THOMAS SANKARA: Rais wa BURKINA FASO aliyeuawa, jinsi ilivyokuwa siku ya MAUAJI yake *INASIKITISHA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2021
- Makala hii itakupa historia fupi na mambo machahe ya kusisimua usiyoyajua kabla ya kifo cha Thomas Sankara ambaye wengi wanamwona kama Che Guevara wa Afrika
#Skywalker SAUTI YA MAMLAKA🔥🔥
Story hii inaweza ikawa imesimuliwa na watu wengi sana ila Kupitia sauti hii adhimu ya Sky inaonekana mpya kabisa masikioni mwangu. #bless
Yaan watu kma hawa kuwapata ni ngumu sana😭🙏 miss you magufuli💔❤🙏
Kutoka Sankara to Ibrahim traore ni miaka 36, kutoka Nyere to Magufuli ni miaka 16, hivyo huchukua muda mrefu sana kupata wapambanaji wa namna hiii..... ni mungu tuu huamua kunusuru waja wake kwa kutuletea viongozi kama hawa
Mtangazaji wa story hii inanifanya niwe nafatilia makala zako❤
Thomas Sankara alikua mzur MashaAllah👌🏼👌🏼Sky Allah abarik kazi ykoo 🙏🏽una sauti nzuri jamani😊
The legacy of cptn thomas sankara will continue .
Hakika sisi waafrika tutatawaliwa miaka yote, maana tunapopata viongozi kama hawa wanaopinga ubeberu na misaada, tunawaua sisi wenyewe. Rest in peace uncle magu pamoja na thomas sankara
Tatizo waafrika hatupendani huwa tunauana kwasababu ya kuwaabudu watu weupe
Mungu azidi kumuweka mahara pema pepuni
R.I.P JPM 💔 daima tutakukumbuka
Hii ndio Africa kuwa mkweli ufe mapema
Rafiki yako ndie adui yako kabisa.
Asante sana Sky
Ni kweli aliuawa na rafikie Blaise compaore
Hata magufuli itakuwa ali uwawa maana baada ya kifo chake saahivi mambo ya IMF na world Bank zime anza kuja Tanzania
Ni hakika Magufuli aliuwawa
Yani Kila nchi inawatu wa karibu hasa mataifa ya nje ambayo yananufaika
Kama rais aliepo MADARAKAn anawakazia wazungu qtafanyiwa mbinu afe ili aje yule mama mikopo
He was very strong soldier in africa we can't forget him may god bless him we will never forget his views and economic agenda.
Sky Mungu akuinue kuelekea kilele cha mafanikio yako 🙏🙏
Thomas Sankara Héros of africa Number 2 Khadafi
Thanks SNS for the info. Keep it up guys
Mungu wangu nakosa chakusema.angekua hai burkina Faso. Ingekua high kwa economic
Great, go ahead to inform us!!
Shukran sanaa kaka Sky
Kaka sky nasema kutoka moyoni kabsa, Ninakupenda sana na nikutabiria ukubwa ambao hata hujaufikia but ipo siku yaja utakuwa mkurugenzi wa vyombo vikubwa sana vya habari vyenye kupendwa na kuaminika kwa jamii. Si leo au kesho lakini uhai wako hautakoma pasi na kutimilika kwa utabiri wangu huu ambao sasa unamiaka zaidi ya 10 toa niupate ambao uliniijia nikiwa kijijini kwetu huko kahama nikiwa nasikiliza kilendio changu cha Rissing nilichokiungia betri za Panasonic national na taiger ili tu nipate kusikiliza radio. Kuna mda huwa naona tajil akija kwako akitaka kuwekeza lakin kun a mda huwa nakuona ukinyakuliwa na makampuni makubwa lakin hivi karibuni niliona ukichukuliwa na serikali! Kaka sky yote haya yatokee ama yasitokee lakini naamin hutoiacha hii dunia bila kuiachia kitu kitachoishi ktk vizazi na wajukuu zetu watajibu maswali na kufaulu mitiahani yao ktk kwakulitaja jina lako ktk majibu yao.
Mansha Allah alikuwa muzuri atakumbukwa kwa ushuja wake
Marais bora kuwahi kutokea Africa #Gaddafi #mangufuli na #Sankara na ruto kenya
+ Mandela
which Ruto😂😂😂
Hv sisi waafirika mbona tunapenda sana kujikomba sana kwa wazungu kwann tusje tukajitegemea tatzo baadhi ya viongozi wetu hawako silias na kujenga nchi zao
Asantee Sana Sky
Tomas umepata mlisi wako iblahim ichi anaibandilisha kwa kasi sana mungu awabariki .
JPM spirit
Kaka Ww ndo mwenye kujua kusimuliya kwakweli Mung anajua kutoa kipaji Mung akuwekeye wepesi kwenye mambo yako Ufanikiwe
The sky voice
Nimeipenda.
sky endlea kutuelimisha kwa yote ambayo hatuyajui lakn ukwel wang mm ni shabaki san wa kazi yako hi mungu akup umri mref il tuzid kujfunza kupitia wewe
Tatzoo waafrica 2ko wabnafsi sana..a2pendan na a2fanikiwii
Uwe Unatupa simulizi zahivo kaka yng
Waafrika tunashindwa wakwel katika nchi zetu na kua wakweli kwa mabeberu tomas sankara alikua ni kiongoz mwenye akil nyingi mno mwenye upendo na nchi yake na afrikaa kwa ujumla lakin wapumbavu watumika kwa tamaa zao mungu amuweke mala pema
Pole mjane.
Viongozi wa Africa vizungu mkuti tu.
Pumzika kwa Amani Sankara, hakika Mungu akupe pumziko la Milele,Ungana naye JPM huko mlipo,mpunzike kwa Amani.
Nimekwisha gundua wazuri hawadumu
Alikua na watoto wangapi boss
Wawili mmoja wapo ni wewe mkatavi tv
@@husamtech2748 😀😀😀
@@husamtech2748 🤣🤣🤣mahuzunisho
Alikua na watoto, sijajua idadi yao kamili ila wanahishi France
@@juliusjaliwa9887 aliacha watoto wawili kama #Junya alivyosema,nao ni Auguste Sankara na Philippe Sankara(wote wanaume)
😭😭😭😭😭so sad.
Thomas Sankara daima
Kwer vzr havidu
Siasa ni uovu, utawala wa Yesu kristo tu ukiongozwa kwa maelekezo ya Yehova Mungu ndiyo itakuwa suluhu ya haki na upendo duniani
yaani Africa 🌍 tutakuwa watumwa miaka yote maana ufisadi na kujipedekeza Kwa mabeberu ndy maana tunaletewa ushoga kudadeki
JIHADHARINI NA WANADAMU MAANA NAWATUMA KAMA KONDOO KATI YA MBWA MWITU.....(MATHAYO.10:16-39)
❤❤❤
💯💯😣😣😣
Tupe na ya uncle wetu JPM mkuu.. maana hawa ni mapacha
Daaa
Huyo compaole sijui alompindua Sakara ameirudisha nyuma sana Burkina Faso.Sakara alikua anampango maalumu wa kuiendeleza Burkina Faso
R.i.p
Kizuri hakidumu
😢😢😢
RIP sankala
Umefanya jambo jema tuna ombi uendelee na simliz Za aina hyo pia
Africa ni vichekesho utampaje uraia mtu aliyefanya uhalifu nchi kwake tena akiwa rais Ivory coast ni vibaraka wa ufaransa ambao walimpa kazi compore kumuua sankara
😭😭😭😭😭😭
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌.
😭😭😭
Kweli boc
wauwaji wa uwawe ili ifike mahali afrika tujitambuwe
Tutamkumbuka kiongizi ama rais wa bukinafaso THOMAS SANKALA inauma sana walio fanya mauaji hayo lazma wa fungwe, hii itatukumbusha kwa rais wetu mpendwa JOHN JOSEPH MAGUFULI inanitia huzuni sana.
Hhh dunia tumeichoka mungu rudi
R.I.P Magufuli daima ulitufumbua macho
Wakamatwe wafunguliwe mashitska wauwaji
wazungu wanasema waafrika hawana akili lakini kila kiongozi anayetokea mwenye akili wanaua kama unabisha fanya hayo mambo aliyofanya thomas halafu uone kama utatoboa ndio maana siku afrika ikiwa tajiri ulaya itakuwa maskini na hilo halitarusiwa imebaki kutuwekea viongozi wabovu halafu baadae wanatuita hatuna akili
Your best friend your worst enemy
Kweli kikulacho ki-nguoni mwako! 🙄 Yaani walionekana km mapacha,kumbe!
Tulikuwa na jpm in tz
daah basi tu yan
Tunawahitaji watu wazuri kama marehemu Thomas isdole Sankara lakinihuyu compaule alaaniwe milele
Huzuni
Sky tuletee bc na simulizi ya operation entebbe
Tatzo yeye alipata vipi serekali kama alipindua kwa upanga.Upanga saizi yake
They call him African Che Guevara.
Wazungu ndio wanaoua viongozi Waafrika
Afrika nzima ni shida
Tomas Sankar napenda ujasili wako maana ulikuwa hataki mambo ya kijinga mungu anipe ujasili kama wako kaka angu traore amefata nyanyo zako safi sana pumzika kwa amani Tomas Sankar mi nipo tazania.
Africa siyo mbaya wabaya ni wana Africa wenyewe. Tunakulana wenyewe na wale wanaojiona wasomi.
Mungu hapendi watu wake wema wapate shida hapa duniani .
R.I.P Thomas Sankara
Da aliemua Shujaa Sankara mbona kakaa muda mrefu xna bila kuwajibishwa.hadi amekimbia.huyosinch wamrudishe bukinafaso na apigwe risasi hazarani mashamba xana huyo.
Niwazi kabisa inaoneka rais huyo kahusika
MUNGU BABA YETU.....HUTOLETA GARIKA TENA,BALI MTAJIMALIZA WENYEWE.BABA TUNAPIGA MAGOTI MBELE YAKO,TUPUNGUZIE ADHABU HIYO.MAANA WAKUFA WATU WATU WENYE UPEO MKUBWA.
Compaore his best friend is a person who killed Sankara
Hee
🥲🥲🙏🙏🙏
Cotonou ...tamka kotonuu sio kontunu
Sangara tarehe 15 ,nyerere tarehe 14 wote October
Unakumbukumbu nzuri I say
Na #LuckDube pia ni October 18...
Sankara
Magufuli ni Rais wa2 duniani kupunguza mshahara wake.wakati viongozi wengi huongeza mishahàra.
Yupo Paul mjika ndo alikua na mshahara mdogo duniani
Emmanuel nyerere nae alipunguza mshahara
BurkinaFaso
ddddddd
Uyo mutu aletwe