    • @blockchain1203
      @blockchain1203 ปีที่แล้ว

      @@joshualeonard1375 That Guy was a Devil

  • @severinlouis
    @severinlouis ปีที่แล้ว +3

    Very humble this man appreciate you Sana

  • @irenembise6004
    @irenembise6004 ปีที่แล้ว +2

    ✌️✌️

  • @JoseoneTv
    @JoseoneTv ปีที่แล้ว +1

    Hii michezo ya siasa inawaacha wananchi wateseke

  • @jeffhard5773
    @jeffhard5773 ปีที่แล้ว +1

    Daah jembe ni jembe tu

  • @consolatamangera8796
    @consolatamangera8796 ปีที่แล้ว

    Lissu ni Raila wa Tanzania Mungu akubariki sana naakupe maisha malefu uwasaidie watanzania...

  • @marceljohnkimaty4986
    @marceljohnkimaty4986 ปีที่แล้ว +3

    Waandishi dhaifu kabisa!

  • @reginaldsimon8699
    @reginaldsimon8699 ปีที่แล้ว +1

    LISSU...BIG BRAIN

  • @user-mz4ry1sl8l
    @user-mz4ry1sl8l 11 หลายเดือนก่อน

    Hv Magu alijikutka nan haswaa hapa Dunian!😢

  • @bonabonaza5066
    @bonabonaza5066 ปีที่แล้ว +2

    Huyo mwandishi anahakiri upinzani upo juu zaidi mawingu

  • @saidiaballhhamadi
    @saidiaballhhamadi ปีที่แล้ว

    Mungu akulinde na watu wabayaa lisu

  • @rogersiddy
    @rogersiddy ปีที่แล้ว +1

    Yaan waandishi hatuna kbs bali tunawachukua matukio kwa camera tu

  • @princeteu973
    @princeteu973 ปีที่แล้ว +1

    Ccm, mna kazi, ni Pole2, nduo amemuweza huyo

  • @chrissg4026
    @chrissg4026 ปีที่แล้ว

    Etu kuwasalimia! Anakuja kuwasalimia kwa lipi zuri mlilomsaidia baada ya kupigwa risasi? Mliweza kuwatia hatiani waliompiga risasi?

  • @beatusmchau1556
    @beatusmchau1556 ปีที่แล้ว +4

    Mimi binafs ninamkubali sana Rais Samia anaongoza nchi kweli kweli Mungu ampe miaka mingi ili aweze kutuongoza vema miaka kumi na tano ya Urais mimi ninampa kura yangu

    • @speriuskainamula5960
      @speriuskainamula5960 ปีที่แล้ว

      Tatizo LA Tanzania Ni mifumo Wa kuongoza nchi Ni mbovu na hasa viongozi kutengeneza miradi kwa manufaa yao kwa hiyo tunahitaji katiba mpya tu.

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 ปีที่แล้ว

    Mungu akulinde sana Raisi wetu mtarajiwa. Hiki kichwa walitaka kukizima jamani Mungu awasamehe .

    • @meshackkazungu1948
      @meshackkazungu1948 ปีที่แล้ว

      Mungu asiwasamehe Mbwa hao waliompangia kifo awamalize

  • @user-mz4ry1sl8l
    @user-mz4ry1sl8l 11 หลายเดือนก่อน

    Mwamba anadunda alyejiona Mungu mtu kalala zke huko!😅

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 ปีที่แล้ว

    Yes the the top leader has to much power to a point that they're idolized

  • @shahidalialibhai794
    @shahidalialibhai794 ปีที่แล้ว

    Mtanikumbuka kwa vyema kumbuka hilo

  • @michaelaroon8558
    @michaelaroon8558 ปีที่แล้ว

    Freedom of speech...

  • @alphadreammedia
    @alphadreammedia ปีที่แล้ว +1

    Mbona plate namba za zanzibar??

  • @mathayoyohana479
    @mathayoyohana479 ปีที่แล้ว

    Lissu mpaka siwezi kusema lakini kwa vile ume vuvuka tunashukuru Mungu t, yupo

  • @prochesytesha8040
    @prochesytesha8040 ปีที่แล้ว

    Kazi kwenu

  • @goodlucksway1456
    @goodlucksway1456 ปีที่แล้ว +1

    Jamaa anajielewa aisee huyu

  • @edwinkimambo7592
    @edwinkimambo7592 ปีที่แล้ว +1

    Sio chama Cha makondoo Bali kitakuwa Cha Cha mambuz

  • @jonathanmwakabuku4714
    @jonathanmwakabuku4714 ปีที่แล้ว +2

    Magufuli nae alikuta utaratibu wa tume huko hivyo. Acha kumuandama Jemedari wetu na mzalendo wa kweli.

  • @lodrickmwambene133
    @lodrickmwambene133 ปีที่แล้ว

    Hata mimi nahitaji ulinzi nikirudi Tanzania

  • @JanethJanuary-fz3vk
    @JanethJanuary-fz3vk ปีที่แล้ว

    Mwandishi ulie na miwani tathimin tahaluma yako naona uelewa wako una taflani kiongoz anajaribu kukuelewesha ila mguuuuumu kuelewa

  • @saidimkurago6893
    @saidimkurago6893 ปีที่แล้ว +3

    Siasa kweli mchezo mchafu akiwafuatilia wanasiasa imekula kwako

    • @christophertz
      @christophertz ปีที่แล้ว

      Siasa ni maisha na huwezi kumtenganisha mwanadamu na siasa!

    • @saidimkurago6893
      @saidimkurago6893 ปีที่แล้ว

      Hukunielewa simaanishi tusifatilie siasa ninamaanisha wanasiasa hawa uchwara vibaraka wakubwa wa Wazungu

    • @rucaserasto8154
      @rucaserasto8154 ปีที่แล้ว +1

      itakua unamimba wewe mana sio kwa hasila hiyo mako

    • @frankfrancis5736
      @frankfrancis5736 ปีที่แล้ว

      Wazungu Hawana Mpango na Tanzania Yako Acha Kuvuta bangi

    • @abelianraphili5150
      @abelianraphili5150 ปีที่แล้ว

      Na ww...unawaza ujinga..lisu alienda Ulaya kwa Matibabu