VURUGU ARUSHA MUDA HUU, BARABARA YA MIKOANI YAFUNGWA, WAFANYABIASHARA WAINGIA BARABARANI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 223

  • @hassnsalim5156
    @hassnsalim5156 3 หลายเดือนก่อน +12

    Nawakubali sana watu wa Arusha mnamisimamo ingekuwa mikoa yote ipo kama Arusha hawa wahuni wasingekua na power

  • @DeruDeru-p4t
    @DeruDeru-p4t 3 หลายเดือนก่อน +27

    Duh Arusha noma sana Makonda kazi unayo baba AISE Mungu akusaidie mkoa hauishii vituko kila siku

    • @joycehaule9717
      @joycehaule9717 3 หลายเดือนก่อน +2

      Makonda pole yake jamani aongezewe Mshahara

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo 3 หลายเดือนก่อน +4

      Kwa Makonda issue ndogo sana. Sema wahusika ndio itakula kwako akitinga hapo na kusikiliza hoja.

    • @robertzamani5612
      @robertzamani5612 3 หลายเดือนก่อน +1

      Makonda ameanza kupingwa vita na manyang'au ya nchi hii

    • @DeruDeru-p4t
      @DeruDeru-p4t 3 หลายเดือนก่อน

      @@robertzamani5612 nikweli kabisa ila viongozi wanakazi sana yaani kazi kubwa mno Mungu awasaidie kwakweli

    • @YudasGhaitan
      @YudasGhaitan 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@GibsonNtamamiloĺ0😊😊8

  • @sunguraally2456
    @sunguraally2456 3 หลายเดือนก่อน +3

    Dadaa unaongea vizuri sanaaaa...Kunakitu unacho iaseee.Skia dadaangu,Huu ndio mwanzo wako wa mafanikio....Kila jambo huja kwa sababu.....Lakini pia kuvunjiwa au kufungiwa kwa biashara kwa watyu hawa ghafra sio jambo zuri... Tafadhali ongeen tena na watyu Hawa kwa hekima ili mambo yaende sawa.. SHUKRAN

  • @nuruamry
    @nuruamry 3 หลายเดือนก่อน +24

    Arusha ni nchi ya tatu Tanzania Ina sheria zake km tz nzima ingekuwa hiv basi asingekuwepo mnyonge

    • @Hellen-i2y
      @Hellen-i2y 3 หลายเดือนก่อน

      Au vipi ? Imeisha iyo

    • @Oman-p8x
      @Oman-p8x 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @zainab8251
      @zainab8251 3 หลายเดือนก่อน

      Nchi ya tatu😂😂😂😂😂😂😂

    • @ashachitemo7816
      @ashachitemo7816 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@zainab8251Kuna Tanganyika,Zanzibar na ya tatu ni Arusha

  • @NeemaAkyoo-s4s
    @NeemaAkyoo-s4s 3 หลายเดือนก่อน +21

    RIP MAGUFULI uliwajali sana wamachinga na ukawatengenezea had vitambulisho ili wasinyanyasike kama hivi sasa

  • @AfricanFolktalesStories-2024
    @AfricanFolktalesStories-2024 3 หลายเดือนก่อน +26

    Ifike mahala Mungu aikumbuke tena nchi yetu atupe raisi kama Magu🙌

    • @charlesinternational708
      @charlesinternational708 3 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabixa maana Hakuna Wanacho kifanya huko Zaid sa Safari2

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 3 หลายเดือนก่อน +2

    Goodfrei Thomas mambo, unafanya vizur sana

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 3 หลายเดือนก่อน +12

    Makonda pole kwa hali kama hiyo watu wamepinda.

    • @Hellen-i2y
      @Hellen-i2y 3 หลายเดือนก่อน

      We umenyooka umewasaidiaje wanyonge?

  • @brighterkids8416
    @brighterkids8416 3 หลายเดือนก่อน +14

    Arusha oyeeeeee

  • @jumakilinja6341
    @jumakilinja6341 3 หลายเดือนก่อน +10

    Hiyo ni Arushaaaaaa nawapenda sana mkiamua hakuna wa kusogea

    • @TibihikaGerad
      @TibihikaGerad 3 หลายเดือนก่อน

      Wewe una akili kwel Kuna mwanainch anaamua mbele ya serikali 🤔🤔

  • @nuruurio8319
    @nuruurio8319 3 หลายเดือนก่อน +4

    Rambo yupo tengeru jikuteni migambo mchapwe.. wala hamna kupigana ni mnachapwa 🙌🏾🙌🏾

    • @EvaKiria
      @EvaKiria 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kamandayukojazinisheriaifutwe

  • @Mmms1w1Yyy1h1y1
    @Mmms1w1Yyy1h1y1 3 หลายเดือนก่อน +5

    Iyi kabisa niagizo la mama !nimefatilia kauli ya mama imeanza kunvunja moyo makonda asiwe na utendaji sabiti !

    • @emmanuelmasele9585
      @emmanuelmasele9585 3 หลายเดือนก่อน

      Kweli Mama kasema kuna wakuu wa mikoa bado miungu watu

  • @LaurencePima-dq3uj
    @LaurencePima-dq3uj 3 หลายเดือนก่อน +7

    Siku zote familia inayoongozwa na mwanamke huwa haikosi mazaifu 😊

    • @joycemfuru4752
      @joycemfuru4752 3 หลายเดือนก่อน

      muongo mkubwa wewe fuatilia vizuri hujielewi

    • @LaurencePima-dq3uj
      @LaurencePima-dq3uj 3 หลายเดือนก่อน

      @@joycemfuru4752 wewe ni mwanamke huenda pia ni single mother kwahiyo huwezi ukanielewa baki na ubishi wako ila ukweli ndio huo familia ya mama huwa ni lege lege

  • @babaalex5062
    @babaalex5062 3 หลายเดือนก่อน +15

    Hahaha Arusha mko powa sana

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 3 หลายเดือนก่อน

      Kuna muda huwa nawapenda 😂😂😂

  • @PamelaKagisa
    @PamelaKagisa 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hapo mimi nashindwa kuwaelewa, Sasa kama mnapokea Kodi Yao tayari mnakuwa mmeshawatambua .

  • @WaziriHatibu-n5c
    @WaziriHatibu-n5c 2 หลายเดือนก่อน

    Hivi mnanini huko Arusha mkuu WA mkoa afukuze watumishi wote maana hao ndio watamhalibia sifa

  • @hamidumpiga6283
    @hamidumpiga6283 2 หลายเดือนก่อน

    Raic anausika na nn sheria za nchi zifuatwe nazani awa watu wakiachwa ata barabarani watapanga vitu kama wanapewa maeneo na awayataki nn kifanyike

  • @AbdiAthumani-es7og
    @AbdiAthumani-es7og 3 หลายเดือนก่อน +10

    Kunakituo cha police pale mazingila sio rafiki kwetu😂😂😂

  • @mangashajunior242
    @mangashajunior242 3 หลายเดือนก่อน

    Yaani Mungu atusaidie Arusha tunaliwa hovyo...

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 3 หลายเดือนก่อน +3

    Safi sana mkuu kuna mtu ataka 10 hapo ndio watolewa

  • @ISACKKILEO-e7z
    @ISACKKILEO-e7z 3 หลายเดือนก่อน +3

    huyu dada nomaaaaa anaongeaaaa hatariii🤣🤣🤣🤣

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 3 หลายเดือนก่อน +6

    Makonda yuko wapi?!

  • @JumaKamasa-kl6pz
    @JumaKamasa-kl6pz 13 วันที่ผ่านมา

    Njihi ameharipika tanzania yetu jamani imeisha raha

  • @GiselaJoseph-z2f
    @GiselaJoseph-z2f 2 หลายเดือนก่อน

    Miaka inav zidi kusonga watu wanazid kuwa wajanja haitakuwa kenya t

  • @ShannyBrowntz
    @ShannyBrowntz 2 หลายเดือนก่อน

    Tabia uwa na Tabia zakuanbukizanaa Wakenya Washawambuukizaa awaaa

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 2 หลายเดือนก่อน

    Tatizo linaletqa tatizo linaondolewa duh.Mungu saidia hii nchi yetu.

  • @JENIFAYOHANES
    @JENIFAYOHANES หลายเดือนก่อน

    Safi sana

  • @andreasemoja-yn6pz
    @andreasemoja-yn6pz 3 หลายเดือนก่อน +1

    Chuga is Tz . Kumbuka Wadudu wanasema Mungu akitaka kupumzika anskuja Chuga😂

  • @salmanmagwe222
    @salmanmagwe222 3 หลายเดือนก่อน +6

    Huu mfumo wa biashara holela ni serikali na wanasiasa wenyewe ndio wameulea,na haya ndio matokeo yake hawapendi kupangwa kwa kuwa wanajua watalipa kodi.
    Nendeni mkajifunze RWANDA namna wanavyoendesha biashara kwa nidhamu,na hata bodaboda wao wananidhamu.
    Ni kwa nn tununue bidhaa za kula kwenye mazingira machafu kwa hoja eti ni wapiga kura?

    • @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
      @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k 3 หลายเดือนก่อน

      We nenda uishi RWANDA sasa, hii nchi yetu atutaki kuing'a kwa watu wegine sisi tutapambana nayo hivo hiv

    • @salmanmagwe222
      @salmanmagwe222 3 หลายเดือนก่อน

      @@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
      Ndugu yangu usafi ni moja ya tunu ya binadamu na ndio unaolinda afya zetu iwe ni nyumbani au nje,ni kwa nn basi tusifuate ushauri wa wataalamu wa afya?kwani unadhani ni ghali sana kutengeneza kaalumian au chuma ndogo na kupanga bidhaa vizuri?Dunia yote imebadilika na hawauzi chini na kwenye magunia kama sisi baadhi ya waafrika tunaoendekeza Siasa hata kwenye usafi

    • @unjuusalvatory5331
      @unjuusalvatory5331 3 หลายเดือนก่อน

      Yeah umeongea point atayekupinga ni zezeta freedom without control is bullshit

    • @Sahlomon-jp4jr
      @Sahlomon-jp4jr 3 หลายเดือนก่อน

      We ni lijinga kabisa!!​@@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k

    • @kutailass6671
      @kutailass6671 3 หลายเดือนก่อน

      Ungefanya uugwana sana kama ungewasafirisha kufika huko Rwanda kupata elimu

  • @davidsebastian661
    @davidsebastian661 3 หลายเดือนก่อน +1

    Inatakiwa Watanzania tuwe kama Wana Arusha tutafika bali tukiwa wamoja kama hiyo viongozi uchwara lazima wakae

  • @mugapro
    @mugapro 3 หลายเดือนก่อน +8

    Naitwa RAMBO

    • @leahmgunda4154
      @leahmgunda4154 3 หลายเดือนก่อน

      Pakia nyanya ndani ya rambo

  • @SaidAlly-c1x
    @SaidAlly-c1x 21 วันที่ผ่านมา

    Iv wamachinga imeikosea nini serikali ya iawamu ya 6 Naomba watambue ii ichi yetu sote

  • @RuthCharles-u4j
    @RuthCharles-u4j 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu tusaidie.Mama yetu sikia kilio cha wafanya biashara walau kue na hauen kwasbb kodi tunalipa huu ukaguzi wa mikoan sio mzuri tunakosa uhur wa kufanya biashara kwa amani sasa kama hapo wanafukuzwa kumbuk ajira amna namna pekee ya wao kujiokoa ni chinga bsness sasa wakinyanyasika bas ndo unakuta wengine wavuta bang wengine kujiuza hii sio sawa

  • @LovenessLameck-w3y
    @LovenessLameck-w3y 2 หลายเดือนก่อน

    Mme upga mwiing Wana arusha

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 3 หลายเดือนก่อน

    Watanzania wangekuwa na vichwa vizuri kama Waarusha hii nchi ingekuwa ishakombolewa

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hii ndo arusha nchi inayojitegemea.kila mtu anajua haki yake.
    Soko la tengeru ni shughuli

  • @anordiobadia.nycsong8123
    @anordiobadia.nycsong8123 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ama kweli Arusha ndo Tz

  • @karimmveyange280
    @karimmveyange280 2 หลายเดือนก่อน

    NAWAKUBALI MAMONG'OO WA ARUSHA,MNAJITAMBUA,MNAKINUKISHA CHAP CHAP DHIDI YA HAO MAPOYOYO. MAISHA YAMEKUWA KAMA MCHEZO WA KUIGIZA,KILA SEHEMU WANANCHI WANAISHI UTADHANIA WAKO CHINI LA KOLONI LILILO FIRISIKA AKILI

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ila huyo dada kasema mkuu wa wilaya kashaga fika mahali akaruhusu kuendeleza vyashara vyao mpaka soko litakapo malizika sasa kwanini wawachokoze.tatizo ni watendaji waserikali wanakusa ushirikiyano mno.

  • @NeemaAkyoo-s4s
    @NeemaAkyoo-s4s 3 หลายเดือนก่อน +14

    Hii nchi kwasasa maskini hana chake wanaoishi kwa amani ni matajir tu ee mwenyezi MUNGU tujalie tena rais mwingine ambaye atakuwa mtetezi wa wanyonge tunaishi kama wakimbiz kwenye taifa letu

  • @mosesmasanja8295
    @mosesmasanja8295 3 หลายเดือนก่อน +4

    Wanamapepo mengi sana watu wa Arusha.

    • @Hellen-i2y
      @Hellen-i2y 3 หลายเดือนก่อน +3

      Watu wanatetea haki ili wafanye kazi unasema wana mapepo?Wewe ndio unawapelekea mapepo.

    • @Hellen-i2y
      @Hellen-i2y 3 หลายเดือนก่อน +3

      Hujitambui Huna ujasiri wao.omba Mungu mapepo yakutoke.

    • @atkentravelafrica4361
      @atkentravelafrica4361 3 หลายเดือนก่อน +1

      Una hitaji maombi pepo wakutoke wewe.

  • @Godfreyolekidongo
    @Godfreyolekidongo 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nchi ya Arusha ⁉️🙌

  • @lidyakisoka-is4ru
    @lidyakisoka-is4ru 3 หลายเดือนก่อน

    Suo kila kitu ni mama mengine wanambmbikizia mkoa una Mkuu wamkoa kuna mkurugenzi sasa samia anahusikaje,hata mkuu wa Mkoa inawezekana hajui ilo ni swala la mkurugenzi

  • @djfaraji
    @djfaraji 2 หลายเดือนก่อน

    Viongozi liangalieni ili mkojo mdogo mdogo ndiyo unao lowesha chupi

  • @JumaKingalu-rf1dg
    @JumaKingalu-rf1dg 3 หลายเดือนก่อน

    Naomba serikali ikae kikao na viongozi wa soko kuleta Amani na utulivu hapo sokoni

  • @VictorJohn-fu7ch
    @VictorJohn-fu7ch 3 หลายเดือนก่อน

    Nabii Edmund alisema anaona vurugu Arusha tuiombeee asee manabii wa Mungu waish milele tuombe tu

    • @ummukulthumsaid6158
      @ummukulthumsaid6158 3 หลายเดือนก่อน +2

      Acha ujinga hakuna nabii karne hii acheni kumkosea Mungu watu wanawateka akili kwa maslahi yao ya ushirikina nawe unakubali fanya kazi taguta rizk kwa kumtegemea Mungu hakuna mtabiri tena

    • @VictorJohn-fu7ch
      @VictorJohn-fu7ch 3 หลายเดือนก่อน

      Mim naamin Kuna manabii Kaka na nakuo mbea nawewe IPO siku Tu utawaamin Tu..

  • @tinotyno679
    @tinotyno679 3 หลายเดือนก่อน

    UNITY IS THE POWER

  • @ChikuRamadhani-o2p
    @ChikuRamadhani-o2p 3 หลายเดือนก่อน

    Mama yupo na matajiri wanyoge mtaisoma namba

  • @Dr.LAZARO-j2e
    @Dr.LAZARO-j2e 2 หลายเดือนก่อน

    Sasa TANZANIA umekua Kenya sasa

  • @kyannickk2be
    @kyannickk2be 3 หลายเดือนก่อน

    Halmashauri mkono wake haukosekani sehemu nyingi

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 3 หลายเดือนก่อน

    Watanzania wanateseka jamani😢😢😢😢mabank wameruhusiwa kuwaibia kwa mikopo, serekali inawaumiza na kodi😢😢😢

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 3 หลายเดือนก่อน +7

    Hahahahahaha eti tunamtaka Makonda wetu aje hahahahaahahhaahhahahahahaa MAKONDA BABA POLE WALAH

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 3 หลายเดือนก่อน

    Vitambulisho viliendaga wapi tena

  • @mtumishimoviesstudio1502
    @mtumishimoviesstudio1502 3 หลายเดือนก่อน

    Mama aache kutengeneza fujo alafu aje kujifanya kutatua ili watu wamkubali Ni upuuzi tu hata Dodoma manyanyaso yapo

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn 3 หลายเดือนก่อน

    Jamani mbn mkuu wa mkoa anatetea wanyonge

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 3 หลายเดือนก่อน

    Hawa si wale waliokuwa na Magu jamani akira hakuna waacheni vijana watafute maisha

  • @FredrickOlotu-u8n
    @FredrickOlotu-u8n 2 หลายเดือนก่อน

    Du! Kweli

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 3 หลายเดือนก่อน +4

    Watu wa Arusha oyeee mmepinda kinyama 😂😂 Yani hadi wa fanya biashara wa wa mkoa wa Dar hawawezi ngoma hii 😂😂

  • @EmmanuelChrispin-bo5xh
    @EmmanuelChrispin-bo5xh 3 หลายเดือนก่อน

    Kesho mama atawaruhusu msijali ana upigamwingi

  • @ErickChaula-y4v
    @ErickChaula-y4v 2 หลายเดือนก่อน

    Matukio

  • @ChikuRamadhani-o2p
    @ChikuRamadhani-o2p 3 หลายเดือนก่อน

    Kulikua hakuna vurugu enzizamagufuli wetu wayonge tulikua na amani sana

  • @Kachuba-w9p
    @Kachuba-w9p 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wacheni kufanya kazi kwa mazowea 😢

  • @AlhajiIssa-jb9hr
    @AlhajiIssa-jb9hr 3 หลายเดือนก่อน

    Hii ni nchi gani?

  • @DeusiMorisi
    @DeusiMorisi 3 หลายเดือนก่อน

    Hivyo jamaa mmoja atakuja hapo alafu atasema kuanzia leo nimefungua alafu watashangalia wajinga wakubwa hawajui yote hiyo ni mipango ya ccm kuendelea kutawala

  • @Avibrtz
    @Avibrtz 3 หลายเดือนก่อน +3

    Kuna kituo cha Police 😂😂😂 waliko hamia

  • @mtumishimoviesstudio1502
    @mtumishimoviesstudio1502 3 หลายเดือนก่อน

    Yani nchi upuuzi tu Kisa Mtu anapata mshahara basi unanyanyasa wengine

  • @jamessendu5994
    @jamessendu5994 3 หลายเดือนก่อน

    Makufuli daaa lalaha powa

  • @shadrackjuliuskaboya5239
    @shadrackjuliuskaboya5239 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo dafa sio wa nchi ya chuga bana

  • @bennylove6021
    @bennylove6021 3 หลายเดือนก่อน

    Aisee Arusha noma

  • @stevannydegalaxy9580
    @stevannydegalaxy9580 2 หลายเดือนก่อน

    Mgomo sio kosa kosa ni uharibifu

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 3 หลายเดือนก่อน

    Hilo tatizo la vijana Magufuli alilimaliza KWA vitambulisho mmm

  • @JENIFAYOHANES
    @JENIFAYOHANES หลายเดือนก่อน

    Mmh hii ndio chuga

  • @ChikuRamadhani-o2p
    @ChikuRamadhani-o2p 3 หลายเดือนก่อน

    Makonda raisi wetu

  • @simonmagembe7416
    @simonmagembe7416 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ubabe Mhe Rais amekataa kwa wateule wake likiwemo hili

  • @stanleyamlima2085
    @stanleyamlima2085 3 หลายเดือนก่อน

    Tatizo la viongozi maDc na Ma Rc wanasemaga kuwa hao ni kaboss wao so hii tabia itakua mwananchi kutotii mamlakaaa na miongozo ya serikali kwasababu wanaamini ni maboss

  • @TheonassSarwatt
    @TheonassSarwatt หลายเดือนก่อน

    Tupambane mpaka tonelamwisho

  • @joycekweka5416
    @joycekweka5416 3 หลายเดือนก่อน

    Utafanyiaje biashara pembeni mwa barabara je gari likikosea njia likawaburuza watamlaumu nani? Waingie ndani wote na maeneo yao yalishaandaliwa

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 3 หลายเดือนก่อน +3

    Ndugu mtangazaji siyo haki kusema viongozi walichaguliwa na wananchi kwa sababu awamu ya pili ya Magufuli hakukuwa na uchaguzi,aliiweka ccm kwa nguvu madarakani,Rais Samia akarithi viongozi hao wasiochaguliwa

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 3 หลายเดือนก่อน

      Hakukua na uchaguzi ?

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 3 หลายเดือนก่อน

      Tatizo la Tz, alitatuliwi kwa uchaguzi. Tz ni kuboresha namna ya kupata utendaji na viongozi. Ukitanguliza kipofu unategemea nini.

    • @martinemaganga5253
      @martinemaganga5253 3 หลายเดือนก่อน

      Je kuna aliye wazuia wagombea? Uchaguzi haukufanyika? Je Lisu wakati anazunguka tz nzima hakuwa anafanya kampeni?

  • @DONALDMTOWE-u9g
    @DONALDMTOWE-u9g 3 หลายเดือนก่อน

    Simakonda yupo?.

  • @EmmanuelChrispin-bo5xh
    @EmmanuelChrispin-bo5xh 3 หลายเดือนก่อน

    Hii ilikua inatakiwa iwe nchi japo mimi sio wa mkoa bigup kasikazini.siowakinaduhushidaa

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 3 หลายเดือนก่อน

    Kwani mama yupo wapi saivi

  • @mariyamgharib940
    @mariyamgharib940 3 หลายเดือนก่อน

    Mtihan huu kuwanyanyasa ivi wananchi watu wana familia makonda ukiona hii lazma uwatumbue hao watu kiukweli ikiwa halmasharau au wengineo

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 3 หลายเดือนก่อน

    Hii nchi inataka nini lakini

  • @ChikuRamadhani-o2p
    @ChikuRamadhani-o2p 3 หลายเดือนก่อน

    Magufuli kaondoka tuna nyanyaswa kilakona tunanyanganya mpaka mashamba wanapewa mayajiri sisi wanyoge tufenjaa niwauaji wanakula wao nafamilia zao

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 3 หลายเดือนก่อน

    Wadudu

  • @abellutonja4589
    @abellutonja4589 3 หลายเดือนก่อน

    Rambo ar the wheel 🛞🛞🛞🛞 mgambo mtachapwaaaa

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa8043 3 หลายเดือนก่อน

    Sasa rais ksema Kuna wakuu mikoa wababe Sasa kwa upuuz huu utaacha kuwa mbabe kweli kufunga Barbara ndio sulihisho Kama Kuna mtu anamgonjwa wake kwenye gari duh hii nchi hivyo kbsa

  • @felistamollel9899
    @felistamollel9899 3 หลายเดือนก่อน

    Du jamani magu tutakukumbuka sana ARUSHA kuna nini jamani kila kukicha na tukio lake

  • @ChikuRamadhani-o2p
    @ChikuRamadhani-o2p 3 หลายเดือนก่อน

    Magufuli mtetezi wawa nyonge katuacha nani atatutetea

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hapo BILA MAKONDA HAPAJAKAMILIKII

  • @unknownbutterfly6310
    @unknownbutterfly6310 3 หลายเดือนก่อน

    Nimempenda RAMBO😂😂

  • @Aloycesenastian
    @Aloycesenastian 3 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda atawaidia maxkin jaman

  • @RobCharz
    @RobCharz 3 หลายเดือนก่อน

    Tengeneza tatizo afu ulitatue upate kukubalika Zaid ...picha naliona kwa mbele litakavyokuwa waliosoma Cuba pekee ndio wataelewa huu mchezo

  • @erickkimambo6434
    @erickkimambo6434 3 หลายเดือนก่อน +2

    Makonda yuko wap yani kama hayupo

  • @DeusiMorisi
    @DeusiMorisi 3 หลายเดือนก่อน

    Dar waoga utadhani watoto waliokomba mboga

  • @AgustinoMgaya-tc2bi
    @AgustinoMgaya-tc2bi 3 หลายเดือนก่อน

    Nchi hii haki inatafutwa kwa ngufu hii ndiyo taabu

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 3 หลายเดือนก่อน

    Chuga hawatishwi ni noma tupu

  • @israelkisaila8401
    @israelkisaila8401 3 หลายเดือนก่อน

    Migambo wakija tunawachapa😂😂😂

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 3 หลายเดือนก่อน

    Weeeeeeh huku ni kumoto,shida nini??

  • @dallasmusic6465
    @dallasmusic6465 3 หลายเดือนก่อน

    Ndio majibu ya uongozi ambao sio imara kuna shida 🇹🇿🇹🇿Ila ukitaka kiongozi kuwa Bora jali kero za watu na uwapende wanyonge hii si sawa tunatakaje uchumi wa Kati akati hamtaki raia wapate pesa????? 😂😂😢😢😢