ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

SNAKE BOY | ep 28 | SEASON TWO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 2.5K

  • @emmanuelmmbaga5209
    @emmanuelmmbaga5209 หลายเดือนก่อน +274

    MUNGU MUUMBA MBINGUNI NA DUNIA, tupe macho ya rohoni tujue kweli yako, na tukae ktk njia zako Amina...... 🙏

    • @user-sv6zy3hc8o
      @user-sv6zy3hc8o หลายเดือนก่อน +8

      Kwaio humu ulikua unasoma biblia au imeingiliana VP na maombi 😂😂😂😂

    • @user-jc1og5cr3i
      @user-jc1og5cr3i หลายเดือนก่อน

      @@user-sv6zy3hc8o😂😂😂

    • @AweiyBeauty
      @AweiyBeauty หลายเดือนก่อน +4

      Jaman jaman jaman watu hahahahahhhh!hayo majb sjui wp tunayapata wallah

    • @MohammadSwaghir
      @MohammadSwaghir หลายเดือนก่อน +3

      Wewe ndo umesema la maaana

    • @MosesKahindi-ys2xb
      @MosesKahindi-ys2xb หลายเดือนก่อน +1

      Amen🙏

  • @user-rl4cf6tc5n
    @user-rl4cf6tc5n หลายเดือนก่อน +561

    mi mpk nilshakata tamaa kbs ya kuifuatilia snake boy mnakawia sana mpk nilihamia zangu kwa kp na zeb mnaboa sana au kwa kuwa tunasifia kazi nzuri ndio maana mnatucheleweshea

    • @MoneyKey247-fk4oy
      @MoneyKey247-fk4oy หลายเดือนก่อน +18

      Kweli😂😂😂

    • @NawaliKassimu
      @NawaliKassimu หลายเดือนก่อน +23

      Mpaka unasahau uliishia wapi

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 หลายเดือนก่อน +45

      Inahitaji akili ndogo tu kujua mwanzo mlikua mnalalamika inakua fupi sana muda mdogo sasa Hivi wameweka ndefu zaidi maanayake lazma watakua wanatumia muda mrefu kuandaa bado tena malalamiko

    • @LovenessPaul-yf7rz
      @LovenessPaul-yf7rz หลายเดือนก่อน +4

      Kwakweli😢😢

    • @MaulidMrisho-hk2vi
      @MaulidMrisho-hk2vi หลายเดือนก่อน +10

      usilaumu kukawia angalia wanatumia muda mlefu kuandaa maana siokitu chalaisi2 kiivyo wanatumia malifa mengi

  • @EphrahimIlomo
    @EphrahimIlomo หลายเดือนก่อน +62

    Daaa tumesubiri sana mnakaa mno mpaka tunasahau kama Kuna snake boy anyway kazi nzuri sana@clam vevo

  • @Kaloki-hv7dx
    @Kaloki-hv7dx หลายเดือนก่อน +36

    Sijui mm ni wangapi naombeni likes hapa...mwenyezi mungu haibarki snake boy...clam vevo hatariiii..

  • @user-mm3ri2up9c
    @user-mm3ri2up9c หลายเดือนก่อน +19

    Kazi nzuli jaman naomba like from burundi tujuane

  • @_Wayiva_mukuta_jean
    @_Wayiva_mukuta_jean หลายเดือนก่อน +32

    Clam vevo the number one ☝️ mpaka apa Congo 🇨🇩 na kubali équipe clam vevo.

  • @YoungblackPeople-qf7vx
    @YoungblackPeople-qf7vx หลายเดือนก่อน +385

    Mwenyezi mungu akubaliki wewe na familia yako muwe na maisha malefu kwa wewe unaye soma comment hiii

  • @KibweOnlineTv
    @KibweOnlineTv หลายเดือนก่อน +368

    Nimekuwa wa Mia mbili na 53, Naomba likes zangu, snake boy ni motooo 🎉🎉🎉

    • @HudhaimaYussuf
      @HudhaimaYussuf หลายเดือนก่อน +9

      Afadhali umesema kweli mana kila mtu wa kwanza humu😂😂😂😂😂

    • @officialgvanny8334
      @officialgvanny8334 หลายเดือนก่อน +4

      ​@@HudhaimaYussuf😂😂😂😂

    • @TajaIssa
      @TajaIssa หลายเดือนก่อน +5

      Kama unamkubali mtanzi gonga like

    • @NdohoAud
      @NdohoAud หลายเดือนก่อน +1

      ​@@HudhaimaYussufhhhhhhh😂😂 nihatal

    • @Mashenene_Robert
      @Mashenene_Robert หลายเดือนก่อน +1

      Wewe adimin 😅😅😅

  • @adidjahassan6046
    @adidjahassan6046 หลายเดือนก่อน +19

    From burundi ❤❤ napenda sana snake boy clam apewe maua yake jamani kama tukopamoja gonga like apa ❤❤

  • @filexingutia3620
    @filexingutia3620 หลายเดือนก่อน +20

    Mimi ni miongoni mwa first 80,000 waaah! Si watu mnawai jamani... Yaani karibu nianguke😂❤🇰🇪KE🇰🇪NYA🇰🇪

  • @swafiirbulbul819
    @swafiirbulbul819 หลายเดือนก่อน +229

    Àssalaam aleykum..
    Tukumbuke na Ibada ndugu zangu 🇹🇿 🇰🇪 🇧🇮 🇷🇼 🇨🇩

    • @user-vq6dc4nr5p
      @user-vq6dc4nr5p หลายเดือนก่อน +7

      Waalaykum ssalaam...
      Shukran kwa ukumbusho❤

    • @FatumaHamisi-sr6yj
      @FatumaHamisi-sr6yj หลายเดือนก่อน +5

      Walekum salam shukurani Kwa ukumbusho kipenzi 😍

    • @KishkiMdogo
      @KishkiMdogo หลายเดือนก่อน +4

      Shukran

    • @AlhajiIssa-jb9hr
      @AlhajiIssa-jb9hr หลายเดือนก่อน +4

      Waalykumussalaam warahmatullah'hi wabarakaatuh.
      Muhimu shukria ❤

    • @user-tu4vz9ee3h
      @user-tu4vz9ee3h หลายเดือนก่อน +5

      Waalaykum musalamu warahmatullah wabarakatuh
      Inshallah,

  • @fundiseif1096
    @fundiseif1096 หลายเดือนก่อน +43

    Snake boy 🐍 inazidi kua hatariiii umetisha sana clam vevo 🔥🔥🔥💪

  • @nestorykakatv7526
    @nestorykakatv7526 หลายเดือนก่อน +55

    Ushauri wa bure msiwe mnakaa siku 10 jaman mjue tunapenda xn hii kazi

  • @professor1992
    @professor1992 หลายเดือนก่อน +108

    Kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tangu nianze kufuatilia snake boy sijawai pata likes, jameni naombeni likes mukinifuata youtube

    • @Kib-jsanley
      @Kib-jsanley หลายเดือนก่อน +1

      Mombasa😂😂

    • @DuniaMayombo
      @DuniaMayombo หลายเดือนก่อน +4

      Nilisha kupa likes ambayo uliomba❤

    • @collinsmlay1438
      @collinsmlay1438 หลายเดือนก่อน

      Nimekupa dislike moja aisee nataman nikuongezee zaidii

  • @AshaMussa-r4z
    @AshaMussa-r4z หลายเดือนก่อน +11

    Kazi nzuri kaka Allah akulinde uzidi kutoa kazi nzuri ila munachelewesha sana

  • @RifatiJeshi
    @RifatiJeshi หลายเดือนก่อน +42

    Mkishajua tunawafatilia na kuwakubal mnatuchelewesha sana kutoa muendelezo!! Jirekebshen bhac

    • @rashidkwengwegu6876
      @rashidkwengwegu6876 หลายเดือนก่อน +1

      Kuchelewa kwao ni kuandaa kitu kizuri kitakacho kuvutia

  • @ramadhanmbai648
    @ramadhanmbai648 หลายเดือนก่อน +51

    WA Kwanza kutoka Kenya. I love Tanzania bongo movies .. big up Tanzania ❤

  • @yassatv2129
    @yassatv2129 หลายเดือนก่อน +131

    Naomba wote mnaoangalia snake boy mwenyezi mungu awape afya njema na mafanikio makubwa katika maisha yenu🙏

  • @Puchuanitz
    @Puchuanitz หลายเดือนก่อน +55

    Jaman me nataka mwakatobe ak zinga team zinga dondosha like

  • @mosesashikoye3288
    @mosesashikoye3288 หลายเดือนก่อน +10

    Clam siku hizi unachekewesha sana hadi nasikia nimeanza kukosa hamu tena, imarikeni kwa hilo. Tunawapenda sana huku Kenya

  • @amothedecorationiw9iw
    @amothedecorationiw9iw หลายเดือนก่อน +25

    Kigongo kinachelewa mpaka napata hasira kiukweli sijafurahia kabisa week mbili tunakaa kinyonge aaaahhh director amezingua

  • @FeydhullahTwalib
    @FeydhullahTwalib หลายเดือนก่อน +41

    Kiujumla vevo na team yako mupo vizuri tena mupo vizuri sana

  • @Jeremiahc224
    @Jeremiahc224 หลายเดือนก่อน +31

    Kazi njema inaitaji watu hodari na nyinyi nyote ni mahodari kabisa 🙌🙌🌹❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉.

  • @sarahnjeri-tz8eu
    @sarahnjeri-tz8eu หลายเดือนก่อน +20

    Wenye kufuatilia hizi episodes tujuane 😂😂😂mimi ata ikifika episode 50 lazima niifuatilie team Clamvevo wapi likes 👍👍👍

  • @Akili820
    @Akili820 หลายเดือนก่อน +13

    Clam noma sana 🇨🇩🇨🇩☝️

  • @FrankLuhaha-dt5sh
    @FrankLuhaha-dt5sh หลายเดือนก่อน +33

    Watu waliokubaliii kaziii hiii ya CLAM VEVO gonga like hapa❤❤❤❤ movie iko unyamaaa sanaaa

  • @qaltumsaid3095
    @qaltumsaid3095 หลายเดือนก่อน +44

    Najaribu kufanya mazoezi ila najikuta kukosa mueleko😢... Kama umeamka Salama sema Asante mungu Kwa Kila pumzi ninayopumua.... team strong hapa kutoka Tanzania 🇹🇿🇶🇦

  • @BakariNgare-v8z
    @BakariNgare-v8z หลายเดือนก่อน +78

    Duuh Clam vevo watueka sana wachelewesha mzigo but ongera Kwa kaz nzuri naona next kanumba miaka inayo kuja karibu Mombasa Kenya.

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 หลายเดือนก่อน +3

      Dakika 40 pia umegewa

    • @BakariNgare-v8z
      @BakariNgare-v8z หลายเดือนก่อน

      Hahahaha 40minutes n sawa but anatueka sana Vevo best wishes to this guy is very genius​@@eggysulle7988

  • @MagrethDaniel-cu5fg
    @MagrethDaniel-cu5fg หลายเดือนก่อน +6

    Aisee huy dada urembo unamtesa jaman kaqa kama mpira ahahahaha!!! Ungekuwa na sura ngumu ka me akaaaah! Hata ukitupwa pale mbwa hanusi😂😂😂😂😂

  • @Monystar01
    @Monystar01 หลายเดือนก่อน +87

    Aisee kama kuna mtu alikua anaumia Snake 🐍 boy kuchelewa kama mimi Gonga likes 👍

    • @saidpolish1988
      @saidpolish1988 หลายเดือนก่อน

      Unachoka mtu kuifatilia inavochelewa sana

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 หลายเดือนก่อน

      Kabisa inachelewa sana mpk tunakata tamaa

    • @Big-studios255
      @Big-studios255 หลายเดือนก่อน +1

      inakuja ndugu zangu 😥😥😥😥 kazi ni nyingi upande wetu sisi ma producer

    • @SaidiHemedi-ug6qw
      @SaidiHemedi-ug6qw หลายเดือนก่อน +1

      Wewe nimshamba tu

  • @DamarisDammie
    @DamarisDammie หลายเดือนก่อน +52

    Wakwanza from 🇰🇪🇰🇪 ila mnachelewesha sana hd tunasahau pale tulipoachia ila kazi nzuri sana Clam vevo tunaikubali ❤

    • @user-dh5wh9ts2i
      @user-dh5wh9ts2i หลายเดือนก่อน

      Safi Dama Mkenya wangu

    • @edwardngugi3537
      @edwardngugi3537 หลายเดือนก่อน

      Ii kiswahili yko c ya Kenya 😂😂😂 buana

    • @DamarisDammie
      @DamarisDammie หลายเดือนก่อน

      @@edwardngugi3537 hiki n Cha wapi kipenzi

    • @DamarisDammie
      @DamarisDammie หลายเดือนก่อน

      @@user-dh5wh9ts2i good ❤️

    • @user-qz2dn3qb1x
      @user-qz2dn3qb1x หลายเดือนก่อน

      Naomba unicheki bax

  • @yonamaduma6284
    @yonamaduma6284 หลายเดือนก่อน +344

    Tujuane tunao fatilia snake boy kwanzia season one kama mimi ngonga like hapa

    • @AsmaEdgar
      @AsmaEdgar หลายเดือนก่อน +8

      Gonga na kwangu basi

    • @user-hn6co1ul8l
      @user-hn6co1ul8l หลายเดือนก่อน +4

      Naku kubari kazinzuri sana Ila muna cherewa jitaidini ata muwe munatoa vipande vitatu kwawiki 🎉

    • @JackyTarimo
      @JackyTarimo หลายเดือนก่อน +2

      2po kimoja

    • @wamboiwamboh
      @wamboiwamboh หลายเดือนก่อน

      ❤❤❤si mnipitie akh😂

    • @KigabiChanceline
      @KigabiChanceline หลายเดือนก่อน +1

      Niko

  • @Nancykerush
    @Nancykerush หลายเดือนก่อน +36

    Naipeda xana na watch nikiwa Nairobi Kenya wapi likes zangu jamen

  • @AishaAbdallah-lm4ic
    @AishaAbdallah-lm4ic หลายเดือนก่อน +17

    From Kenya..🇰🇪🇰🇪 watching from Qatar 🇶🇦 🇶🇦 Nikiwa Moja Wenu🤝💕💕💕

    • @Dorcasmwende764
      @Dorcasmwende764 หลายเดือนก่อน +1

      Maandamo ni Tuesday CBD tupatane 😅

    • @AishaAbdallah-lm4ic
      @AishaAbdallah-lm4ic หลายเดือนก่อน

      @@Dorcasmwende764 Inshaallah mpenzi pamoja 🫂

  • @khajiathuman-zq4bj
    @khajiathuman-zq4bj หลายเดือนก่อน +36

    tunaemuona tanu ajulikan yupo upande gani 😂😂 tien like ap

  • @saumbliz8983
    @saumbliz8983 หลายเดือนก่อน +35

    Medick,mbwela,mwasi, Zumba,sengo,kipara ,na kakoso, nawakubali sana na team nzima 🎉🎉🎉🎉hongereni sana washirika nyote wa snake boy mwaitendea haki kabisa hii move 🌹🌹🌹🌹

  • @Shacky665
    @Shacky665 หลายเดือนก่อน +18

    Kazi nzuri Tim vevo hamjawahi niangusha🎉🎉🎉🎉

  • @ShizoMsosa
    @ShizoMsosa หลายเดือนก่อน +31

    Kukudadakei one number

  • @MellanierChristian-wn9mw
    @MellanierChristian-wn9mw หลายเดือนก่อน +12

    Movie intufundisha hii dunia kuna watu wetu wa karibu ni wanafikii saana si mnaona rafiki ake mtukufu anavojifanya hajui alichokifanya yaan mtu anakupa msiba af anakusaidia kuliaaa 😢

    • @amilahmuta7586
      @amilahmuta7586 หลายเดือนก่อน

      Maana kuu ya kikulacho ki nguoni mwako

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 หลายเดือนก่อน

      Kabisa yn na utawala wa kimabavu

  • @EstherShania-u8i
    @EstherShania-u8i หลายเดือนก่อน +14

    Leo nmechelewa lkn naomba like hta 2 tuh

  • @KIBETLOTIPO
    @KIBETLOTIPO หลายเดือนก่อน +22

    Watching live from the capital city of Africa 🇰🇪 KENYA,wapi like zangu,ila mnachukua muda mwingi kutoa episode

  • @qurthummrabdllh3635
    @qurthummrabdllh3635 หลายเดือนก่อน +31

    Mtoe maoni basii kazi wsicheleweshe sana 😂😂😂 kuomba like tu 😂😂😂

  • @judithpendo9985
    @judithpendo9985 หลายเดือนก่อน +37

    KWANI watu mko n sim kwa mkono jmn 😂😂 nawapenda 🥰 Bure Genz 👊 team strong team clam vevo🇸🇦🇰🇪❤️❤️❤️

    • @user-dh5wh9ts2i
      @user-dh5wh9ts2i หลายเดือนก่อน +1

      Safi Pendo wakwehuu ❤

  • @user-rj8zh8ok7q
    @user-rj8zh8ok7q หลายเดือนก่อน +5

    Tanu jau kiponza

  • @heryIsaac
    @heryIsaac หลายเดือนก่อน +8

    clam ni bonge moja la act 4this country niamin

  • @Ozilandre
    @Ozilandre หลายเดือนก่อน +33

    Clam VEVO hanajua kwandikajama , mana tukikosa kumwona Vevo tunamwona mwakatobe , tusipo mwona mwakatobe, tunamwona Vevo 😂😂😂
    Samani jamani Mimi kwetu Mozambique 🇲🇿🇲🇿 kwiavio sijuwi kwandi vizuri, samani 🙏 nipeni like

  • @hamzaIlunga
    @hamzaIlunga หลายเดือนก่อน +45

    From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi Kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo❤

  • @siafuonlinetv
    @siafuonlinetv หลายเดือนก่อน +36

    Kama kuna mtu kila siku alikuwa anaangalia kama clam kaaploud au laaa gonga like kwangu

  • @hashimuomary4569
    @hashimuomary4569 หลายเดือนก่อน +25

    Kwan mnaoomba like zinawafaidish nn nyie vibwengo watoto wa mwakatobe

  • @MwabuJackson
    @MwabuJackson หลายเดือนก่อน +3

    Hi cast of the snake boy, we are really enjoying your wonderful movies. Please keep it up, I wish you the best in your remaining seasons. I'm Zambian.

  • @user-dw3dz2zt4i
    @user-dw3dz2zt4i หลายเดือนก่อน +17

    Hiii movie inaongelea Uongozi mbaya kama vile Kenya viongozi wengine wanavo wanyanyasa Wana Himaya ,,,,,ndio unakuta kuna wenye wanakufa ndo wengine wasaidike baadae,,,,,halafu kuna wakina Raila apo kina Kipara huku Yuko na kule yupo

    • @user-gw1tc8tf5j
      @user-gw1tc8tf5j หลายเดือนก่อน +1

      Kwel ina mafunzo Meng San y kujifunza hpa

    • @hamisikamanda9933
      @hamisikamanda9933 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 หลายเดือนก่อน +1

      Kabisa yn😂😂😂

    • @user-wq2np3dm3d
      @user-wq2np3dm3d หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

  • @SallyMateru
    @SallyMateru หลายเดือนก่อน +32

    Hatimaye baada yakusubiri kwa muda mrefu😂😂

    • @crazykea2032
      @crazykea2032 หลายเดือนก่อน

      Eeeeh wanakawia sana adi mtu huchoka😂

    • @SallyMateru
      @SallyMateru หลายเดือนก่อน

      @@crazykea2032 yaani mpaka unaanza kusahau ilipoishia 🤣😂😂 ila Ndo tunaipenda Hata iweje hatuachi kufatilia

  • @salhkiyagi
    @salhkiyagi หลายเดือนก่อน +52

    Kazi nzur san ila punguzen baadh ya vitu move iende vizur mtuletee nyingne mwaka sasa unaenda tunafwatilia move iyo tu mwiso itakifu ipoteze ukwality tulio elewan tujuane kwa like

    • @HASHIMMAKUNGUHAMDANI
      @HASHIMMAKUNGUHAMDANI หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa

    • @salhkiyagi
      @salhkiyagi หลายเดือนก่อน +2

      @@HASHIMMAKUNGUHAMDANI unaweza ukasahau hata ilianzaje

    • @HASHIMMAKUNGUHAMDANI
      @HASHIMMAKUNGUHAMDANI หลายเดือนก่อน +1

      @@salhkiyagi yaani jamaa anazingua sana yaani mpaka hamu inaaza kuondoka

    • @DianaBoniphace-bh7dr
      @DianaBoniphace-bh7dr หลายเดือนก่อน +1

      Unyama sana👏👏

    • @JumaRajabu-gg7ib
      @JumaRajabu-gg7ib หลายเดือนก่อน +2

      Yanii mov ishee kwann usi🎉🎉🎉🎉😅 iishee ww

  • @MahadiMusa-b1z
    @MahadiMusa-b1z หลายเดือนก่อน +8

    Sasa nyie mnao like amuwaambii kua ii igizo saivi adisi aeleweki nini inamaanisha wamalize2uuu

  • @shamiraramadhani3145
    @shamiraramadhani3145 หลายเดือนก่อน +12

    Mnakalia kuomba like tu na wakati wanachelewesha saana hii move clam acha kuchelewesha hivyo bhn

  • @kizzydaniel4388
    @kizzydaniel4388 หลายเดือนก่อน +61

    umetucheleweshea sanaa mzee sisi huu ni zaidi ya ulevii

    • @BensonNtahombaye
      @BensonNtahombaye หลายเดือนก่อน +1

      Kweli kabisa wana tuchelewesha

    • @medytrueboytz8450
      @medytrueboytz8450 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa Yani mpaka nime boeka

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 หลายเดือนก่อน

      Umegewa pia dakika kibao za kuona

    • @NyamweruAlex
      @NyamweruAlex หลายเดือนก่อน +1

      Umeona

    • @davidnyolo1668
      @davidnyolo1668 หลายเดือนก่อน

      Walai manze

  • @husseinmohamed1380
    @husseinmohamed1380 หลายเดือนก่อน +8

    Anguka nayo clam vevo,much love from 254🇰🇪.

  • @RaymondMahadi
    @RaymondMahadi หลายเดือนก่อน +10

    Alright thanks for your work bro 🙏
    Good morning our lovely videos
    I'm Raymond mahad from Kenya Mombasa or Nairobi
    I'm so happy for this channel

  • @diva_20162
    @diva_20162 หลายเดือนก่อน +7

    Sema kipara anaupiga mwingi sana aseee maua yake,, hachezi mbali na fursa 😂😂

    • @BeatriceMussa-y4b
      @BeatriceMussa-y4b หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂 umbea wa faida

  • @ErickyTz-ku7dt
    @ErickyTz-ku7dt หลายเดือนก่อน +5

    Why this young boy clamvevo doesn't trending although he is the best and large number of pure views any way much love from Toronto canada

  • @Rigobertpanga9
    @Rigobertpanga9 หลายเดือนก่อน +57

    Jamani ndugu zangu kama Kuna aliyesubiri snake boy Kwa hamu kama mimi agonge like apo 🐍

  • @Misheckkazilist-cv2hb
    @Misheckkazilist-cv2hb หลายเดือนก่อน +6

    Kazi nzuli sana ongeren ila maoninyangu kazi inachelewa kwa siku nyigi sana jmn fanyeni malekebisho kwamuda sahihi na dakika za kutosha ❤❤

  • @Barnizeboy
    @Barnizeboy หลายเดือนก่อน +60

    Wa kwanza leo naomba like zangu toka dr Congo 🇨🇩💪💪

  • @mwajumaahmed9888
    @mwajumaahmed9888 หลายเดือนก่อน +5

    Hakuna kazi ndog jmni wanajitahid sana na kutoa ndefu ndefu had rahaa mungu awabariki kwenye kzi zenu

  • @CostaTande
    @CostaTande หลายเดือนก่อน +1

    Santé sana kwawangizadji yote wa muvi snack boy mungu awabariki wote clam vevo n'a Kim Nadayrecta Kakoso mungu amulinde kwakweli ni Costa Tande Justin kutokeya Congo

  • @aminielenock2050
    @aminielenock2050 หลายเดือนก่อน +15

    Huo mziki bonge moja la ubunifu 🔥🔥

  • @aminielenock2050
    @aminielenock2050 หลายเดือนก่อน +12

    Mnachelewesha sana kazi wakuu pia nzinga ni tumemiss misemo yake na timbwili

  • @GebrielMosha789
    @GebrielMosha789 หลายเดือนก่อน +16

    Makini sana kamnda clqm vevo umeupiga mwingi hila zingatia kuwaisha mzigo

  • @samwelwekesa4480
    @samwelwekesa4480 หลายเดือนก่อน +8

    Nipeni likes za wakenya, nampenda vevo na kazi zake

  • @user-bi9pl4eu2o
    @user-bi9pl4eu2o หลายเดือนก่อน +5

    Kazi nzuri bro mbwela big up sana

  • @idrixalumany5902
    @idrixalumany5902 หลายเดือนก่อน +20

    Wana mzengo mko moto sana😂😂

  • @isharaganechi6616
    @isharaganechi6616 หลายเดือนก่อน +13

    Mimi wa kwanza kutoka kongo naomba munilae kibas kidogo sababu naikubali hii muvi na imecheleweshwa ila tunaipenda tu

  • @mwanaidisaidi1101
    @mwanaidisaidi1101 หลายเดือนก่อน +7

    Sijawahi kucoment acha leo nikomenti unatucheleweshea sana mzee yan unafanya mda wote tushinde TH-cam maana unawaza inatoka saizi au laah,,,,hongera kwa kuitoa maana tumeisubili kwa hamu sana tunashukuru kwa kutuongezea dakika bigup utafika mbali kijana

  • @VictorObeth
    @VictorObeth หลายเดือนก่อน +3

    Namuona ndugu yangu ibra mbwera au chif safi kaka kazi nzuri

  • @fatumahashimmcheni9610
    @fatumahashimmcheni9610 หลายเดือนก่อน +6

    Ku edit Videoo ni kazi ngumuu sana kupangq vipandee na kuandaa kazi nzur

  • @DianaRose-kh7sr
    @DianaRose-kh7sr หลายเดือนก่อน +20

    Watu mko vizuri mapema mshawahi 🧡🧡🎉

  • @user-yk3cf6jp2y
    @user-yk3cf6jp2y หลายเดือนก่อน +47

    Nakubari unyama huu apa nisubiri kwa hamu sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤

  • @ronzevannyboychui1661
    @ronzevannyboychui1661 หลายเดือนก่อน +45

    ila namie sija chelewa sana nipo kabisa namie naomba like zangu 15 hapo ila nawapongaza sana kitu kizuri kabisa jaman ila Clam vevo 🎉🎉❤

  • @VarraneOmjo
    @VarraneOmjo หลายเดือนก่อน +3

    Naomba like ata 2 jamani

  • @shabanbachane7318
    @shabanbachane7318 หลายเดือนก่อน +10

    Kuwa wa mwisho naomba like 5

  • @PatronizeNgombo
    @PatronizeNgombo หลายเดือนก่อน +182

    From kenya 🇰🇪 254 naomba like hata 5

    • @user-dh5wh9ts2i
      @user-dh5wh9ts2i หลายเดือนก่อน

      Safi mkenya mwenzangu 😊

    • @ngoyaboy1590
      @ngoyaboy1590 หลายเดือนก่อน +1

      Tuambie kama ni Genz kama sio Genz hupati like uku tzz tunawakubali Genz

    • @Moisesmoceya
      @Moisesmoceya หลายเดือนก่อน

      ​@@ngoyaboy1590😂😂

    • @user-ts2pv6db3e
      @user-ts2pv6db3e หลายเดือนก่อน

      😂😂

    • @ryankoech
      @ryankoech หลายเดือนก่อน

      Tuko pamoja bro

  • @dismasjuma7440
    @dismasjuma7440 หลายเดือนก่อน +25

    aura4aura nikiwa kenya kazi bro clam.wakenya wenzagu like natukutane tuesday CBD kwa mapambano

    • @Boshbriz3344
      @Boshbriz3344 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

  • @UserOkelohansi85
    @UserOkelohansi85 หลายเดือนก่อน +346

    Kuwa wa Kwanza naomba like ata 2

  • @topaztz7601
    @topaztz7601 หลายเดือนก่อน +6

    Nakubali kazi nzuri sana team Clam Vevo, bila kumsahau Director Kakoso na Mganga wa taifa anaependezesha Movie yetu.. Mwakatobe.. Hongereni kwa kazi nzuri tuko pamoja mwanzo mwisho..
    KAMA UNAIKUBALI HII SERIES NA ULIKUWA UNAISUBIRI KWA SHAUKU TUJUANE HAPA KWA LIKE❤

  • @Mr.bossrivMr.bossriv
    @Mr.bossrivMr.bossriv หลายเดือนก่อน +5

    Nami wa kwanza jamani naomba link hata kumi tu🎉🎉

  • @MartinLazaro-zj6ke
    @MartinLazaro-zj6ke หลายเดือนก่อน +8

    Clam VEVO. Sterling wa snake boy umekuwa Bora sana. Season 1 na season 2. Kazi nzuri sana ❤❤❤❤

  • @hamisimbwana-yf3ze
    @hamisimbwana-yf3ze หลายเดือนก่อน +10

    Wakwanza leo Fedha boy Aka Hamisi Mbwana from kenya mombasa kenya

  • @SylvesterMwinga-ff5iy
    @SylvesterMwinga-ff5iy หลายเดือนก่อน +8

    Safi kazi nzuri>Team strong tujuane

  • @mustafamwenda
    @mustafamwenda หลายเดือนก่อน +2

    Ila wadau saiz watanzania tumepiga hatuwa kwenye movie camera saiz zina hd ya kueleweka unaona mpak chunusi kwakweli tujipongeze wote tz❤❤❤❤

  • @user-yy6fx8hm4g
    @user-yy6fx8hm4g หลายเดือนก่อน +4

    Ila kipala anaogopa kufa 😂😂😂😂

  • @MARIAKANIMEDIA_254
    @MARIAKANIMEDIA_254 หลายเดือนก่อน +23

    Wapi wale wakenya🇰🇪 nataka kuona nguvu ya 1k likes

  • @zamirhassan81
    @zamirhassan81 หลายเดือนก่อน +11

    🐍 Boy ya Motooo

  • @peterleonidasofficial3135
    @peterleonidasofficial3135 หลายเดือนก่อน +32

    Itumie hii series piah kujifunza..make vipo vingi sana vya kujifunza...naomben likes bhas😇

  • @NurdinAthuman-lw7yc
    @NurdinAthuman-lw7yc หลายเดือนก่อน +2

    Yaani inayofata toeni hata mwakani basi maana mnachelewesha tuu bhana 😢😢😢😊

  • @ARONPaul-bz3ws
    @ARONPaul-bz3ws หลายเดือนก่อน +1

    Nomaaa sana kwa movie tamuu vevooooo ila nisimsahauu director kakosooo anafanya kaziii nzuriiii sana

  • @aganzeroger
    @aganzeroger หลายเดือนก่อน +5

    Wa kwanza Leo kutoka Congo nipe like zangu asheni ushoyo🇨🇩🇨🇩🇨🇩🎉🎉🎉🎉

  • @MaicoKaniqueMaico
    @MaicoKaniqueMaico หลายเดือนก่อน +8

    From mozambique 🇲🇿 tunakubali sana snak boy

  • @sandulutu8635
    @sandulutu8635 หลายเดือนก่อน +16

    Mnachelewa mpaka tunasahau mlipoishia

  • @othmanali5799
    @othmanali5799 หลายเดือนก่อน +2

    Toeni sikuuu maalum tuu ya kutoa kama baba Oliver tunajua ni ijumaaa mtu unasubiri mpka unachokaaa

  • @sundaymarwa9322
    @sundaymarwa9322 หลายเดือนก่อน +2

    Tatizo mnaforce sana ati kila EP ifike laki saba ndo mtoe ingine mnadhani ati hii ni wrong house ya R.K😂😂😂😂😂