BUNGENI: MBOWE VS MAJALIWA KUHUSU SHAMBULIO LA LISSU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
  • November 9, 2017 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alisimama Bungeni Dodoma kujibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa Wabunge na moja ya maswali aliyoyajibu ni lililoulizwa na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe.

ความคิดเห็น • 366

  • @murithiramires9058
    @murithiramires9058 หลายเดือนก่อน +7

    Tunaona hii video 2024 mnipe like. Tundu Lissu atakomboa Tanzania mwaka ujao

  • @afyatv2220
    @afyatv2220 3 ปีที่แล้ว +17

    Waliorudi na kuingalia hii video 2021 kama mimi tujuane kwa likes hapa

  • @amenyemwansile631
    @amenyemwansile631 3 ปีที่แล้ว +12

    Mbowe kweli Ni genius nakukubali brother mbowe

  • @abdullykapole9617
    @abdullykapole9617 4 ปีที่แล้ว +8

    Usipo jua swali bora uliza warudie hili hujibu vzr swali maana njia ni barabara wewe unapita kwenye maji jibu swali la MBOWE vzr...🙏

    • @charleskingimwakasagule5752
      @charleskingimwakasagule5752 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa wazili alipuyanga sana eti alitumia akili sana kukwepa kumbe sisiemu ilimtuma kujibu

  • @kavassay8899
    @kavassay8899 5 ปีที่แล้ว +7

    Mboowe mungu akupe miaka10000

  • @alhaji6094
    @alhaji6094 6 ปีที่แล้ว +8

    Wazir Mkuu ameshindwa kujibu swal naona anazunguka tena pale alipoambiwa umekosea mwanzo

  • @nabiipetermaganga.7715
    @nabiipetermaganga.7715 5 ปีที่แล้ว +5

    Majaliwa hawezi kujibu hayo maswali ya mbowe ni magumu sana majaliwa analikwepa kujibu maswali mbowe hongera kwa maswali mazur wazur mkuu hawez kuyajibu

    • @jumajumanne651
      @jumajumanne651 5 ปีที่แล้ว

      Peter Mapesa ccm oyeeeeeee majaliwa safiiiiiiii

  • @stephenmkulia9745
    @stephenmkulia9745 7 ปีที่แล้ว +13

    Hata mimi nashangaa maudhui ya makofi hayo. Hakika wabunge wetu ni vilaza ajabu.

    • @muhidinihassani520
      @muhidinihassani520 5 ปีที่แล้ว

      Hao ndio ccm oyeee kazi yao NI kupiga makofi tu, sio kujadili kwa maslai ya nchi

  • @mathiaspaulina7355
    @mathiaspaulina7355 7 ปีที่แล้ว +8

    mh . waziri mkuu kwann msiruhusu vyombo vya nje vifanye uchunguz haraka ili suala LA unyanyasaji na mateso kwa tz ikomeshwe haraka?

  • @paschalinejoginda5702
    @paschalinejoginda5702 7 ปีที่แล้ว +6

    jibu swali bna,,,unajikanyaga mheshiwa

  • @rashidyishika6868
    @rashidyishika6868 4 ปีที่แล้ว +4

    We wazir Mkuu kumb Msanii??

  • @SimonSaimon-n4f
    @SimonSaimon-n4f 29 วันที่ผ่านมา

    Mweshimiwa amnaa kazi

  • @isaacnewkaboy9132
    @isaacnewkaboy9132 7 ปีที่แล้ว +12

    Majaliwa nilikuwa nakukubali kwamba unawezo mkubwa lakini kwa majibu haya.... "ww ni kibaraka" maana inaonesha wazi huna maamzi ww kama mtendaji mkuu wa serikali.... yaaan unazunguka bado hutoi majibu yayoeleweka... shame up on u

  • @venancebasil4656
    @venancebasil4656 7 ปีที่แล้ว +7

    daaaaah wanasiasa wanajua kuzungusha maneno

  • @africanstears7755
    @africanstears7755 5 ปีที่แล้ว +6

    cctv camera kwenye majengo jilani na nyumba ya tundulissu ziko wapi

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 4 ปีที่แล้ว

      Ndugu wapendwa leo nimefurahi sana kumsikiliza rais Magufuri.Kasema!!!! Wapelelezi ndiyo shida eanachukua mda mwingi mno kupeleleza na kutoa jibu na ndiyo maana nanukuru kasema kuna wafungwa13 elfu lakini mahabusu wanaosubili ili wajue hatima yao wako 17 elfu. Hawa wako ndani wananyea kwenye ndoo .wakiuliza jibu ni ,upelelezi bado,miaka 5 mtu yuko mahabusu kweli ??? Hii inaingia akilini jamani? Kwa hiyo swala la Tindu Lisu mpaka yesu aje !!nakwa vile yuko karibu!wacha tusubili,ila hao wapelelezi cha moto chao kinakuja

  • @jacobolucas5935
    @jacobolucas5935 5 ปีที่แล้ว +13

    Wehu nyie tushawajua serikali yenu ni ya watu wasio julikana uchunguz mpaka saiv miaka 3 mungu yupo atawalipieni kwa yale mnayo yatenda

  • @musamabura5200
    @musamabura5200 7 ปีที่แล้ว +13

    Majaliwa hajajibu swali la Mh Mbowe ,,,amezunguka bila kusema kuwa anaruhusu international investigators au lah!!

  • @abubakarimchani114
    @abubakarimchani114 7 ปีที่แล้ว +13

    mungu atakuja kutoa jibu ck1 tu tuombe uzima2

  • @edwiniedwin3347
    @edwiniedwin3347 5 ปีที่แล้ว +3

    Mbowe nakuelewa sanaaaa , hawana majibu hao ya kukupa mkuu .

  • @pendomartini447
    @pendomartini447 7 ปีที่แล้ว +8

    Pale ambapo mtakamilisha kazi hata ikiwa miaka 50 ijayo,......

  • @abellusana935
    @abellusana935 5 ปีที่แล้ว +2

    Waziri wetu unajua sana kujieleza asante chapa kazi

  • @bulessatv3323
    @bulessatv3323 4 ปีที่แล้ว +2

    Ni kweli umuhimu Wa Uchunguzi wa kina ni Muhimu ila kama Mtu anajeruhiwa kwenye Maeneo ya Watu wakubwa yaani Mawaziri na Ni maeneo yenye Cctv camera na high securty una Vamiwa na Asijulikane hadi leo zaid ya miaka 3 kuna tatzo either Kwenye vimbo vya ulinzi Ushauli wangu Tuweni wamoja kuijenga Nchi Si kosa kwa kiongozi kukosolewa pale anapoonekana hajafanya vyema Mhe Waziri Naomba ujibu kwa Faida ya Audience ote na Tanzania Kwa Ujumla
    Tanzania yangu Nchi yangu

  • @jordankaaya606
    @jordankaaya606 7 ปีที่แล้ว +7

    Duuu mbna swali la msingi halijajibika?

  • @micamathew6433
    @micamathew6433 5 ปีที่แล้ว +8

    Bado mh Majaliwa anajibu kwa kuficha, sasa hapo kuna tatizo..mh Mbowe ww kuwa na subira, iko siku mambo yatanyooka tu.

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 4 ปีที่แล้ว

      Eeee amen yatanyooka,kwani tunaishi miaka mingapi ??? Mpaka asubili mambo yatanyooka ??dunia tambara bovu

  • @edwiniedwin3347
    @edwiniedwin3347 5 ปีที่แล้ว +4

    Mbn hujibu swali??

  • @starlily07
    @starlily07 7 ปีที่แล้ว +3

    Maswali yako Mh Mbowe yamewashika pabaya, hawawezi kujibu moja kwa mojaa ni kujikanyaga tu, aibu yao but time will tell na Mungu yupo kazini.

  • @niazonbukoke1964
    @niazonbukoke1964 ปีที่แล้ว +2

    Majaliwa ni kilaza kwa Mbowe

  • @happinessmwaipopo7426
    @happinessmwaipopo7426 7 ปีที่แล้ว +19

    Kama hamjafurahishwa Mbona kwenda kumuona mlikuwa mnakataza watu Wa chama cheni wasiende? Mnaruka ruka mnamjua mhusika na Mungu atawaumbua tu.

    • @erickcobra4054
      @erickcobra4054 7 ปีที่แล้ว

      Happiness Mwaipopo amen

    • @mbonireamina6497
      @mbonireamina6497 5 ปีที่แล้ว

      Kama uchaguzi utafanyika kwa haki na huru mimi kura yangu nitampa TUNDU ANTIPASI LISU. Huyu bwana yuko baribu sana na MUNGU kuliko Magufuli. Mimi nina imani machungu aliyopitia yalisimamiwqa na MUNGU. Magufuli sio chaguo la MUNGU ni chaguo la CCM na SHETANI. Mambo anayofanya Magufuli ni ya mapepo tu. Ameshawalisha baadhi ya Watanzania libwata wawe wanamsifia kuwa kafanya na kujisahau kinachojenga Tanzania ni kodi zao zikiwepo kodi za WAPINZANI. Maisha ya Magufuli baada ya kuwa Rais ni kifungo tu.

  • @zuwenasirgutty8830
    @zuwenasirgutty8830 7 ปีที่แล้ว +2

    Specific ya hayo Makofi niyakazi gani....!!??

  • @Nestory_mvwata.
    @Nestory_mvwata. 7 หลายเดือนก่อน

    Umetisha sana mzee

  • @r-boymnyange3743
    @r-boymnyange3743 7 ปีที่แล้ว +7

    Majibu ni tofaut na swali uchunguzi mpaka lini Sasa matukio yote ya Zaman mbona hakuna hata jibu hata 1

    • @mbonireamina6497
      @mbonireamina6497 5 ปีที่แล้ว

      Katika watu wanaharibu hii Tanzania ni hawa CCM. Wanadhanishia wamewekwa madarakani milele. Namkumbusha tu Magufuli kuwa kuna mtu alikuwa anajiita Idd Amin yuko wapi. Alijipa majina makubwa kuwa yeye ni Rais wa Maisha Uganda leo yuko wapi. Mtanzania ukiwa hai mshukuru MUNGU wako na watendee wenzako mema. Magufulib anamwambia "MNYIKA" nimekuletea Maji kwenye jimbo lako unataka DEMOKRASIA. Hivi Magufuli ndie analeta maji au kodi zetu anazochukua. Laana ya kuwavunjia wapiga kura wako nyumba na kuwaambia hautalipa fidia ni unyama na malipo yake utayaona mda sio mrefu. Mbona Karume kule Zanzibar alikuwa anawajengea watu nyumba za kuishi wewe unakimbilia mambo makubwa wakati watu wako unawavunjia nyumba bila kuwalipa. Watu uliowaua damu zao zitakulilia milele hautakwepa hilio. Umekuwa "HITLA" wa Tanzania unawazuia wenzako kufanya mikutani wewe ni kama nani Duniani. Umebatiuzwa unaitwa "YESU" haya ni majanga. Hivi unaweza jifananisha na YESU kweli wewe Dikteta. Tujengee hosipitali za rufaa hatuna haja ya kwenda India tena. Ndege zzako zikienda India waliojaa ndani ni wagonjwa wa Tanzania hakuna hata wafanya biashara. Tuambie basi Watu wako hasara tuliyopata kwenye biashara ya Kusafirisha Gesi na korosho kuja na Dar es salaam. CCM kwa nini hampendi kusema ukweli. Mumelipa Deni la ndege Dola milioni 20 bado milioni 13 mnasema mumeshinda kesi. Kwa nini mnatufanya wajinga. Mimi niwaambie tu 2020 tutaminyana sana. Wabunge wa CCM mtakula mikongoto mbaya sana. Tumechoka kuona mko Bungeni kiupiga makofi tu.

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 4 ปีที่แล้ว +1

    Mbunge wako au wa Masasi??

  • @revocatusmanyama8621
    @revocatusmanyama8621 5 ปีที่แล้ว +1

    Uchungz mpaka lini?

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 4 ปีที่แล้ว +1

    Hawa nilichoelewa wanahisi picha limekaribia kuisha .... Next yr wengi watakuwa wanashuhudia mjengo kupitia youtube Kama sisi raia wakawaida .....Sasa wanatafuta huruma tu , na TRUST ME Sera watakuwa hawana ktk kampeni zao ila hizi story za kutekwa na kuteswa ndio zitakuwa sera zao.

  • @daybrelimite6126
    @daybrelimite6126 7 ปีที่แล้ว +7

    Serikali ya Wendawazimu, hamna chochote hapoo!!

  • @r-boymnyange3743
    @r-boymnyange3743 7 ปีที่แล้ว +3

    Yaani Hao wanaopga makofi cjui wanafahamilia zilizolelewa katika MALEZI mazuri

  • @yusuphchami2991
    @yusuphchami2991 7 ปีที่แล้ว +12

    mh, waziri mkuu kama vyombo vyetu vinauwezo mbona hakuna majibu mpaka Sasa Mimi naona nibora turuhusu wachunguzi kutoka nje watusaidie kupata majibu sahihi

  • @loishiyemollel8071
    @loishiyemollel8071 5 ปีที่แล้ว +2

    Sasa ni hofu gani kama watakubali vyombo huru vya nje kuja kufanya uchunguzi ?

  • @robertshedlack5354
    @robertshedlack5354 5 ปีที่แล้ว +2

    woi Waziri hapo sjaona jipya aliongea, mungu ataumbua tu hao mnaosema hawajulikan

  • @AnnaAlly-m4e
    @AnnaAlly-m4e 6 วันที่ผ่านมา

    Pongez kwa ujasili kiongoz

  • @mwanahella9650
    @mwanahella9650 7 ปีที่แล้ว +10

    Hayo sio majibu kwakweli khaa🤔😢🙄

  • @BarakaWaya
    @BarakaWaya 7 ปีที่แล้ว +3

    Daaaah maswali kwa uchungu ,majibu sasa duuuu

  • @joshuahassan1605
    @joshuahassan1605 ปีที่แล้ว

    Hivi report ya hayo aliyoyataja prime minister ilishatolewa??

  • @onesmolwambano9349
    @onesmolwambano9349 7 ปีที่แล้ว +5

    specific questions=specific answers

    • @kazok892
      @kazok892 4 ปีที่แล้ว

      Hili jamaa ana title ya uwaziri mkuu lkn ni ceremonial tu...hana power & authority...lile pimbi Bashite lina nguvu kumzidi...bogus people!

  • @tracyjustice1600
    @tracyjustice1600 7 ปีที่แล้ว +3

    Waziri ujajibu swali unazunguka mmbuyu tuuu

  • @erastosolomon4554
    @erastosolomon4554 6 ปีที่แล้ว +3

    Maelezo mengi ya nini? Jibu swali, yani majibu yako waziri mkuu hata kama angekuwa mtoto mdogo tayari angejua anadanganywa. Na hao wanaompigia makofi waziri ni macrazy sioni la msingi kupigiwa makofi wakati maswali ya muhimu hajayajibu kiufasaha.

  • @AloisNashali
    @AloisNashali 7 ปีที่แล้ว +3

    Huyo majariwa pumbu tu

  • @mcfrank1423
    @mcfrank1423 6 ปีที่แล้ว +1

    maja bwana ndo jibu hilo?

  • @NicoPaullius
    @NicoPaullius 27 วันที่ผ่านมา

    Genius mbowe

  • @r-boymnyange3743
    @r-boymnyange3743 7 ปีที่แล้ว +4

    Kwann wasiruhusu vyombo vya nje kufanya upelelezi hilo ndo swali unaongea tofaut na swali!!?

  • @george27103
    @george27103 7 ปีที่แล้ว +3

    ushabiki mwingine ni wa kushangaza maana watu wanapiga tu makofi kwa mihemuko bila ata ya kusikiliza ni nini kinajibiwa.very sad.

  • @uniquestories3609
    @uniquestories3609 3 ปีที่แล้ว

    Kazi ipo

  • @elihurumathomas686
    @elihurumathomas686 4 ปีที่แล้ว +1

    Binge Lina washangiliaji wengi kuliko wanaofikiria

  • @esteribrahim7127
    @esteribrahim7127 5 ปีที่แล้ว +2

    Si mruhusu uchunguzi

  • @fadhiliibrahim9702
    @fadhiliibrahim9702 7 ปีที่แล้ว +10

    Kwa majibu haya kama ndio mtihani ticha natoa 0/100

    • @samwelimwinyi9327
      @samwelimwinyi9327 7 ปีที่แล้ว +1

      FADHILI IBRAHIM-Ahahahaha- wazr kapga chenga kujbu!

    • @lucasgasper5235
      @lucasgasper5235 7 ปีที่แล้ว +1

      FADHILI IBRAHIM Kweli kabisa

    • @amrikemwalu979
      @amrikemwalu979 7 ปีที่แล้ว

      sio 0/100 tu mi naona ata -20/100 yaani anadaiwa kabisa

    • @michaelmpoma3579
      @michaelmpoma3579 5 ปีที่แล้ว

      FADHILI IBRAHIM ...watu wanazunguka danadana had unatia hasira

  • @abedychaula1721
    @abedychaula1721 4 ปีที่แล้ว

    Msikae na kujitizama nyinyi tu watu wangapi wanao shambuli na kupoteza maisha ndani ya hii nchi,tatizo ni ubinafi mlio nao.

  • @paulojosephy6338
    @paulojosephy6338 7 ปีที่แล้ว +11

    swali ni kwamba kwnn serikali hairuhusu vyombo vya uchunguzi vya kimataifa kuja kuchunguza kwnn inakata..... lkn waziri mkuu hajajibu hili swali

    • @goodluckymakere9023
      @goodluckymakere9023 7 ปีที่แล้ว

      Paulo Josephy kweli

    • @samwelimwinyi9327
      @samwelimwinyi9327 7 ปีที่แล้ว

      Nmekuelewa sana kwa swali-Paulo Josephy!

    • @paulojosephy6338
      @paulojosephy6338 7 ปีที่แล้ว

      +Samweli Mwinyi waziri kakwepa swali hajajibu

    • @samwelimwinyi9327
      @samwelimwinyi9327 7 ปีที่แล้ว

      Paulo Josephy+Umeona eeeh? Ana2100 busara ktk yanayo tugharim UHAI! Nmempenda ghafla

  • @bahathigeofrey1617
    @bahathigeofrey1617 7 ปีที่แล้ว +2

    Yesu wngu, hebu Mungu iponye Tanzania.

  • @ibrahimgwasma235
    @ibrahimgwasma235 3 ปีที่แล้ว

    Maswali ya Mbowe Ni sahihi na majibu aliyopewa nayo sahihi kah!!
    Ni noma

  • @mamarama6360
    @mamarama6360 7 ปีที่แล้ว +2

    Mh mkuranga kulee Kibit wamekufa wengi lkn hamukusimama kuomba serikal ilete wachunguz kutoka nje?

    • @abduljuma5284
      @abduljuma5284 6 ปีที่แล้ว

      kwakweliii hii nchii nihamnazo kweli sasa waziriii kajibu nn hapo mbona haelewek

    • @janendomba9461
      @janendomba9461 5 ปีที่แล้ว

      lini uchunguzi utakamilika jamani mungu anawaona au mfute vyama pinzani

  • @paulojosephy6338
    @paulojosephy6338 7 ปีที่แล้ว +3

    waziri mkuu kaulizwa swali kalikwepa

  • @chiefmachibya3894
    @chiefmachibya3894 6 ปีที่แล้ว +3

    Wanaopiga makofi ni mbwa tu

  • @Happypeter-r9q
    @Happypeter-r9q 5 หลายเดือนก่อน

    Ongera sana mbowe

  • @laulianmeneja2079
    @laulianmeneja2079 4 ปีที่แล้ว +1

    Mbona hamtaki uchunguzi wa nje

  • @hocymbesere9459
    @hocymbesere9459 6 ปีที่แล้ว +3

    asee ww jbu swali usikwepe hiv hawasomag koment hawa nyumbu

  • @seiphabdallah2122
    @seiphabdallah2122 4 ปีที่แล้ว

    Sasa kwa nini hawaruhusu uchunguzi wa kimataifa

  • @kichuyawatanga5452
    @kichuyawatanga5452 5 ปีที่แล้ว +1

    Naomba kuuliza waliompiga risasi moringe sokoine ,nao wakamatwe ,mpaka Leo cjui waliompiga risasi wazir wetu

    • @applestru_cape2219
      @applestru_cape2219 5 ปีที่แล้ว

      Muulize nyerere

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 4 ปีที่แล้ว

      Kichunya ni tanga barabara ya ngapi? Huyu alikufa kwa ajali ya gari

  • @humphreybilly3258
    @humphreybilly3258 4 ปีที่แล้ว

    Isaya 42:22-23
    [22]Lakini watu hawa ni watu walioibiwa na kutekwa; wote wamenaswa katika mashimo, wamefichwa katika magereza; wamekuwa mawindo, wala hapana aokoaye; wamekuwa mateka, wala hapana asemaye, Rudisha.
    [23]Ni nani miongoni mwenu atakayetega sikio lake kuyasikia hayo? Atakayesikiliza na kusikia kwa wakati ujao?

  • @daviekasinda6918
    @daviekasinda6918 7 ปีที่แล้ว +8

    makofi ya nn? hlfu anazunguka zunguka hajajibu swal?

  • @siamollel9725
    @siamollel9725 7 ปีที่แล้ว +2

    Ukweli Mh mbowe polisi wanatesa sana RAIA,wakija hahuku kukamata waalifu,wanatoa vitisho na kupoga watu ovyo

    • @gregoryntandu4718
      @gregoryntandu4718 4 ปีที่แล้ว

      Sia Mollel ukiwa salama ww huta
      Jua kama wezako wako hatarini

  • @calvinjackson2087
    @calvinjackson2087 ปีที่แล้ว

    Waziri mbona hujibu maswali unapigiwa makofi yasiyo ya msingi

  • @esteribrahim7127
    @esteribrahim7127 5 ปีที่แล้ว +3

    waziri MKUU wapi huyu anaongea pumba 2

  • @bakarimngazija6672
    @bakarimngazija6672 5 ปีที่แล้ว

    Majibu huna ila siasa inamkondo wake , mbona hakuna uchunguzi . Vinarndelea siku diku zinapita kwenye viwanja vya bunge kamera ziliondoshwa na hata hiyo hakuna taarifa . Waziri mkuu unadanganya umma. Kumbuka waziri mkuu unajimwagia mafuta n Mungu atakuhukumu Kama unajarijukuuficha ukweli.

  • @stevenhinjo9664
    @stevenhinjo9664 7 ปีที่แล้ว +7

    mbona mauaji mengine hamkutaka wachunguzi watoke nje? kweli binadamu mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu!;

    • @lucasgasper5235
      @lucasgasper5235 7 ปีที่แล้ว +1

      Steven Hinjo Na wewe nenda kawaombeee hao wengine uchunguzi wa nje

    • @trgphonegeorge3832
      @trgphonegeorge3832 7 ปีที่แล้ว +2

      Steven Hinjo inategemeana na mazingira ya tukio,

    • @mahelamnazaletimahela9317
      @mahelamnazaletimahela9317 4 ปีที่แล้ว +1

      We kum kweli yan ujui chochote boya tu

  • @gideonimathew6491
    @gideonimathew6491 7 ปีที่แล้ว +1

    Naipenda Nchi yangu

  • @eliajimmy5128
    @eliajimmy5128 7 ปีที่แล้ว +4

    hapo nimeona serikali ndio wanaotuuawa kwa nini mnakataa wachunguzi wakimataifa

    • @amosseme8575
      @amosseme8575 7 ปีที่แล้ว

      Unawaamin sana wachunguz wa nje ety

    • @eliajimmy5128
      @eliajimmy5128 7 ปีที่แล้ว

      Amos Seme umeambiwa swala la bot mliita wachunguzi kutoka Scotland kwa nini mashambulizi haya mnayachukulia POA?

  • @ramadhanisaidy185
    @ramadhanisaidy185 5 ปีที่แล้ว +2

    Sijawaelewa wapinzan

  • @fadhilimwaitete3692
    @fadhilimwaitete3692 ปีที่แล้ว

    Towa majibu au jibu swali pamoja nakulibia atujalizika na hayo majibu

  • @saidkhantz2525
    @saidkhantz2525 6 ปีที่แล้ว +9

    UKIWA upinzani hasa Raha Wallah.... Upinzani una wasomi, upinzani una watu wenye uwezo wa kutoa hoja zilizoshiba.... Mijitu isiyokuwa na akili utasikia ikisema " kupigwa risasi kwa lisu ni mipango ya ukawa" sasa kama ni mipango ya ukawa kama wanavyoamini wananchi wanaoipenda fisi em? Kwa nini fisi em yenu isiruhusu jeshi la uchunguzi la watu weupe lishuke hapa nchini kufanya yake????.. ina maana ukawa hiyo hiyo ndio ihusike na mipango ya kupigwa risasi lisu, na ukawa hiyo hiyo ndio itake kupatikana uchunguzi wa kimataifa?. Au na hao wa kimataifa nao ni ukawa watawatetetea?.. acheni kutufanya mazuzu bhna ccm

    • @abduljuma5284
      @abduljuma5284 6 ปีที่แล้ว +1

      duche! kwerii nchii imepotea wazirii kumbe nikilaza kiasi hicho chakushangaza wapumbafu wanampigia makofi sasa makofii yann hapo amahakika Tanzânia tunawawakilishi wengi kuliko viongoz

    • @morismush4273
      @morismush4273 ปีที่แล้ว +1

      Wazuri mkuu unatuda,nganyaa

  • @issackchalahani1235
    @issackchalahani1235 5 ปีที่แล้ว +2

    Yaani majibu ukiyasikiliza vizuri unapata kujua kwamba, ukweli hauja zungumzwa.

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 ปีที่แล้ว

    Kama angepigwa risasi mwana ccm nadhani watu wengi wangenyongwa kwahiyo ni tabia ya nchi na hakuna uchunguzi au!

  • @jakobodeus9522
    @jakobodeus9522 3 ปีที่แล้ว

    Serikali ya matusho ya bunduki mna bunduki sana tanZania

  • @aloycekiwia8613
    @aloycekiwia8613 7 ปีที่แล้ว +7

    Mbona hajibu kwa nini hawataki Tume ya Kimataifa.? Swali Gumu hiloo.!

  • @kisa6022
    @kisa6022 ปีที่แล้ว

    Dunia itaisha hakutapatikana ukweli wala ufumbuzi kwa hayo

  • @stewardnkinda9552
    @stewardnkinda9552 ปีที่แล้ว

    Mbona Hadi Sasa hatuja pata majibu Toka kwenye vyombo vya Dola serikali hii Ina shida sana, kwann asiluhusu vyombo vya umoja wa mataif a vije vitedo hivi havivumilik

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 3 ปีที่แล้ว

    Miccm washenzi wanaua wafrica wenzao kisa niubinafsi uchoyo!!hivi mnaakili nyee miccm mtachelewa kusongambele maana mnaandama wenyevipaji vyakutukwamuwa!!!!

  • @bigkisanga5012
    @bigkisanga5012 7 ปีที่แล้ว +2

    umeulizwa kuhusu lisu mbona unaweweseka jibu

    • @ismailhasan4864
      @ismailhasan4864 5 ปีที่แล้ว

      Big kisanga in hjouyasdftypouyboy e'en h

  • @ismailkidongo9384
    @ismailkidongo9384 5 ปีที่แล้ว +1

    Wanausika wenyewe

  • @pilotngulamba388
    @pilotngulamba388 ปีที่แล้ว

    mzazi umemjibu vizuri uyo kiongozi asie kuwa mkweli kwa chama chake chadema

  • @mathewtarimo9614
    @mathewtarimo9614 5 ปีที่แล้ว

    Kwa nn kafutiwa ubunge?

  • @aissacktegama8972
    @aissacktegama8972 4 ปีที่แล้ว +1

    Tuteteeni Sisi wafanyakazi kampuni binafisi mishahara inachelewa pia hawapeleki michago yeti nssf tusaidieni wambuge wetu

  • @hamadimaulidi9485
    @hamadimaulidi9485 ปีที่แล้ว

    Mm kama mm waziri ujatoa jibu hapo umezinguwa

  • @haddysophiasson7530
    @haddysophiasson7530 7 ปีที่แล้ว +25

    Polisi wabongo wanajua kukamata boda boda tu

    • @hamismalimungu9959
      @hamismalimungu9959 7 ปีที่แล้ว

      😂😂kwel kaka

    • @johnwaitara9681
      @johnwaitara9681 5 ปีที่แล้ว

      Kwel ingekua bodaboda aaa mapema utasikia huna kofia ngumu hujavaa viatu

  • @SUPREMEDIGITAL
    @SUPREMEDIGITAL 7 ปีที่แล้ว

    Majibu ya Waziri Mkuu yameniacha Njia Panda Hakika,Mlengo mkubwa ni kutetea Watanzania Kwa Ujumla kutokana na Mauaji yanayoendelea Katika Nchi.Nadhani Serikali itoe nafasi iyo

  • @MustaphaSeleman-z7c
    @MustaphaSeleman-z7c 18 วันที่ผ่านมา

    Anachakujibu

  • @simonfundi5472
    @simonfundi5472 6 ปีที่แล้ว +1

    Uyo waziri mkuu naye ovyoo

  • @oywadavid9758
    @oywadavid9758 7 ปีที่แล้ว

    kazi ipo

  • @johnsonbagambi835
    @johnsonbagambi835 3 ปีที่แล้ว +1

    Mbowe ni kichwa

  • @tendwajohn7785
    @tendwajohn7785 4 ปีที่แล้ว

    Hivi alipigiwa wapi risasi?

  • @mickskillstechnology7511
    @mickskillstechnology7511 7 ปีที่แล้ว +12

    Waziri mkuu mbona hajibu maswali anazunguka zunguka?

    • @goodluckymakere9023
      @goodluckymakere9023 7 ปีที่แล้ว +1

      Mick Skills. umeonaeh

    • @semanasitv8303
      @semanasitv8303 7 ปีที่แล้ว +2

      wakati ukifika watajibu tu vizuri

    • @samwelimwinyi9327
      @samwelimwinyi9327 7 ปีที่แล้ว +1

      Daniel Agustino-nmekuelewa Mh.

    • @EREVUKATV
      @EREVUKATV 7 ปีที่แล้ว +1

      Mick Skills. Hakuna anachokisema huyu bure tyu