THOMAS SANKARA: Rais wa BURKINA FASO aliyeuawa, jinsi ilivyokuwa siku ya MAUAJI yake *INASIKITISHA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2021
  • Makala hii itakupa historia fupi na mambo machahe ya kusisimua usiyoyajua kabla ya kifo cha Thomas Sankara ambaye wengi wanamwona kama Che Guevara wa Afrika

ความคิดเห็น • 108

  • @elimumwaipaja74
    @elimumwaipaja74 2 ปีที่แล้ว +27

    #Skywalker SAUTI YA MAMLAKA🔥🔥
    Story hii inaweza ikawa imesimuliwa na watu wengi sana ila Kupitia sauti hii adhimu ya Sky inaonekana mpya kabisa masikioni mwangu. #bless

  • @magrethpoulpoul8585
    @magrethpoulpoul8585 2 ปีที่แล้ว +20

    Yaan watu kma hawa kuwapata ni ngumu sana😭🙏 miss you magufuli💔❤🙏

    • @MahdouMomba
      @MahdouMomba หลายเดือนก่อน +1

      Kutoka Sankara to Ibrahim traore ni miaka 36, kutoka Nyere to Magufuli ni miaka 16, hivyo huchukua muda mrefu sana kupata wapambanaji wa namna hiii..... ni mungu tuu huamua kunusuru waja wake kwa kutuletea viongozi kama hawa

  • @amanramadhan5928
    @amanramadhan5928 18 วันที่ผ่านมา +2

    Mtangazaji wa story hii inanifanya niwe nafatilia makala zako❤

  • @dangotee5051
    @dangotee5051 2 ปีที่แล้ว +5

    Thomas Sankara alikua mzur MashaAllah👌🏼👌🏼Sky Allah abarik kazi ykoo 🙏🏽una sauti nzuri jamani😊

  • @stephenndonyi6204
    @stephenndonyi6204 11 หลายเดือนก่อน +4

    The legacy of cptn thomas sankara will continue .

  • @eksielo4608
    @eksielo4608 2 ปีที่แล้ว +16

    Hakika sisi waafrika tutatawaliwa miaka yote, maana tunapopata viongozi kama hawa wanaopinga ubeberu na misaada, tunawaua sisi wenyewe. Rest in peace uncle magu pamoja na thomas sankara

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 2 ปีที่แล้ว +20

    Tatizo waafrika hatupendani huwa tunauana kwasababu ya kuwaabudu watu weupe

  • @amaniadrien7372
    @amaniadrien7372 11 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu azidi kumuweka mahara pema pepuni

  • @saitawilson7307
    @saitawilson7307 2 ปีที่แล้ว +14

    R.I.P JPM 💔 daima tutakukumbuka

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 2 ปีที่แล้ว +9

    Hii ndio Africa kuwa mkweli ufe mapema

  • @jeanpierrekwizera6400
    @jeanpierrekwizera6400 2 ปีที่แล้ว +6

    Rafiki yako ndie adui yako kabisa.
    Asante sana Sky

    • @yusuphyunusi-zz1hx
      @yusuphyunusi-zz1hx 11 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli aliuawa na rafikie Blaise compaore

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 2 ปีที่แล้ว +15

    Hata magufuli itakuwa ali uwawa maana baada ya kifo chake saahivi mambo ya IMF na world Bank zime anza kuja Tanzania

    • @abuanzal7355
      @abuanzal7355 4 หลายเดือนก่อน

      Ni hakika Magufuli aliuwawa

    • @PhilipoMwita-b2x
      @PhilipoMwita-b2x 4 วันที่ผ่านมา

      Yani Kila nchi inawatu wa karibu hasa mataifa ya nje ambayo yananufaika
      Kama rais aliepo MADARAKAn anawakazia wazungu qtafanyiwa mbinu afe ili aje yule mama mikopo

  • @user-yh6nz6ri2m
    @user-yh6nz6ri2m 9 หลายเดือนก่อน

    He was very strong soldier in africa we can't forget him may god bless him we will never forget his views and economic agenda.

  • @siliviasimon7970
    @siliviasimon7970 2 ปีที่แล้ว +3

    Sky Mungu akuinue kuelekea kilele cha mafanikio yako 🙏🙏

  • @bizomenyimanaelias5455
    @bizomenyimanaelias5455 2 ปีที่แล้ว +3

    Thomas Sankara Héros of africa Number 2 Khadafi

  • @matendoa.online803
    @matendoa.online803 2 ปีที่แล้ว +5

    Thanks SNS for the info. Keep it up guys

  • @rachellebahati6126
    @rachellebahati6126 2 ปีที่แล้ว +3

    Mungu wangu nakosa chakusema.angekua hai burkina Faso. Ingekua high kwa economic

  • @busindevyote3519
    @busindevyote3519 2 ปีที่แล้ว +3

    Great, go ahead to inform us!!

  • @abuusufian6506
    @abuusufian6506 2 ปีที่แล้ว +1

    Shukran sanaa kaka Sky

  • @deusntobi1450
    @deusntobi1450 2 ปีที่แล้ว +10

    Kaka sky nasema kutoka moyoni kabsa, Ninakupenda sana na nikutabiria ukubwa ambao hata hujaufikia but ipo siku yaja utakuwa mkurugenzi wa vyombo vikubwa sana vya habari vyenye kupendwa na kuaminika kwa jamii. Si leo au kesho lakini uhai wako hautakoma pasi na kutimilika kwa utabiri wangu huu ambao sasa unamiaka zaidi ya 10 toa niupate ambao uliniijia nikiwa kijijini kwetu huko kahama nikiwa nasikiliza kilendio changu cha Rissing nilichokiungia betri za Panasonic national na taiger ili tu nipate kusikiliza radio. Kuna mda huwa naona tajil akija kwako akitaka kuwekeza lakin kun a mda huwa nakuona ukinyakuliwa na makampuni makubwa lakin hivi karibuni niliona ukichukuliwa na serikali! Kaka sky yote haya yatokee ama yasitokee lakini naamin hutoiacha hii dunia bila kuiachia kitu kitachoishi ktk vizazi na wajukuu zetu watajibu maswali na kufaulu mitiahani yao ktk kwakulitaja jina lako ktk majibu yao.

  • @zabibuamissi1141
    @zabibuamissi1141 2 ปีที่แล้ว +3

    Mansha Allah alikuwa muzuri atakumbukwa kwa ushuja wake

  • @hkmeme5437
    @hkmeme5437 2 ปีที่แล้ว +6

    Marais bora kuwahi kutokea Africa #Gaddafi #mangufuli na #Sankara na ruto kenya

  • @lwinzmohamerd8399
    @lwinzmohamerd8399 2 ปีที่แล้ว +1

    Hv sisi waafirika mbona tunapenda sana kujikomba sana kwa wazungu kwann tusje tukajitegemea tatzo baadhi ya viongozi wetu hawako silias na kujenga nchi zao

  • @emmanuelgembuya8999
    @emmanuelgembuya8999 2 ปีที่แล้ว

    Asantee Sana Sky

  • @EsterPaul-jt5im
    @EsterPaul-jt5im 2 หลายเดือนก่อน

    Tomas umepata mlisi wako iblahim ichi anaibandilisha kwa kasi sana mungu awabariki .

  • @raiderinfos1472
    @raiderinfos1472 2 ปีที่แล้ว +3

    JPM spirit

  • @hakizimanasaidi6650
    @hakizimanasaidi6650 2 ปีที่แล้ว +4

    Kaka Ww ndo mwenye kujua kusimuliya kwakweli Mung anajua kutoa kipaji Mung akuwekeye wepesi kwenye mambo yako Ufanikiwe

  • @chibunews5642
    @chibunews5642 2 ปีที่แล้ว +1

    The sky voice

  • @HalfanMaulid
    @HalfanMaulid 11 หลายเดือนก่อน

    Nimeipenda.

  • @user-zf3mb1cp4h
    @user-zf3mb1cp4h 3 หลายเดือนก่อน

    sky endlea kutuelimisha kwa yote ambayo hatuyajui lakn ukwel wang mm ni shabaki san wa kazi yako hi mungu akup umri mref il tuzid kujfunza kupitia wewe

  • @calvinpaul2171
    @calvinpaul2171 2 ปีที่แล้ว +2

    Tatzoo waafrica 2ko wabnafsi sana..a2pendan na a2fanikiwii

  • @hakizimanasaidi6650
    @hakizimanasaidi6650 2 ปีที่แล้ว +4

    Uwe Unatupa simulizi zahivo kaka yng

  • @user-zf3mb1cp4h
    @user-zf3mb1cp4h 3 หลายเดือนก่อน

    Waafrika tunashindwa wakwel katika nchi zetu na kua wakweli kwa mabeberu tomas sankara alikua ni kiongoz mwenye akil nyingi mno mwenye upendo na nchi yake na afrikaa kwa ujumla lakin wapumbavu watumika kwa tamaa zao mungu amuweke mala pema

  • @emanuelandedela2771
    @emanuelandedela2771 2 ปีที่แล้ว +1

    Pole mjane.

  • @norascomacho3504
    @norascomacho3504 2 ปีที่แล้ว +3

    Viongozi wa Africa vizungu mkuti tu.

  • @selestinfrancis5904
    @selestinfrancis5904 11 หลายเดือนก่อน

    Pumzika kwa Amani Sankara, hakika Mungu akupe pumziko la Milele,Ungana naye JPM huko mlipo,mpunzike kwa Amani.

  • @frankmganda9585
    @frankmganda9585 2 ปีที่แล้ว +5

    Nimekwisha gundua wazuri hawadumu

  • @mkatavitv1014
    @mkatavitv1014 2 ปีที่แล้ว +4

    Alikua na watoto wangapi boss

    • @husamtech2748
      @husamtech2748 2 ปีที่แล้ว +1

      Wawili mmoja wapo ni wewe mkatavi tv

    • @dangotee5051
      @dangotee5051 2 ปีที่แล้ว

      @@husamtech2748 😀😀😀

    • @magrethpoulpoul8585
      @magrethpoulpoul8585 2 ปีที่แล้ว

      @@husamtech2748 🤣🤣🤣mahuzunisho

    • @juliusjaliwa9887
      @juliusjaliwa9887 2 ปีที่แล้ว +1

      Alikua na watoto, sijajua idadi yao kamili ila wanahishi France

    • @hopechidera
      @hopechidera 2 ปีที่แล้ว

      @@juliusjaliwa9887 aliacha watoto wawili kama #Junya alivyosema,nao ni Auguste Sankara na Philippe Sankara(wote wanaume)

  • @magrethpoulpoul8585
    @magrethpoulpoul8585 2 ปีที่แล้ว +1

    😭😭😭😭😭so sad.

  • @umojaafrika2447
    @umojaafrika2447 2 ปีที่แล้ว +2

    Thomas Sankara daima

  • @silasikeyoo632
    @silasikeyoo632 ปีที่แล้ว +1

    Kwer vzr havidu

  • @melichmahingule2896
    @melichmahingule2896 11 หลายเดือนก่อน

    Siasa ni uovu, utawala wa Yesu kristo tu ukiongozwa kwa maelekezo ya Yehova Mungu ndiyo itakuwa suluhu ya haki na upendo duniani

  • @ShadrackJoel-iu3dr
    @ShadrackJoel-iu3dr 12 วันที่ผ่านมา

    yaani Africa 🌍 tutakuwa watumwa miaka yote maana ufisadi na kujipedekeza Kwa mabeberu ndy maana tunaletewa ushoga kudadeki

  • @cosmasmilanzi7117
    @cosmasmilanzi7117 หลายเดือนก่อน

    JIHADHARINI NA WANADAMU MAANA NAWATUMA KAMA KONDOO KATI YA MBWA MWITU.....(MATHAYO.10:16-39)

  • @armandbyangoyi8203
    @armandbyangoyi8203 ปีที่แล้ว

    ❤❤❤

  • @yussufrabba2282
    @yussufrabba2282 2 ปีที่แล้ว +1

    💯💯😣😣😣

  • @ellymakongo656
    @ellymakongo656 2 ปีที่แล้ว +2

    Tupe na ya uncle wetu JPM mkuu.. maana hawa ni mapacha

  • @Udindigwa
    @Udindigwa 11 หลายเดือนก่อน

    Daaa

  • @EzzyEddy-il3ce
    @EzzyEddy-il3ce 10 หลายเดือนก่อน

    Huyo compaole sijui alompindua Sakara ameirudisha nyuma sana Burkina Faso.Sakara alikua anampango maalumu wa kuiendeleza Burkina Faso

  • @fatmasalima3847
    @fatmasalima3847 2 ปีที่แล้ว +1

    R.i.p

  • @ummidullah9974
    @ummidullah9974 11 หลายเดือนก่อน

    Kizuri hakidumu

  • @uaeuae1871
    @uaeuae1871 11 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢

  • @RamadhaniJuma-o9b
    @RamadhaniJuma-o9b 22 วันที่ผ่านมา

    RIP sankala

  • @emanuelmlelwa6595
    @emanuelmlelwa6595 2 ปีที่แล้ว +1

    Umefanya jambo jema tuna ombi uendelee na simliz Za aina hyo pia

  • @mussajuma7460
    @mussajuma7460 2 ปีที่แล้ว +2

    Africa ni vichekesho utampaje uraia mtu aliyefanya uhalifu nchi kwake tena akiwa rais Ivory coast ni vibaraka wa ufaransa ambao walimpa kazi compore kumuua sankara

  • @saitawilson7307
    @saitawilson7307 2 ปีที่แล้ว +1

    😭😭😭😭😭😭

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 ปีที่แล้ว +2

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌.

  • @nahimanajo8993
    @nahimanajo8993 2 ปีที่แล้ว

    😭😭😭

  • @Saidmakame-hn8ze
    @Saidmakame-hn8ze 2 หลายเดือนก่อน

    Kweli boc

  • @WilliamChibambu
    @WilliamChibambu 16 วันที่ผ่านมา

    wauwaji wa uwawe ili ifike mahali afrika tujitambuwe

  • @lwinzmohamerd8399
    @lwinzmohamerd8399 2 ปีที่แล้ว

    Tutamkumbuka kiongizi ama rais wa bukinafaso THOMAS SANKALA inauma sana walio fanya mauaji hayo lazma wa fungwe, hii itatukumbusha kwa rais wetu mpendwa JOHN JOSEPH MAGUFULI inanitia huzuni sana.

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 2 ปีที่แล้ว +1

    Hhh dunia tumeichoka mungu rudi

  • @Ndaizee
    @Ndaizee 11 หลายเดือนก่อน

    R.I.P Magufuli daima ulitufumbua macho

  • @ibrahimshabani3544
    @ibrahimshabani3544 11 หลายเดือนก่อน +1

    Wakamatwe wafunguliwe mashitska wauwaji

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo2502 11 หลายเดือนก่อน

    wazungu wanasema waafrika hawana akili lakini kila kiongozi anayetokea mwenye akili wanaua kama unabisha fanya hayo mambo aliyofanya thomas halafu uone kama utatoboa ndio maana siku afrika ikiwa tajiri ulaya itakuwa maskini na hilo halitarusiwa imebaki kutuwekea viongozi wabovu halafu baadae wanatuita hatuna akili

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 11 หลายเดือนก่อน

    Your best friend your worst enemy

  • @rehemamkalawa3801
    @rehemamkalawa3801 2 ปีที่แล้ว

    Kweli kikulacho ki-nguoni mwako! 🙄 Yaani walionekana km mapacha,kumbe!

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 11 หลายเดือนก่อน

    Tulikuwa na jpm in tz

  • @matunzojr4862
    @matunzojr4862 ปีที่แล้ว

    daah basi tu yan

  • @KihangoIsmail-qn2uh
    @KihangoIsmail-qn2uh 11 หลายเดือนก่อน

    Tunawahitaji watu wazuri kama marehemu Thomas isdole Sankara lakinihuyu compaule alaaniwe milele

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 2 ปีที่แล้ว

    Huzuni

  • @siliviasimon7970
    @siliviasimon7970 2 ปีที่แล้ว

    Sky tuletee bc na simulizi ya operation entebbe

  • @juliussilvestar8988
    @juliussilvestar8988 11 หลายเดือนก่อน

    Tatzo yeye alipata vipi serekali kama alipindua kwa upanga.Upanga saizi yake

  • @thefactbook...1607
    @thefactbook...1607 2 ปีที่แล้ว

    They call him African Che Guevara.

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 11 หลายเดือนก่อน

    Wazungu ndio wanaoua viongozi Waafrika

  • @kiningashukran5177
    @kiningashukran5177 ปีที่แล้ว

    Afrika nzima ni shida

  • @EsterPaul-jt5im
    @EsterPaul-jt5im หลายเดือนก่อน

    Tomas Sankar napenda ujasili wako maana ulikuwa hataki mambo ya kijinga mungu anipe ujasili kama wako kaka angu traore amefata nyanyo zako safi sana pumzika kwa amani Tomas Sankar mi nipo tazania.

  • @yezagproducts8567
    @yezagproducts8567 11 หลายเดือนก่อน

    Africa siyo mbaya wabaya ni wana Africa wenyewe. Tunakulana wenyewe na wale wanaojiona wasomi.

    • @alesantamakiko801
      @alesantamakiko801 11 หลายเดือนก่อน

      Mungu hapendi watu wake wema wapate shida hapa duniani .
      R.I.P Thomas Sankara

  • @mikaelshagilu1732
    @mikaelshagilu1732 ปีที่แล้ว

    Da aliemua Shujaa Sankara mbona kakaa muda mrefu xna bila kuwajibishwa.hadi amekimbia.huyosinch wamrudishe bukinafaso na apigwe risasi hazarani mashamba xana huyo.

  • @salimukimolo7592
    @salimukimolo7592 2 ปีที่แล้ว

    Niwazi kabisa inaoneka rais huyo kahusika

  • @florakweyunga4490
    @florakweyunga4490 2 ปีที่แล้ว

    MUNGU BABA YETU.....HUTOLETA GARIKA TENA,BALI MTAJIMALIZA WENYEWE.BABA TUNAPIGA MAGOTI MBELE YAKO,TUPUNGUZIE ADHABU HIYO.MAANA WAKUFA WATU WATU WENYE UPEO MKUBWA.

  • @yusuphyunusi-zz1hx
    @yusuphyunusi-zz1hx 11 หลายเดือนก่อน

    Compaore his best friend is a person who killed Sankara

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 ปีที่แล้ว

    Hee

  • @jonasijunga1568
    @jonasijunga1568 11 หลายเดือนก่อน

    🥲🥲🙏🙏🙏

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 11 หลายเดือนก่อน

    Cotonou ...tamka kotonuu sio kontunu

  • @abelbest4984
    @abelbest4984 2 ปีที่แล้ว

    Sangara tarehe 15 ,nyerere tarehe 14 wote October

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 11 หลายเดือนก่อน

    Magufuli ni Rais wa2 duniani kupunguza mshahara wake.wakati viongozi wengi huongeza mishahàra.

    • @user-hu8um8vj4r
      @user-hu8um8vj4r 11 หลายเดือนก่อน

      Yupo Paul mjika ndo alikua na mshahara mdogo duniani

    • @juliussilvestar8988
      @juliussilvestar8988 11 หลายเดือนก่อน

      Emmanuel nyerere nae alipunguza mshahara

  • @mutalemwamarcelventure.mae2058
    @mutalemwamarcelventure.mae2058 11 หลายเดือนก่อน

    BurkinaFaso

  • @isayajoshuwa7201
    @isayajoshuwa7201 2 ปีที่แล้ว

    ddddddd

  • @kafwimbimilambo8556
    @kafwimbimilambo8556 11 หลายเดือนก่อน

    Uyo mutu aletwe