Tunaomba mlifanyie uchunguzi zaidi kama waliweza kuchukua Plat namba msitumie bila kulifanyia uchunguzi na kifaa chakugundua mabom sumu nk.jitahidini sana Mh Tundu Lisu pamoja na viongozi pole sana Lisu watesi wako watapokea malipo yao hapa hapa duniani yote kwa yote tunamshkuru Mungu🙏🤲
Mh Tundu antphas Lisu Mungu ni mwema atazidi kukubaridi na utafika kaburini kama mganda wa ngano ulivyo kwa wakati wake,siku za maisha yako zitazidishwa na miaka ya maisha yako itaongezwa ktk jina la Yesu.kristo.
Mheshimiwa tengeza hii gari ili uweze kuitumia, ila usizibe hayo matundu na uitumie hii gari katika safari zako zote za kifamilia na za kisiasa ili watu wote tuone, wajue na tukumbuke ukatili ya hao jamaa. Pole sana
Watanzania tunaweza kumchangia mh Lissu, ili linunuliwe gari lingine; hilo likae makumbusho huenda wameliwekea SUMU MAANA CCM NA DOLA YAKE HAWAAMINIKI.
MUNGU anabaki kuwa MUNGU na ataendelea kuwa pamoja nawe hata utimilifu wa dhahari. Mwenye utu,busara,hekima na ubinadamu hawezi furahia kitendo alichofanyiwa Lissu
Polesana kiongozi wetu mtarajiwa.badotuna imanikubwa nawewe.na mungu aliekukoa na katika mikno waomajambazi bado yukonawe tena kwa wivu mkubwa.kaza buti twende mbele.wanana haibu hata kukuangalia. usoni
Mheshimiwa Tindu Lissu , hilo gari tafadhali usitengeze wala kulitumia tena, ingekuua Tanzania ya mwalimu Nyerere , serikali ungekununulia gari jipya na hilo kuhifadhiwa kwenye makumbusho ya Taifa, watoto wetu na wajukuu wana somo nzuri la Democracy na haki kuwa inapiganiwa haipatikana kirahisi ni kama mapambano ya kupiginia uhuru wetu.
Huyo aliyechukua plate number ya gari ya mtu mwingine na kuitumia kwenye gari yake ni nani huku akijua kuwa ni kosa kisheria? Na ikawaje gari inayoshiliwa polisi kama kielelezo ktk uhalifu plate number yake ionekane imebandikwa kwenye gari jingine na mtu anatembea nayo mitaani? Je ikitokea hiyo gari imefanya uhalifu si itaonekana kuwa ni gari ya Tundu Lissu ndiyo imehusika kwenye uhalifu huo? Hapa polisi wana maswali ya kujibu. Na hili ni lazima lichunguzwe maana kuna kila dalili kuwa ndani ya Jeshi la Polisi kuna wahalifu lakini wamevaa magwanda ya polisi!
Mheshimiwa Tundu Lisu hio gari usiitengeneze iache kama ilivyo ipeleke makumbusho ili vizazi vyetu vije kujifunza uhalisia na asili ya MUNGU alivyokuwa wa miujiza.
Hivi hiyo gari inayotumia namba za Gari yako huwa inapita angani? Wakati wa kuikatia bima, na huduma nyingine kama hati ya usajili, ilipataje?? Na kama ingefanya makosa, au ilishafanya makosa,nani awajibike?
Mwanadamu ni mnyama muovu sana hivi nikitu gani mh Lisu aliwakosea wakaamua wamuue?na Mungu akamkinga kwa upako na yupo hai lkn baado hawaoni utukufu wa Mungu juu ya tukio hili baado wanabishana na mpango wa Mungu aisee ishala zote hizo hamtambui utukufu wa Mungu mh Lisu ni mpangu wa Mungu acheni atimize ya Mungu hapa duniani kisha ataondoka mkimzuia mtapata ya maguful
Mungu akakupee kila neema kwa ujasiri uliokuwa nao! Hii ikawe kumbukumbu katika Tanzania hii! Vyombo vya usalama mnajisikiaje kwa kutofuatlilia kikamilifu hili jambo.
Kamanda wa vita!. Mungu na akutunze. Katika nchi hii umefanyika baraka sana tena sana! Wewe ni wa pekee! Wenye nia ovu na maendeleo ya nchi hii walidhamilia kukuua lakini Mungu ni mwema akawaondoa wao!. Jina la Bwana lihimidiwe.
Mheshimiwa hiyo gari ungeiweka makumbusho .kizazi na kizazi kikumbuke maovu ya ccm
Kabisa
Umeongea maneno mazuri Sana(Sahihi kabisa )
CCM ndio waliotoa msaada wa kwanza kutoa ndege kwenda Nairobi. Ubaya ipo ulaaniwe kila unapotokea.
Unakichaa wewe. Chadema walikodisha ndege hakukuwa na ndege ya bure mpuuzi wewe
@@hajihassan5433auna akili wew
Mheshimiwa weka gari hii kule Makumbusho.
Tunaomba mlifanyie uchunguzi zaidi kama waliweza kuchukua Plat namba msitumie bila kulifanyia uchunguzi na kifaa chakugundua mabom sumu nk.jitahidini sana Mh Tundu Lisu pamoja na viongozi pole sana Lisu watesi wako watapokea malipo yao hapa hapa duniani yote kwa yote tunamshkuru Mungu🙏🤲
Mh Tundu antphas Lisu Mungu ni mwema atazidi kukubaridi na utafika kaburini kama mganda wa ngano ulivyo kwa wakati wake,siku za maisha yako zitazidishwa na miaka ya maisha yako itaongezwa ktk jina la Yesu.kristo.
Amina.
Na atashuhudia mateso yao
Tundu lissu mungu anamakusudi na wewe,,,mwenye haki hafanyiwi hila.
Legends Never Die..just like in the movies..Long live Daktari
Mungu ni mwema
Mungu ni mwema..
Acha mungu aitwe mungu
Mheshimiwa tengeza hii gari ili uweze kuitumia, ila usizibe hayo matundu na uitumie hii gari katika safari zako zote za kifamilia na za kisiasa ili watu wote tuone, wajue na tukumbuke ukatili ya hao jamaa. Pole sana
Hiyo point
👍👍✌✌
Ni maoni mazuri sana ,,kwamba yasizibwe yawachwe hivyo hivyo ikiwezekana Gari liwekwe makumbusho,,,HUO NI UNYAMA WA MA CCM
Mungu akubari Tanganyika ukiwa na akili hawamtaki mtu ila tupo pamoja
Ushauri wangu ni huu.
Hiyo gari iwekwe makumbusho kama ilivyo halafu ufanyike utaratibu wa michango ununue nyingine.
Wazo zuri
AMINA
Watanzania tunaweza kumchangia mh Lissu, ili linunuliwe gari lingine; hilo likae makumbusho huenda wameliwekea SUMU MAANA CCM NA DOLA YAKE HAWAAMINIKI.
Mungu mwaminifu maana walitaka kutoa uhai lakini wamekupa tena
Vizuri kabisa Raisi wetu mtarajiwa
Pole
Tafadhali weka hilo gari bila matengenezo yoyote! Nikumbukumbu ya historia ya Taifa.
MUNGU anabaki kuwa MUNGU na ataendelea kuwa pamoja nawe hata utimilifu wa dhahari. Mwenye utu,busara,hekima na ubinadamu hawezi furahia kitendo alichofanyiwa Lissu
Lisu husingeisema hiyo gari muikamate hiseme wametoa wapi
Hatari sana, Mungu akujalie maisha marefu Mheshimiwa, uisha hadi waliotenda na kufadhili unyama huu wote wapukutike
Ungepitishwa mchango tu ipatikane mpya,hii ikawekwe makumbusho .Wazo langu.
Hongera sana kamanda Lisu
Legends never die, just like in the movies,. long live mheshimiwa may
God keep you safe and well for eternity to come. Amen
Mungu akutie nguvu baba mtetezi wa wanyonge
Mungu ana manguvu yake
Hakika mungu mkubwaaa
itumike kuzunguka nayo kwenye shughuli za kisiasa nchi nzima wananchi wajue uovu wa nchi hiii
Mungu akulinde daima @Mh Tindu Lissu
Tuko pamoja kiongozi wetu, mungu akupe uzima.
Gari imetoka, je! Uchunguzi wa lile tukio umefikia wapi?
Uchunguzi unaendelea mlalamikaji alikataa kuhojiwa
Gari mpya kwa Lisu ndo haki na hili likae hivyohivyo watu waje walione na kukiri ya kuwa yupo MUNGU ANAYETAWALA.
Usibadili kitu, zunguka nayo kwenye mikutano tuione please.
Ipo Haja Yakumchangia Mh Lissu Gari Anastahili Gari Jipya
Polesana kiongozi wetu mtarajiwa.badotuna imanikubwa nawewe.na mungu aliekukoa na katika mikno waomajambazi bado yukonawe tena kwa wivu mkubwa.kaza buti twende mbele.wanana haibu hata kukuangalia. usoni
Mung akujalie afya njema tund
Achani matus uzima haununuliwi ipo siku yagtageukia kwenye familiza zenu
Nilichogundua hata polis wanampenda pia kwa Sababu Huwa anawatetea wakati mwingine Tanzania inatakiwa kuwa hivi
Ukuu na nguvu za Mungu vimedhihirika kupitia hili tukio. Hakuna binadamu anayeweza kuharibu mipango ya Mungu.
Wana nchi tunapendekeza hili gari liende makumbusho . Kama ni gari tutachanga upate nyingine
Ili Neno litimie🙏🏿
Kamanda rpc dodoma ama kweli nilikuelewa vilivyo kwa namna ulivyoshugulikia suala la gari la kamanda lissu,lakini chanzo cha dhahama hiyo ndo bado.
WACHA KUTAFUTA HURUMA NA HIYO SIO NJIA YA KUKUPELEKA IKULU JITAHD KUJENGA HOJA JUU YA MATATIZO YA NCHI NA SIO KUPIGWA RISASI
Ipelekwe makumbusho na matundu ya lisasi hivi hivo
Kwamaana iyo jeshi letu lapolisi limeshindwa kuwapata waalifu?
Mmnaona hiyo gari machine nayo tumchangie amateur gari mpya yakisasa
Tutachangia mweshimiwa Lisu
Nadhani kama Kuna yaliyotumwa uuwawe na yule muovu kibaka bsi Mungu atakuwa alishaliondoa hapa make lilikuwa jinga sana lile lilikuwa halifai kabisa
Hii gari asiitumie Tena tumchangie gar mpya ukakaae makumbusho
Siku ya kwenda kualishwa kuwa Rais wa hii nchi gari hii ndiyo uitumie, na Nembo/ Ngao ya ikulu ibandikwe, kisha ndio iende makumbusho.
Tundulisu wewe ni mwanasheria, hebu niambie nisheria gani ya Tanzania inaruhusu mwanaume kuvaa makachakacha hayo kama mwanamke
Mkishinda uongozi hiyo gari ndo ukubebe kwenda kazini
GOD BLESS LISU GOD BLESS TANZANIAN
Naona kama dirsha la upande wa kushoto kioo kipo chini ina maana mvua za miaka7 maji yalikua yanaingia ndani ama ilikua imefunikwa?
Hakika Mungu ni mwema sana sana sana
Watz ni mbumbumbu...bado hawaoni sababu ya kuyakataa ma-ccm
Gari naomba liwekwe makumbusho
Mungu wetu ana makusudi na Tundu Lissu wetu hakika
Naam! Nakubaliana na idea ya Lissu
Lissu ni zaidi ya usalama wa taifa, anakuaga na data kuntu ambazo hazitafutikani
mkuu wa jeshi la polkisi dodoma hana kaz
Makumbusho inayotembea
Nipo tayari kukuchangia kabisa
Kweli mungu ni mwema.Na ana makusudi na wewe.
Huyo ndio Wakili Msomi❤❤
Pole sana lisu, Mungu akulinde.
Mungu ni mwema Kwa kweli
Congratulations Hon.Lissu.
It's really pathetic! Kuna binadam ni wabaya Sana! Kikubwa umepona Mheshimiwa. To God be the glory!
HUYU MZEE UCHWARA ANAPENDA ATTENTION....
Kivipi
Mheshimiwa Ushauri wNgu hilo gari usilitumie tena liweke makumbusho kwajili ya kumbukumbu ya vizazi vijavyo
Mheshimiwa Tindu Lissu , hilo gari tafadhali usitengeze wala kulitumia tena, ingekuua Tanzania ya mwalimu Nyerere , serikali ungekununulia gari jipya na hilo kuhifadhiwa kwenye makumbusho ya Taifa, watoto wetu na wajukuu wana somo nzuri la Democracy na haki kuwa inapiganiwa haipatikana kirahisi ni kama mapambano ya kupiginia uhuru wetu.
Our God is very faithful! You are a living miracle Tundu Lissu! Long live
Saf San baba 🎉
Kila mwanachama mwenyemoyo wa uzalendo tuungane tumchangie buku buku x idadi ya wenyemoyo tutapata gari mpya yakisasa
Rais wetu
Pole san baba angu
Huyo aliyechukua plate number ya gari ya mtu mwingine na kuitumia kwenye gari yake ni nani huku akijua kuwa ni kosa kisheria? Na ikawaje gari inayoshiliwa polisi kama kielelezo ktk uhalifu plate number yake ionekane imebandikwa kwenye gari jingine na mtu anatembea nayo mitaani? Je ikitokea hiyo gari imefanya uhalifu si itaonekana kuwa ni gari ya Tundu Lissu ndiyo imehusika kwenye uhalifu huo? Hapa polisi wana maswali ya kujibu. Na hili ni lazima lichunguzwe maana kuna kila dalili kuwa ndani ya Jeshi la Polisi kuna wahalifu lakini wamevaa magwanda ya polisi!
Ndugu yangu m Ina jibu liko wazi kweuoe. Ni raia gani ana udhubutu wa kugusa kitu chochote kikichoko kwenye police yard, sembuse kukitumia mitaa I!
Polisi wanajua, kama hawajui kuna ya kutokua na polisi Tanzania tukae kama Vatican City.!
Naona Kuna jambo litakuja Kuna Siri imejificha kwanini wamrudishie gari isiyokuwa na plat number? Kwanini wasiirudishe hiyo number
Mheshimiwa Tundu Lisu
Endeleza mapambano
Ccm wauaji
Mheshimiwa Tundu Lisu hio gari usiitengeneze iache kama ilivyo ipeleke makumbusho ili vizazi vyetu vije kujifunza uhalisia na asili ya MUNGU alivyokuwa wa miujiza.
Kwakweli lisu Mshukuru MUNGU Kila unakokwenda Yani ndiyo maananampendaga MUNGU
Sasa inakuaje gari iko polisi afu number zake zinatumika na gari nyingine sio uhalifu huo? Naomba hili life yiww kazi haiko sawa.
Hilo like kama
Makumbusho
Liache ivoivo
Na matundu yake ya risasi
Uncle Lisu wewe zaidi ya chuma 🛠️ mungu akutangulie rais wetu mtarajiwa malipo ni humu humu 🇹🇿 tz ✌️✌️✌️
Hii sasa imekaa sawa
Usilipande hilo gali tena, ushauli wa bule
umewaza kama Mimi jombaaa
Aliyetaka kumuua ndo ameondoka kamwacha mkusudiwa.Mungu ndo anaefisha na kutoa uhai sio binaadamu.
Hii gari ingekuwa bora usiitengeneze bali ipelekwe makumbusho hivohivo ilivyo
AllahuAkbaruuuuh
Hivi hiyo gari inayotumia namba za Gari yako huwa inapita angani? Wakati wa kuikatia bima, na huduma nyingine kama hati ya usajili, ilipataje?? Na kama ingefanya makosa, au ilishafanya makosa,nani awajibike?
Mbaka leo wariyo mpiga risasi risu hawajurikani wote wariyo fanya unyama huu mungu hawaachi salama atawapa azabu yake
Tunapoliona Gali la tukio hakika unastahili pole kubwa wapo waliowindwa kama wewe mpaka Leo hii hatunao Tena
Mwanadamu ni mnyama muovu sana hivi nikitu gani mh Lisu aliwakosea wakaamua wamuue?na Mungu akamkinga kwa upako na yupo hai lkn baado hawaoni utukufu wa Mungu juu ya tukio hili baado wanabishana na mpango wa Mungu aisee ishala zote hizo hamtambui utukufu wa Mungu mh Lisu ni mpangu wa Mungu acheni atimize ya Mungu hapa duniani kisha ataondoka mkimzuia mtapata ya maguful
Mungu akakupee kila neema kwa ujasiri uliokuwa nao! Hii ikawe kumbukumbu katika Tanzania hii!
Vyombo vya usalama mnajisikiaje kwa kutofuatlilia kikamilifu hili jambo.
Kamanda wa vita!.
Mungu na akutunze.
Katika nchi hii umefanyika baraka sana tena sana!
Wewe ni wa pekee!
Wenye nia ovu na maendeleo ya nchi hii walidhamilia kukuua lakini Mungu ni mwema akawaondoa wao!.
Jina la Bwana lihimidiwe.
Mungu fundi xn
Achani matus uzima haununuliwi ipo siku yagtageukia kwenye familiza zenu
Kuweni making nahilogari,limetoka kwa waliompiga risasi
Mwenyenzi mungu akupe afya njema mtetezi wa wanyonge na haki uishi miaka mingi
Mmmh, pole sana
Ila viongozi wa serikali ya CCM 😢😢😢😢
Hapo ndipo unapoiona nguvu ya MUNGU aliye hai .
Inge kuwa uraya gari kma iyo inawekwa makumbusho ya Taifa
Hii ni aibu kubwa mnooo gari anaichukua pasi kujulikana nani animshambulia
Mwenyezi MUNGU BABA MWINGI WA REHEMA NA NEEMA AKULINDE UWE NA AFYA NJEMA UZIDI KUFANYIKA BARAKA