Dadaa unaongea vizuri sanaaaa...Kunakitu unacho iaseee.Skia dadaangu,Huu ndio mwanzo wako wa mafanikio....Kila jambo huja kwa sababu.....Lakini pia kuvunjiwa au kufungiwa kwa biashara kwa watyu hawa ghafra sio jambo zuri... Tafadhali ongeen tena na watyu Hawa kwa hekima ili mambo yaende sawa.. SHUKRAN
@@joycemfuru4752 wewe ni mwanamke huenda pia ni single mother kwahiyo huwezi ukanielewa baki na ubishi wako ila ukweli ndio huo familia ya mama huwa ni lege lege
Huu mfumo wa biashara holela ni serikali na wanasiasa wenyewe ndio wameulea,na haya ndio matokeo yake hawapendi kupangwa kwa kuwa wanajua watalipa kodi. Nendeni mkajifunze RWANDA namna wanavyoendesha biashara kwa nidhamu,na hata bodaboda wao wananidhamu. Ni kwa nn tununue bidhaa za kula kwenye mazingira machafu kwa hoja eti ni wapiga kura?
@@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k Ndugu yangu usafi ni moja ya tunu ya binadamu na ndio unaolinda afya zetu iwe ni nyumbani au nje,ni kwa nn basi tusifuate ushauri wa wataalamu wa afya?kwani unadhani ni ghali sana kutengeneza kaalumian au chuma ndogo na kupanga bidhaa vizuri?Dunia yote imebadilika na hawauzi chini na kwenye magunia kama sisi baadhi ya waafrika tunaoendekeza Siasa hata kwenye usafi
Mungu tusaidie.Mama yetu sikia kilio cha wafanya biashara walau kue na hauen kwasbb kodi tunalipa huu ukaguzi wa mikoan sio mzuri tunakosa uhur wa kufanya biashara kwa amani sasa kama hapo wanafukuzwa kumbuk ajira amna namna pekee ya wao kujiokoa ni chinga bsness sasa wakinyanyasika bas ndo unakuta wengine wavuta bang wengine kujiuza hii sio sawa
NAWAKUBALI MAMONG'OO WA ARUSHA,MNAJITAMBUA,MNAKINUKISHA CHAP CHAP DHIDI YA HAO MAPOYOYO. MAISHA YAMEKUWA KAMA MCHEZO WA KUIGIZA,KILA SEHEMU WANANCHI WANAISHI UTADHANIA WAKO CHINI LA KOLONI LILILO FIRISIKA AKILI
Ila huyo dada kasema mkuu wa wilaya kashaga fika mahali akaruhusu kuendeleza vyashara vyao mpaka soko litakapo malizika sasa kwanini wawachokoze.tatizo ni watendaji waserikali wanakusa ushirikiyano mno.
Hii nchi kwasasa maskini hana chake wanaoishi kwa amani ni matajir tu ee mwenyezi MUNGU tujalie tena rais mwingine ambaye atakuwa mtetezi wa wanyonge tunaishi kama wakimbiz kwenye taifa letu
Suo kila kitu ni mama mengine wanambmbikizia mkoa una Mkuu wamkoa kuna mkurugenzi sasa samia anahusikaje,hata mkuu wa Mkoa inawezekana hajui ilo ni swala la mkurugenzi
Acha ujinga hakuna nabii karne hii acheni kumkosea Mungu watu wanawateka akili kwa maslahi yao ya ushirikina nawe unakubali fanya kazi taguta rizk kwa kumtegemea Mungu hakuna mtabiri tena
Hivyo jamaa mmoja atakuja hapo alafu atasema kuanzia leo nimefungua alafu watashangalia wajinga wakubwa hawajui yote hiyo ni mipango ya ccm kuendelea kutawala
Tatizo la viongozi maDc na Ma Rc wanasemaga kuwa hao ni kaboss wao so hii tabia itakua mwananchi kutotii mamlakaaa na miongozo ya serikali kwasababu wanaamini ni maboss
Ndugu mtangazaji siyo haki kusema viongozi walichaguliwa na wananchi kwa sababu awamu ya pili ya Magufuli hakukuwa na uchaguzi,aliiweka ccm kwa nguvu madarakani,Rais Samia akarithi viongozi hao wasiochaguliwa
Sasa rais ksema Kuna wakuu mikoa wababe Sasa kwa upuuz huu utaacha kuwa mbabe kweli kufunga Barbara ndio sulihisho Kama Kuna mtu anamgonjwa wake kwenye gari duh hii nchi hivyo kbsa
Ndio majibu ya uongozi ambao sio imara kuna shida 🇹🇿🇹🇿Ila ukitaka kiongozi kuwa Bora jali kero za watu na uwapende wanyonge hii si sawa tunatakaje uchumi wa Kati akati hamtaki raia wapate pesa????? 😂😂😢😢😢
Nawakubali sana watu wa Arusha mnamisimamo ingekuwa mikoa yote ipo kama Arusha hawa wahuni wasingekua na power
Duh Arusha noma sana Makonda kazi unayo baba AISE Mungu akusaidie mkoa hauishii vituko kila siku
Makonda pole yake jamani aongezewe Mshahara
Kwa Makonda issue ndogo sana. Sema wahusika ndio itakula kwako akitinga hapo na kusikiliza hoja.
Makonda ameanza kupingwa vita na manyang'au ya nchi hii
@@robertzamani5612 nikweli kabisa ila viongozi wanakazi sana yaani kazi kubwa mno Mungu awasaidie kwakweli
@@GibsonNtamamiloĺ0😊😊8
Dadaa unaongea vizuri sanaaaa...Kunakitu unacho iaseee.Skia dadaangu,Huu ndio mwanzo wako wa mafanikio....Kila jambo huja kwa sababu.....Lakini pia kuvunjiwa au kufungiwa kwa biashara kwa watyu hawa ghafra sio jambo zuri... Tafadhali ongeen tena na watyu Hawa kwa hekima ili mambo yaende sawa.. SHUKRAN
Arusha ni nchi ya tatu Tanzania Ina sheria zake km tz nzima ingekuwa hiv basi asingekuwepo mnyonge
Au vipi ? Imeisha iyo
😂😂😂
Nchi ya tatu😂😂😂😂😂😂😂
@@zainab8251Kuna Tanganyika,Zanzibar na ya tatu ni Arusha
RIP MAGUFULI uliwajali sana wamachinga na ukawatengenezea had vitambulisho ili wasinyanyasike kama hivi sasa
Ifike mahala Mungu aikumbuke tena nchi yetu atupe raisi kama Magu🙌
Kweli kabixa maana Hakuna Wanacho kifanya huko Zaid sa Safari2
Goodfrei Thomas mambo, unafanya vizur sana
Makonda pole kwa hali kama hiyo watu wamepinda.
We umenyooka umewasaidiaje wanyonge?
Arusha oyeeeeee
Hiyo ni Arushaaaaaa nawapenda sana mkiamua hakuna wa kusogea
Wewe una akili kwel Kuna mwanainch anaamua mbele ya serikali 🤔🤔
Rambo yupo tengeru jikuteni migambo mchapwe.. wala hamna kupigana ni mnachapwa 🙌🏾🙌🏾
Kamandayukojazinisheriaifutwe
Iyi kabisa niagizo la mama !nimefatilia kauli ya mama imeanza kunvunja moyo makonda asiwe na utendaji sabiti !
Kweli Mama kasema kuna wakuu wa mikoa bado miungu watu
Siku zote familia inayoongozwa na mwanamke huwa haikosi mazaifu 😊
muongo mkubwa wewe fuatilia vizuri hujielewi
@@joycemfuru4752 wewe ni mwanamke huenda pia ni single mother kwahiyo huwezi ukanielewa baki na ubishi wako ila ukweli ndio huo familia ya mama huwa ni lege lege
Hahaha Arusha mko powa sana
Kuna muda huwa nawapenda 😂😂😂
Hapo mimi nashindwa kuwaelewa, Sasa kama mnapokea Kodi Yao tayari mnakuwa mmeshawatambua .
Hivi mnanini huko Arusha mkuu WA mkoa afukuze watumishi wote maana hao ndio watamhalibia sifa
Raic anausika na nn sheria za nchi zifuatwe nazani awa watu wakiachwa ata barabarani watapanga vitu kama wanapewa maeneo na awayataki nn kifanyike
Kunakituo cha police pale mazingila sio rafiki kwetu😂😂😂
Umeona eeehh😅
@@Hellen-i2y 😂
Nimeipenda hiyo
Yaani Mungu atusaidie Arusha tunaliwa hovyo...
Safi sana mkuu kuna mtu ataka 10 hapo ndio watolewa
huyu dada nomaaaaa anaongeaaaa hatariii🤣🤣🤣🤣
Makonda yuko wapi?!
Njihi ameharipika tanzania yetu jamani imeisha raha
Miaka inav zidi kusonga watu wanazid kuwa wajanja haitakuwa kenya t
Tabia uwa na Tabia zakuanbukizanaa Wakenya Washawambuukizaa awaaa
Tatizo linaletqa tatizo linaondolewa duh.Mungu saidia hii nchi yetu.
Safi sana
Chuga is Tz . Kumbuka Wadudu wanasema Mungu akitaka kupumzika anskuja Chuga😂
Huu mfumo wa biashara holela ni serikali na wanasiasa wenyewe ndio wameulea,na haya ndio matokeo yake hawapendi kupangwa kwa kuwa wanajua watalipa kodi.
Nendeni mkajifunze RWANDA namna wanavyoendesha biashara kwa nidhamu,na hata bodaboda wao wananidhamu.
Ni kwa nn tununue bidhaa za kula kwenye mazingira machafu kwa hoja eti ni wapiga kura?
We nenda uishi RWANDA sasa, hii nchi yetu atutaki kuing'a kwa watu wegine sisi tutapambana nayo hivo hiv
@@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
Ndugu yangu usafi ni moja ya tunu ya binadamu na ndio unaolinda afya zetu iwe ni nyumbani au nje,ni kwa nn basi tusifuate ushauri wa wataalamu wa afya?kwani unadhani ni ghali sana kutengeneza kaalumian au chuma ndogo na kupanga bidhaa vizuri?Dunia yote imebadilika na hawauzi chini na kwenye magunia kama sisi baadhi ya waafrika tunaoendekeza Siasa hata kwenye usafi
Yeah umeongea point atayekupinga ni zezeta freedom without control is bullshit
We ni lijinga kabisa!!@@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
Ungefanya uugwana sana kama ungewasafirisha kufika huko Rwanda kupata elimu
Inatakiwa Watanzania tuwe kama Wana Arusha tutafika bali tukiwa wamoja kama hiyo viongozi uchwara lazima wakae
Naitwa RAMBO
Pakia nyanya ndani ya rambo
Iv wamachinga imeikosea nini serikali ya iawamu ya 6 Naomba watambue ii ichi yetu sote
Mungu tusaidie.Mama yetu sikia kilio cha wafanya biashara walau kue na hauen kwasbb kodi tunalipa huu ukaguzi wa mikoan sio mzuri tunakosa uhur wa kufanya biashara kwa amani sasa kama hapo wanafukuzwa kumbuk ajira amna namna pekee ya wao kujiokoa ni chinga bsness sasa wakinyanyasika bas ndo unakuta wengine wavuta bang wengine kujiuza hii sio sawa
Mme upga mwiing Wana arusha
Watanzania wangekuwa na vichwa vizuri kama Waarusha hii nchi ingekuwa ishakombolewa
Hii ndo arusha nchi inayojitegemea.kila mtu anajua haki yake.
Soko la tengeru ni shughuli
Ama kweli Arusha ndo Tz
NAWAKUBALI MAMONG'OO WA ARUSHA,MNAJITAMBUA,MNAKINUKISHA CHAP CHAP DHIDI YA HAO MAPOYOYO. MAISHA YAMEKUWA KAMA MCHEZO WA KUIGIZA,KILA SEHEMU WANANCHI WANAISHI UTADHANIA WAKO CHINI LA KOLONI LILILO FIRISIKA AKILI
Ila huyo dada kasema mkuu wa wilaya kashaga fika mahali akaruhusu kuendeleza vyashara vyao mpaka soko litakapo malizika sasa kwanini wawachokoze.tatizo ni watendaji waserikali wanakusa ushirikiyano mno.
Hii nchi kwasasa maskini hana chake wanaoishi kwa amani ni matajir tu ee mwenyezi MUNGU tujalie tena rais mwingine ambaye atakuwa mtetezi wa wanyonge tunaishi kama wakimbiz kwenye taifa letu
Inauma sana
Wanamapepo mengi sana watu wa Arusha.
Watu wanatetea haki ili wafanye kazi unasema wana mapepo?Wewe ndio unawapelekea mapepo.
Hujitambui Huna ujasiri wao.omba Mungu mapepo yakutoke.
Una hitaji maombi pepo wakutoke wewe.
Nchi ya Arusha ⁉️🙌
Suo kila kitu ni mama mengine wanambmbikizia mkoa una Mkuu wamkoa kuna mkurugenzi sasa samia anahusikaje,hata mkuu wa Mkoa inawezekana hajui ilo ni swala la mkurugenzi
Viongozi liangalieni ili mkojo mdogo mdogo ndiyo unao lowesha chupi
Naomba serikali ikae kikao na viongozi wa soko kuleta Amani na utulivu hapo sokoni
Nabii Edmund alisema anaona vurugu Arusha tuiombeee asee manabii wa Mungu waish milele tuombe tu
Acha ujinga hakuna nabii karne hii acheni kumkosea Mungu watu wanawateka akili kwa maslahi yao ya ushirikina nawe unakubali fanya kazi taguta rizk kwa kumtegemea Mungu hakuna mtabiri tena
Mim naamin Kuna manabii Kaka na nakuo mbea nawewe IPO siku Tu utawaamin Tu..
UNITY IS THE POWER
Mama yupo na matajiri wanyoge mtaisoma namba
Sasa TANZANIA umekua Kenya sasa
Halmashauri mkono wake haukosekani sehemu nyingi
Watanzania wanateseka jamani😢😢😢😢mabank wameruhusiwa kuwaibia kwa mikopo, serekali inawaumiza na kodi😢😢😢
Hahahahahaha eti tunamtaka Makonda wetu aje hahahahaahahhaahhahahahahaa MAKONDA BABA POLE WALAH
Vitambulisho viliendaga wapi tena
Mama aache kutengeneza fujo alafu aje kujifanya kutatua ili watu wamkubali Ni upuuzi tu hata Dodoma manyanyaso yapo
Jamani mbn mkuu wa mkoa anatetea wanyonge
Hawa si wale waliokuwa na Magu jamani akira hakuna waacheni vijana watafute maisha
Du! Kweli
Watu wa Arusha oyeee mmepinda kinyama 😂😂 Yani hadi wa fanya biashara wa wa mkoa wa Dar hawawezi ngoma hii 😂😂
Kesho mama atawaruhusu msijali ana upigamwingi
Matukio
Kulikua hakuna vurugu enzizamagufuli wetu wayonge tulikua na amani sana
Wacheni kufanya kazi kwa mazowea 😢
Hii ni nchi gani?
Hivyo jamaa mmoja atakuja hapo alafu atasema kuanzia leo nimefungua alafu watashangalia wajinga wakubwa hawajui yote hiyo ni mipango ya ccm kuendelea kutawala
Kuna kituo cha Police 😂😂😂 waliko hamia
Yani nchi upuuzi tu Kisa Mtu anapata mshahara basi unanyanyasa wengine
Makufuli daaa lalaha powa
Huyo dafa sio wa nchi ya chuga bana
Aisee Arusha noma
Mgomo sio kosa kosa ni uharibifu
Hilo tatizo la vijana Magufuli alilimaliza KWA vitambulisho mmm
Mmh hii ndio chuga
Makonda raisi wetu
Ubabe Mhe Rais amekataa kwa wateule wake likiwemo hili
Tatizo la viongozi maDc na Ma Rc wanasemaga kuwa hao ni kaboss wao so hii tabia itakua mwananchi kutotii mamlakaaa na miongozo ya serikali kwasababu wanaamini ni maboss
Tupambane mpaka tonelamwisho
Utafanyiaje biashara pembeni mwa barabara je gari likikosea njia likawaburuza watamlaumu nani? Waingie ndani wote na maeneo yao yalishaandaliwa
Ndugu mtangazaji siyo haki kusema viongozi walichaguliwa na wananchi kwa sababu awamu ya pili ya Magufuli hakukuwa na uchaguzi,aliiweka ccm kwa nguvu madarakani,Rais Samia akarithi viongozi hao wasiochaguliwa
Hakukua na uchaguzi ?
Tatizo la Tz, alitatuliwi kwa uchaguzi. Tz ni kuboresha namna ya kupata utendaji na viongozi. Ukitanguliza kipofu unategemea nini.
Je kuna aliye wazuia wagombea? Uchaguzi haukufanyika? Je Lisu wakati anazunguka tz nzima hakuwa anafanya kampeni?
Simakonda yupo?.
Hii ilikua inatakiwa iwe nchi japo mimi sio wa mkoa bigup kasikazini.siowakinaduhushidaa
Kwani mama yupo wapi saivi
Mtihan huu kuwanyanyasa ivi wananchi watu wana familia makonda ukiona hii lazma uwatumbue hao watu kiukweli ikiwa halmasharau au wengineo
Hii nchi inataka nini lakini
Magufuli kaondoka tuna nyanyaswa kilakona tunanyanganya mpaka mashamba wanapewa mayajiri sisi wanyoge tufenjaa niwauaji wanakula wao nafamilia zao
Wadudu
Rambo ar the wheel 🛞🛞🛞🛞 mgambo mtachapwaaaa
Sasa rais ksema Kuna wakuu mikoa wababe Sasa kwa upuuz huu utaacha kuwa mbabe kweli kufunga Barbara ndio sulihisho Kama Kuna mtu anamgonjwa wake kwenye gari duh hii nchi hivyo kbsa
Du jamani magu tutakukumbuka sana ARUSHA kuna nini jamani kila kukicha na tukio lake
Magufuli mtetezi wawa nyonge katuacha nani atatutetea
Hapo BILA MAKONDA HAPAJAKAMILIKII
Nimempenda RAMBO😂😂
Makonda atawaidia maxkin jaman
Tengeneza tatizo afu ulitatue upate kukubalika Zaid ...picha naliona kwa mbele litakavyokuwa waliosoma Cuba pekee ndio wataelewa huu mchezo
Hahahahaha
D2
Makonda yuko wap yani kama hayupo
Dar waoga utadhani watoto waliokomba mboga
Nchi hii haki inatafutwa kwa ngufu hii ndiyo taabu
Chuga hawatishwi ni noma tupu
Migambo wakija tunawachapa😂😂😂
Weeeeeeh huku ni kumoto,shida nini??
Ndio majibu ya uongozi ambao sio imara kuna shida 🇹🇿🇹🇿Ila ukitaka kiongozi kuwa Bora jali kero za watu na uwapende wanyonge hii si sawa tunatakaje uchumi wa Kati akati hamtaki raia wapate pesa????? 😂😂😢😢😢