PATRICE LUMUMBA: Shujaa wa Kongo aliyeuawa kikatili, kukatwa vipande na kuyeyushwa kwenye ACID
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 19 พ.ย. 2021
- Makala hii inakujuza historia ya Patrice Lumumba na safari nzima ya kisiasa ya Kiongozi huyu mashuhuri na mpigania haki za waafrika nchini Congo. Kaa nasi ili uweze kupata historia ya kina kuhusu kiongozi huyu na sababu za kifo chake cha kinyama zaidi kuwahi tokea katika historia ya siasa ya nchi za Afrika
Lumumba the hero 🇨🇩 Asante
Ooooh ....content nzuri Sana hii broh kama ikikupendeza naomba uturudishie maudhui kama yale ya kipindi cha sita sahau humu iwe kwa njia yoyote ya sauti au video broh 🙏
ur the best bro
Aksant sana kaka skay mungu akusaidiye sanaa kwakusikiya hombi langu
Karibu sana
Bado tunapambana na ukoloni hata sasa kweli AFRICA inabidi tuungane kulitetea bara letu. SKY nasubiria makala ya babu yetu Nyerere na baba yetu Magufuli RIP
💙
Mimi pia
Hawa Wazungu ni makatili sana Mimi Nina wazo mwafrika yoyote atakae onekana ana chembe chembe ya umagharibi auwawe hadharañi apigwe Shoka ya kuchangia Kuni moja tu shingoni tumechoka na vibaraka wa Wazungu
Sisi waafrika tunatakiwa tuwe tayari kwa lolote Wazungu wakiipiga nchi yoyote iliopo African tupigane nao tusiwe wajinga wakaribu safari hii kipiga au kuvifadhili vikundi vya kigaidi vyote ni vya kwao Wala sio waislamu wenye msimamo mkaki ni mipango yao mabeberu
🔥🔥sns🙌🙌
Next tuletee makala kuuzu Dedan kimathi wa kenya
Oh my God pole sana so sad 😥😥🤔🤔🤔🇰🇪
Sky🤗🤗
Na wa penda sana SNS 🇨🇩🇫🇮
I real appreciate lumumba patrice
Sorry imefika mahaala pake , Rest in eternel Peac EPM
Ndomana Congo kupata Amani sio leo kama wa Congo awaungani pamoja
🙏🙏
😭😭😢😢🙏🙏
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍
Dah pamoja #CEOSKY,HUYO NDO ALIKUWA MKOMBOZI WETU WANYONGE... MPAKA SASA DRC NI INCHI TAJIRI SANA ELIMWENGUNI YENYE RAIA MASKINI... SO SAD 😞
Na waAfrika wengi wamesahau sadaka zilizotolewa na mashujaa wetu
Rest in Power our Hero P. L
Rip magufuli Lumumba wa Tanzania
Kwakweli na ndio maana damu zao zinatulilia, umasikini haututoki aisee
Kweli
🇨🇩✊🏾💪🏾
Big up bro unaweza sn n sauti yak iyo
Sky napenda kujua wendelezo wa Fito , hari ikoje amekamatwa ama la
Lumumba ✊🏼
lanaya Lumumba ndoinatafuna wa congomani leo
Muone Yule mbaya Wake pale pembeni laana mabutu
Asante sana SNS na wapenda sana 🇨🇩🇫🇮
Wabelgiji alipo Lissu. Kwa story hizi siwezi mpenda mzungu hata kwa chembe ya haladari.
Burundi😂
The story book 📖 Jamal professor Jamal April.
Huku story book imefikaje...nyie ndo masnitch msiotakiwaga
Hawa ndo wale wale